Byabato azuru kwa mbunifu umeme wa Sumaku/atoa maelekezo kwa TANESCO

  Рет қаралды 8,599

Daily News Digital

Daily News Digital

3 жыл бұрын

#NaibuWaziriNishati #UbunifuSumaku
Tunafahamu vipo vyanzo vingi vya kuzalisha umeme Duniani nchi ya Tanzania inazalisha umeme kwa kupitia Maji,Jua,Gesi,Upepo,Mafuta mazito na mepesi,mawimbi ya Bahari,
Wakati wataalam wanafanya utafiti wa Joto ardhi ili kuona kama je joto la ardhi litafaa kuzalisha umeme?
Jijini Dar es salaam katika eneo la Kawe Mzimuni mzee Rojas Msuya yeye ameonesha teknolojia mpya kabisa ya kuzalisha umeme kwa kutumia Sumaku kitu kilicho lishangaza zaidi Shirika la umeme Tanzania(Tanesco) na hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo Dkt. Tito Mwinuka kufunga safari ili kujionea maajabu hayo.

Пікірлер: 44
@user-rd8cg7su6v
@user-rd8cg7su6v 7 ай бұрын
Japo kweli ndg msuya Sio msomi, lkñ alichofanya ni zaidi ya wasomi
@gabrieldenicc4502
@gabrieldenicc4502 3 жыл бұрын
Hongera waziri nishati kwa maamuzi mazuri
@user-rd8cg7su6v
@user-rd8cg7su6v 5 ай бұрын
Kwa kweli huyo bwana ni mtaalam Ukimsikiliza vzr Utajua anaelewa anachoongea Anastahili kuwezeshwa kwa faida ya taifa
@timothmatiku6115
@timothmatiku6115 Ай бұрын
Nimekukubali byabato hapo kwenye gharama. Pendeza Tanzania mpya, utendaji mpya.
@simonayo362
@simonayo362 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Mbunifu Wetu Tanzania.
@abdallahsaid8157
@abdallahsaid8157 3 жыл бұрын
MashaAllah!!!
@ndaromachumu2558
@ndaromachumu2558 3 жыл бұрын
Angekua ulaya angekua mbali sana lakini apa bongo njaa Sana na wivu wanaona Kama wakimsaidia mzee atawazidi kwa kipato ndo tatizo la wabongo
@priscusjoseph7664
@priscusjoseph7664 3 жыл бұрын
The greatest scientist from TANZANIA asee lazma awekwe kwenye vtabu vya wazungu na wazungu wasome principles za mzee Msuya.....!!!
@user-rl6rd3yp2y
@user-rl6rd3yp2y 9 күн бұрын
Naomba namba yake please
@godfreymrosso2051
@godfreymrosso2051 3 жыл бұрын
Naibu uko vizuri sana
@yuvencepatrice792
@yuvencepatrice792 Ай бұрын
Mbn hamtoi namba yake?
@rogggndos
@rogggndos 10 ай бұрын
Mzee baba no yako basi nataka iyo nishat Na mim
@fideliwilliam3925
@fideliwilliam3925 2 жыл бұрын
mawasiliano ya mzee jamani malipo kwa atakae niunganisha nae
@msamgunda7684
@msamgunda7684 3 жыл бұрын
Nathani wizara ya sayansi na teknolejia na veta wanausika. Kisha tanesco wanunue hio mitambo au umeme.
@mariuscyprian1235
@mariuscyprian1235 3 жыл бұрын
Mzee Msuya umeukata
@sebajseba719
@sebajseba719 3 жыл бұрын
Nipeni nabma zake
@respikiusrevokatus2312
@respikiusrevokatus2312 3 жыл бұрын
Naomba namba zake
@jonathankazungu7397
@jonathankazungu7397 3 жыл бұрын
2
@renatowebtech2090
@renatowebtech2090 2 жыл бұрын
Namba za mtaalam mwenye nazo plz naztaka
@Kombo2989
@Kombo2989 3 жыл бұрын
Tunaomba mawasiliano yake tafadhali
@maganjila
@maganjila 3 жыл бұрын
Naomba namba ya mbunifu
@machinefannatic99
@machinefannatic99 3 жыл бұрын
Maneno meeeeeengi hakuna lililotendeka.
@yusufwewe8600
@yusufwewe8600 3 жыл бұрын
Vp
@sometimes5621
@sometimes5621 3 жыл бұрын
Hakika huyu mgunduzi apewe support na serikali. Waziri ameongea vya maana kabisa!
@dallasmayson4342
@dallasmayson4342 3 жыл бұрын
i realize it is kind of off topic but does anybody know of a good place to stream new tv shows online ?
@leonidasheath438
@leonidasheath438 3 жыл бұрын
@Dallas Mayson I watch on Flixzone. You can find it on google =)
@darioreid244
@darioreid244 3 жыл бұрын
@Leonidas Heath yup, I've been watching on flixzone for months myself :)
@dallasmayson4342
@dallasmayson4342 3 жыл бұрын
@Leonidas Heath thanks, signed up and it seems like they got a lot of movies there =) Appreciate it!
@leonidasheath438
@leonidasheath438 3 жыл бұрын
@Dallas Mayson happy to help =)
@wisdommrema8367
@wisdommrema8367 3 жыл бұрын
Hongera Sana mzee msuya kwa kunyesha kwa vitendo hayo ni Mambo ya Ohms low
@nehemiamhepe1892
@nehemiamhepe1892 3 жыл бұрын
Tunaomba namba zake tunahitaji machine hiyo
@franciskomatina9731
@franciskomatina9731 3 жыл бұрын
Tunaomba namba za mzee huyu mbunif... Apatiwe hati miliki
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 3 жыл бұрын
Anaejua anakopatikana uyu faza tafadhali anipeleke nitamlipa laki ya usumbufu
@benmtenga7382
@benmtenga7382 3 жыл бұрын
Mkuu twende nikupeleke kesho
@samsonkisigo6488
@samsonkisigo6488 2 жыл бұрын
Kawe
@Kombo2989
@Kombo2989 2 жыл бұрын
@@samsonkisigo6488 kawe kubwa. Kawe sehemu gani?
@emilianimwaliga8474
@emilianimwaliga8474 3 жыл бұрын
Napataje number za uyo mzee
@apolloa3442
@apolloa3442 3 жыл бұрын
Ipp ila ni tapeli tu huyu mtu
@Kombo2989
@Kombo2989 2 жыл бұрын
@@apolloa3442 kwaio ilijambo ametudanganya?
@apolloa3442
@apolloa3442 2 жыл бұрын
@@Kombo2989 anachukua pesa za watu kisha hafanyi kitu, mnaanza kudaiana, uwe mvumilivu kudai na kama utarudishiwa. Cases zipo nyingi nazifahamu, hakuna aliyetengenezewa zaidi ya kutapeliwa.
@jacquelinematandiko6716
@jacquelinematandiko6716 2 жыл бұрын
Mwenye namba tunaomba jamni
@emilianimwaliga8474
@emilianimwaliga8474 2 жыл бұрын
@@apolloa3442 Duh...kwahyo ni mpigaji ?
@ndotosafariltdtz178
@ndotosafariltdtz178 2 жыл бұрын
Naomba number zake
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 128 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 25 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 52 МЛН
Mbunifu wa chanzo kipya cha nishati awaduwaza TANESCO/Umeme wa sumaku
6:02
Daily News Digital
Рет қаралды 29 М.
HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR
10:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 818 М.
Baisikeli inayotumia nishati ya jua
1:09
DW Kiswahili
Рет қаралды 379
Case study 2017: Geita Gold Mine Water Project
4:09
AngloGold Ashanti
Рет қаралды 1,3 М.
KATAVI KUINGIZWA GRIDI YA TAIFA SEPTEMBA
5:56
Daily News Digital
Рет қаралды 164
An old man aged 80years is producing electricity by using magnetic
4:26
SIMULIZI ZA SAUTI
Рет қаралды 11 М.
Hisense Official Flagship Store Hisense is the champion What is going on?
0:11
Special Effects Funny 44
Рет қаралды 2,9 МЛН
⚡️Супер БЫСТРАЯ Зарядка | Проверка
1:00
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
0:56
صدام العزي
Рет қаралды 12 МЛН
Easy Art with AR Drawing App - Step by step for Beginners
0:27
Melli Art School
Рет қаралды 8 МЛН