P T ...nakutambua sana baba keep the real gospel in town lazima utasemwa baba muhimu wako mahusiano yako na MUNGU wako#sisi ni wale tunaosaidiwa na bwana
@JACKLINEMAHENGE3 күн бұрын
I've never been attentive to pastor Tony preachings but i think he's so much into celebrities world he loves to associate with those kinds, he maybe be have his valid reasons and i pray that the darkness from that side may not overpower the anointing in him if there is any
@sharontv36183 күн бұрын
Golden comment❤
@SarahKibiti3 күн бұрын
❤❤
@elijahmtatuu31282 күн бұрын
Amen Amen
@kelkel44836 күн бұрын
Kuwataja Hao aliwataja aliwataja katika angle ya kumaanisha kwamba Hao wasanii wanauwezo wa kumrudia na kumtumikia Mungu sema basi tu ni kwamba hawajui,maana yesu alikuja kwa wenye dhambi kwa hiyo na Hao wasanii Wana nafasi ya kubadilika,na pia kama wanaweza kushawishika wakatunga nyimbo ya kumsifu Mungu haitokua na shida yoyote,so wakati wa mungu ni wakati sahihi so anajaribu kuwashawishi wake kundini like kuwin their soul.. so ulitakiwa uanze mwanzo wa kongamano mwanzo mwisho,sasa kama atakua amekosea labda kwa angle za level za kitumishi kwenye vyama vyenu huko..,so shida sio Nani kaimba ila ni nini kimeimbwa,ndio maana rahabu kahaba nae alitumiwa kufanya kazi ya Mungu,so it's possible kwa uelewa wangu mdogo
@Samsonnoahndagw6 күн бұрын
Afadhali umekiri kwa uelewa mdogo
@user-ll6pj1lg3e5 күн бұрын
umenena vyema
@sigimwangombola59153 күн бұрын
Bora ungenyamaza tu
@gitongaz3 күн бұрын
Mimi hungojea sana mungu anifunulie wahubili wa uongo, tena na wale wa ukweli , kabla ya kutaja mtu, Kisha niedee hizo kondoo hizo simepotea ,Dunia inahitaji unabii wa mungu Ili injili ikubalike bele za mungu
@DaudDavis-ur6cmКүн бұрын
@@kelkel4483 ulipo kunywa soda maana kuna watu wanajua yesu alikuja kwa waliokoka
@AmyeSanga6 күн бұрын
Kanisa la Sasa tunashindwa kutofautisha mhubiri na inspirational speaker.kisa Kuna kamstari ka Biblia tunadhani ni mhubiri .Hakika Mungu atupe macho ya kuona maana tuna macho ya kutazama tuu huku fahamu zetu zikiwa zimefungamana na kutazama
@venacyibrahim50564 күн бұрын
You are right , this is 100% truee
@dh-bioproducts82054 күн бұрын
Hukumu ni ya Bwana. Sisi yetu ni kuitangaza na kuifunua kweli ya Kristo Yesu
@JenniferAela2 күн бұрын
MUNGU mbariki Pastor Tony
@japhetstanislaus79562 күн бұрын
Sisi wamkuyuni
@olivagerald626623 сағат бұрын
Amen🎉
@kingsonkambey14366 күн бұрын
Muonye,mkemee,mkaripie waziwazi bila kuogopa kitu chochote Paulo anamuagiza Timotheo kufanya hivyo Amen!!
@ruthmuja77926 күн бұрын
Amina Amina
@RwidhiaRichard6 күн бұрын
MKOMBOZI MITIMINGI HERBAL CLINIC UPONYEKE NAWE UKAFANYIKE SHUHUDA KWA WATU WENGINE TUNA DAWA ZA ASILI ZA TIBA MBALI MBALI ZILIZOTHIBITIKA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA MBALI MBALI KAMA VILE :kina dada huyo HAPA MITIMINGI TRADITIONALCLINIC Anatibu fangasi sungu ukeni na U.T.I sungu (2)P. I . D .Maumivu wakati wa tendo la ndoa na halafu mbaya ukeni . (3) Mirija ya uzazi uliolegea . (4)Maumivu ya tumbo chini ya kitovu na changu (5)UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (6)BAWASIRI AU HEMORRHOIDS ) BAWASIRI YA NDANI NA NJE (7)PRESHA ,SUKARI NGIRI N.K (8)LIFE CARE;dawa ya asili yenye uwezo wakuboresha kinga za mwili ni msaada pia kwa wenye virusi vya ukimwi _dawa zote zina kibali cha wizara ya afya kitengo cha tiba mbadala WASILIANA NASI KUPATA DAWA piga 0673060366 WhatsApp ♥
@jenifferjasper13692 күн бұрын
Wewe na familia Yako mtakemewa waziwazi mpaka mshangae
@andrewmwakabela86866 күн бұрын
Kwanza n kosa kubwa sana mbele za mungu kuimba nyimbo za dunia madhabahun haiwezekan kinywa ichoicho kitoe maji masafi na machafu. Enhe mola tusaidie
@rajabmohammed39822 күн бұрын
Kindly give us scriptures too
@toytv89Күн бұрын
Lakini uku disko tunapiga za gaspel 😂
@isdommushi95363 күн бұрын
Ubarikiwe na Bwana Yesu Mch. Cassian kwa kufanya kazi ya mhubiri wa Injili. Mtumishi wa Mungu hapaswi kuwainua watu wenye roho ya Mpinga Kristo, watungao na kupenda nyimbo zenye uwezo mkubwa wa "mind & spiritual pollution", kuwainua katika madhabahu ya Kristo ni jambo la upotofu. Watoto wamemezwa na nyimbo chafu, vyombo vya habari, vyombo vya usafiri, kila mahali, "mind pollutants are at work", sasa hata kanisani kwa watumishi wa Mungu jamanii?! Hapana. Mambo haya ynapaswa kukemewa kwa neno la hekima.
@user-ru6ct4rh3t6 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Asante nashukuru. Naomba uniwezeshe kuchanga chochote kwa kazi hii ya mtumishi wako.
@user-gj2gc4en3t6 күн бұрын
Pst ton alijificha nilimutambua mwaka mumoja uliopita kashajichanganya kitambo, but wewe mtumishi mungu Akulinde na tunakuombea na tunakupenda sana sana niko Mombasa kenya
@cydrahope52513 күн бұрын
Wewe unayedhani umesimama angalia ......... I respect anointing ya Kapola God keep you man of God 🙏 hata Yesu alikosolewa sana na mafarisayo 😅
@ndojes7113 күн бұрын
Kukosoa sawa ila kusifia Aaaaaaaaaaah........ WATU TUMEOKOKA, TUMEACHA POMBE, SIGARA, Hutukuti Kidimbwi, hatukeshi COUNTER, saiv tunakesha LEADER'S CLUB kwa MUNGU hamuon hlo. MAN of GOD fundisha neno, acha kufundisha kupitia mifano ya huduma za watu 😢😢,. Ingia CHEMBA MUOMBEEEE KAM UNAHC ANAKOSEA,. Utakuw hauna tofauti na MAFARISAYO sas
@jenifferjasper13692 күн бұрын
Hakika
@JenniferAela2 күн бұрын
Hawaoni namna Pastor Tony anavyookoa watu wamekalia kujudge tu
@toytv89Күн бұрын
Mi kiukweli pt kanitoa sehem ambapo mtu ata aniambie nn hawezi nibadilisha yaani mi ni wakuitwa tajiri mtoto nimeacha kwenda disco nimeacha pombe then mtu anakuambia nn
@Leah-mbilizi5 күн бұрын
Thank you, God, for this Revelation message 🙏🏾 it’s 1:28 am 7/7/2024 watching this beautiful message… Ubarikiwe sana Mtumishi 🇺🇸
@prophetjohnmasso1866 күн бұрын
Umeongea ktk ukomavu sana kiimani Mungu akutunze akufiche mikononi mwake
@japhetstanislaus79562 күн бұрын
Sisi wa mkuyuni tunaosaidiwa na BWANA tu like hapa
@Aviellar12 күн бұрын
Na tulivowengi😂😂
@toytv89Күн бұрын
🔥
@laurentraphael54706 күн бұрын
Huyo mpuuzi tangu alipojiunga na ma charlatan kina Ubert angel, kina Bushiri waabudu mashetani ndio amepotezwa kabisa. My Brethren, kanisa limevamiwa na mashetani mbwa mwitu wakali. Pasipo maarifa ya kiroho umekwisha na kuangamia kabisa.
@adelinaruhiye89046 күн бұрын
Tru
@adelinaruhiye89046 күн бұрын
True
@rosemarinawiliam32896 күн бұрын
Ni kweli kabisa alipojiunga na ubert Angle basi ikawa mwisho wangu wa kumfuatilia, wale wana mikataba na shetani ili kuwapoteza wengi. Alianza vizuri sana lkn mmmh
@apostle_AngazaGN6 күн бұрын
Alikuwa kijana mzuri sana Tony, sijui nn kimempeleka kubadili mafundisho yake
@mariamswedi11406 күн бұрын
@@apostle_AngazaGNpesa
@user-dq1ss2uq6u7 күн бұрын
Asante mtumishi ..ni hatari kuizoea madhabahu
@princenelsonsinko52376 күн бұрын
2Wakoritho 6:4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida; 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
@ruthhamisi29026 күн бұрын
Yesu anarudi jamani, tusaidiane, ukiona mwenzako anaenda tofauti na maagizo, na amri za mungu ,tuonyane sisi kwa siku,Mungu baba anatupenda sanaa
@geitandelwa2996 күн бұрын
Kweli hali ni mbaya mno tuombeane
@rightsmanКүн бұрын
Lakini wenzetu wanatuangalia ss tunaowashauri tuna Tania gani Kwanza kama njema watatusikiliza😢
@keruboirene6 күн бұрын
You make me cry 😭 every i listen 👂🏾 your preaching 😭 i hope my kids will never leave my teaching 😢 Eeh MUNGU saidia watoto wangu.kwa jina la YESU KRISTO naomba 😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾Amena
@AminaIssa-lx9hs2 күн бұрын
Isaya 54:13
@keruboirene19 сағат бұрын
@@AminaIssa-lx9hs *Isaya **54:13** Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA, na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.* Asante dada Kwa maandiko
@edwardpapianomigembe755321 сағат бұрын
WE LOVE YOU PASTOR TONYY ❣️❤️❤️❤️❤️
@peter_paulofficialy5 күн бұрын
Umejitahidi kuongea, ila nadhani ungekuwa na lengo la kumuonya ungemtafuta inbox na kumueleza haya, mm nadhani unatafuta attention ya watu au kutrend kama yeye, mm nazungumza nikiwa siyo muumini wa Tonny wala muumini wako....cdhani kama umefanya vizuri, jitahidi kuubiri bila kuwasema watu ili Mungu awabadilishe na cyo kumuattack mtumishi yeyote....kama umeliona hili gonga like hapa na itawasaidiq watumishi wengine wahubiri watu wabadilishwe na c kusemana kama kina harmonize na kina diamond na kina kajala
@lwimboderick74795 күн бұрын
Hao walio yapokea tayari.. nani atawaambia sio sahihi. Casian ana deal na nguvu ya mtandao...kuharibu na Kutengeneza.
@jmonlinetv49325 күн бұрын
Cassian yuko sahihi kwasababu yeye alisema hadharani na watu wengi wamesikia je akimwambia kwa siri hao waliosikia hilo somo la upotovu watajuaje kama hilo somo sio sahihi?, kumsema hadharani inamponya yeye na wote tunaomfuatilia pst Tony ili tujue kapotoka, mi nampenda pst Tony sana ila kuna vitu haendi sawa.
Amepotosha hadharani akemewe hadharani hii ni Biblia Petro alikemewa hadharani na Yesu tena kwakusema Shetani rudi nyuma.
@tujajackson81427 күн бұрын
Nimegundua mtu kukosa unyenyekevu mbele za Mungu akiwa madhabahuni huwa kuna kujisahau na kwenda nje ya mstari wa kweli aloo.watumishi tujifunze kumentain annoint bila hivyo ni hatari tutaongea ya kwetu.hongera paskali kws hapo nakupongeza
@piusbaruhuwundi89875 күн бұрын
Hii imewakuta hata manabii wengi. Wapo waliofika sehemu wakajisahau na Mungu akawakataa
@AmyeSanga4 күн бұрын
@@tujajackson8142 ni kweli Mungu akimutambulisha mtu kwa watu badala ya kumuachia Mungu utukufu anaupokea yeye Mungu anakaa pembeni tunaanza kuona madhaifu yake maana aliyemsitiri anaondoka
@imanmsuwakollo44602 күн бұрын
ila kwa kusikiliza kipande huwezi jua maana au alichomaanisha... ni mpaka usikilize mafundisho yote ndio utajua alimaanisha nini@@piusbaruhuwundi8987
@imanmsuwakollo44602 күн бұрын
Bila kujua nini alisema mwanzo na bila kujua nini alisema mwishoni....uka base na ka clip tu lazima utaona makosa...maongezi yana connect..sasa hapa hatuona connection sababu hatujui ujumbe ulianzia wapi mpaka akasema hivi na aliishia wapi ku connect na clip. Sasa watu tunachukua ka clip tunaanza kutafsiri
@dionizcyprian20234 сағат бұрын
Mungo mbariki Pastor Tony muinue zaidi kwa viwango Vyatumbo Jud sana’Much respect Baba keep the good work Baba uwezi kuanguka IJN Amen
@PastorVitalisSheshe6 күн бұрын
Pastor tonny haowatu achananao.Kama umeshindwa kuwahubiria injili ya kuwaleta acha
Mungu akubariki sana Paschal unahubiri injili ya kweli be blessed man
@toytv89Күн бұрын
Kukwaruza sauti ndio injili ya kweli 😂 tafuteni ela
@user-yz3rl8pd6q4 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi, Endelea kuwakosoa watumishi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wengi ni matapeli kwa sasa, wamepotosha asili ya Neno la Mungu. Wamekalia mafanikio, sio Neno lakweli la Mungu. Wanaendelea kupoteza utakatifu wa Tanzania katika uso wa Mungu.
@toytv89Күн бұрын
Akiwakosoa ndio anawabadilisha au 😂 tafuteni ela mtamuelwa Tony kama Huna ela uwezi muelewa
@estermathias83546 күн бұрын
Paschal YESU akutunze tu.nakwel hatuchangamani.
@GloryLubango-tv4hd3 күн бұрын
Hubirini injiri, msikae kukosoana, Nan kasema nn au kafanya nn, tunamuda mchache Yesu yukaribu kuja, na Kama mkristo mwenzako kakosea ungemfata binafsi na sio kutuhubiria sis kumuhusu, unapohubiri ww hubiri kweli ya MUNGU watu wamjue MUNGU na wajue kupambanua kila mmoja Kwa binafsi yake kupitia Roho mtakatifu, mfate umwambie Kwamba ndugu yangu Hapa unakosea
@edithmassawe56293 күн бұрын
Well done
@NemesiTemba2 күн бұрын
Kwenye bibilia walikosoana Acha na leo wakosoane
@SuzanneMyles3 күн бұрын
😢😢😢😢God katikati ya ghadhabu kumbuka rehema😢❤
@ruthhamisi29026 күн бұрын
Mungu anatumia watu wake, kuonya na kurekebishana ili sote tuende mbinguni, hapendi tuanze vizuri na tumalize vibaya anaumia sana mungu baba, sababu anatupenda saaaana kama baba
@Pendopasilika7 күн бұрын
Amen ameni tena ameni nabarikiwa mno MUNGU wa mbinguni akutunze baba
@alicejohn25675 күн бұрын
hello handsome😂 kabla hujasema zaidi kuhusu PT naomba pitia shuhuda za siku ya alhamisi😊 ubarikiwe mtumishi
@RyanElias15 күн бұрын
God Bless you my Sister……………. They dont understand what we learn Yet
@alicejohn25674 күн бұрын
@@RyanElias1bado hawajajua jmn natamani wapitie mafundisho ya PT mimi yamenibadilisha maisha yangu kwa asilimia zote kabisa maana yeye anafundisha mtu ujielewe na ujue kujiombea na kuweka imani katika kila unalofanya… watu wengi wanapenda mambo ya miujiza ya kuwekewa mikono lakini sisi watu wa mkuyuni tunaamini katika kufunga na kujiombea wenyewe katika kila tunalofanya
@neemacassian18692 күн бұрын
Tunaojua tunajua na haturudi nyuma wacha tuendelee kumtetea Pt wetu kwasababu tunajua vile ametutoa wapi kiimani
@japhetstanislaus79562 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 sisi wa mkuyuni wala atuna shida wenyewe
@japhetstanislaus79562 күн бұрын
Mimi najiuliza kama kumrekebisha pt kwanini awake picha ambayo haiendani na somo
@user-gr9wc7bc2m7 күн бұрын
Hawa vijana wana siri kubwa sana mwanzo alianza vizuri sasa hivi amejifunua enyi mliohama tag eagt holiness klpt rudini haraka mnapotea watoto wetu
@geitandelwa2996 күн бұрын
Sana yaani walidanganya wenginila sasa YESU KAWAUMBUA
@FridayMwassa6 күн бұрын
Wapentecost nao siku hizi ni wajanja wajanja tu,wanavaa kama wadunia na vibinti malaya malaya ndiyo viimba choir,
@estermathias83546 күн бұрын
@@FridayMwassani kweli kbs.lkn sio wote ila wengi wao mmhhh
@jemedalimwakalundwa35206 күн бұрын
Ko eagt irudi kwa tag
@user-tt7cu2et1x6 күн бұрын
Kwan jamn pastor ..kapola kavamiwa na roho chafuuu.. wallah alkua mzurii saana at maandiko...na alkua anasema ukweli..saah ameshakuwa naye Christina shusho dah😢😢😢😢
@phillipowwilliam11314 күн бұрын
Acha kuponda watumishi wewe siku ya mwisho ukifika mbinguni hautaulizwa uliwaponda watumishi wangapi utaulizwa, how many souls have you win so sir I respect you go and win souls, achana na watumishi maana haujui wamewekewa reveletion gani
@stevenalex91213 күн бұрын
Wewe revelation ya Paschal unaijua? Je kama hicho anachokifanya ndio revelation yake
@aminashayo92632 күн бұрын
Ni kweli kila Mtumishi anatakiwa kusimama katika utumishi wake, yaani karama ile Mungu aliyomjalia, kuwasema watumishi wenzako hiyo sio karama ni uchonganishi, CASSIAN please STOP
@famsetv866Күн бұрын
Nimependa hili hubiri pastor ❤️ endelea kuutafuta ukweli na njia ya kweli na uzima Dunia iko ukingoni sana Mimi ni msabato nakukaribisha kanisani ❤️❤️
@bahatadof55437 күн бұрын
Hivi Toni ni mtumishi wa Mungu au inspirational speaker ili baadae awe Mwana siasa
@ShawnBeatz6 күн бұрын
umeona mbali sana! religion sikuizi ni stepping stone tu!
@FridayMwassa6 күн бұрын
Mwanasiasa yukoje na muhibiri yukoje,siasa ni kuleta Maendeleo kwa watu bila kuumiza wengine na kutaza kufanya mabaya hali kadhalika dini ni vivyo hivyo
@mshindimpangala7316 күн бұрын
Man of God,kama humuelewi mtu anae sema yeye ni mtumishi wa Mungu kwa kukosa mafunuo,nyamaza usiseme vitu huna uhakika.....laana nyingne zinaepukika
@SisterDuu5 күн бұрын
Uko busy kujadili maisha ya mutu wakati maisha yako mwenyewe ya nakushinda unaacha kushuulikia ndoa yako au watoto wako wewe uko busy kujadili mutu
@obbytouchez_pro94304 күн бұрын
🤗@@SisterDuu
@EvarineMdaki6 күн бұрын
Pastor Casian. Be blessed. Endelea kuihubiri KWELI.
@alexandernyambo77396 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI BRO CASIAN.... WEWE NI POLISI WA KIROHO. NAKUOMBEA SANA NA NAKUPENDA SANA KWA UKWELI WAKO WA 100%
@theonestrenatus9545 күн бұрын
Mungu akubariki sana Cassian umenena vyema sana, sasa wahubiri wanaangalia pesa tu
@TheOsborns2 күн бұрын
KUMUELEWA MY SPIRITUAL FATHER PASTOR TONY NEEDS A SPECIAL GRACE NA AKILI😌 ,GO LISTEN TO THE FULL SERMONS!!!!, HIZI CLIPS MNAKATA KAKIPANDE FROM THE SERMON KUTUMIA KUKOSOA NA KUFUNDISHA WATU..KWAN UMEKOSA UJUMBE😂 YANI INASIKITISHA SANA !!!!! US THOSE WHO UNDERSTAND HIM WE ARE GRATEFUL TO GOD TO BE ABLE TO HONOR SUCH GRACE IN OUR LIVES 🙏
@toytv89Күн бұрын
Usiwaeleweshe ngoja tu wacontrol uku mtaani watamjua tu😂
@tulimwaipopo-eq3be5 күн бұрын
Baba Mungu akukumbuke hatuwezi kufanya ibada pamoja sio kwelivijana wetu walianza vizuri wanamaliza vibaya
@ev_abediespoir4906 күн бұрын
Ameeeeen!!! Mtumish wa Mungu, lihubirini neno, Onya, karipia na kukemea pia. Natumai Mungu wa mbinguni yupo pamoja na ww
@anordchaula34586 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi. naona injili za Paulo zinarudi Mungu wa Mbingu na nchi amrudishe huyo pastor kwenye mstari naona waz anaptea
@jelemiamkudiso46606 күн бұрын
Amen barikiwa Sana mtumishi wa Mungu. Ni sahihi kabisaaa Mungu atusaidie sana tupone
@user-vn7zu3jr8n6 сағат бұрын
Nashukulu Mungu mm uyo pastor katony nilimuona muhun tu nilipomuona na mwamposa
@user-dt5wp5qo4n4 күн бұрын
Nabarkiwa kwa mafundisho yako mchungaji pascal,mungu akupe maisha marefu,
@musachomoitson23503 күн бұрын
Mungu akuzidishe paschal, unaifanya kazi yake vizuri na usione uko pekeako ktk kusema kweli, pambana sana na uovu bila kusita maana MUNGU amejisazia wengine wa kuungana na wewe ktk kusema ukweli... Amen
@rilekijuma40242 күн бұрын
Kusema ukweli ni kuhubiri injili sio kukosoa watumishi kama humuelewi mtu kaa kimya mnajichumiaga ma laana hivi hivi
@toytv89Күн бұрын
Ndio maana roma alisema ukienda baa kuna umoja kuliko kanisani yeye apo kaonyesha walokole hawana umoja kwa sababu kama tunaumoja angemtafuta na amuulize kama ni sahihi au sio sahihi na kama sio sahihi amfundishe ila kama ni sahihi aeleweshwe
@TatuYufuramadhan-zw2lnКүн бұрын
Jamn kwel wanadam tunaona mabaya mbona mazur yake amsifiii mabaya ndy yanaonekan😢 mungu atusamee😢
@BEATRICE-ge7ff6 күн бұрын
Hii ndiyo injili sasa mbarikiwa sana mtumishi wa mungu
@EstherYoram6 күн бұрын
Nia yake iliyojificha inajitokeza taaaaaratibu ,na tabia ya mtu ijifichayo nikama spring ilijibana,kwahiyo kadiri muda ukisogea hujiachia.
@user-tt7cu2et1x6 күн бұрын
Cha MUNGU kinaonekana tu..at kma kitachelewa vilevile n ibilis kaz yake itaonekna
@magejay4715Күн бұрын
Asante Yesu
@SophiaThadei-hx4wd6 күн бұрын
Asante Sana maana me mafundisho anayoyafundisha huaga siyapokeagi vzur roho yangu inakataaga kabisa yani
@mslady58244 күн бұрын
😂😂😂Ukiona hivyo ujue hakuna ujumbe uliotumwa kwa ajili yako kupitia yeye.
@magejay4715Күн бұрын
Ata mm sisikii kitu Roho mtakatifu nisaidie
@jovettedenise25916 күн бұрын
Mungu akupe uvumilivu na mwoyo mugumu manaa hiyi kazi ningumu sana❤️❤️❤️
@user-tw9td1qy6l4 күн бұрын
Watching from Kenya,tuweni makini maana hatujui siku wala saa ya kuja kwake Yesu 🙏 tunaweza sema mmoja ni mkweli kuliko mwengine lakini siku moja yaja😂😂 hukumu itamkuta kila mtu..lets be wise 🙏
@GraceMuthoni-nz3fh4 күн бұрын
Apo umenena
@kelvinmbogela47184 күн бұрын
Kuwa makini haimaanishi kutosema kweli ya Kristo. Acha aseme kilichosahihi kwani yeye hayuko responsible kwako bali kwa anayemtumikia
@aminashayo92632 күн бұрын
Exactly, ajionae amesimama angalie asianguke, hakuna binadamu aliye mkamilifu mbele za Mungu, ni kwa neema tu na rehema zake ndipo anatuhesabia haki
@user-cw8zn2dn6m6 күн бұрын
Ww kweli ni mtumwa wa Mungu. Hakika ww ni nuru. Hakika. Paschal uinuliwe juu Mbinguni. Amen.
@JohnMfundo6 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi pascal casian
@elizabethjackson24422 күн бұрын
Namuona mbarikiwa mwakipesile. Barikiwa baba
@Min_abednego_fabianoКүн бұрын
Mungu akubariki sana. Roho Mtakatifu ni sensitive sana. He never associate with darkness
@dnewztz4 күн бұрын
Akiwa mbishi amuulize Godluck Gozbert na ule wimbo wake wa amenyoa Denge. Baada ya pale kila akijititutumua hola. Mungu sio wa Utani
@joannekesa18356 күн бұрын
Amen amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
@salima26587 күн бұрын
Pasta tonny alianza vizur lakini asa iv kabadilika
@priscillahpolepole84276 күн бұрын
Baada ya kuja ubert angel naona ndipo alipoangukia na anamwita baba yake wa Imani.
@annewanjiru8186 күн бұрын
True, mimi nilimskiza pastor Tony first time in 2020, na alikuwa mnyenyekevu sana, na alihubiri kwa spirit. But nikajikuta sina hamu tena kuskiza mahubiri kutoka kwake🇰🇪
@user-sb7lz9xp4v6 күн бұрын
Ameanzaa kulewa sifa ndio maana
@veeJesus5 күн бұрын
Acha inafiki ujawahi kumskiliza tony. Watu wa tony hawajawahi kuhama@@annewanjiru818
@BenMudy5 күн бұрын
Mbona wengine tunamuelewa na tunafata mafunzo yake mazuri na tunaacha mabaya yake cus hakuna aliyekamilika
@vimbawewetv4761Күн бұрын
Mtumishi mungu akubariki nitakutafuta tufanye mahojiano na tv yetu kuhusu mengi unayofundisha
@jonasmanirakizanzinga78822 күн бұрын
Wakristu wengi wamejificha katika msemo huu: Hukumu ni ya Bwana. Soma 1Wakorintho 5:12 _Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani? For what have I to do to judge them also that are without? do not ye judge them that are within? Ko kama huu Pasta Tony ni wa ndani tuna ruksa ya kumkanya na kumkemea kwa nguvu zote maana hao wa nje watajuana na Mungu. Jonas MANIRAKIZA mwinjilisti kutoka Bujumbura Burundi 🇧🇮
@zyonhopefaith36926 күн бұрын
Daah Ila mafundisho ya Pastor tonny.... Huwa nayapenda hunipa ujasili Sana...... Hasa kwenye Biashara Huwa najiamini na kuwa huru....
@veeJesus5 күн бұрын
Naomba nikushauri. Mfuate Pastor Tony usiwaskilize hawa mbweha wanaacha kuhubiri injili wanamuubiri Tony
@AnnaJackson-zi3xe5 күн бұрын
@@veeJesusyaniiii seriously mtu anaandaa sermon kumcritisize mwingine🙌🏾🙌🏾🙌🏾did God sent these men to judge other ni huzuni kwanini usiplay nafasi yako , ubiri injiliii eeeeeiiiiiiiiiiiiiii looking at this fyuuuuuu
@upendoryobafrancis984 күн бұрын
Naona ameandika pastor Tonny ili apate viewers alafu atangaze kununua vyombo. Maana kwenye ufalme wa Mungu ni kuutangaza ufalme sio kumkandamiza mmoja ili wewe ujiinue Yesu hakufanya hivi.
@teklaagustino4 күн бұрын
Alafu muwe mnasikiliza kitu mwanzo mwisho ndio muwe mnalaumu mtu akikosea Kwan Ni vibaya kumkosoa
@kelvinmbogela47184 күн бұрын
@@veeJesuskuna spiritual understanding ukikosa huwezikujua kipi sahihi na kipi sio. Usiite watumishi mbweha ikiwa kiroho chako hakijakomaa nakushauri tu mpendwa
@daudsospeter-zd3iy3 күн бұрын
Ur need An extra Capacity and revelations kuelewa PT ameitwa kwaajili ya nani na kwaajili ya nini, and by the way Kwa muda Ambao nmemfahamu na kumfatilia, I have no ubishi, The man is Blessed 📌📌 Wale mnaoanza kumfahamu Leo Acha muendelee kubishana Huku mitandaoni😅
@JenniferAela2 күн бұрын
Kweli kbs Dav...😂 ngoja inaitaji akili nyingne kumuelewa Pastor Tony kaitwa kwaajir ya watu gan maana sio kila mtu atamuelewa .
@johnsamwel3730Күн бұрын
Nimekusikiliza kwa makini na nmekuelewa vizuri sanaa Uko sahihi.
@rebeccabrown51352 күн бұрын
Tonny ulianza na roho umemaliza na mwili diamond your brother Mungu tusaidie kanisa lako limekia nyumba ya biashara
@dagubertsanzige5441Күн бұрын
Mungu aendelee kukutumia kufichua ukweli juu ya wachungaji na watumishi wanao tutapeli
@loveandrew96945 күн бұрын
Kwani Tony ni pastor!mi namuona kama motivational speaker.....anachohubiri sio Habari za wokovu na kwenda mbinguni....
@BEATRICETEWA-on6qo4 күн бұрын
Mi pia nlijua hivo et
@lusekelomwasandube29923 күн бұрын
Mbona anajiita pastor 😂😂
@zaramuneer32574 күн бұрын
Mungu tutie nguvu safari ya mbinguni ni Ngumu sana Mungu atusaidie tuanze na roho tumalize na roho😢,, niwengi walianza na roho ila sas wamejikuta wanamaliza na mwili😢
@andrewisaya33825 күн бұрын
Huyo Tona kapola hana adhi ya kuitwa pastor unakosea,huyo ni motivation speaker asi halibu watu kupitia neno la Mungu.
@breezy93982 күн бұрын
we em kasafishe kalio ndo uje apa ucoment fala ww
@katarinaJ7 күн бұрын
Watumishi wa baali.....wamejaa kila kona 😢
@Bambagatz6 күн бұрын
Aisee sio mchezo, hayo ndo madhara ya kujichanganya na yale mataifa Mungu aliyokataza.
@clarissengeni88853 күн бұрын
Wamejaa kweli ila Pastor Tony sio mmoja wao.
@user-dn6tu7zq2hКүн бұрын
Bwana YESU azidi kukutunza sanasana Mtumishi wa MUNGU alie hai
@manuelymanuely-ly7gs2 күн бұрын
Sasa broo utapelekaje huduma kwa watu wasio mjuma MUNGU au unataka tuhubiriane sisi kwa sisi😢
@emanuelnyaki80743 күн бұрын
Nawewe unajifanya Mungu sasa kwenda huko
@mahomamahoma7756 күн бұрын
Ukipata nafasi piamsikilize Mchungaji Abiudi na Ev Daniel kwa kweli utakuwa kiroho,utumishi wa kwelii ni kukemea dhambi,kuhubiri kuhusu toba na msamaha,Roho Mtakatifu na kumrudia Mungu.
@AzizalucasMbiduka6 күн бұрын
Mt watu Sasa wanafunguliwa kupitia mahubili yako
@PaulFidel-fi3sh6 күн бұрын
Ameni Ev Daniel. Is My Daddy Be Blessed
@esterpeter85565 күн бұрын
Daniel nani jmn nimfuatilie@@PaulFidel-fi3sh
@EditingTrial016 күн бұрын
Napenda unavyo pambania injili ya kweli
@modestahango798921 сағат бұрын
Ukikosa neno la kusema kuhusu Mungu utabakia kusema watu, na mbinguni huendi. Maadamu biblia unaijui hebu pambana na maisha Yako.
@ZachariaZacharia-p5y3 сағат бұрын
Wanaomfahamu Mungu watakuelewa na wanaomfahamu pasta Tony hawatakuelewa
@user-ru6ct4rh3t6 күн бұрын
Hakika tunamtaka bwana na nguvu zake.
@RamadhaniMusa-jg2cu7 күн бұрын
MAHUBIRI YAKIWASHINDA ,MSIHONE HAYA ;HACHENI . USIWATUMIKIYE MABWANA WAWILI ENYI WAGALATIYA ,...NANI KAWAROGA.😢😢😢😢😢😂😂😂😂 AMAKWELI MUNGU ANACHEKA.
@clarissengeni88853 күн бұрын
Kwa mwandiko huu Pastor Tony huwezi kumuelewa
@ZakayoKalinga-nq5qy4 күн бұрын
Ubarukiwe na Mungu sanaa MWalimu @Cassian
@robbyrobert39573 сағат бұрын
Yaan m sijawahi sikia una msifia mtumish yeyote zaid san una angalia makosa tu alf mtu unaye msema sas maisha yake uki compare na yako pengine nizaid uwe una sema na mazur ya watu usiwe mwepesi wa kuhukum na kam kakosea m nafikili unge mfata yeye na umwambie kuliko kum sema mbele za watu sidhani iyo kam ni tabia nzur m sijawahi kuona wenzetu wa upande wapili wana semana lakn sisi wakristo kila mtu analijua neno hadi tuna pingan sisi kwa sis jamn ten mbele za mayebusi 😢😢 mungu atu saidie jamn
@Maryc2G6 күн бұрын
God continue exposing the bad apples 🍎 to the body of Christ. Too much love of money is root of all evil. God you never fail to me by ashamed my anemias, thank lord for answering my preyer, mtawajua kwa matendo yao.yangu macho, asante kwa kuinua watu kuongea on my behalf. Inua wengine ili jina lako lisije likatukanywa.
@Maryc2G6 күн бұрын
God never fail me. Correction on my abave statement 😅😅😂😂😂 yangu macho na maombi👀👀👀👀
@zubedagadson22203 күн бұрын
MUNGU akutunze mno baba umeongea ukweli kabisa😢💯
@janetjosephat80933 сағат бұрын
Nakuelewa sana mtumshi injil ya kwel lmenyooka no kona kona
@aron23467 күн бұрын
umenena vyema safi sana
@PeterSimoni-th2re3 күн бұрын
Kifupitu mtumishii miniko nanyimbo zako zotee napenda sana unachokihubiri kupitia njia ya nyimboo Mungu akubarikii
@charlesSogorya2 күн бұрын
Haya ni maoni yako binafisi kwasabbu ya kila ulicho kielewa TON nacho kifanya nikuwafungua watu kutoka kwenye utumwa kutumikishwa makanisani na kujifanya wanyenyekevu wa wachugaji kwangu mimi namwelewa sana mchugaji Ton fatilia mafunzo yake hajawahi kuwambia watu waende wakapate magari ila anwasii watu wajibiidishe na nikijana mwenye uelewa mkubwa sana
@user-oc9gb6jv6o6 күн бұрын
Ukweli tupu pastor, mungu akubariki.
@leontinebinlydi94596 күн бұрын
Mungu hakubariki sana mtumishi wa BWANA
@hopekatemba78613 күн бұрын
Yesu aliufia ulimwengu mzima,Tony uzidi kwenda mbele
@JuliusKanza23 сағат бұрын
Cassian ,Mungu akutunze Waefeso 4:17-19 [17]Basi nasema neno hili, tena nashuhudia katika Bwana, tangu sasa msienende kama Mataifa waenendavyo, katika ubatili wa nia zao; This I say therefore, and testify in the Lord, that ye henceforth walk not as other Gentiles walk, in the vanity of their mind, [18]ambao; akili zao zimetiwa giza, nao wamefarikishwa na uzima wa Mungu, kwa sababu ya ujinga uliomo ndani yao, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao; Having the understanding darkened, being alienated from the life of God through the ignorance that is in them, because of the blindness of their heart: [19]ambao wakiisha kufa ganzi wanajitia katika mambo ya ufisadi wapate kufanyiza kila namna ya uchafu kwa kutamani. Who being past feeling have given themselves over unto lasciviousness, to work all uncleanness with greediness.
@user-gr9wc7bc2m7 күн бұрын
Huyu pascal ameletwa na Mungu
@petronilahkedogo23477 күн бұрын
😂😂😂Aty mungu
@ginimbifamily39957 күн бұрын
😂😂😂😅😅😅😅
@linahchrissy75744 күн бұрын
Mungu akubariki sanaa
@danieljeremiah44526 күн бұрын
Barikiwa Sana mtu wa Mungu
@pastoremanuelnicodemus86487 күн бұрын
MUNGU AMEKUWEKA KWA KUSUDI KUWASIDIA WANAPOTOSHWA NA MAFUNDISHO YA UPOTOFU
@ruthhamisi29026 күн бұрын
Kabisa, angeweza kufa katika ile ajali ila Mungu baba alipenda atushuhudie kwa msaada wake Mungu