CASSIAN AMKEMEA PASTA TON KWA KUPOTOSHA MAFUNDISHO POTOFU EV PASCHAL CASSIAN

  Рет қаралды 63,362

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE

8 күн бұрын

Пікірлер: 786
@mashande2373
@mashande2373 2 күн бұрын
P T ...nakutambua sana baba keep the real gospel in town lazima utasemwa baba muhimu wako mahusiano yako na MUNGU wako#sisi ni wale tunaosaidiwa na bwana
@JACKLINEMAHENGE
@JACKLINEMAHENGE 3 күн бұрын
I've never been attentive to pastor Tony preachings but i think he's so much into celebrities world he loves to associate with those kinds, he maybe be have his valid reasons and i pray that the darkness from that side may not overpower the anointing in him if there is any
@sharontv3618
@sharontv3618 3 күн бұрын
Golden comment❤
@SarahKibiti
@SarahKibiti 3 күн бұрын
❤❤
@elijahmtatuu3128
@elijahmtatuu3128 2 күн бұрын
Amen Amen
@kelkel4483
@kelkel4483 6 күн бұрын
Kuwataja Hao aliwataja aliwataja katika angle ya kumaanisha kwamba Hao wasanii wanauwezo wa kumrudia na kumtumikia Mungu sema basi tu ni kwamba hawajui,maana yesu alikuja kwa wenye dhambi kwa hiyo na Hao wasanii Wana nafasi ya kubadilika,na pia kama wanaweza kushawishika wakatunga nyimbo ya kumsifu Mungu haitokua na shida yoyote,so wakati wa mungu ni wakati sahihi so anajaribu kuwashawishi wake kundini like kuwin their soul.. so ulitakiwa uanze mwanzo wa kongamano mwanzo mwisho,sasa kama atakua amekosea labda kwa angle za level za kitumishi kwenye vyama vyenu huko..,so shida sio Nani kaimba ila ni nini kimeimbwa,ndio maana rahabu kahaba nae alitumiwa kufanya kazi ya Mungu,so it's possible kwa uelewa wangu mdogo
@Samsonnoahndagw
@Samsonnoahndagw 6 күн бұрын
Afadhali umekiri kwa uelewa mdogo
@user-ll6pj1lg3e
@user-ll6pj1lg3e 5 күн бұрын
umenena vyema
@sigimwangombola5915
@sigimwangombola5915 3 күн бұрын
Bora ungenyamaza tu
@gitongaz
@gitongaz 3 күн бұрын
Mimi hungojea sana mungu anifunulie wahubili wa uongo, tena na wale wa ukweli , kabla ya kutaja mtu, Kisha niedee hizo kondoo hizo simepotea ,Dunia inahitaji unabii wa mungu Ili injili ikubalike bele za mungu
@DaudDavis-ur6cm
@DaudDavis-ur6cm Күн бұрын
@@kelkel4483 ulipo kunywa soda maana kuna watu wanajua yesu alikuja kwa waliokoka
@AmyeSanga
@AmyeSanga 6 күн бұрын
Kanisa la Sasa tunashindwa kutofautisha mhubiri na inspirational speaker.kisa Kuna kamstari ka Biblia tunadhani ni mhubiri .Hakika Mungu atupe macho ya kuona maana tuna macho ya kutazama tuu huku fahamu zetu zikiwa zimefungamana na kutazama
@venacyibrahim5056
@venacyibrahim5056 4 күн бұрын
You are right , this is 100% truee
@dh-bioproducts8205
@dh-bioproducts8205 4 күн бұрын
Hukumu ni ya Bwana. Sisi yetu ni kuitangaza na kuifunua kweli ya Kristo Yesu
@JenniferAela
@JenniferAela 2 күн бұрын
MUNGU mbariki Pastor Tony
@japhetstanislaus7956
@japhetstanislaus7956 2 күн бұрын
Sisi wamkuyuni
@olivagerald6266
@olivagerald6266 23 сағат бұрын
Amen🎉
@kingsonkambey1436
@kingsonkambey1436 6 күн бұрын
Muonye,mkemee,mkaripie waziwazi bila kuogopa kitu chochote Paulo anamuagiza Timotheo kufanya hivyo Amen!!
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 6 күн бұрын
Amina Amina
@RwidhiaRichard
@RwidhiaRichard 6 күн бұрын
MKOMBOZI MITIMINGI HERBAL CLINIC UPONYEKE NAWE UKAFANYIKE SHUHUDA KWA WATU WENGINE TUNA DAWA ZA ASILI ZA TIBA MBALI MBALI ZILIZOTHIBITIKA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA MBALI MBALI KAMA VILE :kina dada huyo HAPA MITIMINGI TRADITIONALCLINIC Anatibu fangasi sungu ukeni na U.T.I sungu (2)P. I . D .Maumivu wakati wa tendo la ndoa na halafu mbaya ukeni . (3) Mirija ya uzazi uliolegea . (4)Maumivu ya tumbo chini ya kitovu na changu (5)UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (6)BAWASIRI AU HEMORRHOIDS ) BAWASIRI YA NDANI NA NJE (7)PRESHA ,SUKARI NGIRI N.K (8)LIFE CARE;dawa ya asili yenye uwezo wakuboresha kinga za mwili ni msaada pia kwa wenye virusi vya ukimwi _dawa zote zina kibali cha wizara ya afya kitengo cha tiba mbadala WASILIANA NASI KUPATA DAWA piga 0673060366 WhatsApp ♥
@jenifferjasper1369
@jenifferjasper1369 2 күн бұрын
Wewe na familia Yako mtakemewa waziwazi mpaka mshangae
@andrewmwakabela8686
@andrewmwakabela8686 6 күн бұрын
Kwanza n kosa kubwa sana mbele za mungu kuimba nyimbo za dunia madhabahun haiwezekan kinywa ichoicho kitoe maji masafi na machafu. Enhe mola tusaidie
@rajabmohammed3982
@rajabmohammed3982 2 күн бұрын
Kindly give us scriptures too
@toytv89
@toytv89 Күн бұрын
Lakini uku disko tunapiga za gaspel 😂
@isdommushi9536
@isdommushi9536 3 күн бұрын
Ubarikiwe na Bwana Yesu Mch. Cassian kwa kufanya kazi ya mhubiri wa Injili. Mtumishi wa Mungu hapaswi kuwainua watu wenye roho ya Mpinga Kristo, watungao na kupenda nyimbo zenye uwezo mkubwa wa "mind & spiritual pollution", kuwainua katika madhabahu ya Kristo ni jambo la upotofu. Watoto wamemezwa na nyimbo chafu, vyombo vya habari, vyombo vya usafiri, kila mahali, "mind pollutants are at work", sasa hata kanisani kwa watumishi wa Mungu jamanii?! Hapana. Mambo haya ynapaswa kukemewa kwa neno la hekima.
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 6 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Asante nashukuru. Naomba uniwezeshe kuchanga chochote kwa kazi hii ya mtumishi wako.
@user-gj2gc4en3t
@user-gj2gc4en3t 6 күн бұрын
Pst ton alijificha nilimutambua mwaka mumoja uliopita kashajichanganya kitambo, but wewe mtumishi mungu Akulinde na tunakuombea na tunakupenda sana sana niko Mombasa kenya
@cydrahope5251
@cydrahope5251 3 күн бұрын
Wewe unayedhani umesimama angalia ......... I respect anointing ya Kapola God keep you man of God 🙏 hata Yesu alikosolewa sana na mafarisayo 😅
@ndojes711
@ndojes711 3 күн бұрын
Kukosoa sawa ila kusifia Aaaaaaaaaaah........ WATU TUMEOKOKA, TUMEACHA POMBE, SIGARA, Hutukuti Kidimbwi, hatukeshi COUNTER, saiv tunakesha LEADER'S CLUB kwa MUNGU hamuon hlo. MAN of GOD fundisha neno, acha kufundisha kupitia mifano ya huduma za watu 😢😢,. Ingia CHEMBA MUOMBEEEE KAM UNAHC ANAKOSEA,. Utakuw hauna tofauti na MAFARISAYO sas
@jenifferjasper1369
@jenifferjasper1369 2 күн бұрын
Hakika
@JenniferAela
@JenniferAela 2 күн бұрын
Hawaoni namna Pastor Tony anavyookoa watu wamekalia kujudge tu
@toytv89
@toytv89 Күн бұрын
Mi kiukweli pt kanitoa sehem ambapo mtu ata aniambie nn hawezi nibadilisha yaani mi ni wakuitwa tajiri mtoto nimeacha kwenda disco nimeacha pombe then mtu anakuambia nn
@Leah-mbilizi
@Leah-mbilizi 5 күн бұрын
Thank you, God, for this Revelation message 🙏🏾 it’s 1:28 am 7/7/2024 watching this beautiful message… Ubarikiwe sana Mtumishi 🇺🇸
@prophetjohnmasso186
@prophetjohnmasso186 6 күн бұрын
Umeongea ktk ukomavu sana kiimani Mungu akutunze akufiche mikononi mwake
@japhetstanislaus7956
@japhetstanislaus7956 2 күн бұрын
Sisi wa mkuyuni tunaosaidiwa na BWANA tu like hapa
@Aviellar1
@Aviellar1 2 күн бұрын
Na tulivowengi😂😂
@toytv89
@toytv89 Күн бұрын
🔥
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 6 күн бұрын
Huyo mpuuzi tangu alipojiunga na ma charlatan kina Ubert angel, kina Bushiri waabudu mashetani ndio amepotezwa kabisa. My Brethren, kanisa limevamiwa na mashetani mbwa mwitu wakali. Pasipo maarifa ya kiroho umekwisha na kuangamia kabisa.
@adelinaruhiye8904
@adelinaruhiye8904 6 күн бұрын
Tru
@adelinaruhiye8904
@adelinaruhiye8904 6 күн бұрын
True
@rosemarinawiliam3289
@rosemarinawiliam3289 6 күн бұрын
Ni kweli kabisa alipojiunga na ubert Angle basi ikawa mwisho wangu wa kumfuatilia, wale wana mikataba na shetani ili kuwapoteza wengi. Alianza vizuri sana lkn mmmh
@apostle_AngazaGN
@apostle_AngazaGN 6 күн бұрын
Alikuwa kijana mzuri sana Tony, sijui nn kimempeleka kubadili mafundisho yake
@mariamswedi1140
@mariamswedi1140 6 күн бұрын
​@@apostle_AngazaGNpesa
@user-dq1ss2uq6u
@user-dq1ss2uq6u 7 күн бұрын
Asante mtumishi ..ni hatari kuizoea madhabahu
@princenelsonsinko5237
@princenelsonsinko5237 6 күн бұрын
2Wakoritho 6:4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida; 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 6 күн бұрын
Yesu anarudi jamani, tusaidiane, ukiona mwenzako anaenda tofauti na maagizo, na amri za mungu ,tuonyane sisi kwa siku,Mungu baba anatupenda sanaa
@geitandelwa299
@geitandelwa299 6 күн бұрын
Kweli hali ni mbaya mno tuombeane
@rightsman
@rightsman Күн бұрын
Lakini wenzetu wanatuangalia ss tunaowashauri tuna Tania gani Kwanza kama njema watatusikiliza😢
@keruboirene
@keruboirene 6 күн бұрын
You make me cry 😭 every i listen 👂🏾 your preaching 😭 i hope my kids will never leave my teaching 😢 Eeh MUNGU saidia watoto wangu.kwa jina la YESU KRISTO naomba 😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾Amena
@AminaIssa-lx9hs
@AminaIssa-lx9hs 2 күн бұрын
Isaya 54:13
@keruboirene
@keruboirene 19 сағат бұрын
@@AminaIssa-lx9hs *Isaya **54:13** Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA, na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.* Asante dada Kwa maandiko
@edwardpapianomigembe7553
@edwardpapianomigembe7553 21 сағат бұрын
WE LOVE YOU PASTOR TONYY ❣️❤️❤️❤️❤️
@peter_paulofficialy
@peter_paulofficialy 5 күн бұрын
Umejitahidi kuongea, ila nadhani ungekuwa na lengo la kumuonya ungemtafuta inbox na kumueleza haya, mm nadhani unatafuta attention ya watu au kutrend kama yeye, mm nazungumza nikiwa siyo muumini wa Tonny wala muumini wako....cdhani kama umefanya vizuri, jitahidi kuubiri bila kuwasema watu ili Mungu awabadilishe na cyo kumuattack mtumishi yeyote....kama umeliona hili gonga like hapa na itawasaidiq watumishi wengine wahubiri watu wabadilishwe na c kusemana kama kina harmonize na kina diamond na kina kajala
@lwimboderick7479
@lwimboderick7479 5 күн бұрын
Hao walio yapokea tayari.. nani atawaambia sio sahihi. Casian ana deal na nguvu ya mtandao...kuharibu na Kutengeneza.
@jmonlinetv4932
@jmonlinetv4932 5 күн бұрын
Cassian yuko sahihi kwasababu yeye alisema hadharani na watu wengi wamesikia je akimwambia kwa siri hao waliosikia hilo somo la upotovu watajuaje kama hilo somo sio sahihi?, kumsema hadharani inamponya yeye na wote tunaomfuatilia pst Tony ili tujue kapotoka, mi nampenda pst Tony sana ila kuna vitu haendi sawa.
@mathiasdioniz5891
@mathiasdioniz5891 4 күн бұрын
Msikilize vizuri mwinjilisti kaka, alafu soma biblia, "ya hadharani yanakemewa hadharani..."
@albertfrancis6557
@albertfrancis6557 4 күн бұрын
Wewe mwenyewe umemalizia Kwa kuombea like...Dah! Dhambi inayofanyika hadharani hukemewa hadharani Ndugu yangu!
@michaelmagwaza-bc6mk
@michaelmagwaza-bc6mk 4 күн бұрын
Amepotosha hadharani akemewe hadharani hii ni Biblia Petro alikemewa hadharani na Yesu tena kwakusema Shetani rudi nyuma.
@tujajackson8142
@tujajackson8142 7 күн бұрын
Nimegundua mtu kukosa unyenyekevu mbele za Mungu akiwa madhabahuni huwa kuna kujisahau na kwenda nje ya mstari wa kweli aloo.watumishi tujifunze kumentain annoint bila hivyo ni hatari tutaongea ya kwetu.hongera paskali kws hapo nakupongeza
@piusbaruhuwundi8987
@piusbaruhuwundi8987 5 күн бұрын
Hii imewakuta hata manabii wengi. Wapo waliofika sehemu wakajisahau na Mungu akawakataa
@AmyeSanga
@AmyeSanga 4 күн бұрын
@@tujajackson8142 ni kweli Mungu akimutambulisha mtu kwa watu badala ya kumuachia Mungu utukufu anaupokea yeye Mungu anakaa pembeni tunaanza kuona madhaifu yake maana aliyemsitiri anaondoka
@imanmsuwakollo4460
@imanmsuwakollo4460 2 күн бұрын
ila kwa kusikiliza kipande huwezi jua maana au alichomaanisha... ni mpaka usikilize mafundisho yote ndio utajua alimaanisha nini​@@piusbaruhuwundi8987
@imanmsuwakollo4460
@imanmsuwakollo4460 2 күн бұрын
Bila kujua nini alisema mwanzo na bila kujua nini alisema mwishoni....uka base na ka clip tu lazima utaona makosa...maongezi yana connect..sasa hapa hatuona connection sababu hatujui ujumbe ulianzia wapi mpaka akasema hivi na aliishia wapi ku connect na clip. Sasa watu tunachukua ka clip tunaanza kutafsiri
@dionizcyprian2023
@dionizcyprian2023 4 сағат бұрын
Mungo mbariki Pastor Tony muinue zaidi kwa viwango Vyatumbo Jud sana’Much respect Baba keep the good work Baba uwezi kuanguka IJN Amen
@PastorVitalisSheshe
@PastorVitalisSheshe 6 күн бұрын
Pastor tonny haowatu achananao.Kama umeshindwa kuwahubiria injili ya kuwaleta acha
@Franckmulaj-Officiel
@Franckmulaj-Officiel 7 күн бұрын
Ni mapepo muchafu inawaongoza awa wantu, brother pascal,ayifayi kumwita ule kijana pasta,asistahili ,kwitiwa pasta.
@ellymtenga8127
@ellymtenga8127 4 күн бұрын
Mungu akubariki sana Paschal unahubiri injili ya kweli be blessed man
@toytv89
@toytv89 Күн бұрын
Kukwaruza sauti ndio injili ya kweli 😂 tafuteni ela
@user-yz3rl8pd6q
@user-yz3rl8pd6q 4 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi, Endelea kuwakosoa watumishi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wengi ni matapeli kwa sasa, wamepotosha asili ya Neno la Mungu. Wamekalia mafanikio, sio Neno lakweli la Mungu. Wanaendelea kupoteza utakatifu wa Tanzania katika uso wa Mungu.
@toytv89
@toytv89 Күн бұрын
Akiwakosoa ndio anawabadilisha au 😂 tafuteni ela mtamuelwa Tony kama Huna ela uwezi muelewa
@estermathias8354
@estermathias8354 6 күн бұрын
Paschal YESU akutunze tu.nakwel hatuchangamani.
@GloryLubango-tv4hd
@GloryLubango-tv4hd 3 күн бұрын
Hubirini injiri, msikae kukosoana, Nan kasema nn au kafanya nn, tunamuda mchache Yesu yukaribu kuja, na Kama mkristo mwenzako kakosea ungemfata binafsi na sio kutuhubiria sis kumuhusu, unapohubiri ww hubiri kweli ya MUNGU watu wamjue MUNGU na wajue kupambanua kila mmoja Kwa binafsi yake kupitia Roho mtakatifu, mfate umwambie Kwamba ndugu yangu Hapa unakosea
@edithmassawe5629
@edithmassawe5629 3 күн бұрын
Well done
@NemesiTemba
@NemesiTemba 2 күн бұрын
Kwenye bibilia walikosoana Acha na leo wakosoane
@SuzanneMyles
@SuzanneMyles 3 күн бұрын
😢😢😢😢God katikati ya ghadhabu kumbuka rehema😢❤
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 6 күн бұрын
Mungu anatumia watu wake, kuonya na kurekebishana ili sote tuende mbinguni, hapendi tuanze vizuri na tumalize vibaya anaumia sana mungu baba, sababu anatupenda saaaana kama baba
@Pendopasilika
@Pendopasilika 7 күн бұрын
Amen ameni tena ameni nabarikiwa mno MUNGU wa mbinguni akutunze baba
@alicejohn2567
@alicejohn2567 5 күн бұрын
hello handsome😂 kabla hujasema zaidi kuhusu PT naomba pitia shuhuda za siku ya alhamisi😊 ubarikiwe mtumishi
@RyanElias1
@RyanElias1 5 күн бұрын
God Bless you my Sister……………. They dont understand what we learn Yet
@alicejohn2567
@alicejohn2567 4 күн бұрын
@@RyanElias1bado hawajajua jmn natamani wapitie mafundisho ya PT mimi yamenibadilisha maisha yangu kwa asilimia zote kabisa maana yeye anafundisha mtu ujielewe na ujue kujiombea na kuweka imani katika kila unalofanya… watu wengi wanapenda mambo ya miujiza ya kuwekewa mikono lakini sisi watu wa mkuyuni tunaamini katika kufunga na kujiombea wenyewe katika kila tunalofanya
@neemacassian1869
@neemacassian1869 2 күн бұрын
Tunaojua tunajua na haturudi nyuma wacha tuendelee kumtetea Pt wetu kwasababu tunajua vile ametutoa wapi kiimani
@japhetstanislaus7956
@japhetstanislaus7956 2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 sisi wa mkuyuni wala atuna shida wenyewe
@japhetstanislaus7956
@japhetstanislaus7956 2 күн бұрын
Mimi najiuliza kama kumrekebisha pt kwanini awake picha ambayo haiendani na somo
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 7 күн бұрын
Hawa vijana wana siri kubwa sana mwanzo alianza vizuri sasa hivi amejifunua enyi mliohama tag eagt holiness klpt rudini haraka mnapotea watoto wetu
@geitandelwa299
@geitandelwa299 6 күн бұрын
Sana yaani walidanganya wenginila sasa YESU KAWAUMBUA
@FridayMwassa
@FridayMwassa 6 күн бұрын
Wapentecost nao siku hizi ni wajanja wajanja tu,wanavaa kama wadunia na vibinti malaya malaya ndiyo viimba choir,
@estermathias8354
@estermathias8354 6 күн бұрын
​@@FridayMwassani kweli kbs.lkn sio wote ila wengi wao mmhhh
@jemedalimwakalundwa3520
@jemedalimwakalundwa3520 6 күн бұрын
Ko eagt irudi kwa tag
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 6 күн бұрын
Kwan jamn pastor ..kapola kavamiwa na roho chafuuu.. wallah alkua mzurii saana at maandiko...na alkua anasema ukweli..saah ameshakuwa naye Christina shusho dah😢😢😢😢
@phillipowwilliam1131
@phillipowwilliam1131 4 күн бұрын
Acha kuponda watumishi wewe siku ya mwisho ukifika mbinguni hautaulizwa uliwaponda watumishi wangapi utaulizwa, how many souls have you win so sir I respect you go and win souls, achana na watumishi maana haujui wamewekewa reveletion gani
@stevenalex9121
@stevenalex9121 3 күн бұрын
Wewe revelation ya Paschal unaijua? Je kama hicho anachokifanya ndio revelation yake
@aminashayo9263
@aminashayo9263 2 күн бұрын
Ni kweli kila Mtumishi anatakiwa kusimama katika utumishi wake, yaani karama ile Mungu aliyomjalia, kuwasema watumishi wenzako hiyo sio karama ni uchonganishi, CASSIAN please STOP
@famsetv866
@famsetv866 Күн бұрын
Nimependa hili hubiri pastor ❤️ endelea kuutafuta ukweli na njia ya kweli na uzima Dunia iko ukingoni sana Mimi ni msabato nakukaribisha kanisani ❤️❤️
@bahatadof5543
@bahatadof5543 7 күн бұрын
Hivi Toni ni mtumishi wa Mungu au inspirational speaker ili baadae awe Mwana siasa
@ShawnBeatz
@ShawnBeatz 6 күн бұрын
umeona mbali sana! religion sikuizi ni stepping stone tu!
@FridayMwassa
@FridayMwassa 6 күн бұрын
Mwanasiasa yukoje na muhibiri yukoje,siasa ni kuleta Maendeleo kwa watu bila kuumiza wengine na kutaza kufanya mabaya hali kadhalika dini ni vivyo hivyo
@mshindimpangala731
@mshindimpangala731 6 күн бұрын
Man of God,kama humuelewi mtu anae sema yeye ni mtumishi wa Mungu kwa kukosa mafunuo,nyamaza usiseme vitu huna uhakika.....laana nyingne zinaepukika
@SisterDuu
@SisterDuu 5 күн бұрын
Uko busy kujadili maisha ya mutu wakati maisha yako mwenyewe ya nakushinda unaacha kushuulikia ndoa yako au watoto wako wewe uko busy kujadili mutu
@obbytouchez_pro9430
@obbytouchez_pro9430 4 күн бұрын
🤗​@@SisterDuu
@EvarineMdaki
@EvarineMdaki 6 күн бұрын
Pastor Casian. Be blessed. Endelea kuihubiri KWELI.
@alexandernyambo7739
@alexandernyambo7739 6 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI BRO CASIAN.... WEWE NI POLISI WA KIROHO. NAKUOMBEA SANA NA NAKUPENDA SANA KWA UKWELI WAKO WA 100%
@theonestrenatus954
@theonestrenatus954 5 күн бұрын
Mungu akubariki sana Cassian umenena vyema sana, sasa wahubiri wanaangalia pesa tu
@TheOsborns
@TheOsborns 2 күн бұрын
KUMUELEWA MY SPIRITUAL FATHER PASTOR TONY NEEDS A SPECIAL GRACE NA AKILI😌 ,GO LISTEN TO THE FULL SERMONS!!!!, HIZI CLIPS MNAKATA KAKIPANDE FROM THE SERMON KUTUMIA KUKOSOA NA KUFUNDISHA WATU..KWAN UMEKOSA UJUMBE😂 YANI INASIKITISHA SANA !!!!! US THOSE WHO UNDERSTAND HIM WE ARE GRATEFUL TO GOD TO BE ABLE TO HONOR SUCH GRACE IN OUR LIVES 🙏
@toytv89
@toytv89 Күн бұрын
Usiwaeleweshe ngoja tu wacontrol uku mtaani watamjua tu😂
@tulimwaipopo-eq3be
@tulimwaipopo-eq3be 5 күн бұрын
Baba Mungu akukumbuke hatuwezi kufanya ibada pamoja sio kwelivijana wetu walianza vizuri wanamaliza vibaya
@ev_abediespoir490
@ev_abediespoir490 6 күн бұрын
Ameeeeen!!! Mtumish wa Mungu, lihubirini neno, Onya, karipia na kukemea pia. Natumai Mungu wa mbinguni yupo pamoja na ww
@anordchaula3458
@anordchaula3458 6 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi. naona injili za Paulo zinarudi Mungu wa Mbingu na nchi amrudishe huyo pastor kwenye mstari naona waz anaptea
@jelemiamkudiso4660
@jelemiamkudiso4660 6 күн бұрын
Amen barikiwa Sana mtumishi wa Mungu. Ni sahihi kabisaaa Mungu atusaidie sana tupone
@user-vn7zu3jr8n
@user-vn7zu3jr8n 6 сағат бұрын
Nashukulu Mungu mm uyo pastor katony nilimuona muhun tu nilipomuona na mwamposa
@user-dt5wp5qo4n
@user-dt5wp5qo4n 4 күн бұрын
Nabarkiwa kwa mafundisho yako mchungaji pascal,mungu akupe maisha marefu,
@musachomoitson2350
@musachomoitson2350 3 күн бұрын
Mungu akuzidishe paschal, unaifanya kazi yake vizuri na usione uko pekeako ktk kusema kweli, pambana sana na uovu bila kusita maana MUNGU amejisazia wengine wa kuungana na wewe ktk kusema ukweli... Amen
@rilekijuma4024
@rilekijuma4024 2 күн бұрын
Kusema ukweli ni kuhubiri injili sio kukosoa watumishi kama humuelewi mtu kaa kimya mnajichumiaga ma laana hivi hivi
@toytv89
@toytv89 Күн бұрын
Ndio maana roma alisema ukienda baa kuna umoja kuliko kanisani yeye apo kaonyesha walokole hawana umoja kwa sababu kama tunaumoja angemtafuta na amuulize kama ni sahihi au sio sahihi na kama sio sahihi amfundishe ila kama ni sahihi aeleweshwe
@TatuYufuramadhan-zw2ln
@TatuYufuramadhan-zw2ln Күн бұрын
Jamn kwel wanadam tunaona mabaya mbona mazur yake amsifiii mabaya ndy yanaonekan😢 mungu atusamee😢
@BEATRICE-ge7ff
@BEATRICE-ge7ff 6 күн бұрын
Hii ndiyo injili sasa mbarikiwa sana mtumishi wa mungu
@EstherYoram
@EstherYoram 6 күн бұрын
Nia yake iliyojificha inajitokeza taaaaaratibu ,na tabia ya mtu ijifichayo nikama spring ilijibana,kwahiyo kadiri muda ukisogea hujiachia.
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 6 күн бұрын
Cha MUNGU kinaonekana tu..at kma kitachelewa vilevile n ibilis kaz yake itaonekna
@magejay4715
@magejay4715 Күн бұрын
Asante Yesu
@SophiaThadei-hx4wd
@SophiaThadei-hx4wd 6 күн бұрын
Asante Sana maana me mafundisho anayoyafundisha huaga siyapokeagi vzur roho yangu inakataaga kabisa yani
@mslady5824
@mslady5824 4 күн бұрын
😂😂😂Ukiona hivyo ujue hakuna ujumbe uliotumwa kwa ajili yako kupitia yeye.
@magejay4715
@magejay4715 Күн бұрын
Ata mm sisikii kitu Roho mtakatifu nisaidie
@jovettedenise2591
@jovettedenise2591 6 күн бұрын
Mungu akupe uvumilivu na mwoyo mugumu manaa hiyi kazi ningumu sana❤️❤️❤️
@user-tw9td1qy6l
@user-tw9td1qy6l 4 күн бұрын
Watching from Kenya,tuweni makini maana hatujui siku wala saa ya kuja kwake Yesu 🙏 tunaweza sema mmoja ni mkweli kuliko mwengine lakini siku moja yaja😂😂 hukumu itamkuta kila mtu..lets be wise 🙏
@GraceMuthoni-nz3fh
@GraceMuthoni-nz3fh 4 күн бұрын
Apo umenena
@kelvinmbogela4718
@kelvinmbogela4718 4 күн бұрын
Kuwa makini haimaanishi kutosema kweli ya Kristo. Acha aseme kilichosahihi kwani yeye hayuko responsible kwako bali kwa anayemtumikia
@aminashayo9263
@aminashayo9263 2 күн бұрын
Exactly, ajionae amesimama angalie asianguke, hakuna binadamu aliye mkamilifu mbele za Mungu, ni kwa neema tu na rehema zake ndipo anatuhesabia haki
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 6 күн бұрын
Ww kweli ni mtumwa wa Mungu. Hakika ww ni nuru. Hakika. Paschal uinuliwe juu Mbinguni. Amen.
@JohnMfundo
@JohnMfundo 6 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi pascal casian
@elizabethjackson2442
@elizabethjackson2442 2 күн бұрын
Namuona mbarikiwa mwakipesile. Barikiwa baba
@Min_abednego_fabiano
@Min_abednego_fabiano Күн бұрын
Mungu akubariki sana. Roho Mtakatifu ni sensitive sana. He never associate with darkness
@dnewztz
@dnewztz 4 күн бұрын
Akiwa mbishi amuulize Godluck Gozbert na ule wimbo wake wa amenyoa Denge. Baada ya pale kila akijititutumua hola. Mungu sio wa Utani
@joannekesa1835
@joannekesa1835 6 күн бұрын
Amen amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
@salima2658
@salima2658 7 күн бұрын
Pasta tonny alianza vizur lakini asa iv kabadilika
@priscillahpolepole8427
@priscillahpolepole8427 6 күн бұрын
Baada ya kuja ubert angel naona ndipo alipoangukia na anamwita baba yake wa Imani.
@annewanjiru818
@annewanjiru818 6 күн бұрын
True, mimi nilimskiza pastor Tony first time in 2020, na alikuwa mnyenyekevu sana, na alihubiri kwa spirit. But nikajikuta sina hamu tena kuskiza mahubiri kutoka kwake🇰🇪
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 6 күн бұрын
Ameanzaa kulewa sifa ndio maana
@veeJesus
@veeJesus 5 күн бұрын
Acha inafiki ujawahi kumskiliza tony. Watu wa tony hawajawahi kuhama​@@annewanjiru818
@BenMudy
@BenMudy 5 күн бұрын
Mbona wengine tunamuelewa na tunafata mafunzo yake mazuri na tunaacha mabaya yake cus hakuna aliyekamilika
@vimbawewetv4761
@vimbawewetv4761 Күн бұрын
Mtumishi mungu akubariki nitakutafuta tufanye mahojiano na tv yetu kuhusu mengi unayofundisha
@jonasmanirakizanzinga7882
@jonasmanirakizanzinga7882 2 күн бұрын
Wakristu wengi wamejificha katika msemo huu: Hukumu ni ya Bwana. Soma 1Wakorintho 5:12 _Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani? For what have I to do to judge them also that are without? do not ye judge them that are within? Ko kama huu Pasta Tony ni wa ndani tuna ruksa ya kumkanya na kumkemea kwa nguvu zote maana hao wa nje watajuana na Mungu. Jonas MANIRAKIZA mwinjilisti kutoka Bujumbura Burundi 🇧🇮
@zyonhopefaith3692
@zyonhopefaith3692 6 күн бұрын
Daah Ila mafundisho ya Pastor tonny.... Huwa nayapenda hunipa ujasili Sana...... Hasa kwenye Biashara Huwa najiamini na kuwa huru....
@veeJesus
@veeJesus 5 күн бұрын
Naomba nikushauri. Mfuate Pastor Tony usiwaskilize hawa mbweha wanaacha kuhubiri injili wanamuubiri Tony
@AnnaJackson-zi3xe
@AnnaJackson-zi3xe 5 күн бұрын
@@veeJesusyaniiii seriously mtu anaandaa sermon kumcritisize mwingine🙌🏾🙌🏾🙌🏾did God sent these men to judge other ni huzuni kwanini usiplay nafasi yako , ubiri injiliii eeeeeiiiiiiiiiiiiiii looking at this fyuuuuuu
@upendoryobafrancis98
@upendoryobafrancis98 4 күн бұрын
Naona ameandika pastor Tonny ili apate viewers alafu atangaze kununua vyombo. Maana kwenye ufalme wa Mungu ni kuutangaza ufalme sio kumkandamiza mmoja ili wewe ujiinue Yesu hakufanya hivi.
@teklaagustino
@teklaagustino 4 күн бұрын
Alafu muwe mnasikiliza kitu mwanzo mwisho ndio muwe mnalaumu mtu akikosea Kwan Ni vibaya kumkosoa
@kelvinmbogela4718
@kelvinmbogela4718 4 күн бұрын
​@@veeJesuskuna spiritual understanding ukikosa huwezikujua kipi sahihi na kipi sio. Usiite watumishi mbweha ikiwa kiroho chako hakijakomaa nakushauri tu mpendwa
@daudsospeter-zd3iy
@daudsospeter-zd3iy 3 күн бұрын
Ur need An extra Capacity and revelations kuelewa PT ameitwa kwaajili ya nani na kwaajili ya nini, and by the way Kwa muda Ambao nmemfahamu na kumfatilia, I have no ubishi, The man is Blessed 📌📌 Wale mnaoanza kumfahamu Leo Acha muendelee kubishana Huku mitandaoni😅
@JenniferAela
@JenniferAela 2 күн бұрын
Kweli kbs Dav...😂 ngoja inaitaji akili nyingne kumuelewa Pastor Tony kaitwa kwaajir ya watu gan maana sio kila mtu atamuelewa .
@johnsamwel3730
@johnsamwel3730 Күн бұрын
Nimekusikiliza kwa makini na nmekuelewa vizuri sanaa Uko sahihi.
@rebeccabrown5135
@rebeccabrown5135 2 күн бұрын
Tonny ulianza na roho umemaliza na mwili diamond your brother Mungu tusaidie kanisa lako limekia nyumba ya biashara
@dagubertsanzige5441
@dagubertsanzige5441 Күн бұрын
Mungu aendelee kukutumia kufichua ukweli juu ya wachungaji na watumishi wanao tutapeli
@loveandrew9694
@loveandrew9694 5 күн бұрын
Kwani Tony ni pastor!mi namuona kama motivational speaker.....anachohubiri sio Habari za wokovu na kwenda mbinguni....
@BEATRICETEWA-on6qo
@BEATRICETEWA-on6qo 4 күн бұрын
Mi pia nlijua hivo et
@lusekelomwasandube2992
@lusekelomwasandube2992 3 күн бұрын
Mbona anajiita pastor 😂😂
@zaramuneer3257
@zaramuneer3257 4 күн бұрын
Mungu tutie nguvu safari ya mbinguni ni Ngumu sana Mungu atusaidie tuanze na roho tumalize na roho😢,, niwengi walianza na roho ila sas wamejikuta wanamaliza na mwili😢
@andrewisaya3382
@andrewisaya3382 5 күн бұрын
Huyo Tona kapola hana adhi ya kuitwa pastor unakosea,huyo ni motivation speaker asi halibu watu kupitia neno la Mungu.
@breezy9398
@breezy9398 2 күн бұрын
we em kasafishe kalio ndo uje apa ucoment fala ww
@katarinaJ
@katarinaJ 7 күн бұрын
Watumishi wa baali.....wamejaa kila kona 😢
@Bambagatz
@Bambagatz 6 күн бұрын
Aisee sio mchezo, hayo ndo madhara ya kujichanganya na yale mataifa Mungu aliyokataza.
@clarissengeni8885
@clarissengeni8885 3 күн бұрын
Wamejaa kweli ila Pastor Tony sio mmoja wao.
@user-dn6tu7zq2h
@user-dn6tu7zq2h Күн бұрын
Bwana YESU azidi kukutunza sanasana Mtumishi wa MUNGU alie hai
@manuelymanuely-ly7gs
@manuelymanuely-ly7gs 2 күн бұрын
Sasa broo utapelekaje huduma kwa watu wasio mjuma MUNGU au unataka tuhubiriane sisi kwa sisi😢
@emanuelnyaki8074
@emanuelnyaki8074 3 күн бұрын
Nawewe unajifanya Mungu sasa kwenda huko
@mahomamahoma775
@mahomamahoma775 6 күн бұрын
Ukipata nafasi piamsikilize Mchungaji Abiudi na Ev Daniel kwa kweli utakuwa kiroho,utumishi wa kwelii ni kukemea dhambi,kuhubiri kuhusu toba na msamaha,Roho Mtakatifu na kumrudia Mungu.
@AzizalucasMbiduka
@AzizalucasMbiduka 6 күн бұрын
Mt watu Sasa wanafunguliwa kupitia mahubili yako
@PaulFidel-fi3sh
@PaulFidel-fi3sh 6 күн бұрын
Ameni Ev Daniel. Is My Daddy Be Blessed
@esterpeter8556
@esterpeter8556 5 күн бұрын
Daniel nani jmn nimfuatilie​@@PaulFidel-fi3sh
@EditingTrial01
@EditingTrial01 6 күн бұрын
Napenda unavyo pambania injili ya kweli
@modestahango7989
@modestahango7989 21 сағат бұрын
Ukikosa neno la kusema kuhusu Mungu utabakia kusema watu, na mbinguni huendi. Maadamu biblia unaijui hebu pambana na maisha Yako.
@ZachariaZacharia-p5y
@ZachariaZacharia-p5y 3 сағат бұрын
Wanaomfahamu Mungu watakuelewa na wanaomfahamu pasta Tony hawatakuelewa
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 6 күн бұрын
Hakika tunamtaka bwana na nguvu zake.
@RamadhaniMusa-jg2cu
@RamadhaniMusa-jg2cu 7 күн бұрын
MAHUBIRI YAKIWASHINDA ,MSIHONE HAYA ;HACHENI . USIWATUMIKIYE MABWANA WAWILI ENYI WAGALATIYA ,...NANI KAWAROGA.😢😢😢😢😢😂😂😂😂 AMAKWELI MUNGU ANACHEKA.
@clarissengeni8885
@clarissengeni8885 3 күн бұрын
Kwa mwandiko huu Pastor Tony huwezi kumuelewa
@ZakayoKalinga-nq5qy
@ZakayoKalinga-nq5qy 4 күн бұрын
Ubarukiwe na Mungu sanaa MWalimu @Cassian
@robbyrobert3957
@robbyrobert3957 3 сағат бұрын
Yaan m sijawahi sikia una msifia mtumish yeyote zaid san una angalia makosa tu alf mtu unaye msema sas maisha yake uki compare na yako pengine nizaid uwe una sema na mazur ya watu usiwe mwepesi wa kuhukum na kam kakosea m nafikili unge mfata yeye na umwambie kuliko kum sema mbele za watu sidhani iyo kam ni tabia nzur m sijawahi kuona wenzetu wa upande wapili wana semana lakn sisi wakristo kila mtu analijua neno hadi tuna pingan sisi kwa sis jamn ten mbele za mayebusi 😢😢 mungu atu saidie jamn
@Maryc2G
@Maryc2G 6 күн бұрын
God continue exposing the bad apples 🍎 to the body of Christ. Too much love of money is root of all evil. God you never fail to me by ashamed my anemias, thank lord for answering my preyer, mtawajua kwa matendo yao.yangu macho, asante kwa kuinua watu kuongea on my behalf. Inua wengine ili jina lako lisije likatukanywa.
@Maryc2G
@Maryc2G 6 күн бұрын
God never fail me. Correction on my abave statement 😅😅😂😂😂 yangu macho na maombi👀👀👀👀
@zubedagadson2220
@zubedagadson2220 3 күн бұрын
MUNGU akutunze mno baba umeongea ukweli kabisa😢💯
@janetjosephat8093
@janetjosephat8093 3 сағат бұрын
Nakuelewa sana mtumshi injil ya kwel lmenyooka no kona kona
@aron2346
@aron2346 7 күн бұрын
umenena vyema safi sana
@PeterSimoni-th2re
@PeterSimoni-th2re 3 күн бұрын
Kifupitu mtumishii miniko nanyimbo zako zotee napenda sana unachokihubiri kupitia njia ya nyimboo Mungu akubarikii
@charlesSogorya
@charlesSogorya 2 күн бұрын
Haya ni maoni yako binafisi kwasabbu ya kila ulicho kielewa TON nacho kifanya nikuwafungua watu kutoka kwenye utumwa kutumikishwa makanisani na kujifanya wanyenyekevu wa wachugaji kwangu mimi namwelewa sana mchugaji Ton fatilia mafunzo yake hajawahi kuwambia watu waende wakapate magari ila anwasii watu wajibiidishe na nikijana mwenye uelewa mkubwa sana
@user-oc9gb6jv6o
@user-oc9gb6jv6o 6 күн бұрын
Ukweli tupu pastor, mungu akubariki.
@leontinebinlydi9459
@leontinebinlydi9459 6 күн бұрын
Mungu hakubariki sana mtumishi wa BWANA
@hopekatemba7861
@hopekatemba7861 3 күн бұрын
Yesu aliufia ulimwengu mzima,Tony uzidi kwenda mbele
@JuliusKanza
@JuliusKanza 23 сағат бұрын
Cassian ,Mungu akutunze Waefeso 4:17-19 [17]Basi nasema neno hili, tena nashuhudia katika Bwana, tangu sasa msienende kama Mataifa waenendavyo, katika ubatili wa nia zao; This I say therefore, and testify in the Lord, that ye henceforth walk not as other Gentiles walk, in the vanity of their mind, [18]ambao; akili zao zimetiwa giza, nao wamefarikishwa na uzima wa Mungu, kwa sababu ya ujinga uliomo ndani yao, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao; Having the understanding darkened, being alienated from the life of God through the ignorance that is in them, because of the blindness of their heart: [19]ambao wakiisha kufa ganzi wanajitia katika mambo ya ufisadi wapate kufanyiza kila namna ya uchafu kwa kutamani. Who being past feeling have given themselves over unto lasciviousness, to work all uncleanness with greediness.
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 7 күн бұрын
Huyu pascal ameletwa na Mungu
@petronilahkedogo2347
@petronilahkedogo2347 7 күн бұрын
😂😂😂Aty mungu
@ginimbifamily3995
@ginimbifamily3995 7 күн бұрын
😂😂😂😅😅😅😅
@linahchrissy7574
@linahchrissy7574 4 күн бұрын
Mungu akubariki sanaa
@danieljeremiah4452
@danieljeremiah4452 6 күн бұрын
Barikiwa Sana mtu wa Mungu
@pastoremanuelnicodemus8648
@pastoremanuelnicodemus8648 7 күн бұрын
MUNGU AMEKUWEKA KWA KUSUDI KUWASIDIA WANAPOTOSHWA NA MAFUNDISHO YA UPOTOFU
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 6 күн бұрын
Kabisa, angeweza kufa katika ile ajali ila Mungu baba alipenda atushuhudie kwa msaada wake Mungu
@SifaelaYoram
@SifaelaYoram 7 күн бұрын
Mungu wangu tusaidie
JAMANI AMKENI TAYALI SIRI IPO WAZI  KIFO CHAJA KWETU EV PASCHAL CASIAN
1:25:54
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 60 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 533 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 117 МЛН
ONA MAFUNDISHO YA ZINAA YALIVYO KUMBA KANISA EV PASCHAL CASSIAN
51:45
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 7 М.
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 44 М.
CASSIAN AWA WEKA WAZI WACHUNGAJI WANAO POTOSHA KANISA EV PASCHALCASSIAN
1:00:45
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 6 М.
CASSIAN AWAPA ONYO MKUU WAMKOA NA MWAMPOSA KUUNGANA KUPOTOSHA EV PAACHAL CASSIAN
1:13:37
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 17 М.
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Eliud Samwel
Рет қаралды 3,1 М.
KIMEUMANA CASSIN NA KIBOKO YA WACHAWI KUZALILISHANA HAZALANI EV PASCHAL CASSIAN
1:11:12
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 50 М.
MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.
41:08
KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI
Рет қаралды 364 М.
Такие сладости мама точно разрешит
0:22
Даша Боровик
Рет қаралды 4,7 МЛН
Happy 4th of July 😂
0:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 60 МЛН
Русалка
1:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
КАК ВЫЖИТЬ В АВИАКАТАСТРОФЕ✈️
0:25
MEXANIK_CHANNEL
Рет қаралды 4,8 МЛН
СРОЧНО ДОМОЙ! Эта НЕ КОНФЕТА!
0:21
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 1,9 МЛН