CASSIAN AWA WEKA WAZI WACHUNGAJI WANAO POTOSHA KANISA EV PASCHALCASSIAN

  Рет қаралды 9,125

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE

29 күн бұрын

Пікірлер: 114
@JoyceMbise-zr2xh
@JoyceMbise-zr2xh 27 күн бұрын
Mungu akutie nguvu mtumishi wa BWANA,hakika huu ndio ule mwisho
@harrietkiden7808
@harrietkiden7808 27 күн бұрын
GOD BLESS YOU SO MUCH PASTOR PASCHAL 🙏
@kitajumanne414
@kitajumanne414 21 күн бұрын
MUNGU akulinde daima. umenifundisha sana na nimekombolewa kupitia mahubiri Yako ya kweli mtumishi wa MUNGU
@eneamalamla484
@eneamalamla484 20 күн бұрын
Bwana Akubariki mtumishi, Songa mbele
@user-qz9bz3ni9y
@user-qz9bz3ni9y 23 күн бұрын
Mungu akubariki sana naakurinde usjal maneno ya watu Mungu endeleakusema ukweli mwenye masikio na askie
@GustaveAbedi-td9yv
@GustaveAbedi-td9yv 26 күн бұрын
Que la force de Dieu vous accompagne par tout.🇨🇩🇨🇩
@martinahlighare6495
@martinahlighare6495 27 күн бұрын
Ameeen, amen. Mungu anisaidie, imani yangu iambatane na matendo yangu kwa wengine.
@valenakomba9218
@valenakomba9218 26 күн бұрын
Sanaa.ni kweli . Bwana Mungu akutie nguvu zaidi.
@joycefaida6548
@joycefaida6548 27 күн бұрын
Ubarikiwe sana 🙏🙏,,,pia umenisaidia kuijua kwel 🌎🙏
@godyfashion7125
@godyfashion7125 27 күн бұрын
Huu ndio muda wa kuambiana ukwelii huu ndio muda wa kuiweka dhambi hadhalani huu sio muda wakufarijiana farijianaa sema paschal tenaa pigaaaa keleeeleeeee kwa kuitajaaa dhambiiiiiii kama ilivyoooo
@geitandelwa299
@geitandelwa299 26 күн бұрын
Yes ujinga umezidi mno
@misscesty5817
@misscesty5817 27 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa wangu..yaani kuna watu wanafaa kupigwa viboko ndio waelewe.
@AliceNgandu2023
@AliceNgandu2023 27 күн бұрын
Tuko mwisho waduniya Mungu akutiye nguvu mutumishi wa Bwana
@user-xd7gb9ub4t
@user-xd7gb9ub4t 26 күн бұрын
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Yesu kristo aligawa vipawa mbali mbali, Ipo siku cassian utafanyiwa deliverence na watumishi hawa unao wasema, ni suala la mda tu .
@gitongaz
@gitongaz 25 күн бұрын
Heli kupinga mapstor wa ukweli , kwa kukosa ufahamu wa kiroho kuliko wenye wanafahamu hawafanyi ukweli but wanapada dege kudaganya wakristo
@MwabilaElias
@MwabilaElias 26 күн бұрын
Mwnjilist paschal wew waisema kwel ,,,,,,hzi ni nyakat za mwisho endleaa kuisema kwel had mwisho ,,maan mtu kuelewa haya unayoyasema ni lazma awe anamjua mungu kwel kwl na sio kuokoka TU kwnda kanisan ,,,paschal mungu awe pamja nawe ,,,mtu weng sna wanaishia kuokoka TU na si kudumu ndan ya wokovu hakika waliookoka na kudumu ndan ya wokovu watakuelewa ,.
@MwabilaElias
@MwabilaElias 26 күн бұрын
Jaman paschal hajahukumu ila anasema kwl kutoka katka biblia takat tazam yohana 17:17
@furahag3098
@furahag3098 26 күн бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu mtumishi uzidi kufichua ukweli 🙏
@EstherJoshua-u6b
@EstherJoshua-u6b 27 күн бұрын
MUNGU Akupe Ulinzi wa kimbingu kaka yangu
@SolomoniNgulai
@SolomoniNgulai 23 күн бұрын
Hakika nyakati za mwisho ndio hizi imebaki tu yesu kurudi kunyakuwa kanisa
@agnessndabhalu
@agnessndabhalu 26 күн бұрын
Mungu Azidi kikupigia mtumishi 🙏🙏
@chantalmariesony2996
@chantalmariesony2996 25 күн бұрын
Niwa uongo awo wa pastor wakike
@jovettedenise2591
@jovettedenise2591 26 күн бұрын
Mungu akulinde🎉
@KeviNgailo-ex4wd
@KeviNgailo-ex4wd 27 күн бұрын
AMEN🙏
@patiencehumbled3519
@patiencehumbled3519 27 күн бұрын
Leo mahali nilikuwa kanisa Bishop amemtaja huyo mwanamke kama mtumishi wa uongo
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 27 күн бұрын
Mwanamke yup
@sarahmwadime850
@sarahmwadime850 27 күн бұрын
End times....tunaomba roho ya uvumbuzi
@lewistz
@lewistz 26 күн бұрын
Ihubiri kweli kivyako acha kunyooshea watu kidole Kuna muda shetani anamtumia mtu afu wasioona rohoni watamuamin pia😢😢😢, Hapo unatumia akili zako mzee kunyooshea watu vjdole sio moja ya kalama za roho mtakatifu, 1wakorintho12:1-11 Hapo paulo alijaribu kuwaelezea wakorintho sio wote tutakuwa na karama moja pia usisahau, Hata kama umepewa macho ukaona flan anachofanya ni kibaya mfuate umuonye sio kumdharirisha kwenye media kwa fikra zako wala huwez kumnyamazisha shetani kwa njia hii, Omba HEKIMA na BUSARA acha kutafutia kiki neno la MUNGU majina ya watu
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 23 күн бұрын
Sio kumdhalilisha nikumnyoosha aiache Njia yake anapoteza wengi
@FestoJemsi-lr8pw
@FestoJemsi-lr8pw 12 күн бұрын
G welcome
@womanofgod2217
@womanofgod2217 22 күн бұрын
Amen mutumishi Ubarikiwe.
@Taysonmick-q1f
@Taysonmick-q1f 26 күн бұрын
Mungu akubariki usikate taa fundisho unaweza
@paulbwanana7886
@paulbwanana7886 27 күн бұрын
Hatari sana
@esterabonga7947
@esterabonga7947 25 күн бұрын
Kumbe kuna makungwi wa kiroho na watu awasemi 😂😂😂
@user-ul2vc7od1w
@user-ul2vc7od1w 25 күн бұрын
pastor anasema kweli hayo sio mavazi yakusimama kwa madhau nakuubiri mkristo n barua inayo somwa na wengi unadhani watu wanasoma nini ka mavazi hayo yasiyo na utukufu mbele za Mungu
@veronicahkhaikwa4929
@veronicahkhaikwa4929 21 күн бұрын
Hata kama kuna watu mnapingana humu kusema ukweli haya mavavi mtu hawezi nihubiria nayo ,tofauti yake nami hamna ,siezi msikiza
@ElizabethMuia-ro9yh
@ElizabethMuia-ro9yh 26 күн бұрын
Yaani unayo yaogea ni kweli kabisaaaa
@colyndelwa1738
@colyndelwa1738 26 күн бұрын
Ukweli ambao kizazi hiki hatutaki kuusikia. Mungu atusaidie sana
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 25 күн бұрын
Makanisa ya mashetani yamejaa kila kona. Mungu atusaidie sana maana sio kitoto.
@RahelSalumu-pm9qx
@RahelSalumu-pm9qx 26 күн бұрын
Wanao coment , kukuvunja moyo achana nao piga injili, ubarikiwe sana
@AnnaMyala
@AnnaMyala 26 күн бұрын
Be blessed
@JustinKituyamaana-og3bg
@JustinKituyamaana-og3bg 26 күн бұрын
Kumbukumbu 22;5. Maandiko inayakataa kabisa. Nasiyo apa tu
@AthonySaimon
@AthonySaimon 26 күн бұрын
Duh! Yaan paschel unatuambia ukwl ila watu wanapuuzia!!
@patiencepaul2294
@patiencepaul2294 25 күн бұрын
Kweli kabisa...nyakati za mwisho izi😮
@JustinKituyamaana-og3bg
@JustinKituyamaana-og3bg 26 күн бұрын
Siku ni Matata Sana. Mpaka Christo atafika na wengi bila kujuwa
@fridberthahaule9489
@fridberthahaule9489 27 күн бұрын
Mungu atusaidie kt nyakati hizi za mwisho. Hata muonekano tu wa huyo mhubiri ni wa kuzimu,mbona jamani?
@user-pb3bx7rl6c
@user-pb3bx7rl6c 26 күн бұрын
Kweli kabisa mtumishi
@gitongaz
@gitongaz 25 күн бұрын
Pia swiming pool singine niza freemason watu wakingia wajionesha mwiili yao hekaru ya mungu , sinafutia dhabi sio kujifulahisha ,yaan shetani ameletakanisasaje na kusigeuza kuwa swiming pool ili wale hawapedi kweda kanisa hashikiwe apo ,then swimming pool watu hufanya ngono uko dani na mabinti ama wengine kuwa rappedwakifundishwa kuogelea
@user-xw8om1qd1g
@user-xw8om1qd1g 26 күн бұрын
MUNGU aturehemu
@johncharlessingano8551
@johncharlessingano8551 26 күн бұрын
Wewe HUMPENDI MUNGU
@BishopEllie
@BishopEllie 25 күн бұрын
Mtumishi mwenzangu, ifike mahali uchoke KUHUBIRI WATU NA MATATIZO YAO YA KUCHAKACHUA NENO...ILA UANZE SASA KUMUHUBIRI CHRISTO...ROHO MTAKATIFU ANAFANYA NINI LEO??? HAO WANAPOCHAKACHUA INJILI WEWE HUBIRI NENO NA BWANA ATATHIBITISHA KWA ISHARA NA MAAJABU. TWENDE KAZINI.
@Pendopasilika
@Pendopasilika 27 күн бұрын
Ameni ameeni
@chantalmariesony2996
@chantalmariesony2996 25 күн бұрын
Yes njo njia wako wanafanya nikweli kabisa
@Taysonmick-q1f
@Taysonmick-q1f 26 күн бұрын
Somen vitabu kubukub ratorat 22 5 timoseo wa kwanza 2 9 10 Hosea 2 13 yakobo 2 14 15 17 timoseo wa kwanza 2 4 5 wakorito wa kwanza 11 13 wakorito wa pir 5 12 13 14
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 19 күн бұрын
Watu hawajamuelewa shetani naibaadazake nikua angamiza jamiikubwa yeye hujaribu kushindananawatu waMungu.maandiko yakowazi endelea kutukumbusha kweli yazMungu mchungaji....
@LizyKinabo
@LizyKinabo 21 күн бұрын
Wacha aseme watu wapone maana wengi wanaangamia kwa kutokujua
@gitongaz
@gitongaz 25 күн бұрын
Sasa imagine mtu akikuja kuokoka anakuta pastor akionesha hips na panti si atadhani wanaokoka wakiwa wawili
@janethdavidsanga5999
@janethdavidsanga5999 26 күн бұрын
Kaka unatuchanganya wacha kila mtu aamin anacho amin,maana unatuvuruga
@gitongaz
@gitongaz 25 күн бұрын
Wagojwa wamevaa kwa adabu kushida uyo dada
@neemaneychricious6493
@neemaneychricious6493 25 күн бұрын
Wew fanya kile umeitiwaa acha kupotosha watu kuwachanganyaa mana yakwako mbna ucyaweke wazi kila mtu kaitwa kwa nafasi yake anafanya kile ameambiw na aliyemtuma hawez fanya unachoongea atafanya alichoambiw utapamban na Mungu bila kujua unapambna na Mungu aliyewatuma
@FestoJemsi-lr8pw
@FestoJemsi-lr8pw 12 күн бұрын
G welcome
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 25 күн бұрын
Wahubiri wa.sasa biblia hawasomi jaman.biblia hawasomi mnaosoma.hubirini kweli msichoke jamani sio kila vazi mcha.Mungu.atavaa sio kila kinywaji mcha Mungu anaweza kunywa ivi hawa.wadada watumishi kwamba hawajui kabisa kuwa suruali kwA mwanamke ni.vazi la kikahaba da wamefungwa kufungwa gani wadada.nyie watumishi mnatia huruma shetani anawatia aibu mkutane na neema kama kweli mnahubiri kweli acheni misuluwali kama mmetumwa na mafreemason.muiharibu Tanzania hamtaiweza Tanzania
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 27 күн бұрын
Cku hiz tumekuwa wavivu saana kuomba kma Biblia inasema tumtake yeye na nguvu zake...tumtafute uso😢.lait tukiomba kwa bidii macho yetu ya rohon yatafunguliwa...😢atutasumbua watumish waongee saana kuhus uwongo wa manabii.kabla ajamtaja unamjua n mtu flan Roho mt. Atakuwa tayr alishakwambia
@user-xw8om1qd1g
@user-xw8om1qd1g 26 күн бұрын
Watu wanapenda Sana mteremko
@Visionofeagle9689
@Visionofeagle9689 27 күн бұрын
Yezebeli , wajinga ndio waliwao.🥹
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 25 күн бұрын
Wanang'ang'ania din wokovu hawataki.mwe.inauma.sana biblia inasema mwanamke kichwa chake kiwe.kama.cha.mwanaume.maana.yake asijipambe.au.afunike.kichwa.chake.jaman.tutataman.milima.itufunike.da.haitawezekana mbona.uhuru.umezidi.mawimbi.ni.mengi.sana
@AdamJonas-sx4mi
@AdamJonas-sx4mi 27 күн бұрын
Jamani muwe munapost na ya makanisani kwenu ili tuone munacho ongea kinatokana na Mungu? Munaponda wengine yamakanisani kwenu hatuyaoni ili tujifunze harafu unatumia hasira inayokaa kifuani mwa mupumbavu.
@Elizabeth-777-r3p
@Elizabeth-777-r3p 27 күн бұрын
Mbona matusi
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 27 күн бұрын
​@@Elizabeth-777-r3pYahn asira kma yote....C muombe muingie magotini MUNGU n mwaminifu sana awape macho ya rohn
@rhodamaha1637
@rhodamaha1637 26 күн бұрын
hivi wewe kama hutaki kupona nyamaza kimya anayongea mrumishi ni kwwki tuou
@Rashid-vm1fk
@Rashid-vm1fk 26 күн бұрын
Huyu atakuwa bila shaka mmoja wa muumini wa manabii hawa, Tumuombe Mungu macha ya rohoni ili tutambue miujiza hii
@jameskilasa759
@jameskilasa759 26 күн бұрын
Kwan huoni hapo kapost yuko kanisan
@hegikibaby1120
@hegikibaby1120 25 күн бұрын
angalau wewe una uthubutu wa kuwambia ukweli hadharani. watumishi wengine wanaogopa kukemea ushetani unaofanyika
@ramseyngwejela499
@ramseyngwejela499 26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mengindegeya2780
@mengindegeya2780 27 күн бұрын
Brother kwa muonekano kweli huyo ni kungwi wa makungwi anakungisha ndoa duuuuuu!!!!!;;;;;!!!!!!!!!
@dh-bioproducts8205
@dh-bioproducts8205 27 күн бұрын
Kassian ingependeza kama ungetuonyesha kazi zako na miujiza Yako. Uwaache watumishi wenzako wenye upako wanaowagusa watu wanaanguka.
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 27 күн бұрын
@@dh-bioproducts8205 nani kakwbia kuanguka kunaonyesha upako?umesoma wapi kwenye biblia mahali upako uliwangusha watu wasiyo na mapepo?
@roselyimo3676
@roselyimo3676 27 күн бұрын
Hatujakataa wanatumiwa na shetani ila tunataka kujua wewe una lipi jipya na una jina lipi ambalo linalutofautisha nao??? Wote mnatumia jina la Yesu na unajiona uko tofauti nao?????😊😊😊😊😅😅
@user-ol4my2mx1u
@user-ol4my2mx1u 27 күн бұрын
Mungu akusaidie upate kutambua utofauti wao
@roselyimo3676
@roselyimo3676 27 күн бұрын
Hakuna utofauti wowote kumbuka kabla kuwako Yesu walikuwapo waliofunga agano akina mfalme Daudi lakini Mungu alileta jina jipya kwakuwa giza linakuwa limetanda. Hawezi kuendelea na jina lile lile​@@user-ol4my2mx1u
@Namtumbo
@Namtumbo 27 күн бұрын
Wengi watakuja kwa kina langu wakisema madiya,msidanganyike Mungu atupe macho ya rohoni,
@johncharlessingano8551
@johncharlessingano8551 26 күн бұрын
We Nyamaza usiongee tena
@kayombotv9758
@kayombotv9758 27 күн бұрын
Sasa wewe utachunguza mangapi mbona hueleweki zunguka Tanzania nzima uhubiri wewe tuu maana wengine hawafai.
@FestoJemsi-lr8pw
@FestoJemsi-lr8pw 12 күн бұрын
G welcome
@elijohofficial1049
@elijohofficial1049 25 күн бұрын
we unatafuta hela youtube tu😂😂 huna lolote
@FestoJemsi-lr8pw
@FestoJemsi-lr8pw 12 күн бұрын
G welcome
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 26 күн бұрын
Yaani anachoniuzi huyu kaka yupo kama falisayo mwache Mungu atawahukumu mwenyewe maana wewe kila mtumishi mbaya na kwanini wewe unajihesabia haki sana
@Rashid-vm1fk
@Rashid-vm1fk 26 күн бұрын
Kwahiyo unataka asifie uovu? Kama itakuwa ww ni miongoni mwa wapenda miujiza, soma mandiko tuwatambua kwa matendo yao ambayo hayaendani na Neno la Mungu
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 26 күн бұрын
Yesu akufumbue macho tuko nyakati za mwisho Sana.
@user-xd7gb9ub4t
@user-xd7gb9ub4t 26 күн бұрын
Kabla ya kutoa kibanzi kilichoko Kwa jicho la mwenzako hebu ondoa bolt ndani ya jicho lako....Enyi wanafiki...hili ni agano jipya dhambi haiondolewi Kwa kukemea, utakemea wangapi? Ujue Yesu alirahisisha sana C's hatupo chini ya Sheria, wafundishe watu Neno Ili wampokee Yesu kristo yeye ndiye atakaye yabadilisha maisha Yao sio wewe, ndio Maana injili ni uweza wa MUNGU it means ndani yake kunauweza wa Mungu wa kubadilisha. Agano la kale ndio waliokuwa wakipiga kelele C's roho alikuwa hakai ndani yetu, ndio Maana wakina Nabii Isaya waliambiwa wapige kelele Ili watu wabadilike na kuyaishi mapenzi ya MUNGU, C's watu wengi Leo hii hakuna asiye ijua dhambi ila issue ni kuishinda dhambi hata kama utawaeleza lakini kama hautawajenga katika misingi ya neno la MUNGU kwaajili ya kuufisha mwili bado wataanguka dhambini so wafundishe Neno Ili roho ipate Nguvu ya kuushinda mwili ( warumi 8:6) C's Sheria iliishindwa dhambi sababu ya mwili, kwa hiyo adui yetu wa kwanza ni mwili na sio watu, Kwa hiyo Ili tumshinde shetani tunahitaji kupata Nguvu za roho C's shetani ni roho, ndio Maana Neno linasema zichunguzeni hizo roho na sio watu, Kwa hiyo MUNGU atufungulie milango ya fahamu ya rohoni, hii ya mwilini haitaweza kumshinda adui,C's adui ni roho, sasa watu wengi wanasoma Neno la MUNGU Kwa kutumia milango ya fahamu ya mwili ndio Maana wanachanganya mambo hata Yesu alipatashida sana watu walimwambia eti anatumia pepo kuwafungua watu, na hao walimwambia ni watumishi kama hivi Leo mnavyo waona Hawa wanavyopinga ni mfano wa mafarisayo Kwa Maana ya watu wa Dini, hebu tubadilike kukemea dhambi ni sawa lakini kumbuka maneno Yako ya kuwakashfu wenzako hayawezi kuwabadilisha watu ma elfu Duniani Mwenyezi MUNGU alilijua hilo ndio Maana akatupa msaidizi ambaye ana uweza wa kuwabadilisha watu kwakuhubiri injili yenye uweza ndani yetu, kuwafungua watu wenye vifungo mbalimbaluli na kuwafundisha Neno, Soma Matendo ya mitume 1:1 utaona Yesu kristo alifundisha na kufanya, sasa hilo suala la original na feki ni lako wewe kujibidiisha katika Neno Ili roho wa BWANA akuongoze, MUNGU awabariki sana na kuwatia Nguvu.....❤
@NataliaPetro-ej7bf
@NataliaPetro-ej7bf 27 күн бұрын
Bhan eeh shetani atamtoaje shetani mwenzake kwanza kazi ya kuhukumu sio yetu nikazi ya Mungu kila siku ni kusema watumishi fungua kanisa ufundishe hiyo kweli hata yesu alisema tutafanya zaidi ya hayo sasa nyie mwataka wafanye nini fundisha yako yaliyo ya kweli
@godyfashion7125
@godyfashion7125 27 күн бұрын
Samahani wewe kama ni BABA mtoto wako akiendaa kinyumee na kanuni zako utamuachaa kumuonyaa na kumkea kwa kuogopa utakuaa unahukumu ... sikiliza kukemeaa na kuhukumu ni vitu viwili tofauti ..ni kwelii kabisaa watumishi wengi wa makanisani wanamionekano ya KIKAHABA kwani uongo lazimaa ukweli uzungumzwee bwanaaa
@dh-bioproducts8205
@dh-bioproducts8205 27 күн бұрын
Kwani wanapaswa kuvaa nini? Na je wazungu waliotuletea dini wao wanavaaga nini. Tumwache Mungu abaki kuwa mhukumu kama alivyosema ktk kitabu chake. Wewe ni nani uhukumu watumishi wa Mungu? Mtumishi,ingependeza kama ungedeal na kufundisha kile ulichoitiwa na kuendelea kulitangaza jina la bwana pamoja na Injili yake, na sio kuendelea kuwahukumu watumishi wenzako. Kila.mtu ameitwa kitofauti na amepewa maelekezo tofauti
@gitongaz
@gitongaz 25 күн бұрын
Huyu pastor anafanya kazi nzuri sana but yesu akufanya Ivo ,alionya watu hakutaja mtu yeyote but huyu anaoneaha video za watu na sio vzuri, yesu alisema mwenye macho aone na mwenye Akio asikie so watu Dio wanapashwa wajiaemee kwa roho Sio kuexppose, hio unataka hekima nyingi sana
@gitongaz
@gitongaz 25 күн бұрын
Mwabie afanye picha ikue cartoon na asitaje jina la mtu,watu wataelewa ni kina nani
ANASTAZIA MKABWA HUO NI UMARAYA  UNAFANYA EV PASCHAL AMJIA JUU
1:14:45
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 10 М.
JAMAN DUNIA IMEISHA MAKALIO YATESA KANISA  WACHUNGAJI CHALI EV PASCHAL CASSIAN
43:07
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 7 М.
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 58 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 19 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
SIRI NZITO ZA MANABII WA UONGO ZA FICHULIWA  WAIBIKA  HAZARANI  EV PASCHAL CASSIAN
1:02:31
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 62 М.
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 73 М.
CASSIAN ALIONYA CANISA LA WASABATO LIMEPOTOKA KUJIUNGA NA MNYAMA 666 EV PASCHAL CASSIAN
1:02:18
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 20 М.
KATI YA HAWA NANI MTUMISHI WA KWELI? EV PASCHAL CASSIAN
50:34
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 9 М.
CASSIAN AWAPA ONYO MKUU WAMKOA NA MWAMPOSA KUUNGANA KUPOTOSHA EV PAACHAL CASSIAN
1:13:37
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 22 М.
SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE
31:10
Девушка ограбила мажора, но…😳
1:00
Trailer Film
Рет қаралды 8 МЛН
Фильм про побег от родителей
0:59
Holy Baam
Рет қаралды 4,2 МЛН
ХОТЕЛ ПОТОПИТЬ ДЖЕКА, НО НЕ ВЫШЛО
0:51
Tasty Series
Рет қаралды 1,1 МЛН
Девушка ограбила мажора, но…😳
1:00
Trailer Film
Рет қаралды 8 МЛН
Matt Kills Dexter's Deer | Dexter: New Blood S1E1 | #Shorts
0:51
Clashed PR
Рет қаралды 24 МЛН