Eeh ysu tuhurumieeee!!!! Tumekosa sana!! Mmhhh! Tusamehe waimbaji, katika wingi wa ghadhabu yako kumbuka rehema
@phaniceariviza43999 ай бұрын
Ni kweli mama tunahitaji rehema ila lazima tuchukue hatua za kutubu na kuiacha dhambi
@paschalcassianoriginal94119 ай бұрын
BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA
@paschalcassianoriginal94119 ай бұрын
BWANA AKUKUMBATIE MTUMISHI NINA IMANI UPO DUNIANI ILI KUWA KIELELEZO KIZAZI HIKI KINA KUTEGEMEA SANA MAANA USHA ACHA ALAMA MYOYONI MWA WENG NA KUOMBEA
@esterpeter85569 ай бұрын
Mama nawewe sikuizi kuvaa kwako mmmmmh!
@simonmdune90669 ай бұрын
@@esterpeter8556😂😂WWE unatabu aky
@ngugimundia63069 ай бұрын
Tumbua...mtumishi hawa ni wasanii si watumishi...kemea kabisaaa...kutoka kenya 🇰🇪 tunasema ubarikiwe!
@phaniceariviza43999 ай бұрын
Wachungaji wengi kenya wako biashara
@furahag30989 ай бұрын
Kweli kabisa mtumishi tunakubaliana na wewe mmi ni mkenya umefanya vizuri eka wazi Amen mungu akulinde azidi kukupa ufunuo huo god bless you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lydiahnabwire1289 ай бұрын
Aki bahati na willy paul wamezidi kuaribu kizazi hawa watu wawili wangefanya vijana waokoke but😢😢😢😢😢
@dorcasasia28199 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kweli mtupu hii ni sodoma na gomora ee BWANA YESU tusaidie na utuokoe
@gahungubertin12149 ай бұрын
Ni wengi sana kenya baba, wakina madame twendi twendi(2020), tena uzinifu unapita kipimo kenya, iwe kwa wa kristo ao kwa wapagani hakuna utofauti...Mungu aturehemu kweli
@estermalembwamalembwa19368 ай бұрын
Mtumishi cassiani ubarikiwe kwa ujasiri ulionao kama Simba ukiunguruma na kusema ukweli bila kuogopa kitu chochote mtandaoni oohaleluya umenifurahisha sana
@elibarikimollel71499 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu kemea kwa nguvu zote maana ukikaa kimya kama hao wengine utatoa hesabu mbele zake! Kumbuka Hata hapa Nchini walitokea,mfano: mfalme Zumaridi lkn si kwa sura ya ushoga...
@happnesskitumbo57139 ай бұрын
Kaka cassian, biblia inasema tutawatambua kwa matendo yao hao ni maagent wa ibirisi 100%.
@BerylSeer19 ай бұрын
Arambwe, Mungu Mkuu amhurumie, pastor mimi ni mtumishi Mungu Mkuu anasema Kenya 🇰🇪 itaanguka kwa janga
@yohanamp-ec7im8 ай бұрын
Hakika tunge kuwa na watumishi wengi wanao tumiwa na mungu kama pascal na amin maelfu wangebadilika lakin injil za saiz watu weng wanahitaji kubembelezwa na kutabiliana jinsi kua matajil. Ndugu zangu lazma tujue yesu amekalbia saaana kulud. Mungu tujaze nguvu tusikose kweny unyakuo.
@SarahMauka-ii1gd9 ай бұрын
Mungu wangu
@benjaminmahega9 ай бұрын
Mungu tusamehe watoto wako tumekosea sana waimbaji tumesahau nafasi yetu
@user-ii1qk9xn9z9 ай бұрын
Umebarikiwa kuwaliko wote mtumishi... uko na upondo wa ajabu kwa wote... maana bila upendo huwezi kuwaonya na kurekebisha kizazi hiki kilichopotoka. Wachungaji wengi kenya wapo tu kwa sababu ya faida zao. Mungu msaidie mtumishi kuona kila mtu kupitia macho yako. Na uwasaidie kukuona kwa mtumishi wako eeh Bwana. Naomba Amani, furaha, upendo na subira vitaongoza. Kwamba wema utakuwa masahaba; uaminifu huo utakuwa kauli mbiu, na upole vikaonekane kwa wote.... Mungu awe pamoja nawe mtumishi.
@paschalcassianoriginal94119 ай бұрын
Aaamen amen
@BintiMwambapa-ev6kw9 ай бұрын
Bwana YESU azidi kukutunza mtumishi
@user-ro1tg1zn2j9 ай бұрын
Ee Mungu turehemu Wana wako tusikengeuke na kuifuata mambo ya dunia hii 😢😢
@LameckLameckmjwanga9 ай бұрын
Kabisa nidhahilikabisa hakunajambo litakalositilika ambalo halitafunuliwa amina mtumishi
@davidwambura59159 ай бұрын
Sio Bahati tu hata Guardian Angel.
@Crabtree18449 ай бұрын
Eti kuna mwingine aitwa 'Guardian Angel?' Ndoto kutoka shetani.
@BerylSeer19 ай бұрын
Huyo ni guardian angel na pia willy Paul
@Crabtree18449 ай бұрын
Nena kwa sauti kuu, Mtumishi. Mungu ainuliwe na tabia nzuri. Asante
@sarahkishaluli60879 ай бұрын
MUNGU wa rehema aturehemu,ni kweli huwezi kumtambua mtu kama hana cash, na pia huwezi kumtambua mtu mpaka awe katikati ya wengine, ni kwamba wengi tunajidangaya eti Mungu haangalii nje kwa kuwa eti mwili wa nje unabadilika yaani sisi wanadamu ni wapumbavu kama YESU KRISTO alivyowaambia mafarisayo (Luka 11:40) alisema "Enyi wapumbavu; aliyevifanya vya nje,siye yeye aliyevifanya vya ndani pia?", tuache ujinga mwili huu tuliopewa si wetu ni hekalu la Roho Mtakatifu anaishi ndani yetu( 1Wakorintho 6:19) "Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
@addamsuleiman86679 ай бұрын
Amina
@paschalcassianoriginal94119 ай бұрын
❤❤amen
@TuaircachimoNantola-po7oo9 ай бұрын
Amina
@Rashid-vm1fk9 ай бұрын
Sema kweli maana watu wamechanganyikiwa shetani amewateka watu kwa fedha na kufanya watu wamuasi Mungu,Ee Mungu tusaidie
@ClovisMushagalusa-b7vАй бұрын
Asante kwamafundisho mungu azindikutiya. nguvu
@diana56-lorient9 ай бұрын
Asanti sana mungu, ubarikiwa sana MTUMISHI 🙏🏻 🙏🏻 🙏🏻 ❤❤
@Crabtree18449 ай бұрын
Umesema ukweli mtupu kuhusu wanaojiita wachungaji nchini Kenya. Wao ni kundi la walimwengu, wanaojihusisha na uchawi, wake wengi, na wanavaa kama wale waliopagawa na mapepo. Jambo la kusikitisha zaidi ni kwamba washarika wanawaruhusu kuwawekea mikono. Huwezi kupata mchungaji kama Yohana Mbatizaji ambaye alimwambia Herode ukweli kuhusu uhusiano wake na Herodia.
@joannekesa18359 ай бұрын
Amen amen mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
@michaeljm-dz7nh9 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji 🙏
@agnestunu55279 ай бұрын
Sio kenya tu dunia nzima,inafanya matukio ya ajabu sana Mungu turehem
@joannekesa18359 ай бұрын
MUNGU aturehemu na atuongoze amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
@judithnakoli9 ай бұрын
Kwa sababu ya mahubiri potovu watu wamepokea wokovu feki, Roho Mtakatifu anapokaa ndani yako hawezi kukuongoza kuvaa jaini, rastafara, kanisani, hao wanamatatizo na Mungu.usiano wao sio Muzuri
@TuaircachimoNantola-po7oo9 ай бұрын
Asante mungu anisaidie nimalize salama safari ya kwenda kwake, nikiwa Moçambique nayapenda sana mafundisho ya bwana.❤
@salesianamlowe17519 ай бұрын
Mungu atuhulumie
@johnngana72078 ай бұрын
Amen
@samisaya98199 ай бұрын
Amina Mtumishii wa Bwanaa
@noelmbosa27369 ай бұрын
Mungu atusaidie, pekeyetu hatuwezi,hivyo barikiwa sana baba
@elizabethnzula67049 ай бұрын
Kweli kabisa hawaeleweki wanaenda wapi ama wanamtumikia nani
@ABIGAIL67-tria2 ай бұрын
Waaambie mtumishi,,sisi wakenya tukisema tunaambiwa tuna wivu na mafanikio ya wengingi.🥲💔
@estherwairimu87609 ай бұрын
Imagine afadhari wache kuwazia na nyimbo injili waazie nanyimbo za dunia because wanalihaibisha kanisa la mungu
@rogersjoseph73638 ай бұрын
Waimbaji wengi wamegeuka na kuwa vibaraka vya kuzimu badilika mala moja yesu anarudi yeye ajaye anakuja wala hatakawia
@nancyfamilysharesmoments76348 ай бұрын
Yani Mimi nilinyoa nywele zangu jamani nilikuwa mbishi Mungu hataki nisuke nilivyolazimisha hahaha nikisuka nasukwa hovyoo napoteza pesa yangu aah nikaamua kutii na kunyoa nikaacha kupaka mavipodozi malipstik nikaacha Bwana Yesu kanitengeneza nilikuwa siwezi kuacha ahsante Yesu, vipodozi, mavazi ya hovyo na kusuka huendi mbinguni mwanamke.
@neemamsanga25319 күн бұрын
àmina 🙏
@lilymwashumbe48907 ай бұрын
Mungu akubariki tunaendelea kutubu ili Mungu aturehemu
@maryandason18158 ай бұрын
Amen blessed❤
@OyengelaMariam-wk6qm9 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi Mungu aturehemu
@lawmaina788 ай бұрын
Shukrani sana nduguye.
@ElizabethMuia-ro9yhАй бұрын
Bahati agemuoa mwanamke mucha mungu,ata wa waleo agekuwa ana mtukuza Mungu but akapatana na mpeda rahaha
@akothchristine47529 ай бұрын
You are right God bless you so much
@erickrao8 ай бұрын
Amen 🙏 man of God 🇰🇪 asante napenda ukweli wako
@faridashabanifaridashabani59509 ай бұрын
Amina sana baba Mungu atuongoze sana
@martinahlighare64959 ай бұрын
Hao ni wana wa giza, alama ya Mungu iliwatoka.
@annijulius49539 ай бұрын
Mkristo utafugaje nywele kama mwehu kwanini ku act kama mad person wakati uko mzima? Kuna Nguvu chafu inawasukuma wa chane hiyo style.
@IsayaBienvenu9 ай бұрын
Good
@gracegasper66949 ай бұрын
Amina!
@joramndirangu22639 ай бұрын
No pastor here in Kenya can say that .washirika watakimbia
@user-qf9uj2oc1b9 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu 🙏
@selinageogre28819 ай бұрын
Mungu aturehemu sana ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@cristinarashid12459 ай бұрын
Ameen
@jovettedenise25919 ай бұрын
Ubarikiwe sana paschal.
@laickwilinerd53759 ай бұрын
Piga kelele usiache pazasautiyako kama tarmbeta uwambie watu wangu kosalao 🙏🙏
@estonmnthali37199 ай бұрын
Amen 🙏
@JedidaNdutuu-ys3lx4 ай бұрын
Tuombeeni sisi, ushonga umejaa nchini Kenya,
@doricemrema21779 ай бұрын
Eee MUNGU mwenye rehema uturehemu,,,utupe moyo wa kupondeka na kunyenyekea MBELE zako BWANA YESU KRISTO,,,,weka hofu na woga ndani yetu tukuogope wewe zaid kuliko kuwaogopa wanadamu,,,,tukimbie dhambi,,na tukukimbilie wewe YESU KRISTO TUBADILIKE KATIKA ROHO,,NA KATIKA MWILI PIA.
@AyubuFumbi8 ай бұрын
Kaa jamani sema
@margretchipkwemoi82978 ай бұрын
Asante mtumishi ume gonga ntipo mungu akuinue 😭🖐️
@sarahjacobs88148 ай бұрын
Wala sisikii gospel ya Kenya maana hakuna
@BoscoMbungu9 ай бұрын
Kwakweli unatufunulia mengi, ubarikiwe baba Casiani
@user-dc8xl3ti2d9 ай бұрын
Huyu Mungu aturehemu sana maana tunasikia lkn ni kama hatusikii au kuona jaman jaman 🙆🙆🙆🙆🤷🤷🤷🤷🤷🤷🙌🙌🙌🙌🙌
@bonfaslazaro22899 ай бұрын
Sema Baba tunakuombea
@Nani-ww8yg9 ай бұрын
T Aman of God you are saying bitter truth Expose them they are many hiding like guardian angel namushangaa huyo mwanaume hadi anatapoa masikio end times
@user-rj2sh1hg4f2 ай бұрын
Mchungaji nimekubaliana na wewe unasema kweli kabisa linet Mimi ni mkenya siezi tetea dhambi
@geoffreyembasa84836 ай бұрын
Samson,John the baptist wore dreadlocks. Everyone in Nazareth,all Nazarenes like Jesus wore dreadlocks. Waafrika tembeeni mataifa mengi muone na kujua mengi
@Farajahelene230318 ай бұрын
Diana shes not good wife for bahati
@elmasroj97129 ай бұрын
Eeeh Bwana katika wingi wa gadhabu yako kumbuka rehema
@sarahjacobs88148 ай бұрын
Umesema kweli kabisa Kenya waimbaji hamna MUNGU atuokoe
@AlfredMilinga8 ай бұрын
Ubalikiwe.onya kalipia kemea dhambi kabisa
@geoffreyembasa84836 ай бұрын
Bahati alivalishwa marinda 😅😅
@user-qq8bk8iv7l3 ай бұрын
Hiyo ni ukweli kabisa
@daudilangat61237 ай бұрын
Pastor kale kajamaa kanaitwa bahadi ni kaajendi kaa shetani kaambie ukweli
@estherwairimu87609 ай бұрын
Nikweli kabisa amepotoka kabisa
@farajafleva9 ай бұрын
Waimbaji wengi wanaodai kuwa kwa yesu hawapo naye tena
@carolinederi56908 ай бұрын
By the way tusiangalie waimbaji tu though ni role model ila kila mtu atabeba msalaba wake so tujiengalie pia
@brighterantony87079 ай бұрын
Ee Mungu tunusuru tumekosa tusamehe kumbuka rehema
@faridashabanifaridashabani59509 ай бұрын
EeeMungu nisaidie nimalize huu mwendo salama😢🙏🙏🧎🧎
@lydiaaruba66708 ай бұрын
Bahati alikuwa amesimama hadi pale Hawa alipopindua maandiko kule Bustani akampa tunda😂my Kenya land sihami😂Ila SIO KENYA TUUU NI DUNIA YOTE
@Dukeswanya-vm7cb9 ай бұрын
Cassian, ni ukweli mtupu unasema. Kwa mfano humu Kenya kuanzia Disemba watoto watakaozaliwa wataanza kupandikiziwa Micro-chip
@lucywilson58759 ай бұрын
Mungu wangu!!!!!!!!!!!
@carolinederi56908 ай бұрын
It will not happen in Jesus name we demolished every evil plan upon our country