MILANGO YA KUINGILIA MAPEPO MAJINI MSHETANI EV PASCHAL CASSIAN

  Рет қаралды 104,991

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE

Жыл бұрын

#paschalcassian #call0688199370 #watsp_status #

Пікірлер: 226
@benithomligo9074
@benithomligo9074 Жыл бұрын
Ninani awezaye kunena injili ngumu kama hii kwa kizazi hiki, Mtumishi Mungu akutie nguvu ,
@furahajastin8649
@furahajastin8649 Жыл бұрын
Hakika mtumishi 🌲 wenye matunda ndiyo hupingwao mawe.tufundishe maana tunaangamia kwa kukosa maarifa
@elizathomas7442
@elizathomas7442 Жыл бұрын
Wapo ndo huyo moja wapo mpdwa
@FrankwasafiJustin-fn6pm
@FrankwasafiJustin-fn6pm Жыл бұрын
Mungu pia akurinde kwa sababu mimi niliona kama hivyo unavyo sema hii injili imenibadirisha maoni na muelekeo
@ElizabethMakwaia
@ElizabethMakwaia 12 күн бұрын
Barikiwa mtumishi. Sio wengi wanakwenda vivijini kuhubiri kwa kuwa hakuna sadaka. Lkn wewe unahubiri neno la uzima na wala sio maokoto. Hakika barikiwa na Bwana wetu YESU KRISTO MNAZARET ALIYE HAI. AMEN.🙏
@MorineKamwera
@MorineKamwera 5 ай бұрын
Natamani sana Tanzania ingekuwa hata na wasema kweli ya Mungu ata watano walio kama wewe tusinge kuwa hapa tulipo.... maana mda mwingine mpaka nafikiria kuwa hivi Mungu alisha tuacha kwenye nchi hii ...kwa sababu ya uwepo wa Roho zote chafu zitokazo kuzimu... nawaomba sana watanzania wenzangu tushikamane pamoja katika kuiombea nchi yetu ya Tanzania ili istawaliwe na manabii wa uongo na Mungu atawabaliki sana ..Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@irenejoram8687
@irenejoram8687 22 күн бұрын
Barikiwa mtumishi, hakika wewe ni mtumishi wa Mungu aliyehai
@daisyakhini9331
@daisyakhini9331 Жыл бұрын
Ameeen, Ameen mwinjilist, nakupata vyema sana, mungu azidi kukaa ndani mwako na kukufumulia zaidi, acha tumushukuru kwa makuu yake, alikua na kusudi kukutoa pale na kukurudisha kwake ili uponye roho zilizo kaa kwa giza, Amen barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@jemaluvanda9443
@jemaluvanda9443 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishii namm nlkuwa uko lakin tang naskiliza mahubiri nmebadrika Mung akubarikii sana
@christopherkaroli9365
@christopherkaroli9365 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu anayehubiri kweli ya neno la Mungu anajulikana tu, Mungu akutie nguvu mtumishi uendelee kuinena kweli yote.
@shukurusyriack3504
@shukurusyriack3504 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mtumish wa Mungu, najua unapitia wakati mgumu katika kazi hii Mungu akutie nguvu sana na akuwezeshe kuongea ukweli wote
@honeyshemweta1166
@honeyshemweta1166 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU sema kweli yote wengi watakushambulia lkn kaza buti BWANA YESU yupo pamoja nawe, achana nao wanaotaka mafundisho yakubembeleza pasuaaah Mimi nakukubali sana. MUNGU akutunze
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Жыл бұрын
Yes pascal wewe ni Mhubiri wa kweli! Mola akutangulie, akutetee
@mauwasafi3430
@mauwasafi3430 11 күн бұрын
Barikiwa sana baba wangu mungu akulide sana
@christinamkongwa3407
@christinamkongwa3407 Жыл бұрын
Mungu Akutunze ,Akulinde ,akuzingilie Kila Mahali ,Ulinzi wa Mungu Baba uonekane kwako Kila saa Kila Dakika Mungu awe Mwaminifu kwako Asikupungukie Milele Ameni
@simonlaizer6261
@simonlaizer6261 Жыл бұрын
Asanteeeeeh 🙏 bwana yesu Kwa kuwafunuli watumishi wako mambo haya
@bahatikinyamagoha3703
@bahatikinyamagoha3703 Жыл бұрын
Hakika mungu awe nguzo ya roho yako hakuna anayeweza kusema kishujaa namna hii mungu akubariki sana mtumishi akupe nguvu ili wasikie walio potea amen
@kaburajeanmarie1030
@kaburajeanmarie1030 Жыл бұрын
Mungu akubariki na akulinde,mtumishi, ni nyakati za mwisho , Mungu akubariki
@pastorisraelhaki3426
@pastorisraelhaki3426 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu, hio ndio kazi tunayo ifanya hapa namibia, tunapingwa mchana kutwa, tunaitaji maombi yenu.
@AnneCherotich-gj9eg
@AnneCherotich-gj9eg Жыл бұрын
Mchungaji usiwaogope waabudu mapepo au shetani wasikiapo mahubiri mazito, yenye nguvu na ukweli bayana kama huu utakapowafikia .Simama imara na itetee injili ya kweli ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa unabii ulioandikwa na kutabiri nyakati umetimia na nyakati hizi ni hatari na za mwisho.Ole mimi nitakaye ghairi injili kama hii kwa maana ipo siku,injili hii haitakuwepo tena.Thank you Lord for using your servant in a very special way amen. 🙏
@saramuna1173
@saramuna1173 Жыл бұрын
Huyu Mtumishi yuko sahihi .. Mungu akulinde na kukuficha maana vita yako ni kubwa kwa vile unausema ukweli
@annerdograsipetro4941
@annerdograsipetro4941 Жыл бұрын
Mtumishi nakuelewa sana Mungu azidi kukuinua unatufundisha vitu ambavyo atujawai kufundishwa
@ayubujoseph
@ayubujoseph Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU Kwa neno zuri la MUNGU hakika ni injili yenye ufunuo mkubwa sana kuhusu Dunia ya Sasa, MUNGU atujalie kuishinda Dunia hii na tutashinda katika Jina la YESU KRISTO Amen.
@advelalumanyika5754
@advelalumanyika5754 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU unanibariki mnoo kwa neno
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 Жыл бұрын
Amen
@estonmnthali3719
@estonmnthali3719 Жыл бұрын
Amen Amen powerful preaching 🙏
@dainesykalinga7133
@dainesykalinga7133 Жыл бұрын
Amen Amen Barikiwa mno Mtumishi kwa Mungu.
@thomasmtindya6477
@thomasmtindya6477 Жыл бұрын
Mungu akulinde kila wanao kuwazia mabaya Mungu akawageuzie kibao
@irenekiwale5352
@irenekiwale5352 Жыл бұрын
Ahsante kwa ujumbe mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana jamani.
@leontinebinlydi9459
@leontinebinlydi9459 Жыл бұрын
Amina kubwa mtumishi usemayo nikweli kabisa baba 🙌🙏Mungu akubariki sana 🙌🙏
@michaelwanyanga
@michaelwanyanga Жыл бұрын
In every step we take Jesus is ahead of us. Let's not give up because of some hindrances put ahead of us. Jesus is aware of our situations. Ev. Paschal Cassian, I'm in touch with you in preaching the Gospel of Jesus Christ. Holy Spirit take more of us and give more of you, in Jesus' name.......!!!
@veronikampate9848
@veronikampate9848 Жыл бұрын
Mungu akbariki tumishi wa mungu usiongope kulisema neno la mungu nakupenda sana natamani uje serengeti 🙏🙏🙏🙏
@marianapeter861
@marianapeter861 Жыл бұрын
AMEN MTUMISHI WA MUNGU mafundisho yako yananifungua Sanaa ...endelea kutufundisha tupone.
@ElishaMwashiuya-rz4dn
@ElishaMwashiuya-rz4dn Жыл бұрын
Mungu akubalik sana maana kizaz hik hakuna awezae kuhubli injli iliyo kwel , nakwambia ukweli kwamba atatokea mutu wa kuhubli kweli tena Hadi kizaz chako Cha nne4 hatakama utajua haupo utaona huko uliko, mungu akubalik milele amina
@macrinycostantine4821
@macrinycostantine4821 Жыл бұрын
Hakika namshukuru Mungu kwakwel urembo umenipita kushoto nilitobolewa ckio kbl cjajitambua nikatoboa pua ila cjui kuvaa heren wala kipini Mungu atutie nguv
@Crabtree1844
@Crabtree1844 Жыл бұрын
Kweli kuna tamaa kusikia injili. Waone vile watoto, wazazi mpaka watoto wachanga wamesimama kusikiliza ujumbe. Ah Yesu mwokozi tusamee dhambi kwa hisani yako. Naomba msamaa.
@EmmanuelMwangesile-gb8iq
@EmmanuelMwangesile-gb8iq 9 ай бұрын
Mungu akulinde sana mtumishi sambaza hiyo injili leta huku daar
@owenomwanawayesu6961
@owenomwanawayesu6961 Жыл бұрын
Endelea kuhubiri ukweli kabisa…Barikiwa !
@kassebo
@kassebo Жыл бұрын
Umeongea ukweli. Mtumishi Wa MUNGU ✍️. Ubarikiwe Sana ✍️✍️✍️✍️
@apostlej.rministiryprophet2219
@apostlej.rministiryprophet2219 Жыл бұрын
Ukweli upi ? Kwamba dawa za nywele ni mimba changa? Hereni ni milango ya kuzimu? Mikufu ni milango ya kuzimu? Huyu ni MUONGO na anafanya Watu wasionaelim ambayo hawajawahi kutoka hata nje ya wilaya Yao
@johnmuhagama6291
@johnmuhagama6291 Жыл бұрын
Amin amin munjilist mungu akubaliki sana kuwafungua wat
@MsafiliPascal
@MsafiliPascal 5 ай бұрын
Mtumishi Mbarikiwe kwakutuonya kwasababu wengi wame potea kwami ujiza ambazo zimetokea
@joelleligate8586
@joelleligate8586 Жыл бұрын
Amen MUNGU Wa kweli akuongoze babaa
@maryeer6392
@maryeer6392 Жыл бұрын
Asante kwa kuniletea ukweli wako🔥🔥.
@HellenBotondo-gd9wx
@HellenBotondo-gd9wx Жыл бұрын
Mungu atusaidie jaman shetanmbunifu lakin tumuombe mungu atuponye nahaya Hellen butondo mikese moro
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 Жыл бұрын
Halleluyha ukweli kabisa Mutumishi wa Mungu watu tufunguke macho
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kutufungua akili zetu Bwana akufunike na damu yake takatifu
@saidibaraka931
@saidibaraka931 Жыл бұрын
mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
@AishaEduardMbwambo-ux2dp
@AishaEduardMbwambo-ux2dp Жыл бұрын
Yesu akulinde nakukufiche kwenye mbavu zake shetani asikuone
@francischipangapole7671
@francischipangapole7671 Жыл бұрын
amen mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe sana
@farajafleva
@farajafleva Жыл бұрын
Nilikuwa sikwamini ila sasa nakuelewa mungu akutie nguvu..nakukubali 100%
@benjaminwafula
@benjaminwafula Жыл бұрын
ukweli mchungu lkn lazima uupate ivo ulemavu haudumu milele mungu wetu ni mwanifu Amina babangu
@VictorPenti-kx3of
@VictorPenti-kx3of Жыл бұрын
Watumishi wa uongo lazima waambiwe ukweli,Asante cassian
@user-vc1hx7mw7c
@user-vc1hx7mw7c Жыл бұрын
Mungu akubarikisana naakuzidishie masiku kabisa pasta
@AnithaNgobya-vi2nc
@AnithaNgobya-vi2nc Жыл бұрын
Safi sana mtumishi ukweli mtupu ila mtu aelewe hadi Yesu ajifunue mwenyewe haswaa naziombea akili za wasikilizaji zifunguliwe kwa jina la Yesu ndo tutapata mabadriko
@StevenMutale-xt9yj
@StevenMutale-xt9yj 24 күн бұрын
Usiongope kaka au dada maana hawoo wanafiki kunamusho Mungu anajuwa mudaa hii kwaiyo anajichia tu ili sisi tupatee changamoto
@janeyhaule809
@janeyhaule809 Жыл бұрын
Amina Mungu yupo tuwe makini sana
@fredykisamu9156
@fredykisamu9156 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe Na akubariki Na kukupigania
@shukranimwanawanyali5168
@shukranimwanawanyali5168 Жыл бұрын
Hongera mtumishi kwakusema ukweli
@simonmdune9066
@simonmdune9066 Жыл бұрын
Wallai mm hakuna mwimbaji mwenye naona hakika anaimbaga ukweli na kufunza vile shetani anatutumia bila kujua .Mungu akubariki kkaangu endelea kutoboa siriiii kbixa watu wapende wasipende ukweli usemwe
@shantaleasanimatu6682
@shantaleasanimatu6682 Жыл бұрын
Amena sana Ubarikiwe sana mtumishi
@jacoboboniface9996
@jacoboboniface9996 Жыл бұрын
Ubalikiwe mtumishi naulinzi uwe pamoja nawe
@PatientMusaada
@PatientMusaada 11 күн бұрын
MUNGU akupe mwisho muzuri kuliko mwanzo uendeleye kusema kweli .
@musafiribahati8295
@musafiribahati8295 Жыл бұрын
Mungu akuongeze nguvu
@stellahokworo3947
@stellahokworo3947 Жыл бұрын
Amen amen glory to Jesus
@upendoupendo4622
@upendoupendo4622 Жыл бұрын
Duuuh!!, Yesu utusaidie kwakweli maana Kwa akili zetu za kibinadam ni ngum
@yesuanikumbukejanuary8363
@yesuanikumbukejanuary8363 Жыл бұрын
wana wake tuna mwitaji BWANA saana atusaidie maana mhmhmhmh sijui ninani atakae okoka kwakipindi hiki sijui MUNGU atusaidie tuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.
@joshuwazaningo2101
@joshuwazaningo2101 Жыл бұрын
Ubarkiwe mutumshi wamungu 🙏🤝
@AndreaMsemwa
@AndreaMsemwa 2 ай бұрын
Fanya kazi yako alie kutuma mungu
@braysondamson5969
@braysondamson5969 Жыл бұрын
Barikiwaaaa
@adrerarauliani3518
@adrerarauliani3518 Жыл бұрын
Kwakweli mungu atusaidie
@servantmichael73
@servantmichael73 Жыл бұрын
Yesu akutie nguvu. Hii niinjili ya matengenezo na watu wamekalia dini et dhehebu la kipentekoste huku wameshakufa
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 Жыл бұрын
Mungu atuwezeshe sote wana wake
@aimeebusime5849
@aimeebusime5849 Жыл бұрын
Amen MUNGU akufiche
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 Жыл бұрын
Mungu atusamehe sana jaman
@Joelhaongaofficial
@Joelhaongaofficial Жыл бұрын
Ameen ameeen ameen
@pavlovbienfait6940
@pavlovbienfait6940 Жыл бұрын
Sois béni 🔥🔥🇨🇩🙌
@msuvasimon557
@msuvasimon557 Жыл бұрын
Mungu muumba wa vitu vyote atulinde
@mamichiza9172
@mamichiza9172 Жыл бұрын
Amen mtumishi
@robartmaiko7759
@robartmaiko7759 Жыл бұрын
mungu akibaliki
@BetinaMwaijengo
@BetinaMwaijengo 2 ай бұрын
Mungu akushindinye baba
@user-kv7hq5mb6m
@user-kv7hq5mb6m Жыл бұрын
Wasabato wako sawa,urembo ni ibada za miungu,ee mungu tusaidie
@jumakapesa2940
@jumakapesa2940 Жыл бұрын
Nakupenda sana Paschal. Lakini kwenye hili umethibitisha Elimu ndogo na ufunuo dhaifu
@user-di6gq1qi6w
@user-di6gq1qi6w 4 ай бұрын
Ubarikiwe una Sema kweli
@ntabyoetienne2508
@ntabyoetienne2508 Жыл бұрын
Kaongeya tu mambo hayaeleweki hata kidogo utamaliziya kesho kwa nini mafuta ya nyele n'a mimba binakutana wapi omba Roho wa Mungu akupe maneno ya kuhubiri ndugu
@VictorPenti-kx3of
@VictorPenti-kx3of Жыл бұрын
Utamuelewa tu kwa hayohayo mahubir
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Yaani we MTU wa MUNGU ubalikiwe mnooo na MUNGU ALINDE FAMILIA YAKO AAA HAYA NDO MANENO YA MUNGU WETU ALIE HAI shetani Hana ADABU anatutesa mno na madhambi haya KUVAA miwigi milangi na nikope na nguo za ajabu WW MTU WA MUNGU ULINDWE SANA
@guediamulimbi2204
@guediamulimbi2204 Жыл бұрын
Hujambo mchungaji, nakufata toka Congo(DRC) Yale unasema ni ukweli kabisa Bwana Yesu atusaidiye saana. Endeleeni kusema ukweli ili nafsi za watu ziokolewe, hasa wanawake.
@JosephSimiyu
@JosephSimiyu Жыл бұрын
Be blessed bro
@tukumbukegebhusega6716
@tukumbukegebhusega6716 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@jeanbosco7866
@jeanbosco7866 Жыл бұрын
Barikiwa baba
@aliaalia
@aliaalia Жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni akuliiiinde na akufiche ndani ya damu yake, Ilo ndilo ombi langu kwa baba wa Mbinguni
@joselynendamage8712
@joselynendamage8712 Жыл бұрын
Amen amen 🙏
@janenjenga5639
@janenjenga5639 Жыл бұрын
Yeshua Messiah na aturehemu na atuhurumie
@neemanabwangu1469
@neemanabwangu1469 Жыл бұрын
Amen amen Mtumishi 🙏🏿🙏🏿
@edwinmbwilo6128
@edwinmbwilo6128 Жыл бұрын
Liko kanisa linalokwenda mbinguni na lipo kanisa litakalo baki duniani.
@LukasiMganga
@LukasiMganga 2 ай бұрын
Mubalikiwa
@leontinamujinga8937
@leontinamujinga8937 Жыл бұрын
Amen amen and amen 🙏
@esnartkayuni558
@esnartkayuni558 Жыл бұрын
Amen amen and amen
@fatumaminyeko1875
@fatumaminyeko1875 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wamungu unanibariki sana. Amen Amen Amen 🙏 🙌 👏
@lilianwanjala8728
@lilianwanjala8728 Жыл бұрын
Ameen ameen and ameen
@doreen2038
@doreen2038 Жыл бұрын
mahubiri haya yamekuwa adimu sana,watu wametekwa na pokea gari,pokea nyumba,alafu unarithi vitu vinavyoharibika,alafu unakosa umilele usio haribika
@BerylSeer1
@BerylSeer1 Жыл бұрын
Amen 🙏
@kayokasabas7579
@kayokasabas7579 Жыл бұрын
Yah kwel mtumishi
@faridashabanifaridashabani5950
@faridashabanifaridashabani5950 9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 shamba la babu la katani Mungu tusamhee
@LilianNasike-hx1yw
@LilianNasike-hx1yw 19 күн бұрын
Amen
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo Жыл бұрын
La ë mungu tusaidie
@user-kl6zb6so3i
@user-kl6zb6so3i 4 ай бұрын
Sema tupone Ameena
Mercy Mawia's Eulogy.. RIP 💔 😭 Mercy
5:41
Stephen Kasolo Official
Рет қаралды 21 М.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 488 М.
WAFANYA MAPENZI KWENYE NDOTO
52:31
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 10 М.
CASSIN ACHUKIZWA NA WAIMBAJI  WANA TANGAZA USHOGA
37:34
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 12 М.
HAWA NDIO WACHUNGAJI MAKAHABA WAKIJIUZA KANISANI EV PASCHAL CASSIAN
16:53
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 59 М.
AMRI YA KIFO YA TOLEWA KWA WAKTSTO WAUWAWE  KIKATILI UNABII WANZAKUTIMIA EV PASCHAL CASSIAN
22:43
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 37 М.
KILICHO NYUMA YA WASAFI TV CHA FUNULIWA KAFARA WATAZAMAJI  EV PASCHAL CASSIAN
40:25
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 20 М.
HATIMAE MTU ALIE MPA SUM MAKOMDA CASSIAN AELEZA KWA UCHUNGU NA MACHOZI
45:10
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 40 М.
UVUMILIVU UMEMSHINDA CASIAN KAMFATA RAISI SAMIA KIBOKO YAWACHAWI MWAMPOSA  EV PASCHAL
1:01:02
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 25 М.
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 70 М.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН