KUENI MAKINI NA HUYU WAKARA WA SHETANI ANAPOTOSHA WENGIEV PASCHAL CASSIAN

  Рет қаралды 27,020

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE

8 ай бұрын

#0766998994 #0788871769 #2

Пікірлер: 219
@GamalieliMusembi-wv6sg
@GamalieliMusembi-wv6sg 8 ай бұрын
Nawasihi sana kueni makini nahuyu Paulo cassian.. Me huwa napenda kumwita Paulo kutokana nakila nikitaka kuita jina lake fasaha najikuta namwita Paulo... Kwann nasema tuwe makini naye? Nihivi huyu mtu mdogo sana kwene ulimwengu wa macho ya mwili yani nikama haonekani hivi.. Au anaweza kuonekana nimtu flan ambaye anatafuta kiki kwakuwasema watu.. Ndugu zangu ngoja niwambie me nawaamsha kutokana na kitu ambacho moyo wangu unaniambia sijui kama ni Mungu au mawazo yangu me sijui! Nikitu kinasema kila leo ndani yangu... Ndugu zangu huyu Cassian nikinywa cha Mungu moja kwa moja nisauti ya Mungu isemayo kwa hasira... inawezekana asieleweke japokua kila anenapo shetani hujaribu kuwapumbaza watu wamdharau nakumpuuza nakumchukulia kawaida tu au mtu anayetafuta wafuasi mtandaoni.. Li nikazi yashetani kuwapumbaza watu hata wale walioamini kweli ya Mungu.. Cassiani nisaut ya Mungu inayotetea watoto wake wasipotee inahitaji ufahamu wa Kristo kumuelewa Cassiani.. Me nawaonya juu yakumdharau mtu huyu leo watu hawapendi kuonywa wanapenda maneno laini laini,,, sasa wakiubiliwa nenola kweli wanaona ni maneno yenye ukakasi sana masikioni kwao... Mungu yupo cazini Cassian cyo mdogo kama wanavomnena Cassiani kapandishwa juu na Jehova nihekima inayopaza sauti... Ole wenu mwene sikio na asikie siku zimeisha tunakaribia nyumbani.. Ole wetu.. Mungu akubariki sana Cassiani.
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 8 ай бұрын
Tutaifahamu Kweli na Kweli itatuweka huru. Kwa hiyo huku msibani hata wafiwa wasile?? marehemu analiwaje msibani?? Uuuwiiiii... 😢😢
@SamwelJoseph-yk3cw
@SamwelJoseph-yk3cw 8 ай бұрын
Ubarikiwe kwa mafunuo hayo
@eddyjunior2881
@eddyjunior2881 8 ай бұрын
Hakika barikiwa sana Kwa kulijua hili,,
@jeremiahakonaay1842
@jeremiahakonaay1842 8 ай бұрын
Mimi binafsi sina tatizo na mahubiri yake! Kila mtu ametumwa na Mungu kwa kazi maalum hivyo kuwasema watumishi wengine na kuwaonya wao wenyewe na wafuasi wao ni utume wa Mungu! Tatizo langu kwa huyu mtumishi ni matangazo anayoruhusu katika vipindi vyake kwa mfano hii clip ilianza na mziki usioshuhudia anayoongea! Kwa uelewa wangu hilo ni tangazo la biashara ambayo wanamlipa mwenye kipindi kama ndivyo kweli ni halali/hekima kutumia matangazo kama hayo katika vipindi vyake??
@bernardbaitan6539
@bernardbaitan6539 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU aliye hai. MUNGU akutie nguvu na akupe ulinzi pande zote maana wamchukiao MUNGU wanakusagia meno. Barikiwa sana mtumishi.
@ignusrwelamila7355
@ignusrwelamila7355 Ай бұрын
Uko vizuri ndugu yangu fanya kazi ya Mungu Yesu yupo mahali hapo ulipo awezi kukuacha ukiliubiri neno na kukemea uharibifu na upotoshaji wewe ni mshindi songa mbele
@deborahomart61
@deborahomart61 2 ай бұрын
Ongera sana mutumishi pascal damu ya Yesu Christo ni dawa tosha twaliamini hilo bila shaka Yesu unaye mushuhudiya akutiye nguvu nakukuteteya pia
@millyaketch4968
@millyaketch4968 8 ай бұрын
Uu mwalimu wangu wakweli,kwa neno la MUNGU, AMEN,
@user-sf4hf1my3m
@user-sf4hf1my3m 8 ай бұрын
Mimi nakuelewa sana Mtumishi wa Mungu..... endelea paza sauti nyikani asiyekuelewa atakuja kuelewa alisha poteza mda.
@jovettedenise2591
@jovettedenise2591 8 ай бұрын
Mutumushi Mungu akurinde sana na apanuwe vipawa ndani yako juu ya kuwawokowa watu wake🎉❤
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 8 ай бұрын
MUNGU azidi kukubari mtumishi... Mungu amsamehe maana hajui anachokisema
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 8 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kufunua waabudu shetani kabisa hawa lakini nashangaa maaskofu wanajua watu hawa lakini hawawaambii watu ukweli mpaka mimi mwenyewe natamanii nipate hata chombo cha midia niwaambie hawa wabudu shetani live
@mpesastatements2265
@mpesastatements2265 8 ай бұрын
Amen 🙏🙏 mtu wa mungu ubarikiwe sema yote
@user-ww9gd8pb7o
@user-ww9gd8pb7o 8 ай бұрын
Umesema ukweli mtumishi wa Mungu, P. C, nakubaliana na wewe ktk hilo,kuna Doctrine nyingi zinashangaza sana., Asante kwa ufafanuzi
@CosterMchumila
@CosterMchumila Ай бұрын
Mungu akubariki mtumish kwa kazi njema
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Mtumishi Mkuu ni Yesu Kristo pekee
@MwaminiPascal
@MwaminiPascal Күн бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu kuwa hokowa watu kwakuwa ndunia imesha fika mwisho
@HenuriBuluba
@HenuriBuluba 3 ай бұрын
Umekosa kazi ya kufanya we hubiri ne o la mungu na sio kuponda
@stumaisanga9519
@stumaisanga9519 Ай бұрын
Fact
@elizabethnapeyok6703
@elizabethnapeyok6703 8 ай бұрын
Acha mungu atupiganie na atuonyeshe njia ya kweli 😢❤❤
@tausimwinuka
@tausimwinuka 8 ай бұрын
Usipokuwa na Mungu utapata taabu sana hapa duniani...,.,
@justinbaguma9912
@justinbaguma9912 8 ай бұрын
mimi binafsi sili chakula msibani wala sioshi mikono yangu msibani nimetazwa kwenye ndoto wala huyo kuhani simjuwi mimi nipo congo tuwe waelewa na tujuwe kwamba kila mtu mungu amemupa ufunuo miomi nilikatazwa kukula chakula msibani wa kunawa mikono msibani siyo uongo ndugu zangu tuele mandiko hata wewe siyo mkweli kila mtu njia zake anaona yuko salama
@user-zj7dr2sy7t
@user-zj7dr2sy7t 7 ай бұрын
Kwa hyo ww ukifiwa hata na mtoto wako watu wasile wa kupika chakula msiban
@ignusrwelamila7355
@ignusrwelamila7355 Ай бұрын
Yote kwa yote ukiwa ndani ya YESUKRISTO hata utegwe nini vyote vitayeyuka mbele zako msidanganyike wapendwa Yesu ndiye kiboko ya mambo yote ukiwa naye haiwezekani nguvu yoyote ya giza ikakufuatilia au kukuweza Ushahuri wangu hebu watu wa Mungu tuweni makini sana na injiri za na mna hii kuwa makini mno injiri isiyo muinua Yesu haiwezi kukuokoa maana yeye ndiye mwamba ulio imara aijarishi uli chakula msibani au unawi msibani yote hayo hayawezi kukusaidia na hayana maana chenye maana ni kumchukua YESUKRISTO wala sio kingine mimi nakwambia Yesu ndio mwamba usio tikisika wewe kula tu utakuwa salama ukiwa na Yesu na shetani naye hatakuogopa mpendwa Hondokeni katika injiri za huongo kuhepuka chakula msibani kama wewe ni mtenda dhambi na bado ujahokoka na kulielewa neno la uzima uwezi pony Mwisho ushahuri kwa watumishi wa Mungu acheni kulipotosha taifa la Mungu damu za watu zitadaiwa mikononi mwenu ni hivi wafundishe watu UKUU WA JINA LA YESU NA NINI YESU AMEKUJA KUFANYA DUNIANI SIO KUWAAMBIA WATU EPUKENI KULA MSIBANI HII HAISAIDII KINACHO SAIDIA NI NGUVU YA JINA LA YESU KUTENDA KAZI NDANI YAKO ,,ASANTENI SANA
@EricMaingi-f8b
@EricMaingi-f8b Ай бұрын
Amen, Yesu alitutakasa kwa damu yake.
@ElijahAmon-uq6zk
@ElijahAmon-uq6zk 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Wa mungu
@bettykinyami5096
@bettykinyami5096 Ай бұрын
Wewe wasemao, unajuwa shida ni kwamba kusanyiko kubwa ndo watu wanajuwa Kuna Mungu hebu muombe roho mtakatifu kwa kufunga na kuomba akupe ukweli,
@user-ii1gv4mn3f
@user-ii1gv4mn3f 5 ай бұрын
Amina ubarikiwe na MUNGU AKUTUMIE zaid🎉
@yohanakinyunyi
@yohanakinyunyi 4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@stumaisanga9519
@stumaisanga9519 Ай бұрын
Bado hujasema...... My spiritual dady forever kuhani musa
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Pole 😭😭
@user-df3jl4mc5c
@user-df3jl4mc5c 8 ай бұрын
Kuna kitu nilikiona nikawa na swali kichwani mi nasema Asante yesu hukawii kujibu kuhusu huyu kuhani mungu amenijbu
@KulwaJanila-fh9wc
@KulwaJanila-fh9wc 8 ай бұрын
Tangaza neno la bwana mtumishi bila kujali watu watasema nin, kikubwa ni kusimama katika kweli ya neno la mungu, roho wa mungu awe pamoja nawe, wapotoshaji wasikurudishe nyuma, simama imara maana yesu alisema tufuate nyayo zake
@user-qf9uj2oc1b
@user-qf9uj2oc1b 8 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Pascal cassian Mungu akutie nguvu ,Hivi serekalini hakuna watumishi wa Mungu? Mbona tanzania himevamiwa na watumishi wa uongo?
@user-ww9gd8pb7o
@user-ww9gd8pb7o 8 ай бұрын
Tunatakaswa na Damu ya yesu 🩸🩸🩸🩸Amen 🙏🏻🙏🏻
@user-df3jl4mc5c
@user-df3jl4mc5c 8 ай бұрын
Sha kuelewa mtumishi piga kazi uliyoitiwa na yesu
@RebeccaFrancis-tb3we
@RebeccaFrancis-tb3we Ай бұрын
Amina Amina
@faidayaya7417
@faidayaya7417 8 ай бұрын
Kweli inabaki kweli,hata wanadamu wapinge kweli,kweli itahubiriwa katika jina la Yesu...roho mutakatifu aendeleye kumuongoza mtumishi wake..niko congo( Rdc) naitwa Bigy.
@user-yo4om9gw8q
@user-yo4om9gw8q 3 ай бұрын
Amina mtumishi endelea kutuerewesha wanaoo
@melkzedeknyagawa7553
@melkzedeknyagawa7553 8 ай бұрын
Pia inashangaza kwani mtazikaje msipo mshika maiti, msiguse kwani mtazikaje?
@Erishaernest-ik3kk
@Erishaernest-ik3kk 8 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu barikiwa sana tunakuerewa
@Jus378
@Jus378 8 ай бұрын
Huyu anajulikana kabisa sio mtumishi wa Bwana
@jamesherbalclinic7665
@jamesherbalclinic7665 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu yaani watu wanaingia kingi bila kujijua. Watu Hawa wamekuwa waongo kupita kiasi. Hapo katengeneza maji kama maji yakutakasa kumbe uongo mkubwa. Leo mtu anatakaswa na damu ya Yesu na Roho mtakatifu. Barikiwa sana mtu wa Mungu.
@mariamashale6691
@mariamashale6691 7 ай бұрын
Ahsante Mtumishi barikiwa sana
@MussaObedi
@MussaObedi 3 ай бұрын
Naomben mnisaidie yesu akasema kulen mkate huu kama mwiliwangu kwa ukumbusho akakitwaa kikombe akasema kunjweni damuyangu apo unaelewa nini
@PonsSalimu
@PonsSalimu Күн бұрын
Amen
@paulojohn9608
@paulojohn9608 4 ай бұрын
ni kweli kabisa nando yesu alibeba dhambi zetu
@PaskalFweda
@PaskalFweda 8 ай бұрын
mungu tuokoe sisi wanao 😭😭😭
@user-jo4zx3oo6g
@user-jo4zx3oo6g 6 ай бұрын
Aka kajamaa ni kawakala ka shetani .huyawezi Mungu. Kaliumwa Nusu kufa Tumekaombea kamepona kanaanza kuponda Watumishi wa Mungu. 0:14
@JenySimchile
@JenySimchile 6 ай бұрын
nakukubali sana mtumishi hendelea kutufungua ufahamu maana tumefungwa
@millicentakinyi5504
@millicentakinyi5504 8 ай бұрын
Ataleo wanaose mkono🔥🔨🔨🔨🔨
@user-xq5pw7bl4r
@user-xq5pw7bl4r 6 ай бұрын
Polenakaziyamungu hakikakweli umejitoakufanya❤kaziyamungu huwenamoyohuwohuwo wengihawa pendi kuhamini ninawapa poleyao
@user-sy7hd6il3b
@user-sy7hd6il3b 6 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia mtumishi wa bwana
@JenySimchile
@JenySimchile 6 ай бұрын
mungu akutangurie katika huduma yako paskali awepamoja na wewe amen
@CalmClogShoes-fu9qu
@CalmClogShoes-fu9qu 6 ай бұрын
Mtumishi pascal mungu akutie moyo maana unayoyasema ni ya kwel
@elizaedward1851
@elizaedward1851 6 ай бұрын
Mungu akubariki, maana watu wengi hawapendi kuambiwa ukweli
@TausilaWissa
@TausilaWissa 23 күн бұрын
Kwakweli kwanza manabii ni waongo tu kilichobaki ni kujitakasa maana yesu yu karibu kuludi
@iambaizo
@iambaizo 4 ай бұрын
Yes Mmmh Hapo sasa Asante baba kwa neno Ahhhhh Nmmmmmmh 😂😂😂😂😂😂😂😂
@BerylSeer1
@BerylSeer1 8 ай бұрын
Kuhani Musa Hana ufahamu
@CHRISMACHOMBE
@CHRISMACHOMBE 8 ай бұрын
Christopher Raphael from mbagala,. TIMOTHEO 4:1-5 Basi roho anena waziwazi yakwamba nyakati zamwisho
@WilliamMandwanga
@WilliamMandwanga 2 ай бұрын
Mtumishi usimwite mtumishi. Mtumishi wanani wakati anaenda tofauti namandiko
@samsonmwita5419
@samsonmwita5419 8 ай бұрын
Emeeen
@anastazia3014
@anastazia3014 8 ай бұрын
Nikweli huyu nambii nimesali sana kwake Mara Leo mtapewa jiwe,mafuta kwenye asikio mnawekewa, mdomoni,kwenye macho , Mara udongo, Mara yakwaza nilipomsikiliza ambae huang anatangaza kanisani akaaza kueleza au kusoma matangazo ya hapo nikasikia nunueni maji ili kuosha kutoa mikosi, ndio nikasema huyu mtumishi nimuongo
@tujajackson8142
@tujajackson8142 2 күн бұрын
Watu wanaangami kwakukosa maarifa du huzuni kubwa.Mungu okoa kundi hili kubwa kila kitu wanashabikia na kusema Amen.
@EinothKissiri
@EinothKissiri 8 ай бұрын
Mungu atupe macho ya rohoni maana sisi ni vipofu
@jenendanu6870
@jenendanu6870 2 ай бұрын
Yes mgonjwa haponi bila dawa dawa Yao ni kuelezwa ukweli ili wapone na kama chungu wateme
@neemashega8243
@neemashega8243 8 ай бұрын
Ninakukubal sana mtumishi wa Mungu.
@user-zz9gr1vd9h
@user-zz9gr1vd9h 8 ай бұрын
Mtumishi sema watu wajue nini haya yanayosemwa na hao watu na mafundisho yao maana hataukisoma Neno unaona hayapo kabisa
@user-zz9gr1vd9h
@user-zz9gr1vd9h 8 ай бұрын
Yani tusipo soma Neno la Mungu nakulielewa tunapelekwa kuzimu bila kujua tunaenda wapi kila asomae afaham nyakati tulizonazo jamani akina IIbrahim Baba wa Imani alipofariki hakukua na chakula kwenye msiba wake nyama ni ng!ombe inakuaje amelwa marehem
@martinahlighare6495
@martinahlighare6495 8 ай бұрын
Walio wengi sio hoja, hata wanadangwa ila hawaoni. Alisikia wapi kua ukila msibani umemla marehemu, niende msibani nitoke bila kula, nani alisema? Mbaka nile, tena nishibe. Heri tuwe wachache na tuhubiriwe kweli. Walio wengi na wachache bora wawe wanahubiriwa injili iliyo hai, Mungu yupo pale. Mwinjilist, hata nawe unao watu wengi muno, wengi wao ni silent followers tena uko maarufu machoni pa Mungu hata kuwaliko.
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Si Kila vya kula ni lazima ule kweli mambo ya rohoni yatambulika Kwa watu wa rohoni na siri za Mungu Zi pamoja na wamchao pole
@user-jo4zx3oo6g
@user-jo4zx3oo6g 6 ай бұрын
Aka kajamaa ni kawakala ka shetani .huyawezi Mungu. Kaliumwa Nusu kufa Tumekaombea kamepona kanaanza kuponda Watumishi wa Mungu.
@user-ni2kv3yf6e
@user-ni2kv3yf6e 3 ай бұрын
Ushindweee na uleg ee
@maryamnjagila3896
@maryamnjagila3896 3 ай бұрын
KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI BABA LAO. ❤❤❤
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Pole 😭😭
@EliewahaChedieli
@EliewahaChedieli 3 ай бұрын
Paskali sema kweli tunawatambua kwa matendo yao
@user-tw3wt1gg4e
@user-tw3wt1gg4e 3 ай бұрын
mungu akurehemj
@user-wf5ee6cf3s
@user-wf5ee6cf3s 7 ай бұрын
Amina mtumishi
@sashalemmoh3264
@sashalemmoh3264 6 ай бұрын
Ameni mtumishi wamungu
@estermhema4570
@estermhema4570 8 ай бұрын
Kwakweli tunahitaji kuijua kweli na tukiijua kweli tutatambua yule robo atendaye kazi katika Wana wa kuasi hivi wapi ilipoandikwa ukila msibani umemla marehemu eeyesu tusaidie kusimama na kweli yako maana ulisema umeona kondoo ambao wamekuwa kama wamekosa mchungaji yesu!!!yesu Yesu ukowapi?fanyahima tuokoe Yesu!!!!yesu tuokoe.
@TausilaWissa
@TausilaWissa 23 күн бұрын
Uongo tuu yani hyo nae awaonyeshe palipoandikwa ukila msibani unamla marehem
@user-hc8zh1bc8j
@user-hc8zh1bc8j 7 ай бұрын
jamani ! mbona ufalme unapingana?kwanini mnaojiita watumishi wa Mungu mnapingana na huku mnajiita wakristo?jipelelezeni na kama unaona ndugu yako anapita papaya mfuate niweke sawa mnatuchanganya.ufalme haufitiniani.
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 7 ай бұрын
Yaani hao wanaochombeza sijui yes wanakera
@Yesslarry
@Yesslarry 6 ай бұрын
Endeleeeni kumsema vibaya lakini sisi tunaendelea kusali kwake kama kawaidaaaa kuhani musa baba laooooo
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 2 ай бұрын
Kwaio nawew unakubal ukla msban ni kumkula maiti? Umepotea
@TausilaWissa
@TausilaWissa 23 күн бұрын
We mbaka yesu aludi ndo utajua ukweli ulikua wapi
@mathayoju2832
@mathayoju2832 7 ай бұрын
Ni kwel San mtumixh unayoyasem tupo nyakati za mwish
@StellaNgulukulu-pz8qr
@StellaNgulukulu-pz8qr 8 ай бұрын
Atuonyeshe maandiko yasemayo mtu akila msibani anakuwa najisi, bure kabisa!!!!
@fatumakalombo392
@fatumakalombo392 7 ай бұрын
NYINYI MNAOSAPOTI HII HOJA, ACHENI UJINGA WOTE LENU MOJA MMEYAPANGA ILI MKOMENT MWANZOMWANZO JUUJUU MVUTIE WATU ILI WAKUBALIANE NAANYI, SASA NAWAULIZA MMEONA AYA AU MAANDISHI YOYOTE KWENYE VITABU VYA DINI YANAYOSEMA HIVYO? AU MNAONGOZWA NA MAWAZO POTOFU YA HUYO MCHUNGAJI? NANI KAWATIA UPOFU????
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Hesabu 25;1-9
@user-ib3jb6bv7m
@user-ib3jb6bv7m 7 ай бұрын
Achani aseme
@KulwaJanila-fh9wc
@KulwaJanila-fh9wc 8 ай бұрын
Wanaokutukana zidi kuwaombea maana hawajui walitendalo, adui yetu shetani ndiye aliye ziba ufaham wao wa kutoyachunguza maandiko
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 8 ай бұрын
Kwani mungu kakutuma uje ufanye upelelezi kwa watumishi wamungu ndivyo umetumwa bakia hapo hapo na wao wabaki apoapa kwani wewe unaleta vita kwa wana wa mungu kwani wewe ulikua wapi tangu mdogo kama yesu acha siasa wewe
@emmanuelmsengi7060
@emmanuelmsengi7060 7 ай бұрын
MUNGU akurehemu kwani hujui kwamba Kanisa sasa hivi limevamiwa na shetani
@emmanuelmsengi7060
@emmanuelmsengi7060 7 ай бұрын
Amerdakavishe hivi huoni kuwa Kanisa sasa hivi limevamiwa na shetani
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Kamtuma aje akemee na kuonya watumishi wa uongo
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Ай бұрын
Achini ubaba ishaji shetani unamjua au uliambiwa anarangi gani mweupe mweuzi shida niufamizi acha mungu ashuulike nauofu wao sodoma alimpelekea nani tarifa mpaka akaangamiza akuna kitu napinga kama maneno yakuambiwa au usilo jua au sihasa kwa watumishi acheni kusumbua watu nakuaribu watu tunapambana kiroho na sio kimwili uyu kaka namchukia sana mnafiki mkubwa simpendi ata kumsikia mungu anajua apeleke kikizake mbali awaokoe basa awafae awaambie mungu kanituma nasio uwaribifu kwa mtaa au mtandaoni awatibu watu kwakuwaendea ana ogopa nn kama ni mwanafuzi wa yesu nakatumwa
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Ай бұрын
Yeye ni wakweli
@user-vx3cj1bv4q
@user-vx3cj1bv4q 2 ай бұрын
Iyo imeandikwa wapi sasa unapotea
@user-jm3mx8ex1d
@user-jm3mx8ex1d 8 ай бұрын
Kuwa heshima acha kumponda mtumishi wewe kibaraka wa shetani
@GeoffreyKuria186
@GeoffreyKuria186 6 ай бұрын
Ukweli mtupu 🙏
@user-ij8cj7zl7b
@user-ij8cj7zl7b 6 ай бұрын
Mwenye sikio naasikie asiye sikia apotelee mbali sikio lakufa halisikiidawa kula dawa hiyo uliye na sikio lakufa pita pemben
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o 8 ай бұрын
HUYU ALISEMA INAMPASA AMALIZE IBADA MAPEMA, ETI KWAKUWA ANATAKIWA KUTOA RIPOTI KWA yesu KUHUSU KAZI YA SIKU HIYO JUMAPILI ILIVYOKUWA. HUYU MWISHO WAKE UTAKUWA SAWASAWA NA KAZI YAKE
@user-jo4zx3oo6g
@user-jo4zx3oo6g 6 ай бұрын
We sio mchungaji Wala chochote unatafuta Kiki kwa Watumishi wa Mungu.
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Pole
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 8 ай бұрын
Ukitaka kujua chakula Cha msibani kina maana kwanini mtu akifa kifo Cha kutetanisha Huwa chakula hakipikwi na arobaini haifanywi?
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 7 ай бұрын
Sio kweli ukiona hivo na wewe ni mchawi
@sophiakunache4982
@sophiakunache4982 8 ай бұрын
Tena shetani wa mashwetani ,huyu,Watumisho wooote wabaya mzur.yeye,tuwe macho na hili Kassiani ,shetani ana mbinu nyingi za kuangusha kanisa,Wanakuja kama.kondoo kumbe mbwa mwitu
@seraphinmsongamwanja778
@seraphinmsongamwanja778 8 ай бұрын
Mm napingana na wewe kabisa naona kama wewe ndiyo wa kuzimu kama watu wanatoka kuzimu wanakuja kuokoka yaan nakuomba ndugu yangu jitathimin usije ukaachwa hata Yesu atakaporudi mara ya pili ondoa moyo huu wa farao isije bahari ya shamu ikakumeza
@TausilaWissa
@TausilaWissa 23 күн бұрын
Hakuna bahar ya Sham wala nini kikubwa kutengeneza mahusiano yetu na mungu achana na hao manabii maana
@user-md9xc4gr7n
@user-md9xc4gr7n 7 ай бұрын
Tafuteni pesa kwa karama zenu siyo mpate pesa kwa kuwasema vibaya watumishi wa MUNGU Nidhambi kubwa sana mnafanya
@mmangadp2083
@mmangadp2083 8 ай бұрын
We kiĺa mchungaji shetani ulaniwe kenge we
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Usilaani usiye mjua tumeamriwa kuonya ukweli unauma
@Yesslarry
@Yesslarry 6 ай бұрын
Kama na wewe mungu amekutuma pascal cassian ni sawa ila saidia watu waponye na wewe fungua kanisa hubiri injili tembea na mikoani hubiri sio huku pia unaweza kuamtumishi ila ukapoteza focus ya kulisema neno la mungu mtangaze mtete yesu kwa watu wabatizwe waombeee sio kusema wachungaji achaaa kabisa
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 6 ай бұрын
Mbona huyu mtu anapiga makelele kwenye kichaka?
@uwimanadady6563
@uwimanadady6563 7 ай бұрын
Sasa kama ni mama yangu njo amefariki ni sile awa manabii wa muchongo
@gonzarojozzy4340
@gonzarojozzy4340 6 ай бұрын
Samaki mkubwa anamla mdogo
@MikaNyalusi
@MikaNyalusi 15 күн бұрын
Nyie mnaempinga kasian ukweli unawauma na mtaenda motoni kama kondoo machinjon
@GabrielMwabulo-hi5lt
@GabrielMwabulo-hi5lt 8 ай бұрын
Huyu kuhani ni mpotoshaji mkubwa. Ana maana kama atafiwa hatakula chakula,? Pascal uko sahihi. Huyu jamaa ni wakala wa shetani.
@user-hb9sy5pq4u
@user-hb9sy5pq4u 3 ай бұрын
Nirichoona nikwamba manabii wengi nawachungaji wame ipita biblia waowapojuu kuliko nenoramungu
@joycehaule9717
@joycehaule9717 3 ай бұрын
Wee chakula Cha msibani kitamu balaaa nakiwazaga mno na lile kabich na tumaharage we tutamu balaa
@danielsamuel1825
@danielsamuel1825 3 ай бұрын
Yani ww bala yakuita watu waende kwa YESU una kazi ya kutukana watu wa MUNGU 😱😱😱
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Ukweli unauma Mungu ametuita ili kuwasaidia wengine walio pofushwa akili lazima tuwavute usipo kuwa wewe wapo Mungu atakao wavuta
@RichardStephano-zr3qf
@RichardStephano-zr3qf 8 ай бұрын
Kaka ungeendelea na huduma yako acha kumuita mtu wakara wa shetani
@jamesherbalclinic7665
@jamesherbalclinic7665 8 ай бұрын
Mbona Mimi namuona anachokisema ni kweli? Acha aseme maana hapa hakuna kukaa kimya. Lazima watu waamushwe
@DavisIssangya-kc3rm
@DavisIssangya-kc3rm 3 ай бұрын
Wewe ibilisi hata unavyo onekana tu
@DavisIssangya-kc3rm
@DavisIssangya-kc3rm 3 ай бұрын
Wewe ndo mpinga kristo mwenyewe Huna utumishi wowote tapeli tu
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Mbona mnamtetea kama ni mtumishi wa Mungu kweli basi Mungu atampambania wajinga ndio waliwawo
@angelemmanuel7143
@angelemmanuel7143 Ай бұрын
Mpinga Kristo ni yule asiye kiri Yesu Kristo ni Bwana soma maandiko upate maarifa
@joycefrances4516
@joycefrances4516 8 ай бұрын
Wivuuuuuuu,kajinyongeeeeee,unataka waumini wake utamuweza?acha wivu,waumini wake wanamwelewa,
@emmanuelmsengi7060
@emmanuelmsengi7060 7 ай бұрын
Mnamuelewa kwakuwa ameshawateka ufahamu wenu kwa NGUVU za giza hivyo nyote mnatumbukizwa kuzimu
@patrickwizboyy4297
@patrickwizboyy4297 2 ай бұрын
Nakufata kongo Jimbo la kindu nakuombea namungu akilinde usiku kama mchana
TAREHE NA SIKU YA KU UWAWA KWA CASSIAN  HADHALANI EV PASCHAL CASSIN
55:39
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 13 М.
ONYO KWA WAKENYA MUOGOPEN HUYU PASTAR NGAN'GA SHETANI ANAMTUMIA EV PASCHAL CASSIN
41:46
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 17 М.
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 1,8 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 102 МЛН
UONGO MTUPU MIUJIZA  EV PASCHAL CASSIN
26:01
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 13 М.
WANAOMBA MATUSI NAKUIMBA MATUSI MBELE ZA MUNGU EV PASCHAL CASSIAN
1:12:53
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 19 М.
KATI YA HAWA NANI MTUMISHI WA KWELI? EV PASCHAL CASSIAN
50:34
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 9 М.
SIRI YA FICHULIWA UONGO WA MIUJIZA WANAYO IFANYA EV PASCHAL CASSIAN
17:24
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 171 М.
CASSIAN ALIONYA CANISA LA WASABATO LIMEPOTOKA KUJIUNGA NA MNYAMA 666 EV PASCHAL CASSIAN
1:02:18
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 20 М.
SIRI NZITO ZA MANABII WA UONGO ZA FICHULIWA  WAIBIKA  HAZARANI  EV PASCHAL CASSIAN
1:02:31
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 62 М.
MKE WANGU ALINI KIMBIA EV PASCHAL CASSIAN
31:44
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 37 М.
YAHUZUNISHA WENGI CASIANI KAASI KARUDIA DUNIA WALIA WENGI!!!
56:50
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 18 М.
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 73 М.