Nawasihi sana kueni makini nahuyu Paulo cassian.. Me huwa napenda kumwita Paulo kutokana nakila nikitaka kuita jina lake fasaha najikuta namwita Paulo... Kwann nasema tuwe makini naye? Nihivi huyu mtu mdogo sana kwene ulimwengu wa macho ya mwili yani nikama haonekani hivi.. Au anaweza kuonekana nimtu flan ambaye anatafuta kiki kwakuwasema watu.. Ndugu zangu ngoja niwambie me nawaamsha kutokana na kitu ambacho moyo wangu unaniambia sijui kama ni Mungu au mawazo yangu me sijui! Nikitu kinasema kila leo ndani yangu... Ndugu zangu huyu Cassian nikinywa cha Mungu moja kwa moja nisauti ya Mungu isemayo kwa hasira... inawezekana asieleweke japokua kila anenapo shetani hujaribu kuwapumbaza watu wamdharau nakumpuuza nakumchukulia kawaida tu au mtu anayetafuta wafuasi mtandaoni.. Li nikazi yashetani kuwapumbaza watu hata wale walioamini kweli ya Mungu.. Cassiani nisaut ya Mungu inayotetea watoto wake wasipotee inahitaji ufahamu wa Kristo kumuelewa Cassiani.. Me nawaonya juu yakumdharau mtu huyu leo watu hawapendi kuonywa wanapenda maneno laini laini,,, sasa wakiubiliwa nenola kweli wanaona ni maneno yenye ukakasi sana masikioni kwao... Mungu yupo cazini Cassian cyo mdogo kama wanavomnena Cassiani kapandishwa juu na Jehova nihekima inayopaza sauti... Ole wenu mwene sikio na asikie siku zimeisha tunakaribia nyumbani.. Ole wetu.. Mungu akubariki sana Cassiani.
@mackfasonmoshi46298 ай бұрын
Tutaifahamu Kweli na Kweli itatuweka huru. Kwa hiyo huku msibani hata wafiwa wasile?? marehemu analiwaje msibani?? Uuuwiiiii... 😢😢
@SamwelJoseph-yk3cw8 ай бұрын
Ubarikiwe kwa mafunuo hayo
@eddyjunior28818 ай бұрын
Hakika barikiwa sana Kwa kulijua hili,,
@jeremiahakonaay18428 ай бұрын
Mimi binafsi sina tatizo na mahubiri yake! Kila mtu ametumwa na Mungu kwa kazi maalum hivyo kuwasema watumishi wengine na kuwaonya wao wenyewe na wafuasi wao ni utume wa Mungu! Tatizo langu kwa huyu mtumishi ni matangazo anayoruhusu katika vipindi vyake kwa mfano hii clip ilianza na mziki usioshuhudia anayoongea! Kwa uelewa wangu hilo ni tangazo la biashara ambayo wanamlipa mwenye kipindi kama ndivyo kweli ni halali/hekima kutumia matangazo kama hayo katika vipindi vyake??
@bernardbaitan65398 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU aliye hai. MUNGU akutie nguvu na akupe ulinzi pande zote maana wamchukiao MUNGU wanakusagia meno. Barikiwa sana mtumishi.
@ignusrwelamila7355Ай бұрын
Uko vizuri ndugu yangu fanya kazi ya Mungu Yesu yupo mahali hapo ulipo awezi kukuacha ukiliubiri neno na kukemea uharibifu na upotoshaji wewe ni mshindi songa mbele
@deborahomart612 ай бұрын
Ongera sana mutumishi pascal damu ya Yesu Christo ni dawa tosha twaliamini hilo bila shaka Yesu unaye mushuhudiya akutiye nguvu nakukuteteya pia
@millyaketch49688 ай бұрын
Uu mwalimu wangu wakweli,kwa neno la MUNGU, AMEN,
@user-sf4hf1my3m8 ай бұрын
Mimi nakuelewa sana Mtumishi wa Mungu..... endelea paza sauti nyikani asiyekuelewa atakuja kuelewa alisha poteza mda.
@jovettedenise25918 ай бұрын
Mutumushi Mungu akurinde sana na apanuwe vipawa ndani yako juu ya kuwawokowa watu wake🎉❤
@user-ii1qk9xn9z8 ай бұрын
MUNGU azidi kukubari mtumishi... Mungu amsamehe maana hajui anachokisema
@GeorgeChitemo-kt8sw8 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kufunua waabudu shetani kabisa hawa lakini nashangaa maaskofu wanajua watu hawa lakini hawawaambii watu ukweli mpaka mimi mwenyewe natamanii nipate hata chombo cha midia niwaambie hawa wabudu shetani live
@mpesastatements22658 ай бұрын
Amen 🙏🙏 mtu wa mungu ubarikiwe sema yote
@user-ww9gd8pb7o8 ай бұрын
Umesema ukweli mtumishi wa Mungu, P. C, nakubaliana na wewe ktk hilo,kuna Doctrine nyingi zinashangaza sana., Asante kwa ufafanuzi
@CosterMchumilaАй бұрын
Mungu akubariki mtumish kwa kazi njema
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Mtumishi Mkuu ni Yesu Kristo pekee
@MwaminiPascalКүн бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu kuwa hokowa watu kwakuwa ndunia imesha fika mwisho
@HenuriBuluba3 ай бұрын
Umekosa kazi ya kufanya we hubiri ne o la mungu na sio kuponda
@stumaisanga9519Ай бұрын
Fact
@elizabethnapeyok67038 ай бұрын
Acha mungu atupiganie na atuonyeshe njia ya kweli 😢❤❤
@tausimwinuka8 ай бұрын
Usipokuwa na Mungu utapata taabu sana hapa duniani...,.,
@justinbaguma99128 ай бұрын
mimi binafsi sili chakula msibani wala sioshi mikono yangu msibani nimetazwa kwenye ndoto wala huyo kuhani simjuwi mimi nipo congo tuwe waelewa na tujuwe kwamba kila mtu mungu amemupa ufunuo miomi nilikatazwa kukula chakula msibani wa kunawa mikono msibani siyo uongo ndugu zangu tuele mandiko hata wewe siyo mkweli kila mtu njia zake anaona yuko salama
@user-zj7dr2sy7t7 ай бұрын
Kwa hyo ww ukifiwa hata na mtoto wako watu wasile wa kupika chakula msiban
@ignusrwelamila7355Ай бұрын
Yote kwa yote ukiwa ndani ya YESUKRISTO hata utegwe nini vyote vitayeyuka mbele zako msidanganyike wapendwa Yesu ndiye kiboko ya mambo yote ukiwa naye haiwezekani nguvu yoyote ya giza ikakufuatilia au kukuweza Ushahuri wangu hebu watu wa Mungu tuweni makini sana na injiri za na mna hii kuwa makini mno injiri isiyo muinua Yesu haiwezi kukuokoa maana yeye ndiye mwamba ulio imara aijarishi uli chakula msibani au unawi msibani yote hayo hayawezi kukusaidia na hayana maana chenye maana ni kumchukua YESUKRISTO wala sio kingine mimi nakwambia Yesu ndio mwamba usio tikisika wewe kula tu utakuwa salama ukiwa na Yesu na shetani naye hatakuogopa mpendwa Hondokeni katika injiri za huongo kuhepuka chakula msibani kama wewe ni mtenda dhambi na bado ujahokoka na kulielewa neno la uzima uwezi pony Mwisho ushahuri kwa watumishi wa Mungu acheni kulipotosha taifa la Mungu damu za watu zitadaiwa mikononi mwenu ni hivi wafundishe watu UKUU WA JINA LA YESU NA NINI YESU AMEKUJA KUFANYA DUNIANI SIO KUWAAMBIA WATU EPUKENI KULA MSIBANI HII HAISAIDII KINACHO SAIDIA NI NGUVU YA JINA LA YESU KUTENDA KAZI NDANI YAKO ,,ASANTENI SANA
@EricMaingi-f8bАй бұрын
Amen, Yesu alitutakasa kwa damu yake.
@ElijahAmon-uq6zk8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Wa mungu
@bettykinyami5096Ай бұрын
Wewe wasemao, unajuwa shida ni kwamba kusanyiko kubwa ndo watu wanajuwa Kuna Mungu hebu muombe roho mtakatifu kwa kufunga na kuomba akupe ukweli,
@user-ii1gv4mn3f5 ай бұрын
Amina ubarikiwe na MUNGU AKUTUMIE zaid🎉
@yohanakinyunyi4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@stumaisanga9519Ай бұрын
Bado hujasema...... My spiritual dady forever kuhani musa
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Pole 😭😭
@user-df3jl4mc5c8 ай бұрын
Kuna kitu nilikiona nikawa na swali kichwani mi nasema Asante yesu hukawii kujibu kuhusu huyu kuhani mungu amenijbu
@KulwaJanila-fh9wc8 ай бұрын
Tangaza neno la bwana mtumishi bila kujali watu watasema nin, kikubwa ni kusimama katika kweli ya neno la mungu, roho wa mungu awe pamoja nawe, wapotoshaji wasikurudishe nyuma, simama imara maana yesu alisema tufuate nyayo zake
@user-qf9uj2oc1b8 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Pascal cassian Mungu akutie nguvu ,Hivi serekalini hakuna watumishi wa Mungu? Mbona tanzania himevamiwa na watumishi wa uongo?
@user-ww9gd8pb7o8 ай бұрын
Tunatakaswa na Damu ya yesu 🩸🩸🩸🩸Amen 🙏🏻🙏🏻
@user-df3jl4mc5c8 ай бұрын
Sha kuelewa mtumishi piga kazi uliyoitiwa na yesu
@RebeccaFrancis-tb3weАй бұрын
Amina Amina
@faidayaya74178 ай бұрын
Kweli inabaki kweli,hata wanadamu wapinge kweli,kweli itahubiriwa katika jina la Yesu...roho mutakatifu aendeleye kumuongoza mtumishi wake..niko congo( Rdc) naitwa Bigy.
@user-yo4om9gw8q3 ай бұрын
Amina mtumishi endelea kutuerewesha wanaoo
@melkzedeknyagawa75538 ай бұрын
Pia inashangaza kwani mtazikaje msipo mshika maiti, msiguse kwani mtazikaje?
@Erishaernest-ik3kk8 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu barikiwa sana tunakuerewa
@Jus3788 ай бұрын
Huyu anajulikana kabisa sio mtumishi wa Bwana
@jamesherbalclinic76658 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu yaani watu wanaingia kingi bila kujijua. Watu Hawa wamekuwa waongo kupita kiasi. Hapo katengeneza maji kama maji yakutakasa kumbe uongo mkubwa. Leo mtu anatakaswa na damu ya Yesu na Roho mtakatifu. Barikiwa sana mtu wa Mungu.
@mariamashale66917 ай бұрын
Ahsante Mtumishi barikiwa sana
@MussaObedi3 ай бұрын
Naomben mnisaidie yesu akasema kulen mkate huu kama mwiliwangu kwa ukumbusho akakitwaa kikombe akasema kunjweni damuyangu apo unaelewa nini
@PonsSalimuКүн бұрын
Amen
@paulojohn96084 ай бұрын
ni kweli kabisa nando yesu alibeba dhambi zetu
@PaskalFweda8 ай бұрын
mungu tuokoe sisi wanao 😭😭😭
@user-jo4zx3oo6g6 ай бұрын
Aka kajamaa ni kawakala ka shetani .huyawezi Mungu. Kaliumwa Nusu kufa Tumekaombea kamepona kanaanza kuponda Watumishi wa Mungu. 0:14
@JenySimchile6 ай бұрын
nakukubali sana mtumishi hendelea kutufungua ufahamu maana tumefungwa
mungu akutangurie katika huduma yako paskali awepamoja na wewe amen
@CalmClogShoes-fu9qu6 ай бұрын
Mtumishi pascal mungu akutie moyo maana unayoyasema ni ya kwel
@elizaedward18516 ай бұрын
Mungu akubariki, maana watu wengi hawapendi kuambiwa ukweli
@TausilaWissa23 күн бұрын
Kwakweli kwanza manabii ni waongo tu kilichobaki ni kujitakasa maana yesu yu karibu kuludi
@iambaizo4 ай бұрын
Yes Mmmh Hapo sasa Asante baba kwa neno Ahhhhh Nmmmmmmh 😂😂😂😂😂😂😂😂
@BerylSeer18 ай бұрын
Kuhani Musa Hana ufahamu
@CHRISMACHOMBE8 ай бұрын
Christopher Raphael from mbagala,. TIMOTHEO 4:1-5 Basi roho anena waziwazi yakwamba nyakati zamwisho
@WilliamMandwanga2 ай бұрын
Mtumishi usimwite mtumishi. Mtumishi wanani wakati anaenda tofauti namandiko
@samsonmwita54198 ай бұрын
Emeeen
@anastazia30148 ай бұрын
Nikweli huyu nambii nimesali sana kwake Mara Leo mtapewa jiwe,mafuta kwenye asikio mnawekewa, mdomoni,kwenye macho , Mara udongo, Mara yakwaza nilipomsikiliza ambae huang anatangaza kanisani akaaza kueleza au kusoma matangazo ya hapo nikasikia nunueni maji ili kuosha kutoa mikosi, ndio nikasema huyu mtumishi nimuongo
@tujajackson81422 күн бұрын
Watu wanaangami kwakukosa maarifa du huzuni kubwa.Mungu okoa kundi hili kubwa kila kitu wanashabikia na kusema Amen.
@EinothKissiri8 ай бұрын
Mungu atupe macho ya rohoni maana sisi ni vipofu
@jenendanu68702 ай бұрын
Yes mgonjwa haponi bila dawa dawa Yao ni kuelezwa ukweli ili wapone na kama chungu wateme
@neemashega82438 ай бұрын
Ninakukubal sana mtumishi wa Mungu.
@user-zz9gr1vd9h8 ай бұрын
Mtumishi sema watu wajue nini haya yanayosemwa na hao watu na mafundisho yao maana hataukisoma Neno unaona hayapo kabisa
@user-zz9gr1vd9h8 ай бұрын
Yani tusipo soma Neno la Mungu nakulielewa tunapelekwa kuzimu bila kujua tunaenda wapi kila asomae afaham nyakati tulizonazo jamani akina IIbrahim Baba wa Imani alipofariki hakukua na chakula kwenye msiba wake nyama ni ng!ombe inakuaje amelwa marehem
@martinahlighare64958 ай бұрын
Walio wengi sio hoja, hata wanadangwa ila hawaoni. Alisikia wapi kua ukila msibani umemla marehemu, niende msibani nitoke bila kula, nani alisema? Mbaka nile, tena nishibe. Heri tuwe wachache na tuhubiriwe kweli. Walio wengi na wachache bora wawe wanahubiriwa injili iliyo hai, Mungu yupo pale. Mwinjilist, hata nawe unao watu wengi muno, wengi wao ni silent followers tena uko maarufu machoni pa Mungu hata kuwaliko.
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Si Kila vya kula ni lazima ule kweli mambo ya rohoni yatambulika Kwa watu wa rohoni na siri za Mungu Zi pamoja na wamchao pole
@user-jo4zx3oo6g6 ай бұрын
Aka kajamaa ni kawakala ka shetani .huyawezi Mungu. Kaliumwa Nusu kufa Tumekaombea kamepona kanaanza kuponda Watumishi wa Mungu.
@user-ni2kv3yf6e3 ай бұрын
Ushindweee na uleg ee
@maryamnjagila38963 ай бұрын
KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI BABA LAO. ❤❤❤
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Pole 😭😭
@EliewahaChedieli3 ай бұрын
Paskali sema kweli tunawatambua kwa matendo yao
@user-tw3wt1gg4e3 ай бұрын
mungu akurehemj
@user-wf5ee6cf3s7 ай бұрын
Amina mtumishi
@sashalemmoh32646 ай бұрын
Ameni mtumishi wamungu
@estermhema45708 ай бұрын
Kwakweli tunahitaji kuijua kweli na tukiijua kweli tutatambua yule robo atendaye kazi katika Wana wa kuasi hivi wapi ilipoandikwa ukila msibani umemla marehemu eeyesu tusaidie kusimama na kweli yako maana ulisema umeona kondoo ambao wamekuwa kama wamekosa mchungaji yesu!!!yesu Yesu ukowapi?fanyahima tuokoe Yesu!!!!yesu tuokoe.
jamani ! mbona ufalme unapingana?kwanini mnaojiita watumishi wa Mungu mnapingana na huku mnajiita wakristo?jipelelezeni na kama unaona ndugu yako anapita papaya mfuate niweke sawa mnatuchanganya.ufalme haufitiniani.
@sarahgaula22207 ай бұрын
Yaani hao wanaochombeza sijui yes wanakera
@Yesslarry6 ай бұрын
Endeleeeni kumsema vibaya lakini sisi tunaendelea kusali kwake kama kawaidaaaa kuhani musa baba laooooo
@emanuelmkama13252 ай бұрын
Kwaio nawew unakubal ukla msban ni kumkula maiti? Umepotea
@TausilaWissa23 күн бұрын
We mbaka yesu aludi ndo utajua ukweli ulikua wapi
@mathayoju28327 ай бұрын
Ni kwel San mtumixh unayoyasem tupo nyakati za mwish
@StellaNgulukulu-pz8qr8 ай бұрын
Atuonyeshe maandiko yasemayo mtu akila msibani anakuwa najisi, bure kabisa!!!!
@fatumakalombo3927 ай бұрын
NYINYI MNAOSAPOTI HII HOJA, ACHENI UJINGA WOTE LENU MOJA MMEYAPANGA ILI MKOMENT MWANZOMWANZO JUUJUU MVUTIE WATU ILI WAKUBALIANE NAANYI, SASA NAWAULIZA MMEONA AYA AU MAANDISHI YOYOTE KWENYE VITABU VYA DINI YANAYOSEMA HIVYO? AU MNAONGOZWA NA MAWAZO POTOFU YA HUYO MCHUNGAJI? NANI KAWATIA UPOFU????
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Hesabu 25;1-9
@user-ib3jb6bv7m7 ай бұрын
Achani aseme
@KulwaJanila-fh9wc8 ай бұрын
Wanaokutukana zidi kuwaombea maana hawajui walitendalo, adui yetu shetani ndiye aliye ziba ufaham wao wa kutoyachunguza maandiko
@AmerdaKavishe-pu3cf8 ай бұрын
Kwani mungu kakutuma uje ufanye upelelezi kwa watumishi wamungu ndivyo umetumwa bakia hapo hapo na wao wabaki apoapa kwani wewe unaleta vita kwa wana wa mungu kwani wewe ulikua wapi tangu mdogo kama yesu acha siasa wewe
@emmanuelmsengi70607 ай бұрын
MUNGU akurehemu kwani hujui kwamba Kanisa sasa hivi limevamiwa na shetani
@emmanuelmsengi70607 ай бұрын
Amerdakavishe hivi huoni kuwa Kanisa sasa hivi limevamiwa na shetani
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Kamtuma aje akemee na kuonya watumishi wa uongo
@AmerdaKavishe-pu3cfАй бұрын
Achini ubaba ishaji shetani unamjua au uliambiwa anarangi gani mweupe mweuzi shida niufamizi acha mungu ashuulike nauofu wao sodoma alimpelekea nani tarifa mpaka akaangamiza akuna kitu napinga kama maneno yakuambiwa au usilo jua au sihasa kwa watumishi acheni kusumbua watu nakuaribu watu tunapambana kiroho na sio kimwili uyu kaka namchukia sana mnafiki mkubwa simpendi ata kumsikia mungu anajua apeleke kikizake mbali awaokoe basa awafae awaambie mungu kanituma nasio uwaribifu kwa mtaa au mtandaoni awatibu watu kwakuwaendea ana ogopa nn kama ni mwanafuzi wa yesu nakatumwa
@AmerdaKavishe-pu3cfАй бұрын
Yeye ni wakweli
@user-vx3cj1bv4q2 ай бұрын
Iyo imeandikwa wapi sasa unapotea
@user-jm3mx8ex1d8 ай бұрын
Kuwa heshima acha kumponda mtumishi wewe kibaraka wa shetani
@GeoffreyKuria1866 ай бұрын
Ukweli mtupu 🙏
@user-ij8cj7zl7b6 ай бұрын
Mwenye sikio naasikie asiye sikia apotelee mbali sikio lakufa halisikiidawa kula dawa hiyo uliye na sikio lakufa pita pemben
@user-kr9xx8br4o8 ай бұрын
HUYU ALISEMA INAMPASA AMALIZE IBADA MAPEMA, ETI KWAKUWA ANATAKIWA KUTOA RIPOTI KWA yesu KUHUSU KAZI YA SIKU HIYO JUMAPILI ILIVYOKUWA. HUYU MWISHO WAKE UTAKUWA SAWASAWA NA KAZI YAKE
@user-jo4zx3oo6g6 ай бұрын
We sio mchungaji Wala chochote unatafuta Kiki kwa Watumishi wa Mungu.
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Pole
@gloriaaugustino80318 ай бұрын
Ukitaka kujua chakula Cha msibani kina maana kwanini mtu akifa kifo Cha kutetanisha Huwa chakula hakipikwi na arobaini haifanywi?
@tinnahagustinolyelu42477 ай бұрын
Sio kweli ukiona hivo na wewe ni mchawi
@sophiakunache49828 ай бұрын
Tena shetani wa mashwetani ,huyu,Watumisho wooote wabaya mzur.yeye,tuwe macho na hili Kassiani ,shetani ana mbinu nyingi za kuangusha kanisa,Wanakuja kama.kondoo kumbe mbwa mwitu
@seraphinmsongamwanja7788 ай бұрын
Mm napingana na wewe kabisa naona kama wewe ndiyo wa kuzimu kama watu wanatoka kuzimu wanakuja kuokoka yaan nakuomba ndugu yangu jitathimin usije ukaachwa hata Yesu atakaporudi mara ya pili ondoa moyo huu wa farao isije bahari ya shamu ikakumeza
@TausilaWissa23 күн бұрын
Hakuna bahar ya Sham wala nini kikubwa kutengeneza mahusiano yetu na mungu achana na hao manabii maana
@user-md9xc4gr7n7 ай бұрын
Tafuteni pesa kwa karama zenu siyo mpate pesa kwa kuwasema vibaya watumishi wa MUNGU Nidhambi kubwa sana mnafanya
Kama na wewe mungu amekutuma pascal cassian ni sawa ila saidia watu waponye na wewe fungua kanisa hubiri injili tembea na mikoani hubiri sio huku pia unaweza kuamtumishi ila ukapoteza focus ya kulisema neno la mungu mtangaze mtete yesu kwa watu wabatizwe waombeee sio kusema wachungaji achaaa kabisa
@geoffreyembasa84836 ай бұрын
Mbona huyu mtu anapiga makelele kwenye kichaka?
@uwimanadady65637 ай бұрын
Sasa kama ni mama yangu njo amefariki ni sile awa manabii wa muchongo
@gonzarojozzy43406 ай бұрын
Samaki mkubwa anamla mdogo
@MikaNyalusi15 күн бұрын
Nyie mnaempinga kasian ukweli unawauma na mtaenda motoni kama kondoo machinjon
@GabrielMwabulo-hi5lt8 ай бұрын
Huyu kuhani ni mpotoshaji mkubwa. Ana maana kama atafiwa hatakula chakula,? Pascal uko sahihi. Huyu jamaa ni wakala wa shetani.
@user-hb9sy5pq4u3 ай бұрын
Nirichoona nikwamba manabii wengi nawachungaji wame ipita biblia waowapojuu kuliko nenoramungu
@joycehaule97173 ай бұрын
Wee chakula Cha msibani kitamu balaaa nakiwazaga mno na lile kabich na tumaharage we tutamu balaa
@danielsamuel18253 ай бұрын
Yani ww bala yakuita watu waende kwa YESU una kazi ya kutukana watu wa MUNGU 😱😱😱
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Ukweli unauma Mungu ametuita ili kuwasaidia wengine walio pofushwa akili lazima tuwavute usipo kuwa wewe wapo Mungu atakao wavuta
@RichardStephano-zr3qf8 ай бұрын
Kaka ungeendelea na huduma yako acha kumuita mtu wakara wa shetani
@jamesherbalclinic76658 ай бұрын
Mbona Mimi namuona anachokisema ni kweli? Acha aseme maana hapa hakuna kukaa kimya. Lazima watu waamushwe
@DavisIssangya-kc3rm3 ай бұрын
Wewe ibilisi hata unavyo onekana tu
@DavisIssangya-kc3rm3 ай бұрын
Wewe ndo mpinga kristo mwenyewe Huna utumishi wowote tapeli tu
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Mbona mnamtetea kama ni mtumishi wa Mungu kweli basi Mungu atampambania wajinga ndio waliwawo
@angelemmanuel7143Ай бұрын
Mpinga Kristo ni yule asiye kiri Yesu Kristo ni Bwana soma maandiko upate maarifa
@joycefrances45168 ай бұрын
Wivuuuuuuu,kajinyongeeeeee,unataka waumini wake utamuweza?acha wivu,waumini wake wanamwelewa,
@emmanuelmsengi70607 ай бұрын
Mnamuelewa kwakuwa ameshawateka ufahamu wenu kwa NGUVU za giza hivyo nyote mnatumbukizwa kuzimu
@patrickwizboyy42972 ай бұрын
Nakufata kongo Jimbo la kindu nakuombea namungu akilinde usiku kama mchana