No video

KILICHO NYUMA YA WASAFI TV CHA FUNULIWA KAFARA WATAZAMAJI EV PASCHAL CASSIAN

  Рет қаралды 20,492

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE

9 ай бұрын

*#0766998994 #0788871769 #

Пікірлер: 107
@omegamchaki6696
@omegamchaki6696 8 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu huwa nabarikiwa sana sana nikikufuatilia....kupitia wewe sijawahi kujutia wokovu ...najengekea kiimani kila iitwapo leo...
@MeshackDaniely
@MeshackDaniely Ай бұрын
Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 9 ай бұрын
Mungu atusaidie sana maana mambo ni mengi, majaribu pande zote duniani... Wakristo wajiepushe sana na mafundisho potovu... Ni kawaida kwa mtu kuwa dhaifu, au kuwa na uhasi ndani yao, au kukosa uwazi juu ya mapenzi ya Mungu au njia yao ya kutenda. Lakini katika hali yoyote, lazima tuwe na imani katika kazi ya Mungu, na tusimkane Mungu... tusimame imara katika Bwana... Vituko vinavyoendelea mitandaoni ni maovu tu... na ndio watu wengi wanafuatilia ni kuwaombea mungu awakomboe wasiangamie. Mungu akubariki sana mtumishi kwa kazi njema unayofanya.... zidi kuwatoa wengi gizani...
@gracengairo6214
@gracengairo6214 9 ай бұрын
MUNGU akulinde mtumishi unachukiwa kwaukweli unaotoa Mungu atuponye
@user-sf4hf1my3m
@user-sf4hf1my3m 9 ай бұрын
Napenda sana mahubiri yako yamenibadilisha sehemu kubwa sana.... Wewe ni Mtumishi umeitwa ili utufumbuwa macho ya kiroho...... achana nahao wengine wanatumikia ndoto zao hawajaitwa na Mungu hata... Nimeona mmoja hapa Kenya anajiita mtumishi wa Mungu.. Mwanzoni niliona kama anaongea kweli nikamufuatiliya.... Badae nikaona ameposti kipindi kimoja.. Anapingana na Watumishi akiwemo PASCHAL CASSIAN MTUME MALI YA BWANA NAWENGINE.. Nikatama nikamusikiliza kipindi hicho sikumuelewa... Namshukuru Mungu badae nikaona kipindi kingene ameposti akiwa anamtetea MAKENZI huyu aliye sababalisha vifo vyawatu wengi hapa Kenya ati MAKENZI ni mtumishi wa Mungu ametumwa kabisa na Mungu eti wamwache wasipo mwacha Kenya itapata shida maana Mungu amekasilika sana wanamtesa mtumishi wa Mungu naye ametumwa na Mungu... Nikasema huyu anampinga PASCHAL Cassian alafu anamkubali MAKHENZI nikasema basi huyu ni shetani mwenyewe sasa ninaye mufuatilia... Nahapo nikakoma kufuatilia watumishi wengine ovyo ovyo. Kwahio Mtumishi wa Mungu endelea kutufumbuwa macho ya kiroho. Mungu aendelee kukuvuviya nguvu za kiroho zaidi, na azidi kukutenga na roho ya uoga maana ukweli wako unatusaidia sana wengi. Umebarikiwa sana.
@user-sb6pc2cv5j
@user-sb6pc2cv5j 22 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu.
@ObedyBazirake
@ObedyBazirake 8 сағат бұрын
Bwana yesu kristo asifiwe
@AnneCherotich-gj9eg
@AnneCherotich-gj9eg 8 ай бұрын
Jina lake Yesu Kristo lihimidiwe kupitia mahubiri na maono makuu kama haya. Zidi kuinuliwa katika viwango ki imani mchungaji. Hapa Kenya tunasema Neno la Mwenyezi Mungu lizidi kuendelea
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 9 ай бұрын
Kwanza kama kweli tunataka kuwa na mwisho mwema hatuna budi kujitenga kabisa na entertainment zote za kidunia. Jamani Mbingu ipo na jehanam ipo na vyote ni halisi. Jehanam hata yule unayemchukia huwezi tamani aende huko ni hatari tutaponaje tusipotii !?
@jumaluchagula8357
@jumaluchagula8357 2 күн бұрын
Ukweli mtumishi wa mungu endelea kuelimisha jamii
@Jus378
@Jus378 8 ай бұрын
Ninakuelewa sana Mtumishi.Mungu Anakutumia vyema sana usiwe kama shusho anayejiita mtumishi na kumbe ni kahaba wa diamond
@ASTONVILLA_254
@ASTONVILLA_254 6 ай бұрын
Hatari sana
@NeemaMwita-vb4xd
@NeemaMwita-vb4xd Ай бұрын
Mungu akubaliki sana mtumishi binafsi nimejifunza kitu
@ericbadesire9172
@ericbadesire9172 7 ай бұрын
Mungu akulinde na kukuweka mbali na maadui zako ili mradi neno lienee popote.
@user-os1wx8wy8l
@user-os1wx8wy8l 6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi waambie ukwer
@WilliamMandwanga
@WilliamMandwanga 2 ай бұрын
Wewe kweli mtumishi wa mungu.atamane unayo ongea nikweli kabisa mptumishi.upoongea yanaingia.kaa nikwei nauzima
@noelmbosa2736
@noelmbosa2736 9 ай бұрын
Mmmm! tusaidie YAWE pekeyetu hatuwezi,duniani mambo mengi ni hatari sana kwa ajili ya maisha ya mtu kiroho, wapendwa roho mtakatifu awe kiongozi wetu siku zote
@immahkisuke1564
@immahkisuke1564 Ай бұрын
Barikiwa Sana Pascol
@erickrao
@erickrao 8 ай бұрын
Asante sana appreciate you so much without fear wawache zahovio warudi kwa mungu🇰🇪
@user-yn5lk7wk1r
@user-yn5lk7wk1r 9 ай бұрын
Wana mwaga roho za kutosha,ushoga,uzinzi,usagaji kila aina ya roho hizi nyimbo zina achilia,zina kausha na kuuwa watu kiroho watu wa rohoni kiukweli tukiwaangalia hawa wasanii tunaona shetani mzima mzima ndani yao
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 8 ай бұрын
Haswa kabixa kabixa ni makuhaani,mawakala
@joannekesa1835
@joannekesa1835 9 ай бұрын
Ukweli kabisa mtumishi wa MUNGU ubarikiwe kwa mafunzo mazuri amina
@Pendopasilika
@Pendopasilika 9 ай бұрын
Ni kweli baba wanawake hawaoni shida kuonyesha maungu Yao shetani ameteka fahamu zao wanatembea vitovu pasipo kuogopa siku hizo wasichana hawaogopi hata wazazi wao MUNGU atusaidie katika kizazi hiki kilicho potoka
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 9 ай бұрын
True
@marysarange9187
@marysarange9187 9 ай бұрын
True mtumishi Mwenyezi Mungu atusaidie katika Jina Kuu La YesuAmina
@neemasanga5333
@neemasanga5333 9 ай бұрын
NAMSHUKURU MUNGU ANANIPENDA NA KUNIEPUSHA NA MAMBO MENGI YANAYOONEKANA MEMA KUMBE KUNA MTEGO NYUMA YAKE❤.
@user-lc6te2pe2l
@user-lc6te2pe2l 8 ай бұрын
Hakika ww ni mtumishi wa Yesu Bwana aendelee kukulinda na kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu kila siku.
@user-xl8cw8ji8f
@user-xl8cw8ji8f 7 ай бұрын
Mungu azidi kukulinda mtumishi maana somo unalotupa ni watumishi wachache wanaoweza kujitosa na kuongea,🙏
@EmmanuelMikael-in1ej
@EmmanuelMikael-in1ej 9 ай бұрын
Sauti ya mtu aliae nyikani.nakufatilia sana kaka
@Erishaernest-ik3kk
@Erishaernest-ik3kk 9 ай бұрын
Mtumishi mungu ukubariki sasa kwa mafunuo ya mambo ya dunia hii na azidi kukufunuria mengi iri sisi tuzidi kujuwa nasi tuweze kujiepusha nayo> nabarikiwa sana na mafundisho yako kwa sababu yanatuweka uweponi mwa mungu wetu
@KulekatsengeHaruni-sb6qc
@KulekatsengeHaruni-sb6qc 8 ай бұрын
Amen ubarikiwe nakupenda sana.
@user-ng7tx5hq9p
@user-ng7tx5hq9p 8 ай бұрын
Ee Mungu katika Kristo Yesu tupiganie Kwa hili. Mlinde na huyu mtumishi wako mwinjilisti Pascal Kasian
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 7 ай бұрын
Na kwa kweli umepitia MAENEO mengi ktk ulimwengu huu, na ndo maana data nyingi unazo, ubongo wako unabeba viingi, hongera na kumbukumbu unazo pia hurudii rudii! Pongezi kwa muumba wako kabisa. AMEEN.
@user-dy2mg7qg3t
@user-dy2mg7qg3t 6 ай бұрын
Amen 🙌🙌 ubarikiwe sanaaa
@consolatarogers1142
@consolatarogers1142 8 ай бұрын
Mungu akutunze siku zote
@aloyceJiles
@aloyceJiles 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana sana nima ombi yangu
@SelemwambaFrancis
@SelemwambaFrancis 8 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@gahungubertin1214
@gahungubertin1214 9 ай бұрын
Yaani mutumishi nakuombea tena nakupenda bure,nikiingiya tuu KZbin, cha kwanza nachotafuta ni mafundisho yako...Mungu akutunze
@user-es4jv6pb8x
@user-es4jv6pb8x 3 ай бұрын
Kweliii kabisa Mtumishi tunapotea sana jamani tunaangamia vibaya
@benjaminwafula
@benjaminwafula 9 ай бұрын
Mtumishi nimerejea tena Kwa mda kiasi nimekua out but am back sema kweli mwenye siko asikue barikiwa nawe pia
@saimonkaayanyawacha3836
@saimonkaayanyawacha3836 8 ай бұрын
Nimekuelewa mungu akubariki
@belinamwambeleko370
@belinamwambeleko370 9 ай бұрын
Kweli kabisa .asante mtumishi wa mungu
@jeanlouisangelina4654
@jeanlouisangelina4654 8 ай бұрын
Nakupata mtumishi Mungu akulinde
@mercykasyoka4007
@mercykasyoka4007 9 ай бұрын
Hamuelewi dunia imepasuka na kuporomoka... yesu yukaribu kufunuliwa jiwekeni tayari Ahsante mtumishi kwanza juu ujawah kuwa mwoga kwa neno la mungu
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 8 ай бұрын
Haswaa
@mercykasyoka4007
@mercykasyoka4007 8 ай бұрын
@@LucyKapinga-fg4dk kweli
@neemamsanga253
@neemamsanga253 19 күн бұрын
àmina 🙏
@WilliamMandwanga
@WilliamMandwanga 2 ай бұрын
Mwenye TV mwenywe aeleweki.kama wakuzim
@martinahlighare6495
@martinahlighare6495 9 ай бұрын
Dunia inazidi kuwa tambara mbovu. Asante kwa uelimisho.
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 18 күн бұрын
Kipimo.cha muhubiri wakweli wa. Mungu ni uleutitili wamafundisho yashetani nawahusika wamahubiri hayo kujitanua nakujisifu ilihali wachungaji wa kweli kama akinapaschal autanzania tuna miamoja au Hawafiki kumi nafatiliasana wachungaji nawanaojiita manabiinamitume sipatijibu kama wanamuwakilisha Mungu wokovu ni njianyembamba kama ville akinapaschal walivyowachache hongelasana evangelistic kutupa kweli yaMungu.
@anasialauwo4922
@anasialauwo4922 9 ай бұрын
Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU
@LAMECKSHEDRACK
@LAMECKSHEDRACK Ай бұрын
Kweli kabisa
@user-mz2wx5dt9v
@user-mz2wx5dt9v 5 ай бұрын
Sema ukweli baba mungu akutunze
@user-yn5lk7wk1r
@user-yn5lk7wk1r 9 ай бұрын
Mtumishi Bwana akupe nguvu zaidi
@neemalambo9790
@neemalambo9790 7 ай бұрын
Nakukubali mnoo kwa kuwa ulitoka huko unajua kila kitu
@hasanygodda9242
@hasanygodda9242 8 ай бұрын
Amina mtumishi
@rachelkihaka9204
@rachelkihaka9204 8 ай бұрын
Ee Mungu naomba nifikishe mwisho mwema ili niuone ufalme wa mbingu nami niimbe pamoja na malaika hao wanne wenye uhai na watakatifu wengine
@mpesastatements2265
@mpesastatements2265 9 ай бұрын
Enda mbele baba tuko pamoja tutashinda Niko kenya nakuelewa sana
@user-oc4pm9fs7z
@user-oc4pm9fs7z 6 ай бұрын
Thanks sana
@JedidaNdutuu-ys3lx
@JedidaNdutuu-ys3lx 4 ай бұрын
N kwel kabisa, watu wajue ukwel
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 9 ай бұрын
Shetani anaitumia fedha kama silaha ya kuiangamiza dunia. Mimi hujiuliza shetani hajawahi kuumba chochote na Hana kitu chochote cha kumpa mwanadamu isipokuwa vile vilivyoumbwa na Mungu ambavyo sisi tulipewa tuvimiliki. Imagine tajiri kama Reginald Mengi pamoja na umaarufu wake yuko wapi leo huo utajiri wake unamsaidia nini hivi Sasa? Nimetoa mfano tu ingawa sijui kama naye alikuwa na mkataba na Ibilisi
@NathanielJeksta
@NathanielJeksta Ай бұрын
Kweri kabisa
@RemmyKazumba
@RemmyKazumba 27 күн бұрын
Aminaumenib 12:24 adirisha
@nenolauzima5281
@nenolauzima5281 8 ай бұрын
Tatizo watu tumeshikwa ufahamu hatuelewi hatusikii
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 ай бұрын
Muda ni mchache mambo ni mengi
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g 4 ай бұрын
Umenena kweli mtumishi, ni wasafi kidogo wa mavazi wachafu wa nafsi,< nafsi wameuza kwa shetani>
@rafikiyangu34
@rafikiyangu34 9 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭happy for what you are doing Don’t stop but then we should not hate evil doers
@raymondwatsonvideosclip5177
@raymondwatsonvideosclip5177 9 ай бұрын
jamani hii hatari
@jovettedenise2591
@jovettedenise2591 9 ай бұрын
Amen
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 8 ай бұрын
Yes sir
@DedieuFereza
@DedieuFereza 4 ай бұрын
Uyo msani ni shetani wa kuzimu BWANA ATUSAIDIYE KWELI
@BwawaniSecondarySchool
@BwawaniSecondarySchool 9 ай бұрын
🎉🎉
@user-es4jv6pb8x
@user-es4jv6pb8x 3 ай бұрын
Maskiniii
@cristinarashid1245
@cristinarashid1245 9 ай бұрын
Ameen
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 8 ай бұрын
Ee Mungu utunusuru waja wako.
@Elishaponde
@Elishaponde 9 ай бұрын
ameni kk utukufu kwamngu wetu
@jastinmkoba
@jastinmkoba 8 ай бұрын
Leo 🤝🤝🤝😳
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 9 ай бұрын
Nikweli baba sema tupone
@MariamLulao-im3bf
@MariamLulao-im3bf 7 ай бұрын
🙏🙏
@user-es4jv6pb8x
@user-es4jv6pb8x 7 ай бұрын
MUNGU Atusaidie Mtumishi
@pendoshaban1010
@pendoshaban1010 9 ай бұрын
Mchungaji endelea kupiga vita
@damasioadrianosalendi6871
@damasioadrianosalendi6871 9 ай бұрын
Vipi kuhusu vaimba kwaya ntunsikilize nani?
@user-bx5nc8ge6r
@user-bx5nc8ge6r 9 ай бұрын
Ni hatari kweli 🤔
@loveneskasanga4186
@loveneskasanga4186 7 ай бұрын
Acha kifatilia ya watu fata yoko,Yako yamekushinda😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kweli alafu huyu jamaaa ni kigeugeu😅😅😅😅
@MnanilaMrsmnanila
@MnanilaMrsmnanila 2 ай бұрын
Pole Sana,huyu ni mtumishi wa Mungu ukimfatilia utapona
@neemamsanga253
@neemamsanga253 19 күн бұрын
karibu nuruni utaelewa MUNGU akusaidie 🙏🙌
@Mteulefrancic10
@Mteulefrancic10 8 ай бұрын
Twende tuondoke safar ya mbinguni
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 7 ай бұрын
Wewe nawe umechaguliwa na mwenyezi mungu wetu, inanikumbusha wakati wa kambalage nyerere alikuwa ataki wananchi wake waone vidoe na wakati wa pombe magifuri alikemea wote waocheza uchi....
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 7 ай бұрын
WENGI WAPE! BASATA IPOGO SIYO! HABARI NA UTANGAZI, UTAMADUNI, VIJANA NK , TUOMBEANE MEMA TUFIKE PAZURI MUNGU APATE UTUKUFU WAKE DAIMA! WASAFI NA DINI!
@mercycharlesmsiagi1756
@mercycharlesmsiagi1756 8 ай бұрын
Kwan kuangalia TV ni zambi au kuwa na TV n zambi ni eleweshen
@neemamsanga253
@neemamsanga253 19 күн бұрын
sio dhambi inategemea na unacho tazama dada🙏
@user-uj6zq7rw2s
@user-uj6zq7rw2s 9 ай бұрын
Mimi niende kanisa gani??
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 9 ай бұрын
Njoo msikitini
@MnanilaMrsmnanila
@MnanilaMrsmnanila 2 ай бұрын
Mtafute Mungu na uende mahali sahihi ambako hawatumii Maji wala mafuta ila jina la Yesu ndilo linalo hubiliwa na kutukuzwa Tu mpendwa wangu
@barakamachard1944
@barakamachard1944 7 ай бұрын
Tufanye kazi jamani umasikini huleta uongo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 ай бұрын
Kweli 😂😂😂😂😂😂
@neemamsanga253
@neemamsanga253 19 күн бұрын
ukiwa nuruni utaelewa,,, MUNGU akusaidie
@ferdinandmlacha1123
@ferdinandmlacha1123 9 ай бұрын
Wewe mwenyewe fake unaonekana tu
@hakilitoyi
@hakilitoyi 9 ай бұрын
Na wewe onekana tukuone na kukutambua u wanani wewe.
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 8 ай бұрын
Polee
@nenolauzima5281
@nenolauzima5281 8 ай бұрын
Wewe naweee.....mfyuuuu
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o 9 ай бұрын
MAANA YAKE NI KWAMBA, WALE AMBAO NI WACHAFU NA MACHUKIZO; HAO KULE KUZIMU WANAPEWA JINA LA WASAFI. LAKINI WALE AMBAO NI WATAKATIFU, KULE KUZIMU, SHETANI ANAWAPAJINA LA WACHAFU. HIYO NDIYO TAFSIRI YAKE
@MeshackDaniely
@MeshackDaniely Ай бұрын
Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa
@swai.edentv5273
@swai.edentv5273 9 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-ro2mb5uc1y
@user-ro2mb5uc1y 9 ай бұрын
Hakika MUNGU azidi kukulinda
KILISIMASI NI SIKU KUU YA MASHETANI SIO YA WAKRSTO EV PASCHAL CASSIAN
1:05:30
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 33 М.
CASSIN ACHUKIZWA NA WAIMBAJI  WANA TANGAZA USHOGA
37:34
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 13 М.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 81 МЛН
mji wa matarajio sura ya pili
6:19
Kiswahili Rahisi
Рет қаралды 10
ONYO KWA WAKENYA MUOGOPEN HUYU PASTAR NGAN'GA SHETANI ANAMTUMIA EV PASCHAL CASSIN
41:46
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 17 М.
ONYO KWA WAKRSTO WANAO KULA NA KUNYWA VINYWAJI HIVI 666 EV PASCHAL CASSIAN
1:21:34
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 21 М.
CASSIAN AIONAYA TANZANIA JUU YA UJIO MPYA WA ZUMARIDI KUTOKA JERA
38:51
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 69 М.
MKE WANGU ALINI KIMBIA EV PASCHAL CASSIAN
31:44
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 37 М.
WAKRSTO MSITAZAME FILAM HIZI NI HATARI. EV PASCHAL CASSIAN
35:48
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 32 М.