Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu huwa nabarikiwa sana sana nikikufuatilia....kupitia wewe sijawahi kujutia wokovu ...najengekea kiimani kila iitwapo leo...
@MeshackDanielyАй бұрын
Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa
@user-ii1qk9xn9z9 ай бұрын
Mungu atusaidie sana maana mambo ni mengi, majaribu pande zote duniani... Wakristo wajiepushe sana na mafundisho potovu... Ni kawaida kwa mtu kuwa dhaifu, au kuwa na uhasi ndani yao, au kukosa uwazi juu ya mapenzi ya Mungu au njia yao ya kutenda. Lakini katika hali yoyote, lazima tuwe na imani katika kazi ya Mungu, na tusimkane Mungu... tusimame imara katika Bwana... Vituko vinavyoendelea mitandaoni ni maovu tu... na ndio watu wengi wanafuatilia ni kuwaombea mungu awakomboe wasiangamie. Mungu akubariki sana mtumishi kwa kazi njema unayofanya.... zidi kuwatoa wengi gizani...
@gracengairo62149 ай бұрын
MUNGU akulinde mtumishi unachukiwa kwaukweli unaotoa Mungu atuponye
@user-sf4hf1my3m9 ай бұрын
Napenda sana mahubiri yako yamenibadilisha sehemu kubwa sana.... Wewe ni Mtumishi umeitwa ili utufumbuwa macho ya kiroho...... achana nahao wengine wanatumikia ndoto zao hawajaitwa na Mungu hata... Nimeona mmoja hapa Kenya anajiita mtumishi wa Mungu.. Mwanzoni niliona kama anaongea kweli nikamufuatiliya.... Badae nikaona ameposti kipindi kimoja.. Anapingana na Watumishi akiwemo PASCHAL CASSIAN MTUME MALI YA BWANA NAWENGINE.. Nikatama nikamusikiliza kipindi hicho sikumuelewa... Namshukuru Mungu badae nikaona kipindi kingene ameposti akiwa anamtetea MAKENZI huyu aliye sababalisha vifo vyawatu wengi hapa Kenya ati MAKENZI ni mtumishi wa Mungu ametumwa kabisa na Mungu eti wamwache wasipo mwacha Kenya itapata shida maana Mungu amekasilika sana wanamtesa mtumishi wa Mungu naye ametumwa na Mungu... Nikasema huyu anampinga PASCHAL Cassian alafu anamkubali MAKHENZI nikasema basi huyu ni shetani mwenyewe sasa ninaye mufuatilia... Nahapo nikakoma kufuatilia watumishi wengine ovyo ovyo. Kwahio Mtumishi wa Mungu endelea kutufumbuwa macho ya kiroho. Mungu aendelee kukuvuviya nguvu za kiroho zaidi, na azidi kukutenga na roho ya uoga maana ukweli wako unatusaidia sana wengi. Umebarikiwa sana.
@user-sb6pc2cv5j22 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu.
@ObedyBazirake8 сағат бұрын
Bwana yesu kristo asifiwe
@AnneCherotich-gj9eg8 ай бұрын
Jina lake Yesu Kristo lihimidiwe kupitia mahubiri na maono makuu kama haya. Zidi kuinuliwa katika viwango ki imani mchungaji. Hapa Kenya tunasema Neno la Mwenyezi Mungu lizidi kuendelea
@RubenMtuwaMungu-bz8ee9 ай бұрын
Kwanza kama kweli tunataka kuwa na mwisho mwema hatuna budi kujitenga kabisa na entertainment zote za kidunia. Jamani Mbingu ipo na jehanam ipo na vyote ni halisi. Jehanam hata yule unayemchukia huwezi tamani aende huko ni hatari tutaponaje tusipotii !?
@jumaluchagula83572 күн бұрын
Ukweli mtumishi wa mungu endelea kuelimisha jamii
@Jus3788 ай бұрын
Ninakuelewa sana Mtumishi.Mungu Anakutumia vyema sana usiwe kama shusho anayejiita mtumishi na kumbe ni kahaba wa diamond
@ASTONVILLA_2546 ай бұрын
Hatari sana
@NeemaMwita-vb4xdАй бұрын
Mungu akubaliki sana mtumishi binafsi nimejifunza kitu
@ericbadesire91727 ай бұрын
Mungu akulinde na kukuweka mbali na maadui zako ili mradi neno lienee popote.
@user-os1wx8wy8l6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi waambie ukwer
@WilliamMandwanga2 ай бұрын
Wewe kweli mtumishi wa mungu.atamane unayo ongea nikweli kabisa mptumishi.upoongea yanaingia.kaa nikwei nauzima
@noelmbosa27369 ай бұрын
Mmmm! tusaidie YAWE pekeyetu hatuwezi,duniani mambo mengi ni hatari sana kwa ajili ya maisha ya mtu kiroho, wapendwa roho mtakatifu awe kiongozi wetu siku zote
@immahkisuke1564Ай бұрын
Barikiwa Sana Pascol
@erickrao8 ай бұрын
Asante sana appreciate you so much without fear wawache zahovio warudi kwa mungu🇰🇪
@user-yn5lk7wk1r9 ай бұрын
Wana mwaga roho za kutosha,ushoga,uzinzi,usagaji kila aina ya roho hizi nyimbo zina achilia,zina kausha na kuuwa watu kiroho watu wa rohoni kiukweli tukiwaangalia hawa wasanii tunaona shetani mzima mzima ndani yao
@LucyKapinga-fg4dk8 ай бұрын
Haswa kabixa kabixa ni makuhaani,mawakala
@joannekesa18359 ай бұрын
Ukweli kabisa mtumishi wa MUNGU ubarikiwe kwa mafunzo mazuri amina
@Pendopasilika9 ай бұрын
Ni kweli baba wanawake hawaoni shida kuonyesha maungu Yao shetani ameteka fahamu zao wanatembea vitovu pasipo kuogopa siku hizo wasichana hawaogopi hata wazazi wao MUNGU atusaidie katika kizazi hiki kilicho potoka
@BM_Smart2-69 ай бұрын
True
@marysarange91879 ай бұрын
True mtumishi Mwenyezi Mungu atusaidie katika Jina Kuu La YesuAmina
@neemasanga53339 ай бұрын
NAMSHUKURU MUNGU ANANIPENDA NA KUNIEPUSHA NA MAMBO MENGI YANAYOONEKANA MEMA KUMBE KUNA MTEGO NYUMA YAKE❤.
@user-lc6te2pe2l8 ай бұрын
Hakika ww ni mtumishi wa Yesu Bwana aendelee kukulinda na kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu kila siku.
@user-xl8cw8ji8f7 ай бұрын
Mungu azidi kukulinda mtumishi maana somo unalotupa ni watumishi wachache wanaoweza kujitosa na kuongea,🙏
@EmmanuelMikael-in1ej9 ай бұрын
Sauti ya mtu aliae nyikani.nakufatilia sana kaka
@Erishaernest-ik3kk9 ай бұрын
Mtumishi mungu ukubariki sasa kwa mafunuo ya mambo ya dunia hii na azidi kukufunuria mengi iri sisi tuzidi kujuwa nasi tuweze kujiepusha nayo> nabarikiwa sana na mafundisho yako kwa sababu yanatuweka uweponi mwa mungu wetu
@KulekatsengeHaruni-sb6qc8 ай бұрын
Amen ubarikiwe nakupenda sana.
@user-ng7tx5hq9p8 ай бұрын
Ee Mungu katika Kristo Yesu tupiganie Kwa hili. Mlinde na huyu mtumishi wako mwinjilisti Pascal Kasian
@rahabnkya82767 ай бұрын
Na kwa kweli umepitia MAENEO mengi ktk ulimwengu huu, na ndo maana data nyingi unazo, ubongo wako unabeba viingi, hongera na kumbukumbu unazo pia hurudii rudii! Pongezi kwa muumba wako kabisa. AMEEN.
@user-dy2mg7qg3t6 ай бұрын
Amen 🙌🙌 ubarikiwe sanaaa
@consolatarogers11428 ай бұрын
Mungu akutunze siku zote
@aloyceJiles9 ай бұрын
Mungu akubariki sana sana nima ombi yangu
@SelemwambaFrancis8 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@gahungubertin12149 ай бұрын
Yaani mutumishi nakuombea tena nakupenda bure,nikiingiya tuu KZbin, cha kwanza nachotafuta ni mafundisho yako...Mungu akutunze
@user-es4jv6pb8x3 ай бұрын
Kweliii kabisa Mtumishi tunapotea sana jamani tunaangamia vibaya
@benjaminwafula9 ай бұрын
Mtumishi nimerejea tena Kwa mda kiasi nimekua out but am back sema kweli mwenye siko asikue barikiwa nawe pia
@saimonkaayanyawacha38368 ай бұрын
Nimekuelewa mungu akubariki
@belinamwambeleko3709 ай бұрын
Kweli kabisa .asante mtumishi wa mungu
@jeanlouisangelina46548 ай бұрын
Nakupata mtumishi Mungu akulinde
@mercykasyoka40079 ай бұрын
Hamuelewi dunia imepasuka na kuporomoka... yesu yukaribu kufunuliwa jiwekeni tayari Ahsante mtumishi kwanza juu ujawah kuwa mwoga kwa neno la mungu
@LucyKapinga-fg4dk8 ай бұрын
Haswaa
@mercykasyoka40078 ай бұрын
@@LucyKapinga-fg4dk kweli
@neemamsanga25319 күн бұрын
àmina 🙏
@WilliamMandwanga2 ай бұрын
Mwenye TV mwenywe aeleweki.kama wakuzim
@martinahlighare64959 ай бұрын
Dunia inazidi kuwa tambara mbovu. Asante kwa uelimisho.
@user-jl5un4wf3u18 күн бұрын
Kipimo.cha muhubiri wakweli wa. Mungu ni uleutitili wamafundisho yashetani nawahusika wamahubiri hayo kujitanua nakujisifu ilihali wachungaji wa kweli kama akinapaschal autanzania tuna miamoja au Hawafiki kumi nafatiliasana wachungaji nawanaojiita manabiinamitume sipatijibu kama wanamuwakilisha Mungu wokovu ni njianyembamba kama ville akinapaschal walivyowachache hongelasana evangelistic kutupa kweli yaMungu.
@anasialauwo49229 ай бұрын
Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU
@LAMECKSHEDRACKАй бұрын
Kweli kabisa
@user-mz2wx5dt9v5 ай бұрын
Sema ukweli baba mungu akutunze
@user-yn5lk7wk1r9 ай бұрын
Mtumishi Bwana akupe nguvu zaidi
@neemalambo97907 ай бұрын
Nakukubali mnoo kwa kuwa ulitoka huko unajua kila kitu
@hasanygodda92428 ай бұрын
Amina mtumishi
@rachelkihaka92048 ай бұрын
Ee Mungu naomba nifikishe mwisho mwema ili niuone ufalme wa mbingu nami niimbe pamoja na malaika hao wanne wenye uhai na watakatifu wengine
@mpesastatements22659 ай бұрын
Enda mbele baba tuko pamoja tutashinda Niko kenya nakuelewa sana
@user-oc4pm9fs7z6 ай бұрын
Thanks sana
@JedidaNdutuu-ys3lx4 ай бұрын
N kwel kabisa, watu wajue ukwel
@RubenMtuwaMungu-bz8ee9 ай бұрын
Shetani anaitumia fedha kama silaha ya kuiangamiza dunia. Mimi hujiuliza shetani hajawahi kuumba chochote na Hana kitu chochote cha kumpa mwanadamu isipokuwa vile vilivyoumbwa na Mungu ambavyo sisi tulipewa tuvimiliki. Imagine tajiri kama Reginald Mengi pamoja na umaarufu wake yuko wapi leo huo utajiri wake unamsaidia nini hivi Sasa? Nimetoa mfano tu ingawa sijui kama naye alikuwa na mkataba na Ibilisi
@NathanielJekstaАй бұрын
Kweri kabisa
@RemmyKazumba27 күн бұрын
Aminaumenib 12:24 adirisha
@nenolauzima52818 ай бұрын
Tatizo watu tumeshikwa ufahamu hatuelewi hatusikii
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
Muda ni mchache mambo ni mengi
@user-xs3ko8pg2g4 ай бұрын
Umenena kweli mtumishi, ni wasafi kidogo wa mavazi wachafu wa nafsi,< nafsi wameuza kwa shetani>
@rafikiyangu349 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭happy for what you are doing Don’t stop but then we should not hate evil doers
@raymondwatsonvideosclip51779 ай бұрын
jamani hii hatari
@jovettedenise25919 ай бұрын
Amen
@Farajahelene230318 ай бұрын
Yes sir
@DedieuFereza4 ай бұрын
Uyo msani ni shetani wa kuzimu BWANA ATUSAIDIYE KWELI
@BwawaniSecondarySchool9 ай бұрын
🎉🎉
@user-es4jv6pb8x3 ай бұрын
Maskiniii
@cristinarashid12459 ай бұрын
Ameen
@mwambakibucheche11198 ай бұрын
Ee Mungu utunusuru waja wako.
@Elishaponde9 ай бұрын
ameni kk utukufu kwamngu wetu
@jastinmkoba8 ай бұрын
Leo 🤝🤝🤝😳
@VeronicaRugoyi9 ай бұрын
Nikweli baba sema tupone
@MariamLulao-im3bf7 ай бұрын
🙏🙏
@user-es4jv6pb8x7 ай бұрын
MUNGU Atusaidie Mtumishi
@pendoshaban10109 ай бұрын
Mchungaji endelea kupiga vita
@damasioadrianosalendi68719 ай бұрын
Vipi kuhusu vaimba kwaya ntunsikilize nani?
@user-bx5nc8ge6r9 ай бұрын
Ni hatari kweli 🤔
@loveneskasanga41867 ай бұрын
Acha kifatilia ya watu fata yoko,Yako yamekushinda😂😂😂
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kweli alafu huyu jamaaa ni kigeugeu😅😅😅😅
@MnanilaMrsmnanila2 ай бұрын
Pole Sana,huyu ni mtumishi wa Mungu ukimfatilia utapona
@neemamsanga25319 күн бұрын
karibu nuruni utaelewa MUNGU akusaidie 🙏🙌
@Mteulefrancic108 ай бұрын
Twende tuondoke safar ya mbinguni
@mariamwakabuta10347 ай бұрын
Wewe nawe umechaguliwa na mwenyezi mungu wetu, inanikumbusha wakati wa kambalage nyerere alikuwa ataki wananchi wake waone vidoe na wakati wa pombe magifuri alikemea wote waocheza uchi....
@rahabnkya82767 ай бұрын
WENGI WAPE! BASATA IPOGO SIYO! HABARI NA UTANGAZI, UTAMADUNI, VIJANA NK , TUOMBEANE MEMA TUFIKE PAZURI MUNGU APATE UTUKUFU WAKE DAIMA! WASAFI NA DINI!
@mercycharlesmsiagi17568 ай бұрын
Kwan kuangalia TV ni zambi au kuwa na TV n zambi ni eleweshen
@neemamsanga25319 күн бұрын
sio dhambi inategemea na unacho tazama dada🙏
@user-uj6zq7rw2s9 ай бұрын
Mimi niende kanisa gani??
@rogerabdallah4399 ай бұрын
Njoo msikitini
@MnanilaMrsmnanila2 ай бұрын
Mtafute Mungu na uende mahali sahihi ambako hawatumii Maji wala mafuta ila jina la Yesu ndilo linalo hubiliwa na kutukuzwa Tu mpendwa wangu
@barakamachard19447 ай бұрын
Tufanye kazi jamani umasikini huleta uongo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
Kweli 😂😂😂😂😂😂
@neemamsanga25319 күн бұрын
ukiwa nuruni utaelewa,,, MUNGU akusaidie
@ferdinandmlacha11239 ай бұрын
Wewe mwenyewe fake unaonekana tu
@hakilitoyi9 ай бұрын
Na wewe onekana tukuone na kukutambua u wanani wewe.
@LucyKapinga-fg4dk8 ай бұрын
Polee
@nenolauzima52818 ай бұрын
Wewe naweee.....mfyuuuu
@user-kr9xx8br4o9 ай бұрын
MAANA YAKE NI KWAMBA, WALE AMBAO NI WACHAFU NA MACHUKIZO; HAO KULE KUZIMU WANAPEWA JINA LA WASAFI. LAKINI WALE AMBAO NI WATAKATIFU, KULE KUZIMU, SHETANI ANAWAPAJINA LA WACHAFU. HIYO NDIYO TAFSIRI YAKE
@MeshackDanielyАй бұрын
Sijuwi nisemaje pascal mtumishi wamungu mungu akubaliki sanaaaaaaaaaaaaaa 🙏🙏🙏 asante sana nitakufatilia maisha yangu yote ilu nipone kwajina layesu mungu akulinde akupe maisha utuokoe na uziokoe familia zetu nakupenda sana mtumishi wamungu kwasababu unaihubili kweli yamungu ubalikiwe mchungaj ubalikiwe sana sana sana sana yesuuuuuuu mpe maisha marefu anusulu vizazi vyetu kwanjia yainjili asante sana sana sana sana ameeen kubwaaaaaaaaaaaaa