Hatujawahi kuwa na miungu bali Mungu mmoja mwenye majina tofauti ya makabila yetu kama Kyala,Nguruwi,Ngai,Nzambe,Mulungu,Sebha nk.Sisi tulimjua Mungu miaka mingi Sana kabla ya kufika hizo dini za watu wengine.
@utakatifunahaki50956 ай бұрын
hakika hii ni kweli kabisa
@kissamwamunyange10186 ай бұрын
Asante Mungu Kwa ajili ya mtumishi wako huyu🙏
@andersonwills30046 ай бұрын
Brother supper details 😮
@issakwisamwasanjobe5416 ай бұрын
Nikutawaliwa na viongozi maskini ya akili ndio kunakofanya bara la Africa maskini
@Angel-do2lb5 ай бұрын
Uzur sikuwepo
@AdveraKyando-ju9hc6 ай бұрын
Amina unaelewesha vizuri ubarikiwe 8:05 8:06
@elishaathumanathuman166 ай бұрын
Amen Amen
@AdveraKyando-ju9hc6 ай бұрын
Amina
@anjeloghuliku22746 ай бұрын
Nilikuwa nakuona una akili ulipotoa hukimu ya kanisa katoliki na Lutheran et wataenda moton nikaona kumbe hewa tu.
@MagnusWoisso5 ай бұрын
Yeye ni Nani ata aone boriti juu ya wengne....(Kila mtu anavutia upande wake ...n kua na imani kwa Mungu tu