Рет қаралды 4,906
Unabii huu ulitolewa na Mtumishi wa Mungu Nabii Edmound Mystic mapema mwezi wa kwanza mara baada ya kuwa ameshuka kutoka Mlimani na aliwatangazia waumini ya kuwa anangoja kibali kutoka kwa Mungu cha kuyasema yale aliyoyaona. Hatimaye mapema Jumapili ya tarehe 9.1.2022 na kupostiwa Facebook Tarehe 23.1.2022 kama inavyoonekana kwenye link hii hapa chini:
/ 628501208456751