Рет қаралды 2,185
Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg.Mary Chatanda ametembelea na kukagua uwanja wa Amani Stadium na kuridhika na maendelea ya maboresho yanayofanyika kwenye Uwanja huo.
Uwanja wa Amani Stadium umeboreshwa kwa thamani zaidi ya Billioni 52 ambapo mpaka sasa kazi inaendelea.
Chatanda ametembelea uwanja wa Amani leo tarehe 28 Oktoba 2023.
UWT IMARA JESHI LA MAMA KAZI IENDELEE