Kule sio kanisani chid ni kiosk kile ama kilinge cha giodev
@jeffhard57736 ай бұрын
Chid benzii wewe sio mbwaa wewe Ni umbwaaa! Ng'ata wote wasio jua namna ya ku interview
@amaniyona31346 ай бұрын
Tatizo waandishi wa habali mnaferi Sana unaniuliza mswali gani hyo yauchonganishi shenzi wewe😊
@erickngatunga23596 ай бұрын
Huyu anatakiwa kujihoji mwenyewe
@angelsblackboard80086 ай бұрын
Fala sana. Huyo Geodavie 2008 ana motorcade kama ya rais we unasema alikuwa hana pesa?!! Hili chizi benz mnalipa sana airtime linajifanya kama lina akili. Halina lolote. Linasaidia alafu bado lina jeuri. Makabila ya pwani yana shida sana.
@rayisadesigns26466 ай бұрын
Haujaelewa, yule mchungaji mtoto wake aliyekufa ndiye aliyekuwa hivyo, yani hakuwa na kitu kipindi hicho Chidibenzi anatamba, na hata wao ndiyo waliomkaribisha kwenye ulimwengu wa mziki alipofika Dar. Chidi aliyaeleza hayo mbele ya baba yake pale kanisani.
@robartifabiani6 ай бұрын
@@rayisadesigns2646akili zake kisoda ni mlokole uyo
@user-px3po9lt8g6 ай бұрын
Khhaaa chidi anamnyea mzee wa wangu
@user-xf1xq3ky2w6 ай бұрын
1:03 📌📌📌📌📌📌📌📌 Vijana hatuna ubunifu
@ZuberSalum-mq4jy5 ай бұрын
Nyie waandaji habari au watangazaji jipangeni pindi mnapo fanya mahojiano na ujue mtu unaoe hojiana nae na muulize maswali ya msing sio kwa kufuata upepo wa story za mitandao icho kichwa kakosea ajawatukana 😢
@hoseastephen45086 ай бұрын
True kabisa hizi media siku hizi huwa hawana content wanapofanya mahojiano na watu maarufu zaidi ya kuongelea pesa na mahusiano ya watu. Yaani pesa imemeza kabisa uwezo wa kufikiri wa vijana hawana vitu vingine vya msingi vya kuhoji!
@user-xf1xq3ky2w6 ай бұрын
Point kubwa
@giningionlineTv6 ай бұрын
Nabii analindwa na Mabaunsa kama Shetani Diamond na hata uombe kupeana mkono nae hakuna ruhusa mpaka atake mwenyewe, hii ni ishara kuwa hawa watu ni wahuni tu kama wahuni wengine wa mjini hakuna cha Unabii wala Utumishi wa Mungu ni wasaka tonge tu, Mtumishi wa Mungu ni viongozi wa dini ya haki katika uislamu hawana mabounsa kama hao na wala hawadhuriwi na yeyote coz hawaja mdhulumu mtu yeyote na wanaishi maisha ya
@user-hf7id2oi7g6 ай бұрын
Huyu siyo Fara mnavyo zani, Yuko sawa Sana na Nina muombea Kwa Kristo amurehem, ndioma kila siku uwa nasema Hawa watangazaji wetu uwa awajui kumuoji mtu......watangazaji jifunzeni mna aibusha ntasinia
@kwisa48996 ай бұрын
Watangazaji wengi shule hakuna
@smarty10646 ай бұрын
@@kwisa4899 kuna shule na kuna uwezo wa kufikiria...naona kama vyote hakuna vile, ngoja nipite kushoto
@engribertinnocent75366 ай бұрын
Chidi ni chiz kwann mnamlazimisha kuongelea masuala ya simba na Yanga??
@azp51996 ай бұрын
Wataka kila mtu aongea local pesa pesa ,mahusiano !..ukiongea more intelligent wanakuona kama unatumia kama madawa😅
@petercostakisoka6 ай бұрын
Daah kapewa kibunda alf ajarizika labda kaona ni ndogo kuliko alivo tegemea
@MM-pb7fw6 ай бұрын
ni kweli mzee..jamaa alitegemea kupewa hata ndinga kama wengine🤣
@pulikisia79636 ай бұрын
Khe!!😮
@mohamedmanga83916 ай бұрын
Juzi mmemtetea akifanya Ile behind the scene hapo kanisani na nabii wenu kuhusu ngoma yao Leo tena mwamtukana, tuwaelewe vipi, enyi wafuga kunguru.
@josephandrew34446 ай бұрын
Watangazaji wa hovyo kbs kwann amjamuhoji kuhusu marehemu Nisha alimjuavp, nyie wootee pesa pesa hivotuu jmn hovyo kbs!
@huseinaly51636 ай бұрын
Shida ya vyombo vya habari siku hizi vipo kwaajili ya skendo tu na sio kingine
@demask34236 ай бұрын
Mnaoona mtangazaji kakosea kumuhoji mngepewa nyie nafasi ya kumhoji chid mngemhoji nini? Acheni kumpamba chid mavi mavi. Watangazaji hawajakosea popote sema tatizo ni hawa wasanii watumia madawa kama chidi wanapenda kujiona sana. Ndio maana hana ata kitu japo anajua kuimba chizi tu huyo
@salimramadhani52376 ай бұрын
kipofu au
@user-vh7qq1gx4k6 ай бұрын
🎉
@barakae.n64186 ай бұрын
Pesa mguu pesa mguu .... 😅 Ask vitu vya msingi
@salomonmo78666 ай бұрын
😅
@gazzomaster94626 ай бұрын
Hahaaahaaa
@user-qz5yh1dl1n6 ай бұрын
Mbona interview zenu vipande vipande aisee
@gadyetheboss87386 ай бұрын
Ndo washapigwa za uso na chidbenz sasa wawezaje kuitoa full interview itabid wa stop tu
@NoelChambo6 ай бұрын
Hiyo 2008 Geordevie alikuwa anakusanya Arusha nzima kisongo
@ZuberSalum-mq4jy5 ай бұрын
We unaongealea ukanisa
@DeogratiusAndrew-zi7zv6 ай бұрын
Huyu kijana fala hata wanao muhoji nao wote nisawatu
@muhsiniamiri93106 ай бұрын
bra kam unaakil chid kwel anamapungif lkn kaongea point security wann kanisan wakat nisehem ya ibada yup M. MUNGU
@gadyetheboss87386 ай бұрын
Sasa wew deo mamlaka yaoi yanakuruhusu kutukana? Au ndo shetan amekutawala sana
@bushbabytz6 ай бұрын
we chidi acha ufala we kenge umeenda kuomba hela halafu unamyea alokupa hela..acha zako wewe kabla hujawa supasta huyo nabii alokupa hela alikuwa supastaa na hela kabla yako, acha bangi we kenge kuwa na shukrani, mimi sio shabiki wa huyo nabii ila uwe na shukrani hayo madawa yatakufanya mbaya mda sio mrefu, umefata hela ndio acha kubwajabwaja ba umepewa ndio maana ukaichimbia haraka mfukoni bila aibu😂
@GeorgeChitemo-kt8sw6 ай бұрын
Wewe Acha ujinga unamtetea muabudu shetani mkubwa jodev NI wakala wa kuzimu
@GeorgeChitemo-kt8sw6 ай бұрын
Ndomana anamabodigad
@bushbabytz6 ай бұрын
ukisoma kwa makini utanielewa mimi nimesema sio shabiki wa huyo nabii freemason ila ninachosema Chidi anazingua awe na shukrani
@johnsosy31286 ай бұрын
Chid ni legend sematu wa tz wengi Wana dharau wamefocus kwenye mapungufu yaketu ubora wake hamuuoni Tena wanafiki
@bakarithegeoinformatician74066 ай бұрын
Duniani kuna nabii miaka hii?
@binseif22166 ай бұрын
Mskitini hakuna bodyguard
@raymondmunis35536 ай бұрын
Uwatoe wapi
@josephandrew34446 ай бұрын
Jmn alienda kutoa pole ya msibatuu babaake na marehemu akampa hela ya chakula shida nn hapo jmn!?
@KiongoziMwandamizi6 ай бұрын
Makanisani wanatumwa sana majambazi kuwadhuru watumishi km hujui fatilia. Na wanaotuma ni upande wapili kosa ni kupokea waumini wao, kama Bulldozer kaondoka na kijiji jamaa wana mind na ukiacha bodyguards msafara wake una polisi, yule sio mjinga kufanya hivyo keshaingia vita ya kiimani na uchumi, wengine wanaponda mafuta ya buku wao wanauza 4000 hiki nini sasa? Kwanini msiwe na amani km kipindi cha Yesu alokua akisali Synagogue ambayo ndio misikiti siku hizi. What went wrong? 😂😂Anyways peace!!
@salimkingu21086 ай бұрын
Acha ufala wewe mwehu njaa kali nabii anayo hela kitambo sana
@nasibshabani77406 ай бұрын
Hujui lolote
@zmclassictv6 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/paa8cpaQf9l8qs0si=wHHRICKdPl4swbdN Umeona hii duuuh