No video

Choma Mafuta Milele: Njia 4 za Kupunguza Uzito na Kitambi Milele Bila Kujitesa (Zimewasaidia Wengi)

  Рет қаралды 147,480

Dr Nature

Dr Nature

Күн бұрын

Katika video hii nimekufahamisha njia 4 ambazo unazowezatumia kupunguza uzito na kitambi 'milele' kwa namna ya kudumu bila kujitesa kwa kutumia njia zisizokuwa salama kwa afya yako.
Contact: 0767759137

Пікірлер: 931
@MajutoAbdul
@MajutoAbdul Ай бұрын
HABARI Dr,Nimelipenda sana SOMO LA LISHE ...GOD BLESS YOU Dr...Thank...!
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Amina
@bentaadhiambo82
@bentaadhiambo82 3 ай бұрын
Hasante sana kujitoa naujuzi wako kutujuza kuhusu kuishi maisha mazuri bila magonjwa..mungu akulinde pia
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Amina
@user-le3ob2gl5k
@user-le3ob2gl5k 2 ай бұрын
Jamani nimeipenda naipataje
@franciscamuindi9266
@franciscamuindi9266 3 ай бұрын
Wow thanks for this lesson I will start doing so especially for the raw food like kachubari
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Best of luck!
@FrancisLazaro-m8f
@FrancisLazaro-m8f 22 күн бұрын
Asante kwa somo zuri
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 22 күн бұрын
Karibu sana
@vickyedwine8071
@vickyedwine8071 2 ай бұрын
Dr Asante kwa maelekezo mazuri.
@hasnakid
@hasnakid 3 ай бұрын
Shukran san Dr wet hakika umetup somo zur.
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Nimefurahi kuwa umependa! Share kwa wengine pia
@user-le6xw9kt9f
@user-le6xw9kt9f 2 ай бұрын
Jambo docta nitaipa wapi mimi Niko Congo nisaidiye baba
@AslaidahMgwilanga
@AslaidahMgwilanga Ай бұрын
Asanteeee doctor barikiwaa mno....kwa darasa zuriii
@mwanashamwanyumba9100
@mwanashamwanyumba9100 3 ай бұрын
Asante kwa ushauri mzuri nimeupenda sana
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Karibu sana
@arafatsaid962
@arafatsaid962 3 ай бұрын
Daktari wa ukweli utamjua tu, kaka una presentation nzuur. Hongera doctor mwenzangu.. wape tiba kaka
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Asante sana🙏
@cidmalach6695
@cidmalach6695 2 ай бұрын
Greetings from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 Hii ni habari njema kweli! Nitafuata hayo uliyoshauri... Nitawajulisha na wengine. 🙏🙏
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@user-vc1yp9oe5d
@user-vc1yp9oe5d 3 ай бұрын
Ahsante sana
@athumanikadaika5817
@athumanikadaika5817 3 ай бұрын
Shukrani sana dr. Allah akubarik.
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Amina
@eunicechege6839
@eunicechege6839 2 ай бұрын
God bless you doc watching from kenya🇰🇪🇰🇪 thanks 🙏
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
You are welcome
@bebinapius1941
@bebinapius1941 4 күн бұрын
Chopa naipataje doctor
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 күн бұрын
Tuwasiliane kwa simu/whatsapp +255767759137
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 Жыл бұрын
Barikiwa sana dr
@neemarobert9999
@neemarobert9999 5 ай бұрын
Somo nzuriii sanaaa
@catherinejabeya4455
@catherinejabeya4455 2 ай бұрын
Asante kwa ushauri mungu akubariki nimejifunza mengi
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Amen
@nsabimanahafsa7746
@nsabimanahafsa7746 2 ай бұрын
​@@DrNatureclinic easy chopa Kwa walio Burundi wanaipataje
@pacifiquebarengayabo6205
@pacifiquebarengayabo6205 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Amina
@user-uy5iy7ny8j
@user-uy5iy7ny8j 3 ай бұрын
Asante Daktari kwa masomo ya kiafya
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Karibusana
@zuweinatmohammad2832
@zuweinatmohammad2832 18 күн бұрын
Asante dr
@LucyNjeri-w5k
@LucyNjeri-w5k Ай бұрын
Asante sana doctor
@heavenlightmalisa1112
@heavenlightmalisa1112 3 ай бұрын
Asante
@user-ec6ow2cx7c
@user-ec6ow2cx7c 3 ай бұрын
Ubarikiwe doc sasa nitajikaza kukula kachumbari na hayo machani chai nijitahidhi nimalize kitambi
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Amina
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w 3 ай бұрын
Hii numbe niya Tanzania ama kenya
@mayungaagnes5660
@mayungaagnes5660 10 күн бұрын
Dr.mimi nina hipdips nataka zitoke kabisa je nikitumia hii njia yatausha au ni njia zipi zitanisaidia kuondoa hipdips hizi kuna muda nakosa ujasiri nisaidie njia ya kupunguza au kuondoa
@fridalyanguka1733
@fridalyanguka1733 2 күн бұрын
Asnte kaka
@AfirenAfiren
@AfirenAfiren 3 ай бұрын
Sasa wengine tuko warabuni, unakula hata saa nane usiku naamka saa kumi na mbli, hapo ni Mungu sasa
@SaoblackSaoblack
@SaoblackSaoblack 3 ай бұрын
😢 kabisa
@SamwellubigisaLubigisa
@SamwellubigisaLubigisa Ай бұрын
Doctor nimekuelewa vizuri sana ila hapo naomba unisaidie ushauri tu! Nilipima nikaambiwa madonda ya tumbo na nikazuiliwa kula baadhi ya matunda. Sasa hapo itakuwaje nikitumia matunda?
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 3 ай бұрын
Shukraan sana doctor Allaahu baarik
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
tuwasilianw kwa simu/whatsapp +255767759137
@ReginaWawa
@ReginaWawa Ай бұрын
Nimekuelewa sana mtumwa wa mungu
@everinamathias81
@everinamathias81 5 ай бұрын
Asant kwa elimu nzuri mm pia naitaji kupungua dr
@eunicechege6839
@eunicechege6839 2 ай бұрын
Thanks so much Dr
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Any time
@costanciamwita3854
@costanciamwita3854 Ай бұрын
Asante brother,hata tusipokunywa hiyo easy chopper.ile njia ya kwanza tu niikifuatilia kwa kina nitapungua kiulaiiiiiiiini kabisa
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
@@costanciamwita3854 kabisa
@AngerinaJohn-xg1hj
@AngerinaJohn-xg1hj 3 ай бұрын
Tusaidie docta
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 3 ай бұрын
Hakuna kupungua bila mazoezi na diet na intermittent fasting.madawa mtadanganyana mpaka yesu arudi
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 3 ай бұрын
Mwanzoni alisema atakupa maelezo ya kupungua uzito bila diet wala mazoezi , Mbele anakupa maelezo ya kula na aina ya vyakula , ni janja janja tu
@ruthmsechu9239
@ruthmsechu9239 3 ай бұрын
Anaitwa Yesu not yesu
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 3 ай бұрын
@@ruthmsechu9239 kamwambie mama yako kumamako
@elizabethsanga9184
@elizabethsanga9184 2 ай бұрын
Point
@tatuaamuuinyi9633
@tatuaamuuinyi9633 2 ай бұрын
Kupungua bila mazoezi inawezekana sanatu
@StellarMichael
@StellarMichael 2 ай бұрын
Asante kwa ushauri nitakupataje
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/Whatsapp +255767759137
@yuniahkonosi-hi8uh
@yuniahkonosi-hi8uh 2 ай бұрын
Tumebarikiwa sana may God bless you
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Amina
@user-lz9gz4bp9m
@user-lz9gz4bp9m 3 ай бұрын
Nipo Dodoma naipataje mahitaji sana
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Tuwasiliane 0767759137
@eyshamdee6609
@eyshamdee6609 6 ай бұрын
Ezchoper naipataje
@lucymuigua1753
@lucymuigua1753 3 ай бұрын
Thanks Dr. For the teaching. Very informative.
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
You are very welcome
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 3 ай бұрын
Nimeipenda
@zamilahemed
@zamilahemed Ай бұрын
Ss mbona parachichi lina mafuta sn
@ayzzoomarykashoro6260
@ayzzoomarykashoro6260 14 күн бұрын
Asante daktari
@user-pp7qw8xl1i
@user-pp7qw8xl1i 2 ай бұрын
Asante sana
@GraceMethuselaNtwale
@GraceMethuselaNtwale 3 ай бұрын
Nimekuelewa naipataje
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/Whatsapp +255767759137
@hasanchobu7715
@hasanchobu7715 3 ай бұрын
naipataje ​@@DrNatureclinic
@lucywanjiku6361
@lucywanjiku6361 3 ай бұрын
22:32 ​@@DrNatureclinic
@asifiwewisayi8580
@asifiwewisayi8580 8 күн бұрын
Docta unapatikana wapi maake tangia nimeaza kuhangaika na kupungua leo ndio nimeelewa somo lako umeeleza vzr niko Arusha tuwasiliane​@@DrNatureclinic
@pstndyambi5630
@pstndyambi5630 3 ай бұрын
Kumbe maelezo yooote yale, meishowe utangaze hiyo mitishamba kwa jina la food suppliment! Haya, unauzaje!
@jaeltheafricanteacher
@jaeltheafricanteacher 3 ай бұрын
Asante daktari,ntajaribu sana
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Ukafanikiwe🙏
@ElizabethNyangahu
@ElizabethNyangahu 2 ай бұрын
Thanks another doc
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
My pleasure
@MaryKazungu-id2oo
@MaryKazungu-id2oo 3 ай бұрын
Nitapata vipi ni Kenya
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/Whatsapp: +255767759137
@user-kb8wv6kg8g
@user-kb8wv6kg8g 2 ай бұрын
Naipataje na kiasi gani?
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/whatsapp +255767759137
@user-hx9no2bf8o
@user-hx9no2bf8o 2 ай бұрын
Moshi unapatikana wapi​@@DrNatureclinic
@lameckjeremiah5597
@lameckjeremiah5597 5 күн бұрын
Yan ktk madocter woote wew ndio umeongea ukweli mtupu. Mm ndio nilishatumia njia hiyo ikanisaidia mpk sasa nipo vizuli.
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 күн бұрын
Hongera sana🥰
@user-ut5tu4su7w
@user-ut5tu4su7w 3 ай бұрын
Asante kwa darasa zur hiyo dawa ni sh ngap nana ipataje nipo dar
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Tshs 50,000 tuwasiliane kwa simu/Whatsapp +255767759137
@user-ek7nu1qc8g
@user-ek7nu1qc8g 3 ай бұрын
Unapatikana wapi
@happykastorykihongo2248
@happykastorykihongo2248 3 ай бұрын
Dr mimi naomba ushauri mimi mwili wangu unajoto sana yaani mda wote namwagika jasho yaani ata nikitoka kuoga akati najifuta maji natawer namwagika jasho tatizo nini?
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Ni vema ukafika hospital kwa uchunguzi na matibabu
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Una uzito uliopitiliza au una stress au jambo ambalo linakunyima raha maishani
@JumaMti-hm5bg
@JumaMti-hm5bg 3 ай бұрын
Nahitaji hiyo chopper Bei gani,naomba namba ya mawasiliano
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Tuwasiliane simu/Whatsapp +255767759137
@yuniahkonosi-hi8uh
@yuniahkonosi-hi8uh 2 ай бұрын
Wawa God bless you 😮😮😮!!
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Amen
@rogersmsuya4803
@rogersmsuya4803 Жыл бұрын
Naipataje dawa ya kumaliza kabisa kitambi
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Жыл бұрын
Tuwasiliane 0767759137
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 Жыл бұрын
@@DrNatureclinic Bei gani doctor hyo dawa?
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Жыл бұрын
@@nusrathmanyawa4501 tshs 50,000 kwa kopo
@ezekielmakingi7976
@ezekielmakingi7976 6 ай бұрын
Nipo arusha naitaji daw ya kupunguza kitambi
@pollyj1410
@pollyj1410 6 ай бұрын
​@@DrNatureclinic unaweza tumana hadi kenya kaka?
@veronicageorge8062
@veronicageorge8062 4 ай бұрын
Doctor vp kuhusu maji ya moto yanasaidia kupunguza uzito na kitambi
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 4 ай бұрын
Hapana.. ni nadharria tu zisizo na mashiko kwa uhalisia
@ishajivraj560
@ishajivraj560 3 ай бұрын
dr naomba nba yako​@@DrNatureclinic
@eunicegerminus193
@eunicegerminus193 3 ай бұрын
Ndy mm nimejaribu ile yenye mchanganyiko wa limao na tangawizi
@marthaayuma7065
@marthaayuma7065 3 ай бұрын
Doctor Vipi kwa mtu ambaye Yuko na vindonda via tumbo?
@Zuu673
@Zuu673 2 ай бұрын
Dokta dar kuna agent?
@maelezokitabwire8855
@maelezokitabwire8855 Ай бұрын
Asante Doctor kwa ushauri wako.nitajitahidi ili nipunguze uzito.siku izi napima 90kg nimeongeza 22kg
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Ukafanikiwe
@maelezokitabwire8855
@maelezokitabwire8855 Ай бұрын
@@DrNatureclinic asante
@CharlotteBuchumi-rf7fb
@CharlotteBuchumi-rf7fb Ай бұрын
Asante sana kwasomo nzuri
@apasianankya5275
@apasianankya5275 2 ай бұрын
Asante sana nawe pia ubarikiwe
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Amina
@AndersonNgolo
@AndersonNgolo 2 ай бұрын
Kunadawa yoyote doctor ya kupunguza uzito
@anthonyassenga2365
@anthonyassenga2365 Жыл бұрын
Mtaalam vipi kuhusu matunda yenye acid nyingi kama tikiti na papai na ndizi mbivu na kachumbari na hasa kwa wale wenye shida ya kujaa ges tumboni?
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Жыл бұрын
Hayana shida✅ yatakutibu pia. Kama kuna machache ukila yanakusumbua sana.. yaache kwa muda. Kula mengine kisha utaendelea kuyala baadaye kama wiki 3 hivi utakuwa sawa
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Жыл бұрын
​@@DrNatureclinic dokta mi.nakuelewa sana allaah akubariki
@eduardomala150
@eduardomala150 3 ай бұрын
Nimeipenda sana. Asante
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Shukran sana. Share kwa watu wengine pia wajifunze
@AbuuAslam
@AbuuAslam Ай бұрын
Asante sana dr
@lameckjeremiah5597
@lameckjeremiah5597 2 сағат бұрын
Doctor mie nimefata taratibu km ulizotuambia na nimepungua uzito kwa wastan naoutaka, je nifanye nini ili niwe nawastan huhuuu naohuitaji? Maana nikila uzito utapanda na nikisema niendelee kufata taratibu hiz ntapungua zaidi kwa kiwango nachokiitaji. Je nifanye nini.?
@EvalineOgwuma
@EvalineOgwuma 2 ай бұрын
Thank Dr
@JacklineThobias-h9l
@JacklineThobias-h9l 2 ай бұрын
Somo zuri sana nimelipenda
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Karibu sana
@leonidasimon7814
@leonidasimon7814 5 күн бұрын
Napataje nipo dar
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 5 күн бұрын
Tuwasiliane kwa simu au whatsapp +255767759137
@user-kp7wu9zc1k
@user-kp7wu9zc1k 3 ай бұрын
Asante dokta
@HarrietMmoji
@HarrietMmoji 3 ай бұрын
Thanks for sharing am going to try it immediately, how can i get the product (easy chopper)
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/whatsapp +255767759137
@shabanijumanne1822
@shabanijumanne1822 4 күн бұрын
Doc nmekuelewa sn ubarkiwe alf n mazoez apo ukiongea duu hali itkua poa zaid
@IreneChristopher-bx7mn
@IreneChristopher-bx7mn 2 күн бұрын
Nimependa mafundisho yako mimi nko kenye
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 күн бұрын
Karibu tena
@IreneChristopher-bx7mn
@IreneChristopher-bx7mn Күн бұрын
@@DrNatureclinic asante
@IreneChristopher-bx7mn
@IreneChristopher-bx7mn Күн бұрын
Napataje hyo dawa
@manirambonaibrahim2069
@manirambonaibrahim2069 Ай бұрын
Vipi hali dr
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Salama
@TabizaAa
@TabizaAa 3 ай бұрын
hongera babaa Mungu akubariki🙏🙏🎉🎉🎉
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Amina
@user-fk1fd8on6e
@user-fk1fd8on6e 3 ай бұрын
Habari nipo omani
@lidiamuhonja9516
@lidiamuhonja9516 2 күн бұрын
Dr kama mm natamani sana kupungua but hizo vitu siezi pata
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 күн бұрын
Tuwasiliane kwa simu au whatsapp +255767759137
@alawisoud665
@alawisoud665 Күн бұрын
Njoo mm nitakupatia
@christaoman8890
@christaoman8890 10 ай бұрын
Asante sana Docta kwa ushauri mzuri
@ashashaban6484
@ashashaban6484 2 ай бұрын
SHUKLAN DOKTA KWA USHAURI MUNGU AKUBARIKI SANA
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Amina
@happykazungumenzamenza1277
@happykazungumenzamenza1277 3 ай бұрын
Asante Doc kwa Mafundisho..nakuhusu dawa unatuma Kenya na kwa bei ngani
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Moshi.. tuwasilianw kwa simu/whatsapp +255767759137
@NancyMabera-th5du
@NancyMabera-th5du 3 ай бұрын
Good advice
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Glad it was helpful!
@AugenKikoti
@AugenKikoti Күн бұрын
Samahan daktar nikinywa chai2 kutwa nzima naweza kupungua uzito
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Күн бұрын
Sio salaa
@AugenKikoti
@AugenKikoti Күн бұрын
Samahan sijakuelewa sio salaam ndonn
@soccereditsz1y
@soccereditsz1y 2 ай бұрын
❤❤️👌👍🥰🥰 Safi
@magrethmanintveld5477
@magrethmanintveld5477 3 ай бұрын
Asante doctor endelea kutujuza, Ubarikiwe
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Amina
@carolinechebor8590
@carolinechebor8590 10 күн бұрын
Dr nitapata vipi easy chopper Niko Kenya Mombasa
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 10 күн бұрын
@@carolinechebor8590 hapo kuna wakala Mombasa Old town wasiliana naye +254 727 398 827
@GressJohn
@GressJohn 2 ай бұрын
Naipataje
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Tuwasiline kwa simu/Whatsapp: +255767759137
@lovenesspetro8257
@lovenesspetro8257 Ай бұрын
Uzito wangu siyo mkubwa Ila tumbo linaongezeka. Nahitaji kupungua tumbo tuu
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/Whatsapp: +255767759137
@CecyRoby
@CecyRoby 3 ай бұрын
Naipaje Dr
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/Whatsapp: +255767759137
@CecyRoby
@CecyRoby 2 ай бұрын
@@DrNatureclinic thanks
@user-nj2rj9qj9b
@user-nj2rj9qj9b Ай бұрын
Doctor nashukuru kwa maelezo Mazuri,, naomba kujua wewe ndio umeimba Kwenye malango vyema mtumwa mwema sauti nzuri ya ajabu itasikika.
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Hapana ni mdogo wangu
@levinaringoma
@levinaringoma Ай бұрын
Dr asante, niko Mombasa kenya ntaipatahe hii Ezchoper, please naomba unijibu
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu au whatsapp +255767759137
@user-mw3rn6tc9u
@user-mw3rn6tc9u 7 ай бұрын
Asante doctor napataje hyo dawa m npo mbal af n kijijini, npo kahama
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 7 ай бұрын
Tuwasiline 0767759137
@user-qg8jo6bv1k
@user-qg8jo6bv1k 3 ай бұрын
Njia nzuri ya kukonda we tafuta stress au kuwa mteja wa madawa
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Kukonda inamadhara mabaya kama kunenepea.. kinachoatakiwa ni kuwa na uzito sahihi kwa kuchoma mafuta ya ziada
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 3 ай бұрын
Streess inaongeza unene unajua nn wewe fala mmoja tu sikiliza wasomi wakupe faida acha bangi kumamako
@KarenClement-om9ip
@KarenClement-om9ip 2 ай бұрын
Plz nahitaji kupunguza tumbo tu!!naomba unisaidie docter nikikaa sawa nitatoa shukran
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/Whatsapp +255767759137
@user-vr3hp4xs8m
@user-vr3hp4xs8m Ай бұрын
Naipataje sasa doctor
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/Whatsapp +255767759137
@benworks-jt2bh
@benworks-jt2bh 2 ай бұрын
🙏
@mercydirisha8903
@mercydirisha8903 12 күн бұрын
Tupe no ya simu
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 10 күн бұрын
Tuwasiliane kwa simu au whatsapp +255767759137
@RehemaCharo-ir6vs
@RehemaCharo-ir6vs Ай бұрын
Weh nilifata maagiza hio kachumbari harari😂 Nlikonda kwa mda mfupi tu❤❤
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Hongera sana
@alawisoud665
@alawisoud665 Күн бұрын
Easy chopa ni sh.ngp?
@ZAINABUHAMZA-h5g
@ZAINABUHAMZA-h5g 27 күн бұрын
❤❤
@masoudjibaba1394
@masoudjibaba1394 2 ай бұрын
Mm naihitaji
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic Ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/Whatsappp +255767759137
@user-rx3rl9yb3o
@user-rx3rl9yb3o 3 ай бұрын
Easy choper inapatikana wait.
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 3 ай бұрын
Tuwasiliane kwa simu/Whatsapp: +255767759137
@christopherwarutere3489
@christopherwarutere3489 3 ай бұрын
Dr what causes ED & how to reverse it?
@EsterIshengoma
@EsterIshengoma 2 ай бұрын
Samahani doc mimi ni mama ninae nyonyesha naruhusiwa kufanya hii dayati
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 ай бұрын
Ndio.. japo kuna ku-modify kidogo
@shabanijumanne1822
@shabanijumanne1822 4 күн бұрын
Ntaipataje hiyo choper pliz answer me
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 2 күн бұрын
Tuwasiliane kwa simu/whatsapp +255767759137
@LevisteBora
@LevisteBora 8 күн бұрын
Dawa nitaipata je
@DrNatureclinic
@DrNatureclinic 6 күн бұрын
Tuwasiliane kwa simu au whatsapp +255767759137
@ashurakiaga7812
@ashurakiaga7812 3 ай бұрын
Dr,Asante kwa SoMo nitajaribu.ila nna vidonda vya tumbo Kuhusu hiyo kachumbali nikiweka chmvi tu badala ya ndimu itakuwa sawa?natumiaga juisi ya bamia ndio naona afazari
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s 3 ай бұрын
Amesema usitie chumvi. Ndimu sawa
KUONDOA KITAMBI NA KUPUNGUZA UZITO NDANI YA MUDA MFUPI Part 1
21:32
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 17 МЛН
MCHUNGAJI ABADILI DINI NA KUA MUISLAMU,AFUNGUKA MAZITO
39:38
Mbengo Tv
Рет қаралды 61 М.
How to Lose Belly Fat Permanently Fast with Green Pepper
10:17
Nekky Natural Remedies
Рет қаралды 3,3 МЛН
PROVEN✅ 5 Things to Eliminate from Your Home Immediately - Law of Attraction
10:00
DEEP MOTIVATIONAL FLOW
Рет қаралды 1,6 МЛН
CAKE YENYE SCREENSHOT ZA MCHEPUKO YAPELEKWA TABATA PART 1
19:23