Laiti mngejua mazabau mnayoikandamiza ni madhabau ya tofauti Sana na jinsi mnavyozani kazi yenu mmebaki kusema siku za mwisho embu jaribuni kutafakari mnayoyaongea kwenye vinywa vyenu mnajinenea mabaya wenyewe mungu was geordavie azidi kuinuliwa
@meshacknyandongo5779 ай бұрын
Ndio anaweza miguu namna hiyo mbele za Mungu kweli au kwakua utukufu anachukua mwenyewe
@pandendele94589 ай бұрын
Kwa jina la yesu Ulegee kabisa unatumiwa na Ibilisi pasipo kujitambua
@eliudnjenga9385 Жыл бұрын
From 254 kile kimenishangaza zaidi ni kwamba baba nipe nguvu shusho ameomba support apeshapewa hela ni nguvu gani hizi??? Je mwenye kupeana nguvu si YESU CHRISTO au Joe Davie mimi sielewi sihukumu ila wachristo tuwe macho maamuzi yangu music ya shusho sitasikiza tena hadi huyu dada atumbu hatuombi nguvu kwa wanadamu bali kwa YESU CHRISTO ndio sababu 🇰🇪🙏
@MedzaMalanga10 күн бұрын
uko sahihi hauhukumu mtu...utaombaje nguvu kwa mwanadamu? keshapotea uyu
@ElizaKitaliАй бұрын
Poleni sana waimbaji wa nyimbo za injili,mmeisha jmn
@suleimanismail8414 Жыл бұрын
Mungu aendelee kumtia nguvu huyu mwamba hana taabu na watu maskini ni anatoa tu hata hawaziii na am sure kila anapotoa anajaziwa mala mbili zaidi
@janethjohn7053 Жыл бұрын
Alitakiwa kuelezea uzinduzi wa album yake na kuomba kanisa limsaidie na yoyote atakae guswa na mfalme ni Yesu katika kanisa na shukrani ziende kwake binadamu hupitisha Baraka Amen
@FrenkmarcoKabushi7 ай бұрын
Hakuna ambaye hupewa
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
God have mercy upon this generation 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Christian Shusho 😥😢😥😢
@messiasulleydidy2585 Жыл бұрын
Nilisema mimi jmn. Christina mh
@JosphatKasoloj-k Жыл бұрын
Woooowe 🎉🎉
@honhonhaule9232 Жыл бұрын
You are a wonderful prophet no one can catch you wonderful amazing fantastic
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
Open your eyes Christian Shusho 😥😢😥😢😢😢
@ainealazaro73212 ай бұрын
Nakuahidi ukitoka hapo na ukaendelea kung'ara aisee niko pale😢 Mungu hadhihakiwi fulish in you
@deuscosmas793 Жыл бұрын
Kidogo kidogo from dark to darker then into darkness until get lost forever usidanganyike ubillionare ni kuwa na Roho Mt utaenjoy milele sio pesa
@irinechemutai67889 ай бұрын
Amen kakangu ukiwa na roho mtakatifu umapata yote.sio nguvu kutoka kwa mtumishi
@dorianemanirakiza5482 Жыл бұрын
Choucho wee hangaroya vizuri yakwamba unashimama na mungu miye Dada yako gutoka rwanda
@mussatete2618 Жыл бұрын
Tuendelee tu kusikiliza nyimbo za kisabatho, na za ambassadors of Christ Choir😅😅😅
@gideonlucas6994 Жыл бұрын
Hawa wetu washapotea🚮🚮
@joycejackson1755 Жыл бұрын
😅😅😅
@Emmanuel-b4g1n4 ай бұрын
Ushasema 🤝
@abelianraphili5150 Жыл бұрын
Oooh Jesus Christ....Jamani ..tumeshampoteza Dada😓😓
@messiasulleydidy2585 Жыл бұрын
Kabisa huyu tayr
@paulwainaina8761 Жыл бұрын
Mungu. Mwabie haya christiiiina 🤔🤔🤔sio hao😳😳😳😳pesa twaiacha ulimwenguni lkini neno halitaisha 😟😟😯tumepoteza mwenzetu 😮😮may you be redeemed once again by lord
@GwakisaMwasemele6 күн бұрын
Mungu wa africa ni pesa
@carolinelucky9199 Жыл бұрын
Mimi ni caroline Gakii from Kenya nitapata njia ya kufika kwa pastor davi
@amanimartin55278 күн бұрын
njia ipo kwa yesu
@FrancineTuzotunga10 ай бұрын
Nakupenda sana shusho ❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mimijj-nr2cb Жыл бұрын
Mungu awafungue hawa watu macho waone ukweli jaman siku ZA mwisho hizi
@SAMIELESEMIRE Жыл бұрын
Nîme furai sana kuona TV yanabi
@praykyara2604 Жыл бұрын
Mh yani sitaki ata kusikiliza nyimbo zako tena ufay yani unamuacha mungu wako kisa pesa
@apaikundambise1244 Жыл бұрын
Duh mmmh Hela Hela Hela shkamoo hela
@jovinmwesige8520 Жыл бұрын
Christina,Christina,Christina........Dada yangu umepotea.Kristo hana ushirika na beriali
@adamfundikila Жыл бұрын
Beriali ni baba yako
@salimkingu2108 Жыл бұрын
Kwan kipi kibaya amekifanya?
@emmanuelmtonyole9958 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@annasilayo1405 Жыл бұрын
Amtegemeaye mwana damu amelaniwa sasaivi anaishia vyamwilini
@salimkingu2108 Жыл бұрын
@@annasilayo1405 saw ni binadamu na sis tunamtegemea kwa sababu ni mtumishi wa mungu
@mbegumwikwabe1583 Жыл бұрын
Geo devi WEWE SIO MUNGU NAKUPINGA KATIKA JINA LA YESU YAANI WEWE NI MPUMBAVU ETI NABII MKUU NA YESU UMWITE NANI
@ruthnzilani4295 Жыл бұрын
Mtumishi WA Mungu Christina chenye umepokea may God help you
@jobmunyali7229 Жыл бұрын
God is good
@beatricemunisi7891 Жыл бұрын
Amen 🙌🙌
@ebenezermachange1073 Жыл бұрын
Amen Amen Glory to God
@angelatarimo1969 Жыл бұрын
Nabii mkuu Mungu akupe maisha marefuuuuuuu zaidi baba yangu. Wanaosema vibaya tumeona maisha yakiwapiga nakuja kutubu wenyewe kwa hiyo hawatusumbui na comments zao sisi tunasonga mbele pamoja na wewe baba yetu.🙏🙏🙏🙏
@victornzowa5138 Жыл бұрын
Nenda katubu hahahha
@BestLeonardtumba9 ай бұрын
Jambo dada❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@enizetv5196 Жыл бұрын
Asante Sana Baba yangu barikiwa sana
@JonathanTave-zt9qf Жыл бұрын
Hivi nyie mnao paniki mnatoka wapi na wakati hawa wanajuana mda mrefu ko acheni kupaniki ,....Mungu awabariki sana
@elia54759 ай бұрын
MUNGU atusaidie sana kwa mazebu sahihi ya dunia
@hannajoseph645 Жыл бұрын
Mungu ametuonyesha waimbaji wanaowategemea kwa wanadamu ooii pole Dada mmmmhhh naendelea kusoma Biblia kuhusu kuwanabii mkuu.Mungu tusaidie kuendelea kuzitambua roho hiz
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
Ndio unaona injili ya kutubu dhambi na kuishi maisha matakatifu mbele za Mungu, haiwezi kunenwa hapa
@vickymeikasi1628 Жыл бұрын
Nabii Mkuu kuwasuport waumini wake , Yupo sawa kabisaaa
@FrenkmarcoKabushi7 ай бұрын
Hongera baba yetu nabii mukuu
@sylviaphilipofficial Жыл бұрын
Nilikuwa nimependa sana shusho but hili amemwangusha Mungu wake
@danielimalaki Жыл бұрын
Pole sana pesa hizi hatari sana
@EmmanuelKipwasa-hv1lq Жыл бұрын
Kutoa ni Moyo Wenye mioyo yakutoa Mungu awabariki nakuwazidishia kwenye hazina zao zilipo mbinguni
@dativajoachimwai1194 Жыл бұрын
laiti mzee kolola angeamka umwone Christina binti yake aliko fikia. labda angemrejesha . Christina rudi kwa Yesu.siku za mwisho izi
@ebenezermachange1073 Жыл бұрын
Mzee kulola angeamka angempongeza sana nabii mkuu kwakua anahubiri kwa vitendo kwamba Yesu alikufa maskini ili sisi tuwe matajiri.
@dativajoachimwai1194 Жыл бұрын
@@ebenezermachange1073 Hapo hapahubiriwi Yesu. kwahiyo washirika wote hapo ni matajiri?
@geitandelwa299 Жыл бұрын
EEEEE hela zimetuteka aaaa Basi MUNGU ATUHURUMIE SS NA WATOTO WETU
@manassehswale Жыл бұрын
Kwani hapo yuko wapi??
@dativajoachimwai1194 Жыл бұрын
@@manassehswale mlango wa kuingia Jehanam
@jenifaqoqona Жыл бұрын
Mmelaaniwa mnaoteta watumishi wa Mungu! Ole wake amsemaye vibaya mpakwa mafuta wa Mungu! Wewe ni Nani unayehukumu! Hukumu ni ya Mungu
@Papaahansmo Жыл бұрын
Pole sana Christina😥😪😢🙉
@clarisbanza6066 Жыл бұрын
Ni uruma sana 😢
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Umeonaeee shida IPO hela
@chrisdeoglatias8665 Жыл бұрын
Daaaaah! Dada Christina huo wimbo WA NIPE MACHO NIONE uliwahi kuimba,SAA unaouhitaji wimbo huo sio kuwatumbuiza wengine Bali kuuimba Kwa machozi mbele za Mungu wako ilikuwa ni Sasa! Omba macho ya roho,upate kurejea ktk njia ielekeayo Sayuni Zb84:11
@samwelilulandala2384 Жыл бұрын
Watu wanapenda ubahasha
@son_of_faith3 ай бұрын
We pray for children of God who started well but on the way tgey left GOD and now serving satan 😢
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
Romans 12:2 2 And do not be conformed to this world, but be transformed by the renewing of your mind, that you may prove what is that good and acceptable and perfect will of God.
@sifasikubalikiponda3472 Жыл бұрын
NAMNA YA KUTHIBITISHWA
@victornzowa5138 Жыл бұрын
Ni nguvu gani ambayo Christina anaomba hapa
@lizelizabeth6467 Жыл бұрын
Shusho I was thinking you are a women of integrity but I be come to realise that uwepo wa Mungu umekutoka, unaita mwanaume mwa mtu mwingine Baba na ukiongea na babako more than 10 seconds na you can call him baba mara mbili ndani ya 10 seconds, fungua macho shusho
@carolnjeri87739 ай бұрын
Nimeskia ampe nguvu,mungu Tu ndiye hupeana nguvu dadangu.when Esther get money establish pesa wewe😢
@josephitangishaka960 Жыл бұрын
Glory to God Jesus Christ
@deusdedthutenga408 Жыл бұрын
Wachungaji walafi
@alicejumaa89 Жыл бұрын
You mention Jesus here where He is mocked... shusho bowing down to worship Geordave to be given money for albam launch.... Christ is coming lets repent no more time to waste.
@dorianemanirakiza5482 Жыл бұрын
Mimi naumiya tena sana kiki vrm kwanini umekamatwa na nini kiwukweri mungu wangu anaguceka ngoyimba impe maco nione sawasawa yesu baba naomba yesu agupe maco tena uwone sawasawa kiristine ni bara sana kiwukweri
@christopherpetro-qi6hw Жыл бұрын
Muimbaji wa Mungu binadamu unamtukuza ivyo
@giftm314 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha tele Baba yangu , ninakuekewa mno 🙏❤️Yesu ni Mwaminifu
@clarisbanza6066 Жыл бұрын
Wajinga kujielewa inaomba sana ole wako
@alicejumaa89 Жыл бұрын
Mentioning of Yesu to a devil worshipper.. lets repent Jesus is coming.... everything we see was prophesied
@angelvii113 Жыл бұрын
Baba yenu wa kuzimu
@eliamtinda7222 Жыл бұрын
One thing nimegundua Hapa Christina na huyu Jamaa wanajua Siku nyingi.
@francismaina8652 Жыл бұрын
Daaah, nabii mkuu ampe nguvu Christina tena kamwimbia nipe macho nione. Kipaji hiki si zaidi ya support ya milioni kumi? Rudi kwa MUNGU Christina
@inamahoroyvette3057 Жыл бұрын
Shusho...you have backslidden😭😭😭😭woe unto you
@rachaelmbindyo6349 Жыл бұрын
I see the prophecy of darkness here in this church😪😪,,,uku ni wasanii wanaitwa kuzibwa macho aki....
@carolinewanjiru83619 ай бұрын
One year later...
@frsophonieofficial Жыл бұрын
Asante sana Baba
@josephhaule4653 Жыл бұрын
Kumbe nyinyi waimbaji hamtuimbii kwenda mbinguni mnatafuta ubirionea hatununui kazi zenu tena
@marianguli7994 Жыл бұрын
Dada Christina sijui amepatwa na nini? me nalia jamaniiii!!! Unajua shetani anazopesa na anatenda miujiza, mteule usipokuwa macho lazima pesa zikudanganye
@clarisbanza6066 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@ArunIbrahim Жыл бұрын
😢😢😢😢dah nafuta nyimboo
@dariuskasitu4083 Жыл бұрын
Mmmmh jamaaah ana hela sana duuuh
@florencerono7150 Жыл бұрын
I don't understand what are security men for at the Alter just make me understand are these the end times signs?
@godlywaziri335 Жыл бұрын
Mbona kila anaekuja mbele lazima apewe pesa hakuna kingine cha kumpa zaidi ya hela jaman,
@rachaelmbindyo6349 Жыл бұрын
Nguvu za ngiza🤣🤣🤣Acha yesu arudi ,,waaah !!! Na wahurumia
@ezekielkandonga9238 Жыл бұрын
Huyu Dada nilimuona Muda mrefu tangu Kipindi Cha Corona sio yule Christina Shusho wa zamani,Dada siwezi kuhukumu hila rejea kwa Mungu Wa Kweli sio atua uliyofikia
@pr.aaronlimo1807 Жыл бұрын
A horizontal life has destroyed the children of God remember this is a serious crisis
@monalisahenry2625 Жыл бұрын
Unapotea dada Christina 😢
@davidikamwanyerere2741 Жыл бұрын
ayA maisha jamn so powa
@jonathanhamadi Жыл бұрын
Nipe macho nione sawa sawa,aliimba mwenyewe
@quintavitalis926 Жыл бұрын
Alafu kashindwa kuyatumia
@clarisbanza6066 Жыл бұрын
Cristina ni kipofu wa kweli ayo macho ayauni ndani mnagiza nene 😢
@annasilayo1405 Жыл бұрын
Kashakuwa wa mwilini
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@paskalimaneno1684 Жыл бұрын
Aheli wawili mmoja akiaguka mwigine atamwinua olewake aliye pekeyake
@christopherpetro-qi6hw Жыл бұрын
Daaah kama unajizalisha
@NeemaKawogo-dp8dj Жыл бұрын
UMEISHAAAAAAAAAA
@vickymeikasi1628 Жыл бұрын
Nyie watu mnaocomment upumbavu, mim naona hamjielewi kwani hapo shusho kafanya kosa Gani, ni kupewa million 10, acheni wivu, dhen mbona manabii wa zamani Wana pesa sana, tukimuangalia mfalme Suleiman , mfalme Daudi, Mungu wetu ni Tajiri acheni ushamba
@anselmoonolius Жыл бұрын
Nilikua nahisi shusho anaongozwa na Roho wa Mungu lakn kwa hili ni kipofu tu
@salimkingu2108 Жыл бұрын
Wwe unamacho ya mwilini tu mwenzako anayo macho ya rohoni ndio mana amefika hapo
@longututitajiri1426 Жыл бұрын
Nimesoma comments za watu walivyo na chuki na watumishi wa MUNGU na shetani Yuko bise kuwaaminisha kwamba watumishi wa MUNGU c wakweli lakini iko siku watatamani kuwaona watumishi wa MUNGU lakini haitawesekana MUNGU akubariki popote ulipo Prophet GEODAVIE 💯🙏🙏
@clarisbanza6066 Жыл бұрын
Kipofu wewe funguka kwa jina la YESU
@yusufumulori Жыл бұрын
Amen 🙌
@ElizaKitaliАй бұрын
Ukweli lazima tuusema waimbaj wa nymbo za injili ,rudini kwa Yesu.
@frsophonieofficial Жыл бұрын
Tunasoma matendo Yako mpaka hapa Mjini Kongo, acha Bwana akuongezee mamlaka Juu ya wote wenye kukutakiya Mabaya
@clarisbanza6066 Жыл бұрын
Acha kutuaibisha wewe mjinga kweli
@saxisarinah7425 Жыл бұрын
Alafu tuu style yenye nabii amekaaa kwa kanisaa😢Jesus himself is humble he can’t even sit like that😅😂mguu kwa ingine jamani😅sihukumu but is a bad example kaa mtumishi wa mungu..The God i know he humbles his children😢huyu hata muniwekee bunduki kwa kichwa😂😂hakunaa cha unabii hapa😢
@gaudiosamweha1792 Жыл бұрын
Kosa kubwa kumfata huyo nabii.Jamani Mungu Muokoe Christina.Msimfate huyo nabii mkuu.Pesa zake mnajua chanzo chake? Mtu anajiinua kuliko Mungu.Jmn tumuombee tu Christina kavamiwa tatar rohon.
@nyabahailani3169 Жыл бұрын
Yaani yesu rudi jamani tunaenda wapi huyu nyoko naye kaenda uwiiii mungu fanya jambo kama Brazili
@revocatuskato9474 Жыл бұрын
hapo ndo panamstahili haswaa,ukiona mwanamke anaolewa alafu anajitenga na ndoa kwasababu yeye ni maarufu ujue ibilisi ameisha mchukua na ni vigumu kumrejesha tena kwa Mungu
@justinjunior5352 Жыл бұрын
Mnafiki ww utadanganya watu wa MUNGU mpaka lini achilia watu wa MUNGU wakamtumikie MUNGU wakweri
@EliasiMasanja-uc3zt Жыл бұрын
kwakwel mungu atuhurumie
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
1 Timothy 6:9-10 9 But those who desire to be rich fall into temptation and a snare, and into many foolish and harmful lusts which drown men in destruction and perdition. 10 For the love of money is a root of all kinds of evil, for which some have strayed from the faith in their greediness, and pierced themselves through with many sorrows.
@annakattoa7502 Жыл бұрын
Mimi najiulia swali kuna tatizo gani shusho kuenda hapo na kuomba support ?? na kuna shida gani huyu mtumishi kumpa pesa huyu mtumishi wa Mungu ?? Kupiga magoti nikuonyesha unyenyekevu ni mila na desturi za mwafrika, na tazana kwa biblia watumishi walipiga magoti kupata baraka kwa wakuu . YESU ALinyenyekea akajishusha akabatizwa na yohana, jamani jamani Mbona mawazo yetu nimabaya sana kuliko kumuombea na kumsupport huyu Mwimbaji wa nyimbo za injili zinazotubariki??
@josephemmanuel388 Жыл бұрын
anasema baba ampenguvu gan alafu anasema mfalme uyo nabii nimfalme au mungu ndio mfalme
@victornzowa5138 Жыл бұрын
Nguvu anayoomba ni nguvu gani hapo maana ameomba support pamoja na nguvu sasa nguvu ni ya nni anayoomba.... Maaa yake huyo mhubiri ana nguvu gani ambayo anaweza kumpa shusho
@musaliaeugene7975 Жыл бұрын
Ukweli kabisaa wanadamu Wana vinywa lazima waongee
@wachimara Жыл бұрын
Uyo mbwa mchawi ..manabii wote walikua waarabu
@ibenembassy Жыл бұрын
Tulikutegemea sana Shusho lakini Unahitaji maombi umepotea uko kwa dira ya kuzimu
@ambindwilehosea6837 Жыл бұрын
Uongezwe sana na Mungu
@violetshekibula919 Жыл бұрын
Aiseeeee mmmmmmmm
@douglasochieno3358 Жыл бұрын
Wacha kuabudu mwanadamu wewe unasujudia mwanadamu mungu anakuona
@tinnahagustinolyelu42472 ай бұрын
Ameshapotea tayari pesa shikamoo
@maasairecordsqualitysound_506 Жыл бұрын
KWELI BABA NABIII MKUU MH DKT GEORDAVIE MUNGU ANATUMIKA NDANI YAKOOO
@clarisbanza6066 Жыл бұрын
Kipofu kweli wewe😢
@lugelongoi Жыл бұрын
Sio kipofu ila ni kenge kbsa
@gloriambise8017 Жыл бұрын
Kumekuchaaaaaa
@michaelkarisa5270 Жыл бұрын
Aki shusho walai, skua naamini unaeza ingia mahali kama hapa, sai imba kwa ajili ya ufalme wa Giza xasa, I will not listen your music anymore from today
@shinemakenzi8101 Жыл бұрын
Pesa haimuachi mtu salama huyu dada kwa sasa ni jitu la kuzimu