NABII MKUU AMPA GARI MCHUNGAJI MASHIMO NA PESA TASLIM MILIONI 3 (3,000,000/=) GeorDavie TV

  Рет қаралды 231,058

GeorDavie TV

GeorDavie TV

Күн бұрын

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 775
@DeoKasokola
@DeoKasokola Жыл бұрын
Mungu utusaidie njaa ni mbaya sana. Maana maadui wa msalaba wa kristo Mungu wao ni tumbo na mwisho wao ni uharibifu
@sijemoct1216
@sijemoct1216 2 ай бұрын
we mpenzi wa msaraba uko unasaidia nini wengeni. haikufai kuwa na mdomomdomo nawe ni dume bwana
@GracePatrick-zc2eb
@GracePatrick-zc2eb Ай бұрын
Acheni wivu.ungekuw umepewa wewe pesa ungehukumu? Acheni umbea
@antonyenglebert7017
@antonyenglebert7017 3 күн бұрын
NJAA ITAUA WATU KAKA
@Sunday-rl9uu
@Sunday-rl9uu 2 жыл бұрын
mashimo mwenyewe nabiii wa mchongo siwaaamin manabiii namwamini mungu anatosha
@IssaygeradGerad
@IssaygeradGerad Жыл бұрын
Anamsujudia binadam mwenzake jmn ee Mungu Tuokoe na Mwovu shetani
@djwise1887
@djwise1887 2 жыл бұрын
Badala ya kuhubiri nyumba hadi nyumba yupo Yesu kristo mwokozi wetu wewe watembea nyumba hadi nyumba kutangaza kuna nabii mkuu. Huko ni kumtukuza mtu siyo Mungu
@emmanuelmwesongo7177
@emmanuelmwesongo7177 2 жыл бұрын
Nimesoma comments nyingi ila ya kwako ndio ina mashiko ✍
@bonimasero649
@bonimasero649 2 жыл бұрын
Mimi sjamwelewa huyu jamaaa
@christianmwasakogo5579
@christianmwasakogo5579 2 жыл бұрын
Watumishi wa Mungu watoaji kiasi cha kumfikia Nabii mkuu Geordavie hapa Tanzania na Africa Mashariki mimi bado sijaona!! Salute sana kwako NABII Geordavie!!
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 жыл бұрын
Kabisa sijaona
@kapiriisavictoria4175
@kapiriisavictoria4175 2 жыл бұрын
I tap the anointing in Jesus Mighty Name 🙏
@juliusgenya3231
@juliusgenya3231 2 жыл бұрын
Huyo ni nabii feki hakuna nguvu ya MUNGU
@christianmwasakogo5579
@christianmwasakogo5579 2 жыл бұрын
@@juliusgenya3231 heee una uthibitisho?
@gervasmwijage8657
@gervasmwijage8657 2 жыл бұрын
@@juliusgenya3231 upo smart snaaa..Mie nakaa naangalia tu watu
@eddyempire9797
@eddyempire9797 2 жыл бұрын
Mashimo ana Akili nyingi Sana.... Ametafuta pakutobolea
@charlesntajnya3994
@charlesntajnya3994 9 күн бұрын
Ndugu wapendwa nikiangalia moment zawengi niza kulalamika vyanini kulalamika mungo kama anatùmika namwanadam namwanadam nimuakili wamungu Duniàni wew unahubili nini mini unaemuona tabla yakumuonamungu
@charlesntajnya3994
@charlesntajnya3994 9 күн бұрын
Longer kaka were unaelewa
@atupelemwitiki
@atupelemwitiki 2 жыл бұрын
Asante sana nabii Wa Mungu,huyu MTU amefanya kazi kwenye mazingira magumu sana, sasa ni wakati Wa kubarikiwa kwake.
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 жыл бұрын
Mkono utoao ndiyo hubarikiwa, Asante nabii mkuu, Mungu akuzidishie vingi zaidi ili uweze kuwasaidia wahitaji. Hongera mchungaji mashimo, kazi yako imepata kibali mbele za. Mungu
@kaseeedeo7839
@kaseeedeo7839 Жыл бұрын
baba yetu nabii mukuu nakupenda sana baba uko na upako kwakweli niko Congo ningelikuwa nauwezo ningeli kuja ulipo baba nakupongeza sana kwa kazi unayo fanya
@sophiankwera9020
@sophiankwera9020 2 жыл бұрын
Ni zaidi ya upendo Nabii Mkuu hongera sana baba ni jambo la baraka sana ulilolifanya Kwa mchungaji mashimo
@beatricekilasi7622
@beatricekilasi7622 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana nabii kwa kaz ya kuitangaza injili ya mungu amina
@esthermyers1696
@esthermyers1696 Жыл бұрын
Can this pastor minister to the peoples have mercy ohhh God!!!!
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 2 жыл бұрын
Hongera Sana nabii kwakweli unanitakasa roho yangu kwa utoaji huu daaah MUNGU akuongeze zaid na zaidi
@nabiialuta8234
@nabiialuta8234 Жыл бұрын
Mungu akujaze baba usipungukiwe kwa mibaraka ya mbingu na ungefaa kuwa raisi wa tanzania bb kwa moyo wako unaofanana na hayati magufuri kwa kuwasaidia wanyonge baba MUNGU Akupe wazo la kugombea uraisi maana anasema hakuna jambo litakaro shindikana kwenu mat 17:20 we pray for you
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Nabii huyu ni mtu wa wanyonge ni tofauti sanaaaa na manabii wengine sijawahi kuona au kusikia kama nabii anaesaidia wanyonge waumini wake na ambao siyo waumini wake huyu nabii atafunguliwa mengi sanaaaa geodavie mungu akupe nguvu sanaaaa
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 2 жыл бұрын
Mungu anainua MTU kupitia MTU mashimo amepambana sana Ivo Mungu amemwonakania ni Jambo la kumshukulu Mungu awezi kukuacha ukimtegemea asante Nabii mkuu unajitoa sana kusaidia watu tungekuwa na watumishi kama wewe tusingelia umasikini watumishi wengine macho Yao yako kwenye sadaka
@christopherthomas4485
@christopherthomas4485 2 жыл бұрын
Baba nakupenda sana baba uwanabalikiwa sana kukusikiliza nafatilia sana maubili yako naomba uniome mabadiliko ya maisha mm na familia yangu ubalikiwe sana baba naludia tena na kupenda sana
@mosesjohnswilla9926
@mosesjohnswilla9926 2 жыл бұрын
Njaa
@salmampinga4995
@salmampinga4995 2 жыл бұрын
Yaani Baba Mheshimiwa Nabii Mkuu Dr. Geordavie unanipa rahaa kwa kweli.Unatoa Nakutoa, Nakutoa Nakutoaaa ,Vivaaa Maono ya Nabii Mkuu Vivaaaaah:
@bernadysospeter5794
@bernadysospeter5794 2 жыл бұрын
Asante sana nabii mkuu kwa kzi ya mungu unaendelea kufanya uzidi kubarikiwa sana sana NABII MKUU
@jeanpaulndabirorere5966
@jeanpaulndabirorere5966 2 жыл бұрын
Nakupenda sana nabiii mukuu kwamafundisho mazuri yenye upako heri ningeweza kufika kwenye huduma zako iri niuzuriye katika wengine iri unibariki
@honhonhaule9232
@honhonhaule9232 2 жыл бұрын
Nabii uko vizuri Sanaa kwa kweli unafanya kazj ya Mungu yaani natamani nami nipate baraka zako Babaaa your very powerful I can call you WONDEFUL Lion oF TANZANIA Thanks
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 2 жыл бұрын
Pole mtumishi mashimo najua umefirahi sana na Mungu ambariki kwa hapo alipotoa Ila kua makini usimpigie mwanadamu goti maana wewe ni mchungaji na unaelewa maandiko
@silvestersevangelisticmini8917
@silvestersevangelisticmini8917 2 жыл бұрын
Napenda nabii mkuu.Mungu azindi kumtumia.mimi natoka kenya
@bobwhite9252
@bobwhite9252 2 жыл бұрын
Hawa jamaa ni professional. Wakal wa hiz kaz
@eliachacky7562
@eliachacky7562 2 жыл бұрын
Baba MUNGU akawe nawe siku zote uzidi kutusaidia watanzania na kutuvusha 🙏🏻
@KatulebeJaphet-jr4br
@KatulebeJaphet-jr4br Жыл бұрын
Huo ni upotoshaji, yaani badala ya kumtangaza Yesu Kristo(kumuhubiri Yesu watu waache dhambi) eti uwatangaze watumishi wa Mungu wanaofanya vzr kweli mtawatambua kwa matunda Yao, imeandikwa Mungu hachukiliani utukufu na wanadamu, "pasipo mimi ninyi hamwezi neno lolote(yonana15:5)" mitume waliotangulia walimtangaza Yesu Kristo watu watubu wapate msamaha wa dhambi wala hawakutangaza habari na kuwasifia na wala kuwainua wanadamu , na Mungu alipowatumia kufanya matendo makubwa walikataa kutukuzwa kwakuwa sio wao wanaofanya hayo Bali kristo ndio anayefanya yote(matendo3:11-14), (matendo14:8-16) . NABII MKUU NI YESU KRISTO, imeandikwa mtu ye yote atakayewahubiri injili ya namna nyingne tofauti na hii tuliyowahubiri, iwe ni mm au malaika na alaaniwe(galatia1:6-10). HIZO INJILI ZA KUWATUKUZA WANADAMU NA KUWAINUA ZAIDI KULIKO MUNGU(KRISTO)SIYO INJILI ALIYOTUAGIZA YESU . Ukiwasikiliza Vzr hulisikii jina la YESU linasemwa wakati YESU ndio Nguvu yetu, wokovu wetu , imagine, uponyaji wetu , na ndiye anayefanya mambo yote piano ni yote ktk yote. Kama Yesu hazungumziwi wala kutajwa hatajwi, basically huo ni uhuni kwa kutumia kivuli cha ukristo na sivyo neno linavyoagiza.
@mpokienock-nh3zz
@mpokienock-nh3zz Жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu
@prophetess2024
@prophetess2024 Жыл бұрын
KatulebeJaphet. Mungu akumbariki Kwa kusema ukweli....ATA Mimi nitamuinua Yesu Kristo Kwa roho na kweli, Roho mtakatifu nisaindie.
@irenelulu530
@irenelulu530 2 жыл бұрын
Ameeen God is mighty..nmejifunza kuwa mwaminifu mbele za mungu
@RoseGabriel-s4s
@RoseGabriel-s4s 11 күн бұрын
Ukome kumtukana mtumishi wa mungu,mbinguni unapelekwa au unaend mwenyew kwa matendo yako
@boniphacemabala4551
@boniphacemabala4551 2 жыл бұрын
Mmmmh, Yaan imani igeuzwe kutoka kumwamini Yesu mpaka kumwamini binadamu, Bwana Yesu atusaidie sana...ila hakuna cha ajabu kwasababu yote yalisemwa kwenye neno lake takatifu
@georgeigogo9259
@georgeigogo9259 2 жыл бұрын
asante kwa kuliona ilo
@boniphacemabala4551
@boniphacemabala4551 2 жыл бұрын
Mambo yanatisha sana haya, Bwana Yesu aliyetuokoa na kutupa neema ya kuyaona haya na kuyaelewa asifiwe sana
@zachaliaagustino8546
@zachaliaagustino8546 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu nabii mkuu
@abelisack3072
@abelisack3072 Жыл бұрын
hadi nmetoa machozi mm MUNGU wangu anitendee namm muujiza nitoke kwenye giza nililomo, mtumishi wa Mungu GeoDavie uzidi kunghara zaidi, haijalishi wanasema maneno gan
@salimmohammad3627
@salimmohammad3627 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu nabii mkuu. Sinjawai kuona nabii kama wewe duniani. uko Mutumishi wa mungu wakweli baba nabii mkuu mimi binafsi nitatangaza Jina lako duniani kama pako nabii mkuu Tanzania .mwenyezi mungu akupe maisha marefu ...mimi naomba uniombee kwa mungu. anisaidie na aniponye ungonjwa ya mapepo mabaya. Amen Amen......in God we trust. God bless you my dear daddy
@paulmadundo8084
@paulmadundo8084 2 жыл бұрын
hongera yake sana, kwa alivyoianza kazi yake na jitihada zake anastahili kupewa zawadi zaidi ya hiyo. Mungu amsaidie asipandishe mabega huko dar sasa
@Carenmchomvuipupa
@Carenmchomvuipupa 2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu Geodavie, Mungu atazidi kukuheshimisha kwa kumkumbuka mashimo ,amen
@emmanuelmachira4883
@emmanuelmachira4883 2 жыл бұрын
Hongera kwa misaada wako kwake kumwezesha aweze kutangaza ufalme wa mbinguni. Tunaomba umsaidie na Paschal Cassian alie toka ufreemason upate kumpongeza kwa maamuzi hayo ya kutoka ufreemason. Asante sana mtumishi
@prophetzakayomkemwa5154
@prophetzakayomkemwa5154 2 жыл бұрын
Paschal Yule NI mtumishi wa MUNGU wa kweli hawezi kupewa chochote kwasababu kweli imekaa ndani take amen
@apostlealexgervas7856
@apostlealexgervas7856 2 жыл бұрын
Barikiwa Sana Baba umebakia wewe unayejali wahubiri wadogo wanaojitoa kwa moyo.
@mariamelia3906
@mariamelia3906 2 жыл бұрын
leo nimekubali anatoa sana mungu ampe kibali mbele za mungu sku zote
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
Mashimo piga kazi Mungu kasikia maombi yako
@NuruNyanginywa
@NuruNyanginywa 8 ай бұрын
Mungu akubariki nabii kwa kumwinua mtumisji wa Mungu
@davidlaiser8174
@davidlaiser8174 2 жыл бұрын
Tumuombe Mungu Sana atusamehe dhambi zetu. Tujifunze kutubu zaidi sio kujipromote zaidi. Na Mungu aliyeumba mbingu na nchi atatusamehe.Amen!
@isongacharlesnilanga2582
@isongacharlesnilanga2582 2 жыл бұрын
Mathayo 15:13-14 [13]Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang’olewa. [14]Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.
@neemanziku5403
@neemanziku5403 2 жыл бұрын
Mtumishi Geodev mungu unae mtumikia akubarik ujulikane kote ulimwenguni na mbingu zikujue na ardhi itetemeke kwa ajili yako ubarikiwe Sana nakosa Cha kusema
@marympemba2137
@marympemba2137 2 жыл бұрын
Baba umenena vizuri sana, somo zuri sana, namuomba mungu wako awe nami baba🙏🙏♥️♥️🔥🔥🇹🇿🇹🇿
@mariakisinda7235
@mariakisinda7235 2 жыл бұрын
Mungu akuzidishie nabii ninapokusikiliza wewe naskia Julia juu ya ninayopiti juu ya kumtumikia mungu lakini kamwe sitakata tamaa naamini ipo siku name nitatoa ushuhuda
@stellakutta6513
@stellakutta6513 3 ай бұрын
Baba Nabii Mungu anibariki siku moja nikutane nawe kwa neema
@EastherEmmanuel
@EastherEmmanuel 9 ай бұрын
Mungu wa Nabiii Devi anibariki mimi akoe watoto wangu wameharibika na siku nikija Arusha lazima nimwone
@hanifabakari6245
@hanifabakari6245 2 жыл бұрын
mimi mwislamu lakini naamini imani zote ,nakufatilia sana mchungaji ila kwa xx nimjamzito ,naomba baraka za maombi yako ,kwa imani na hamini nitabarikiwa
@kassioothemiracle1688
@kassioothemiracle1688 2 жыл бұрын
Amina
@buuwahiid2898
@buuwahiid2898 2 жыл бұрын
Ww muislamu lkn imani yako ndogo sana
@ramakazina170
@ramakazina170 2 жыл бұрын
Innalillah wainalillah rajiuni Dada Hanifa Bakari achana na hii michezo hawa ni wataalam wa kuwahadaa watu kama wewe ambao hamtaki kumjua Mungu mnataka miujiza kuliko kumuamini Mungu usidanganiyike wewe kinacho kuathiri ni kwasababu wewe ni Mwislam poa lkn kama ungekua Muumini haswa wale usinge shawishika na huo mchezo wa kitapeli Waislam huwa hatuko hivyo hatudanganyikagi kirahisi kaachini ujitathimini Inshallah Mungu atakufunulia ukweli wa hayo mambo ya kisanii.
@frankbangimoto3462
@frankbangimoto3462 2 жыл бұрын
Nabii unafanya kazi kubwa mno, katika kutangaza Injili ya Bwana Yesu Kristo. Mungu akubariki na kukulinda wakati wote.
@jumaeduardo
@jumaeduardo 2 жыл бұрын
Asante sana baba, Mozambique iko pamoja nanyie
@deusmorris1030
@deusmorris1030 2 жыл бұрын
huyu mtu wa Mungu nilikuwa sielewi sasa naelewa ukiona mtu anaachilia vitu kwaajili ya injili huyu si mchezo Mungu akuinue nabii mkuu
@abdulrahmanpaskalina7627
@abdulrahmanpaskalina7627 2 жыл бұрын
Nakupenda Yesu, nakupenda Mungu kwa ajili ya Watumishi wako, Amina🤲🙏
@aaronswai6935
@aaronswai6935 2 жыл бұрын
Mungu atuhurumie na kuturehemu sana. Muda wa Kristo BWANA kurudi u karibu!
@oscargmosha3108
@oscargmosha3108 2 жыл бұрын
Hakika
@juliethbudugu7640
@juliethbudugu7640 2 жыл бұрын
Kweli
@dotto0gallo23
@dotto0gallo23 2 жыл бұрын
USISUJUDIE yoyote yule bali ni Mungu pekee pili abudie sanamu ni bure umaskini isiwe Sababu Nimesikitika
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 2 жыл бұрын
Natamani hata mie siku Moja nihudhurie ktk ibada ya Nabii mkuu G.mungu Anisa indie niweze kufika Arusha
@tinamahega9848
@tinamahega9848 2 жыл бұрын
Aisee mungu azidi kukuinua na kukuheshimisha nabii mkuu,hii ni zaidi ya faraja
@nessa4899
@nessa4899 2 жыл бұрын
Amen unastahili mashimo. Mungu mjalie Geor davie, Ehh Mungu mjalie nabii huyu, Amen 🙏.
@neemabrown1063
@neemabrown1063 2 жыл бұрын
Hakika mungu ni wa ajabu sana baba kwa moyo mkunjuf amemzawadia gar sijawahi ona mungu hakika anatenda nami najisikia raha sana kumwabudu mungu anayejibu maombi
@12322879
@12322879 2 жыл бұрын
Kabisa,Mashimo amempambania Mungu miaka mingi sana tena kwa kukubali matusi na dharau za wasioamini.Wakati wa Mungu Ndio wakati sahihi.Amen
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 жыл бұрын
Nabii Mkuu,Mungu azidi kuinua kazi yako. Muda mrefu natamani ningekuona unitamkie neno, lakini kwangu inakua ngumu. Mana wewe ni mtu mkuu sana.Ila kwa kumbariki mtumishi Mashimo maneno haya yangu ya comment yawepo ili siku moja nije nitoe ushuhuda. Kupitia hili tendo nami napokea kuinuliwa.
@samwelimadaha767
@samwelimadaha767 2 жыл бұрын
Maneno ya unyenyekevu. MUNGU akutendee, Zaburi 138:2,8
@festochristopher7293
@festochristopher7293 2 жыл бұрын
Duuuuh it's so much touching, ukwel mi sio muumini wa Mtumishi huyu lakini kwa Hili kwa kwel anastahi pongezi
@deboraleonard3441
@deboraleonard3441 2 жыл бұрын
Yesu anarudi jamani tubuni dhambi. Zichunguzeni izo roho Kisha mziiamini.jamani jamani fumbueni macho .uwiii kweli yesu Yu aja jamani tubuni
@zimanigervas7281
@zimanigervas7281 2 жыл бұрын
@@deboraleonard3441 Toba inaingiaje hapa kwa mtu kusaidiwa ,acha roho mbaya ,Inabidi jianze kujichunguza wewe roho yako?????mfyuuuuuuuuuu
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 2 жыл бұрын
Najiungamanisha na huu upako na nabii mkuu maana kwa Mungu ktk ulimwengu wa roho hakuna umbali..Mungu aniinulie wafadhili ktk huduma yangu ktk jina la Yesu🙏🙏🙏🙏.
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 2 жыл бұрын
Mmi ni muisilamu lakini kiukweli huyu mzee anawasaidia sana walioko chini japo kuna kuonekana anatengeneza ila haijalishi nifunzo wallah
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Wewe je Kwa nafasi yako umewasaidia wangapi?
@SaideAndurabe-kh7lu
@SaideAndurabe-kh7lu 8 ай бұрын
Usijingize uko
@happinesstesha4745
@happinesstesha4745 2 жыл бұрын
Najiungamanisha na muujiza huu wa gari mungu akatende na kwangu kwa mungu wa jo dev mchungaji huyu mume wangu apate gari mpya alphad kama hii
@hawaally7712
@hawaally7712 2 жыл бұрын
Barikiwa baba ,hakika ww mfano wa kuigwa nimelia sana kuona mchungaji Leo ameinuliwa Asante yesu matendo yako ni makuu mno
@JoyceChacha-i3w
@JoyceChacha-i3w 7 ай бұрын
Amebalikiwa anaedaidia watu wanao eneza injili Ubarikiwe sana
@edwinelias8554
@edwinelias8554 2 жыл бұрын
Amen kubwaa Mungu hana upendekeo siku zote anampa mtu sawa sawa na alivyoomba
@rosemwankemwa9413
@rosemwankemwa9413 2 жыл бұрын
Mungu akubariki nabii najiungamanisha nami na miujiza hii
@livingstonemsungu9694
@livingstonemsungu9694 2 жыл бұрын
Niliamua kufuatilia huduma yako kwenye mtandao baada ya Kusikia Baaadhi ya Tuhuma Kadhaa ambazo wengi wamekuwa wakikulushia, ndipo Nikaamua Kujifunza zaidi na kukufuatilia huduma yako kwa Ukaribu zaidi kwenye mtandao. Kiukweli ni Mengi mazuri sanaa ninaendelea kujifunza kupitia Kwako, Mazungumzo na wosia wako kwa Mtumishi Mashimo, umenifungua sehem kubwa, Kuna swali nilikuwa nalo mda mrefu lkn kwa leo Nimejibiwa na nimekuelewa, Wosia huu utanifaa Sanaa pia Kwenye utumishi na huduma YANGU.MUNGU Aliye Mbinguni aendelee kukubariki na Kukuinua kwa viwango vikubwa zaidi. Rev. Livingstone Msungu IRINGA.
@frankmushi8892
@frankmushi8892 2 жыл бұрын
Uhu ni mfano wa kuigwaaa kabisaaaaaaaaa he mungu wabarikiiiiii awa watumishi wako na nabihi mkuuuu nakuomba uniinuwee na mimi
@neemamjema1067
@neemamjema1067 2 жыл бұрын
Ishi sana Mheshimiwa Nabii mkuu Dr GeorDavie 👏👏🙏🙏🙏
@gladsonuronu6364
@gladsonuronu6364 2 жыл бұрын
Asante sana Nabii Mkuu Dr Geordavie
@makolokolodavid6707
@makolokolodavid6707 2 жыл бұрын
Loooh!! Nnachojua mim nikuwa Mungu yupo na Mungu hadhihakiwi, ipo siku tutajuana tu
@روزروز-ر5ز
@روزروز-ر5ز Жыл бұрын
Hongera nabii mungu akuzidishia lk mm nimekosa aman kwa kudai laki tatu ,n kenya lk sasa nko saudia arabia n ombia n pate hiyo hela asante. 24:52
@ireneshikuku
@ireneshikuku Жыл бұрын
Irene ubarikiwe sana maombi yako inaponya, amen
@weldersirinimakelemopeter4671
@weldersirinimakelemopeter4671 2 жыл бұрын
Nabii Mkuu Mungu akubariki. Lakini naomba usijipe utukufu. Usiseme kanisa ni lako. Ukweli wewe ni nabii wa Mungu wewe ni muonaji wa Mungu utukufu sifa ni za Bwana, kanisa, nila Mungu wa mbinguni hakuna mwenye kanisa hapa duniani kanisa nila Bwana. Nakupongeza kwa Huduma uliyopewa na Mungu usinyamaze, usichoke safari ya ukombozi iende mbele. Ameeen
@bonimasero649
@bonimasero649 2 жыл бұрын
Mtu habudiwi Bali mungu tu
@stewartukason231
@stewartukason231 2 жыл бұрын
Wow....this is amazing....Dr. Geor Davie is an amazing Prophet from the Lord.
@sumaliinaleng5430
@sumaliinaleng5430 2 жыл бұрын
huna lolote
@evaristminja1784
@evaristminja1784 2 жыл бұрын
Kweli nabii mkuu Mungu azidi kukupandisha, Mungu anapenda moyo kama wa kwako. Asante sana sana, umeonyesha dira ya kuwalea wale wanaomtukuza Mungu.
@sesiliajohn6257
@sesiliajohn6257 2 жыл бұрын
Amwaminiye Nabii atapata thawabu ya nabii amen
@vicentelias491
@vicentelias491 2 жыл бұрын
Tumuamini nabii au Mungu kupitia kwa mtume wake yesu kristo
@JackJack-si7ne
@JackJack-si7ne 2 жыл бұрын
Tumuamini Mungu kupitia mtume wake Yesu Kristo ndivyo biblia inavyotuelekeza
@stephanonyasanga7778
@stephanonyasanga7778 2 жыл бұрын
Tumuamini Mungu tu nawatumishi wake wanao mwabudu Mungu katika Roho na kweli
@JackJack-si7ne
@JackJack-si7ne 2 жыл бұрын
@@stephanonyasanga7778 hapo sasa kwenye roho na kweli sasa lazima uwe na Roho Mtakatifu wakukujulisha na kukufunulia yaliyo sirini, watumishi walio wengi sasa hivi ni maigizo matupu. Wanajifanya wao ndo wamejaa Roho Mtakatifu, wanajua sana neno wako karibu na Mungu na wengine huthubutu hata kusema wanaongea na Bwana Yesu uso kwa uso, Nimewahi kusali mahala fulani, huyo mtumishi pasipo kujua nilikuwa naamini kabisa ni Mtumishi Wa kweli wa Mungu katika Kristo Yesu, nilipoendelea kusali pale, Nikaanza kumuhoji Mungu kuhusu roho inayotenda kazi ndani yake, jamani mwanzoni sikuamini lakini kadri Roho Mtakatifu alivyizidi kunifunulia niliondoka hiyo madhabahu. Lakini je swali la kujiuliza ni wakristo wangapi wanaopenda kuhoji kuhusu roho zitumikazo katika madhabahu wanazoziendea? Na je wakishajua wako tayari kuondoka? Mungu atusaidie sana hakika.
@honhonhaule9232
@honhonhaule9232 2 жыл бұрын
I like the way your are preaching DADY proud for you our wonderful prophet NABII MKUU may GOD Bless you
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 Жыл бұрын
Utawapata mazuzu Kama wewe
@thetwonotoriousboys6799
@thetwonotoriousboys6799 Жыл бұрын
Eti Dady😅😅
@deusmorris1030
@deusmorris1030 2 жыл бұрын
kusapo injili tu nimekuheshimu sana wahubiri tunapata shida sana vijijini barikiwa sana
@kennethmwazembe2413
@kennethmwazembe2413 2 жыл бұрын
Nimefurahishwa na ushuhuda huu. Mungu anamtumia nyakati za mwisho. Mtu aweza kumuona Yesu kupitia kwa Nabii Mkuu GeoDevie
@zimanigervas7281
@zimanigervas7281 2 жыл бұрын
Haleluyaaaaaah,Ahsante sana kwa wewe uliyeliona hili Mungu akubariki sana,Naomba nirekebishe Jina;Nabii Mkuu Dr:GeorDavie✅
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 2 жыл бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu ubarikiwe na Mungu akuinue kwa kazi kubwa uliyoifanya ya kumsapoti Mtumishi wa Mungu Mashimo Mungu azidi kukuinua Amen
@mathsmeme-tv6576
@mathsmeme-tv6576 2 жыл бұрын
Baba Unapenda kazi ya Mungu .......touching Nampenda Yesu wa NYU
@neemabrown1063
@neemabrown1063 2 жыл бұрын
Nami najiunganisha na upako huuu napokea na mm gar nzuri sana kwa jina la yesu sitapungukiwa
@yohanamhagama8975
@yohanamhagama8975 2 жыл бұрын
Watumishi wengi wa Mungu wanatukamua Sana Sisi waumini tuwatolee sana, wao hawatoi kwa jamii na wanamiliki maisha ya kifahari, badala ya kusaidia jamiii Sana, wamejawa na majivuno Sana na wanataka waogopwe kama mungu na wakati wao watakufa tuu, namshukuru Mungu kwa kumfanya nabii mkuu kuwa mfano kwa watumishi kwa utoaji wake moyo umenigusa Sanaa nabiii mkuuu endelea kwa moyo wako Mungu ataendelea kukupigania me namkumbuka Sana tb Joshua alikuwa mtoaji Sana na naamini uko alipo Mungu amemlaza mahala pema peponi.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Hahahaha,,,,ndio maana Yamagami Testyuya amechukua hatua Kwa Shinzo Abe kuonyesha chuki yake dhidi ya unification church kutokana na dhulma Kwa waamini wao!
@yohanamhagama8975
@yohanamhagama8975 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 kwanini unasema hivyo mkuuu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@yohanamhagama8975 mama yake amekamuliwa na kanisa kiasi cha kuwafanya kuwa masikini
@yohanamhagama8975
@yohanamhagama8975 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 pole yake sanaa inauma ILA nikumwachia Mungu tuuu
@spabiton7989
@spabiton7989 2 жыл бұрын
Mimi na Cheka naamin mungu sio kama mashimo
@fredrickshantiwa9710
@fredrickshantiwa9710 2 жыл бұрын
Ameni... Hakika Mungu akupe maisha marefu Sana
@ndoricimpaelyse7752
@ndoricimpaelyse7752 2 жыл бұрын
Kwanini watu wanaamini huyu Nabii hawa ni mashetani.sio Mtumishi wangu muwombe sana.
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 2 жыл бұрын
Hongela nabii mkuu mungu azidi kukupa liziki
@rihanawanzala4335
@rihanawanzala4335 2 жыл бұрын
Amen I connect with my children, watching from Saudi Arabia
@husseingabo5497
@husseingabo5497 2 жыл бұрын
Kafie mbele hao matapeli watakusadia nini habari ya mjini ni ukitaka kuwa milionea hapa mjini anzisha kanisa yaan wewe umeshindwa kusimama usiku Kwa ajili ya kumuombea mtoto wako unataka usaidiz kutoka Kwa matapeli we una akili kweli
@mundelejudith3940
@mundelejudith3940 2 жыл бұрын
Mungu akulinde nabi mku na mimi napokeya upako kupitiya mchunganji mashimu I received in Jesus name Amen 🙏 💖 🙌
@mosesjohnswilla9926
@mosesjohnswilla9926 2 жыл бұрын
Hujui kuandika
@kwabiNyaga
@kwabiNyaga Жыл бұрын
You are the Real Man of God
@hassanihussenihamissimtind1596
@hassanihussenihamissimtind1596 2 жыл бұрын
Kiukwel nampenda sana nabii mkuu anafanya vtu vkubwa lsit nngekuwa uwezo nngemfikia alpo japo mm n muisilam nampenda sana
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 2 жыл бұрын
Umaskini mbaya sana. kusaidiwa milion2 basi unaanzakumwabudu na kuhubiri mtu na sio kumhubiriYesu kristo. hii ni laana. ndo maana uliowaalika walikataa maana hapo ni kumwabudu mwanadamu. Geuka mhubiri Mungu aliyekuumba. utajiri utapita. halafu huu utajiri unaoutegemea hapo utakugarimu. Mche Mungu muumba mbingu na nchi .usimwache Yesu ukaanza kuhubiri mtu kwa million 2 na gari
@ericklazaro7567
@ericklazaro7567 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@zimanigervas7281
@zimanigervas7281 2 жыл бұрын
Si unayo ndio maana hauoni ajabu,kwa kuwa unazo haikushtuwi ,,Umeshiba mwenye njaa humjuuuiiii
@JackJack-si7ne
@JackJack-si7ne 2 жыл бұрын
@ dativa joachim wai anayeyajua mambo ya rohoni ndiye anaweza kukuelewa, anafurahi kwa sasa lakini angejua yaliyo mbele, hakika yatamgharimu. Barikiwa sana
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 2 жыл бұрын
@@zimanigervas7281 soivo ndugu yangu. hatumwabudu Mungu kwasababu tumeshiba.Mumgu akure au asokupe bado atabaki kuwa Mungu na heshima yake inabaki palepale.haifai kuuacha wokovu sababu ya shida.dunia tunapita utajiri na umaskini vyote tutavisahau hapa duniani.kama umeokoka endelea na kumsema yesu kwa watu waokoke.injili iletayo wokovu ndo injili iliyokusudiwa na Mungu.sasa injili ya kinabii kuhubiri nabii sijuisijui imekaaje
@zimanigervas7281
@zimanigervas7281 2 жыл бұрын
@@JackJack-si7ne tufundisheni sasa
@magdalenapeter6106
@magdalenapeter6106 2 жыл бұрын
WA KUABUDIWA NA KUTUKUZWA NI YESU PEKEE YAKE HAKUNA MWINGINE CHINI YA JUA HILI HAKIKA HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO NA UKWELI YESU YUPO MLANGONI YESU NIREHEMU MIMI MKOSAJI NISAIDIE NIWE NA MWISHO MWEMA🙏
@gastonpeter4265
@gastonpeter4265 5 ай бұрын
Wa kuabudiwa ni Muumba wa mbingu na nchi 1 kor 15:24-28
@hopejohnson7352
@hopejohnson7352 2 жыл бұрын
Ubarikiwe xana baba mungu azidi kukutunza
@fredyzacharia5106
@fredyzacharia5106 2 жыл бұрын
Amina mungu azidi kukubariki nabii mkuu deodavy
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaaaa nabii geodavie hakuna nabii kama wewe ni waajabu
@jamesmaswe
@jamesmaswe 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana ahead zako n zakweli tunaendelea kukuombea 💕💕 sisi niwafuasi wako
@Richbtz
@Richbtz 2 жыл бұрын
Akika umegusa Moyo Wangu....Mwenyezi Mungu akawe Nawe Baba🙏
@francoisbukalanga8639
@francoisbukalanga8639 2 жыл бұрын
Kweli baba wewe ni mutu wa mungu,mungu akupe nguvu
@neemaneema9969
@neemaneema9969 2 жыл бұрын
Asante kwa kumkumbuka Mashimo hadi nimelia kwa Furaha
@kpppatrick6328
@kpppatrick6328 2 жыл бұрын
Amen! God bles you geodave!
@itsangystyle5498
@itsangystyle5498 2 жыл бұрын
This is too much jamanii.mungu amu bariki sana Nabii wa mungu.nasikiya machozi ya rahaa🥰
@amissemwenetombwe9752
@amissemwenetombwe9752 2 жыл бұрын
Nipo Mozambique, nakumbuka Mahubiri ya Nabii mkuu kipindi cha Corona , ilinipa moyo na Nguvu saana. Mungu akupe nguvu nabii
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
GOODLUCK GOZBERT-SABABU ZA GARI KUCHOMWA MOTO,FIESTA-PART 2 Exclusive Interview
1:21:14
MKALI WENU APIGANA MBELE YA NABII MKUU - GeorDavie TV
6:57
GeorDavie TV
Рет қаралды 85 М.
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН