Mbele ya pesa hata Mimi nakubali baada ya hapo ntaenda kubadilika nje🤣🤣🤣
@ladyt14712 жыл бұрын
Kumbe bwana harusi ni Yanga basi ndoa itadumu hongera sana
@sitiabubakar28922 жыл бұрын
Aaah....😂😂😂
@abdallahsuleimani74162 жыл бұрын
Ukisema Hali ni ngumu.kwa wezako wanachezea pesa !! Yaani haya maisha we acha tu?
@rosephidelis55262 жыл бұрын
😂😂 kweli tutafute hela
@deborapeter91882 жыл бұрын
Haswa pesa watu wanazoo
@hassanbokero76912 жыл бұрын
Afu hawajali
@salomewandya72572 жыл бұрын
Acha tu
@mcback43842 жыл бұрын
Hii nchi mtaniamisha kwa winchi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 😂😂😂😂😂
@rosegodlove19562 жыл бұрын
Aaah weee nani hataki hela pesa ni kitu kingine kwan kuapa ni sh. ngap jaman ❤❤❤ aaah wooooteee wapi bwanaharusi 😂😂😂
@sabrajob8469 Жыл бұрын
Mungu akujaharie kizazi chema nimimi sabra jobu Niko zanzbari I love Nandi mwaaaaaaaaaa
@minaelnathanael18462 жыл бұрын
Ahsante kijana huu ni mziki wetu wenyewe. Made in Tanzania 🇹🇿 . Tunasubiri Nigeria na amapiano nao waige tu
@salomewandya72572 жыл бұрын
Yaan hadi raha
@salomewandya72572 жыл бұрын
❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@walizanasiri49632 жыл бұрын
Yani baba levo 😂😂😂😂😂 umevamia shuuli bila kualikwa lakini ndo umetajwa sana nimecheka
@happydudahog21962 жыл бұрын
Bwana harusi atakuwa kashtua kidogo siyo kwa vaibu ilo😅😅😅
@ummylahlove34182 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣raha sana sipat pich walioudhuria wali enjoy kiac gan
@salomewandya72572 жыл бұрын
Dah huu wimbo una vibe sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jamilahjamilah41572 жыл бұрын
Yani waa laah watanzania tunaiga Uzugu sasa biharusi hilo nivazi ngani mbele ya wazazi tena pande zote mbili
@fatmasaleh95162 жыл бұрын
Kakaa vibaya alitaka tulione tumbo ovyooo
@aishakimaro97582 жыл бұрын
Yaani usanii ukizidi sana mmh ameboa yaan hapo wazazi ndo wanaona aibu
@yassintaibrahim35412 жыл бұрын
Mtihani Kwa Kweli 🤔🤔🤔 Aibu Naona Mimi
@happynelson11802 жыл бұрын
Wakiwa na pesa wanavaa wanavyotaka sio wazazi na watu wanavyotaka wazazi walete maneno halafu wakale wapi chezea pesa wewe Rihanna alivaa kichupi mbele ya waandishi na dunia nzima wakaona wenye pesa wanadharau sana
@privadinhodomician66612 жыл бұрын
Usanii mwingi
@lulually52092 жыл бұрын
Daah mapenzi bwana bwana harusi anaipenda yanga mpk kajisahau km yupo kwenye wedding lkn raha sana imependeza
@salomewandya72572 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣umeonaee
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Nime muona na sheikh masai akicheza kama Mayele 😂😂😂
@hushbtz33102 жыл бұрын
Ila baba levo ni chawa Kaingilia show ya dula daaaaaa 😂😂😂😂😂
@ashaali71542 жыл бұрын
Njaa inamsumbua anajiweka kila sehemu huyu mpuuzi babu levo.
@maliethabenson51562 жыл бұрын
Mim kanikela ani
@josminimsigwa51462 жыл бұрын
Yanga utitili mpaka bib harusi 💚💚💚
@zuriathabdallah94922 жыл бұрын
Wasanii wa kwanza kufunga ndoa
@lulually52092 жыл бұрын
Kwa upande wa bongo fleva ama km kwa hip hop wapo kina prof j mzee wa mitulinga
@zuriathabdallah94922 жыл бұрын
@@lulually5209 bongo fleva
@lulually52092 жыл бұрын
@@zuriathabdallah9492 ok
@minaelnathanael18462 жыл бұрын
Wapili. Lwiza Mburu na mumewe walifunga RC
@mashamasha28542 жыл бұрын
ᴛᴜɴᴅᴀ ᴍᴀɴ,ʜᴀᴍᴏɴɪsᴇ ᴋᴀᴡᴀʜɪ ɴᴀᴇ ᴋᴜᴏᴀ
@salomewandya72572 жыл бұрын
Hahaha Baba levo jmn umejua kunogesha🔥🔥🔥🔥🔥
@zenamsumeno73022 жыл бұрын
😂😂😂😂😂watu wanaluka singeli n suti
@ladyt14712 жыл бұрын
Wana Yanga hatunaga stress 💛💚💛💚
@salomewandya72572 жыл бұрын
Saaana aiseee 💚💚💚💚💛💛💛
@faithjonathan38452 жыл бұрын
Makabila anajua kuchangamsha👌👌
@salmamicky9632 жыл бұрын
Jamn kwan hela wenzangu wanatoaga wap za hivyo mmh 🤔 maana c kwa hali ii