#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya kipindi cha #PowerBreakfast na John Heche kutoka chama cha CHADEMA
Пікірлер: 105
@qonquererqanquerer17814 ай бұрын
Una Akili Mingi Sana John Heche Hongera Kwa Mh Mbowe Kwa Mapishi Mazuri Ya Hawa Viongozi Hakika Chadema Ni Zaidi Ya Chuo.
@user-eb2el9kw6m4 ай бұрын
Kichwa kikubwa sana. Mungu akulinde brother Heche
@bakarimmbaga23444 ай бұрын
Big up Heche J... you are the best opposition leader god blessing
@johnfrancis6564 ай бұрын
Heche!!Wewe ni kiongozi tunae kuhitaji,Unangalia mbali sana!!Mungu akulinde.
@MrMwinyi4 ай бұрын
Heche ni mmoja tu, hakunaga mwingine💯💯🔥🔥
@user-uw5oh5yy5m4 ай бұрын
Huyu jamaa namkubali sana kwenye wanasiasa wa nchi hii,he is very stricty🎉🎉🎉
@mussaomari80224 ай бұрын
Namkubali heche
@husseynzooh19794 ай бұрын
Salute sn MHE. HECHE
@user-xd7hs1ri5i4 ай бұрын
Anaitwa John Heche; lkn Mimi namuita A MAN OF THE PEOPLE
@albertkamala68434 ай бұрын
Brilliant! Uncomprising patriotism...quality leadership..showing dedication, passion and commitment to public service! Definitely Presidential material!
@prospermalala66364 ай бұрын
MH John heche akili kubwa sana ndani ya siasa za Taifa letu, Mungu amuongezeeee afya njema ktk Taifa letu
@mumbamumba-oh3gb3 ай бұрын
😮 I'm A on 47:20
@RamaHRIzmaelov4 ай бұрын
Big brain
@abdull_hafidh4 ай бұрын
Huyu jamaa anaakili sana nipo Zanzibar ila namfatilia sana
@user-zm3rp8to7w4 ай бұрын
Watu tunaendelea kupata elimu ya uraia na kujitambua hongera kamanda
@user-yy5oi9zp2h4 ай бұрын
Mweshimiwa Heche Mungu akulinde
@aloycemisigalo39834 ай бұрын
Nilikuwa nimesusa kusikiliza nakuangalia clouds kutokana na kipindi cha maandamano ya kwañza ya dar ilifafanua vitu visivyo eleweka, ila kwakuwa John anaongea imebidi nisikilize tu lkn clouds msiwe mnafafanua matukio ya upinzani kwa kuponda sio vizur.
@qonquererqanquerer17814 ай бұрын
Waache Mambo Ya Hovyo Clouds.
@deogratiusmaila6764 ай бұрын
Heche actually I want to see you , because you make me happy
@user-xf7tl8jq9v4 ай бұрын
Kamanda wangu huyo namkubali sana
@faustinombilinyi98094 ай бұрын
Asanteh sn heche kwa elimu ya uraia wengi wao hawaelew umuhimu wa mamlaka yao
@faridmnyamike5564 ай бұрын
Napenda sana misimamo yako na uimara wako Heche, navutiwa na haiba yako.
@qonquererqanquerer17814 ай бұрын
Heche Akili Zake Hata Wabunge Wote Wa Ccm Hawana Watu Kama Hawa Ni Hazina Kwa Taifa Siyo Kujipendekeza Pendekeza Kwa Rais Wakati Mambo Yanaharibika Ukweli Usemwe Kama Ulivyo Namna Hii.
@itsrumi994 ай бұрын
Big up sana kwa clouds media hii ni message moja kubwa sana kwetu sisi wananchi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@tumainimwaifunga38844 ай бұрын
Heche anakili mno, hekima ya hali ya juu. Ukimpa Uwaziri huyu ni faida kubwa mno
@josephmakutano70674 ай бұрын
Uwaziri kwasheriazipi?? Ubaya wa taifa latz nimfumo ambao hata Malaika anabadrika kuwa shetani akipewa uongozi,
@maniakihengu49414 ай бұрын
Safi sana tata heche,, mungu ni mwema utarudi mjengoni muda si mrefu.
@msabahaali7584 ай бұрын
heche akili kubwa sana nia hazina kubwa sana from Zanzibar nawakubali sana chadema
@ivanrobert30714 ай бұрын
Katika top 5 ya wanasiasa bora na wazalendo nchini Heche yumo na yupo vzr sanaa na mwenye misimamo mikali haswaaa kwa kile anachokiamini hasa katika misimamo ya haki za wananchi
@WilliamMwangwa4 ай бұрын
Kamanda Heche uko vzr kwa hoja
@user-fe8tx5bo2f4 ай бұрын
Safi sana kiongozi wangu natama sana humkahimu mbowe
@fabianmainchanyangachika50174 ай бұрын
Nakukubali mwamba wa tarime
@gowekogoweko58034 ай бұрын
KATIBA MPYA NI. SANA
@denisnjaila21824 ай бұрын
Chadema Ina vichwa vyenye akili sana
@qonquererqanquerer17814 ай бұрын
Sana Kwakweli.
@tibbsminja25754 ай бұрын
Nawasikiza kutoka Kilimanjaro. Clouds mko vizuri kwenye vyombo na ofisi maudhui ya kuhojiana. Sio wale wameweka viti vya plastic na mic ni moja! Huwa haipendezi. Hebu wasaidieni na waandishi wengine mawazo ya jinsi ya kuimarika kwenye mahojiano.
@anordiobadia.nycsong81234 ай бұрын
Pamoja sana mkuu heche
@leonardmartine6624 ай бұрын
Heche yuko vzuli sana kwenye kuchambua
@user-xh6cb8mp6c4 ай бұрын
Mb zangu hazijapotea bure❤❤
@user-so9fo5tv3j4 ай бұрын
Stay blessed Mkuu John Heche
@user-bq5yi6mk5r4 ай бұрын
very smart person supposed to be in the parliament as the representative of people..ila chaajabu bungeni tunawatu ambao hawapaswi kuwa ata mabalozi wa nyumba kumi
@gowekogoweko58034 ай бұрын
KWANI INAKUWAJE VIGUUMU KUMWEELEWA MTU ANAEONGEA UKWELI KAMA MUHESHIMIWA HECHE
@FrankMushi-cs5js4 ай бұрын
Kaka yangu hechee MUNGU wangu wa mbinguni akupe maisha marefuuuuu naomba hii sala kutoka moyoni mwangu kabisaaaa
@hashimuuhehwa42524 ай бұрын
Akili za huyu mwamba mmoja ni wote wa ccm akili kibwa
@user-pz2kp2ej5e4 ай бұрын
Nakupenda sana unatufungua vichwa
@user-kg8dn6qr8o4 ай бұрын
Heche mungu Akupe maisha malefu Unaipenda Tanzania
@scolarymahenge98674 ай бұрын
hakika anaipigia kwa sura ya dhati kabisa
@easymapetv4 ай бұрын
Nawapongeza sana clouds Mnafanya kazi nzuri, Mnajua kutengeneza chemistry kwa watangazaji kwenye kipind
@JoshuaGodifreyJoshua3 ай бұрын
Heche nakukubali sana sema Leo nimeona mwarabu ambae ni Msukuma kutoka Shinyanga😂😂😂😂
@gowekogoweko58034 ай бұрын
BORA HATA WAKOLONI MAANA WALIHESHIMU SHERIA
@ibrahimkingfaith92834 ай бұрын
Clouds you are the best. Chombo cha Habari makini kinatoa airtime kwa mtu yoyote hakibagui
@kakafadhili44724 ай бұрын
Heche is best
@ObadiaNikodem4 ай бұрын
Huyu jamaaaa heche akili nyingi saaaanaaa
@johmshana56654 ай бұрын
Mtu wa maana kbsa huyu.
@user-or5hm7nl7q4 ай бұрын
Nakubali sana
@user-ex7bh1np4t4 ай бұрын
Samahan hivi mfano mbunge msukuma hajasoma sana kua na Elimu kubwa ila Kuna wale kina luge malalira ambao walikua wamesema sana, hivi ikitokea umeambiwa kati Yao mchukue mtu akawakilishe wananchi utamchukua Nan!? Kiongoz na uwakilishi mwema wa wananchi ni karama Toka kwa Mwenyezi Mungu na hofu ya Mungu sio Elimu peke ake,.
@carlosmsigwa95164 ай бұрын
Ukisema Tanzania ni sawa na Keya utakuwa umekosea pakubwa sana
@deusdeditsimba44524 ай бұрын
HECHEEEEEE👍👍👍
@nassibdoma54084 ай бұрын
Nawapenda nawafuatilia nikiwa chanika dar jamaa yko sawa kbisa sikuhizi uchawa unanguvu zaidi nihatari By Nassib Doma
@sylivanusbernard33254 ай бұрын
Tata Heche umeua Sana hii leo
@calvinlema61074 ай бұрын
Saaf sana wewe ni hazina chadema🎉🎉🎉
@naseebmussa21114 ай бұрын
😊umetisha heche
@amosmangura4 ай бұрын
Tunasikiliza hadi unawaza tuko wapi tunaenda wapi
@mkorinto76294 ай бұрын
Akili kubwa sana
@samsonpaschal50444 ай бұрын
Cloudsmedia, Nialikeni na mimi ....
@YohanaPetro-xv9tp3 ай бұрын
CHADEMA HAKUNA Kiongozi Mbovu Wanajua Kutuletea Viongozi Wazr Ndomaana Wakitoka Chadema Kwenda Ccm Nimoja Kwamoja Wanakuwa Viongozi Kama Vile Ccm Ilikuwa Haina Viongozi
@yisambimbomatanzaniadaress85314 ай бұрын
Mungu tupe watu akili km hawa AKILI NA UPENDO mungu tusaidie tupate watu km hawa bungeni
@sophiamalinga184 ай бұрын
Duuu kumbe kuna vinyonga bungeni Mungu ingilia kati yanayofanyika TZ
@Flaviosafari4 ай бұрын
Hawa ni aina ya viongozi tunaowahitaji kuongoza taifa letu. Uwaziri hata uraisi sio ubunge tu. Akili kubwa sana! Chadema ndio chimbo pekee utakutana na vichwa vya uhakika kama hivi!
Mh.. heche ni bonge. La bright man. Na mzalendo yaani bila. Kumun'gunya maneno. Wewe ni good leader
@Pedeshee014 ай бұрын
Akili kubwa huyu mtu tatizo tz kama nchi na siasa zao siyo ccm wala vyama vingine hakuna akili ya kujitambua nchi yetu ijengwe vipi iache kuomba,misaada mikopo na umaskini.maadui aliowataja nyerere ujinga,maradhi na umaskini bado wapo.
@inumbuboyinumbuboy25804 ай бұрын
Heche anaongea kwa utulivu sana kwa kuelimisha Hivi ndivyo inavyotakiwa.
@user-ej5dk6wm2z4 ай бұрын
Kamanda nakubali hoja zako xana endelea kuximamia kwel na taifa letu lilipofikia halipendi ukwel kwao ni dhambi
@King_Of_Everything4 ай бұрын
👊👍✌.
@christinenyagiro66624 ай бұрын
Kwanini wanasheria waandishi wa habari na wanainchi tuungane kudai Katiba ili wasione wahusika ni wanasiasa tu sisi wanainchi ndiyo tunaumizwa na Katiba hii ya sasa. Watu wote katika kila sehemu waliko wanaumizwa na hii Katiba. Ni vile wsmefugwa kitumwa kwa hiyo wengi hatujielewi. Lakini wanaojielewa wanajua kabisa kuwa wanaumizwa sana na katiba.
@daudimaembe33604 ай бұрын
Inasikitisha sana kuona headmasters eti wanamchukulia form rais
@rwakyenderajulius38614 ай бұрын
Tuliisha maliza kwa jaji warioba,hivyo watu wanaelewa.
@festokemibala58324 ай бұрын
Kwa maana ya anavyosema Mhe. Heche bunge la sasa hivi linaloongozwa na Tulia (sijui nitulie nifanywe nini..😂) siyo smart, halina uwezo wa kujadiliana kwa kina hadi kuibuka na hoja mujarabu kwa maslahi ya wananchi bali linasimamia maslahi yao wenyewe, wamegeuzwa vibogoyo upeo wao wa kuona mbali umevizwa kwa kulazimishwa kuongea sawa na anavyotaka Tulia
@jumayussuf67864 ай бұрын
Philosophy heche
@revocatusvedastus88934 ай бұрын
uchaguzi ndo kila kitu ukikosea. uchaguzi utalia mpaka mwisho
@user-dg4ye6eu4g4 ай бұрын
craus fm mukojuu nawapendsa
@user-bg8zz5vw5v4 ай бұрын
Heche uko vzri
@ngasikajoel95764 ай бұрын
Bongo ukiwa na akili nyingi unawekwa pembeni then wanareplace aliye na akili ndogo see in iringa yule jamaa mchungaji ..cheki akina Humphreys polepole wamefichwa cuba huko ..its disgusting sometimes
Acha uongo wewe heche ,unaingilia hata taaluma usiyoijua,
@dismasmtui7294 ай бұрын
CDM ina majembe!
@user-jh3fd5yt9i4 ай бұрын
😂😂😂
@helencyprian87454 ай бұрын
Hakuna clouds tena maana ameondoka nayo Ruge, pumzika kwa amani legend Ruge
@jeremiahngoka49804 ай бұрын
Hujui kinachozungumzwa hapo wewe Bata.Ruge katoka wapi kwenye mahojiano hayo?.Acha kukurupuka
@ChancellorFelix-vm5yp4 ай бұрын
Chadema mbona wanapenda kuitolea mfano Kenya wakat Kenya yenyew matatzo Yao yanafanana Tanzania na kama hawajui mbaka baadh ya nembo za kwenye fedha znafanana
@Mwitabenson_tz4 ай бұрын
Wew Kenya wametuzidi mbali sana niulize Mimi nimelala miaka 15hujui kitu
@eladiuspeter5864 ай бұрын
Kaangalie GDP ya Kenya, Export ya Kenya, income per Capita, currency, Then Uje hapa
@dismasmtui7294 ай бұрын
Kenya is far better than Tz in terms of democracy and freedom of speech!
@user-yw5ix9gg4d4 ай бұрын
Q
@abuukarata96534 ай бұрын
Lau kwamba chadema wasinge wapa mademu zao zile nafasi maalum za ubunge mwaka 2015 wangekuwa wako sawa.