MASTER J ALIPUKA/ NAWACHUKIA MA DJ/ AWACHANA WASANII/ MBELE YA SALIM KIKEKE

  Рет қаралды 53,711

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 158
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 2 ай бұрын
Master j kashika show mpaka watangazaji wamejisahau. Huyu jamaa ni noma. Legend walifanya na bado kali hadi leo
@kiatu
@kiatu 2 ай бұрын
Master ame-give up wakati ambapo ndio anatakiwa. Elimu na experience ya muziki pamoja na biashara ya muziki sasa viko kwenye shelves. Hopefully something nice will come out of this interview. Tunataka identity kimuziki
@onemicmedia5153
@onemicmedia5153 2 ай бұрын
Master J wewe ni Master kweli kweli sanaaaa...! Unaufahamu Music haswaaa
@CoachHafidh
@CoachHafidh 2 ай бұрын
There are many languages in the world but Masta decided to Speak FACTS ❤
@Lassostationery
@Lassostationery 2 ай бұрын
Ninachokupendea master you are so honest.
@selemanisaidiahmadisaadi1456
@selemanisaidiahmadisaadi1456 2 ай бұрын
master ni master anazungumza FACT tupu
@NewGenTV
@NewGenTV 2 ай бұрын
Something about this media bila unafiki hii media inavifaa very quality Video iko very clear
@kadito-kenya
@kadito-kenya 2 ай бұрын
Point ya master ni sahihi asilimia 100% ju before niende studio huwa najuwa my song inaenda namna gani because i have instrumental beat ❤
@dynamoowamajukwaa1758
@dynamoowamajukwaa1758 2 ай бұрын
Clab zinapigwa nyimbo tofaut tofauti na wadau wanazipokea vizuri bila kujali na ndio maana huwa tunaenjoy na magoma ya kina Kusah, Jaymelod, Aslay, Yammi, B2k, Kayumba na wengine kibao ambao wanafanya muziki tofaut na amapiano achilia mbali kiba, barnaba, Mr blue, na wakongwe wengi tu, tofauti ni ukubwa wa msanii na watu wake wa karibu wanaomsapot kwa mawazo na kupush na wafuatiliaji wa mirejesho ya mtaani kwenye masikio ya watu natoa mfano kwa marioo ni msanii mzuri lakini amekua bingwa wa amapiano na amejisahau kwamba ni sound nyingine lakini naamini ubunifu ukiongezeka kuna uwezekano wa kutoa muziki wenye tempo kama piano au zaid na bado ikawa pendwa na ikapendeza zaidi ya amapiano Bongo fleva ni mziki mkubwa sana
@MasoudSultan-ks6kc
@MasoudSultan-ks6kc 2 ай бұрын
Perfect STUDIO #100% NO STRESS
@Laughter_man
@Laughter_man 2 ай бұрын
Facts za master ur always a legend bro❤❤❤❤❤
@Tariq_Tryagain
@Tariq_Tryagain 2 ай бұрын
Master J is the only hero of this generation.. Akifa tumekwisha🙌🙌
@MtessaAlly-rd4hf
@MtessaAlly-rd4hf 2 ай бұрын
Legendary umeongea kwakweli. Nilikuwa nakuelewa nusu nusu ila leo nime kuelewa mazimaaa
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 2 ай бұрын
Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 2 ай бұрын
KUSOMA RAHA SANA! ANAONGEA KISOMI ZAIDI HADI RAHA NA YUKO VERY KNOWLEDGEABLE!
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
Afu mjinga mmoja anajiita siju chawa sijui muuza magari anakwambia kusoma kupoteza mda ndo wanfanya vizaz vyetu wasione elimu haina tija kuna tofauti aliyesoma na aliyeeelimka na mjinga msomi na mpumbavu kuliko
@askofu_muziki5992
@askofu_muziki5992 2 ай бұрын
Every tone Kenya produces goes int from genge,gengetone n abatone
@PeterSamo-g7j
@PeterSamo-g7j 2 ай бұрын
Master ni master tu
@FreddymongaAsendemonga
@FreddymongaAsendemonga 9 күн бұрын
👑👑👑 media
@djbarser
@djbarser 2 ай бұрын
BEST INTERVIEW EVERRRR!!!!!!!
@akilipeter1660
@akilipeter1660 2 ай бұрын
the guy seems to be very proffessional
@Kingstonbagamoyo
@Kingstonbagamoyo 2 ай бұрын
😂Big up crown media na masta j,mkongwe nguli,nakumbuka pale masaki niliwahi kuingia ktk studio yake ya containers ambapo alikuwa bize sana nikampa gwala nikasepa,tunawapata kwa chenga chenga Hadi antenna ya jiti juuuu,kwa ni crown hamnaga vingamuzi vya fm,,,,,kutoka mtaa wa makani ,jambiani,aksantum kikeke maana crown sk hz hata BBC siwasikilizi sababu mzeee wa wajna Salim,big up na ally, I
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
NIMEMUELEWA SANA MASTER J
@josephkazaro3425
@josephkazaro3425 2 ай бұрын
❤❤ I want the news from over the world 🌎
@mckobatz5861
@mckobatz5861 2 ай бұрын
Msanii na Deejay haswa deejays such a huge point
@askofu_muziki5992
@askofu_muziki5992 2 ай бұрын
Master tz wametuzidi showbiz sio music business Kenya iko far. Check the stats on music revenue Kenya iko mbele ya tz
@willyjohn8488
@willyjohn8488 2 ай бұрын
The guy is more knowledgeable than the entire TV hosts plus and the music industries in Tanzania
@lubungaetienealmasi1059
@lubungaetienealmasi1059 2 ай бұрын
Achilia mbali DJ nimependa wanao hoji wanampa mwalikwa sehemu nyingi yakujiheleza na kumsikiliza
@samwelkimario8126
@samwelkimario8126 2 ай бұрын
Respect to a legend.self awareness
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 2 ай бұрын
Kumbe p funk mdachi😂😂 wabahili haoo wapale waqasome
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 ай бұрын
Mim nakuelewa Sana masta jay...
@PaschalGerad-xq4lw
@PaschalGerad-xq4lw 2 ай бұрын
Master alikuwa noma sana sio awa wasikuiz mapiano imewajaa ludivkazin baba tumekums
@tumainiamani111
@tumainiamani111 2 ай бұрын
@Mastern J , Kaongea jambo zuri sana tunaitajika kuwa na chakwetu ambacho mtu hata ukitoka unaweza kujivunia au kutamba nacho (TANZANIA)
@vdjeddie
@vdjeddie 2 ай бұрын
Mi nakuelewa sana Master👊👊
@yonamakeleleilenge2545
@yonamakeleleilenge2545 Ай бұрын
Master j baba yetu ukweli njo ina kufanya uishi sana
@JOSEPHPETERMACHOTA
@JOSEPHPETERMACHOTA 29 күн бұрын
Daaa safi sana
@mussaabdallah8745
@mussaabdallah8745 2 ай бұрын
Masta ni masta tuuu.
@alexoswald1725
@alexoswald1725 2 ай бұрын
It was fantastic song
@JescaMmary-k5z
@JescaMmary-k5z Ай бұрын
Nakukubali mwamba wachache tunakuelewa
@sharifaomenda1535
@sharifaomenda1535 2 ай бұрын
Yaani mnafanya vitu vya kitofauti sana na nimependa hii tupo pamoja sana pia hongereni sanna
@deejayvlctz
@deejayvlctz 2 ай бұрын
Kama hujaelewa basii ila brother kaongea fact🎉
@valerianchilawe3162
@valerianchilawe3162 2 ай бұрын
Umefunika MJ
@franciscaswai2980
@franciscaswai2980 2 ай бұрын
Kaka umeongea Vizuriii mno.. Tujifunze kujivunia vya kwetu
@HusseinChai-23
@HusseinChai-23 2 ай бұрын
Watukutu uuuuh Master master tu
@buberwajohn1312
@buberwajohn1312 2 ай бұрын
Kinanda bhana alipiga Master J humo ni hatarii.
@georgemathew9326
@georgemathew9326 2 ай бұрын
Master tunaomba urudi tena ili utoe darasa asee I feel good ukiwa unatoa darasa
@yonamakeleleilenge2545
@yonamakeleleilenge2545 Ай бұрын
Vizuri sana kumu leta muze wetu apa na mupendaka sana yani ana kuwa na tosha maneno ya ukweli
@benjaminikazi
@benjaminikazi 2 ай бұрын
Master Jay ana maanisha tunajitukanisha huko kimataifa
@eliadaniel216
@eliadaniel216 2 ай бұрын
Tru tru mastar
@djvincytz
@djvincytz Ай бұрын
Watanzania wengi tunasadiki outsider sana na tunaona hivyo ndio vitu vya dunia. Kutokana na uvivu na kutojituma. Sisi dj hatutumi wasanii kuleta nyimbo ila wasanii wanaleta vyakwao sisi tunasupport. Na pia tunasadiki umaarufu wa mtu na si kazi ya mtu. Basata ijitahidi kuweka misingi na hata program nzuri ya kuwaongoza wasanii kwenye kutoa maudhui ya nyimbo. Na kitu kikubwa nilichokiona kwenye industry yetu wengi wao tuna ile ya kusema who is MasterJ hatutaki kukubali na kuamini kuna msingi na hustles ziliwekwa kwenye kuanzisha mziki. Mimi namshauri mkubwa master J. Kuacha sio sawa umekosea harakati zako. Embu rudi na umalizie ulichokianzisha
@benjaminikazi
@benjaminikazi 2 ай бұрын
Master ageuka mtabiri inaniuma sana
@adow9musictz931
@adow9musictz931 2 ай бұрын
Wapi yupo Joslin
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq 2 ай бұрын
Huyu jamaa sio anaujua tu mziki ila ni mwalimu pia apewe chuo tu afundishe🔥🔥🔥
@RamadhaniDimwe
@RamadhaniDimwe 2 ай бұрын
Mastaa uko sw
@josephinemtili
@josephinemtili 2 ай бұрын
Very true brother
@bongetimwa4948
@bongetimwa4948 2 ай бұрын
Hicho anachosema ni asilimia 100 na mfano ni ngoma ya Malaika iliyo pigwa Dunia nzima na inatokea kenya
@allysudi4429
@allysudi4429 2 ай бұрын
Masta achana kabisa na habar za kukataa kufanya interview. We need you kufikisha game kwenye vein. Baba hakimbii familia hata kama watoto wakiwa wakabaji
@danielmllay8332
@danielmllay8332 2 ай бұрын
Master
@francismillinga4591
@francismillinga4591 2 ай бұрын
Master J akili kubwa sana
@kinjekitilew
@kinjekitilew 2 ай бұрын
Master kasema ukweri nando ukweri
@arkishpromusic3395
@arkishpromusic3395 Ай бұрын
Wabongo..wanaimba..bongoyano..
@LizenMaker
@LizenMaker 2 ай бұрын
Kweli sisi nima music maker
@djrobie24
@djrobie24 2 ай бұрын
Kwa haraka huwezi muelewa master j kunakitu kikubwa sana cha kujifunze hapo
@allykota8355
@allykota8355 2 ай бұрын
Bongo frever ni miziki ya nyumbani we imba tu kiswahili Tanzania basi iyo ni Bongo frever. Taarabu hip-hop singeli zote Bongo frever
@issazalala4907
@issazalala4907 2 ай бұрын
Hata Mimi sipendi kuona wasanii wetu wanaimba amapiano Ina zingua banaaa
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 2 ай бұрын
Dj kaongoa ukweli big up
@benjaminikazi
@benjaminikazi 2 ай бұрын
Hivi Master huko mwanzo mlikuwa na jumuiya labda ya producers mlikuwa mnakutana kuyajenga
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 ай бұрын
Watz na ukwel ni mafuta na maji..Master we tueleweshe tulioamua kuelewa
@PeterAssenga-r1d
@PeterAssenga-r1d 2 ай бұрын
Boooonge la Interview
@denismdem3355
@denismdem3355 2 ай бұрын
Hii interview nzima Master anamsema S2kizy 😂
@charleskilian
@charleskilian 2 ай бұрын
Masta j kaongea ukweli
@kinjekitilew
@kinjekitilew 2 ай бұрын
Salim kikeke baba wa habari africa asante. Temy dayo wewe ndio ujaye endelea kujifunza kwa baba wa habari africa salim kikeke
@emilioadremaneadremane2706
@emilioadremaneadremane2706 2 ай бұрын
Mambo ayo
@kikoadventures6933
@kikoadventures6933 2 ай бұрын
nadhani access ya internet kwa sasa pia imechangia, DJ ana uwezo wa kupata wimbo mpya muda wowote tofauti na zamani
@empafricatv
@empafricatv 2 ай бұрын
Mastar
@eaglebeko
@eaglebeko 2 ай бұрын
Wajina i already take note, Nwakati wa kufanyia kazi BONGOFLAVA
@sozigwarahim
@sozigwarahim 29 күн бұрын
People we are starting bored with bongo flavour tukifanya music 🎶 mzuri tutashinda izo tuzo ata lucky dube alikuwa apigi iyo music ya kwao south Africa akipiga reggae ambao asili yake ni Jamaica 🇯🇲 lakini anachukua tuzo ata akiwa kaburini juzi mwanae apewa ktk American got talent
@HamisiMwazikeni
@HamisiMwazikeni 2 ай бұрын
Nomaa
@laj1699
@laj1699 2 ай бұрын
In short P Funk alikuwa Executive Producer
@ayoubluizpizzaro8735
@ayoubluizpizzaro8735 2 ай бұрын
Master j asipuuzwe
@Rashidmaganga6
@Rashidmaganga6 2 ай бұрын
Mimi naona master j anaongea ukweli wangemfata huyu mziki wetu ungefika mbali huyu jamaa ni kichwa namkubali sana
@mlamytz
@mlamytz 2 ай бұрын
Tunaomba urudi kua produzer plz
@YumnaBurhan-q6h
@YumnaBurhan-q6h 2 ай бұрын
Good
@benjaminikazi
@benjaminikazi 2 ай бұрын
Master Jay unamaanisha ndoa ya bongo fleva imeshakufa mama ana watoto 4 lakini baba tofauti
@mwlrobinson
@mwlrobinson Ай бұрын
😅😊😅😅master j mbona anajikunakuna sana ?
@hamidawamba
@hamidawamba 16 күн бұрын
Anakuhus nin mwanaume mwenzio au unatak ukukune wew?
@AmusedNaturalRock-gt9rx
@AmusedNaturalRock-gt9rx 2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@N.T.KDigitalCreation
@N.T.KDigitalCreation 2 ай бұрын
Bongoflavour imesimama na yeye ameshirika.
@kizazisanagang
@kizazisanagang 2 ай бұрын
But bongo haiwezi kukufikisha international bana that's why kina Harmo na Kina Diamond wanajaribu kubadili kumix vi2 ili visonge ....wangebaki na bongo hawangekua wanatambulika huko kote uelewe pia....kuifanya bongo flavor paka international c kitu Cha mchezo ....Kenya ujue haiangalii east Africa they aim big levels for the likes of Khaligragh Jones and in movies lupita nyong'o Yuko Hollywood and she is a Kenyan ...so u if you start comparing Kenya and T.z deep down you will be surprised cz some people are just silent but very big in matters of improvement.....east Africa tunawapata but Kenya n level zengine.....ila big up sana master j umeongea ukweli Kwa wasanii wa bongo but all in all watu wanataka vi2 vya new generation
@nduwimana669
@nduwimana669 2 ай бұрын
Mr j
@dtv6734
@dtv6734 2 ай бұрын
Watu sikuizi hawaangalii uzalendo, Wanaangalia Pesa... it's just Ni Mziki upi una Pesa kwa sasa,, As long as Pesa inaingia....
@mussaabdallah8745
@mussaabdallah8745 2 ай бұрын
Mziki anaujua Sanaa...masterr
@BMT2023
@BMT2023 2 ай бұрын
Imekuwaje ile mdundo wa Taifa kama Master Jay ataona hii.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 ай бұрын
✌️👊👍.
@benjaminikazi
@benjaminikazi 2 ай бұрын
Master Jay unamaanisha kwamba siku hizi msanii ndio producer sometimes
@YunussefuNagawa
@YunussefuNagawa 2 ай бұрын
J nimekusoma waache mapiano
@joesplatnumz
@joesplatnumz 2 ай бұрын
Master J umeongea madini kabisaaa yaani tatizo ni msaani coz anaenda na upepo
@Kulindwa
@Kulindwa 2 ай бұрын
Miziki hiyo inaishi kwakuwa watunzi wake na wasikilizaji wake bado wspo hai, watu wasiokuwepo ndio watanena wakibakia wenyewe
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 2 ай бұрын
Lazima muache mziki sababu kunavijana wakali ambao hamuwawezi, kuweni wakweli tu😅
@alextarimo4972
@alextarimo4972 2 ай бұрын
Salim apewe show ya peke yake hawa wengine wapiga kelele tu.
@benjaminikazi
@benjaminikazi 2 ай бұрын
Dah, huyu jamaa ana bongo fleva yake kubwa sana tuchangamke huyu atatufikisha mbali sana
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 2 ай бұрын
Hamtaweza kufanikiwa. Kuirudiaha bongo flavour Kwa sababu Tanzania siyo nchi Tanzania ni bara la Africa ndo maana tunamiliki Lugha ya Kiswahili. Na Kiswahili inajulikana kama African Language
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
😂😂😂😂 umeandika nn kaka kiswahili kigumu
@Kulindwa
@Kulindwa 2 ай бұрын
Unacheza kile ambacho walaji wanataka maana biashara endelevu ipo hapo, lakini pia unacheza kile ambacho walaji hawajui lakini mchezeshaji anaamini kinachochezwa kitapendwa na walaji
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 19 МЛН
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 57 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
EXCLUSIVE: FID Q: SITAKI UTAJIRI MIMI/ HELA SIO KITU NATAFUTA
29:00
SALIM KIKE NDIO  MMILIKI WA CROWN FM
18:28
Dizzim Online
Рет қаралды 152 М.
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 19 МЛН