No video

KIKAO: JANUARY MAKAMBA USO KWA USO NA SALIM KIKEKE/ MASWALI MAGUMU NA MAZITO | KASRI

  Рет қаралды 25,794

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

#kASRI #crowntv #salimkikeke
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 125
@MohamedHarithi
@MohamedHarithi Ай бұрын
Kiukweli sisi ni vijana but hatupend kufatilia vitu muhimu ila bro kikeke #ali kiba mnafaaa kasli bonge la kipindi na hiii ipeleken azam nahisi hiii itakua ni mmoja kti ya vipindi bora ndan ya tz ❤❤❤❤🎉
@elisharaphael8680
@elisharaphael8680 Ай бұрын
Na ndio maana tunabaki kulalamika tu mitandaoni lakini kujitokeza hadharani hatuwezi, hatusikili na hatutaki kujifunza tukafahamu vitu kwa undani
@nicholausluvanda1502
@nicholausluvanda1502 Ай бұрын
Hongera sana Salim Kikeke, umekuja ku-revolutionize mindsets zetu vijana watanzania kufatilia masuala yenye umuhimu na tija kwa taifa letu. Hii itasaidia sana vijana kufatilia masuala ya uchumi, kuji-engage kwenye shughuli za uzalishaji na uchumi kwa ukubwa wake, badala ya ku-focus na masuala ya michezo na entertainments, ingawaje ni mazuri kwa burudani, lakini ni muhimu yakafwata kwa kiasi na wakati maalum, na sio kuwa center ya narratives zetu mainstreams. Kongole !
@successpathnetwork
@successpathnetwork Ай бұрын
Kipindi kizuri sana hongera my brother Kikeke... Tunajifunza mengi wafuatiliaji! Tupe madini - Ezden J.
@nabaodesigner9449
@nabaodesigner9449 Ай бұрын
Salimu Kikeke nina kukubali sana, na maojiano yako na mueshimiwa waziri umenikosha sana. Nina amini uta boresha Crown 👑 media. Nina kufatiliya toka USA 🇺🇸 Atlanta Georgia
@King_Kalinga_Tz
@King_Kalinga_Tz Ай бұрын
Njoo na kwangu ucheke mkuu...usisahau KUSUBSCRIBE
@MohamedHarithi
@MohamedHarithi Ай бұрын
For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu
@honestthomas1549
@honestthomas1549 Ай бұрын
Kikeke umeuliza swali la kibingwa sana... Matajiri wanataka nn kwetu
@King_Kalinga_Tz
@King_Kalinga_Tz Ай бұрын
Pita na kwangu ucheke mkuu
@user-do1xs4om1b
@user-do1xs4om1b Ай бұрын
Nyie ngozi nyeusi mmezidi kusafiri, na hatuoni faida yeyote zaidi kuuza bandari, ww makamba ungependeza zaidi kama utaachia hiyo nagasi uliyo nayo umekula kwa mda mrefu inatosha tuwape nafasi watu wengine. My brother kikeke huyo hawezi kupingana na mama samia. Unajaribu kumtwanga maswali magumu sana bigup
@abuukarata9653
@abuukarata9653 Ай бұрын
Fanya kazi mkuu
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Ай бұрын
Uwekezaji wa Makamba ni bomu. Huyu jamaa hana record nzuri. Serikali ina recycle watu wale wale wakati tuna vijana welevu na uwezo wa kuleta maendeleo makubwa. Shida hawajulikani. Hawana wazazi waliokuwa kwenye system
@JamalyzoMilanzi
@JamalyzoMilanzi Ай бұрын
Kazi njema sana mnafanya vyema sana crown media 👑 hapo ni nyumbani
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 Ай бұрын
Kikeke naomba ujaribu kumtafuta boss TCRA atueleze kwanini makampuni ya simu yanatuibia na wao wamenyamaza tu unaweka vocha hujaitumia ikipta saa 24 imeisha hii manake nini na wao wapo kimya tu mtafute kaka mambo kibao tu nimeona hata uvivu kuandika
@juniormsumari6036
@juniormsumari6036 4 күн бұрын
Hiyo changamoto yako ni rahisi kujibiwa, utaelezwa tu kuwa unapotaka kununua bando huwa kuna maelezo yapo pale kwamba bando hili litaexpire ndani ya saa 24, siku 7, siku 30 n.k ss unaponunua alaf hutumii then likiisha ulalamike hapo utakuwa haupo sahihi ndio maana wakaweka na huduma ya kifurushi cha halichachi ambacho ni mahususi kwa watu wa aina kama yako. But ili kujenga hoja ni vzr ungeshauri labda katika maboresho ikiwemo kuongeza dakika au Mb kwenye kifurushi cha halichachi, na tatizo lingine ni kujua kwanini sasa hv Mb's zinalika sana tofauti na awali? Tukiweza kupata majibu ya haya maswali ndipo mjadala wetu unaweza ukaanzia hapo, kwamba tufanyeje sasa ili kuweza kuboresha huduma za mitandao yetu ya simu.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Ай бұрын
thank you Salim for this great Interview..but the interviewee seem to give general responses, he isnt finishing them so as to get exactly what the common w/nchi wants to know..he tried though but we would appreciate antoher inteview with him. one mor thing Salim, would you mind checking out the roundtable ya Ruto na Journalist as well as the X Space between him and the Gen Zs of Kenya? these are very keen and critical ideas laid down by their President that he has been working on for sometime. it will help u while interviewing our head of state one day or even key leaders in our govt sir..thanks again
@mytelecom2019
@mytelecom2019 Ай бұрын
this guy ni kiongozi kudos
@mohamednabahan9031
@mohamednabahan9031 Ай бұрын
Kazi nzuri sana inavutia kufatilia habari zenu hongereni sana
@King_Kalinga_Tz
@King_Kalinga_Tz Ай бұрын
Njoo youtube kwangu ucheke
@abuuahmad623
@abuuahmad623 Ай бұрын
Niseme kuwa inaonekana hizi elimu za miradi ya viongozi kusafiri na kuitafutia nchi watanza nia hawana na wala viongozi hawaambi watanzania
@viootanzania9080
@viootanzania9080 Ай бұрын
Mwenzi mungu awape hitaji lenu crown media inshaahllah by yusuf kutoka dodoma
@user-sr9js6rj5v
@user-sr9js6rj5v Ай бұрын
Semeni ukweli lini vitatolewa hivyo hadhi maalum, sasa ni miaka kadhaa tunasikia na kuambiwa kesho kesho na huu mwaka unaisha pia. Ni lini???
@SalimSalimu-z5c
@SalimSalimu-z5c Ай бұрын
Hii Tv Itafika mbari sana Pongezi kwa Kiba Kikeke Wajina Mtu sahii Drc kwetu
@hussein_mbonye
@hussein_mbonye 5 күн бұрын
LEO OSCAR UKO VIZURI SANA.... UNAULIZA MASWALI MUHIMU SANA. BORA YULE CHAWA HAYUPO ANGEHARIBU INTERVIEW
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 Ай бұрын
Asante kikeke umekuja tufungua akili mkuu
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Ай бұрын
Welldone kikeke kwa maswali mazuri, na je kwani lazima rais asafiri kila mara na msururu wa watu, kazi ya balozi ni nini.
@zingahassan5851
@zingahassan5851 Ай бұрын
Good program from Salim kikeke#kASRI...Big up for the cameras..4K.. mashallah #crown media...🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@joshuarose6756
@joshuarose6756 Ай бұрын
Honger salimu San
@alihussein4303
@alihussein4303 Ай бұрын
Big Up Crown,Big Up Tanzania ✊🏿
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 Ай бұрын
Yani nimeanza kusikiliza leo nimeanza na naibu waziri mkuu na hii kwakweli njia hii mliyo ishika iwehivi hivi
@abuuanwar0076
@abuuanwar0076 Ай бұрын
Mbona wawekezaji wanakuja kufanya biashara za kawaida sana, hamuoni mnaongeza ushindani kwa watanzania?
@JOHNINSURANCE
@JOHNINSURANCE Ай бұрын
Hizi habar safi kabsa kusklza sio vyombo vngne makelelekelele meeengi kwakwel yani.
@zuwenarajab6675
@zuwenarajab6675 Ай бұрын
Masha Allah tabarakallah! Kipindi kizuri sana Salim. Nakumbuka kipindi chako cha "kisa na mkasa na Salim Kikeke"
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 Ай бұрын
Waziri anajibu vzr katuria bila kupaniki kweli kakomaa mkuu
@NuruJuma-zv3yz
@NuruJuma-zv3yz Ай бұрын
Crown ❤
@GbpAud_King
@GbpAud_King Ай бұрын
January Makamba ametulia sana hapanic
@samraper1274
@samraper1274 Ай бұрын
Safi sana kazi nzuri nimependa mahojiano
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 Ай бұрын
Kuhusu hadhi maalum ni jambo zuri sana
@emilegentil9538
@emilegentil9538 Ай бұрын
Crown niya moto wazee
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Ай бұрын
Nimempenda salimu ulipomgomea Mzee alipotaka kusema kuwa kwamba wao ndo wamefanya pato liongezeke from diaspora baada ya kuanza hatua wakati hizo uwekezaji ulikuwa uleule
@ndayizeyecharles1024
@ndayizeyecharles1024 Ай бұрын
❤ great
@elvinl1029
@elvinl1029 Ай бұрын
Good saana
@irenekalinga323
@irenekalinga323 28 күн бұрын
Anaongea kama sio kiongozi aiseh
@user-kh1tn6yr8b
@user-kh1tn6yr8b Ай бұрын
Mh hii aiko sawa tuwe makini sana watu ambao sio watanzania
@REMMY962
@REMMY962 Ай бұрын
Maswali yalikuwa sawa na muhimu ila JANUARY MAKAMBA alijibu kwa juu juu tu, hilo ni changa la macho, kumekosekana maswali ya kukaza supana. huu ushilikiano na nchi za magharibi uta cost Tanzania vitu vikubwa ambae hamtokuja kusahau yani subiri mda kidogo mtaanza kuona madhara yake.
@godfreymwikola8232
@godfreymwikola8232 Ай бұрын
Tz vibari changamoto wanazungusha sana
@user-gb5vz6wm2q
@user-gb5vz6wm2q Ай бұрын
Safi sana hapo kwenye Diaspora mmeupiga Mwingi
@mohdsaad2736
@mohdsaad2736 Ай бұрын
Mahojiano hadi Raha ❤❤😊😊
@EtieniRama
@EtieniRama Ай бұрын
Crown kazi zuri sn❤❤
@joshuarose6756
@joshuarose6756 Ай бұрын
Mlete Lissu Hapo
@erickmakundi9760
@erickmakundi9760 11 күн бұрын
Lkn kwann alitumbuliwa?
@halfanihamadi3683
@halfanihamadi3683 Ай бұрын
Nzuri sana
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 Ай бұрын
Kazi nzuri sn
@ommydec2887
@ommydec2887 Ай бұрын
Super🔥🔥🔥
@user-mm1xk1xc5z
@user-mm1xk1xc5z 18 күн бұрын
Wow kikeke🎉🎉🎉
@mjukuuthebrand
@mjukuuthebrand Ай бұрын
Safi sana
@mohamednabahan9031
@mohamednabahan9031 Ай бұрын
Kanzi nzuri sana
@zedkaz001
@zedkaz001 Ай бұрын
Hapa safi nitakuwa na nyinyi mpaka mwisho.
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Ай бұрын
Mmewatambua hadhi kivipi wanadayasbora...
@mudrickbarton8911
@mudrickbarton8911 Ай бұрын
Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Ай бұрын
Kwa swala la wana diasporas hapo mh makamba umefanya vizuri. Manake hapo zamani wanadiasbora kutwa kutishiwa na kuwa hawawezi kumiliki ardhi...
@muddyChela-vc3kw
@muddyChela-vc3kw Ай бұрын
Umu 2 kwa👑👑👑 ni nyumbani
@user-px7jf7xs6k
@user-px7jf7xs6k Ай бұрын
Zanzibar,Malawi na Tanganyika
@user-mb8ov2ic1i
@user-mb8ov2ic1i Ай бұрын
Kipindi ni kizuri maoni yangu Ungeongeza kamera nyingine moja ambayo itakua inawaonyesha wawili kwa pamoja.
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 Ай бұрын
Musaada WA nini
@danielmgalla558
@danielmgalla558 Ай бұрын
Nadhan muoneshe full picha za discussion itapendeza zaidi
@usafiaps318
@usafiaps318 Ай бұрын
Mh.Tueleze Wazi Tumejiandaa Vipi Na Hawa Mnaowathamini Sana Wawekezaji Tunanufaika Na Nini Hasa???Mfano Uliopo Wazi Ni Rasilimali Tulizo Nazo,Mh.Huoni Tunawapa Wao Zaidi Kuja Kama Wawekezaji???Tungewaajiri Tunapata Zaidi.Fikiria Hili!!!!
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Ай бұрын
Hajiamini kama sisi wenyewe twaweza. Kwanza wangetoa hati milkiki kwa watanzania wote nchini. Wakawekeza kwa watanzania wenyewe. Huwezi kutulinganisha na uwingi wa India na wengi wahindi hawana nchi. Sisi tunayo.
@GbpAud_King
@GbpAud_King Ай бұрын
Rais ajaye
@JackJack-oi2io
@JackJack-oi2io Ай бұрын
We kikeke😂 napenda maswal yko yapo kwetu laiay
@SawayaNm
@SawayaNm 20 күн бұрын
I definitely don’t understand Kiswahili anymore! What is Sera? I call TZ Embassy in NY and nime uliza is true I don’t need a visa anymore since I was born in TZ and I am US citizen now! Wame sema BIG NO! Makamba was my school mate in Forest Hill! I am shocked with this misinformation! This is considered very misinformation in Media! No wonder why he lost his post as Foreign Minister! 😳😢😮😅
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 Ай бұрын
Kikeke toa ndevu upo kama mapung'o?
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Ай бұрын
Na kwanini tunategemea misaada na nchi ina utajiri mkubwa na je riba yake ni ngapi
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Ай бұрын
Mpe elimu huyo. Anajibu juu na haelewi haya mambo kinaganaga. Ni mpiga filimbi mzuri.
@MrOnii255
@MrOnii255 Ай бұрын
izi camera jaman aiiiiih
@hajiseleman6632
@hajiseleman6632 Ай бұрын
@kikeke punguza spana hizo
@King_Kalinga_Tz
@King_Kalinga_Tz Ай бұрын
😂😂 Za kichwaaaa Njoo na kwangu ucheke mkuu
@user-zm5qf5zl9r
@user-zm5qf5zl9r Ай бұрын
Super brand
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
👊✌️👍.
@mrremote8113
@mrremote8113 26 күн бұрын
Mbona anaongea vitu vile vile waliovyofanya wenzie anaulizwa vitu vya msingi anajibu utumbo tu hiyo wizara haifai kabisa zaidi anajitengenezea njia ya kushibisha tumbo lake
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Ай бұрын
Vijana wasio ona mbali ndio wanaoona kikeke anauliza vitu mhimu hapo utana vichwa vidogo visivyo ona mbali wapo tu
@HanafiRamadhani-vf4de
@HanafiRamadhani-vf4de Ай бұрын
ina wezekana unacho sema kiko sawa tunaomba utuelimishe kwanini hayuko sawa
@seneu.2128
@seneu.2128 Ай бұрын
Kikeke uko vizuri sana, kinachosikitisha nikuwa bajeti ya ofisi ya Rais ni siri, wakati hapo kenya kila safari ya rais vyombo vya habari vinapewa gharama zilizotumika.
@user-po5tm4we4b
@user-po5tm4we4b Ай бұрын
Kazi ngumu akiwezi ,bwawa la nyerere alishindwa,alisema mwezi wa sita ,kaja musukuma mwezi wa pili tu kitu teyari, uyo kazi laini na maneno mengi ,si tunataka vitendo
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Ай бұрын
Hapa ni home
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Kazi nzuri saaana Mhe January Makamba
@sf2tv
@sf2tv 22 күн бұрын
Koti la kuazima
@LauMagwaja
@LauMagwaja Ай бұрын
Saf sana kiba na bro kikeke kipnd kizur
@Ba63828
@Ba63828 Ай бұрын
Rushwa inachafua jitihada za serikali
@abuukarata9653
@abuukarata9653 Ай бұрын
Inchi ngumu sana hii.
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Ай бұрын
Hakika safari it's too much jaman MARAFIKI SI ata Kwa simu wanaweza kuwasiliana ?? Safari nyingi na zinatumia mabilion ya ela jaman it's too much kama mwalimu Nyerere aloanzisha ili TAIFA alitambea lakin akawa na muda wa kutulia KUJENGA nchi yake ,sisi tunaozurura Zaid Leo mmmmm hatukatai kutembea ila mmmmmm MWOGOPENI MUNGU maana ata huo uwekezaji bado wazawa hawanufaiki wanaishia kuwa MACHINGA na vibarua je inatufaisiha Nini NO
@wamburawambura1968
@wamburawambura1968 Ай бұрын
🤔
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Ай бұрын
Nina washukuru yote wa heshimiwa kwa kutufahamisha mambo mazuri ya maendeleo.
@karthala6676
@karthala6676 Ай бұрын
Wapi kwenda kupata Hiyo card nikija Tanzania
@user-kh1tn6yr8b
@user-kh1tn6yr8b Ай бұрын
Wahindi wapo wengi Dunia
@athumanhusen6008
@athumanhusen6008 Ай бұрын
Makamba ni mwizi
@mdbosco1640
@mdbosco1640 Ай бұрын
@loyalmediatz
@loyalmediatz Ай бұрын
Hii ni interview bora kati ya zote ulizowah kufanya katika siku za hivi karibuni, tafadhal naomba uione comment hii #kikeke
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Ай бұрын
Salim hiyo hadhi maalum ni kwamba imeshaanza tayari mbona hujambana hapo aweke tangazo rasmi kwenye port of entry zote watu wasisumbuliwe
@godfreymwikola8232
@godfreymwikola8232 Ай бұрын
Baloz anafanya nini kuongelea mbaazi kuluko rais aende kuongelea mbaaz
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 Ай бұрын
Makamba,Ni Kwa nini watalamu wetu hawaunganishi wafanya Biashala kutoka inchi zote za inje zijenge viwanda TZ ?
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 Ай бұрын
Regardless of whatever people say, I always say this man deserves to be a president and infact i wish CCM can make this decision in 2025 before it’s too late. Scrap that Samia off our faces please
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 Ай бұрын
Crown ni mabingwa sana
@nathanpangjanda2734
@nathanpangjanda2734 Ай бұрын
Hujamaha akili yake yote hatakuwa raisi wa tanzania
@ChancellorFelix-vm5yp
@ChancellorFelix-vm5yp Ай бұрын
January katupiga changa la macho kama kusafir sana Kwa rais ndio kuleta maendeleo ya nchi basi kipindi Cha kikwete tungekua tulishatoka kwenye kundi la nchi maskn Magufuli ambaye alikua hasafir Kwa mda mfup tukaingia kwenye nch za uchumi wa kati kwaiyo msione wananchi punguan sana mama apunguze kudhurula uko nje mabaloz wafanye Kaz Yao
@MegaBack2life
@MegaBack2life Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@manchalijob9600
@manchalijob9600 Ай бұрын
HIKI KIJAMAAA KIJANUARI HUWA SIKIEREWI KIONGO SANAA KINASIFIA UJINGA RAIS ANASAFIRI OVYOO
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 Ай бұрын
Iyo miswali
@PeterNMzee
@PeterNMzee Ай бұрын
Nasikia makamba ndo Rais ajaye baada ya Maza..... Bongo bana 😮
@MohamedHarithi
@MohamedHarithi Ай бұрын
For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 38 М.
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 20 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 8 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 210 МЛН
SALIM KIKEKE USO KWA USO NA N/WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO
28:56
Crown Media
Рет қаралды 48 М.
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,5 МЛН
PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
20:48
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 20 МЛН