Рет қаралды 250
Viongozi wa chama cha walimu Tanzania CWT mkoa wa njombe wakiongozwa na mwenyekiti wao mwalimu shabani ambindwile wamesema kuwa kwa sehemu kubwa changamoto za walimu zimepungua katika kipindi cha utawala wa serikali ya awamu ya sita ikiwemo changamoto ya kikokotoo
TAFADHALI FUATILIA HAPO ...........................