Hongera mama nimekupenda bule utafika mbari ktk uongozi wako.
@bigmachinempower4680Ай бұрын
That is tanzania
@hamissomary686915 күн бұрын
Tunakuelewa sanaa dada
@melkioryassenga2265Ай бұрын
Umefanya vzr, natamani wote wangekuwa na mawazo yanayoshabihiana na ya kwako
@michaelmwamanda8418Ай бұрын
Ubalikiwe sana mh
@hamissomary686915 күн бұрын
Serikali ya majizi na malarushwaaa
@JohanessMarwaАй бұрын
Kama mawazo hayo yangekua yanafanyiwa kazi nafikili tungesevu pesa nyingi sana.
@AnnoyedDove-oo3kkАй бұрын
Huku kwetu leteni tu Toyota Probox 😂😂😂
@mweyoms5548Ай бұрын
Mawazo ni mazuri mno.Ila hayupo wa kukusikiliza acha tu kutekeleza.
@liberatusgaspary7207Ай бұрын
UNAFAA KUWA MBUNGE
@jituakilimali15Ай бұрын
Hongera Dada wewe ni mtu wa mwanzo kuona hilo muombaji anatumia kuliko mkopeshaji hizo ndio akili zetu waafrica sio bongo tu Dada hao unaowaambia hawakuelewi kabisa wanachojua hapo ni kufikiri wapi nikakope kesho
@raishamedical2837Ай бұрын
Wala keki ya nchi hawawezi kusaidia generation Z ya nchi hii
@jasonwatz7457Ай бұрын
Hii ni concern, wanawaza kuspend tu no plan no nini
@omarinyahegs4539Ай бұрын
Kongole lako mbunge
@philimonmtweve4522Ай бұрын
Nimekupenda bureeeeee daaa
@GabrielSky64Ай бұрын
Aah jamani billion 500 magari gani hayo😂
@msanabukere7835Ай бұрын
Wanakopa hela wanatumia vibaya hela ya mkopo
@lisokimecholobi9451Ай бұрын
Upo sahihi
@shadrackjacob800Ай бұрын
Akili hakunaaaaaa!
@michaelmwamanda8418Ай бұрын
Nahili nahisi IPO siku watu watachoka kwasababu watu tulianza kulalamikia hili zamani kidogo lakini bado halitiliwi maanani wapenda kufurahishana wao kwa wao kanakwmaba ndio wanaofanya KAZI kubwa kuliko madoctor kuliko waalimu kuliko wakulima nk IPO siku tutakuwa kama Kenya hapa tz munatabia yakujisahau mukishafika levo hizo
@trendings1293Ай бұрын
Ameongea kama watu kumi
@jituakilimali15Ай бұрын
Hongera Dada wewe ni mtu wa mwanzo kuona hilo muombaji anatumia kuliko mkopeshaji hizo ndio akili zetu waafrica sio bongo tu Dada hao unaowaambia hawakuelewi kabisa wanachojua hapo ni kufikiri wapi nikakope kesho