Rais John #Magufuli amemtumbua #OCD wa Mkoa wa #Njombe wakati wa hotuba yake kutokana na uzembe uliosababisha mauaji ya watoto saba mkoani humo na kumrejesha katika nafasi yake dakika saba baadaye
Пікірлер: 13
@marcoisaack98115 жыл бұрын
mzee mungu akupe maisha marefu. mimi kama kjana wa kitanzania i must concur you.
@agnesjames68115 жыл бұрын
Mkuu wetu umenena mazito na kweli tupu. Hongera yako prezo
@rajabumaziku9857 Жыл бұрын
Kauli tet za mzeee
@suzyjohnas42593 жыл бұрын
Daaaah wewe ilikuwa cyo wakufa jaman 😭😭
@privamushi25122 жыл бұрын
Kama upo na Mimi unaangalia hii clip ya shujaa wetu gonga like tuend pamoja.
@ednambata95033 жыл бұрын
Ukweli wako mungu ndy anajua mwingne hayup wakuongea live hivo MTU kakosa awajibishe hapohap
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@abdallahmchange13705 жыл бұрын
RPC tena mweupe mzuri
@carolineedwin8675 жыл бұрын
Wasukuma wanapenda watu weupe jamani
@ednambata95033 жыл бұрын
Ni kweli ukiwa mweupe haa utalipiwa mahali nying
@ednambata95033 жыл бұрын
Daaa jaman babaang
@saidsahd19715 жыл бұрын
Rais leo ndio nimekuona kukasirika zaidi kweli hilo limekuumiza Zaid mungu akupe nguvu