Hii familia ni ya kipumbavuuu kuanzia mama na huyu mdogo wa marehemu wazito , wazembe, hawajali na hawajali kbs mnspigiwa simu kabla mtu hajauwawa hamuendi, mnapigiwa simu muende hospitali hamuendi .😭😭😭😭 yaaniiii ikibidi wachukuliwe hatua kwa uzembe wa kutookoa maisha ya mtu .
@MumuNgetiАй бұрын
Usiseme hvy unajua mazingira yao shetan alikua kzn hvy miyoyo yao ilikua mizito maana cy mara ya kwnz mtt wake kupingwa hvy walichukulia atarudi nyumban kumbe nae izirael alikuwa morogoro bc atuna budi kumshukuru mungu r i p dada aisha
@magesaneema19032 жыл бұрын
Dada unaroho mbaya tena unawivu kama dada yangu na wewe yatakupata lione
@ameenaameena12242 жыл бұрын
Yaani hatalinavyongea likavu halina hata sura ya chozi naona kafura tu
@magesaneema19032 жыл бұрын
@@ameenaameena1224 kwenye ukoo kuna mamtu huwa yanawivu na maisha ya ndugu zao pengine marehemu mume wake alikuwa ana uwezo wa kifedha roho ikawa inamuuma naona alikuwa anamuombea hata afe lijinga sana jata kwetu yapo hayo
@mwanaherhussani74252 жыл бұрын
@@ameenaameena1224 alafu Lina roho mbaya looh likavu kama daga kavu
@neemanyudike2320 Жыл бұрын
Yaani mwe jamani! Badala ya kumpeleka hospital wanamrudisha Kwa gaidi!!!!
@hejmabohejhej95 ай бұрын
@@neemanyudike2320kinachoshangaza mtu anapigwa bado anarudishwa kwa mume mume gani uyo dini gani iyo ya ndoa yenye matatizo bado unaeudi
@preciouspeter61262 жыл бұрын
Huyu dada bora hata asingeongea.
@fridaminja71912 жыл бұрын
Yan kama anakunywa peps
@soaringhigh96042 жыл бұрын
Jameni, anasema nini huyu nyamaza kabisa, aitwa na mwanawe na anasema hapati nafasi, bure kabisa 😋
@elizailomo35962 ай бұрын
Akaee kimya tu waandishi hata msingerusha hii hafai kuigwa
@evertheobald1811Ай бұрын
@@fridaminja7191tana akishushia na nyama choma
@evertheobald1811Ай бұрын
Huyu dada huenda alitamani dada yake afe tuu maana huenda alikuwa ni kipenz cha mama huyo mwenda zake
@dianamwalongo97322 жыл бұрын
Dada acha kujieleza upuuzi wewe una Roho mbaya Sana Tena huna upendo kabisa sijuiii Kama hata hai watoto Kama utawalea vizuri,inaumaaa Sana😭😭😭
@maswamills31612 жыл бұрын
Wewe dada hovyo ,Bora usingeongea!!!
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
Kwel
@pendondulilo78712 жыл бұрын
Anaongea ujinga kweli
@gatrinaezekiel47472 жыл бұрын
Kbs Yan
@mwazanimnyamani84932 жыл бұрын
Unaongea ujinga kqbisa ni mkubwa lakini ulishindwa kuichakanganua
@carolinemariki40294 ай бұрын
Ujinga mtupu
@joyce557272 жыл бұрын
Haaa hicho chakula ulikipika sku nzima bola ata usingeongea ila unaroho ngum
@mosesmajogoro8632 жыл бұрын
Picha ilivyo hapo hiyo ndoa ilikua kama ukrain na urusi kwa ujumla ni heka heka tuu hadi watu walisha wazoea ...kumbe kipigo hicho hakikua cha kawaida. RIP Dada etu.
@lisameshack3952 жыл бұрын
Kuna watu wana roho ngumu,ndugu yenu anapigwa mnamrudisha huko huko kwa mwanamume na wana muangalia tu!! Hadi hasira☹ familia ilimchoka huyo dada.Huyu dada anaeleza as if anamuelezea mtu baki,,,kumbe dada wa damu kabisaaa.ingekua familia nyingine pangechimbika na wasingekubali vipigo kwa ndg yao na kifo kisingetokea.Imeniumiza sana
@sabrinasabrina83952 жыл бұрын
Huyu ni mjinga sanaaa aiseee
@missmoona44972 жыл бұрын
Kiukweli huyu dd sijamuelewa kabisaaaaaa,,vb mmmmmmh kwanza kule kupigiwa cm akawachukue watt akawa anaurusharusha hii kuna sintafahamu,,,,,,,,, ??????????.
@lisameshack3952 жыл бұрын
@@missmoona4497 yaani changamoto sana,dada yake kabisaaa lakini moyo haumshtuki kabisaaa.Anaelezea utafikili anamuelezea mtu baki,kumbe dada wa damu.ingekuwa familia nyingine wangechukua hatua kali na kisingetokea kifo
@mdzainb37222 жыл бұрын
Ata marehemu mwenywe ni tatizo kwani si kaanza kupigwa mda
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
@@sabrinasabrina8395 Nashangaa pia mm jaman😭😭😭
@tullycharles5669Ай бұрын
Kwanza kabisa mtoto ananipigia simu dada anapigwa nalala hadi asubuhi jamani usingizi nautoa wapi mimi 😢😢😢😢😢 ndio maana marehem kajifia amekufa na mengi
@saummohamedm4352 жыл бұрын
Familia kimeo mtu anaumwa mnasema arudi kwa mumewe shida nn mbona hampo serious. Yani dah
@shameemrashid52192 жыл бұрын
Walah nimeshangaa sana huyu mdg mtu roho ngum
@TelezaRaphaelАй бұрын
Pole I sana
@zaykipini476122 күн бұрын
Ata asimwite dada kabisaa yaaan mm nisikie mtu muhim anatatizo aiseee 😢😢😢
@najmaramadhanikate36462 жыл бұрын
Dada wa hovyo sana huyu
@DinnahHosea-mf3hn3 ай бұрын
wewe dada chizi kweli ivi unakili timamu unaelezea upuuzi kweli nyoko wew umechangia kifo cha dada yako unaitwa mara tatu unagoma halafu unaenda kumtelekeza kwake tena nawewe mungu akupe pigo kubwa
@joycekalago5322 жыл бұрын
Linaongea hata haya wala akili lishenz kabisa lina roho chaf sana hili hata hao watoto wa dadaake halitaweza kuwalea litawaua roho chaf sana hii
@hertafabian72612 жыл бұрын
😂😂
@lilianmartin50752 жыл бұрын
Hii familia Ina roho ngumu sana sijawai ona kwa kweli.
@mosesmajogoro8632 жыл бұрын
Noo msikilize vizuri utagundua mahusiano ya marehemu na mumewe yalikua ni ya hekaheka kwaiyo huyu mdogo ake alipopata taarifa alichukulia poa poa.....kumbe kipigo hicho hakikuwa cha kawaida.
@dianamwalongo97322 жыл бұрын
Kweli dada Joyce siunaliiona limepakaaa Hadi wanja halina hata hayaaaa
@joycekalago5322 жыл бұрын
@@dianamwalongo9732 halina utu kabisa
@annasiliti39202 жыл бұрын
Yaani hapa ufuatiliaj kwa mgonjwa ulikuwa hafifu maana aliyempiga ndio aliyekuwa anatoa gharama ya matibabu,halafu vipimo vyote NORMAL.MWISHOwe mgonjwa anaanza kubleed hiyo utra sound haikupima??au huyo mpigaji aliongea na huyo mtaalam??
@sleeprelaxation84312 жыл бұрын
alafu mtu hana nguvu mnamuacha vipi kuwa chooni peke yake, hii familia kweli mna roho ngumu, alafu mna mrudisha kwa mtu alie mpiga kipigo cha mbwa mwitu, nyie mlitaka afe. yani dada ana shindwa kujibu dada yake alikua mtu wa aina gani wala alikua na mchango gani? na inaonekana mkimzarua
@zainabubalama88692 жыл бұрын
Ww Rehema unaroho mbaya unaitwa mara 3 hata kuxhtuka Looooh! Unaroho mbaya sana Ww
@maswamills31612 жыл бұрын
Ndiyo wale wakuwachukua mashemeji zao.
@shahashaha62692 жыл бұрын
Dada mkavu huyu nyie khaa haki inauma Sana yaan unapataje kusema yote hayo au ndo mwisho wa ubaya aibu ungejifichia aibu yako eti nimetumiwa SMS na mtoto wa matehemu sijajibu nimepigiwa simu sijaenda yaan mtihani huu acha niseme Tu innallilah wainnalilah rajiun 😥
@fridaminja71912 жыл бұрын
Umeonaeeh
@ipyanaangellah24522 жыл бұрын
Hadi wanaboa yaani. Kafa kwa uzembe, wao wanakaaje na mtu aliyezidiwa ndani badala ya kumrudisha fasta hospitali
@annajohn33772 ай бұрын
Kuna mmmama alisema dunia ya Sasa ndugu yako mwanao uliyemzaaa looo huyu atakua anachembe yauchawi hanhata uruma
@witnessraymond868312 күн бұрын
Shenzi kabisa nimeshikwa na hasira ngoja nipumzike kweli ndugu yako ni mwanao😢
@BenjaminHenry2 жыл бұрын
Kwahio umeitwa mara 3 zote na bado hujaenda. Hivi kwenye msiba umelia kweli wewe?.
@lilianmartin50752 жыл бұрын
Ata mama yao pia ana roho ngumu. Mgonjwa amekataa kurudi kwa mume mnamradhimisha tu . Aiseee
@irhamseif2 жыл бұрын
Hiki sijui hata kinaongea nn na roho mbaya yake dah yan mtu awez kutembea ety tukamuacha kwenye kochi tukaondoka kesho tunarud na kurud hukurud
@kassimchuo52902 жыл бұрын
Mpumbavu sanaaaaa wee dada unaroho mbaya kwani hakuna dada yko wa damu au mbona umekuwa na roho ya kinyama dada yng??????!!!!
@teddyelizabeth93582 жыл бұрын
Wewe Dada wewe ni mpumbavu kabisa
@cosmasmakoa31172 жыл бұрын
Chizi wewe
@florencemeza65402 жыл бұрын
Nawe una roho ngumu chakula cha mgonjwa unapika kutwa nzima?? Sijakupenda huna upendo kwa ndg zako natamani nikulambe viboko
@masalakulwa76012 жыл бұрын
Hunizidi..kanichefua sana
@florencemeza65402 жыл бұрын
@@masalakulwa7601 nahisi anatembea na shemeji yake au dada yake alimzidi maisha ana kisirani
@ruthsawida85072 жыл бұрын
Wewe dada mtu mwehu kweli yani umetaarifiwa mapema sana na dogo kumbe wewe nae ungewahi kuokoa maisha ya mwenzako wee ni mpumbafu sana yani jifunze unapoina hata tafazali nipigie tuu unatakiwa ujitaid kufanya mawasiliano kwa huo muda
@blandinamwarabu50252 жыл бұрын
Anapigwa anarudi kwa mme matokeo ndio hayo
@rosekaiza27162 жыл бұрын
Yaani hii familia ni yakipuuzi sana yaani huyu dada katumiwa sms na mtoto wa marehemu lkn hakujibu kapigiwa aende hakwenda asubh yake pia wamemigia watu wa hospital bado hakwenda kaagiza bajaji iwabebe watoto waende kwake wakale , nimeumia sana mama nae karhusu mtoto wake arudi tena kwa huyo muuwaji eti anadai nilimkuta peke yake chumban , yaani nyie wanafamilia mjifunze kushtuka mnapoona! vitu Kama hivi haya sasa mmemkosa ndugu yenu kwa uzembe wenu kwanza alivyokuja kuchukua watoto tu mlitakiwa mumkamate achezee kichapo kidogo ndipo mumpeleke police yaani imeniuma sana
@pendondulilo78712 жыл бұрын
Afu anaongea bila aibu roho
@ablashaffy28602 жыл бұрын
Hii familia cjaielewa
@ameenaameena12242 жыл бұрын
Yaani Mimi Hadi ananitia hasira sijui wanaishi vipi hivyo hawana ushirikiano
@magesaneema19032 жыл бұрын
Yani kwenye msiba limekaa utafikili limetoka mkoa mwingine sisi ambao hatumfahamu marehemu tumeumia lakini lenyewe hata uchungu halina linaroho ya paka
@latifahassan1232 жыл бұрын
Kweli kabisa, matatizo yote hayo mmekaa kimyaa!!! Kweli familia ya ajabu sana
@kholaalmahrizi85252 жыл бұрын
Haaa! unaroho mbaya sanna wewe mtt wa dada yako anakutafuta mara 3 wana huna his kumfata. Labda wewe uko ushauri moja na mumewe huyo dada yako
@joyce557272 жыл бұрын
Kuna familia zingine wapole ivi mtu amepigwa bado mnamludisha kwa muuaji😭😭😭
@masalakulwa76012 жыл бұрын
Nashangaa balaa mm ningechom gari yake
@magrethmbangama11992 жыл бұрын
Kwakweli huo sio upole ni ujingaa unipigie mwanangu hivyoo looh Mungu nisaidie mimi
@piusjulius17792 жыл бұрын
Mkwe bora unyamazetu sioni unaongea nini
@piusjulius17792 жыл бұрын
Pore shakira maana nimsiba mzito
@stellageorge18132 жыл бұрын
@@magrethmbangama1199 kwa kweli sy upole ni upumbavu Tena wa Hali ya juu kabs mpk nimechukia
@ashuramuhinde38492 жыл бұрын
Hamkuwa na mapenzi na ndugu yenu mnaroho mbaya
@ssaa74952 жыл бұрын
Dada unakiburi wewe unaitwa mala tatu unaambiwa kuna tatizo ni ndugu yako wa damu.😬😬🙄🙄😷😷😷 au ulikuwa unatembea na mume wa dada ako?
@masalakulwa76012 жыл бұрын
Mm mwenyewe nimestaajabu sana
@hertafabian72612 жыл бұрын
😂😂😂😂
@maswamills31612 жыл бұрын
ATAKUWA alishaingilia chaneli huyo.☹️☹️☹️ Mmmh
@afrigrowers2 жыл бұрын
Huyu alikua ameshazoea ugomvi wao kuna watu wanapigwaaaa weee nanhawasikii kuambiwa waondoke
@janethhaule11212 жыл бұрын
Jamani msilaumu sana hamjuitu nyie nyumba ilikuwangumuile ndugu wamke kujapale nimtihani
@verociousagnerus97932 жыл бұрын
Huyu dada anaroho mbaya sanaaaaaa
@maswamills31612 жыл бұрын
Kichefuchefu Sana,au anamtaka huyo mume.
@josephineokama22002 жыл бұрын
Huyu dada ni mpumbavu sanah tena Hana akili kabisa
@VictoriaLaurenccekapela-mu1rsАй бұрын
Yaani dada ake kamuita mala kibao huendi,,roho mbaya sana
@halimasaleh57052 жыл бұрын
Kitu amabacho mmekosea nyie familia ni kupuuza wakati tyr ndg yenu kaumia anaingia kwa Dr na mtu aliyempiga mnategemea majibu sahihi kweli? Ila ww ni kiboko nikisikia tuu ndg yng anaumwa hata usingizi sipati ww unapigiwa simu zaidi ya mara 3 hata kujitingisha kweli?
@elmanichombe71982 жыл бұрын
Nyie wote ni wapuuzi tu unatumiwa sms hueleweki mjinga na wewe unashindwa kufuatilia umchukue umpeleke hospitali mnamwangalia tu.
Yaan wwh dada sijui nikuhadisie VP unapigiwa cm kuwa ndg Yako anapigwa wewe unalala kwel MTT anakutumia na kukupigia njoo mtufate uanaka Kimnyaa yaan roho inaniuma Sana ilaa unaroho mbya Sana Sana
@christinakimaro40092 жыл бұрын
Natakani nilichomoe humo nilipige
@jacquilinenoah9492 жыл бұрын
@@christinakimaro4009 yan kama sio mzima
@neemaruhembe63602 жыл бұрын
Anaroho mbaya sana mimi nikipigiwa CM tu naenda nakaa nae mpaka mwisho jamani mpaka anapigiwa CM akachukuwe mpaka watoto hataki anasema wapande bajaji aisee
@semeninyumayo2336Ай бұрын
Duu hizi familia tunafanana pua tu roho ngumu wazembe kufuatilia mambo muhimu mgonjwa anaachwa kwa gaidi kisa nini gari au utajiri heri maskini huru
@fatumasukwaju2262 жыл бұрын
Mmh wewe dada .lzm ubadilike.maongezi yako yamekela watu wengi sana.
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
Sana
@happinessmosala22172 жыл бұрын
Wewe mdogo mtu nawe hana uchungu na dadako eeh.unapiwa simu hujibu unaitwa huendi ukoje wewe
@maswamills31612 жыл бұрын
Wivu wa mapenzi ya shemela😅😅
@simoncharles6832 жыл бұрын
Huyu dada n mjinga Sana hafai hata kidgo callings zote hzo hujarespond hamna kitu hapo aache tuu kuongea bwana
@sophiamirambo96562 жыл бұрын
Linatabasamu Kama limekuja kuchumbiwa na mwandishi looh,,
Nilichogundua Peter alikua na kauwezo,walimuogopa,halafu ndugu wa marehemu hawakumpenda ndugu yao mbona wasimjali na kumhudumia? Yani Peter aumize na haogopi yupo tu,kwa Dr huingii ujue ndugu yako yupoje,Yani mume ndio umuachie akat ye ndo muhalifu
@abasmwika34322 жыл бұрын
Yani hawa bora wangejikalia kimya tu wanazidi kutia hasira bira hata yule Mama huyu ndio anatia hasira zaidi
@rithakuyala99512 жыл бұрын
Mdogo wa marehemu una roho mbaya sana una ata aibu unavyoadithia🙋♀️Mungu ampumzishe kwa amani
@salmaally84612 жыл бұрын
Wewe Dada choko Sana mbwa wewe
@soaringhigh96042 жыл бұрын
Hana Roho mzuri huyu dada
@omanoman20442 жыл бұрын
Wanavo onyesha hii family walikuw hawapendan kam sis hatupendan kwa sababu yakuwapita kimaisha anaeleza ujinga kabsa huyo dada fanya mfurahi sasa
@sophiamirambo96562 жыл бұрын
Yaani kazi kubwa watoto waliobaki watawapenda kweli au ndio manyanyaso yameanzia hapo
@happymchomvu67662 жыл бұрын
Unavyoeleza hta hakuna machungu ama mlikua na ugomvi duh😎
Du kweli hii familia ni shida,mnaroho mbaya sana mlikua mmemchoka ndugu yetu
@lightnesmbwambo58142 жыл бұрын
Kitu ambacho sitaweza kuvumilia kwa mwanaume ni kipigo my dear usikubali kuteseka kusimangwa n.k unachotakiwa kukumbuka ni kwamba Kati ya, maisha, ndoa, watoto , ni kipi kilianza ? Ukishatambua hilo sidhani kama utaendelea kukubali kufa kwaajili ya kutetea ndoa na watoto ....... Maisha lazima yaendelee
@khadijaali90422 жыл бұрын
Yani umenisinya ww mwanamke unae ongea hata sikuweza kumalizia kuskiza
@tnerdaniel61982 жыл бұрын
Hii Familia nilichogundua imekosa upendo na ushirikiano huwez pigiwa simu na mwanao au ndugu yako anapigwa anahitaji aokolewe wewe unapuuza yupo hospital unapuuza khaaaaa
@carolinemariki4029Ай бұрын
Tena nyamaza kabisa unaongea ujinga wewe.. badala ungeingia na dada yako kwenye xray unamuachia aliempiga aingie? atakuwa alihonga huko. Mwananchi tunaomba watu ambao wanatoa maelezo ya kukasirisha msiwe mnawahoji..
@magrethjohn49292 жыл бұрын
Mpuuuzi kwel huyu yan ishara zote hzo ulishindwa kusimama na dada ako ndo hawa hawa wanaodhan watubaki ni muhimu kuliko ndugu zao na inaonesha hata watoto watapata tabu sana mana ma mdogo wao chenga tu 🙄🙄🙄
@hamisaabdulhamid5292 жыл бұрын
Huyu dada anajisikia kweli anachokiongea. anaongea mkaavu yaani unaitwa Mara kibao uwafate watoto nawee unawaagiza wakukute ulipo mtu kapigwa hoi mnamrudisha kwa mume tena looh poleni
@joycesanga43782 жыл бұрын
Wakakupime akili wewe yaani mkavu kama umefuwa na mbwa lo
Msimlaumu huyu dada ujue watu wenye migogoro ya ndoa hawashauriki wanapigwa lkn hawaachi hao wanaume inafik mahal ndugu mnaingilia mpk mnaonekan wachonganishi mnachok na kesi zao ndo kama hivi , sisi yaliotukuta tunajua
@MokeBenedict20 күн бұрын
Looooooooo familia ya hovyooo bora ukose ndugu kuliko ndugu hawa, hivi nyie huyo ni ndugu yenu kweli au jirani yenu
@luckystar74912 ай бұрын
Yani we dada hukutakiw kuongea chochote kile hukuw na ushirikiano wwte ule kwa dadaako huna mapenzi hata kidogo ungenyamaze tyuu mpumba vu ww
@stellamokiwa20258 күн бұрын
Huyu dada ana roho mbaya.....yaan majibu anayaafuta....ina maana hakuwa na mchango wowote
@HawaAbedi-o3d23 күн бұрын
Weedada sijui unaongea nini kweli ndugu yako hali hiyo halafu unarudi kwako itakua siyo ndugu yako mkavuu looo
@roseodipo98682 жыл бұрын
Hawa ata sio bure au wachawi?😳Afu hana ata aibu nyiee
@hildahmushi75242 ай бұрын
Yani uyu Dada Ana roho mbaya Yani unambiwa Dada yako ana Hali mbaya lakini wala ujali anaitwa na doctor unapigiwa simu na Watoto wala ustuki jamani kweli Una roho ngumu sijui ni familia yanamna gani hii
@JoyceMziray2 ай бұрын
Usipopambnia uhai wako mwenyewe hakuna ndg atakae kuja kukupambania kwa huyo mwanaume wako,pia inachosh kila siku kesi ni zenu tuu mpk familia inawachoka watu wana mambo mengi hata msimlaumu huyu dada
@jacklineminja20222 ай бұрын
Huna akili kenge wewe ungemchukua dada yako ukimbie nae hosp mpaka anaanguka chooni inamaana hukumshikilia pimbi wewe bora usingeongea hukua na msaada wowote
@hadijajohn74342 жыл бұрын
Yani REKHEMA usinge ongea.kama..Aisha ni dada yako .unarokho mbaya. Nahilo.lemba la kinafiki
Kuoneana wivu ni upumbavu sana !!! Sasa kaacha watoto bibi yao awatunze!! Maana Peter MUNGU kashampa malipo yake atakaa jela.
@iddahmwakyoma24642 ай бұрын
Hawa sijui kabila gani wanaroho ngumu daaa wanajieleza hata chozi hawadondoshi,nawamezembea waliaza kupigiwa simu tangu anapigwa hawana msaada,amepigwa wanakaa nae ndani nyie mimi nisingerudi nae nyumbani kabisa uwiiii
@zwinaalhabsi6642 жыл бұрын
Na hawa wazazi mnazoho ngumu ndugu yenu kapigwe sana na bado mwamrudisha kwake
@verotony2808Ай бұрын
Yani we mpuuzi natamani nikupige kofi hilooo hivi unaeleza upuuzi gani huu we unajitambua kweli???
@agnestemba73722 жыл бұрын
Au walikuwa wameshamchoka anapigwa anarudi, mana wengine unamwambia usirudi anarudi na kupigwa anapigwa yeye unamuacha apigwe.
@anjuadnani26073 ай бұрын
Masikini marehemu alikua hana bahatiyaani unapigiwa cm huendi kweli? Njoo njoo huendi
@aisharamadan36202 жыл бұрын
Ww na mama yako wote wazito na roho zenu ngumu
@simplyfay53082 жыл бұрын
Bora nife single kuliko kuwa punching bag ya mtoto wa ma mkwe🙌
@mwanaherhussani74252 жыл бұрын
We ndiyo kama Mimi kabsaaa
@simplyfay53082 жыл бұрын
@@mwanaherhussani7425 Nakupenda 🤍
@arafaoman9504 Жыл бұрын
sijaipenda hii Familia aswa huyu mdog wake loooh Ata hao watoto wasitegemee Kam Kuna mtu apo loooh Ata uwe na harak vip sio kwa ndugu yako loooh nimekuchukia mno na Ata usingeelez eti sijaenda kila wakikutafuta sijaenda njoo uchukuwe watoto sijaenda looh
@fatmalyego79182 жыл бұрын
Kwanza usingeongea ungekaa kimya tu mbwa wewe
@nancyrukayagana-iu2tvАй бұрын
Duh! Naweza kuongea vibaya ila n tarehe lkn familia mbovu sana hii😭😭😭
@najathtemo39083 ай бұрын
Yan mtu kapigwa kiasi hicho bado mnamrudisha nyumban kwa mtu muuaji daaah familia nyingine bhana😢
@Hawa-rt3jl2 ай бұрын
Huyu dada anakiongelea nini hamna ishu ujinga tu mumesaidia kumpotezea maisha dadaenu na huyu mume alishajua kua hii familia dhaifu ndio maana anampiga sana huyu mume
@JuliethNgowi-n8f3 ай бұрын
Yaani hii familia Haina akili hata kidogo kama hili dogo lake linaulizwa maswali na Dokta halisemi hata kama kapigwa linaficha lijinga sana nimelichukia sana kubwa jinga
@Hawa-rt3jl2 ай бұрын
Hii familia ya kijinga sana haikumpa sapota ndugu yao wamechukilia poa tu anayoyapata wapumbavu sana
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Wanaume wa local wa Kitanzania ya mavi kunuka wakatili ni kupiga tu poleni sana wanawake wa Kitanzania
@claudia15002 жыл бұрын
Sipendi hata kukusikiliza we dada..u are so stupid! Mtu unatafutwa na watoto kukuambia hali ilivyo eti ukawa hujaenda..dah!
@lindambilinyi85792 жыл бұрын
Hv una akil ww mdada??,una roho gan dada ako kabsaa inaitwa mala tatu unashindwa kwendaa looh hapana km hii familia co Bure Kuna kitu,kwanza nimeumia snaanamlazimisha kulud kwake wakat mwenyewe hatak looh mns uchungu kbsaa
@thomasdominick8604 Жыл бұрын
Iddy amini yuko wapi wasombwe wote hii family watupwe MTO kagera,Hamna kity
@FatimaFatima-wk1jk2 жыл бұрын
Kwa maelezo Yao yaani wameonyesha uzembe wa Hali ya juu marehem amefariki Kwa uzembe wa familia
@magrethmbuma30452 жыл бұрын
Yaaani maelezo yake tuu ni ubabaifu mtuupuu wa familia zeeetu za kiswahili hiizii.....Yaaani unaitwaaa weeeee umekaza shingo tu jaamaaanii nyiiieee mmemuua ndugu yenu kwa ujinga na upuuzi wenu mngekuwa mnaushirikiano mngewahi kumpeleka akapate huduma angepata nafuu labda alee watoto wake
@subirasanga5276 Жыл бұрын
Yaan mwanamke ukiona vpgo kwenyendoa sepa kaanze maisha mapya ukiw singo madher. Mbona wanawake tunaweza saiz jaman. Ona sasa watot wanakua yatima kizembe
@summanelson55232 жыл бұрын
Uzembe mkubwa. Unaitwa halafu huendi!!!!!!! Roho ya kikatili sana hiyo. Unaambiwa ndugu yako anapigwa unatulia tu! Njoo hospitali huendi!!!! Duh! Watu wana roho ngumu sana hao!!!!!
@stellageorge18132 жыл бұрын
Na ana roho mbaya kweliiiii Alf anavojieleza hata chembe ya huzuni hana
@joycesanga43782 жыл бұрын
Ungekuwa umemuwahi dada yako siku ile ile alivyopigwa kabda dam haijavilia simgemuwahisha hospital
@GloryEdson-m1vАй бұрын
Huyoo mdogo wa marehemu mjingaa sanaa mpumbavu huyoo kwanzaa hajalii.
@alexswaialexswai8645 Жыл бұрын
Wa hovyo wewe dada tena ulikua humpendi huyo dada yako. Nyie wa ovyo kabsa yn upuuzi mtupu ona sura zenu zilivyo
@sechumamdika56122 жыл бұрын
Uyo dactari amemruhusu vipi mgonjwa mwenye hali mbaya ivo arudi nyumbani ata yeye aulizwe huenda alicha maovu ya uyo mume
@nuruathuman33812 жыл бұрын
Msimlaumu maana tulishakaa nafamilia kamaizo ndugu zao wanakwambia wakipigana msiwagombeleze muwaachetu maamnaweza ukaumia wewe au ukapata ubaya asubuhi wenzenu mahaba motomoto awanabaya ao ndugu inabidii tuwemakini kwenye ndoa zetu
@sabrinasabrina83952 жыл бұрын
Yani familia ya ajabu kuanzia mama na watt wake khaaa
@doriskanyenda39782 жыл бұрын
Yaan nilikuwa nawaangalia Kwa hasira msibani mpk bhasi, mmesababisha Mama Vanessa ameacha watoto Kwa uzembe wenu, yaaan inauma sana
@janethhaule11212 жыл бұрын
Kwakweli mama vane wetu
@janethferous3 ай бұрын
Mimi nimegundua hii familia hawan upendo haiwezekani unatafutw et Sina salio Mal napika du
@blandinamwarabu5025 Жыл бұрын
Yaani hospital ya kipuuzi kabisa wanaficha ukweli. Yaani marehemu naye anapigwa anarudi kwa mme
@rukiamziwanda74585 ай бұрын
Uyu ana roho mbaya sana umepigiwa simu na mtoto toka usiku mama anapigwa umekaa kimya roho ni mbya mnooo mpumbavu mkubwa
@jeskahaule28672 жыл бұрын
Yaan hii familia hamna kitu kabisa taarifa mnapata ila umnapuuzia mnadharau sana mnaboa amekufa Kwa makosa yenu
@shameemrashid52192 жыл бұрын
Sasa we mdg mtu una nini mbona ulikuwa hutaki kwenda roho ngumu jaman uwii alafu unaelezea huoni hata haya uwiii mim na hii roho yangu nyepesi mbona ningekimbia na huenda angepona mambo mengine ni uzembe tu. Mtu