Рет қаралды 256,089
Wakati tukiendelea kuzifuatilia headline za bungeni Dodoma ni vyema usikubali kupitwa na maoni ya mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe aliyowasilisha wakati akichangia hotuba ya wizara ya fedha na mipango kwa maendeleo ya taifa kwa mwaka wa fedha 2016/2017