Рет қаралды 360,939
Moja ya headline iliyochukua nafasi leo wakati mkutano wa 5 wa bunge la 11 ukiendelea bungeni Dodoma ni pamoja na hii ya Naibu spika Dk. Tulia Ackson kulazimika kumzuia Waziri mkuu Kassim Majaliwa asijibu swali la mbunge wa Hai Freeman Mbowe aliyedai kwamba wabunge wa CCM walipewa shilingi milion 10 kila mmoja ili kupitisha muswada wa habari unaotarajiwa kuwasilishwa hivi karibuni bungeni.