VIDEO: Naibu spika vs Mbowe bungeni kwenye swali kwa Waziri mkuu

  Рет қаралды 360,939

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Moja ya headline iliyochukua nafasi leo wakati mkutano wa 5 wa bunge la 11 ukiendelea bungeni Dodoma ni pamoja na hii ya Naibu spika Dk. Tulia Ackson kulazimika kumzuia Waziri mkuu Kassim Majaliwa asijibu swali la mbunge wa Hai Freeman Mbowe aliyedai kwamba wabunge wa CCM walipewa shilingi milion 10 kila mmoja ili kupitisha muswada wa habari unaotarajiwa kuwasilishwa hivi karibuni bungeni.

Пікірлер: 98
@KASOLEKA
@KASOLEKA 8 жыл бұрын
Ohooo. Naona kuna ukweli hapo, kwa nini wanakwepa swali. Hayo nayo majipu Tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu........... Lakini yanayoonekana ni ya watumishi hewa tuuuuuuu. Aibu tupuuuuuu....
@masoudkhamis54
@masoudkhamis54 8 жыл бұрын
jamaa wanagawana pesa zetu kimya kimya ila yana mwisho wake hayo na utafika
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 4 жыл бұрын
Bungeni hakuna kinachoendelea zaidi ya kuona wabunge wana .........!
@lawrentkaifa5897
@lawrentkaifa5897 8 жыл бұрын
naibu speaker hatuna
@petermatemu8306
@petermatemu8306 8 жыл бұрын
naibu spika hana uzalendo kabisa, anaendesha bunge kwa maslahi ya chama tawala
@chrishicksambo880
@chrishicksambo880 6 жыл бұрын
Kaka mimi ni mtu wa mbeya lakini huyo dem sijuh Kama ni mzaa wa mbeya maana sio kwa usenge huo hatunaga upuuzi huo
@joshuafrank8253
@joshuafrank8253 5 жыл бұрын
ccm hamna akilitu
@joshuafrank8253
@joshuafrank8253 5 жыл бұрын
wanawake wanin kuwapa vyeokamaivo vyanin kuwapa
@musakutenga6015
@musakutenga6015 7 жыл бұрын
Ifike wakati tuelewe watanzania tujuwe maana ya bunge kuwa lina sheria zake pamoja na kanuni zake tuache ushabiki wa kisiasa maana watanzania wengi tunafata mkumbo tu
@davidjosephmsuya1929
@davidjosephmsuya1929 4 жыл бұрын
Hii mijibunge mingine cjui inafikaga huku vipi yani swali la maana kbs yy hataki lijibiwe dah! hatari sana
@petermkamba3594
@petermkamba3594 8 жыл бұрын
Cha mcngi hapo; angeachwa waziri ajibu tu yaishe kwani Tulia alivyokataa swali lisijibiwe; ndipo negative nyingi zitawajaa watu wakati siajabu habari zenyewe c za kweli!
@zainabsaid3749
@zainabsaid3749 7 жыл бұрын
tulia hufai
@ngusakabu9489
@ngusakabu9489 6 жыл бұрын
b
@ngusakabu9489
@ngusakabu9489 6 жыл бұрын
b .
@meryjohn7120
@meryjohn7120 4 жыл бұрын
Wananchi tunakufa nacolona nyie mnaopiga hela ata kutupunguzia makuli tamaisha ktk kipindi ichi kigumu umeme mmetubani maji mmetubania sugu kaongea vitu vya muhimu mkajifanya amumsikilizi mnapanga tu njama zakupiga hela magufuli tunakuomba kwa hili haki itendeke kama unavyowatumbua wengine
@cheskomichael6099
@cheskomichael6099 8 жыл бұрын
mmh hatariii
@israelibrahim5206
@israelibrahim5206 8 жыл бұрын
ufahamu ndio unatupa shida, bora nisinge elimika haya mambo yasingesumbua akiliyangu
@ramadhaniismail9291
@ramadhaniismail9291 6 жыл бұрын
Corruption ni sera Naomba mungu akubariki ili kua rais wa nchi kwa maswali yako
@simonwaziri2827
@simonwaziri2827 7 жыл бұрын
Ufisadi Raisi magufuli sikiliza hlo ukatumbue jipu hilo limeiva kwenye ufisadi
@kilagane183
@kilagane183 8 жыл бұрын
Hahahah, swali zuri sana
@batulemwamwaja6524
@batulemwamwaja6524 6 жыл бұрын
samweli kilagane fact
@darposttv2647
@darposttv2647 4 жыл бұрын
Haka Kama kana roho mbaya sana
@vascojuma2158
@vascojuma2158 5 жыл бұрын
Aiseee milion 10 kila mbunge wakati kuna hosptal hazina dawa Mh raisi liangalie hili huu nao ni matumizi mabaya ya pesa yauma Tusaidieni kujibu maswali bungeni Haki huinua Taifa Mh tulia usiendeshe bunge ivo mama unakosea kumlimit mtyu asijibu swali sasa maswali ayo wakaulize nan na wap?
@israelibrahim5206
@israelibrahim5206 8 жыл бұрын
ufahamu ndio unatupa shida, bora nisinge elimika haya mambo yasingesumbua akiliyangu
@gandisalim5423
@gandisalim5423 7 жыл бұрын
Ndio maana hawataki bunge lionyeshwe
@emanuelmathayo6828
@emanuelmathayo6828 7 жыл бұрын
mbowe ahsante
@urasakikoka3802
@urasakikoka3802 7 жыл бұрын
Gandi Salim
@mzenji
@mzenji 6 жыл бұрын
Huyu mtu anawazimu? Kuna ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Sasa kama suala la rushwa na ubadhilifu wa pesa za umma sio suala la sera, ofisi hiyo inafanya kazi bila sera? Spika katoa point ya kijinga, hasa ukizingatia kwamba rushwa na uwizi ni katika sera kubwa ya Raisi mwenyewe.
@annahockson1427
@annahockson1427 8 жыл бұрын
ndio mboye tuteteee wanyonge
@teonaswistonteonas8975
@teonaswistonteonas8975 7 жыл бұрын
Hakika ww nijembe unatupigania mno
@hajideprince9607
@hajideprince9607 8 жыл бұрын
bunge oyeeee
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 6 жыл бұрын
Respect Dkt.....confidence na kusoma vzuri sheria ndyo maamuz yako
@allimnyawi739
@allimnyawi739 8 жыл бұрын
yasemwayo yapo hahaaaaaa
@gonzalesdeus5117
@gonzalesdeus5117 4 жыл бұрын
jembe tunakuelewaga kinchofanyika ni kulindina tu
@josephminja5827
@josephminja5827 8 жыл бұрын
Majipuuuuu hayoooo mweshimiwa mboweeee..kwanin...anagoma kujibu maswali yakooo
@meryjohn7120
@meryjohn7120 4 жыл бұрын
Wewe unalinda ujinga wezi nyie kodi zeyu naye amekula
@davidelias6376
@davidelias6376 7 жыл бұрын
dawa ya swali ni kujibu
@saidrashidi5153
@saidrashidi5153 8 жыл бұрын
hivi rushwa ni acquired character or ni inherited character??
@christinamtewele127
@christinamtewele127 7 жыл бұрын
hebu wacha kugadi chama bungeni spika mbona swali rahisi unamzuiya nini kujibu acheni kubebana kumbe wanagawana pesa zetu wasome warumi 13 yote mistari yote 14wanaweza kubadilika mungu awasaidie sana
@emmanuelrichahd4236
@emmanuelrichahd4236 6 жыл бұрын
wamesahau kututetea cc wameanza oo jana mmepewa pesa kama wamepewa nachama watajua wenyewe cc tunataka muongeree maendeleo saivi unawasema ccm rakini ukienda jimbon kwako hakuna hata maji mbona haulalamiki tumewachoka au kwavile haukai jimbon
@meshackmlaki2066
@meshackmlaki2066 3 жыл бұрын
Mmh
@RoseMary-hp5bz
@RoseMary-hp5bz 8 жыл бұрын
uwiii ccm ni nini mbaya ci mmuache wazir ajibu
@ramadhansaid1671
@ramadhansaid1671 8 жыл бұрын
hivi bado kunawatu mnaamini utaifa na ubora wa maisha uko bungeni!? si upinzani wala utawala, samaki ni walewale, tofauti majina tu.... anaebisha akamuulize dr s..... huko canada, au .....kule Zanzibar na buguruni.
@makulazomorice3766
@makulazomorice3766 5 жыл бұрын
Huyu naibu speaker ni ccm dam dam maana siyo kwa kumlinda iv
@geofreyemanuel8939
@geofreyemanuel8939 4 жыл бұрын
Safi sana mzee baba mbowe unatuwakilisha vyema
@vickymamy2241
@vickymamy2241 8 жыл бұрын
asante mboweee!!!!!!!
@joycedaudi8765
@joycedaudi8765 6 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kama tungekua hakuna mtu ana elewa haya mambo ya siasa na demokrasia tusinge umia..
@aagdf1420
@aagdf1420 8 жыл бұрын
hahahahha .hamna.hoja.kazi.kurumbana.ndiyo.maana wengine wanaongelea.habari.za.chupi.bungeni.
@annacarlos7925
@annacarlos7925 7 жыл бұрын
naibu spika hufai unazuia nn kujibu swali nandio mnaoaharibu ccm hadi inasemwa vbaya
@christophermhanze7027
@christophermhanze7027 4 жыл бұрын
Akiri ndogo kuongoza kubwa shida
@poppmusiciringakilolopoppm6519
@poppmusiciringakilolopoppm6519 5 жыл бұрын
Aka kamama kana roho mbaya ndo maana ata kunenepa akanenepi
@mtakitibezuka9604
@mtakitibezuka9604 8 жыл бұрын
kweli ccm noma wizi mtupu wazili tujibu usiiname xana
@michaelalban3749
@michaelalban3749 5 жыл бұрын
Tulia ackson sijui ulikaaje hicho kitu
@johnraphael7790
@johnraphael7790 8 жыл бұрын
Siandiki chochote acha nipite Hasira bubu hiz
@davidgidion2262
@davidgidion2262 6 жыл бұрын
Nilitegemea swari haliwezi kupata majibu
@fafi9092
@fafi9092 8 жыл бұрын
Dunia akuna haki aki ipo kwmaungu ndiomana imewekwa siku yakiama viungoz wetu wakiafrica awataacha kuiba pesa mpaka mwisho wadunia
@davislewis2953
@davislewis2953 6 жыл бұрын
rushwaaaaaaa ahaaa
@nyakisn6512
@nyakisn6512 5 жыл бұрын
Mnapiga tu hela kijanja nchi hii aise
@naurumnazaleti6774
@naurumnazaleti6774 6 жыл бұрын
oyooooooooo chadema oyee nawakubar kichz yan
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 8 жыл бұрын
nilichoona ccm inajiendesha kwa kujuana ndio mana bunge la sku hiz bora utafte kaz ya kufanya kuliko kuangalia cz hakuna kinachoendelea wapinzani Wapewe haki yao na kwa hali hii wanahaki ya kulalamika big up mbowe thax Milad Ayo
@abdallahramadhani4215
@abdallahramadhani4215 7 жыл бұрын
joyce michael love love tunalindana jamani
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 жыл бұрын
#Abdallah Ramadhani 😀😀😀😀
@victorfredrick1423
@victorfredrick1423 6 жыл бұрын
Naibu anawalinda watu wa chama chake
@barakaellyimo230
@barakaellyimo230 8 жыл бұрын
kitendo cha waziri mkuu kunawa mkono na hewa mmmh hili swali lina utata sama linahitaji majibu hahahahahahahah duh tunamiss uhondo kweli
@shabanikipenge7341
@shabanikipenge7341 8 жыл бұрын
Barakael Lyimo
@thekingdon174
@thekingdon174 8 жыл бұрын
Hapo hakuna kitu, Hiyo ni kiki tuu ya kutaka kujisafisha na Kashfa ya ukwepaji kodi NHC, na Mahela ya kimataifa.
@emanuelmbondo4598
@emanuelmbondo4598 8 жыл бұрын
Bhangi mbaya sana
@abdulzabibu7369
@abdulzabibu7369 8 жыл бұрын
bangi kweli siyo nzuri
@hajideprince9607
@hajideprince9607 8 жыл бұрын
huyu naibu mbabe cna bhana
@masseanadir2904
@masseanadir2904 8 жыл бұрын
mnagawana pesa afu watumishi hewa watumishi hewa
@mirajinkungu2357
@mirajinkungu2357 7 жыл бұрын
mmmh ungemucha a jibu mama
@jasminmmary8077
@jasminmmary8077 8 жыл бұрын
Hata mim nimeona haloooooo
@veronicakisandu5033
@veronicakisandu5033 8 жыл бұрын
hee! mikopo tukose sisi ela mchukue nyie, majanga!
@mossesmlokozi3425
@mossesmlokozi3425 6 жыл бұрын
yaan mccm yapungue Bungen2020 mjp wabk kama 4
@joycedaudi8765
@joycedaudi8765 6 жыл бұрын
Tangu tulia amepata nafas iyo imekuwa shida bungen
@issaally2394
@issaally2394 7 жыл бұрын
kweli hichi ni kifaa
@elihurumaeliau7079
@elihurumaeliau7079 7 жыл бұрын
nahic kutapikaaaaa!!!!
@pascalmsilwa7817
@pascalmsilwa7817 4 жыл бұрын
Pamoja Sana mboe
@sonnonlinetv4288
@sonnonlinetv4288 7 жыл бұрын
mbowe
@dicksonmrimi8703
@dicksonmrimi8703 6 жыл бұрын
asante mboweee
@gandisalim5423
@gandisalim5423 7 жыл бұрын
shikamoo mboe
@danfordmwigune3406
@danfordmwigune3406 7 жыл бұрын
kazi kwako
@bmrrugu2
@bmrrugu2 7 жыл бұрын
Disgusting
@ulafim2719
@ulafim2719 8 жыл бұрын
Tulia Unaharibu Bungeeeeeeeee
@petermnobe9485
@petermnobe9485 7 жыл бұрын
selikali lko safi Sana msituchanganye
@vicentimakori1770
@vicentimakori1770 6 жыл бұрын
Peter Mnobe akili nusu
@manjoriwakunesa7006
@manjoriwakunesa7006 6 жыл бұрын
h
@jumasalumu3504
@jumasalumu3504 5 жыл бұрын
We. Mbowe. We. Mbona..Hera za. Luzuku hazionekani. Upoo. Tuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@abdulrahmanobelin6465
@abdulrahmanobelin6465 4 жыл бұрын
Mbowe itkisa ccm
@pierreadams3114
@pierreadams3114 8 жыл бұрын
dahhhh aiseee
@thuwenihussein8756
@thuwenihussein8756 8 жыл бұрын
bunge limekiwa kama bar huyu mama anasingua ndio tatizo LA kuchagua viongozi vilaza
@pierreadams3114
@pierreadams3114 8 жыл бұрын
+Thuweni Hussein umeona ehh pia anavyokataza swali kama lile anafnya ionekane n kwl yanayosemwa
@rahimamkamba5032
@rahimamkamba5032 8 жыл бұрын
huyu mama arudi kijijini akafuge kuku anaharibu bunge
@saidmathias8850
@saidmathias8850 8 жыл бұрын
chezea tulia ww
@abdallahramadhani4215
@abdallahramadhani4215 7 жыл бұрын
Said Mathias kweliii duuuuu
MASWALI KWA WAZIRI MKUU: Mbowe achafua hali ya hewa
8:21
Mwananchi Digital
Рет қаралды 34 М.
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 666 М.
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,2 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 13 МЛН
"Unapotangaza mtu aje Polisi saa 5, wewe ni nani?" - MBOWE
12:00
Millard Ayo
Рет қаралды 694 М.
“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” - Bashe
16:39
MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
11:04
Global TV Online
Рет қаралды 140 М.
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 311 М.
MBOWE ALIVYOMBANA WAZIRI MKUU KWA MASWALI, UCHAGUZI, TUME UHURU
10:31
LEMA ALIAMSHA DUDE BUNGENI MATIBABU YA LISSU, MWENYEKITI AMTAKA AKAE
4:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 168 М.
PAPO KWA PAPO: Maswali ya Mbowe kwa Waziri Mkuu Bungeni leo
12:29
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН