Bashe nitakupenda milele ukiendelea hivyo, sijawahi kukuchoka unapochangia bungeni,
@moodykitete94765 жыл бұрын
Yn kuna mama wawili apo pemben yamezubaa tu ayajui kinacho endelea yapo yanawaza kula 2020 ahahahahahah
@nuranzubail12405 жыл бұрын
Uko sawa bro ccm hawawezi kukuelewa
@nesphoryjimmy63005 жыл бұрын
Jamaa yuko poa sana. Nina mashaka kama yatafanyiwa kazi. Inshallah tuombe uzima na muda ni Mwl mzuri
@emanuelmaringo71735 жыл бұрын
Sku zote ukwel humuweka mtu huru bg up xn mh bashe
@shijamakoye60135 жыл бұрын
Hiki kichwa cjui kilipewa akili gani yani akili ya bashe ni kubwa sana
@patrickKitambo5 жыл бұрын
Why not make this smart guy a president? He can save this dying country
@kennedytungaraza1275 жыл бұрын
mh.bashe upo sawa kabisa ukitaka kugombea urais tunakupa chukua form 2020.eti umli bado mwlm alingia ikulu anamiaka 31.chukua form mh.bashe.
@omarimsangi4075 Жыл бұрын
Kwa ubaguzi tulio nao sijui ?
@mcjogopah85135 жыл бұрын
Hongera kwa kutekeleza wajibu wako. Ndio Ndio bungeni isiwe kwenye kila kitu
@akidasalim97985 жыл бұрын
Umewasaidia sana lkn hawqtakushukuru. Bashe kichwa cha kukiombea mungu
@imamkibichwa89975 жыл бұрын
Me ni chadema live lakini siku ukigombea urais hata na mbowe nitakpa kura na utashinda live bira chenga
@maulidmohamed44945 жыл бұрын
Mungu akulinde akuengeze hekma
@yusufumpepo58365 жыл бұрын
we ndio MTZ halisi, ktk wabunge was Ccm.
@alexmwalingo51205 жыл бұрын
Bonge la mbunge bunge zima kimya hamna taalifa
@mcjogopah85135 жыл бұрын
Bashe hongera kwa kutekeleza wajibu wako
@godfreydignalis1635 жыл бұрын
I wish you one to be our President, for sure you are Bright, wise and prudent. You always aspire me for sure I appreciate and ask God to put you at the top. You really both think and reason. Acha wakuone mbaya Ukweli wako unabaki pale nasi tunajua.
@mzenji5 жыл бұрын
"inspire" not "aspire" . "aspire" maana yake kulenga shabaha (katika mipango au maisha). Lakini ninakubaliana nawe huyu jamaa hua anatoa point.
@mamahawa36945 жыл бұрын
mungu akubariki kwa kuwa mkweli na mbingu ni yako
@terrylowery9105 жыл бұрын
bashe ungewepo Chadema ungepewa nafac ya kugombea ulais na ungepita
@smao12895 жыл бұрын
Hyu jamaa anaweza kua president siku za usoni
@stevenshemsanga99055 жыл бұрын
Wewe siomuoga dyinyi ndio wabunge mnaotakiwa kuwepo bungeni
@psterinishayo42705 жыл бұрын
Hivi kwann mtu mwenye maono mazur hivi ya nchi yetu kwann wakubwa hawamwoni wakampa nafas kubwa atusaidie
@geraldsanzala81195 жыл бұрын
Kuna kamama kamekaa hapo nyuma yaani kanaonekana kabisaa hakaelewi lolote na kana mawazo yake menginee hahaa
@psterinishayo42705 жыл бұрын
Anawaza mambo ya ucku kitandan huyo
@jumasaid52155 жыл бұрын
Ugwao ndio unamiwao, uchumi wa Tz ushafusiwa
@nuruabraham37695 жыл бұрын
waambie wakuelewe bashe
@alexmwalingo51205 жыл бұрын
Kila kitu kinaenda kwa mpangilio huyu ndiye kiongozi bola na sio bola kiongozi, anajali maslahi ya wananchi, kwa nn hajapewa uwazili au mnajua atawahalibia sasa fanyeni mpango mzr wa huyo mbunge Bashe anaweza kuwa mtukufu Mkubwa badae
@fademoonlinetv5 жыл бұрын
Mtu mwenye akili tu ndiye anaelewa points za Bashe! Waliosalia huelewa baadae mambo yakiharibika
@basharpandu73245 жыл бұрын
Venerando Milinga ccm ni watu WA. moton
@geraldsanzala81195 жыл бұрын
Haya wale mnaosemaga Zitto na Lissu mropokaji.. Huyu ni Bashe was CCM. kuweni makini nyie watu hili ni taifa
@petercat96865 жыл бұрын
Wabunge tz wale ambao ni ndiyoooo, mnamuona mwenzenu anavyojitumaa? Acheni uoga (woga) fanyeni kile kilicho wapeleka siyo kila kitu ndiyooo.
@valentinyosef59403 жыл бұрын
I realize Im kinda off topic but do anybody know of a good website to stream newly released tv shows online?
@declandavid78303 жыл бұрын
@Valentin Yosef Try Flixzone. You can find it by googling :)
@israeltommy36043 жыл бұрын
@Declan David Yup, have been watching on FlixZone for since april myself :D
@izdoryb.barnabas17945 жыл бұрын
Bashe na Nape mnafaa sana.
@frankmwakatundu2435 Жыл бұрын
USINVUNJIE HESHIMA BASHE KWA KUMLINGANISHA NA MTU ANAYE ANGALIYE UPEPO UNAVYOENDA ILI ALINDE MASLAHI YAKE KISIASA BASHE NI WATOFAUTI SANA HUYU NI MZALENDO NA. 1. MUNGU AMLINDE AMPE UWEPESI AJE KUWA RAIS WA TANZANIA KWA UCHACHE TU KWA MIAKA KUMI TU TUTAIKARIBIA SINGAPLE MARA MOJA.
@hagaieliya61875 жыл бұрын
Wewe kichwa ktk taifa hili
@dr.mandelamakakalamd44885 жыл бұрын
Ukweli
@stanslausremmy87925 жыл бұрын
iv busara kama iz bwana mkubwa hua haziskii akampa hata unaib wazr
@simonsitta44085 жыл бұрын
Nashangaa msomi kama huyu anaachwa nje ya baraza kisa tu anawakosoa
@hangimasunga59595 жыл бұрын
Ombi langu mheshimiwa rais, huyu anafaa kuwa waziri wa fedha
@zabronpaul36255 жыл бұрын
katika wabunge wenye akili ww ni mmoja wao
@allybushiri52295 жыл бұрын
Ccm oyeee
@salimsemanaompakabungeniol40845 жыл бұрын
Mm sina chama ila mueshimiwa chukua fomu kura kama zote kwanza tunaruka raisi kijapan ndio wazurI tuachane na mchonga meno mkatoriki kasha kufa ibilisi yule
@vicenttarimo87525 жыл бұрын
Uzalendo ndo huo kosoa ili mambo yaende
@ngasasocks11255 жыл бұрын
ivi hawa watu mbona hawaelewi?
@roderickmmanyi80555 жыл бұрын
Ngasa Socks uko sahihi,ila upande ulioko hawayaoni.
@akidasalim97985 жыл бұрын
Wambie ukweli baba.unafaa kuwa waziri
@jenitarthadeus2903 Жыл бұрын
Kwanini CCM msijadili mpango kabla ya kuuwakilisha bungeni! Sasa hivi bunge lote Ni CCM! sasa mnachambuana! Hamuna UPINZANI! mtapingana wenyewe! CCM NI CANCER