Рет қаралды 1,316
Mwananchi Digital
Baraza la mawaziri lililoundwa na Rais Alli Hassan Mwinyi Novemba 7,1985 baada ya kutangazwa mshindi wa kiti cha urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 1985 lilikumbwa na misukosuko kiasi cha kufanyiwa mabadiliko makubwa mara mbili