SIMULIZI YA UCHAGUZI MKUU 1985, MWL. NYERERE ALIVYOMPA KIJITI MZEE MWINYI
Пікірлер: 56
@AlhajiIssa-jb9hrАй бұрын
Innaalillah wainnaailyhiraajiuun 😭 "Ewe mola wasamehe maiti wetu na uwarehemu wote kwa ujumla. Amiina Amiina Amiina
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Tbc nawapenda sana kwa kumbukumbu zenu mnavyozitunza mungu ailinde Tbc na Tanzania yetu ya amani tu Tanzania
@GOLLANBANGILI11 ай бұрын
Tanzania daima itazidi kuendelea na hakuna kukata tamaa ,ASKARI EEEE VITANI EE MAA WANACHEZA ,WANACHEZA NDOMBOLO KOFIA YACHUMA VITANI EE MAMA ,.ASIYEPENDA JESHI LETU ATOROKE SAANANE ZA USIKU............. ❤OUR NATION JAPO SIJAAJIRIWA NITAZIDI KUIPENDA TANZANIA .
@josephjila9572 жыл бұрын
Zamani pazuri sana kumbe kuna maswali na Majibu
@ashrafkhamis10517 ай бұрын
Mwenye zimungu awarehemu wote waliotangulia mbele za haki😢
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Television bora Tanzania inayosimamiwa na wazalendo wa Tanzania. Mungu aisimamie Television yetu.
@mrbayuali69164 жыл бұрын
Hongera Sana TBC kwa kutuelimisha kizazi kipya
@mussahoza7 ай бұрын
nataman cku nilale hlf niamke nitokee miaka ya 80... nataman kuju maisha yao yalikuwaje miaka hiyo wallah
@abdulrazakyussef31774 жыл бұрын
Chama Chetu Cha mapinduzi chajenga Nchi--Wimbo safi sana wakati nikiwa mwanfunzi wa shule. Lazima irejee tena.
@jumakapilima7295Ай бұрын
Hahahaha,,,,siku hizi watunzi wazalendo hawapewi nafasi, wanapewa nafasi watunzi machawa na wanatunga nyimbo za hovyo
@butungo17 ай бұрын
Nchi ilikuwa mbali sana
@kilimanjaro2557 ай бұрын
Kusema ukweli mwl Nyerere alitusaodia sana sana,kuhakikisha anatujengea amani ni upendo tulionao hadi hivi sasa,
@jumakapilima7295Ай бұрын
Hahahaha,,,,,,ukiona vinaelea ujue vimeundwa
@ROBERTMGOGOSI7 ай бұрын
Hii nchi aiseee
@eliahmashala51807 ай бұрын
Aseee kitambo sana yaan
@ashritaabdallah64744 жыл бұрын
Safi sana kukimbuka tuliokotoka
@nasrahassan73462 жыл бұрын
nampenda sana mzee huyu alikuwa mwamba sana mwlm nyerere
@ndinzeissa47787 ай бұрын
10:25 maoni hii ifundishwe mashuleni ili vizazi viji funze kwa imaleta fundisho kubwa sana kuwa mwasiasa mzalendo ana lelewa vipi
@ndinzeissa47787 ай бұрын
Imenikumbusha mbali sana ndio nimemali dalasa la saba 6:18
@MWAMALUMBILI4 жыл бұрын
Vya KALE NI DHAHABU
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Kumbe hawakuanza Leo kutoonekana majimboni!!!
@simbamtoto75302 жыл бұрын
Hahahahaha kitambo ndio tabiayao
@jamaa27604 жыл бұрын
TBC mmenifurahisha sana tena Sana Kwa kutazama hii Picha mwendo,, Nashauri muanzishe Kipindi Maalumu kabisa na Mahususi cha "Siasa ya Tanzania" Itatukumbusha mengi kutufanya wamoja na kujua tuliko toka hasa kwa vijana wa kileo.
@jimj82852 жыл бұрын
Huyo Nyerere aliharibu kila kituuuu! Akatomba nchi na kuleta umadikini! Wakoloni walifanya kila kitu kizuri,akaja yeye akafira kila kitu akidhani anajua saana Kumbe mzoga hawezi hata kutawala Choo cha kulipia,mzoga ukamshinda! Ajamtupia mwinyi masikini ya Mungu!!! Daah mwinyi alitupiwa tambara la mwanamke yupo mwezini limeoza linanuka mfyuuuu!!!
@alhaddajmohammed47682 жыл бұрын
Ila zitolewe Historia za kweli mwanzo mwisho tangia kupatikana kwa Uhuru, waasisi waloanzisha mchakato wa Uhuru na sababu ya kudai Uhuru hadi kufikia kukamilika kwa kukabidhiwa Uhuru. Baadhi ya kizazi kipya/kizazi cha sasa hawaelewi uzuri historia ya kupatikana kwa Uhuru wa Tz Bara/Tanganyika na kupatikana kwa Uhuru wa Tz Zanzibar/Tz Visiwani. Bali imekuwa mazowea/destuli kusikia akitajwa na kusifiwa zaidi mmoja tu miongoni mwa Walioshiriki kupigania Uhuru wa Tz Bara/Tanganyika husikika kibwagizo cha Wimbo maalum/maarufu "KAMASIO......UHURU UNGETOKA WAPII......?! Inamaana alikuwa peke yake ktk kupigania/kuleta Uhuru, mbona majina ya wadhiriki wengine walopigania Uhuru hawatajitajwi ?! Inamaana yeye ndo alokuwa muasisi wa pekee/Mkuu aloleta Uhuru?! Itolewe historia ya kamili bila kukatakata ili Vijana/kizazi kipya na WaTz kwa ujumla wajifunze na kuelewa historia ya Uhuru kiundani. Kumtaja/kumsifu mmoja tu miongoni mwa walopambana kuleta Uhuru wakti wapo wengi hapo inakuwa si haki ni kuharibu na kupotosha ukweli wa histoeia na kuwavunja nguvu wengine/familia/jamii ya Wazazi waloshiriki kuleta Uhuru ! Kauli ya DHAMBI US UBAGUZI NI.MBAYA.....basi kauli hii ienziwe kivitendo. Kutowataja na washiriki wengine waloshiriki/waasisi wa mchakato wa kupigani Uhuru na kutuletea Uhuru kutowatsjataja/kutowasifu kwa nyimbo/vibwagizo ktk Vyombo vya habari , ktk Makongamano/Mijadala, Vitabuni nk huo ni Ubaguzi hivyo tuepuke dhambi ya ubaguzi na madhara ya ubaguzi. Hata picha ya kuchanganya Udongo wa Tz Bara/Tanganyika na Tz Visiwami/ZNZ picha inaashiria Ubaguzi/ulimi ! Iweje Vibuyu cha udongo anaonekana amevishika mtu mmoja tu wakti ile ilikuwa ni ishara ya Muungano?! Ilipasa wa Bara/Tanganyika ashike kibuyu cha ZNZ na wa ZNZ/Visiwani angeshika cha Bara/Tanganyika. Kitendo cha vibuyu vyote vya udongo kushikwa na kuchanganywa na Kiongozi mmoja tu ni ishara na dalili za ubaguzi wa hadharani !
@mohamedmsemo941 Жыл бұрын
Msuya alikua jimbo la Mwanga na sio Same
@abdalahgunda1319Ай бұрын
Sasahivi swala la kusema kidumu fikra za mwenyekiti tuu sio watanzania badala yake sasa tunalazimishana kwa bunduki ni hatari sana ktk taifa
@godcompeter98442 жыл бұрын
Izo Mando nimezikubali
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Kumbe mlikuwa mnasema wenyewe kuwa kidumu chama cha mapinduzi, sasa kinadumu, mnalalamika!!
@MassaweSelestine-pd8mu7 ай бұрын
Mama was kambo
@godcompeter98442 жыл бұрын
Nimeona Toyo apo
@micamathew25952 жыл бұрын
Histori kwakweli inanifurahisha kwa kiasi kikubwa sana, afu watu wa zamani ni kama ni wachangamfu sana hahahahaaaa hakika nawapenda sana!!! Nyerere bana mpaka leo hii naweza nikasema, ni mwanadamu wa pekee pamoja na mtoto wake huyu aliyefariki juzi anayeitwa Magufuli. Hawa watu kweli walikuwa viongozi wa mfano hapa duniani. Mungu awarehemu hawa watu. Amen.
@abdulsalum81382 жыл бұрын
Pumbav sasa ww magufur alikuwa mpuuzi kama wapuuz wengne
@micamathew25952 жыл бұрын
@@abdulsalum8138 kumbe!!! Kwahiyo ww unaakili kumzidi Magufuli?? PhD, aise unayo??? Ww hata buku hujui kuhesabu ndugu!!! Pole.
@alhaddajmohammed47682 жыл бұрын
Kila Kiongozi alokuwa/alopita Madarakani alikuwa na mazuri yake na mema yake. Enzi hizo ajira Jeshini kigezo/sifa Urefu (watu warefu) ambao kiasilia walikuwa wakitoka/wakipatikana kwao na jirani na kwake. Je, huo haukuwa Ubaguzi?! Afu anatwambia/alitwambia DHAMBI YA UBAGUZI NI MBAYA SANA NA NI YA KUIGOPA SANA, mmmh...! Mbona kauli/msemo havikuendana/haviendani na vitendo?! Zimezungumzwa/zinazungumzwa (zinajadiliwa) kero za Muungano na miongoni mwa kero hizo nashawishika kuziita ni UBAGUZI, He hazikujulikana/hazijulikani kwamba ni Ubaguzi?!! Nakubali kweli mwrema kwako m'baya kwa mwenzako. Like Kiongozi (binAdam) anayo mazuri/mema na maovu/mabaya yake. Leo mama anaonekana m'baya kwa baadhi ya watu na kumsifu sana Magufuli mmmh...! Kunabaadhi ya watu miongoni keep ni baadhi ya Viongozi wa Dini eti wanamlaumu kwanini anavaa Hijjab waktk Hijjab ni Vazi la sitara, eti kuvaa Hijjab ni kuutangaza Uislam (hata kama) kwani kunubaya gani kutangaza/kuonyesha imaan/Dini yako?! Mbona kunawanaovaa Misalaba na Sare (Uniform) za Uchungaji, Padre, Sister na ilhali ni Watumishi wa Serikali na Idara na Taasisi za Serikali?! Je, hilo si kosa ila kwa Muislamu ni makosa na ni haram !
@issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын
Agenda ya njaa inaendelea kulitafuna taifa halijapatiwa majibu
@haridsaid62869 ай бұрын
Kumbe hio nyimbo ya chama chetu cha mapinduzi ni ya kitambo
@herimohamed2762 жыл бұрын
kumbe jesh nalo ni ccm
@alimohd84272 жыл бұрын
WiFi wa kua hao,wa nakua mmoja mmoja
@King_Of_Everything8 ай бұрын
👊✌️👊.
@jailaniramadhan17887 ай бұрын
rip mwinyi
@alimohd84272 жыл бұрын
Hao walosema kidumu chama cha mapinduzi ndo we nye dhiki na njaa
@nasrahassan73462 жыл бұрын
wimbo naukumbuka huu hapchama chetu chamapinduz cha njenga nchi nakumbuka nikiw darasa 3 mkapa na mrema 95 kapeni
@edwardgafachu89327 ай бұрын
Watu walikuwa wakiimba kidumu chama cha mapinduzi, sasa kimedumu wanalalamika mbona hakiondoki madarakani, watz hatujaelewa tunachokitaka😂
@Hillary_Daudi_Mrema4 жыл бұрын
Baba wa Afrika, CCM oyee
@hamisalfan91502 жыл бұрын
wengine ata atujadhaliwa
@alhaddajmohammed47682 жыл бұрын
Itolewe historia ya kweli na haki mwanzo mwisho vitabuni na kwenye Media ili muelewe. Vinginevyo itakuwa ni DHAMBI YA UBAGUZI na dhambi/laana ya ubaguzi ni mbaya sana.
@lichilasalumu79832 жыл бұрын
Mkapa Alikuwa mbabe kitambo tu kumbe
@alhaddajmohammed47682 жыл бұрын
DUNIA ni mapito tu
@adamdaudi6191 Жыл бұрын
Dude
@ramahzedon66884 жыл бұрын
Hii kipindi itengewe muda pekee yake
@jssaa47334 жыл бұрын
mbn kafupi
@jimj82852 жыл бұрын
Ni mboro ndo maana kafupi! Mboo ya hanisi huwa fupi!!!
@mwasomola90262 жыл бұрын
Inanikumbusha enzi za Chipukizi wa CCM tukiwa shule ya msingi kabla ya mfumo wa vyama vingi, huo wimbo ulikuwa ni zaidi ya wimbo wa taifa!
@musa-v3f9 ай бұрын
kulikuwa na uchaguzi miaka hii kweli ?? kura ya ndio au hapana ?? it was shame elections