Dalili Za Mtu Anaekuacha - Joel Nanauka

  Рет қаралды 116,581

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 334
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Mimi muda huu nafanyiwa yote hayo Asante Sana kunifungua macho,💯
@MajidAli-kv5yl
@MajidAli-kv5yl Жыл бұрын
Pole sana kijana
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
@@MajidAli-kv5yl Asante ndg Majid,
@happymathew7414
@happymathew7414 3 жыл бұрын
Nmeshatoka kwenye hii hali japo haikuwa rahisi yote kwa yote namshukuru Mungu pengne kuna jambo ameniepusha nalo
@dabratysamwel2913
@dabratysamwel2913 2 жыл бұрын
Uliwezaje
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 2 жыл бұрын
Nikwel kabisa mylove hta mimi ivyoivyo uenda Mungu ametuepusha na jmbo kwakwel
@issayacoub1724
@issayacoub1724 Жыл бұрын
How you made it easy
@cathymathew6088
@cathymathew6088 2 жыл бұрын
Hili somo limekuja kwaajili yangu kabisa. Asante sana Kaka Joel
@tabithamlaponi3820
@tabithamlaponi3820 3 жыл бұрын
😂😂😂😂hahahaaaa iyeeee unaweza ukajikuta uko kwenye mahusiano ambayo tayari ulishaachwa 4yrs ago
@leahhyera4836
@leahhyera4836 2 жыл бұрын
N kweli brother..siku hizi kuachana hakuna maneno n vtendo tu
@jkifutu7936
@jkifutu7936 2 жыл бұрын
Daah 😭 Ali kuwa kilasiku ananipa kesi na watongoza lafiki zake wakat siyokweli Daah wewe bullaza noma ila now allihamdulilah Nina amani kubwa sana
@emmanuelmakindi4409
@emmanuelmakindi4409 3 жыл бұрын
Kaka Joel, hali hii imefanya nipoteze imani kwa mwenza wangu, nimemfanyia hivyo vyote hapo mwenza wangu na lengo langu likiwa ni hilo lakini baadae nimegundua nakosea na inaniwia vigumu kurudisha imani yake kwangu natamani naomba utoe somo namna gani naweza kurudisha imani tena kwa mwenza wangu, utabarikiwa sana kwa kunisaidia mimi na watu wengine kwa ujumla.
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 2 жыл бұрын
Very true brother..na hizi tabia wanazo sana wanawake hilo liko wazi kabisa dalili za kukuchoka
@tatubadi9010
@tatubadi9010 2 жыл бұрын
Hata wanaume ndugu..
@AishaOman-qz7tn
@AishaOman-qz7tn Жыл бұрын
Yani dalili zote zipo kwangu ila cha ajabu kabla yeye ajaniacha mim nisha mtoa moyon kwaiyo siumii sana na nipo buys na mambo yangu Asante kwa somo zur
@firdosoman3133
@firdosoman3133 3 жыл бұрын
Tunao humu humu hata hawako mbali,,,ila tunabidi tuwe waungwana tukioneshwa dalili hizo tukimbie namapema,,mana waswahili wanasema dalili ya mvua nimawingu na akufukuzae hakwambii toka utaona mambo tu yamebadilika,,tuko pamoja kaka jeol 👍
@barakaephraimu7503
@barakaephraimu7503 Жыл бұрын
Kaka Joel haya mambo yote nayapitia Asante kwa kunifungua kiakili sasa nafanya better decision nitoke kwenye huu utumwa
@giftmunisi-tk8kv
@giftmunisi-tk8kv Жыл бұрын
Kaka upo vizuri sana kaka tena sana je kwamimi ipo ivi je unanishaurije kaka nichukue hatua gani kaka
@IbrahimShaban-vv8xt
@IbrahimShaban-vv8xt Жыл бұрын
Kaka upo vizuri. Nimekuwa nikisoma vitabu vyako. Mpaka Sasa nimesoma vitabu vyako 8. Ila Kuna baadhi ya vitabu vyako vipo shallow, yaani nahic umeniibia Hela yangu.
@suleimanabdallah9823
@suleimanabdallah9823 2 жыл бұрын
Dah yani hio ishu ni uhakika yni wengi wetu imetukuta
@lilianwanjara4550
@lilianwanjara4550 2 жыл бұрын
😭😭😭zote nimekutana nazo mungu akubariki Sana
@shijandelema3080
@shijandelema3080 2 жыл бұрын
kk upo vzr zaidi ya Sana, kw xx ndoa nyingi Joel ni kaa la Moto.
@linahjoseph6457
@linahjoseph6457 11 ай бұрын
Dah yan we kaka umenigusa sana kila kitu ni leve hakika ww ni jiniathi umeingia kwenye uvungu wa ubongo wa watu ww
@esthermichael6856
@esthermichael6856 Жыл бұрын
Hakika umenifumbua macho kaka. Nashukuru sana na Mungu akubariki. 🙏🙏
@levinaernest4364
@levinaernest4364 2 жыл бұрын
Wengi hawataki kupatana hasa wanaume , asante kwa somo endelea kutuelimisha zaidi
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 жыл бұрын
kila kitu ni kweli hasa anapogundua kua unampenda!
@wilifridaminja63
@wilifridaminja63 2 жыл бұрын
Mungu akiweke kaka Kwa kweli daaah moyo unaniuma sana aiseee daah roho inauma sana aisee iyu mtu ananifanyia ivi aiseee roho inaniuma sanaaa sanaaaa
@francesgalinoma7113
@francesgalinoma7113 Жыл бұрын
Dalili ya kwanza na hiyo yapili zipo sawa kabisa umetisha sana broh
@judithkibwembwele901
@judithkibwembwele901 2 жыл бұрын
Ya kwel kaka umenifungua akili kbs yananikuta saiz
@halimaanab8393
@halimaanab8393 2 жыл бұрын
Asanti Sana kaka haya nimeyapitia nimepata funzo shukran Sana
@tantinebuloze2644
@tantinebuloze2644 2 жыл бұрын
Jamani maneno haya yamenigusa yote yako hapanyumbani kwangu utafikiri umeshaga wahi kutuuzuriya ubarikiwe sana
@AliMohamed-wp1op
@AliMohamed-wp1op 3 жыл бұрын
Kweli Akufuzae hakwambii toka, ukiona dalili ni bora udistance mwenyewe, BETTER ALONE THAN BEING WITH A WRONG COMPANY
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
Nikweli kbs hata mm yamenikuta hayo nkaona isiwe tabu maana mtu mnaishi pamoja lkn hataki kuongea nawewe muweke mambo sawa anaenda anakojua in then anakutumia ujumbe wakuuma moyo nilichoamua siku moja ni kaondoka bila hata kujibu jumbe zake wala kumuaga kwa sasa niko naamani zote situkanwi sipigwi kma alivyokua ananinyanyasa ila sitamsamehe
@AliMohamed-wp1op
@AliMohamed-wp1op 2 жыл бұрын
@@aminakipande5645 you made agood decision sister
@SDonmc260code
@SDonmc260code 4 ай бұрын
Ni kweli ilishanito mara nyingi tu👍
@elizabethjoshua8869
@elizabethjoshua8869 Жыл бұрын
Nashukuru kunimlikia njia nilikuwa gizan sasa nimepata mwanga!
@elizabethjoshua8869
@elizabethjoshua8869 Жыл бұрын
Ndo niko kwenye wakati huu kwenye ofsi yangu
@libeafyapoint9815
@libeafyapoint9815 2 жыл бұрын
Yan hizo zote ulizozitaja hapo nilizifanya nilipotaka kuachana na mpenzi wangu Ila no kwa sababu sikutaka aumie Sana kwa kumwambia direct kuwa tuachane
@afrapallangyo9015
@afrapallangyo9015 3 жыл бұрын
Duu kaka Joel uko vizuri. Hiyo ni kweli kabisa Mungu azidi kukuinua ili uzidi kutupa mafunzo zaidi na zaidi.
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 2 жыл бұрын
Nanauka nimekuelewa
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Жыл бұрын
Mhuuu kwa kweli mungu asimame ukweli mtupu
@Auntybetty_tz
@Auntybetty_tz 3 жыл бұрын
Kaka Joel kwa mada hii, wewe ni jinias wa saikoloji, Kaka umepiga hodi ikulu ya marekani. Barikiwa
@jackmossile8076
@jackmossile8076 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@nasrasuleiman9759
@nasrasuleiman9759 3 жыл бұрын
Brother Joel MUNGU AKUTUNZE. Unanijenga mno mno mno yaani. Mie ni mmoja wao. Sasa nimeamua kuwa na yesu tu Mtumishi.
@joyceassey2347
@joyceassey2347 2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@prosmutonyi6038
@prosmutonyi6038 2 жыл бұрын
Walai dugu yangu, Yani nikama uliaona Yale nilioyapitia. God bless you.
@mamajdukani6472
@mamajdukani6472 2 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka nimekubali maana yote ulosema yapo
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 2 жыл бұрын
ni kweli tumeshapitia hayo yote nimefanyiwa na nimefanya😂😂👍sasa nipo free kwanza naangalia maisha napiga hela tu ndo furaha yang
@tatubadi9010
@tatubadi9010 2 жыл бұрын
Mmi ndo nilivoachwa hiv.. End of the day nikamwambia kilamtu aaangalie maisha Yake.. Na hutakujakuiona simu yangu kwako..
@ElizabethJoachim-b1c
@ElizabethJoachim-b1c Ай бұрын
Nakushukuru Kwa hili nimepata kitu Cha kunisaidia
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 3 жыл бұрын
Kabisa aise kuna mkaka ana nifanyia ivyo all in all asante Mungu kwa yote Mungu wangu ndiye mwenye kisasi
@salumshakur4678
@salumshakur4678 20 минут бұрын
Ndio hata mm nimeshakutananazo na pia naendelea nazo
@wittymasaidiva8517
@wittymasaidiva8517 3 жыл бұрын
Yaan hizi tabia zote mume wng alikuwa anaonyesha nikamwambia kafie mbeleeee
@amourtotale709
@amourtotale709 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣good job 👸 queen
@huldamichael4445
@huldamichael4445 2 жыл бұрын
Hahahahaaaa Witness bhana! Eti kafie mbele hahahaaaaa
@shemubinnuhu9991
@shemubinnuhu9991 2 жыл бұрын
Hayo yote nimefanyiwa #Thankyougenius #unajuaasantefundi
@aidanzowa5103
@aidanzowa5103 3 жыл бұрын
Wewe ni noma kaka..mlemleeee yaani umepita
@jkifutu7936
@jkifutu7936 2 жыл бұрын
Ebwanae yamenikuta hayo mie na mzazi mwezangu hivo hivo unavoongea yamenitokea yote nikawaka namie nikawa nangojea matokeo tu daah wewe bullaza noma sana
@berthelgeorge1137
@berthelgeorge1137 2 жыл бұрын
Nikwer kabisa umenifungua kwahilo
@salmakadede1877
@salmakadede1877 2 жыл бұрын
Nimeyaona mambo kama haya
@wilifridaminja63
@wilifridaminja63 2 жыл бұрын
Daaaaaaaaaah kweli kabisaaaa daaah inauma sana
@donarddonard5263
@donarddonard5263 2 жыл бұрын
Daaaah nmefanya hii watatu
@annakisiga889
@annakisiga889 2 жыл бұрын
Hayo yote uyasemayo yote niyaukweli kabisa yamenitokea kwangu kqbisaaa duhu umejuaje
@khadijaramadhani3523
@khadijaramadhani3523 2 жыл бұрын
Kumbee ndiyo hivyo bc leo hii nasemaa bc tenaa ili nibaki na amani ya moyo wangu
@angelamartine4432
@angelamartine4432 2 жыл бұрын
nmeachwa bila kujua
@paulinastephano236
@paulinastephano236 3 жыл бұрын
Dah!! Nimepigwa nakitu kizito kabisa apa yaan😔😔😔 Mungu nisaidie
@danielnjowoka9412
@danielnjowoka9412 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@paulinastephano236
@paulinastephano236 3 жыл бұрын
@@danielnjowoka9412 Nihuzun kwakweli mahusiano yasasa ivi Yana makorokoro yaan mpaka unaweza ukajiona upo kuzimni yaan.
@danielnjowoka9412
@danielnjowoka9412 3 жыл бұрын
@@paulinastephano236 Pole sana dada njooo WhatsApp
@eddyjuniortz2234
@eddyjuniortz2234 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣poleee
@dorisedom7358
@dorisedom7358 3 жыл бұрын
Asante sana kaka. Japo naomba uje na mada ya nini nifanye baada ya kuona hizo dalili kwa mwenzi wangu ukizingatia mimi bado nampenda.
@hamisimohamedhamisi3241
@hamisimohamedhamisi3241 2 жыл бұрын
Ndonipo nazo izo dalili
@fridalaswai1000
@fridalaswai1000 2 жыл бұрын
Tuendelee kutesekaa ad tutakapoamuaa kuachaa
@angelakitimu272
@angelakitimu272 2 жыл бұрын
Kuna cku moyo wako utamtema unakuwa gaidi kuliko yy mpe jibu la kimya tu usiongee,usitafute suluhu,usilie akiondoka ndo ulie,kuwa bize sema na moyo wako nenda hata porini kalie aikuone ila itachukua muda kumtoa moyoni
@sharonerick7729
@sharonerick7729 2 жыл бұрын
Doris
@sharonerick7729
@sharonerick7729 2 жыл бұрын
Doris kama utapata sms yang naomba unijibu
@teychriss3248
@teychriss3248 2 жыл бұрын
Makubwa! Dalili moja tu inatosha kumpa space!!
@baranimkara3907
@baranimkara3907 2 жыл бұрын
ndio ovyo ninavyo fanyia sai but me nimeshutaka mapema sana nime shajitoa
@rashidamikono1004
@rashidamikono1004 2 жыл бұрын
Kaka misisemi sana mana wanaume jamani baazi yao sio wakweli
@erickgeorge2907
@erickgeorge2907 2 жыл бұрын
Kweli weeeee umenenaaaa yamenikuta hayo hapokei cm hajibu sms pia hataki suluh mkosaji yeye nimebwaga manyanga
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 nicheke kwanza but 🙏🙏🙏
@lizzybryxon8532
@lizzybryxon8532 2 жыл бұрын
Kwel kabisa Kaka mm mwenyewe nilichelewa kulijua hil
@mikeroh489
@mikeroh489 2 жыл бұрын
Dalili zote ni hai kabisa
@jackmossile8076
@jackmossile8076 3 жыл бұрын
Duh nimefunguka!!! Kumbe ndio Nia yake
@prisilatarimo7454
@prisilatarimo7454 Жыл бұрын
Kka joeli hii hali mmi hadi ssa inanikuta na inanitesa sana kwakwel ,.umenifungua akili yang sana kama hyo ya mwisho mwenzangu hataki hata kusikia .nabaki tu naumia
@teddylameck21
@teddylameck21 2 жыл бұрын
Duh yaani unaakili aisee
@nkambamadata603
@nkambamadata603 Жыл бұрын
Huko sahihi mtumishi
@kundiseleman6670
@kundiseleman6670 2 жыл бұрын
Yaani nimecheka Sana
@AbiraiLunje
@AbiraiLunje 3 ай бұрын
Ndy naanza kuziona sasa
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 2 жыл бұрын
Shule nzuri sana mtumishi
@ماريعامله
@ماريعامله 2 жыл бұрын
Nimepigwa na kitu kizito kichwani imenikuta hii ila akuachae anakusukuma mbele nimejifunza kupitia hii video asante sana
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 2 жыл бұрын
Exactly yani nakukwambia manno yakukuumiza moyo hata ukijishusha kwake n bure
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 2 жыл бұрын
Yaani Asante nimeelewa Sasa kumbe nimeachwa mie 😄😄😄😄
@maryamhamis7762
@maryamhamis7762 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri wako mzuri
@wenimsigwa9366
@wenimsigwa9366 3 жыл бұрын
Ni sahihi, generally anakuwa mtu asiye na ushirikiano mzuri
@asiajuma5784
@asiajuma5784 2 жыл бұрын
Yani km umeingia Akili mwangu kabisaa Kuna watu unafanya hayo yote Ila anajitoa ufahamu
@salehali4saleh19
@salehali4saleh19 3 жыл бұрын
Kiiiiiiiru,kamwene,yaani umegonga ndipo kabisa
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother
@fatmasaid4806
@fatmasaid4806 5 ай бұрын
Me nshakutana nayo na naendelea kuyaona
@frankbenandi8764
@frankbenandi8764 2 жыл бұрын
kiukweri mambo Kam matatu mwezangu ndo anayo najipa moyo kwakumpa mda naisi atabadilika
@shamsaog2998
@shamsaog2998 2 жыл бұрын
Yote hayo yalishanitokea ila nikanga'angania labda atabadilika kumbe ndo najipalia makaa nikaja kubwagwa😭😭😭 ctasahau
@pendojoram6039
@pendojoram6039 4 ай бұрын
Yan nmejifunza kutokunga'ng'ania mtu coz ymenikuta lkn kwangu haina mbya kikubwa nna uwezo wa kujimudu tu kwa kila ktu
@najayohana2111
@najayohana2111 2 жыл бұрын
Mbona Kama umesema na mm Asante sana
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 2 жыл бұрын
Ananiambia asa kwani c u move on lazima na mm kwa hujiamini
@alonerider7164
@alonerider7164 Жыл бұрын
Yaani mapenzi jinsi yalivyo tu ni changamoto balaa.Muda mwingine vitokee vitu kama ivo ili viendelee kukukomaza.
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 Жыл бұрын
Mimi nishawahi kutana na hizo dalill mara kadhaa lakn nimegundua baadh yao ka ulivosema lakn mwingine sio kusudi lake hiyotabia n kama imejijenga ndan mwake anashndwa jirekebisha au tuseme ni kama kapandikiziwa shetan hivi lakn ili afeli maisha yake sasa huyu wa pili anahitaj apate mtu atayewza kumvumilia wanawza ishi
@aksaphilipo6593
@aksaphilipo6593 2 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa kaka
@mercyrusy6584
@mercyrusy6584 Жыл бұрын
Kweli kabisaa Sai.. Sai napitia iyo tatozo
@kitengealmas4085
@kitengealmas4085 Жыл бұрын
Dalili zote naonyeshwa
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 3 жыл бұрын
Mimi nimeachwa hivi karibuni,, dalili zote zimetokea..
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 3 жыл бұрын
Utapata mwingine
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 3 жыл бұрын
Nime kutana nazo aisee
@hosianasaitoti3823
@hosianasaitoti3823 11 ай бұрын
M tayarii
@salumnamjupa-sy6cm
@salumnamjupa-sy6cm 7 ай бұрын
God bless you
@naomimarco5951
@naomimarco5951 2 жыл бұрын
Mungu alibariki
@protusreonard2231
@protusreonard2231 2 жыл бұрын
Mimi kwangu zipo
@PhillipoHaule
@PhillipoHaule Жыл бұрын
Nimeziona hizi dalili
@meryfrank5272
@meryfrank5272 3 жыл бұрын
Ni kwel kbs
@AnnaDotto-xb8lw
@AnnaDotto-xb8lw 11 ай бұрын
Hiyo ni kweli kabisa
@AsiaUtamu-lm9pq
@AsiaUtamu-lm9pq Жыл бұрын
Kweli kabisa tunakutana nayo hayo kaka😭😭
@winfridayohana9081
@winfridayohana9081 2 жыл бұрын
Asante Sana umenikubusha bari
@marydzidzi8448
@marydzidzi8448 9 ай бұрын
Ni kweli kabisa kaka
@muhitiraamissy7198
@muhitiraamissy7198 3 жыл бұрын
Iyoo nikwelii nakubalii
@drvidah7030
@drvidah7030 2 жыл бұрын
Hili somo linanihusukabia
@doublesofficial5585
@doublesofficial5585 3 жыл бұрын
Hahah kaka nakukubali sana upo ktk mstari
@lilianwanjara4550
@lilianwanjara4550 2 жыл бұрын
Sijui nilikuwaga wapi kukujua uwiii 😭😭
@carloslevina1610
@carloslevina1610 2 жыл бұрын
Kabisa..
@joycepastory2945
@joycepastory2945 2 жыл бұрын
Habari yako Kaka
DALILI HATARISHI KWENYE UPENDO - JOEL NANAUKA
8:33
Joel Nanauka
Рет қаралды 139 М.
LIFE WISDOM : BAADA YA KUKOSEA - JOEL NANAUKA
13:01
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
I tricked MrBeast into giving me his channel
00:58
Jesser
Рет қаралды 24 МЛН
Friends make memories together part 2  | Trà Đặng #short #bestfriend #bff #tiktok
00:18
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 64 МЛН
Wajue Maadui 4 Kwenye Maisha Yako
7:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 144 М.
Dr. Chris Mauki: Dalili 3 kwamba anakufaa kwa ndoa
6:31
Chris Mauki
Рет қаралды 60 М.
LIFE WISDOM : DALILI ZINAZOONESHA UKO KWENYE UTUMWA - JOEL NANAUKA
14:11
UNAMPENDA LAKINI YEYE HAKUPENDI - JOEL NANAUKA
9:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 220 М.
Elimu ya fedha ambayo hautoipata darasani.
54:16
Michongo podcast
Рет қаралды 8 М.
Joel Nanauka - Vitu Vinavyozuia Watu Wasifikie Malengo Yao
35:09
Aina 9 Za Wanawake Watata
13:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 106 М.
Vitu Vinavyowakera  Wanawake - Joel Nanauka
8:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 186 М.
MAMBO 4 YANAYOSHIKILIA KESHO YAKO - JOEL NANAUKA
7:44
Joel Nanauka
Рет қаралды 6 М.
I tricked MrBeast into giving me his channel
00:58
Jesser
Рет қаралды 24 МЛН