No video

PART 1: TUNDU LISU AMVAA DKT. SLAA/"NI MJINGA"/ALIYENIPIGA RISASI SIO MAGUFULI/ DEREVA WANGU...

  Рет қаралды 425,397

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#tundulissu #dktslaa #magufuli

Пікірлер: 836
@petersulle1937
@petersulle1937 Жыл бұрын
Hapo ndipo unapojua kwamba Mungu asipokubali huwezi kufa hata iweje? Tujifunze Mungu yupo na anatenda miujiza. Pole sana my Presda.
@BongoCryptos
@BongoCryptos Жыл бұрын
Magufuli alikuwa rais bora sana.
@alfredcharles8029
@alfredcharles8029 Жыл бұрын
Mbwa sana na ukazikwe nae kaburi moja
@BongoCryptos
@BongoCryptos Жыл бұрын
@@alfredcharles8029 Huo ndo ukweli, Yule alikuwa Rais kwelikweli.
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 Жыл бұрын
Magufuri oyeee eeeeeeee daima tutakuhenzi pumzika , pumzika, pumzika.Alleluiya
@alfredmarti3131
@alfredmarti3131 Жыл бұрын
Pamoja na mauaji?
@sofiamsuya2254
@sofiamsuya2254 Жыл бұрын
Wazuri hawafi.... nimenukuu tu
@nestor384
@nestor384 Жыл бұрын
Mhe. Dr. HE.Magufuli Rais bora wa muda wote. RIP Champion Pole bwana Tundu Antipas Lissu
@minicooper9642
@minicooper9642 Жыл бұрын
Sababu uliaminishwa yupo na wanyonge sio? Kipi kakifanya cha kumfanya awe Rais bora? Haya pesa zimekamatwa China nani alipeleka?
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 Жыл бұрын
Ubora upi huo wa jpm
@nestor384
@nestor384 Жыл бұрын
@@minicooper9642 amini unachoaminishwa pia.. maana inahitaji zaidi ya muhula kukuelekeza ubora wa hayati Dr Magufuli John. watoto upeo mdogo sana!..
@nestor384
@nestor384 Жыл бұрын
@@youngsachafurniture5482 amini unachoaminishwa pia.. maana inahitaji zaidi ya muhula kukuelekeza ubora wa hayati Dr Magufuli John.
@minicooper9642
@minicooper9642 Жыл бұрын
@@nestor384 ndio uache kucomment upumbavu wako, kubwa zima hovyo, we unajua familia ngapi zinalia mpaka leo sababu ya mpumbavu mmoja kama huyo, alafu unafungua kundu lako eti Rais bora, sababu upo zako vijijini huko unasikiliza Radio alijisifia ujinga wake sio
@enockheche5917
@enockheche5917 Жыл бұрын
Huyu ni mwandishi bora kwa interview ambazo nimewahi kuona… he is calm and very smart
@TamuzaKale
@TamuzaKale Жыл бұрын
Anatoa fursa kwa muhojiwa wake!
@georgembise7234
@georgembise7234 Жыл бұрын
WAPINZANI NA TUNDU LISSU NAWAMBIENI UKWELI SIO raisi ata kidogo mkafika popote KTK UCHAGUZI kwa kumponda maguful,MAGUFUL anawatu wengi SANA SANA SANA tupo tar kuibwaga ccm na mafisadi wakikwete iwapo mtabeba sera za maguful na kuacha kumponda!!bila hilo ni zero!!
@eliajimmy95
@eliajimmy95 Жыл бұрын
Magufuli anawatu wengi wajinga wasiofuatilia mambo na wale walionufaika na udikteta wake lakini waelewa wa mambo hawamsapoti .Sasa subiri mikutano si imeruhusiwa walioshindwa kuelewa kwa sababu ya kuzuiwa kwa mikutano ya upinzani wataelewa vizuri sana.
@joshualeonard1375
@joshualeonard1375 Жыл бұрын
Magufuli alikuwa kiongoz mbaya kuliko viongozi wote waliowahi kutawala tz mikono yake ilijaa damu za watu ,ndugu zetu walipotezwa wengine kuuwawa mchana kweupe kama mawazo geita . Raisi angalau aliyekuwa na utu ni kikwete na sasa hivi mama samia
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband Жыл бұрын
@@joshualeonard1375 una Matatizo makubwa Mnoo hebu Muombe Mungu Akusamehe Kuna kutu hujui
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
@@eliajimmy95 we ni fala tena msengerema
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
@@joshualeonard1375 mbaya ni mama yako aliyezaa taahira akalilea badala ya kuliua likapunguza idadi ya wajinga nchini
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
This is My favorite station for the interviews pole sana mhe lissu
@rasheedkhalifa8482
@rasheedkhalifa8482 Жыл бұрын
The best interview 🔥🔥🔥
@katongomnkolongo135
@katongomnkolongo135 Жыл бұрын
Mungu wetu ni wa neema sanaaa ndiye anayekujua zaidi sisi wengine hatuna uelewa na jambo lolote ndomana kuna wengine wanakutusi lkn ukweli ata mlio wenyewe wa bunduki mtu anakufa kabisa ile sauti tu aisee barikiwa sanaaa
@geraldhaule9145
@geraldhaule9145 Жыл бұрын
Pole sana,wewe ni mtumishi wa Mungu,usiogope kusema kweli.Mungu upendezwa na kweli iliyopo moyoni.Tunakuombea
@thomasialute7828
@thomasialute7828 Жыл бұрын
Hakika mungu alikuwa hai lissu wale wote waliofanya haya Mambo siku watakufa kama mbwa
@husseinchambau3015
@husseinchambau3015 Жыл бұрын
Mtaani uko pole ndugu yangu mshukuru sana mungu pia unahaki ya kuishi na kuna jambo la mungu juu yako mpaka utimize
@muyajuma6278
@muyajuma6278 Жыл бұрын
Namuomba mwenyezi mungu ajaalie hata hiyo risasi iliobaki itoke 😭😭😭😭 nimeli. Inaumiza sana saaana
@expert5898
@expert5898 Жыл бұрын
Pole Muya... Mungu ni mwema atakaa sawa mwamba.
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 Жыл бұрын
Hunishindi mm kila nikimsikiliza Lisu namchukia magu wallah Mungu anisamehe
@shabanadam4476
@shabanadam4476 Жыл бұрын
@@lindambilinyi6253 duhh 🙄
@amosicronery7730
@amosicronery7730 Жыл бұрын
@@lindambilinyi6253 !
@standardtv3494
@standardtv3494 Жыл бұрын
Mungu mlinde huyu jamaa aishi sanaaa haikuwa rahisi hata kupona ulikuwa nae.....Amen
@mkudesimba9518
@mkudesimba9518 Жыл бұрын
Magufuli aliwahi kuwatetea wanyonge ili wasikae lockdown !
@festomnyalu4833
@festomnyalu4833 Жыл бұрын
Sasa lockdown inahusiana nini na mauaji ya kusudio la m2?sikiliza hoja ndipo uchangie mada toa unazi tizama angekuwa babaako gapigwa lisasi badala ya kupambana kihoja ungejisikiaje?
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 Жыл бұрын
Mhe. Lissu,sitachoka kukuambia pole.Mungu akupe maisha marefu usaidie Watanzania.
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Жыл бұрын
Nmh kumbe unasubir msaada ninyi mnafanya afrika isitoboe wewe unawasaidia wengine nini
@revocatusmagezi2235
@revocatusmagezi2235 Жыл бұрын
kajiunga na taasisi za wazungu zinazosaport mashoga za rainbow mimi hapo kanivunja moyo kabisa. kizazi chetu kupo hatarini
@alfredjohn5693
@alfredjohn5693 Жыл бұрын
Hakuna kitu napenda kama kumsikiliza tundu lisu! Asee! Mungu azid kumpigania maisha yake!
@tobiaspaul9203
@tobiaspaul9203 Жыл бұрын
Hachoshi kusikilizwa
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Best interview in the world
@Alimahrooi
@Alimahrooi Жыл бұрын
Pole sana mheshiwa mungu anakupenda kwa kupigania haki,nakuombea maisha marefu inshala.
@mayowangimba9553
@mayowangimba9553 Жыл бұрын
Mungu ni nani? Acheni ujinga wa kufananisha mtu na muumba wa vyote,
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 Жыл бұрын
Magufuri oyeee daima be mbele mwisho marufuku
@gracemsalila7735
@gracemsalila7735 Жыл бұрын
Alifanya vizuri sana ila kupigana malisasi ni mbaya sana
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 Жыл бұрын
Mwandishi uko smart Sana kwakwel
@bakaramourshaaban
@bakaramourshaaban Жыл бұрын
Mshukuru Mungu usiseme kama ungetibiwa hapa pia ungepona kwasababu Mungu ndio Alilitaka ubaki hai
@deborahcharles79
@deborahcharles79 Жыл бұрын
Magufuli ajauwa watu wala akumpiga mtu Rissington ila wapigane wenyewe wamsingizie magu
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 Жыл бұрын
Debora Asante tupo kusema ukweli juu ya Magu wetu
@victorjoseph3076
@victorjoseph3076 Жыл бұрын
Ww unaemtetea magufuli huna akili
@katemachanda7035
@katemachanda7035 Жыл бұрын
@@victorjoseph3076 Magu tunampenda na tutaendelea kumpenda...
@user-do5by8jl6g
@user-do5by8jl6g 7 ай бұрын
Mungu aendelee kukulinda mh tundu lisu waliokupiga mungu atawalipa
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Huyu mwandishi very smart
@simonsadala2386
@simonsadala2386 10 ай бұрын
Daaaaaah pole sanaaa mh ashukuliwe Mungu wetu ambaye yeye ndo aliamua uwe hai
@wilsonmagoha1198
@wilsonmagoha1198 Жыл бұрын
mungu ni mwema kila wakati kaka💪💪💪
@sonsonsam4936
@sonsonsam4936 Жыл бұрын
SIKU UMEPINGWA RISASI UNASAFIRISHWA NILIJIFUNGIA CHUMBANI NA KUKUOMBEA SANA
@hildamhina5305
@hildamhina5305 Жыл бұрын
Asante maombi yako MUNGU ameyasikia
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 Жыл бұрын
HAKIKA ULICHOKIFANYA KILIFANYWA NA WENGI WAPENDA AMANI NA KAZI NZURI ANAYOIFANYA LISU.
@kabulakmusa3131
@kabulakmusa3131 Жыл бұрын
Yan Mimi pia baada ya kuona kupost kuwa kapigw risasi nikamwambia mtu nilikuwa nae kuwa lisu kapigwa lisasi na yupo hai akasema ni maneno tu keshakufa uyo .nikamjibu hawezi kufa na hata kufa Leo Wala ksho tulibishana sNa lakin nikaingia room nikaomba uwez amin .
@nururaymond5
@nururaymond5 Жыл бұрын
Rest in Peace. Mugufuli Apumzike kwa Amani, tutaendelea kumpenda ana Mengi mazuri zaidi ya Mabaya
@jemamhagama4978
@jemamhagama4978 Жыл бұрын
@@kabulakmusa3131 na Mimi siku amepigwa lisasi niliwaambia wenzangu wakaniambia usisemeseme unaweza ukakaa ndani ! Watu walikuwa kimya sana kwa kuogopa kuliongelea swala lake /
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 Жыл бұрын
Pole sana, Lakini samehe Na sahau, pia acha kumzungumzia mwenda zake
@mbwilizastanslaus4777
@mbwilizastanslaus4777 Жыл бұрын
Nimekuwa nikifuatilia mahojiano ya Mhe. Tundu Lissu na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari. Wajina wangu Stanslaus nimekukubali sana kwa maswali yako. Big up sana.
@CyprianBCTanzania
@CyprianBCTanzania Жыл бұрын
Mauti sio mpango wa Mungu, Uhai ndio hasaa Mpango wa Mungu, Mhe. Lissu #Ishi na Mungu yu pamoja nawe.
@linkreuben3108
@linkreuben3108 Жыл бұрын
Tukio la risasi la lisu lina mashaka makubwa, ipo siku ukweli utakuja kuwa wazi. Anayoyaongea hayaendani na tukio lenyewe! Risasi zilipigwa kushoto ameumia kulia??!! KUSHANGILIA KIFO CHA MAGUFULI anatupa wasiwasi mwingi; isitoshe yeye ndiye alikuwa wakwanza kutoa taarifa za kifo cha JPM!!!!!! MUNGU ATAHUKUMU tukiona!
@saidzuberi6097
@saidzuberi6097 Жыл бұрын
Ulikuwepo kipindi anapigwa izo risasi na unajua sababu ya kupigwa upande tofauti?? Na mwisho mungu atahukumu mala ngangi make mwenye kosa mungu kasha muhukumu siku nyiiingi we mwenzetu ulikua dunia ipi??
@linkreuben3108
@linkreuben3108 Жыл бұрын
@@saidzuberi6097 uniambia wewe kama ulikuwepo! Lisu alikaa sit ya abiria mbele, matundu yalisasi yalionekana kwenye mlango upande aliokaa, sayansi gani iltumika hapo?! Ukweli utakuja julikana tu!!
@katemachanda7035
@katemachanda7035 Жыл бұрын
@@saidzuberi6097 Kwa hiyo we ndio Mungu msaidizi kwamba Magufuli kafa kumlipiza kisasi Tundu Lisu??? Hehehe very stupid mind.
@mwasokambingela9312
@mwasokambingela9312 Жыл бұрын
Kaka ur the best👏👏👏👊🙏
@humphreyvidonyi253
@humphreyvidonyi253 Жыл бұрын
My favourite mtangazaji dar 24
@malingazeboss9351
@malingazeboss9351 Жыл бұрын
Mungu wetu aliye hai tunakila sababu ya kusema ahsante,,, ila shughulika na waliomuumiza Tundu Lisu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 Жыл бұрын
Mwanaume gani unamwongelea marehemu?!?! Inaonyesha jinsi bado mfalme wetu anavowanyima usingizi au unahisi atafufuka?! Ama kweli Magu wewe Ni Jembe
@remmyalfred6736
@remmyalfred6736 Жыл бұрын
Kwenda na ukabila kwako kaabudu makaburini huko sasa. Mijitu mingine mikatili haina hata huruma stupid
@petersakilu
@petersakilu Жыл бұрын
🔊🔊🔊🔊🔊🔊📣📣📣📣 lisu is my president ✌✌✌
@emmanuellaston5446
@emmanuellaston5446 Жыл бұрын
Interview nzuri Mungu akupe maisha marefu
@robbiejerrson7437
@robbiejerrson7437 7 ай бұрын
Kwa jinsi unavyosimulia tu Mh. Tundu Lissu ni wazi kuwa uliumizwa sana Mimi mpaka naogopa na kutetemeka. Na kupona kwako na kuwa hai leo na kisimulia haya, kwa kweli ni muujiza na bila shaka Mungu ana kusudi maalumu na wewe. Aliyekutendea haya, ataishi kwa taabu na majuto maisha yao yote. Na bila shaka hata wao watakufa kifo cha ajabu. Auae kwa risasi au upanga, naye atakufa kwa risasi na upanga huohuo!
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Жыл бұрын
Pole sana mungu mkubwa sana pole ndugu
@SaidSaid-ef8md
@SaidSaid-ef8md Жыл бұрын
I love this man, very strong person 💪🏿
@SaidSaid-vu8ks
@SaidSaid-vu8ks 10 ай бұрын
Mimi sìjuì kìzùñgu, imeandikwa nini
@zackrichard3617
@zackrichard3617 Жыл бұрын
Moja kati ya interview bora kabisa
@samweelmagaga4032
@samweelmagaga4032 Жыл бұрын
Mtangazaji Yuko vizuri amenyoooka
@samwelmwanga254
@samwelmwanga254 Жыл бұрын
Aiseee pole sana Tundu Lussu
@prophetjohnmasso186
@prophetjohnmasso186 Жыл бұрын
Daah rafiki yangu,nakumbuka tulimlilia sana Mungu namtukuza sana kwa neema hii
@edoyoseph4606
@edoyoseph4606 Жыл бұрын
Pole sana Mh. Lissu umepitia mateso makubwa sna Mungu akupe moyo WA msamaha
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 Жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu sanaa, Wamekufa wao wewe mzima . Hakika kweli ni miujiza
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 Жыл бұрын
Pole Lisu
@lingsonmwabulanga4764
@lingsonmwabulanga4764 Жыл бұрын
Lisu tunakuelewa sana shida elimu ya uraia
@alfredcharles8029
@alfredcharles8029 Жыл бұрын
Ahsante Dar 24
@godblessluvanda9808
@godblessluvanda9808 Жыл бұрын
MUNGU mwemaa Sanaa,,,miujizaa yake tumeiona🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@bonabonala5559
@bonabonala5559 6 ай бұрын
mungu ni mwema akurinde uhai wako mungu aupiganie ingewezekana uhai wangu nikupe wewe tundu lissu wewe uishi mimi nife lissu ubaki duniani
@user-kc4in6zu4v
@user-kc4in6zu4v 6 ай бұрын
Pole mh .muumba azidikukutetea
@DicksonTumsfuDickson-ly7pg
@DicksonTumsfuDickson-ly7pg Жыл бұрын
Uskate tamaa utapona jipe moyo mungu anakupenda xana naomba nikupe matumain
@kosmasmasese2609
@kosmasmasese2609 Жыл бұрын
Baba angu lisu pole Sana tupo sawa sawa
@mariamganga2178
@mariamganga2178 Жыл бұрын
wanyooshe Tundu
@sautiyawanyonge2511
@sautiyawanyonge2511 Жыл бұрын
Nimemkubali mtangazaji uko vizuri sana
@alexsmongo1106
@alexsmongo1106 Жыл бұрын
Pole sana kamanda wetu mungu akulinde aseeeeeeeeeeee
@PaulPascali-iz6mt
@PaulPascali-iz6mt 9 ай бұрын
Mangu amefanya Kaz ya taifa letu vema kabisa mungu ampumzishe amina
@muungujaunguja8609
@muungujaunguja8609 Жыл бұрын
Pole sana
@revocatusmagezi2235
@revocatusmagezi2235 Жыл бұрын
Lisu waliowengi tunampenda Magufuri sababu alifanya kazi ilioonekana wazi, sio maneno haya ya ukatiri, kuua watu na mabaya yaliyotokea wakati wake hatukuyapenda ila yalikuwepo tangu zamani na pengine na leo yapo japo ktk utawala wake yalikuwa mengi. Hata yeye aliwawekewa sumu afe, so ukiwa mwanasiasa haya kukutokea ni kawaida, maana wengi wanaitaka nafasi yako au hawataki ufungue uma masikio uovu uendelee kuwepo. ila sisi Magufuri kwetu is the best president ever kuliko wote mpaka leo. aliiba sawa, ~alionea sawa ,~aliua sawa,. tunaangalia maendeleo zaidi tunayofaidika nayo hizo hasara na maumivu tunawapa pole, ila kwa kuumia kwao na kwako sisi tumepata maendeleo. pole Lisu ila mimi binafsi siombei upate urais wala cheo chochote maana hayaaurafiki uliyojiunga nayo ya kukubali mapenzi ya jinsia moja mimi siombei wewe ututawale hata kidogo. hii rainbow unayoipenda hii wewe hutufai kwa sasa, na mpo wengi nimeona bob wine wa Uganda na zitto kabwe wetu naye amekuwa rafiki wao nyie sio watu wazuri hta kidogo
@mnasaeules6857
@mnasaeules6857 Жыл бұрын
Wee ni msenge Kuma wewe
@stewartmbeselambesela909
@stewartmbeselambesela909 Жыл бұрын
Alitaka kumuua Lissu akashindwa, walipotaka kumuua yeye wakafanikiwa. Tumwogope Mungu, hamna wa kumuonga. Maendeleo ni mazuri ila haya muongi mtoa uhai ambao ni muhim kuliko maendeleo
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp Жыл бұрын
Duh aisee unaongea pumbu tupu, unaangalia maendeleo kwa aliyeua na kutesa
@antonykomba6631
@antonykomba6631 Жыл бұрын
Comment yako ni Kali Sana na Ina ujumbe mzito Sana kuliko comments zote humu. Ubarikiwe sana
@ahmedhamis
@ahmedhamis Жыл бұрын
Jua ivi , maumivu ktk siasa ikiwemo vifo,utekaji,ufisadi,hata unyanyasaji na mengine mengi sio jambo la kujivunia...maisha ya watu na utu wao ni Bora zaidi kuliko barabara za kupandiana na ndege.mungu siku Moja atakuonesheni mfano wa utawala bora.sikutukani maana hujui ila naomba ubaya huo utokee kwako .
@RenatusDavidEzekiel
@RenatusDavidEzekiel Жыл бұрын
Pole sana bg
@asingizibwejacobkalokola7351
@asingizibwejacobkalokola7351 10 ай бұрын
Huwezi linganisha Hayati magufuri na Mungu. Hamuwezi kupewa Nchi sababu mnayo jazba , chili na roho za visasi.
@renatussilvesta2061
@renatussilvesta2061 Жыл бұрын
CCM inawatu mashetani san kwakua haikuwakuta wao wanafrai2 nampongeza sana Samia kwamaliziano Mungu akubaliki mam Samia
@shazceo6853
@shazceo6853 Жыл бұрын
Kabla ya Magufuri mbona kulikuwa na mambo ya ajabu jmn , Mpumzisheni shujaa wetu JPM🤲✨💪...
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 Жыл бұрын
Kwahiyo na ss tuanze kuoji Raisi jpm alikufaje yote ni mipango yamungu hakuna atakae hishi milele tunakaria siasa njaa inataka kuwaua wanyonge
@michaeljeremiah5364
@michaeljeremiah5364 Жыл бұрын
Ni mungu tu ajuaye siku na saa yake..🙏🙏
@felistajilala3630
@felistajilala3630 Жыл бұрын
Pole sana mweshimiwa ila MUNGU wetu tupo kazin ninaimani hawana amani leo mpaka sasa
@agustinocharles2650
@agustinocharles2650 Жыл бұрын
Inaumiza lakini Mungu akupe neema ya kusamehe na kusahau.
@diversetv74
@diversetv74 Жыл бұрын
Pole sana ndgu lisu!
@bonabonaza5066
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Pombe iko jehamu anasota lissu upo hai mungu atakuereka pema peponi Amina
@mzeeally3430
@mzeeally3430 Жыл бұрын
KIMSINGI TUNDULISU AKIFANYIWA KITU KIBAYA SANA NI KITENDO CHA KINYAMA SANA SANA KWA UZITO WAKE HUO WA JAMBO HILO SI SAWA NA INAVYOCHUKULIWA........WE NEED TO RETHINK AS A GOVERNMENT OF TANZANIA WITH ITS PEOPLE
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 6 ай бұрын
Mungu ni mwema kabisa nimejifunza mengi sitamtendea mtu ukatili maisha yangu yote
@sashawambura
@sashawambura Жыл бұрын
Endelea kumshukuru Allah Subhanahu wa ta'ala..Mungu aliye hai atakulipia tu..bado tunaumizwa sana tunapo kuona hai...Allah Akbar
@mokiwaunderson7052
@mokiwaunderson7052 Жыл бұрын
Lisu nakupenda sana Mungu ni mwema kwako kuliko wanadama n.a. hii ndio ule usemi Mungu ashindwi na kitu n.a. cha Mungu ndicho sahihi kuliko ya mwanadamu
@thomasmcfadden7181
@thomasmcfadden7181 Жыл бұрын
Pole sana mwamba
@mamylnkuzi8482
@mamylnkuzi8482 Жыл бұрын
BWANA YESU APEWE SIFA SANA.PORE. TUNDU.MUNGU AMEAMUA KUKUPA UHAI TENA ANAMAKUSUDI YAKE CHA MUHIMU.WEW SASA HIVI MTUMIKIE MUNGU TUUU ACHA YOTE UFUATE MSALABA WA YESU....Hakika ndio lengo lake .Ubarikiwe sana.
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 Жыл бұрын
Muujiza unaoishiiii...Pole sana 😢
@Hamy1109
@Hamy1109 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukulinda Mhe. Lissu 🙏
@BONGOKUMENOGATV
@BONGOKUMENOGATV Жыл бұрын
nimemskiliza vizuri mheshimiwa tundu lissu
@zinjibaryetu8451
@zinjibaryetu8451 Жыл бұрын
Lissu ni quality leader and politician ambae Tanzania inafaaa imthamini sana sana... one in a million
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 Жыл бұрын
VIVA VIVA
@yoneryero6862
@yoneryero6862 Жыл бұрын
pole sana lisu mungu ni mwema
@geofreydulle1072
@geofreydulle1072 10 ай бұрын
Hakika kweli mungu yupo.
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 Жыл бұрын
CCM kwa kwel Kuna mashetani, ila mungu ni mkubwa siku zote akuchimbiae shimo atazikwa mwenyewe. In God we trust 🙏🙏💪💪
@hildamhina5305
@hildamhina5305 Жыл бұрын
Kwakweli yukoap sasa yan sijui kaenda na watu wake wasiojulikan
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hakuna chama kisicho na shetani ndugu,siasa mchezo Mchafu hao uwaonao Wazuri subiri wakamate Vyeo ,Usijute,
@mrsab303
@mrsab303 Жыл бұрын
Please Magufuli ready gone l🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
Halafu kuna chizi mmoja aliwaambia watu Tundu lisu ni mtoro bungeni! Leo hii kapotea!
@deborahcharles79
@deborahcharles79 Жыл бұрын
Tanzania muogopeni huyu mtu ni mungo mkubwa
@hamphumichael7194
@hamphumichael7194 Жыл бұрын
Daaa subiri na ww yatakukuta tuta sema hivo hivo try to think 🤔
@charityjoshua6135
@charityjoshua6135 Жыл бұрын
Ongea wewe mkweli
@donboscolunguya2936
@donboscolunguya2936 Жыл бұрын
Safi sana mh. Lissu MUNGU mwema auae kwa upanga atafuka kwa upanga pia. MUNGU bado ana makusudi na wewe
@sukisa1234
@sukisa1234 Жыл бұрын
Sijui kwa nn unapenda kumkashfu marehem..Yule kayafanya yaliyoonekana na ninaamin ww bwana lisu ukipewa nchi Nina uhakika hawezi Fanya kazi nzur kama aliyoyafanya magu zaidi utatuibia Tu..tupo na mama ametuliza nafsi zetu we shukuru upo hai na umerudi tulia nchi isonge mbele
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 Жыл бұрын
Bugana Asante
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 Жыл бұрын
Stop ur nonsense
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 Жыл бұрын
Acha utahira ng'ombe wee
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
@@abuumohamed7090 ng'ombe mamako K ww
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 Жыл бұрын
@@avitusmichael5 Kama SS ni ng'ombe Nina wasi umeishakuwa sho..... Kwa kutetea Usodoma na Gomola
@paulokiwango21
@paulokiwango21 Жыл бұрын
Me too nlkuombea kaka mkubwa
@jumamaneno6029
@jumamaneno6029 Жыл бұрын
Pole
@gastonevarister9142
@gastonevarister9142 Жыл бұрын
Hata akimchafua hayati JPM wengi hatutamsahau JPM kwa makubwa aliyoyafanya huyu atulie aachane na siasa
@alhadajjmohammedsmith9042
@alhadajjmohammedsmith9042 11 ай бұрын
Tulishasema/tunasema sana tatizo lenu Viongozi wa Vyama vya Upinzani ni Wanafiki sana, hamna Umoja wa Kweli, hampendani, hamna Shukran, Wapingaji na wakosowaji hata Mazuri, Wabaguzi, Ukanda na Ukabila na Udini, Vibaraka wa Wazungu. Msipobadilika mtazidi Kuumizana/Kuuwana na mtakuwa Wasindikizaji tu, Kuingia Ikulu itakuwa Ndoto.
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 10 ай бұрын
Lisu pole sana ,alitakalo Mungu halina mpinzani ,ila tupelekeni vyema hatutaki vita Tanzania 🇹🇿mana waathirika nisisi wanyonge , tunajua nyoote niwanafik mkipata nipato lenu siosisi
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 Жыл бұрын
Watanzania wengi hawakuelewi Mr. Tundulisu,lakini naamini ipo siku watakuelewa tu. Upo vizuri sana. MUNGU azidi kukusimamia na kukulinda Insha'Allah.
@magdalenapaulo1776
@magdalenapaulo1776 Жыл бұрын
We Rahma kwel ww ni muislam????huyu jamaa alisapoti ushoga unasema hatumuelew eti yupo vizur
@ernestlaiza1176
@ernestlaiza1176 Жыл бұрын
@@magdalenapaulo1776 lisu hajawahi sapoti ushoga fala weww
@sashahauke2032
@sashahauke2032 Жыл бұрын
Watu Kama hawa wanazaliwa mara chache❤sana nimeshindwa kujizuia mimi mmmmmmmmmmmmmmm?
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 Жыл бұрын
KAKA TUNDU ANTPASI LISU MUNGU ATAKUWEZESHA UTATIMIZA MALENGO YAKO KWA AJILI YA TANZANIA YETU ILI WATOTO WETU WATAISHI KWA KUKUKUMBUKA AMEN 🙏🙏🙏
@katemachanda7035
@katemachanda7035 Жыл бұрын
Malengo yake awe Rais wa TZ lkn hatoweza kuwa Rais wa nchi hii... HATUMKUBALI.
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 Жыл бұрын
Pamoja na maumivu uliyo yapata pole sana sana ila HUFAI KUWA KIONGOZI WA NCHI HII. Tutaendelea kukuombea
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 Жыл бұрын
Kwanini hafai au kwa kua ni chadema?
@eliajimmy95
@eliajimmy95 Жыл бұрын
Kama unaona hafai kaa nalo moyoni mwako usitake kutuaminisha upumbavu wako
@frankjoely3313
@frankjoely3313 Жыл бұрын
Peleka upuuzi huko
@fayeezabdallah2217
@fayeezabdallah2217 Жыл бұрын
Wew hufai kuwa hat kiongz wa familia yak
@ifabeach3281
@ifabeach3281 Жыл бұрын
Nakazia hafai ila awe pole kama binaadamu mwenzangu
@user-px9mm6ri6e
@user-px9mm6ri6e 6 ай бұрын
Good
@all-victorious2156
@all-victorious2156 Жыл бұрын
Aliyoyafanya Raisi Magufuli hata lisemwe neno baya kiasi gani bado ndio raisi wa kipekee hatowahi kutokea mwingine , hata kama alifanya yeye alikuwa anafanya kwa nia njema.
@3drealisticvisual409
@3drealisticvisual409 Жыл бұрын
Sidhani kama inapaswa kuwa na uwoga kwenye mambo ya msingi kama hii
@singidaone5628
@singidaone5628 Жыл бұрын
Lisu4life
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 169 МЛН
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 23 МЛН
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 8 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 169 МЛН