DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI ) LAFIKIA ASILIMIA 96.3, KUKAMILIKA FEBRUARI 2025

  Рет қаралды 10,034

Wizara ya Ujenzi

Wizara ya Ujenzi

Күн бұрын

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema Daraja la JP MAGUFULI (Kigongo-Busisi), linalounganisha mkoa wa Mwanza na Geita, linatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu.
Akikagua Ujenzi wa Daraja hilo leo tarehe 24 Januari 2025 mkoani Mwanza, Waziri Ulega amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zaidi ya shilingi bilion 611 kugharamia daraja hilo hadi sasa.

Пікірлер: 78
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 9 күн бұрын
Magufuli hakika ulikuwa Rais mwenye maono sana juu ya taifa letu la Tanzania 🇹🇿 Yesu Kristo awe nawe baba
@ThekingBuddar
@ThekingBuddar 10 күн бұрын
Jpm oyeee
@ThekingBuddar
@ThekingBuddar 10 күн бұрын
WEWE WACHA UJINGA JPM OYEEE BILA YA YEYE ILO DARAJA LISINGEKUWEPO
@AlbertSabo-hp3ss
@AlbertSabo-hp3ss 10 күн бұрын
Pongezi pia kwa mwanzilishi, aliyesema pesa hipo anzani ujenzi. JPM OYEEEEE.
@saidndungu5863
@saidndungu5863 9 күн бұрын
Apumzike kwa Amani jembe mbeba maono
@ismailmnzava4796
@ismailmnzava4796 9 күн бұрын
Maguful deserve the mention , deserve the most credits ! We all know who deserve better ! May Allah have mercy on him
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 10 күн бұрын
HII NCHI BAADA YA KUFARIKI RAIS MAGUFULI LAU ANGEACHIWA RAIS LEGELEGE NINQ UHAKIKA HII MIRADI MIKUBWA ISINGEKAMILKA. HUYU RAIS ANAAJIRI WAPYA,ANAJENGA MIRADI MINGI MIPYA NA AMEKAMILISHA YOTE ALIYOACHIWA NA RAIS MAGUFULI
@MACHAGGECHACHA
@MACHAGGECHACHA 8 күн бұрын
Acha uongo.!! Bwawa la umeme bado. Umeme bado wa kusuwa suwa tu. Daraja la busisi bado. SGR hata Tabora haijafika licha ya Kigoma na miradi mingine mingi hasa ya barabara. Ufisadi na wizi mtupu pamoja na uvivu.
@Kabwela776
@Kabwela776 10 күн бұрын
Mngemtaja Marehemu Magufuli mbona mna tabia za ovyo sana kwa Nini msimtaje JPM
@mnyetikulwa4510
@mnyetikulwa4510 9 күн бұрын
Sasa umtaje mtu alishafariki, ili iweje
@HansChuma
@HansChuma 9 күн бұрын
Wewe hujui tabia ya wanasiasa 😂😂hua hawana habar kwayule alietoa njia ila hua wanaona wathaman yule aliehai sema ni hv Wajue kua MAGUFULI rohoyake bado ilo kwa wananchi wakitanzania mpaka Dunia itakavyo isha innallilah wanallillah laajinun
@simaiame3468
@simaiame3468 9 күн бұрын
Wewe unataka atajwe JPM kwani yeye hakutajwa wakati wa uhai wake alipongenzwa kwa kila jambo ... kwa sasa Mama nahitaji pongezi JPM ameliwacha Daraja 25% zimekamilika na sasa zimefikia 96.4 % sasa katika 100% toa 25 kisha njoo ukomment utumbo.
@Kabwela776
@Kabwela776 9 күн бұрын
@ mpumbavu wewe kiazi kabisa nchi zote duniani uwa hawasahau pioneers wanaoanzisha mambo inaonekana ni bonge la fala zumbukuku
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 15 сағат бұрын
@@mnyetikulwa4510 NYERERE anatajwa ili iweje? kuna sababu za kutaja kwa kitu husika
@EliasCosmas-l3f
@EliasCosmas-l3f 8 күн бұрын
NAKUPENDA SANA magufuli ❤
@geofreykato3976
@geofreykato3976 10 күн бұрын
Hela zilizojenga hilo daraja zimetokana na kodi za Watanzania. Watanzania ooooyeeeee Bila kumsahau mtoa maono ya ujenzi anayejulikana . meanzilishi huyo ni......
@isackrichard6356
@isackrichard6356 9 күн бұрын
JPM💪
@MartinLaban
@MartinLaban 8 күн бұрын
@@geofreykato3976 wanatuona mabwege ndio maana Kila siku wanakuja na mama mama mama mama mpaka kisikiliza taarifa ni kero , JPM alikuwa anasema Kodi zetu Kodi zetu, Sasa wantuaminisha mama mama mama mama warete na baba Sasa😂😂😂
@EmmaMtusi
@EmmaMtusi 8 күн бұрын
Rip magufuli
@MACHAGGECHACHA
@MACHAGGECHACHA 10 күн бұрын
Uvivu na uongo mtupu.!! Kusifia raisi anayefumbia macho wizi ufisadi na uongo. Hiyo ni kazi ya Magufuli bila yeye watanzania mmngeendelea kuzama majini.
@AllySule-t9g
@AllySule-t9g 8 күн бұрын
Wewe hujui unachokiongea or ulitaka mambo yaserekali yote yawekwe wazi emu acheni maneno maneno mnaongea tu
@GwakisaEzekiel
@GwakisaEzekiel 9 күн бұрын
Magufuli baba lao
@ThekingBuddar
@ThekingBuddar 10 күн бұрын
WEWE UNALOLOTE JPM KATWAMBIA ATA KAMA.AKIFA DARAJA LAZIMA LIISHE KASHALIPA
@MartinLaban
@MartinLaban 9 күн бұрын
😂😂😂😂siasa za kisenge Kila kitu mama Kila kitu mama
@PineTree-n9y
@PineTree-n9y 9 күн бұрын
Wasenge kinoma​@@MartinLaban
@salymabdulshakur4175
@salymabdulshakur4175 9 күн бұрын
Broh hakun kitu km icho Hela ilikua ikitolewa kidog kidogo
@salymabdulshakur4175
@salymabdulshakur4175 9 күн бұрын
​@@MartinLabanttz la watanzania ukwel hamuutaki uo nd ukwel
@FredrickChacha-f5y
@FredrickChacha-f5y 9 күн бұрын
Huyu hajitambui na kofia zake kaa mwiz, kz ya jembe letu kamanda wetu, magufu wetu, baba yetu
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 7 күн бұрын
Magufuli aliacha 25% mama samia kakamilisha
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 күн бұрын
Imekua mwezi watatu tena😢😢 munatuvhosha
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 9 күн бұрын
Unashindwa hata kumtaja mwasisi? Hivi kuna shida gani kumkumbuka John Magufuli na pia kumpongeza mheshimiwa Rais Samia Suluhu? Kuna shida gani?
@CosmasEdward-o5v
@CosmasEdward-o5v 10 күн бұрын
Duuuu, pumzika kwa amani kamanda wetu JPM, watu wanajitoa akili, eti wameshasahau juhudi zako.
@MtotoWamama-y8o
@MtotoWamama-y8o 9 күн бұрын
Awa wote chawa wanataka kuteuliwa wala cyo vingine
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 15 сағат бұрын
HAYO magugu MBONA aibu
@bernardndemba2253
@bernardndemba2253 9 күн бұрын
Kazi tunayo mpaka tuachane na hawa Chawa
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 10 күн бұрын
🇹🇿💕🇹🇿🏆
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 9 күн бұрын
Tanzania 🇹🇿 hooyee 😊 Inapendeza kusema kweli. ❤
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 9 күн бұрын
Naona kimya sana Kenya 🇰🇪! Tupeni taarifa zenu tafadhali. If you can't Beat them, Join them. 😊
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 9 күн бұрын
@@jamalsaid7475 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🏆
@alinanuswebukuku4488
@alinanuswebukuku4488 10 күн бұрын
Mheshimiwa Rais Dr Samia pokea Maua Yako Mama
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 9 күн бұрын
Tanzania 🇹🇿 leads others follow 😊 Wa kenya 🇰🇪 Mpo?
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 9 күн бұрын
Pongezi Rais Mama Dr Samia Suluhu Hassan 😊 Kazi iendelee Tanzania 🇹🇿 ♥️
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 10 күн бұрын
SITALI KUJITOA UFAHAM SAMIA POKEA MAUA YAKO MAMA SAMIA NA WENZAKO KAZ KUBWA SANA
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 күн бұрын
Wakisema mwezihuu watarifungua sasa mulelifungua au munaongeatu
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 8 күн бұрын
Chawa mnatabu sana, Sisi walipq kodi hutupongezi unapongeza aliye kuteua kenge wewe!
@MohammedJaizan-yf5yt
@MohammedJaizan-yf5yt 10 күн бұрын
Mbona hiyo asilimia 96% ilikuwa miezi minne iliyopita? Bora msiwe mlisema asilimia
@egdldm4981
@egdldm4981 9 күн бұрын
Safisheni hayo magugu sasa, hicho ni kiashiria cha kunya ziwani.😢
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 9 күн бұрын
😂😂😂😂😂sikuwahi kujua
@our10picks18
@our10picks18 8 күн бұрын
Wakati mnasema Kenya ni kunyaland Kumbe Tz ndio kunyaland halisi 😂
@rich-lr8tq
@rich-lr8tq 9 күн бұрын
lami haijamwagwa hapo hizo bado 3.7% tu?
@kambamazig02024
@kambamazig02024 9 күн бұрын
Kuna opotoshaji hapa, kwa nini msiseme ukweli kuhusu muasisi wa daraja hili? Hakuna haja ya kumkashifu aliyetangulia mbele ya haki kwa vile yeye hawezi kujitetea! let us be honest and patriotic to our country's efforts and various leaderships, no finger pointing will get us anywhere! Maana ya kazi iendelee ni kumuenzi pia muasisi wa hii miradi, so any pettiness jabs will not get you anywhere! Use facts! That is!
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 күн бұрын
Wallah mbembetu
@penhe1
@penhe1 9 күн бұрын
Likamilike sasa, maana ilikuwa Desemba mwaka Jana. Imekuwa February iwe hivyo, nadhani mnaona kadhia wanayopitia wanaovuka na vivuko ambavyo vinapitia changamoto ya magugu maji ambayo nayo yalitakiwa kuwa yanaondoshwa/kukatwa.
@kiluiWanguvu
@kiluiWanguvu 9 күн бұрын
SAMIA HASSAN SURUHUHISHO YA MATATIZO YA WATANZANIA kiongozi shupavu Rais bora Africa na simwingine zaidi ya SAMIA HASSAN SURUHUHISHO YA MATATIZO YA WATANZANIA bila yeye ndio amepambania daraja hilo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 9 күн бұрын
@@kiluiWanguvukweli kabisa Tanzania 🇹🇿 Inapendeza Rais Samia Suluhu Hassan Pongezi sana
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 9 күн бұрын
@@kiluiWanguvu Wa kenya 🇰🇪 Mpo ? Naona kimya sana 😢
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 9 күн бұрын
Uchawa wa kupitiliza. Basi badilisheni jina liitwe Samia. JPM atabaki kileleni.
@salymabdulshakur4175
@salymabdulshakur4175 9 күн бұрын
Acha usenge kaka si umeambiwa ukweli
@bernardndemba2253
@bernardndemba2253 9 күн бұрын
Sasa huyu maelezo hayo ya nini mbona amekuwa chawa sasa tukiwa na viongozi maongezi yao yote 90 ni kusifia tu hii ni shida kubwa sana .
@mbwizax87
@mbwizax87 9 күн бұрын
Hamna miradi mingiNe? Kila siku mradi huu huu
@FahadAbubakari-y3f
@FahadAbubakari-y3f 9 күн бұрын
Kama umegundua hakuna mradi wowote wa maana baada ya yule mwamba kuondoka
@salymabdulshakur4175
@salymabdulshakur4175 9 күн бұрын
Wkt mwengne unatakiw ufkirie kabla ya kucomment Hilo daraja halijengwi kw matako linajengwa kwa Hela ndevu so uwe na nidhamu
@salymabdulshakur4175
@salymabdulshakur4175 9 күн бұрын
​@@FahadAbubakari-y3fsasa unatak aache miradi ajenge miradi mengne duuh
@Maduhuthegreatest
@Maduhuthegreatest 9 күн бұрын
Ukitaka kuamini hawa wakandarasi ni wapuzi na wajinga wapili so mbali sana likianza kutumika niite mbwa na ludia tena niite mbwa mbwa, uongozi wa mama bado sana jpm agekuwepo sasa daraja ligekuwa linapitika mpk sasa walipo hapo machawa tu wamejaza matumbo yao
@babuukipe6945
@babuukipe6945 10 күн бұрын
Hakuna kama Mama❤ , Kazi iendeleeee
@shinipapaya846
@shinipapaya846 10 күн бұрын
Mkundu wako wenye kinyesi 🤣🤣
@sambulugu9988
@sambulugu9988 9 күн бұрын
Samia ndo mnamuona wa maana sana sio? Jinga kabisa wewe uchawa na ujinga tu
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 9 күн бұрын
Mama Samia Suluhu Hassan Pongezi sana 😊 Tanzania 🇹🇿 leads others follow ❤
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 9 күн бұрын
The Giant of East and Central Africa. Tanzania 🇹🇿
@mohamedkhalfan3553
@mohamedkhalfan3553 9 күн бұрын
Hili Daraja kwa nn lisiitwe Samia yeye ndio amefanya makubwa
@isackrichard6356
@isackrichard6356 9 күн бұрын
Yataje hayo makubwa😂
@ThekingBuddar
@ThekingBuddar 10 күн бұрын
NYINYI CCM TAKATAKA
@ThekingBuddar
@ThekingBuddar 10 күн бұрын
UNALOLOTE KILA KITU KINACHESHA KISHALIPIWA KURA UTAMPA WEWE CHAWA
@furahamwaseba7910
@furahamwaseba7910 9 күн бұрын
Mlisema mwez wa kumi na mbili linaanz kutumika mpaka leo mna sema mwez wa pili bora mkae kimya mpaka cku likiwa tayar
@salymabdulshakur4175
@salymabdulshakur4175 9 күн бұрын
Mipango sio matumizi
@JumaRashid-hz8cp
@JumaRashid-hz8cp 9 күн бұрын
akuna lolote kazi uchawa tu sisi tunamjua mwamba magufuri ndio founder japo mnashindwa ata kutaja jina lake ata kwa unafiki tu
@healingclinic698
@healingclinic698 9 күн бұрын
Mmetuchoss na asimlia zenu kamilisheni miradi wahuni nyie kazi upigaji tu daraja hilo hali kamilik kila siku ni kutoa asilimia imekuwa mtihani au home work
@salymabdulshakur4175
@salymabdulshakur4175 9 күн бұрын
Ww kwnn jajenga mpk saiv
BMG TV: Taarifa mpya daraja la JP Magufuli (Kigongo- Busisi) Mwanza
12:40
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
BARABARA YA USAGARA - MWANZA MJINI KUJENGWA KWA NJIA NNE
7:20
TANROADS HQ
Рет қаралды 3,6 М.
DKT. NCHEMBA AKABIDHIWA NOTI MPYA 2025
5:07
Hazina TV - Wizara ya Fedha
Рет қаралды 268 М.
BARABARA YA USAGARA - MWANZA MJINI (KM 25) KUJENGWA NJIA NNE
7:11
Wizara ya Ujenzi
Рет қаралды 1,7 М.
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН