Рет қаралды 29
Wanawake wameaswa kuwa karibu na watoto wao ili kutoa malezi yaliobora na kuwaepusha na ubovu ulitawala kizazi cha utandawazi ambao umekua chanzo kikubwa cha mmonyoko wa madili kwa watoto wengi
Wito huo umetolewa na mkuu wa Wilaya ya Itilima aliposhiriki ibada ya taaluma ya wanawake katika usharika wa Galilaya Itilima mkoani Simiyu
Katika ibada hiyo iliyoongozwa na wanawake, akina mama wamewatiwa moyo katika changamoto zinazowakabili ikiwemo changamoto za familia kukumbuka kua Mungu anawawizia mema wakati wote .