DEREVA MTANZANIA AUAWA CONGO MBELE YA POLISI, KIONGOZI AELEZA - "TUNAVAMIWA SANA, HAWACHUKUI HATUA"

  Рет қаралды 66,319

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

DEREVA MTANZANIA AUAWA CONGO MBELE YA POLISI, KIONGOZI AELEZA - "TUNAVAMIWA SANA, HAWACHUKUI HATUA"
Kiongozi wa chama cha waendesha malori Tanzania (Chawamata), ametoa taarifa ya dereva mmoja wa kitanzania kuvamiwa na vijana wa Congo, na kusababisha umauti wake.
Aidha kiongozi huyo ameelezea namna ambavyo madereva wa kitanzania huvamiwa hovyo na wakongo na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 67
@kahejashukuru4797
@kahejashukuru4797 3 жыл бұрын
Mimi ni mkongomani lakini iyi kitu inaniuma sana wango tuache ujinga kutokujuwa haki yabinadamu tuchukuwe mfano Kwa ndugu zetu watanza hawaongeyi kifaransa ao kizungu lakini wanamaharifa kituliko. Tugu zangu watanzania poleni sana najuwa Mungu yupo ata wateteya haya hayatokei tu kwenu ninyi ila na wenyeji pia wanateswa Kwa iyo tuzidi tu kupendana na mengine tumuachiye mwenyezi Mungu. I love Tanzania ♥️♥️
@HajiraAbdulla-w9d
@HajiraAbdulla-w9d 11 күн бұрын
Jamani allah amsamehe amrehemu ndugu yetu na awape subla ndugu zetu na hao waas wa kongo vijana wanao wauwa wenzetu endereeni kuwanyonga au kuwapiga risas wanatukatili maisha ya watanzaniya
@SihabaAbdallah-li6dx
@SihabaAbdallah-li6dx 5 күн бұрын
aminn
@lizekajigil3243
@lizekajigil3243 2 күн бұрын
Poleni sana familia kwa msiba huu mzito Mungu awe faraja yenu kuu
@fatumastephano8782
@fatumastephano8782 3 жыл бұрын
Kwa kweli hawafai hawa watu mungu apige pigo lolote like ili tu wajue kuwa mungu yupo
@coolwaveac7659
@coolwaveac7659 3 жыл бұрын
Poleni sana Wana family Kwa kuondokewa na mpendwa wenu
@HatibuLukulumbale
@HatibuLukulumbale 5 күн бұрын
Naikumbuka iyo ilinikuta maunt fungurume ndani ya kolowezi congo walinivamia lkn nashukulu mungu alikua upande wangu mungu tulinde madereva sisis
@SihabaAbdallah-li6dx
@SihabaAbdallah-li6dx 5 күн бұрын
Pole sn
@adammwita3150
@adammwita3150 3 жыл бұрын
Sijawahi kusikia Mtanzania ameamua mgeni nchini. Lakini sisi ndo tunauliwa hili suala mpaka lini balozi wetu nchini Congo atusaidie hili
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 3 жыл бұрын
Kweli nataman Sana Kaz y udereva hasa nikiona wadada wanaendesha maroli Ila kwa haya matukio hapana🙌😭
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 3 жыл бұрын
Mungu awalinde ndugu zetu
@jamilamohammed2771
@jamilamohammed2771 3 жыл бұрын
Pole kwa familia
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
Kwani huwa wantembea na pesa??😭😭😭dah poleni sana
@kelvinnjawike1808
@kelvinnjawike1808 3 жыл бұрын
Hawa wakongo wavivu tu wanataka mtelezo kutoboa maisha
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 3 жыл бұрын
Poleni sana😭😭
@ReginaUshaky
@ReginaUshaky 5 күн бұрын
Jamani wasiende tena huko
@christianchando7041
@christianchando7041 3 жыл бұрын
Sisi pia tutaanzisha kikosi maalumu cha vibaka, kitakua kinashambulia magari ya congo tu, ili serikali ya congo ione uchungu, ichukue hatua kali
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 3 жыл бұрын
Ukiona unafanya hivo pia unakuwa ni kibaka unatafuta tu sababu ya kuendeleza tabia zako. Badala useme hata tuandamane au madreva wagome unataka watu wageuke vibaka..Yaani mtu aache kazi za msingi awe kibaka au huyo anakuwa ni kibaka tu anatafuta wa kuwaibia. Huwezi kuua watu wengine kwa sababu kuna mtu wako kauwawa labda nawe uwe chizi au muuaji
@christianchando7041
@christianchando7041 3 жыл бұрын
@@faithjonathan3845 Jina lako ni Imani uko vizuri, uko sahihi kabisa. Ila hapo ni kautani tu, hatuwezi kufanya hivyo
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 3 жыл бұрын
@@christianchando7041 hakuna imani wala upole ni mwendo wa kulipiza tu hatakama siyo vibaka wala majambazi hata wananchi wenye asila kali wanaweza vilevile kishelia Tanzania hapo kesi hakuna
@exaudp.j970
@exaudp.j970 3 жыл бұрын
Poleni sana, na ndio kwanza juzi tumewakaribisha kwenye jumuiya yetu ya Afrika Mashariki sasa kama wanakua watu wa hivi tutawezana kweli.
@gracemahugi4380
@gracemahugi4380 Жыл бұрын
Kwanza tunalipa viza kwao wakati wao kwetu hawalipi viza wanaingia bule kabisa kwa nini wameingizwa nasisis wanatunyanyasa
@chidjosh6056
@chidjosh6056 3 жыл бұрын
Iwekwe utaratibu, mizigo mwisho mpakani, na hakuna gari ya congo kuja bongo
@mlandasymon1980
@mlandasymon1980 3 жыл бұрын
Hilo ndo neno, vinginebmvyo nasisi tuwaanzishie hilo sekeseke waone uchungu km tunavyopata sisi kupoteza wa tz wenzetu, idadi inapungua kijinga tu!! Tulkua m.55/60 akitoka tu mmoja nipengo kubwa sana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Hiyo nchi yakivita lazima tu mambo ya jinsi hiyo yawepo
@abdallahsuleimani7416
@abdallahsuleimani7416 3 жыл бұрын
Kama hakuna amani Kuna haja gani ya kupeleka malori fungieni mipaka tuangalie upande mwengine WA biashara waachieni nhi Yao ya kijambazi
@sikujuasikujua9036
@sikujuasikujua9036 3 жыл бұрын
Kabisaaaa mkuu wao mbona hukukwetu tunaishi nao kwaamani tunafanyanao mpaka kazi kwann kwao tufanyie ivo
@Tariqxxtenations
@Tariqxxtenations 3 жыл бұрын
Gongo hakufai kila siku vita njaa kibao
@evanschapanga9172
@evanschapanga9172 3 жыл бұрын
Inauma sana tanzania mda mwing hatutendewi na nchi jiran tunafanyiwa matukio mengi huyo dreva apumzike kwa aman huko pepon,
@HamidKhan-sb2xk
@HamidKhan-sb2xk 3 жыл бұрын
Tuna msiba sisi huzuni na kupeana pole kwetu kwa wote watanzania. Ila bora na afadhali magari na madereva wa Congo kuja Tanzania kuchukua mzigo wao
@yasintasamson9178
@yasintasamson9178 3 жыл бұрын
Yaan hao wameshalaaniwa na Vita ndo maana Vita aishig kwao uko
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 3 жыл бұрын
Haya makongo hayataki kufanya kazi zaidi ya starehe pombe kukata viuno. Na wameshazoea sana wakiona gar yenye plate number T. wanajua ni vibonde wao kwa kuwa mtz ni mutu ya amani sana natafuta makuta kwa nguvu zake. Lazima swala ichukuliwe hatua vita inaanzaga kwa choko choko za hivi
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 3 жыл бұрын
Mmh vijana wanashindwa kufanyakazi wamekalia kukaba wenzao tu ambao wanatafuta pesa zao kwa halali.Walaaniwe vibaka wote waliosababisha kifo cha mtanzania mwenzetu.R.I.P
@merymwakunja464
@merymwakunja464 3 жыл бұрын
Polen sana
@husseinmfinanga8501
@husseinmfinanga8501 3 жыл бұрын
Congo hakuna amani sheria hazitumiki madereva wananyanyasika sana hakuna kauli yoyote ya serekali yan sisi madereva tumekuwa watu wa kukandamizwa tu
@TeamKRX
@TeamKRX 3 жыл бұрын
Minsipato picha toka nazaliwa hawa wanauwana mpaka sasa kuna Nini wazungu wamewachukulia Mali nasikia michina wanasafirisha kwa njia ya zimbwambwe sasa si wawauwe hawa wanaowachukulia Mali kila kukicha
@allyflavour8005
@allyflavour8005 3 жыл бұрын
My. Rais . Pitisha..sheria...dereva..akabidhiwe..bunduki...kwawanao kongo ilimladi..wasifunje sheriatu...akikutana na watu Kama Hawa..asisubilie...nikujitetea
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 10 күн бұрын
jamani hao vibaka wauliwe tu jamani
@leokamil6284
@leokamil6284 8 күн бұрын
R.I.P
@noot-oe2mw
@noot-oe2mw 14 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajuuni
@hamisimohamedhamisi3241
@hamisimohamedhamisi3241 3 жыл бұрын
Muache kwenda uko jaman bas
@jumamohamedikizota8380
@jumamohamedikizota8380 Жыл бұрын
Kwa ayaa matukioo raisii wetuu yukoo wapii mbona ss tupo tupoo uruma mpaka linii tunaviongozii lakinii wanapuuziaa jee kwa mfanoo uyoo balozii angeuliwa ndungu yakee angejiskia raha
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Chamata sio chama cha madereva nyie ni chama matajiri sio madereva
@NeemaSamueli
@NeemaSamueli 13 күн бұрын
Yani
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 3 жыл бұрын
Januari hii wa 2 huyo kweli utafutwe ufumbuzi
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 8 ай бұрын
Yaani inaumasanna barozikongo kaenda kufanyakazigani? Aukaenda kucheza mziki
@TeamKRX
@TeamKRX 3 жыл бұрын
Huko Kongo jamani kuna usalama gani wao kuuwa kama maji tu hawajali ni wafrica wabaya sana si wafanye kwa wazungu wenye kuchukua Mali zao anamuuwa mwenziwe sasa hivi kwao ni kilio tu daah inalilah waina ilaih rajiun
@asteriashios1852
@asteriashios1852 2 жыл бұрын
Bora viongonzo wetu waachane na ushiriliano na congo kabisa maana wacongo SII waelewa usalama WA madereva hamna kabisaa waacheni na nchi Yao ya laana hakuna usala congo
@ramadhaniabdallah5695
@ramadhaniabdallah5695 3 жыл бұрын
Kongo jamani walindeni madereva wetu kwani huko wanawaletea mizigo yenu tunaomba balozi asimamie hili
@mussamayawa817
@mussamayawa817 3 жыл бұрын
Ndio mchezo wao kila siku
@boazambokile2587
@boazambokile2587 3 жыл бұрын
Sazingine tunachoka wangekuwa wanatuacha nasisi tudili nalo hata huko kitonga
@nurunswebe4203
@nurunswebe4203 3 жыл бұрын
Wakongo makuma tu
@alexbenedict5378
@alexbenedict5378 3 жыл бұрын
Duh
@victorernest7702
@victorernest7702 3 жыл бұрын
Kwan wakongo huku Tanzania hawapo walau na watangaziwe kuwa watanzania waua wa congo 7 ili twende sawa,,, maana niwiki mbili nadhan zimepita,, kauwa dereva wetu
@nyembomajidi3027
@nyembomajidi3027 3 жыл бұрын
achana na kuwatanganzia watu uchochezi kwani kila mcongo ndo anatabia hizo ao kila watanzania wote ni wabaya ao ni wazuri.
@reginamanyangu6682
@reginamanyangu6682 3 жыл бұрын
Baloziwa wa Tanzania kongo anafanya nini jmn
@priscapeter5434
@priscapeter5434 3 жыл бұрын
Kongo wafate mizigonwenyewe
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@steramwanakira7183
@steramwanakira7183 3 жыл бұрын
Why Congolese doing this real to kill Tanzanian while in Tanzania there's a lot of Congolese married singing and leaving in Tanzania. Please President look at this issue and put a stop on this. I can't understand they attack innocent people in front if police?? Real?? What are police responsibilities??
@godfreymbuya2659
@godfreymbuya2659 3 жыл бұрын
Kwani Balozi wetu anafanya nini huko?
@gracemahugi4380
@gracemahugi4380 Жыл бұрын
Maderevabona hampazi sauti tunalipishwa viza boda yakasumbalesa wao wanaingia bule kwetu kwa nini
@peteryukunda9239
@peteryukunda9239 3 жыл бұрын
Hayo mashetani yakikamatwa yauwawe
@MwitaSenso
@MwitaSenso 9 күн бұрын
KONGO MIKUNDU YENU NCH YENU IMEWASHINDA UZENI MATAKO NYIE WAKIMBIZ WENU TUNA WAPOKEA NCHN KWET TANZANIA nyie mnatulia maderev wet
DEREVA MWANAMKE wa LORI la MAFUTA, Asimulia Alivyotekwa- "Nilipigwa Risasi"
17:48
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
Mhitimu wa UDOM toka Zanzibar atoa siri nzito iliyopo UDOM
4:18
UDOM AMBASSADORS
Рет қаралды 16 М.