Yaani Millard Ayo tv Mungu atawalipa Kwa kazi yenu nzuri Kwa kusaidia wasio na UWEZO wa kujitambulisha wenyewe nyie mmewatambulisha na wakasaidiwa. Tangu nimeanza kutumia mtandao wa You Tube ""MILLARD AYO TV HAMJAWAHI KUWA NA KAZI MBOVU"'. Millard Ayo tv nyie ni sababu ya Mimi kuingia KZbin!! God bless you!!
@jamesjoseph68252 жыл бұрын
Huyu dogo Ni kwikwi, yaaani Ni kiboko dawa ya madoa, Ila nimempenda mama, ana moyo mzuri
@happykimaya66312 жыл бұрын
😁😁😁😁
@listerlujiso60092 жыл бұрын
Mungu Ni Mwema Sana Kila Wakati Barikiwa Mama Dc Kwakweli Ila Na Pongezi Nyingi Ziende Kwa Milardayo👏👏👏👏👏
@zachmaselle66352 жыл бұрын
Hawa vijana msiwapeleke VETA kwa sababu akili zao zinafanya kazi kwa kasi na tofauti na syllabus za veta. Hawa ni kuwapa nafasi ya kuendelkeza vipaji na fikra zao. Njia nzuri ni kuwawezesha na kufata mawazo yao. Alipotengeneza pikipiki, hiyo ilikuwa ni fursa ya kuangalilia ni jinsi gani angeweza kutengeza pikipiki kubwa badala ya kuagiza kutoka china. Hongera kwa kijana na mkuu wa wilaya.
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Ni kweli bro....
@samkoka32 жыл бұрын
best comment katika nzote
@Swahili.L.trainer20212 жыл бұрын
Mambo yote yanaenda kufia kwenye syllabus badala wangemuwezesha kiuchumi na vifaa vya kazi aendeleze ubunifu wake.
@fikirimajolo2862 жыл бұрын
fact
@donedaddy45612 жыл бұрын
We pia akili yako si yakuipeleka huko kwenye syllabus zao maana unaweza kufaham ni kitu gani kinahitajika na kifanye nini na kwa wakati gani?? Your intelligence bro
@tanzaniacarschannel69752 жыл бұрын
At his age na vitu anavofanya, the boy is super talented.... Hii kitu hata professor wa udsm hawezi tengeneza hii kitu.. hongera sana Kwa uwezo wake, huyu jamaa yupo so ahead na mfumo wa elimu na syllabus za veta.
@djgthehotstepper2 жыл бұрын
kabisaa
@qaltumsaid3095 Жыл бұрын
MashaAllah hongera sana kijana mungu akubarik sana kwa kipaji ulichonacho MashaAllah
@hamisishabani88642 жыл бұрын
Hongera sana kijana wa kiha' mwenyezi MUNGU akujaalie ubunifu zaidi ya hapo
@deusdedit7892 жыл бұрын
Kipaji kinalipa bwana hongera sana mama uso wako na moyo wako vinaendanda
@josephatmathayo23552 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mama, na mkuu wa wilaya. Wewe Ni mtu mwenye moyo wa kusapot kazi za vijana wa kitanzania wenye ubunifu na vipaji ndani yao
@galaxyboyofficial97852 жыл бұрын
Mungu akubariki
@japhetrobert17282 жыл бұрын
Nimekubali sana kijana huyu. Hiki ni kipaji kutoka kwa MUNGU
@gapablessgadison68632 жыл бұрын
Akina mama wanawahi kuona maono,, ubarikiwe DC""hapo ALIKIBA na DIAMONDI wafike kwenye interview serikali tuwaombe kwa huri ili kijana atangazwe kimbali zaidi,,KIGOMA 🇹🇿🔥🙏👍""KAZI IENDELEE"
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Jamani nampenda Sana uyu dogo na mwenyezi mungu amfikishe mbali.🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
Mama Mungu akubariki +kizazi chako.una roho nzuri, ni mama mwenye moyo wa huruma.i apreciate you mum.
@jayjay43132 жыл бұрын
Dogo mkweli mpaka rwaha. Hajivungagi huyu yupo natural haswa. Hatari sana kijana wetu, Sasa usijekuthubutu pombe tu, unachopanga chema, unaghairi. Hakuna hata jema zaidi ya kukalia kiti cha bar tu na kelele kama zote, wengi zilishatutoa nje ya reli. Kaza buti mkuu.
@reubenjohn71112 жыл бұрын
oy unanambayake
@khadijamohamedkibabi36252 жыл бұрын
@@reubenjohn7111 Wapigie Ayo Tv watakua Nayo
@swaumdodoma75912 жыл бұрын
Du pole lakini nadhan huja chelewa bado kikubwa umetambua kosa lako unaweza kurekebisha ukaanza upya
@jayjay43132 жыл бұрын
@@swaumdodoma7591 Badala umpe ushauri dogo, unanipa pole mimi. Huko tushapita life linaendelea.
@swaumdodoma75912 жыл бұрын
@@jayjay4313 Oooh hongera Masha'Allah Mshukuru mngu umeamka mapema miye Nikajua bado umelala kumbe ushaamkaeee kuhusu dogo nitatafuta niongee nae maana apa Sina uhakika kama ataona Comment yangu😁😁
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
Safi Sana viongozi wetu mnatutia moyo Wana nchi wenu, mungu awazidishie moyo wa upendo.
@princehancesam98922 жыл бұрын
Nimemkumbuka hayati magufur alikuwa anapenda Sana watu Kama hawa
@prettynesspastory31112 жыл бұрын
Nimemiss Sana mzee ! Apumzike kwa amani
@djgthehotstepper2 жыл бұрын
saiz angekuwa ashafanya Jambo tayari
@prettynesspastory31112 жыл бұрын
@@djgthehotstepper yaani! Tulipigwa Ila Mungu ni mwema nyakati zote hatuna namna! 🙏😭
@jeshilamtu8632 жыл бұрын
MKUU WA WILAYA MH MAHAWE oyeeeee💥💥💥 ,,Dogo wa studio safiiiii.Ana akili sana Dogo👏👏💯
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Kigoma FM🔥🔥🔥duh amazing wahlla 🔨💃💃
@harymo-by8gh2 жыл бұрын
kaka hongera sana kwa huo ubunifu ufike mbali na mama pia pongezi kwa support yako 🙏🙏
@faraji22742 жыл бұрын
Big up.VETA walomfua walipaswa kuwa hapo kwa support kubwa.Haipendezi vijana kama hawa kutelekezwa
@raphaelngulo12932 жыл бұрын
Hongera sana Mkuu wa Wilaya kwa hatua nzuri yakumtembelea kijana mbunifu wa Kigoma radio FM ,nakupongeza kwamsada ulioahidi
@frankmwinuka62982 жыл бұрын
Huyu dogo atari na nusu sema viongozi wetu Dah angekuwa Marekani huyu wangejivunia sana kuwa na dogo talented
@joshuajohn76982 жыл бұрын
Wapo weng sana hawa vijana na wanapewa ahad nying lakn haztekelezeki na wanawapeleka kwenye mfumo wetu wa elimu ya kukariri ndo wataua kabsa talent yake
@rajabhussein77942 жыл бұрын
Hongera Sana dogo wengine tuliambiwa tukasome physics tuachane na bunifu zetu tuliambiwa bunifu zetu zitatufanya tusiwe na akili darasani
@theteacherchance67502 жыл бұрын
Tunameza vitini PCM unapiga mabanda kama yote bado taa ikiungua maskani unampigia fundi, friji likiji-off lenyewe unachanganyikiwa.
@rajabhussein77942 жыл бұрын
@@theteacherchance6750 yaani sio mchezo kaka
@vincentauxerbius75542 жыл бұрын
Oyaah huyu dogo anatisha anaweza tengeneza hata bombs mm mwenyew kuna muda nafikilia kufanya kitu ila mmmh serikali itaninyamata🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Huyu ana kipaji sana hata kutangaza ni kama amesomea
@mrsinia30642 жыл бұрын
Kabisa
@لَاإِلٰهَإِلَّااللّٰهُمُحَ-ي2ه2 жыл бұрын
Waooow hii sasa ndo kitu ya maana kwa vijana wenye ubunifu congrats🎊🎊🎊🎊🎊🎊👏👏👏👏👏👏✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼
@yohananelsonmusic72072 жыл бұрын
Jaman jaman. Hogera sana kijana mwenzangu. Hongera pia mama yet Dc. Mungu akubariki. Huyu kijana Ni mfano wa kuigwa aiseee. Nashindwa hata nikupe zawad gan ila nakuombea mungu akufikishe mbali Zaid 🙏🙏🤝
Serikali yetu haijali kabisa vipaji nature kama hivi yan huyu alitakiw atafutiwe shule out of country akajifunz zaidi aje afanye makubwa zaidi katik nchi yetu lakn wnawapeleka watoto wao n wanaambulia ziro,,,,,,eti wanampelek English course🥺🥺🥺😢😢cha bure hakikataliwi 😢 Mungu atakujaalia kijana yur big Engineer🥰
@micharazohd71312 жыл бұрын
Hatari sana bongo tuko vizuri sena mabenga tu na appreciation toka juu ndio hakuna, maisha bila support ni ngumu kutoboa kiurahisi. Kivhwa kama hiki kinatakiwa kipelekwe shule kisrla afu TBC
@mejakimaro27732 жыл бұрын
Gig up Millard! Wapeleke mjini wote wenye vipaji tutabadilisha taifa letu...
@godblessndosa95002 жыл бұрын
Mbona sisi wengine tunatengeneza naaa tunapeleka wizarani na hatupewi support ya kufika popote?
@dr_godfrey2 жыл бұрын
Dogo omba na kibali TCRA achana na kuingia darasani tayari elimu unayo
@rajabuhamisi33402 жыл бұрын
Kwanza ongera kwake kijana kwa ubunifu na kipaji alichonacho,Ila tukija kwa upande wa serikali naomba iwe serious na vijana wenye vipaji kama hawa ,ukifuatilia huyu ndo aliunda piki piki ndogo ilifika wapi ? Leo kutengeneza kituo Cha redio NAJIULIZA kitafika wapi? Kwa mawazo yangu naona serikali Kuna mahali wanakwama
@witneskilinda50342 жыл бұрын
pamoja na dhambi kumharibu mwanadamu, bado ndani ya huyu mwanadamu kuna uwezo wa ajabu
@augustuscaesar28162 жыл бұрын
Kigoma The Tallented Region Mungu akubarki sana Dc mahawe Stay fighting for us Mbarikiwe sana pia MILLARD AYO kwa kumnyanyua kijana mwenzetu huyu
@jobkofficial15912 жыл бұрын
Huyu mpe hela kwanza Za kutosha Kama zawadi yaani Hongera hata aweze jenga nyumba nzuri angalau. Avae vzr pia, familia yake pia ifurahie ndo mengine yafuate
@marthageorge50432 жыл бұрын
Ongereni sana kumsapoti kijana,mungu nimwema atafika mbali zaidi🙏🏻🙏🏻🙏🏻❤❤👏👏
@mdthehit2 жыл бұрын
Safi sana. 🙏🙏🙏🙏🙏
@majaliwa_tz50042 жыл бұрын
Mungu Aendelee Kukusimamia Ili Ufike Mbali
@emexchaka66462 жыл бұрын
Ana kipaji kingine cha utangazaji bila kusomea.
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Jamani nimejisikia raha sana.hongera Sana Dc kweli ww ni mama 🙏🙏🙏
@djhajiztz2 жыл бұрын
nakbal.mama
@evancymassawekenya75212 жыл бұрын
Woooow congratulations kwake keep it up
@ladymzana45112 жыл бұрын
Aliwahi kutengeneza pikipiki, aliwahi kutengeneza bajaji, aliwahi kutengeneza jiko la kutumia umeme wa jua, na kwa sasa ametengeneza studio ya radio aliyoipa jina la Kigoma FM, kama serikali na watu matajiri wakimsaidia huyu kijana kuinua vipaji vyake hivi vinne atakuwa tajiri mkubwa sana miaka ijayo, na pia ataiongezea serikali pato la taifa.
@jebellwallace35092 жыл бұрын
Well nimefurahi sana kuona mkuu wa wilaya umeguswa na hili. Mungu awabariki wote watakao msaidia kijana huyu.
@florajames18902 жыл бұрын
Kijana mkuu wa wilaya si wa habar mpe heshima ake
@MelkisedekiSamson-kd7gw7 ай бұрын
Hawa watu ni zaidi ya veta hawa Wasomee Modern technology,na serikali ibebe majukumunya kuwatunza na kukidhi mahitaji yao sambamba Na kuwekeza kweny Wawekeweza sana kwenye miundo mbinu itakayowatengenezea vijana wengine fursa ya kutopitia mazingira magumu kama wao,itakayorahisisha kuwa na mazingira bora ya kufikia ndoto zao, kama vile vyuo na viwanda kwa kila atakayekuwa na kipaji hicho,kisha wao wasifanye kazi hiyo zaidi ya kuwa wakufunzi wa Vijana wengine nao wakikomaa wanastaafu wanafunza wenzao kila sekta,tutajikuta viwanda vinakua na technolojia bila kutegemea sana mataifa mengine ila wamezeshwe uzalendo kwa manufaa ya taifa ni hazina hizo Mungu ametupa
@gasirigwaaloyce87392 жыл бұрын
Tukubali tu kua watu wa aina hii wamezaliwa wachache duniani, walozaliwa ugaibuni waliendelezwa kwa lengo la kuinua nchi zao na wote tunaziona zilipo lkn walozaliwa africa walipuuzwa tangu kuumbwa kwa dunia, na mpaka sasa wanapuuzwa tu kumbe ndo wakuikomboa Africa basi selikali muungeni huyu mtoto atubadilishie historia
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah, Kijana kaelezea vizuri sana, hongera sana ndugu yangu katika Imani.
@mabugabm77082 жыл бұрын
Good boy, good leadership. Kazi iendelee...!!!
@davidoscooper2372 жыл бұрын
Kazi iendelee ndo nn sasa sema (hapa kaz tu)
@vincentkatabalo2862 жыл бұрын
Kuna somo nimejifunza. Wanaomaliza Engineering chuo kikuu hawawezi kufanya alichofanya huyu dogo nahisi kumpeleka shule anaend kufundishwa na watu anaowazidi ujuzi. Elimu yetu ilenge kutoa ujuzi
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Ukimpeleka kusoma umeuwa kipaji...na hiyo radio aliyoianzisha....Cha maana so lugha Cha maana Ni kazi yenye kuleta Tija.. hiyo Ni kazi tayari...ajengewe kituo Cha radio na kuongezewa vifaa Kisha apelekwe asome utangazaji na uaandishi wa habari... Si unaona anapenda kutangaza na kukaa kwenye mic.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@franckjumanne30172 жыл бұрын
Hata mimi niliwa kutengenezaga hiyo zamani sana sema sikuvuma tu aisee sijui nifanye tena huyu jamaaaa ni shidaaaa
@sarahnyasulo68762 жыл бұрын
Ludia tena vipaji viwe vingi
@japhetrobert17282 жыл бұрын
Barikiwa sana .umeonyesha nidhamu ,bidii ,moyo wa kujitolea. MUNGU akubariki sana.
@joysoka35752 жыл бұрын
Ayo si ndo mambo sasa naiomba serekali msiishie tu apo jmny kwenye ahaadi zenu mzitimize kwa uyo kijana tunaitaji kuja kusikia amefika mbali xanaaa aitangaze Tanzania yetu jmny mungu akujalie mdogo wangu ufike kule alipokukusudia yeye alie juu amen God blees you🙌🙌
@MiwagoTz2 жыл бұрын
Hongera sana Kijana mwenzangu Mimi pia niliwahi kutengeneza Radio yangu nikaipa jina Miwago Radio watu wakanivunja moyo wakaniambia nitakamatwa ni kosa hivyo ubunifu wangu ukakwama,Radio yangu ilikuwa inapatikana kwa umbali wa mita 200 na nilikuwa najitahidi niweze kufika umbali mrefu Sana ila uwoga umenirudisha nyuma .
@only_winners2 жыл бұрын
ulitakiwa kuendlea kupiga kaz mpaka ukamatwe! Acheni kuogopa maneno ya watu walifeli mkuu!!! Piga kaz ubunifu unahitajika kwenye taifa ukiwa umekosea mamlaka husika zitakuelekeza cha kufanya!!
@JohnMgaya-mf7ux Жыл бұрын
🤑
@sportsmailtv Жыл бұрын
Naomba nipate namba zako tuwasiliane inbox
@saimonijonas43562 жыл бұрын
Nimefurahi sana sana.Kusikia kiingereza kinanisumbua..Kinanichanganya..wazungu wanaongea Lugha sieelewi.Ukweli unakuweka huru.
@halimahalima14882 жыл бұрын
Kabisaa yaani
@mrpambatv34202 жыл бұрын
Hongera sana mama napia kiongoz nape Mungu awalinde zaidi
@dominicjulius31082 жыл бұрын
Ongera sana Kwa umoja mlio uonyesha
@phantyrhymes95362 жыл бұрын
Hongera mkuu wa wilaya kusupport vipaji. Kutoa ni moyo. Mungu akubariki mama yetu mkuu wa wilaya. Pia hongera kwa ubunifu Fundi Mitambo.
@denismasele41302 жыл бұрын
Kwetu ukiwa na kpaji unaambiwa unahitaji Elimu,,, but Elimu ni hali ya kulijua jambo na kuweza kulitolea ufafanuzi English ni nn?
@deluxermahyono52902 жыл бұрын
Lugha ya mapaka wa kizungu sa akiletewa kompyuta za kichina itabidi akosome China koz
@stadiusaudax61372 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mama, hakika hii itawapa nguvu vijana wa kitanzania kuendelea kupanua maarifa yao zaidi na zaidi.
@__B.O.B2 жыл бұрын
Kweli Bongo Nyosso... Yani serikali na hela zote badala wampeleke dogo hata vyuo vikubwa sana vya Technolojia kama Marekani, Japan au Israel wanampeleka English Course!!!! Halafu kingine Mkuu wa wilaya hajui hata kama kwenye wilaya yake kuna shule ya English course au hamna!! Kweli mnaupiga mwingi.
@halimajuma23402 жыл бұрын
Honger na mama kwa kump moyo kijan mwenzet
@vickykissie97422 жыл бұрын
Hongera sana kijana kwa uthubutu. Hicho ni kipaji ,kamatia sawasawa n.a. Mungu akuongoze. Mama mkuu wa wilaya leya mwanao
@lucassamson67372 жыл бұрын
Honger kwa dc mama zet mnaupipa mwing pia kwa huy kijana nipongez kwa kaaz nzur aendelee atafkia ndot zak ip ck
@sadamofficialtz2 жыл бұрын
Safi sana Dc🔥🔥
@mwalimugoogletv37382 жыл бұрын
alafu mpumbavu anasema tutoe english secondary. tuweke kiswahili.una tecknology gani yakutegemea lugha yako, unafikiri wewe ni mchina au mrusi?j. if u are poor, even ur language is poor. kingereza ndio lugha yenye maarifa mengi.
@tumainisangaonline65362 жыл бұрын
Hongera sana mwanetu. Mungu akuwezeshe ndoto yako kubwa ikatimie kwa njia yoyote ile
@KATOPE12 жыл бұрын
Safi sana Muheshimiwa DC 👍
@chale0ify2 жыл бұрын
Huyu dogo akasomee electronics nje..VETA watampa fundamental tu!...Ni bonge la engineer
@user-pg1xe1qs2g2 жыл бұрын
😎😎 Safi sana DC, Hongera sana kijana
@nestorybegasha78842 жыл бұрын
Big up
@ramayonline22812 жыл бұрын
Dogo ni mkali
@peterphilipo41522 жыл бұрын
Ayo tv💥💥💥💥
@shabaniramadhani88912 жыл бұрын
Mungu ni Mwema sana aiseee
@danstanpanga84902 жыл бұрын
Hongera sana DC kwa ufuatiliaji wako na kwa kumtia moyo kijana wetu
@na-shownakshi74532 жыл бұрын
One love from Qatar bro. Inawezekana ukijitolea na kumuamini mungu.
Hakika nimefurahishwa sana na jambo hili kwako were Mkuu wa wilaya hivi ndivyo uongozi unatakiwa kuuendeleza uelewa kwa vijana wetu tz.hongereni sana
@mohamedidangeni3462 жыл бұрын
Tanzania imebadilika Sana,zamani ameshakamatwa na kuwekwa ndani
@mohamedmagwiza80482 жыл бұрын
Big up sana 💯💯♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏💫💫✨💫💫💫💯💯♥️♥️♥️😍😍😍😍😍🥰🥰🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💫✨💫🤣💯🙃💯🙃💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@marylyimo7462 жыл бұрын
Tunawataka vijana kama hawa big up dogo Mungu atimize ndoto zako.
@Bari6862 жыл бұрын
HONGERA SANA MILLARD AYO, UMEMTANGAZA KIJANA NA SASA AMEANZA KUFAAMIKA NA KUPEWA SAPOTI ZAIDI..
@bahatimiamor_officiel92582 жыл бұрын
She's THE LEADER 🇹🇿🙏💯🌍🌎
@kbdmsafi_tz80942 жыл бұрын
Mkuu Wa Wilaya Huyu Awekewe Sanamu Pale Kigoma
@mohammediddi53852 жыл бұрын
Kigoma to the world 🌎 More talent boy,luck since day one, Creativity, and keep going usichoke mungu n wanyote sie
@mapilitv2 жыл бұрын
KigomaFM good.
@Karromiatz2 жыл бұрын
Tungekuwa na viongozi kama Hawa 10 Tanzania nzima tungekuwa juu Sana!!
@athumaniomari28332 жыл бұрын
Uwezo tunao ubunifu tunao mari matirio pia tunazo ewe mwenyezi MUNGU mzidishie ubunifu mkubwa zaidi
@kazkaz19432 жыл бұрын
Nimependa saut ya dogo ikikupendeza millard mchukue dogo atangaze ayotv
@rfpmediatz2 жыл бұрын
Hongera Sana Serikali yangu
@mathiasvicent99552 жыл бұрын
Nampongeza sana kijana huyu serikali naomba kupitia tcra kuja na utaratibu utakaowezesha kuwainua wabunifu kama hawa na wala si kuwaangamiza!
@eliudkazoba5170 Жыл бұрын
Ongera sana Mkuu wa Wilaya kufika na kumtia moyo Mtanzania mwenzetu kwa kipaji alichonacho. Kijana umeupiga mwingi.
@husseinsauti40542 жыл бұрын
Hongereni Sana viongozi Kwa kuwatia Nia wabunifu na kuwasaidia
@jamilamanariyojamila14872 жыл бұрын
Manshallah 😍
@leonardkapati31252 жыл бұрын
Wakija TCRA watasema mnara wa miti haufai kabsa na viti vya plastic Kama Masood alivyoambiwa na TBS
@edwardleonard74022 жыл бұрын
Sasa English course ya nini ww fanya Kaz ya ubunifu wako sio lazm ujue English
@africanmandetraveler28472 жыл бұрын
English kitu gani, bora dogo ajifunze kiha ili apanue wigo wake kwenye tasnia ya utangazaji,Waha kutoka kasulu ,kidahwe na Kimondo watanufaika sana .Kingereza hakileti unga mezani .
@mcgb57252 жыл бұрын
One love Home boy ,kazi nzuri sanaaaaa
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
Pia ayo tv mungu awabaliki maana mnaibua vipiji vingi vilivyo jificha
@simonkabala20632 жыл бұрын
Tanzania ya viwanda... Mpaka raha hapa sasa tunaomba serikali ifanye kweli ili ile point ya poor government support tuiuwaaaa kabisa