Dr. Chris Mauki: Tabia 9 zitakazokuongezea ujasiri maishani

  Рет қаралды 45,446

Chris Mauki

Chris Mauki

Күн бұрын

Je unajiona unakosa ujasiri? Je umeishi katika mazingira yaliyo athiri ujasiri wako? Hizi hapa tabia 9 ambazo ukizifuata zitakusaidia sana kuongeza ujasiri kwenye maisha yako.
#DrChrisMauki#Tabia#Ujasiri

Пікірлер: 64
@NZAMUYEJoseph
@NZAMUYEJoseph 2 ай бұрын
Nakupendaaa sanaa umeniwezishaaa njmemtekaaa kipenz kwa mbinu zile
@LucySinkala
@LucySinkala Ай бұрын
Asante sana Dr Mauki napende mafundisho yako
@leahloth6711
@leahloth6711 3 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafunzo mazuri tokea nimeanza kukufatilia nimeona mabadiliko makubwa sana naendelea kujifunza
@CatherineKalua-bk8vg
@CatherineKalua-bk8vg 4 ай бұрын
Kiukweli umenibadilisha Sana kaka ,,ubarikiwe Sana
@GeorgeGodfrey-h2j
@GeorgeGodfrey-h2j 11 күн бұрын
Dr Asante sana, nimepata mwanzo mpya hapa, na nimejifahamu kwanzia sasa
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana DR unaendelea kunijenga kiakili najifuza vitu vingi sana kwa kutazama chaneli yako hivi naweza kuongea na we DR
@enoshmukama4783
@enoshmukama4783 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri sana nimejifunza kitu Leo ubarikiwe DR
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 3 жыл бұрын
Ubarikiwe dr Chris mauki
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
amen asante sana
@suzanemwambe6320
@suzanemwambe6320 2 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri,,,tunajifunza vitu vingi, vizuri kwako,mungu akubariki sana
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Asante mungu akusaidie❤️🙏
@CharlesValentinefaustine-tq5te
@CharlesValentinefaustine-tq5te 10 ай бұрын
Asant kwa kunielimisha Mungu akubaliki sana
@karimabdoul7619
@karimabdoul7619 3 жыл бұрын
Somo zuri sana Dr.chris mauki ✊✊✊
@aminaalmas110
@aminaalmas110 3 жыл бұрын
Vzr
@debraswai9131
@debraswai9131 3 жыл бұрын
Asante Sana doctor nimejifunza mengi Mungu akubariki sanaa
@Anna-se9gp
@Anna-se9gp Жыл бұрын
Dr be blessed bcoz of things to say are really good to do it
@sufoorembo5925
@sufoorembo5925 2 жыл бұрын
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
@olivanooraladin5436
@olivanooraladin5436 2 жыл бұрын
Inshu hpa kwenye kusimamia kitu unachoka mini lkn nataman kuwa mtu furan mim km mimi lkn Kuna vitu ambvyo vinanivunja moyo but na mshukuru mungu kwa yote pia huwa nakufatilia Sana na kunavitu najifunza
@PaulinaJohn-e4r
@PaulinaJohn-e4r Жыл бұрын
Nashukuru,prof kwa ujumbe mzuri samahani nisaidie hapa mm ilishawahi kutokea ugomvi na jirani yangu ambaye nafanya naye kazi ofisi mmoja, na chanzo Cha ugomvi ni madharau masimango yy huwa ni mbea sana na Ana madharau sana Sasa yy no mtu wa mda mrefu apa mm Nina Kama miaka miwili Sasa kilichotokea baada ya mm na yy kuzozana ni kunisema vibaya kwa wafanyakazi wenzetu ,mitaani na Kila korna afu watu wananichikia Apo nifanye nn ebu nisaidie mtu ishi
@polinewesonga8121
@polinewesonga8121 2 жыл бұрын
Asante...kwa kweli nimejifunza pakubwa.
@solangesoso3100
@solangesoso3100 3 жыл бұрын
Asante sana nimependa somo la leo
@neemajeremiah6577
@neemajeremiah6577 Жыл бұрын
Asante kwa chakula kitamu Cha ubongo
@erikalutevele8362
@erikalutevele8362 3 жыл бұрын
Ahsante dr kwa somo nzuri kabisa
@issaimwasha1185
@issaimwasha1185 2 жыл бұрын
Somo zuri Sana mkuu, ubarikiwe sana
@yohanamdui7458
@yohanamdui7458 Жыл бұрын
Dr Chris mauki nakufatilia sana mafundisho yako yananijenga sana unanisaidiaje na mm niwe kama wewe??
@beatricemabula4783
@beatricemabula4783 3 жыл бұрын
Ahsate sana.karibu.sana kibaha japo utukusanye wamama wa kanisa la anglacan tupate .madini yako
@ErickMwawite-hm6uj
@ErickMwawite-hm6uj Жыл бұрын
Asante kwa somo
@othmanmuhammad1650
@othmanmuhammad1650 3 жыл бұрын
Such a great lesson, it absolutely perfect ten,.!.so valuable,.
@catherinenasambu5366
@catherinenasambu5366 3 жыл бұрын
Asantee kwa wazo boss
@tabiamaheke
@tabiamaheke Жыл бұрын
Upo sahh sana
@erastitesha943
@erastitesha943 3 жыл бұрын
Asante dr wng
@SammyMagindu-ft8gy
@SammyMagindu-ft8gy 4 ай бұрын
Mawasiliano tafadhalii Dk
@IreneShao-s5f
@IreneShao-s5f Жыл бұрын
Somo zuri sana
@VeronikaBaltazar
@VeronikaBaltazar Жыл бұрын
Asante kaka
@dianamshana5847
@dianamshana5847 3 жыл бұрын
Asante sana Dr ubarikiwe
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
amen asante sana
@mwl.frankmadembo7472
@mwl.frankmadembo7472 3 жыл бұрын
Thanks Dr for the good lesson
@jerukakayi
@jerukakayi Жыл бұрын
Nimeamini kuwa ww ni daktari umenitibu akili na Mungu akupe hekima na maarifa zaidi
@subiraomari5908
@subiraomari5908 3 жыл бұрын
Asante Sana
@halimaiddy158
@halimaiddy158 3 жыл бұрын
Naomba no doctal naitaji kuongea na wew
@saadarashidi2428
@saadarashidi2428 3 жыл бұрын
Nafurshishwa saana masomoyako
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
amen asante sana
@gloryminjs9744
@gloryminjs9744 Жыл бұрын
Dr leta tips za mwanaume kuchange dini kumfata mke na girl kuchange dini kumfata mme ni love au nn Kwenye ndoa hatabadilika au hatabadilika plz
@leonardytarzantarzan481
@leonardytarzantarzan481 3 жыл бұрын
Safi sana kaka ...
@tawalazephuline4950
@tawalazephuline4950 2 жыл бұрын
Ahsante
@mariamnestory6715
@mariamnestory6715 2 жыл бұрын
Asante Sana mungu akubariki nimebarikiwa Sana mafundisho yako naitaji nipate namba zako za cm nipo kigoma asante
@hawwahawwa8533
@hawwahawwa8533 3 жыл бұрын
Safi sana 👍
@johnmtobesya7683
@johnmtobesya7683 3 жыл бұрын
Nice
@naimahassan5955
@naimahassan5955 3 жыл бұрын
Good
@neemashillah3770
@neemashillah3770 3 жыл бұрын
👍vizuri
@mugeraanthony1873
@mugeraanthony1873 3 жыл бұрын
Great
@lightinessmichael5767
@lightinessmichael5767 3 жыл бұрын
Barikiwa kwa somo zuri
@MnyimbiOfficial-cn1nw
@MnyimbiOfficial-cn1nw Жыл бұрын
Dr mauki naomba namba zako nataka ushauri pravite
@omarhusen7121
@omarhusen7121 Жыл бұрын
Asant san dk kwa kukuuza ubong wang
@neemajesmas9035
@neemajesmas9035 Жыл бұрын
Asante doctor
@khadijarajab8383
@khadijarajab8383 3 жыл бұрын
🙏
@janethseba8795
@janethseba8795 3 жыл бұрын
Ninakuelewa kaka sasa mimi kwa upande wangu nilifanya maamuzi sahihi kwenye mahusiano kwa upande wa mwenzangu anasema alikosea.niishi vipi naye
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Fatilia watu wanaokupenda,anaekubagua nawe mbague,,
@onesmosanga8408
@onesmosanga8408 3 жыл бұрын
Tuko pamoja
@norbypoltv
@norbypoltv 3 жыл бұрын
Yes kaka asante kwa somo zuri.. Pia wajifunze tabia hizi za kuacha 2021 ili wafanikiwe 👇👇 kzbin.info/www/bejne/b5XKhmaApq5gpLc
@estarkapinga6126
@estarkapinga6126 3 жыл бұрын
SoMo zuli nime elewa na unanipa nguvu ya kupambania maisha yangu
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
amen asante sana
@tabithajoseph7249
@tabithajoseph7249 3 жыл бұрын
Ubalkiwe
Dr. Chris Mauki: Tabia 5 zitakazo kusaidia kustahimili mapito
8:47
Njia Tano (5) Unazoweza Kuzitumia Kuongeza Ujasiri
9:37
Joel Nanauka
Рет қаралды 184 М.
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 120 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 13 МЛН
Maamuzi manne (4) muhimu sana kwenye maisha yako.
7:05
Joel Nanauka
Рет қаралды 110 М.
LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA
10:59
Joel Nanauka
Рет қаралды 68 М.
Dr. Chris Mauki : Hakikisheni Mmeyazungumza Haya Kabla Ya Kuoana
11:10
Dr. Chris Mauki: Mambo 8 ya Kukusaidia Kuishinda Hofu
12:14
Chris Mauki
Рет қаралды 34 М.
Dr Chris Mauki : Utajuaje kama mpenzi wako sio mwaminifu?
9:41
Chris Mauki
Рет қаралды 111 М.
Dr. Chris Mauki: Mambo 5 kamwe usiendekeze kushirikisha watu
8:15
Dr. Chris Mauki: Mbinu 5 za kujipa furaha mwenyewe
8:08
Chris Mauki
Рет қаралды 34 М.
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12