Je unajiona unakosa ujasiri? Je umeishi katika mazingira yaliyo athiri ujasiri wako? Hizi hapa tabia 9 ambazo ukizifuata zitakusaidia sana kuongeza ujasiri kwenye maisha yako. #DrChrisMauki#Tabia#Ujasiri
Пікірлер: 64
@NZAMUYEJoseph2 ай бұрын
Nakupendaaa sanaa umeniwezishaaa njmemtekaaa kipenz kwa mbinu zile
@LucySinkalaАй бұрын
Asante sana Dr Mauki napende mafundisho yako
@leahloth67113 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafunzo mazuri tokea nimeanza kukufatilia nimeona mabadiliko makubwa sana naendelea kujifunza
@CatherineKalua-bk8vg4 ай бұрын
Kiukweli umenibadilisha Sana kaka ,,ubarikiwe Sana
@GeorgeGodfrey-h2j11 күн бұрын
Dr Asante sana, nimepata mwanzo mpya hapa, na nimejifahamu kwanzia sasa
@theresiachigali94822 жыл бұрын
Mungu akubariki sana DR unaendelea kunijenga kiakili najifuza vitu vingi sana kwa kutazama chaneli yako hivi naweza kuongea na we DR
@enoshmukama4783 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri sana nimejifunza kitu Leo ubarikiwe DR
@wemakalamu35383 жыл бұрын
Ubarikiwe dr Chris mauki
@ChrisMauki13 жыл бұрын
amen asante sana
@suzanemwambe63202 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri,,,tunajifunza vitu vingi, vizuri kwako,mungu akubariki sana
@happynescostat74202 жыл бұрын
Asante mungu akusaidie❤️🙏
@CharlesValentinefaustine-tq5te10 ай бұрын
Asant kwa kunielimisha Mungu akubaliki sana
@karimabdoul76193 жыл бұрын
Somo zuri sana Dr.chris mauki ✊✊✊
@aminaalmas1103 жыл бұрын
Vzr
@debraswai91313 жыл бұрын
Asante Sana doctor nimejifunza mengi Mungu akubariki sanaa
@Anna-se9gp Жыл бұрын
Dr be blessed bcoz of things to say are really good to do it
@sufoorembo59252 жыл бұрын
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
@olivanooraladin54362 жыл бұрын
Inshu hpa kwenye kusimamia kitu unachoka mini lkn nataman kuwa mtu furan mim km mimi lkn Kuna vitu ambvyo vinanivunja moyo but na mshukuru mungu kwa yote pia huwa nakufatilia Sana na kunavitu najifunza
@PaulinaJohn-e4r Жыл бұрын
Nashukuru,prof kwa ujumbe mzuri samahani nisaidie hapa mm ilishawahi kutokea ugomvi na jirani yangu ambaye nafanya naye kazi ofisi mmoja, na chanzo Cha ugomvi ni madharau masimango yy huwa ni mbea sana na Ana madharau sana Sasa yy no mtu wa mda mrefu apa mm Nina Kama miaka miwili Sasa kilichotokea baada ya mm na yy kuzozana ni kunisema vibaya kwa wafanyakazi wenzetu ,mitaani na Kila korna afu watu wananichikia Apo nifanye nn ebu nisaidie mtu ishi
@polinewesonga81212 жыл бұрын
Asante...kwa kweli nimejifunza pakubwa.
@solangesoso31003 жыл бұрын
Asante sana nimependa somo la leo
@neemajeremiah6577 Жыл бұрын
Asante kwa chakula kitamu Cha ubongo
@erikalutevele83623 жыл бұрын
Ahsante dr kwa somo nzuri kabisa
@issaimwasha11852 жыл бұрын
Somo zuri Sana mkuu, ubarikiwe sana
@yohanamdui7458 Жыл бұрын
Dr Chris mauki nakufatilia sana mafundisho yako yananijenga sana unanisaidiaje na mm niwe kama wewe??
@beatricemabula47833 жыл бұрын
Ahsate sana.karibu.sana kibaha japo utukusanye wamama wa kanisa la anglacan tupate .madini yako
@ErickMwawite-hm6uj Жыл бұрын
Asante kwa somo
@othmanmuhammad16503 жыл бұрын
Such a great lesson, it absolutely perfect ten,.!.so valuable,.
@catherinenasambu53663 жыл бұрын
Asantee kwa wazo boss
@tabiamaheke Жыл бұрын
Upo sahh sana
@erastitesha9433 жыл бұрын
Asante dr wng
@SammyMagindu-ft8gy4 ай бұрын
Mawasiliano tafadhalii Dk
@IreneShao-s5f Жыл бұрын
Somo zuri sana
@VeronikaBaltazar Жыл бұрын
Asante kaka
@dianamshana58473 жыл бұрын
Asante sana Dr ubarikiwe
@ChrisMauki13 жыл бұрын
amen asante sana
@mwl.frankmadembo74723 жыл бұрын
Thanks Dr for the good lesson
@jerukakayi Жыл бұрын
Nimeamini kuwa ww ni daktari umenitibu akili na Mungu akupe hekima na maarifa zaidi
@subiraomari59083 жыл бұрын
Asante Sana
@halimaiddy1583 жыл бұрын
Naomba no doctal naitaji kuongea na wew
@saadarashidi24283 жыл бұрын
Nafurshishwa saana masomoyako
@ChrisMauki13 жыл бұрын
amen asante sana
@gloryminjs9744 Жыл бұрын
Dr leta tips za mwanaume kuchange dini kumfata mke na girl kuchange dini kumfata mme ni love au nn Kwenye ndoa hatabadilika au hatabadilika plz
@leonardytarzantarzan4813 жыл бұрын
Safi sana kaka ...
@tawalazephuline49502 жыл бұрын
Ahsante
@mariamnestory67152 жыл бұрын
Asante Sana mungu akubariki nimebarikiwa Sana mafundisho yako naitaji nipate namba zako za cm nipo kigoma asante
@hawwahawwa85333 жыл бұрын
Safi sana 👍
@johnmtobesya76833 жыл бұрын
Nice
@naimahassan59553 жыл бұрын
Good
@neemashillah37703 жыл бұрын
👍vizuri
@mugeraanthony18733 жыл бұрын
Great
@lightinessmichael57673 жыл бұрын
Barikiwa kwa somo zuri
@MnyimbiOfficial-cn1nw Жыл бұрын
Dr mauki naomba namba zako nataka ushauri pravite
@omarhusen7121 Жыл бұрын
Asant san dk kwa kukuuza ubong wang
@neemajesmas9035 Жыл бұрын
Asante doctor
@khadijarajab83833 жыл бұрын
🙏
@janethseba87953 жыл бұрын
Ninakuelewa kaka sasa mimi kwa upande wangu nilifanya maamuzi sahihi kwenye mahusiano kwa upande wa mwenzangu anasema alikosea.niishi vipi naye
@happynescostat74202 жыл бұрын
Fatilia watu wanaokupenda,anaekubagua nawe mbague,,
@onesmosanga84083 жыл бұрын
Tuko pamoja
@norbypoltv3 жыл бұрын
Yes kaka asante kwa somo zuri.. Pia wajifunze tabia hizi za kuacha 2021 ili wafanikiwe 👇👇 kzbin.info/www/bejne/b5XKhmaApq5gpLc
@estarkapinga61263 жыл бұрын
SoMo zuli nime elewa na unanipa nguvu ya kupambania maisha yangu