Wengi hupata shida sana kugundua kuwa mpenzi sio mwaminifu, na wakija kugundua basi ni kwakuchelewa. Nini kikufanye ugundue mapema ili muweze kusahihishana na kuyalinda mahusiano yenu? Hizi hapa dalili nakupatia
Пікірлер: 122
@Maggie-yx8pw4 жыл бұрын
Mungu nisaidie nisiweke Ubongo wangu kwa Wanaume. Nimekuweka wewe wa kwanza ktk Maisha yangu. Na pili Watoto wangu endelea kuchochea Moto huu ndani yangu.
@kelvinhomba40683 жыл бұрын
Sa utapataje watoto bila mwanaume au una watoto tyr
@reginadavid5678 Жыл бұрын
Amen kabisa inaumiza sana
@salmaabdul6154 Жыл бұрын
Amen 🙏
@liannsambu7264 Жыл бұрын
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
@WardaSaid-gg8qk11 ай бұрын
Kwakweli wanaume wenyewe hawaeleweki😂😂
@jacklinejames6991 Жыл бұрын
Hapo kwenye simu ni kweli kabisaaaa.... Kwa sababu nayapitia haya
@mockyjohn35284 жыл бұрын
Ongera sana kaka, hayo unayosema ni kweli kabisa
@justinmmbando53864 жыл бұрын
Asante sana kaka Yangu
@miriamelias69733 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hichi unachokisema Asante sana
@johngumbi3171 Жыл бұрын
Thanks kaka mauki you are amazing nimepata madini sahihi kwa wakati sahihi. Unapatikanaje kaka nahitaji kukuona
@officialarafa65112 жыл бұрын
Haya mazingira ya simu ni 100% true👍
@rosetagaye57314 жыл бұрын
Ni kweli kabisa yan hiyo ya2 inanihusu Mungu anitie nguvu kwakwel
@mashamramba34613 жыл бұрын
Safii kabisa bwana daktari
@HadijaSalim-qx8fw Жыл бұрын
Good work u have help me alot..👌
@njaumage2123 Жыл бұрын
Dah kaka nakukubali salute kwako
@husseinchai1133 Жыл бұрын
Asante Sana
@jumamagangajuma88584 жыл бұрын
Hongera san
@rachelsteven18813 жыл бұрын
Naomba namba zako kaka ,nahitaji ushauri wako sana
@gffghgfdd90042 жыл бұрын
Asante sana
@fredyaddy50243 жыл бұрын
Good doctor
@evefesto19854 жыл бұрын
Nimekuelewa Kaka
@mercyadangahi19912 жыл бұрын
Am proud of you coz you always speak the reality. All this have been passing through my life and l couldn't persevere l had to quit coz longer change
@tausimbilinyi54262 жыл бұрын
0
@btylove18704 жыл бұрын
Simu zinawekwa kwenye airplane mode ukiwa nae!! Inasikitisha sana mauhusiano ya sasa fake fake fake
@estamathew51672 жыл бұрын
Mmh wanamme hawa mbwa
@HajiKahema-tw5to4 ай бұрын
😢😢😢😢
@julianamgoha23573 жыл бұрын
aiseeee uko sahihi kabsaaaa
@mercylinekerubo6425 Жыл бұрын
Very very true
@rosenelima86183 жыл бұрын
Haya ndio wa kwangu ako nazo kwa sasa mungu nitie nguvu
@catherinenasambu53663 жыл бұрын
Thxz Chris point noted.. 🌹💕
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Asante sana Catherine
@sturbbornvideoz85473 жыл бұрын
Nimependa contents zako kaka, apo kwa kuchelewa kutoka yananikuta ila bado namchunguza
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Kwelii dr 4
@zaharamohamed32542 жыл бұрын
Hatari sana
@francinechirezi5063 жыл бұрын
Ume nifurahisha eti kweli uki hona sim hake ahina hata sms
@yustamwasakujonga55313 жыл бұрын
Asante Dr
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Asante sana
@ashnaom2270 Жыл бұрын
Kwenye cm apo mmh, nilisoma naniii mbili nikamkamata nilimtega KWA sms nika ona cm nikiwa nae atumii naaki iweka anaifunika kioo, nikipika niko mbali nae anachat yuko bz , kunamda UKIWA nae ukimwekea mkono anakutoa, anaku ambia joto pia anataka utulivu alale, ukiaga kutoka anafurah saana, ilA ninajifunza sana nakala zako, asante
@meaningoflife651 Жыл бұрын
Manukato, kuchelewa kurudi, na kufuta msg zote kwenye cm na kujipenda anajali sana anavotoka kwenda kazin apendeze hii tofauti na zamani yani ckuhzi atapima nguo mbaka basi ni kaanza kubarika ivi karubuni tokea nijifungue sasa mtoto wetu ana miezi 6 sijui ata nifanye nini kosa dogo nkikosea anakua mkali ananuna ata week aisee nashindwa kuelewa sometimes natafutiwa vikosa tu ilimradi nionekane mkosaji nakubari Naomba msamaha anakwambia yameisha lakn hakuongeleshi yan sijui nfanye nn navumilia kwa sasa kwasababu ya mwanangu ntakapo muachisha ziwa akifunga tu mwaka ntaangalia utaratibu mwingine apa Naona sina changu kabisa
@FatmaMohamed-fh1vv8 ай бұрын
Wangu ana mengi Kati ya uliyoyataja. Na nimepeleleza na kugundua kuwa kweli.
@sintaaugustino9093 жыл бұрын
Ukweli mtupu
@danielshemi11774 жыл бұрын
Dr mauki I am happy with your counselling which has motivated me very much. God bless you.
@ChrisMauki14 жыл бұрын
Thank you sooomuch
@eddywiser16493 жыл бұрын
God help me
@mariamassouman87804 жыл бұрын
Thx a lot Dr...kwenye signal 1 haswa kama umepiga ramuli 😂😂😂iyi topic kizazi sana
@user-kf5fy5pe9z3 ай бұрын
Fact
@smartonlinetv51442 жыл бұрын
Sometimes mtu hubadilika kutokana na Hali ya maisha kubadilika au upeo wa kujitambua kuongezeka. Pia hata swala la cm, wakati mwingine mume/mke anailinda cm kutokana na aina ya kazi aliyonayo, inawezekana kazi aliyonayo inahitaji confidential zaidi,kuwa mke au mume haimaanishi eti ushinde na cm au ufahamu each and every thing. Kuna baadhi ya kazi Zina masharti kama hayo kuwa mke /mume asishike cm yako mara Kwa mara may be itokee kama an emergency. Kikubwa ni kufahamiana tu na uaminifu utawale.
@sebastiancosmas7920 Жыл бұрын
Mfano Kaz gan? Hapana sio kweli hapo kuna matabaka 2,humwamini,hujawa tayali kuweka waz mambo yako kwake ,
@jibabahbah51883 жыл бұрын
Yani umenigusa hayo yote ulioyasema ndio yanitokea kwa sasa
@jibabahbah51883 жыл бұрын
Naomba unisaidie wako nifanye nn doc
@rispathequeen4 жыл бұрын
Hiyo yote Dr hilikuwa ya kwangu thax is truth about my past.
@wilsonnsalanje78414 жыл бұрын
Pole dada. Na sasa vipi?
@Awatee4 жыл бұрын
Pole san mahusiano nitayaskia kwa watu tuu kwa sasa siapi lkn mhh kwa kwel wanaume wa sasa asilimia kubwa waache wapendwe na mama zao tuu ctaman bora niwe peke yang
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Hapo kwenye cmu ndo penyewe sku hiz🤣🤣🤣🤣
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
🙏🤔
@estamathew51672 жыл бұрын
Jamn mm cwaamini kabisa wanamme ,,,hivi viumbe mmh😪😪
@nickkinyangai75214 жыл бұрын
Brow uko vzr sana keep it up kaka tuokoe
@christinachazy8644 Жыл бұрын
Kweli Yani hawa wanaume wanaume wanatutesa sana Yani bac tu
@janethmwacha93554 жыл бұрын
Mbona dr unaongea ki probability..
@AbubakariDaudi-zs6wp Жыл бұрын
Kiukweli ayo ndio maisha nayopitia kaka
@collinsolero3688 Жыл бұрын
100%
@eliudboniphacemkude2058 Жыл бұрын
Mimi mpenzi wangu kanunua simu na kasajiri laini mpya na hataki nijue kama kanunua hivyo vitu na hiyo laini haitumii kuwasiliana na mimi yan kwasasa sina hamu nae kabisa na mpaka namuogopa saana
@marymusangi55684 жыл бұрын
naomba namba yako pzy
@daggie25423 жыл бұрын
Unachoma man
@neemamakuyafaustine29392 жыл бұрын
Me. Nataka kumuacha. Mume wangu tabia zake chafu
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Muite mwambie Kwa UWAZI na upendo
@bahatikimario39412 жыл бұрын
Yote umegusa sehem husika
@seifseif681 Жыл бұрын
Dr criss naomb niwasiliyne na ww naomb namba
@frostworrier57484 жыл бұрын
Dr nahitaji ushauri wako
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Kwenye dalili ya nne imeningusa sana
@zainabumussa6972 жыл бұрын
Kaka naomba unitafute namba zangu nimeacha hapo please
@esthermademba40433 жыл бұрын
Napend xna ushauri wako kaka
@antoniojovenssalassini6686 Жыл бұрын
ilo nikweli, muidumbe msumbiji
@okandafu80453 жыл бұрын
Chris you streghthen me everytime i listen to you..how can i talk to you in person..
@ameerzain68572 жыл бұрын
I dont mean to be so offtopic but does someone know a tool to log back into an Instagram account?? I was dumb lost my account password. I would love any assistance you can offer me
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Dr namba zako kwa ushauri zaidi na zaidi
@janeshangii73304 жыл бұрын
Hongera Sana docta kwa mafunzo
@Kal-Mary4 жыл бұрын
zitizame kwa iyo comment ya ju yako amezipana
@naslaibrahim5803 жыл бұрын
Nakuomba unisaidiye dc mim nin mwanaume niko naye myaka2 lakini tunakalibiya gufunga ndoa amenikataza kuwa namuuliza ao kuchukuwa sm yake je mbon ninamashak nae nifanye nin
@carzolaalone31263 жыл бұрын
Anakupenda hataki uumie🥳
@nailatkatanga53422 жыл бұрын
Samahan Dr , mm ni msichana wa miaka 20 Nina boyfriend ,nipo nae kwa Sasa tuna miaka ,5 , na tunapendana Sana, lakin kilio changu kwasasa ni dalili usemayo ya simu , nimeshawah kukuta message za mapenz akichat na mtu mwingne , na nilisha samehe Mara kwa Mara , lakin bado mpaka Sasa wanaaendelea kuchat , na anamtafuta , DR CHRIS nlikua naomba ushaur wako ,kuhus hili , je niachane nae au nifanye plse
@hassanrajabu7242 жыл бұрын
Endelea nae tu miaka mingi sana hiyo
@swalhinajuma41494 жыл бұрын
Me ndo sisemi
@yasintakasunzu62654 жыл бұрын
Mahusiano ya sasa ni msalaba, wa kwangu kama anaenda chooni anayo, bafuni anakwenda nayo hata umeme ukiwepo, siku moja usiku alipigiwa simu akakata baada ya hapo akatext fasta, nilipo hoji nilipigwa kipigo cha mbwa mwizi, ila yeye sasa simu yangu anaikagua kila dakika. Wanawake hatuna furaha na mahusiano yetu.
@shanawilliam10503 жыл бұрын
Daaaah mbaya sn
@happymarko97293 жыл бұрын
ilike it doctor
@kilumamboje98542 жыл бұрын
Jamani pole mpendwa ata mie nayapitia
@zakiayasin47822 жыл бұрын
Kwel umegusa kwenyewe
@maryamsaid13072 жыл бұрын
Pole dadngu
@hildamoi783 жыл бұрын
Doctor nahitaji ushauri wako
@ChrisMauki13 жыл бұрын
0713407182
@mwanaidhassan2293 жыл бұрын
Pia hasira zisizo na maana ukali ukali wa kijinga red flag 😂😂😂
@luciamutongore7993 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌achaaaaa
@nsabimanalovelly77083 жыл бұрын
Kabisa
@estamathew51672 жыл бұрын
Daaah yaan ata mm hicho kitu kinaniuz sana😪😪
@leahkhatoroinjenikhatoroin61513 жыл бұрын
niulize kuna vile hizi tabia zinaeza kubadilka ama ningumu?
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Inawezekana kama mtu amedhamiria yeye mwenyewe
@josephinealpha185 Жыл бұрын
Ni vigumu kubadirika tabiya hizi
@rajabalbert16923 жыл бұрын
Nitumie namba yako
@ChrisMauki13 жыл бұрын
0713407182
@tatukarata60722 жыл бұрын
Na Kama hajipend kila ukitaka awe simat hamna hapo vp
@grancebeuty24434 жыл бұрын
Kwa iyo nisijipende jmnn au kuvaa vzr duhh hii point naikataa
@Maggie-yx8pw4 жыл бұрын
Haujaelewa anasema Mtu anabadilika ghafla wakati c kawaida yake.
@elibarikikateman58464 жыл бұрын
ukiciliza maelezo aliyoyatoa utaelewa vzur, rudia kuckiliza hyo point
@hellenkellen82732 жыл бұрын
Sure
@estamathew51672 жыл бұрын
Hujamuelewa kabisa
@smartonlinetv51442 жыл бұрын
May be anabadilika kutokana na kujitambua au Hali ya maisha kubadilika Sasa ataachaje kujipenda? Kuna baadhi ya point hapo Dr umeteleza kidogo. Hata kwenye cm pia wakati mwingine anailinda kutokana na aina ya kazi aliyonayo Ivo inahitaji husiri zaidi. Ivo lazima utazame na aina ya mume ulienae.
@saadahussein11584 жыл бұрын
Naomba no yako ya simu
@ChrisMauki14 жыл бұрын
0713407182
@meshackally90573 жыл бұрын
Mauk me nashida ya ushauli me napati kana dodoma naomb ushauliaako no yangu 0679684092 ningepa ya kwako nikupgia n0mba sana