Listening to ur daily classes have changed alot in my life,,I was not confident but now I am,, thanks for ur learnings,, I really appreciate you bro..
@magdalenamwapinga48475 жыл бұрын
Iyo point ya mwisho kwangu ilifanikiwa ni siku ambayo niliweza kuongea mbele ya watu wengi.Maandalizi ya kile unachokipresent ni muhimu sana hasa kwa ambaye hujawah kuongea mbele za watu
@jescakabyemela24835 жыл бұрын
atukuzwe Mungu aliyekuinua ili utufunze. Napata sana nguvu ya kujenga ujasuri. Ubarikiwe kaka JN
@hezronphinias82463 жыл бұрын
Yeap
@ninaelrichard1800 Жыл бұрын
Mungu wa mbingu na nchi akupe kuona zaidi na zaidi yale yote anayotaka kupitisha kwako kwa ajili ya wengi,macho ya moyo wako yazidi kutiwa nuru,na akili zako Mungu azidi kuzihifadhi kwa ajili ya utukufu wake.namtukuza Mungu kwa ajili yako. Utukufu na heshima zimrudie Mungu.
@AyubuBayo3 ай бұрын
Kabisa
@lucydaniel34565 жыл бұрын
Nmeanza kukuskiliza leotu na nahs unanispy maisha yangu mana unanizungumzia kwa asilimia mia
@omarykitua3843 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana unatusaidia sana kutujenga kimawazo na kiakil ila me ulichoongea leo ndo kimeniingia sana man kiukwel Sina ujasir wa kila kit ambacho umekiorodhesh hapo na iyo inanipelekea hata kufungua biashar naogop man hat mwanzo nahofia itakuaj nan atanipw ushaul nm nifany niwez kuw km wengn😢
@mwajumamwishehe34235 жыл бұрын
Kujiamini kwako ndio mafanikio yako 💪💪na kukubali sana kakangu 🙏🙏
@neemamigeto67102 жыл бұрын
Kaka najikuta nainuka kila siku kwa jili yako 👏👏
@umojadaycare8441 Жыл бұрын
Kwa ujasiri namshukuru Mungu nafuatilia Sana Masomo yako yananijengea ujasiri zaidi Ila napambana kumaliza madeni ndio niwe jasri zaidi. Ubarikiwe
@happylarry55205 жыл бұрын
Binafsi nlikuwa naogopa sana kutoa speech mbele za watu lakin baada ya kuanza Mara moja tuu nikaongeaza ujasiri ..thanks brother.
@joshuasimon49023 жыл бұрын
Mungu akupe uwezo wa kuzidi kutufundisha kwan sasa mm nilipo nimesha naendea kutimiza ndoto zangu kweli umenifundisha sana na nimeona mabadiliko katka maisha yangu sasa.
@zuhrasaid31854 жыл бұрын
Napenda sana uwepo wako coz unagusa maisha ya watu na unabadilisha maisha yao kupitia mafunzo yk ,Mungu akubarik
@smg2755 жыл бұрын
ACHA NISEME AHSANTE SANA. hakika mungu akubaliki katika maisha yako yote Nimeweza kugundua vitu ving kupitia ww Nakushukulu sana umekua na mchango mkubwa sana katika kujitambua kwangu Nakushukulu kaka #NANAUKA I love you so much 😘😘😘😘😘😘
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
JOEL wewe ni mwalimu mzuri,nimependa hiyo mada,be blessed kakaNanauka
@editordominick68795 жыл бұрын
Asante sana even I nina tatzo hilo ila nashukulu ivi confidence inatokana na aibu au
@esthermweteni15685 жыл бұрын
Nimejaribu kufuatilia ma Motivation speakers wengi wa TZ nimegundua JOEL NAUKA is the best kwa kuwa anasoma sana vitabu
@msafirikomba46734 жыл бұрын
Kabisaaa yaani me ndio nimemjua leo nilikua namchukulia poa sana
@joelnanauka4 жыл бұрын
msafiri komba tuendelee kujifunza
@thedon846711 ай бұрын
Namba Yako kaka naomba
@Lusimo Жыл бұрын
Mungu Akubariki Sana kupitia wewe najiona nimebadilika mno Asante Sana
@sayyidtawaqal17545 жыл бұрын
Brother mm sina shakukulipa ila nakuombea mafanikio zaidi kwasasa ila nimepanga nikifikia kiwango flani katika mafanikio yangu nitakutafu tukiwa hai kwani kwakweli unasaidia sana. Ee mungu akubariki na akulinde amiin
@EmmanuelMoswala-pj4hu Жыл бұрын
GOD BLESS YOU BROTHER MUNGU AKUBARIKI SANA AKUPE MIAKA MINGI KAMA NAMB ZA NIDA HAPA DUNIANI WATU WATU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA ASANTE KWA KUNIPA MAARIFA
@halimamusa94973 жыл бұрын
Asantee,, m ni binti ambae niwachini sana pia mzazi ambae nilikuwa nikimtegemea hayupo tena katika dunia hii na aliniacha nipo kidato cha 1 lakn nilimaliza from 4 kiugumu na sikuendele mpk sasa nipo mtaani chcht lakn Nina malengo yakuwa mfanya biashara lakn nakuwa hafu at ujasili sina. Nakuomba kaka unisaidie kwa hili
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Thank you Very much my Brother JOEL actually you're my Best Mentor of all the time, god bless you 🙏🙏🙏
@isayamasawe58732 жыл бұрын
Nakubali mzee
@steveofficial40743 жыл бұрын
Mi kweli nahitaji sana kuwa muimbaji napokuwa mwenyew nafanya ila kwa ndugu zangu na marafiki hawajui naogopa kuwambia .nifanyeje niwe strong
@judithrwegasira40234 ай бұрын
Mimi nina kigugumizi, nimezaliwa hivo, hii hali inanitesa sana kwenye maisha yangu, confidence ninayo ila hali ya kigugumizi, inanifanya nakua muoga ata kuongea na mtu, nimeshafanya therapy nyingi ila ndo kwanza nazidisha hali hii, nateseka sana kuna wakati namlaumu Mungu kwaninj aliniumba hivi kati ya wengi
@exzaverymichale76735 жыл бұрын
Mr.Joel nashukuru sana nimeamka kwakukusikiliza nimeongeza kitu ktk maisha yangu!
@amykhalifa25353 жыл бұрын
Nataka amani na fulaha vitawale maisha yangu hofu siitaki tena
@ammackdy1836 Жыл бұрын
I get you broo, Mimi upande wangu naweza kuwa nasema tuu kwa mdomo siogopi nguza za giza lakini huwa nahisi kuchanganyikiwa pale ninahisi labda kuna nguvu ya giza imenipata au ilishawahi kunipata, jamaan katika hili naomba msaada jinsi ya kubreak through , sababu nashindwa kufanya mambo yangu kabisa
@MnyaluHassan-ic7iz Жыл бұрын
Yaan sura Yako mda wote Inatabasam sijui hata unawezaje congrats brother
@joshuanatukai17372 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa masomo na ukitaka kuvikisha malengo inataka uwena marafi Wana muna gani
@frankpatrick22933 жыл бұрын
Respect kaka, you're more than teacher
@AllanAlex-wd2ju5 ай бұрын
Mungu akuweke sana kaka
@Mishaeligospel9 ай бұрын
Asante sana mi nimejifunganza katka kitengo cha kwongea mbele za watu ili kua ni tatizo kwangu asante
@adammsema64185 жыл бұрын
Mwalimu nashukuru sana tena sana kunavitu vingi umenisaidia.ongera na Mungu akubariki sana
@Bakari-fp3zr8 ай бұрын
God bless you💪🏿🔥
@steveofficial40743 жыл бұрын
Nashukulu sana kwa kujifunza ila bdo natatizo lingine Yani kuhusu kusoma nikitu nashindwa kuwa bize nacho
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Anza kusoma kila siku page 10
@SinyinzaDavidАй бұрын
Hatua ya tano ni muhimu sana kwani maandalizi ndoa kila kitu lazima uwe na ujasiri kwasababu unajiandaa mapema kwangu nitalifanyia ka,zi ilo asante sana tunakutegemea wakati mwingine kwa mwongozo
@anandemungure44353 жыл бұрын
Appreciated Mr Joel 🙏 your real a mentor,coacher and everything to whoever listens to your Talks. Keep on opening life of people course learning is ongoing. Big up Brother 🙏
@hasanihamisi5553 жыл бұрын
Asante mungu akbariki umenisaidia tangunikujue
@editordominick68795 жыл бұрын
Ujasili wa kuongea na mtu nliyekaribu nae Sina. kwenye group, vikao, Nina ujasiri Sijui nifanyeje
@kindyuba81405 жыл бұрын
Napenda xana maxomo yko mungu. Hakubarik ili uendelee kuelimmisha jjamii
@euberthchedego19884 жыл бұрын
Asante Sana brother. Umekua Msaada sana ktk mwenendo Wa maisha yangu.mungu akubariki sana.
@Mwamba675 жыл бұрын
Hapo kwenye mind reprogramming umenigusa teacher....!!! Asante sana mwalimu...!!
@bakariabdallah86715 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri, naomba uandae somo la namna ya kuwa na Sauti nzuri ya kuzungumza mbele za watu
@rosemasune8404 Жыл бұрын
thank you my brother
@jeremiamussa79105 жыл бұрын
mungu na akubariki sana
@raheemamkambha60135 жыл бұрын
Mimi nataka kuwa na confidence ya kuacha kazi ya kuajiriwa
@jenipherwenslaus95965 жыл бұрын
Nashukuru sana kaka angu nimejifunza kitu ktk hilo somo...... Am strong 💪
@psychtoday77323 жыл бұрын
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra kzbin.info/www/bejne/hoqbkn-aq81jebM
@giftmathewlyamuya27525 жыл бұрын
ni kweli ukijilinganisha na wengine ambao wako juuu kuliko ww lazima ujishushe thaman
@abdoulkarenzo31384 жыл бұрын
mimi najiandaaga vizuri kabisa zidi ya mitiyani lakini nikingiya katika mitiyani moyo unakuwa na stress kama mtuninakimbizwa saana adi pale vitu nilivyosoma amo nabijuwa vinanikimbiya kichwani sasa nifanye nini katika ilo tatizo
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
HALLELUYAH Point 4.Natamani Sana kuongea KIINGELEZA(KING'ENG'E/English Language) Jambo linanisumbua Sana ASANTE I
@DerickMayunga8 күн бұрын
Asante Sana, elimu nzuri Sana nimeipata
@nolascolwiva16483 жыл бұрын
Asante sana ngoja nianzie mazoezi
@SelemaNdulabiАй бұрын
Mimi naiogopa kuandika mbele za watu lakini chanzo ilikua napigwa Sana shuleni hivyo nikawa namuogopa sana mwalim wangu hata nikiandika sipeleki kwa mwalim hivyo mpaka sasa napata shida sana kuandika japo najuwa kuandika ila kwa sababu ya hofu na wasiwasi ulojaa ndani yangu najikuta natetemeka Sana nikitika kuandika mbele za watu na inaniumiza sana
@danstanmangube11525 жыл бұрын
nimeiza hasubui yangu vizuri kwa kukusikiliza kaka Joel
@stephahObimo5 жыл бұрын
Nimejifunza brother mungu akubaliki
@mwanamkasihabibu99155 жыл бұрын
kwel kabisa Kaka kupitia ww nmekuwa mwenye mabadlko
@happinessgodfrey20875 жыл бұрын
Shalom Kaka Joel, Asante sana kwa mwangaza unaonipa siku hadi siku. Binafsi napenda sana kufanya kazi ya jamii ila nimekua na woga wa kuanza,Naogopa kuongea hata kanisani nikipewa nafasi nakimbia kabisa. Nina uwezo wa kiandika jambo ila ukinipa nafasi ya kulizungumzia mbele za watu nakosa kujiamini kabisa.
@manjalentugwa409 Жыл бұрын
Kwakwel brother umeupga mwingi Sana nabalikiwa Sana na ww na umechange mawazo yangu negative kuwa positive
@worshipertv99685 жыл бұрын
Asante bro joel nipata kitu kikubwa
@mo.kudrakambi9617 Жыл бұрын
Nikweli kaka najikuta natamani kujua namna gani naweza kusimama jukuani nakutoa mawazo au pendekezo
@ukhtysuuvlog4702 жыл бұрын
Unaelimisha Sana kakaangu.... Ila jitahidi uwe unatoa salam
@olivanooraladin5436 Жыл бұрын
Thanks brother
@yohanaayeko78694 жыл бұрын
Mimi nilisemaga siwez kabisa english na kweli nilifeli kabisa!🙏
@babapeace8355 жыл бұрын
Shukrani kiongozi kwa elimu bora zaidi hata class hawafii haya ulivyoyaelezea.Bigup
@ditrammsemwa79155 жыл бұрын
Lunges Mbele za watu
@modesthenrykitange23975 жыл бұрын
well stated brother. Be blessed!
@rolandpaul94654 жыл бұрын
Mimi huwa ninakuwa na positive na negative thoughts, ila negative huwa zina dominate kwa kiasi kikubwa. But Leo nimwjifunza kitu kutoka kwako brother @Joel Nanauka Be blessed
@psychtoday77323 жыл бұрын
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra kzbin.info/www/bejne/hoqbkn-aq81jebM
@user-os9nb8ub6k Жыл бұрын
Asante kaka uko sahih
@kasarambajuma2703 жыл бұрын
kasalamba juma Joel nakubaliyana naelimu unayoitowa nawezaje kupata kitabu chako
@happynessruge90165 жыл бұрын
asanteee sana bro umenibadili sana tangu nlivyokujua umenigusa kwenye practice wat u afraid
@sarahburetta8547Ай бұрын
Asante kwa somo zuri
@joseefaidabutu64675 жыл бұрын
Asante sans kaka, mimi hii tabia yakujilinganisha inanisumbua sana nitajitahidi kuishinda ,ubarikiwe
@lilianbenson57744 жыл бұрын
Asante sana Mr. Joel kwa somo nzuri .mada ya nne "practice what I afraid " kwa kweli nitalifanyia kazi .thanks
@neckikikoti62563 жыл бұрын
Ahsante Sana Mungu akubariki
@habibadaudi8242 Жыл бұрын
Mungu akubariki kk
@Tobejr27 күн бұрын
Tangu nimeqnza kukufatilia ninaconfidence ya hali ya juu,,,
@jameskaizilege16922 жыл бұрын
Asante kaka mungu akubariki
@chamlungemmnanuel4542 Жыл бұрын
Kabisaaa SoMo nzur sana
@charlesmafumiko60273 жыл бұрын
Umenigusa sana apo nitajitahidi kujiamini
@issakabogo49435 жыл бұрын
Duh! Asante sana bro hiyo point ya pili ntaifanyia kaz 👏👏
@salumsaid85156 ай бұрын
Nimekuwa nikishindwa kumwambia mwanamke nakupenda kupitia mdomo
@issayamsyani78425 жыл бұрын
Practise positive self talk Thank you sir
@miriamclemence39733 жыл бұрын
Asante Kaka na Mimi nilikuwa Hali hiyo
@godwinmrema82395 ай бұрын
Kujieleza kwa mapan pamoja hofu ya kuogopa kuwa watu watanionaje nikisemq kitu falani kizuri
@ndoomapaulo61894 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa somo nzuri
@hedachale84692 жыл бұрын
Asante Kwa memtoring
@anthonykimaro8075 жыл бұрын
Be Blessed brother
@user-kt6tm5du1w6 ай бұрын
thanks teacher nimependa hii
@evenicemmbando17055 жыл бұрын
Much thanks bro i do gain something
@hassanmasuke50785 жыл бұрын
Thanks for the detailed message bro #Nanauka
@asifiwekayolechaula5566 Жыл бұрын
Mungu akubaliki
@user-nn6zq1ok7i3 ай бұрын
Mm ninapoint sana ila namna ya kuwasilisha mbele ya watu ndio shida
@edvesterdamas30614 жыл бұрын
Nitalifanyia kazi
@jimmyassey953729 күн бұрын
Barikiwa sana Bro kilaspichi yako na gain Mnoo
@jonasjohn90485 жыл бұрын
Kweli bila uthubutu huwezi Fanya chochote.
@mickeymikii10405 жыл бұрын
Practice what you’re afraid 👈👈 it's touch me big up nanaukaaaaa I'm very proud to subscribe your channels
@julietmateru5789 Жыл бұрын
Kaka una madini ya kutosha.hongera sana.
@giselamassawe59893 жыл бұрын
Lugha ya kiingereza nitajitahidi kufanya mazoezi mengi na kwa muda mrefu zaidi
@esternzumbi18885 жыл бұрын
Thanks kaka 2019 kwangu mwaka wa mafanikio...... God bless you.....🙏🙏
@nevermind47892 жыл бұрын
Self talk self fulfilling prophecy
@groupelescherubinsgoma3 жыл бұрын
Asante mwalimu kwa mafundisho
@rahmahussein40195 жыл бұрын
Very educational video thanks .
@monicadamiani76583 жыл бұрын
Ujasiri Upo Wa Aina Mbili 🤐Ujasiri Wa Leo Yako Bila Ya Kujali Kesho Yako Na Ujasiri Wa Kesho Yako Bira Kuifurahisha Leo Yako 👌Ni Maamuzi Yako Binafsi Ni Maisha Yapi Unataka Kuishi 🤔Na Wanadamu Wenye Tabia Kama Rangi Nyingi Za kinyonga 🗣🗣🗣