Samia suluhu hatufai watanganyika tumukatae Kwa nguvu zote
@kasimkassam95652 ай бұрын
wewe sio mtanzania rudi kwenu rwanda
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Samia aondoke atuachie tanganyika yetu
@marwamagere2 ай бұрын
Ondoa Samia suluhu hasani Tanganyika
@JacksonFrances2 ай бұрын
WATANGANYIKA WENGI HATUJITAMBUI,, TUNA WOGA na HOFU KUPITILIZA LINAPOKUJA SUALA LA KUDAI HAKI YA KWEĹI ,, KUTOJUA VIFUNGU VYA SHERIA na KATIBA,, na KUTOTAMBUA na KUTOKUWA NA UCHUNGU WA RASILIMALI ZETU ILI KUZIPIGANIA na KUZILINDA"
@gowekogoweko58032 ай бұрын
Tuambie Doctor Willbrod Silaa
@healingclinic6982 ай бұрын
CCM ni washenzi sanaaaa tunapata shida ya mtandao kumbe wao ndio wameagiza hivi hiki hawa watu wana mpango gani na nafsi zetu sisi watanzania furaha yao ni kuona tunateseka tunaishi kwa shida na mateso wao wakiwa wamekaa kwenye viyoyozi ipo siku tu mtafika mwisho na nyumba zenu zitageuka magofu
@bahatikulwa562 ай бұрын
Mungu Akubariki
@hildandumbalo58272 ай бұрын
Inauma sana asante sana Dr Slaa Mungu akulinde na akubariki sad !
@user-ii3xo5jw9y2 ай бұрын
Dr Slaa ni kweli hatuna njia nyingine zaidi ya Kufia nchi yetu. Tusipo kubali kufa damu zika tapakaa majiani hawa CCM hawawezi kuachia madaraka.
@salummohamed26892 ай бұрын
Maandamano yasiyo na fujo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
@hajihassan54332 ай бұрын
Binafsi sijawahi kuona wala kusikia.
@bensonkaduvage95492 ай бұрын
Dr. Slaa is right in addressing the subject matter to the standing president, kwa vile kwa mfano "why did she & her CCM ... ' Stone' on the issues of reconsolidation? Mwizi aitwe mwizi na anaeshikwa na "ngozi" Ndie mwizi wetu!!!
@ChanzoTvOnline2 ай бұрын
Asante kwa comment yako. Vip kwa lugha ya Slaa ipo sahihi kumkosoa Rais? Tujadili pamoja
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
@@ChanzoTvOnlinendio Yuko sahihi kama ana hofu ya MUNGU abadilike, ajitenge na genge la wahuni lililopo ndani ya CCM
@MichaelJoashi2 ай бұрын
Sema doctar
@adelinelyaruu30362 ай бұрын
Wenye MASIKIO na wasikie 😢😢
@NizoTV2 ай бұрын
Hana uchungu na Watanganyika, wamasai wanafukuzwa kwenye uasili wao bila huluma
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Anafanya hivyo ili kimaliza Tanganyika. Tunataka KATIBA. TUFIKIE MWISHO KWA CCM WAFURAHIA
@issaramadhani91412 ай бұрын
Tatizo la wanasiasa wetu hawaaminiki na walishagundua ss watz ni rahisi kubadilishwa fikra, leo hii mwanasiasa atakueleza hoja nzito kesho akioneshwa fungu au channel ya pesa anawabadilikia. Mfano huyu Slaa wakati ameteuliwa kuwa balozi na serikali ya ccm alikuwa kimya na akawa anawaponda chadema leo hii yuko nje ya system anaongea kwa uchungu tushike lipi? Tatizo wengi wanapigania matumbo yao sio ukombozi wa Umma.
@healingclinic6982 ай бұрын
Aliondolewa kwenye ubalozi au uliukataaa
@HalidMuhammad-gi9qy2 ай бұрын
Tusimkufuru mungu hakuna binaadam asiekosea na kukosolewa ni wajibu kwa binaadam hakuna kosa
@ChanzoTvOnline2 ай бұрын
Je lugha ya Slaa ipo sahihi kumkosoa Rais?
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
@@ChanzoTvOnlineyapu kwanini asokosolewe yeye ni MUNGU? Anapaswa kijirekebisha kama ana hofu ya MUNGU
@husseinothman12572 ай бұрын
Kama rais Samia angelimuacha na ile nafasi yake ya ubalozi asingeyazungumza hayo, hizo ni hasira tu kwa kutemwa. Kwani kampuni ya ticks pale bandarini ilikuwa inafanya nini na hii dp world inafanya nini au kosa la kampuni hii inatoka nchi za kiarabu ile ticks kutoka uchina kulikuwa kimya.
@abdalahgunda13192 ай бұрын
It the time ccm leadership prapar for crush social security on that effect east Africa electronics we doughty possibility of ply around before election it can be there because of fear social media
@ndimimaskati36412 ай бұрын
Tanganyika haifuati Sheria inawaonea wananchi.
@gowekogoweko58032 ай бұрын
HUJATUUDHI DOCTOR MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU
@user-zk9ox3di4b2 ай бұрын
asante sana watanganyika nikweli atuna raisi Bali tunaongozwa na magenge yalio jificha nyuma ya Samia ondoeni hiki kichaka chenu Cha muungano na Tanzania iiitwe tanzanaiti jina jipya la madini yetu makubwa barani afrika na dunia ituelewe hivyo yakwamba tumeamua kutangaza madini yetu kuwa jina la nchi yetu wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu
@MrKhatibu2 ай бұрын
Mtanganyika gani aliwahi kuwa Rais akawa na uchungu na mali za watanganyika? Nyerere aliwafanya mfike kutembea makalio nje, kuwaingiza kwenye vita bila sababu, kufanya nchi masikini ya Kutupwa, Mkapa yeye aliwapa mitaji Yote ya uma kwa watu wachache. Kikwete ndio hasemeki. Magufuli kawatia kwenye madeni makubwa
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Watu wa CCM BADO WANAONGEA UONGO MKUBWA.HIYO NDIYO ILIBAKI TU. HUYO TUTAMDHIBITI. CCM NI WACHAWI WAKUBWA
@bongo392 ай бұрын
Babu wa mipasho anajua kika kitu kikiwa siri au zahiri tunafanya mpango aingie tot kwa ajili ya kuimba mipasho
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Mkuu wa jeshi alileta habari kwake kuwa jeshi limejaa watu wa inje ya Tanganyika. Mbona hajafanya lo lote. Lasilimali zetu zinaisha kwa warabu. Kwahiyo yeye anapigania warabu.
@user-sl1ko9me7u2 ай бұрын
VIVA COMRADE SILAA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUIUNGE MKONO CHADEMA.
@bensonkaduvage95492 ай бұрын
Dr Slaa, usimusahau Much. Xtofa Mtikila aliye simamia na kuhubiri maswala ya Tanganyika na Watsnganyika siku zote za uhai wake!!
@simongwandu73922 ай бұрын
Mheshimiwa Dr. Hivi Raisi anahusikanaje na Internet Aumnamchafua tu niliamini kwa umri wako ni Busara lakini badala yake
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Kwani unaweza kuondoa title kweli? Atakapofungasha mizigo yake kwenda kwao Zanzibar au uwarabuni dr.atamwacha na urahia wake na ubalozi wake uko pale pale kwa sababu alimaliza na kuondoka kurudi nyumbani kwa heshima ya balozi. Hakuharibu kitu huko ubalozini sasa kwa nini aone shida. Kwanza kama umesoma sawasawa unaweza kumunyang'anya mtu title ila wasomi wa kuungunga ndivyo walivyo. Maana wamefika mahali walipokuwa hawategemii kabisa. Akifika kwa kudura zake Mungu pia hawezi kumkumbuka Mungu aliyemfikisha hapo. Ananza kuwadhibu watu waliokuwa na title aliyokuwa anatamani.
@kasimkassam95652 ай бұрын
sasa slaaa kwenye uchaguzi utachaguwa chama gani miaka iliyo pita ulikuwa mfanyakazi wa mwenda zake leo hiii unasikilizika kama chadema au ndio upepo wa siasa mzeee
@user-vl4rz6lf6d2 ай бұрын
Nyie wapinzani ni wajinga kila hafai Nyerere hafai kaja Mwinyi nae akawa hafai Akaja mkapa nae akawa hafai Akaja kikwete nae akawa hafai Akaja magufuri ambae watanzania Wakawa wanampenda wote nyinyi pia Mkawa Hamumtaki kaja Samia pia hafai huo ni upumbavu Tu na chuki binafsi
@ndimimaskati36412 ай бұрын
Wacheni Ujinga maraisi wote waliopita mbona hamkuwasema, Kikwete aliwaweka Waislamu jela na kuwafungulia kesi za Ugaidi, Mashehe wa Zanzibar wamekaa jela miaka minane bila ya kosz lolote kwa wao ni Wazanzibari na walikuwa wakizungumza kuhusu Muungano.
@hajihassan54332 ай бұрын
Wakumbushe, suluhisho ni kuuvunja. Ni busara kuzungumzia kuuvunja ni hatari zaidi kuvunjika wenyewe na unaelekea huko kuliko kujadili Katiba Mpya.
@evelynmwaimu-vd9jo2 ай бұрын
Uko nje yahoja
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Watanganyika tuamke kama wenzetu wa Zanzibar tutetee tanganyika yetu tuache uchawa kwa CCM, wanzanzibar wanaumoja na msimamo kudai Zanzibar yao tuamke
@marianamontoedi13182 ай бұрын
Is 2 late 😂😂😂😂
@ndimimaskati36412 ай бұрын
Viongozi wa Zanzibar waliokuwepo madarakani wametokana na DHULMA ya 2020 hawajachaguliwa na Wazanzibari wamewekwa madarakani na jeshi la na la magufuli Tanganyika.
@hajihassan54332 ай бұрын
Zanzibar unaielewa ni Unguja na Pemba na kila chama kina nguvu upande mmoja.
@user-eo4bl3do8k2 ай бұрын
Rais anachaguliwa dodoma ,AKISHACHAGULIWA MKITAKA MSITAKE HUYO ANAKUWA RAIS ,,KWA HIYO WAZANZIBARI WANACHAGULIWA KIONGOZI NA MA CCM YA TANGANYIKA ,,WAZANZIBARI HAWAKUWAHI KUCHAGUWA RAIS WANAYEMTAKA ,,KURA NI UBABAISHAJI TU
@LucasCharles-vm5ig2 ай бұрын
😂
@kichenjekichenje20722 ай бұрын
Uchawi wao ni ule mwenge unaopitishwa kila mahali ili uzidi kutupumbaza.
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Daa uhakika uncle aliusimamisha
@paulrwechungura42842 ай бұрын
Silaa tulia huna jipya
@ElibarikiEliud2 ай бұрын
Ukifuatilia comments utaamini sisi watanganyika ni waajabu. hatujitambui kabisa.tunaendekeza ushabiki wa kijinga na uchawa.wenzetu Zanzibar wanailinda sana zanzibar yao na rasilimali zao.kila Rais aliyetoka Zanzibar huja na lengo la kuhamisha rasilimali za tanganyika.watanganyika tumekodoa macho tu. hao waliopewa nafasi ni chumia tumbo tu...
@hajihassan54332 ай бұрын
Kwani kuna Mzanzibar gani aliyewahi kuiongoza Tanzania.
@user-ig3bu6lb5i2 ай бұрын
Unamsema rais sababu alikutoa kwenye ubalozi.utasema sana.hata akija rais mwingine akikunyima nafasi utamseme hivyohivyo.acha
Dk Samia piga kazi usisikilize huyu muflisi wa kisiasa na alieshindwa masharti ya upadre, mtu mwenyewe anaelekea kupata stroke, akapumzike huko Mbulu
@user-ig3bu6lb5i2 ай бұрын
Doct.yote njaa.wewe kila kitu una dandia tu.kwanza tunauliza wewe ni nani?kwa sababu
@obeidchamila63922 ай бұрын
Ww slaa huna sera yoyote ni wivu na chuki tu unaokufanya uwe hivo msaliti mkubwa Kama ww unapata wapi NGUVU ya KUSEMA ? Acha uzandiki huo ,ulikuwa chadema ukawasaliti na NJIA zako Hadi ulipo ni usaliti mtupu mtupu
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Samia anauchungu na warabu wajomba wake au baba zake. Kwni akienda Uwarabuni anatofauti gani anajipigia debe ili wamkaribishe kwao
@hadjihadji1972 ай бұрын
Huyu hana fupa la kukukugunya akipewa fupa hunyamaza kimya. Hebu mpeni tena Ubalozi ataisifia CCM.
@user-lw3tg3yg5b2 ай бұрын
Lambda wakupe wew
@AllyKiduka2 ай бұрын
Huyu silaha shenan
@AllyKiduka2 ай бұрын
Shetani wewe silaha ibilisi shetaniiiiiiiii wa tanzania ni silaha kipindi ya magu halikuongea hili shetani mwalimu nyerere aliyatabiri haya masherani ya ubaguzi yatatokea
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Samia anauchungu na warabu wajomba wake au baba zake. Kwni akienda Uwarabuni anatofauti gani anajipigia debe ili wamkaribishe kwao