DR.SULLE AILIPUA KAKUMA//AFANYA MAAJABU WANANCHI WABAKI MIDOMO WAZI

  Рет қаралды 4,962

ISLAAH ISLAMIC  TV

ISLAAH ISLAMIC TV

Күн бұрын

#tanzania #drsulle #live #islaamic

Пікірлер: 21
@RahmaIddi-s2s
@RahmaIddi-s2s Ай бұрын
Hatuna budi ila kumshukuru Allah Tabarak Rahman Alhamdulillah....Dr sule na timu Yako tunawapenda sana kwa ajili ya Allah 🤲 Allah atuzidishie kheir kwa sote .. amiin 🤲
@mofidamofidda7877
@mofidamofidda7877 Ай бұрын
Ameen YaaRab Ameen ♥️
@MohammadNassir
@MohammadNassir Ай бұрын
MASHALLAH. Live from Mombasa 001. DR. SULE✋️
@RahmaIddi-s2s
@RahmaIddi-s2s Ай бұрын
As-salam Alaykum warahmatullah wabarakat .... waislam Takbriiiiiiiii Allahu Akbar 🤲
@mofidamofidda7877
@mofidamofidda7877 Ай бұрын
Subhana'allah in shaa Allah YaaRab akupe raha na amani dunia na khera ❤ameen YaaRab Ameen
@kudraabdul7257
@kudraabdul7257 Ай бұрын
Allah atuhifadhie huyu kimbe mana akimchukuwa mapema tutakuwa tumepoteza kichwa muhimu sana kwenye ukanda wetu wa east africa
@SayyidAhmadBaalawy
@SayyidAhmadBaalawy Ай бұрын
Allah amemchukua kiumbe bora ulimwenguni mtume saw kwani huyu nani akienda?? Watakuja kumi zaidi yake hilo sio lakuhuzunikiwa bali nikukubali namatokeo na mipango yake allah anapo yafanya. Huna lakupinga
@Zulkamhaji
@Zulkamhaji Ай бұрын
Takbir takbir takbir
@protusmuliro2796
@protusmuliro2796 Ай бұрын
Allah amlinde asije akaondoka kama ustadh imani petro.yahya osea.mzee rico.allah awarehemu
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 Ай бұрын
Masha Allah swadacta
@Ummy-vd6tm
@Ummy-vd6tm Ай бұрын
Allah akupe kilalakher atika dunia na akhera
@abuabdimanan4065
@abuabdimanan4065 Ай бұрын
Mashallah jazakallahukhera
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Waislam hili jitu jizi
@KizibaDunia
@KizibaDunia Ай бұрын
Allah akbar
@peterenos2627
@peterenos2627 Ай бұрын
Dan 3:21 [Basi watu hao wakafungwa, hali wamevaa suruali zao, na kanzu zao, na joho zao, na mavazi yao mengine, wakatupwa katikati ya ile tanuru iliyokuwa ikiwaka moto] Toa mavazi mengine ni yapi? Hakuna mahali Biblia imesema mtu akifa azikwe bila jeneza. Acha uongo.
@milashalladba
@milashalladba Ай бұрын
Ustadh Suleiman naeza kua na jibu lako...$100000😮
@daudisebazungu
@daudisebazungu Ай бұрын
Bwana Suleh bado unaendelea na hayo mambo lakini ? Allah atuhifadhi kwa kweli yaani mtu ataona mchawi kwenye maji 😂😂😂
@peterenos2627
@peterenos2627 Ай бұрын
Hoja za kitoto kabisa. Kila mmoja anaripoti kulingana na tukio, na mahali ama namna ya uandishi. Ebu kila mmoja aliyehudhuria hapo ajaribu kuripoti uliyozungumza, kama kila mmoja atakuwa kurasa zinazofanana, ama maandishi yanayofanana. Mwezi wa 6 toka Elizabeti apewe ujumbe wa kumzaa Yohana Mbatizaji, siyo mwezi wa sita kama June unavyofikiri wewe. Siku za kuzaliwa Yesu, zilitimia. Kwa akili zako Yesu alikuwa Njiti? Nenda Wakristo wakufundishe. Ama toa injili mliyopewa Waislamu
@FarouqNnanguje
@FarouqNnanguje Ай бұрын
Doctor sure ilo swali kuhusu maji yalikaa juu ya nini ? Jibu ni kwamba maji hayakuwa juu ya kitu chochotee kile
@hadhanmelli3284
@hadhanmelli3284 Ай бұрын
Kwa nn hayakumwagika?😅
@peterenos2627
@peterenos2627 Ай бұрын
Ni mwendo wa upako wa maji na mafuta tu sasa hivi. Hahahaah! Unatimiza unabii wa Yesu. Mathayo 24:11-24. [24: Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.]
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
UST:SHAFI AMGEUZIA KIBANO MCHUNGAJI NDACHA//ELIMU YAKO BADO SANA
20:10
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 57 М.
Waendelea kujiunga na haki Nuru imeingia kumepambazuka ujumbe umefika kisawasawa
1:23:56
MASWALI MEZANI ZIMEJIBIWA VIZURI NA MWALIMU IDRISS NA MWALIMU ANWAR
1:38:25
EASTLEIGH DAILY-DAWAH
Рет қаралды 1,7 М.
DR.SULLE KISA CHA ISRAAH NA MIRAJ/MATABAKA MANNE YA ANGA (SEHEMU YA NNE)
35:35
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН