DR.SULLE AWAKA MOTO BAADA YA KUJIBIWA NA IPM ALIPO OMBA WAKUTANE 'IPM LENGO LAKE SIYO ZURI'

  Рет қаралды 175,902

ISLAAH ISLAMIC  TV

ISLAAH ISLAMIC TV

Күн бұрын

Пікірлер: 1 200
@Saimontoms
@Saimontoms Жыл бұрын
Salamhalkm walamtulla❤❤❤
@safiunamugen7476
@safiunamugen7476 Жыл бұрын
We're proud of you Dr Sule❤❤ we love you soo much ... Am proud to be a Muslim ❤
@gmbrown1429
@gmbrown1429 Жыл бұрын
😂😂😂sasa tatizo nini mtu akiwakimbia 😂
@eshamohamed4458
@eshamohamed4458 Жыл бұрын
Hajatukimbia ila hakuwa miongoni mwetu ndio mana Allah alitjtenganisha nae
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Жыл бұрын
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Жыл бұрын
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Жыл бұрын
@AbdyRadjabu
@AbdyRadjabu 11 ай бұрын
Allah akulipe kheri shekhe wetu
@aliramadhan4750
@aliramadhan4750 2 ай бұрын
Mashaallah,, Allah akulipe kila la kheri na akupe Umri mrefu wenye Kheri tupate Kujifunza mengi kutoka kwako!
@SakinaMuhsin-nc4zq
@SakinaMuhsin-nc4zq Жыл бұрын
Doct sulle Allah akulinde na kila shali hapa duniani na kesho akhera,ujumbe umefika huna dhima
@rashidkassid-mo9ip
@rashidkassid-mo9ip Жыл бұрын
Màashaa Allah: Hili ndilo lengo aliloletewa mtume Muhammad ( saw ) kuwatoa watu kwenye ukafiri kuwaleta kwenye nuru ya uislamu. Chapa kazi shekh !!! Jitahidi kuepuka kazi ya kusilimisha waislamu. !!! Allah akuhifadhi shekh sule
@majaliwasaid8507
@majaliwasaid8507 Жыл бұрын
Shk sule mungu akulinde kwa bidii zko japo kunao wanaokupiga vita mungu atawashinda ishaAllah 🙏🙏 TabarakaAllah.
@nuhukenny7183
@nuhukenny7183 Жыл бұрын
Shukran Dr Sule. Nakufata kutoka Oman. Allah akupe mwisho mwema na uwendelee kutupa vitu[ mafundisho] Islam is perfect
@khalfanmaabick6795
@khalfanmaabick6795 Жыл бұрын
Ndg yng nuhu
@gudluckrwizaking
@gudluckrwizaking Жыл бұрын
Mwisho mwema n kumuamin Yesu n bwana na mwokoz.njia ya kwel na uzima...n mm nakuombea mwisho huo Sulle..na n kwel Yesu amewaondoa wengi kwa njia iyo..
@Saimontoms
@Saimontoms Жыл бұрын
​@@khalfanmaabick6795o❤❤❤
@jumaseif2452
@jumaseif2452 11 ай бұрын
​@@gudluckrwizakingVUA HELENI KWANZA ILI UWE MWANAUME KAMILI
@Izonecommunity
@Izonecommunity 11 ай бұрын
Usilete maneno ya watu
@azeezaya8510
@azeezaya8510 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu sheikh sule ili uweze kutulinganiya inshaallah❤
@ramaomar7657
@ramaomar7657 2 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu sheh wetu Dr sule amiin
@aishahazary4097
@aishahazary4097 Жыл бұрын
Maasha Allah.Hakika umefikasha na ALLAH ni shahid.Nakumbuka mihadhara Mwembe chai ikuwa unajitambusha naitwa Sulle bin Sulle bin Sulle na kina shehe magezi ALLAH amrehemu na Shehe Omar Bashir ALLAH amrehem..Japo nilikuwa mdogo lakini nilikuwa napenda sana mihadhara.ALLAH akupe umri mrefu.
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Rahman Allah akuhifadhi na akupe afya, nguvu uzidi ku upigania Uislam na kutu fundisha. Allahumma Ameen yaarabil Aalamiin
@johnsonmichael-2993
@johnsonmichael-2993 Жыл бұрын
Mwache mtu afuatenjia impasayo nyinyi mna hubiri mkimtaja yesu hakuna Alie wazuia
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
@johnsonmichael-2993 hakuna alie katazwa hata katika uislam Allah amesema lakum dini kum waliyadiin ,nyie mna dinidini yenu na sisi tuna dini yetu lakini asi potoshe wengine
@prochesernest5439
@prochesernest5439 Жыл бұрын
​@@rayaalhabsi1725haaa kumbe mna dini yenu mbona huyo anasema Yesu alikuwa mwiislamu uho ni uongo na dini yenu ni ya uongo
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
@prochesernest5439 hasbiya Allah wani'mal wakiil. Sisi tuna mjuwa yesu kuliko wewe na walio kuwa kama wewe pamoja na huyo mzandiq wenu, na ingeli kuwa mna juwa yesu wa kweli msinge potea kabisa na kuwa kwenye giza nene sana
@Maalim_Samatta
@Maalim_Samatta Жыл бұрын
@@prochesernest5439 hahaha wakristo mlipofeli ni kuwa dini YENU imebaguwa mitume wa Mungu, Uislam tunamtaja Yesu kwa kuwa katajwa katika Quran waziwazi, tuanbieni NYINYI wapi katajwa MTUME kwenye bible YENU, so hamuna Cha kutufunga vinywa vyetu kumtaja Yesu. Mmeelewa au tuongeze sauti.
@mohamedymkopi5887
@mohamedymkopi5887 Жыл бұрын
Inshallah Allah akupe umri shekhe hakika watukama wewe dunia hii yaleo ni wachache sanah wanaotufundisha haki kwa dini yetu na vitabu vyake Mungu alivowapa manabii hakika umenyoosha sana tena kwa fact kubwa….🎉
@chinaboyzanzibar5328
@chinaboyzanzibar5328 Жыл бұрын
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR MAALIM I AM PROUD OF YOU YOU SAY EVERYTHING IS TRUE ABSULTE MASHALLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@bakarihamisi6993
@bakarihamisi6993 Жыл бұрын
Maashaallah safi sana Dr Sule kwa elimu tamu yenye kueleweka
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 Жыл бұрын
Safi sana shekh ❤❤❤❤❤ Uyo kufundisha uislamu ni kiki tu za kuwatoa wale watu wasio na elimu kuwaingiza kwenye ukafiri wake Na historia zake zakutunga
@luqmanhaji7537
@luqmanhaji7537 Жыл бұрын
Dr sule unafanya kazi kubwa Mungu atakulipa ujira kamili Inshallah
@gmbrown1429
@gmbrown1429 Жыл бұрын
Alipwe wapi 😂😂wakati ana wachanganya😂
@minabuelysee8
@minabuelysee8 Жыл бұрын
Amin
@upendoernest-o8u
@upendoernest-o8u 11 ай бұрын
​@@gmbrown1429😂😂😂😂
@greenrosesshebety8227
@greenrosesshebety8227 Жыл бұрын
Safi sana mkono kwa mkono hadi peponi❤❤❤❤
@IdrisaKhalid-wc4wp
@IdrisaKhalid-wc4wp Жыл бұрын
Mola wetu mlezi akusimamie Dr sulle inshaa allh
@abduliashiru9394
@abduliashiru9394 8 ай бұрын
Allahumma Aamiin.
@HamisShini
@HamisShini 9 ай бұрын
Allah akupe nguvu shekhe wetu unafundish vema Sana na tunakufaham vizuri kabisa yaan.
@bakarimwachanga8803
@bakarimwachanga8803 Жыл бұрын
Allah akuzidishie ilmu sheikh sule,Sheikh mazinge pls changia kuhusu ujinga wa huyu ipm
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Mashallah mashallah,,dr sulle kwaa kaz nzr
@dennisngonyani1795
@dennisngonyani1795 Жыл бұрын
ACHA KUDANGANYA WATU KUNA SINAGOGI, HEKALU, MSIKITI NA KANISA NI VITU VINNE TOFAUTI SINAGOGI SIO MSIKITI SOMA VITABU VYENU KAMA SINAGOGI NDIO MSIKITI.....
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
​@@dennisngonyani1795bibilia imesema sinagogi ni msikiti wa wayahudi.
@MuhsiniAmrani
@MuhsiniAmrani 2 ай бұрын
Asalamu alaikum Dr Sule Asante Sana kwa kutujuza na kutufungulia vitendawili kama hivi ambavyo vinahitaji watu kama ninyi kuvitegua ili waislamu wasisumbuliwe na aina ya watu kama hawa, mola azidi kukuhekima, afya njema na umri mrefu uweze kutufundisha zaidi inshallah.
@fatmabY-m5u
@fatmabY-m5u Жыл бұрын
Mashaallah dctr sule.mungu akuweke.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын
Upo sahihi Dr Sulle Allah akuweke akuzidishie na elimu.
@sakeenaanzi4431
@sakeenaanzi4431 Жыл бұрын
Uko tayari kuitetea usilamu kwa udi na uvumba kweli, much love kutoka Kenya 🇰🇪
@KareemMkobe-sq8ym
@KareemMkobe-sq8ym Жыл бұрын
Hi
@sakeenaanzi4431
@sakeenaanzi4431 Жыл бұрын
@@KareemMkobe-sq8ym hi
@AzizaRamdhani
@AzizaRamdhani 28 күн бұрын
Mashaallah Allah Kareem Allah akulipe kheri shekhe
@aminajumale6805
@aminajumale6805 Жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu
@NizoBoe
@NizoBoe 6 ай бұрын
Mungu akupe mwisho mwema baba yangu mlezi wa Imani yetu,❤ unatulea wengi katka Imani yetu na unatuimarisha pia katka kuamni Imani yetu,.❤❤❤
@miishhassn
@miishhassn Жыл бұрын
Allah akuongozr kwa jitihada zako shrkh wetu tunakupenda sana kwa ajili ya allah❤❤😂
@josephbwire1232
@josephbwire1232 Жыл бұрын
Asalaam alaykum doctor sulle allah akupe umri mrefu nami namuomba allah anipe elimu kama ya kwako wallah nakupenda kwaajili ya Allah
@omarmwabege
@omarmwabege Жыл бұрын
Allah akupee Elimu zaidi ya Dct Sule
@RehemaMahmoud
@RehemaMahmoud 4 ай бұрын
We mtaalamu.wa dini lakini una roho wa Mungu na YESU akuwai kuwa muislaam kwa kuwa Yesu alikuwepo kabla uislaam aujaja mpk Yesu ameondoka uslaam umekuja.baadae Yesu alikua muislaam lini mmejaa matendo ya mwili amtaulithi uzima wa milele
@mujingakabwiza5474
@mujingakabwiza5474 Жыл бұрын
Allah bless you brother to explain all that and to defend Islam Allah give you more than this today and tomorrow hakhera inshallah
@jumakutengeza1080
@jumakutengeza1080 Жыл бұрын
We r proud of u Dr Sule......Allah akulipe unatuweka waislam kifua mbele
@takito_africa
@takito_africa Жыл бұрын
Mashaallah I like this gentleman
@RubeaSaid
@RubeaSaid Жыл бұрын
Allah Akuhifadh Sheikh Dr Sule Umtufungua Ubongo leo
@shabandamas1759
@shabandamas1759 Жыл бұрын
Huyu ndio Alhaji Dr sulle ninaemfahamu mm,, lecture safi kabisa
@zakiyaramadhan7811
@zakiyaramadhan7811 Жыл бұрын
Mashaallah Dr. Sule Allah akupe kila lenye kheri na wewe akuepushe na kila Hasad kwa kutuelimisha sisi maamuna hakika tunapata faida kubwa sana juu ya Darsa zako Jazakallahu Kheri baghadal kheyri Janatu Naghimu🤲
@Nily-kz3db
@Nily-kz3db Жыл бұрын
MashaAllah Dr Sule Allah Akupe kla lakher na Allah Atujalie tukutanishe pepon,Wallah kma hawafaham Wala hawafaham Tena
@mvulamandondotolekaa
@mvulamandondotolekaa Жыл бұрын
Wewe sule mungu akulinde my shaAhlla
@HassanMwiru-x7v
@HassanMwiru-x7v Жыл бұрын
Allaah azidi kukupa afya ya kutetea uisilamu ❤❤
@munimuni3365
@munimuni3365 Жыл бұрын
Uyo njonwislam dini ya.Allah amna kuchenzea from🇧🇮🙏
@MUSHIMIYIMANAHABIB1234
@MUSHIMIYIMANAHABIB1234 Жыл бұрын
Djazakallahu khayran yaa Dr sure .
@qadanqabale5877
@qadanqabale5877 Жыл бұрын
Mungu akupe kheir na baraka Dr sule ❤ tunakupenda sana
@yusufsadic2930
@yusufsadic2930 Жыл бұрын
Masha Ala tunawahitaj mabingwa wanamna hii ndan ya Wislma Sin chakusem Ila nasem kwamb Mungu akulipe
@is-hakajuma6374
@is-hakajuma6374 Жыл бұрын
Asante dr sulee kw majib mazuri na ajee kwny mezaa uyoo pm afundishwee uislam
@abdilatifhashi9659
@abdilatifhashi9659 Жыл бұрын
Dr Sule anasema ukweli sana. Masha Allah
@adammanyendi7577
@adammanyendi7577 Жыл бұрын
Mwenyezimungu akuweke dr sule Uzidi kutangaza dini yamwenyezimungu❤❤
@aubreychuma5449
@aubreychuma5449 Жыл бұрын
Am proud to be Christian
@deoelias841
@deoelias841 4 ай бұрын
Good 🙏🙏
@JustinMwanzeni
@JustinMwanzeni 3 ай бұрын
Mashalllh allh akujaalie siha njema wewenafamiliayako uendelee kuipigania diniyetu yakiislam
@tumajunior6080
@tumajunior6080 Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Allah akuhifadhi shekh wetu na akulipe kheri akikaa chini atafakari vyema atapata suluhu ☝🥰🥰🥰🥰👌👌👌🤲🤲
@habogorimanaathumani6125
@habogorimanaathumani6125 Жыл бұрын
Allah akulehemu . Mwenyezi Mungu akuzidishie ilmu na akujalie paradise amini amini
@hajinkulunge8493
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
Assalaam alaykum sheikh upo sahihi sana
@shamidamnoya5981
@shamidamnoya5981 3 ай бұрын
Mashallah mungu akuongoze shekhe
@AlphaMaganga-e1k
@AlphaMaganga-e1k Жыл бұрын
Unateseka sana Sulle
@shabanimussa4269
@shabanimussa4269 10 ай бұрын
wewe ujue huna akalyi ww nasule ninani anae teseka?
@MiskiyaRoho
@MiskiyaRoho Жыл бұрын
Unaeleweka vizuri sana Dr Sule , uko sawa katika maneno yako.
@Zubaiba
@Zubaiba 11 ай бұрын
Mashaallah doctor sule mungu akupe umri mrefu
@hasreeyasini
@hasreeyasini Жыл бұрын
Allah amfanye kuwa kiigizo chema na haione Nuru njema na mwisho hairejee dini ya haki ya Allah subhana wataala uislam ndio ngao ya Kila muislam
@AkilyYuyu
@AkilyYuyu 3 ай бұрын
We shee atar sana tunajivunia sana Allah akupe maisha na uzidi kutuongoza
@sefunduwayo7388
@sefunduwayo7388 Жыл бұрын
The Muslim Legend Al Hadj Doctor Sule 🙏🙏🙏🙏🙏
@aishanassor1757
@aishanassor1757 Жыл бұрын
Yeah i wish one day to be sn islamic master like dr. Sulley
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
Huwa asema kuna watu wametoka burund kuja kwenye kanisa lake kumbe hao ni ndugu zake upande wa baba yake 🤣🤣🤣🤣wallah doktora sulle unajua na unajua zaid kumchambua mtu na allah akuweke inshallah 🤲🤲nakupenda doktora sulle kwa ajili ya allah ❤❤❤❤halafu allah huwa hamfuchi mtu mnafiqi 🤣IPM kaumbuka kawa mpole km kamwagiwa maji ya baridi yaliyotoka kwenye freeza 😅😅😅
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Umeonaee
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 🤣🤣muongo yule 🤣🤣
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 Жыл бұрын
@ruqaiyamohammed345, upole na busara, ni ndio hulka ya wakristo kokote, ukiona mkristo anapaniki na kulumbana kwa mambo ya kiimani tunamjadili mara tatu ukristo wake, wakristo ni wapole na wanyenyekevu, hata nyie mnasema uislam ni unyeyekevu lakini Ipm, kawa mpol tena mnamuona mjinga, je mlitaka apambane?, aandamane ? kama nyie, kwa shida ipi wakati, yupo Yesu anayepamabana kwa ajili yake,? Amemjibu kwa upole na ki uungwana, sasa akili kichwani kwa aliyejibiwa, je ndicho alichotarajia? Au alitarajia vita ya maneno mitandaoni wakristo hatukufundishwa hivyo, Nawaonea huruma, endeleeni kupigizana kelele mitandaoni, waislamu walioujua ukweli tuko nao wamejazana makanisani kimyaaa,..huo ndio ukweli.
@burhanhusseintv4879
@burhanhusseintv4879 Жыл бұрын
😂😂😂
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 Жыл бұрын
😂😂😂😂kabisa
@JumanneJumampunga
@JumanneJumampunga 6 ай бұрын
Baraka llaahu fiiika yaa akhiy
@salamalsawaqi1206
@salamalsawaqi1206 Жыл бұрын
Kakataa mjadala najua atashindwa kujibu maana dini ya Islam ndio dini ya mungu❤
@is-hakajuma6374
@is-hakajuma6374 Жыл бұрын
Hakika always uislam ni ushind t
@rushurikarashid3018
@rushurikarashid3018 Жыл бұрын
Subhana llah.....jazakahllah khairaaaa🙏msg sent&delivered.
@J4UPro
@J4UPro Жыл бұрын
Safi sana shekh Sule
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Mashallah, Jazakallahu kher Dr sulle, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏
@salhaisrael8265
@salhaisrael8265 Жыл бұрын
Mashaallah
@allydanny3222
@allydanny3222 11 ай бұрын
Masha'allah allah akuzidishiye elimu sheikh wang
@ilovejesus666
@ilovejesus666 Жыл бұрын
Wow
@SarhaSaid
@SarhaSaid Жыл бұрын
Maashaallah DR SULE ALLAH AKUIFATHI inshaallah uzidi kuwapa elim wazushi kama hao huyo njaa tu wanaziendekeza
@jamesgasper6764
@jamesgasper6764 Жыл бұрын
Daah!! Wee Dr sule ni atali sana kwako sina comment shekh
@ZamzamMalik-sl7by
@ZamzamMalik-sl7by 3 ай бұрын
Ahsantee doctor Allah akutangulie kw kila hatua
@mzeerajab9154
@mzeerajab9154 Жыл бұрын
Very very imressive advice.Haiwezekani tu lakini ningependa ujumbe huu umfikie kila Mwislamu popote alipo.
@MwanakomboAbasi-j1r
@MwanakomboAbasi-j1r Жыл бұрын
Thakbir Allah akuhifadhi dr sule
@MiskiyaRoho
@MiskiyaRoho Жыл бұрын
Dr Sule na kupongeza kwa mara nyingine, ningekuomba nikuunge Live kutoka DRC mjini Bukavu, kuongelea hii pointi kwa upana zaidi ili kuelimisha jamii ya kiislam wasije wakaanguka katika katika mtego wa IPM
@bilo1106
@bilo1106 Жыл бұрын
MahashaAllah tabaraka Rahman...umeongea na hekma sana doctor..
@sidikatoroche4876
@sidikatoroche4876 Жыл бұрын
Nashukuru kwa huyu jamaa anaitwa sule kwa kumwita Yesu BWANA nakuombea nawewe sule Kuwa siku moja Uwe mfuasi wa Damu na Roho wa Bwana Yesu kristo. mtu anayemtambulisha Yesu Vema kwa ulimwengu Mimi Niko pamoja naye maadamu tu anahubiri na kuwajuza watu Njia ya ufalme wa Mbinguni Huyu apewe kusema zaidi na Mungu na abarikiwe.
@AnuwarAbdallah
@AnuwarAbdallah 5 ай бұрын
Kumwita yesu bwana Kuna shida hata baba ako anaitwa bwana na mama ako
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 4 ай бұрын
MWANAUME MWENZAKO UNAANZAJE KUMUITA BWANA
@RehemaMahmoud
@RehemaMahmoud 4 ай бұрын
Hyo pete uliyova nini kama co uchawi uislaam sio dini ya manabii unabii na utume walipewa wayahudi mtume wenu alikuwa muyahudi.?
@jeremypius8032
@jeremypius8032 3 ай бұрын
Dr Sulle umesema kuwa Paulo alimchukua Petro wkakaa mwaka mzima Paulo akamfundisha Petro kivipi, wakati Petro alikua ni mwanafunzi wa Yesu. Paulo hakuwa mwanafunzi wa Yesu. Aliyepewa mafundisho ni Petro na si Paulo. Umechanganya mambo hapo mzee
@jeremypius8032
@jeremypius8032 3 ай бұрын
Dr Sulle umesema kuwa Paulo alimchukua Petro wkakaa mwaka mzima Paulo akamfundisha Petro kivipi, wakati Petro alikua ni mwanafunzi wa Yesu. Paulo hakuwa mwanafunzi wa Yesu. Aliyepewa mafundisho ni Petro na si Paulo. Umechanganya mambo hapo mzee
@feisalmabruck7014
@feisalmabruck7014 Жыл бұрын
Mash allah Allah karrim Dr sule Allah akulipe Kwa hili amiin
@mukhtaribura6159
@mukhtaribura6159 Жыл бұрын
SEMA:WEWE SURE NIMEKUSHITUKIA UMEAMUA KUINGIZA PESA KWA NJIA HUYU MCHUNGAJI.BASI KUWA MPOLE TUSHA LIKE PESA ISHAINGIA KWAKO NAWE NI MSANII....BASI UZAUUZA KANDA YAKO..PESA ISHAINGIA KWENYE AKAUTI
@BileshiHamisi
@BileshiHamisi 3 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu na akuzidishie elimu
@Marjeby
@Marjeby Жыл бұрын
Shekhe Sule achana naye jamaa tumjua siku nyingi sana na habari tunazo vizuri sana Ulimwengu ni mtoto wa watu (Shoga)
@fatmaameer5333
@fatmaameer5333 Жыл бұрын
Tunakuelewa san doctor sule ALLAH akuweke
@jumaamsuya5
@jumaamsuya5 Жыл бұрын
Upo sahihi maalimu allaah akulinde Isha allaah ❤️
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Жыл бұрын
Kahama kwa tamaa ya kidunia, sadaka na dhaka zenu wakristo ambazo hazina miiko ktk kuzitumia.
@SadickOmary-f2k
@SadickOmary-f2k Жыл бұрын
Mashaallah sheikh wetu Jazzaqa llahu khayra
@gerraldchristian2001
@gerraldchristian2001 Жыл бұрын
Kwa uzima wa milele uwezi kupata bila yesu
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Waislam wanamuamini yesu. Sheria ya kiislam usipomuamini yesu wewe si muislam. Muulize Ipm atakwambia
@babazungu3180
@babazungu3180 Жыл бұрын
Na uzima wa milele ndiyo huu wakujuwe wewe mungu wa kweli na yesu cristo uliyemtuma,sasa hao ndiyo waislam wanaamin yesu ni mtume katumwa.
@leilamanga8772
@leilamanga8772 Жыл бұрын
Umefikisha InshAallah Allah amfahamishe ,hili ulilofanya ni ktk chembe za imani
@rajabnyoka-vv5vh
@rajabnyoka-vv5vh Жыл бұрын
Mashallah sheikhuna mungu akujaze kheri ndugu Dr sule, uislamu. Nidini ya haki bilaya Shaka,na na ndio mungu alipo iteremxha kur,ani tukufu akasema hakika sisi tumeuteremxha ukumbuxho( kur,ani) na sisi ndio tutaihifadhi alllah akulipe khery. Sheikhuna na akulipe pepo aameen.
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Dr sule Point zako nne. 1,Kuwa Yesu alisujudu 2,alienda Kwa sinagogi 3,kuvaa kanzu 4, hazina mashiko hata kidogo. Nikianza kuichambua ya kwanza. Yesu kusujudu ndo kusema kusema hasiye sujudu hawezi kwenda Mbinguni? Hii sawa na kusema huyu anakula chakula Kwa kutumia kijiko na huyu anakula kutumia vidole . Lkn chakula kinaigia kinywani 2,kuvaa kanzu Ilikuwa ni nature ya zama zile WATU kuvaa makanzu , yaan ni kama vile ambavyo Karne ya Kwanza hapakuwa na magari kama ilivyo Leo Kwa hiyo. Lkn pia hakina Petro walikuwa Wana Vaa pia Makoti Tatu Kuingia Kwa sinagogi Hii Sio kwamba utuambie kwakuwa aliingia Kwa sinagogi ndo useme alikuwa mwislam Na je mbona alionekana Pia Kwa mahekalu? Pia mashambani Pia milimani Pia ufukweni Kwa hiyo tuseme alipo kuwa mashambani yeye alikuwa mkulima? Kikubwa aliingia kufanya Nini Ndo hicho umekisema kuwa yeye alipewaa injiri na hiyo injiri ndiyo ilikuwa nuru ya WATU imtiayo Kila mtu uzima Hivyo kama alipewa hiyo injiri ni vyema ukajua ijiri ni Nini? Injiri ni mafundisho yanayo husu ufalme wa Mungu na yanayo mfanya Mtu amgeukie Mungu kwa njia ya kuiamini injiri yaan kukubali kutubia madhambi yake ikiwa ni pamoja na kumwanini huyo aliyepewa hiyo injiri Na ndo maana walio msulubisha ni hao wa kwenye sinagogi baada ya kuona mafundisho yake yanabeba watu wengi na kuwabadilisha kwa kumwanini Yeye na kuiamini injiri . Ufunuo 3:6 inasemaje wewe mtu unayejisifia kuwa Yesu alionekana kwenye sinagogi. Imeandikwa TAZAMA NA KUPA WALIO WA SINAGOGI LA SHETANI WASEMAO KWAMBA NI WAYAHUDI NA SIO BALI WASEMA UONGO TAZAMA NAWAFANYA WAJE KUSUJUDU MBELE YA MIGUU YAKO NA KUJUA KUWA NIMEKUPENDA Kwa tafsiri hii inaonyesha wazi kuwa kwenye hayo masinagogi ndipo anapokaa SHETANI na kazi ya Yesu kristo alikuja kuwaokoa watu kwenye mikono ya shetani ivyo alikuwa Hana budi kuwafuata huko .. Ufufuo 2:13 imeandikwa napajua ukaapo ndipo penye kiti Cha enzi Cha shetani........ Dr sule na ndugu zangu watu WA Mungu kila mtu anajua kuwa Mungu ni mmoja hata wachawi wanajua Naam na mshetani nayo yanajua Hilo na kutetemeka Kwa Mungu ni mwingi wa rehema Kwa watu wake alipo ona shetani amekuja kuwadanganya watu wake wakwanza ni Eva na Adam nakupitia kosa lao . Adamu akaileta mauti Kwa watu wote . Na mpango wa Mungu haukuwa mwanadamu afe . Hivyo alipanga mpango wa ukombozi kwa mwanadamu kwa kumtuma nabii issa bin mariam ya Yesu kristo .. Ili kupitia huyu Yesu Kristo watu wote wapate kuamini na kuokolewa nahatimaye awape uzima wa milele. Yohana 3:16-19 Kolosai 1:13-14 naye alituokoa ktk Nguvu za giza akatuhamisha na kutuingiza ktk ufalme wa mwana pendo lake , ambaye ktk yeye tuna ukombozi, yaan msamaha wa Dhambi. Kwa hiyo Yesu hakuja kutangaza kutangaza dini Bali alikuja kujenga ufalme wa Mungu Dr sule wewe uko bizi na kujenga dini yako uko sahihi Kwa Hilo Ila kama hautaimini injiri itakuja kukugharimu na siyo wewe ni Kila aliye MKIRSTO au hasiye MKIRSTO.. injiri ni tobo na kumgekia Mungu na kuwamwini mwana wa Mungu Alafu dini ya kweli ni kuwangalia wagojwa na kuwapa wahitaji mahitaji Yao Na ufalme wa Mungu hauwi ktk kula. Wala kuvaa . IPM msiitambishe amechagua fungu jema Mwisho kama unaona uislam utakufanya uende MBINGUNI kaa huko Na kama ukiona kwa kumwanini Mungu na Yesu kristo utatenda Mbinguni kaa hapo hapo Acheni kupoteza mda kafanye kazi
@stanleywambua6847
@stanleywambua6847 Жыл бұрын
Sawa ndungu na unga maneno yako mkono ( matendo ya mitume 4:11-12
@stanleywambua6847
@stanleywambua6847 Жыл бұрын
Matendo ya mitume 4:19-24 Matendo ya mitume 5:38-42
@mgazamhina840
@mgazamhina840 Жыл бұрын
Namba zake zipo hapo mpigie simu,uchukue zamu ya IPM
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Hapotezi muda anatuelimisha. Na tunakujulisheni kwamba Uislam HAUCHEZEWI. Na hatutokunyamazieni. Sisi tutaulizwa tuliitetea vp dini yetu. Dini yetu inajitosheleza bila yeye. Asitupotoshee waumini na dini yetu
@samfone2357
@samfone2357 Жыл бұрын
​@@mgazamhina840😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂asante umempa neno
@MudyKing-ub6he
@MudyKing-ub6he Жыл бұрын
Dah wallah nakupenda sana kwa ajili ya Allah.
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Hata Wewe Usiwaaminishe Watu Wakuamini Wewe Kama Alichosema Ni Uongo Icho Kisa Chake Cha Kuokoka Basi Ungekiweka Wazi Watu Waone Kwa Macho Kama Nguvu Iyo Wewe Auna Uwezo Huo Wa Kutuonesha Alichokutana Nacho Basi Acha Kumuona Mwenzako Sio Bola Wewe Ndio Bola Ali Ya Kuwa Wote Amna Cheti Cha Pepo Cheo Cha Dini Akina Mwenyewe Kila Mtu Asome Na Kuomba Mungu Anakua Na Cheo Kwa Wasiosoma Hata Wewe Unapotosha Umma Kwanza Uzalendo Pia Tatizo Ulitakiwa Kama Uko Na Hekima Ungemfata Aliko Na Kusema Nae Kwa Hekima Kikubwa Wote Atuwezi Kuwaamini Vitabu Vyenu Simu Na Mitandao
@Is-hakaJuma-m5v
@Is-hakaJuma-m5v Жыл бұрын
Ata ingekua mwalimu wanafunz wasngekuelewa
@JosephineTemba-n4t
@JosephineTemba-n4t Жыл бұрын
Wew hunaakili na allh akuhifadhi
@TashwillKaroolse
@TashwillKaroolse Жыл бұрын
Hilo ndo tatizo lenu makafiri Mkiambiwa ukweli mnachukia
@amidoissa4049
@amidoissa4049 Жыл бұрын
Wewe uneshindwa kumuelewa shekhe shekhe kasema iv alimtaka ili wafanye mjadara babu akakataa sasa lengo la shekh nikuelimisha jamii ili wajuwe ,sasa ww km unamuona muongo sw huwo nintazamo wako sisi wenyewe wa islam tunamkbali napia tunamuombeya kwa allah amzidishie elimu na imani napia am,barik maisha marefu amin summa amin, kwa neema zamungu kalibu katika dini ya haki dini ya manabii uisilam kalibu sana wa bilai twa ufiqui
@regnaldymambaly9880
@regnaldymambaly9880 Жыл бұрын
shida yako ni nini?yeye kasema aliyo yaona wewe unasema anapotosha unauhakikagani gani kuwa anapotosha?wakati mafundisho yako yanaonyesha waziwazi kuwa unapotosha niliwahi kukusilkia uki sema kuna majini wazuri wanao mtumikia Mungu ,tangu lini jini akawa mzuri? naamini hata wewe ikosiku Yesu atakutokea na wewe utajuwa kuwa anapotosha au la
@fatmaally9943
@fatmaally9943 Жыл бұрын
MashAllah tabarakallah Dr .Sule .
@respiqucymarwa4426
@respiqucymarwa4426 Жыл бұрын
Dr sule kuvaa kanzu ni vazi la kawaida kwa wakati wake zama za mtume hakukua na suti wa jeans
@shannarsaidSwahili
@shannarsaidSwahili Жыл бұрын
maashaAllah,Dr Sule,mafundisho mazuri
@salimrukago6910
@salimrukago6910 Жыл бұрын
Doctor anafanya operation kunusuru mama na mtoto ipm akirudi ktk Nuru kundi la watu litaingia katika uisilamu tulieni inshallah doctor anafanya kaz
@edwinmbunda6709
@edwinmbunda6709 8 ай бұрын
Unaota ww
@issarashid7707
@issarashid7707 Жыл бұрын
MaaShaaAllah Doctor Sule Allah akuhifadhi ktk kuitetea Dini yke ... Uyo Kiumbe IPM mm mwenyew nishampga vita sn ktk coments na hujifanya eti kunitabiria na kila anaempinga humtabiria ktk maisha yke ..Huaga namwambia anzia kujitabiria mwnyew kwnz .
@tyronemofekeng7152
@tyronemofekeng7152 Жыл бұрын
Tulieni... Dr Anaongea
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
Si kuongea tu ila ANATIBU biidhinllah 😂😂😂 maana hapa twapata daawa
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
🙇‍♀️🙇‍♀️
@BasfariJuma-l3j
@BasfariJuma-l3j Ай бұрын
Umeeleweka sana dr.sule allah akulipe kwa kumuumbua huyo pastor mnafiki mkubwa, laana ya m/mungu ikushukie pastor popote ulipo kupotosha umma ili upate pesa ule na familia yako ipo siku utajuta dhwalim mkubwa wee.
@emmanueliayubu7074
@emmanueliayubu7074 Жыл бұрын
Sule huna cha kujitetea kusujudu kwa yesu si kuhalalisha uislamu kuwa ni dini sahihi, na msikiti unaosema ni msikiti wa wayahudi sio wa waislamu ni wa wayahudi hauna cha kujitetea uislamu utajitetea wenyewe wewe huwezi kuutetea uislamu, ona sasa unazungumzia kanzu hoja dhaifu kabisa kanzu ni vazi la kiarabu tu arabuni kanzu watu wanaendanayo bar kanzu si fundisho la Yesu pole sana bila kuokoka hutaiona pepo lazima umkubali Yesu ili uokolewe,
@gmbrown1429
@gmbrown1429 Жыл бұрын
😂😂😂
@mohammedkassim320
@mohammedkassim320 Жыл бұрын
we kam unajua sana mtafute uweke bato nae tutajua kwel umesoma kam huyu mwenzako
@osssimohamed2483
@osssimohamed2483 Жыл бұрын
Na wewe ulikosa oja mpaka hii ya kanzu?? Ambia bwanako IPM aende debate tafadhali na aache hoja zake bandia
@MuuYascohy-oc7os
@MuuYascohy-oc7os Жыл бұрын
Km unamuweza Dr.Sule anapatikana muda wowote kamface uone km utachomoka
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar Жыл бұрын
Hamna lolote Makafiri nyie ' yenu uchafu tu
@mamaonderi
@mamaonderi Жыл бұрын
Asante shekhe kwa mafuzo maxuri.. mimi ni mgeni kwenye uislamu najua nko kwenye njia sahihi
@halimahbwelele694
@halimahbwelele694 Жыл бұрын
Karibu sana katika dini ya haki
@ilovejesus666
@ilovejesus666 Жыл бұрын
Kuna biashara na dini Uislamu ni dini lakini zingine ni biashara na propaganda tu 😂😂😂😂😂😂
@Moc.khalfan
@Moc.khalfan Жыл бұрын
Ukiristo ndio biashara kila siku mwaibiwa pesa na wachungaji wenu, kila siku mwauziwa upako😂😂😂😂😂 bila ya nyinyi kuibiwa pesa ukiristo unakufa utasikia nyimbo zao toa toa toa toa ulichonacho toa ubarikiwe😂😂😂😂😂
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
​@@Moc.khalfan😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
@sakeenaanzi4431
@sakeenaanzi4431 Жыл бұрын
Nakukubali shekhe wetu, hapo kwa kusoma dini, maelekezo na kufunza pamoja na kusimamia uisilamu, walai Allah azidi kukupa umri mrefu ili tujifunze zaidi kutoka kwako, MashaAllah u TabarakaAllah.
@AlbertFaustineSendeu-qt2cs
@AlbertFaustineSendeu-qt2cs Жыл бұрын
Hakuna vazi takatifu, ila utakatifu uko ktk moyo na matendo ya mtu yaliyo matakatifu. Wapo wavaao mavazi hayo na maisha Yao ni ya uasi hatari. Mbona unatumia nguvu kubwa kumkatalia huyu mtumishi wa MUNGU wetu aishie milele, wee mwenyewe umekiri kwamba alikuwa muislamu kama hayo ndio yaliyomtokea we unajuaje? Na ktk ufalme wa MUNGU wetu aishie milele hakuhitajiki elimu ya dini Bali utayari wa kuyaishi na kupita ktk matakwa ya MUNGU wetu aishie milele. Kama elimu ya dini ni kigezo, Bwana YESU KRISTO asingewakataa na kuwaita wanafki wazee wa dini na mafarisayo.
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 Жыл бұрын
Mbona unaipinga biblia Yenu?
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 Жыл бұрын
Mbona unaipinga biblia Yenu?
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 Жыл бұрын
@@faudhiasaidi3669 wanadhani mawazo yao ni Bora kuliko maandiko na hapo ndipo wanapowaburuza waumini wao kwa visingizio vya roho mtakatifu.
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Жыл бұрын
Bibilia zenu zinasema kansu na kofia ni mavazi matakatifu lakini wewe umekuja na kukanisha kwa maneno yako,huoni kama unakurupuka?au unataka kusema Bibilia ilidanganya?hebu tuambie hapa!
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 Жыл бұрын
@@nassorsharifu9837 Ndo walivyo hao wakienda kanisani na biblia zao makwapani wakija kanisani ni kucheza kwaya tu Hawana lolote
OOH! DR.SULLE SASA HALIWEKA WAZI BIFU LAKE NA SHEIKH NURDIN KISHIK
11:38
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 10 М.
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
RAIS WA BURUNDI AMESEMA KAGAME TUMUONDOE HARAKA ANAIHARIBU CONGO ATAKUJA BURUNDI
12:39
DR.SULLE AFUNGUKA HAYA KUHUSU DINI YA UKRISTO//LAZIMA NIWAFUNDISHE.
12:21
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 3,9 М.
DR SULE MAAJABU YA MDUDU CHUNGU KWENYE QURAN.
41:10
HAJI ONLINE TV.
Рет қаралды 3,9 М.