Breaking Newz/Dr Sulle atangaza live kukutana na Ipm/Nipotayari kumlipia garama zote aseme wapi..Aje

  Рет қаралды 162,616

ISLAAH ISLAMIC  TV

ISLAAH ISLAMIC TV

Күн бұрын

Пікірлер: 920
@theofanskombenge5573
@theofanskombenge5573 Жыл бұрын
Waislamu tuna dokta sule mungu ampe uhai zaidi🙏🙏
@saidsaleh4086
@saidsaleh4086 Жыл бұрын
Aaamin yah rabbi
@fatmamasafu8606
@fatmamasafu8606 Ай бұрын
Ameen InshaAllah 🤲
@bisharissack5874
@bisharissack5874 Жыл бұрын
Masha Allah good 👍👍
@chinaboyzanzibar5328
@chinaboyzanzibar5328 Жыл бұрын
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ISLAM ☪️ IS REALLY RELIGION AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@chinaboyzanzibar5328
@chinaboyzanzibar5328 Жыл бұрын
MY ALLAH PROTECT US ISLAM ☪️ FROM EVIL 😈 PEOPLE INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN
@frankjackson2784
@frankjackson2784 21 күн бұрын
Mungu anapenda amani tu, hubirini amani acheni mashindano
@AzimAbdulhussein-ik9nm
@AzimAbdulhussein-ik9nm Жыл бұрын
Dr suley Allah awe n'a wewe kwenye haki mwislam jasiri mashallah
@BintAlly-k5r
@BintAlly-k5r Жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe umri mrefu wenye manufaa uzid kupigania dini
@shabandamas1759
@shabandamas1759 Жыл бұрын
Maneno yako Alhaji Dr sulley yananipa Raha sana
@massywakiama617
@massywakiama617 Жыл бұрын
Upo vizuri sana mwamba
@sheikhismaelramadhankenya8928
@sheikhismaelramadhankenya8928 Жыл бұрын
Dr sulle mwenyezi mungu amesema tuite watu katika njia yake kuwaelimishe kutumia hkima na maneno mazuri si kwa kuwatukana na kuwajibu vibaya kwa hasira bro quran 16: 125. Usitumie hasira. Laiti mtume angelitumia hasira makafiri hawangesilimu. Alitumia hikma na maneno mazuri kuwaelimisha
@fatmabY-m5u
@fatmabY-m5u Жыл бұрын
Asanteeeeee maalim..asante Dct sule..wafahamishe hao warongo wanafik...anajifanya kusoma Quran tumuone mkweli kumbe tapeli.
@djibrilmatulu5730
@djibrilmatulu5730 29 күн бұрын
Naam. Docta sule nakupenda sana
@SellemaniAlly
@SellemaniAlly Жыл бұрын
Mashaallah Allah aendelee kumuongoza katika njia iliyonyooka
@SubiraMndeme-yw7mx
@SubiraMndeme-yw7mx Жыл бұрын
Allah akulipe kheri hapa duniani Hadi akhera ,,inshaa Allah
@rajabnyoka-vv5vh
@rajabnyoka-vv5vh Жыл бұрын
Allah akujaze khery ndugu yetu uweze kututetea na kuitetea dini yetu hii ya haki ya kiixlamu aaameen
@aishahazary4097
@aishahazary4097 Жыл бұрын
ALLAH azidi kufunua kifua chako docta Sule Uutangaze uislam na Mtume wetu rehma za ALLAH ziwe juu yake.
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 Жыл бұрын
Achana na IPM tapeli wewe Wewe endelea na utapeli wako Saidi mwaipopo alishatuambia wewe ni tapeli na huna Elimu unayojidai kulwa nayo
@IssaAbubakary-c7e
@IssaAbubakary-c7e 17 күн бұрын
Asalam alykum warahmatullah wabarakatu akhy shekh ajatukana na Kama kulingania kwa maneno laini angalia Musa maneno aliombiwa na Allah katka surat twah
@HARUNILIKOKA-mj8fd
@HARUNILIKOKA-mj8fd Жыл бұрын
Mwenyezi mungu Akufanyie wepes Amin
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah be blessed
@abdulkandenyakandenya9915
@abdulkandenyakandenya9915 Жыл бұрын
Allah akujalie umri mrefu Dr sule
@ZamzamMalik-sl7by
@ZamzamMalik-sl7by 2 ай бұрын
Santeee DR SULE Nakukubali sannaaaa wallah
@mayungakomiga1952
@mayungakomiga1952 Жыл бұрын
Dr.sulle allah akujalie maisha marefu
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын
Mash Allah Dr Sulle Allah akuweke.
@alfanifaraji
@alfanifaraji Жыл бұрын
Allah akupe maisha malefu sherh wetu🥰🇳🇦🇳🇦🇳🇦
@hamisimzalendo
@hamisimzalendo Жыл бұрын
Allah akuhifadhi dr sule insha-allah
@abdulkandenyakandenya9915
@abdulkandenyakandenya9915 Жыл бұрын
Naombo ufanye ufike kenya InshaAllah mbieni malindi sheikh
@rahmasoliman489
@rahmasoliman489 Жыл бұрын
Nakuelewa sana ostazi sule mungu akupe afya njema inshallah
@mesoudmesoud568
@mesoudmesoud568 Жыл бұрын
Unaona mbali sheikh mungu akuzidshie iman❤
@shamuni1983
@shamuni1983 Жыл бұрын
SIKU ZOTE ELIMU HAIDANGANYI. ALLAH AKUHIFANDHI SHEIKHE WETU.
@JamillahLily
@JamillahLily Ай бұрын
Allah akulipe kila la kheir na huyo IPM hawezi kusimama na ww baba wew utabaki kuwa mwanaume miaka kenda❤❤❤
@mohamedikassimu7016
@mohamedikassimu7016 Жыл бұрын
Dr. Sulle wewe ni mwamba haswaaa na tunakuombea mungu akupe jitaji la moyo wako
@SuleimanMatikwil
@SuleimanMatikwil Жыл бұрын
Allah akujahalie Dr sule kakika kupigania dini ya haki ya mwenyezi Mungu inshallah
@mumyardan-yk8nq
@mumyardan-yk8nq Жыл бұрын
Mashallah shekhe wangu Dr sule Allah akuweke
@KhalimaHassan
@KhalimaHassan 5 ай бұрын
Mashallah doctor tunakupenda❤❤❤
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Mashallah mashallah mtaalam Dr sulle,, Allah akuongoz
@HamisiMzuzuri
@HamisiMzuzuri Ай бұрын
Sanaaaaa mungu ampe maisha malefu
@shabanihugo8332
@shabanihugo8332 Жыл бұрын
Nimefurahi sana kumuona ustadh kesi
@abdallahburhan5981
@abdallahburhan5981 Жыл бұрын
Mashallah allah akuzidishieeeé jemedariii wetuuu
@sabrakajuna
@sabrakajuna Жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishie akulinde pia Dr sulle🤲
@nuhukenny7183
@nuhukenny7183 Жыл бұрын
Dr Sule, nakufata kutoka Oman 🇴🇲 , naskia raha kukusikia. Allah azidi kukuongooza na Kukulinda Sheikh, Na Akupe mwiisho mweema
@VeronicaRafael-q4o
@VeronicaRafael-q4o Ай бұрын
Upo oman
@VeronicaRafael-q4o
@VeronicaRafael-q4o Ай бұрын
Upo oman
@favorite6069
@favorite6069 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi Dr.Sule ..Mwambie ajitoe asitumie Uislam Kwa manufaa yake
@ibnimasoud8228
@ibnimasoud8228 Жыл бұрын
Allahu Akbar Allah akupe ulinzi Dr Sulle kwakweli weye si Sheikh ubwabwa nakupenda kwajili ya Allah
@MohamedMakangira-fp1gh
@MohamedMakangira-fp1gh Жыл бұрын
Allah akuongoze sheikh dr sule
@munimuni3365
@munimuni3365 Жыл бұрын
Uyo njo dini ya Allah akuna wakichenzea from🇧🇮Alhamdulillah kuona mi nimwislam
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 Жыл бұрын
IPM Anajaribu kuuchezea Uislamu, akadhani kwa ukimya wetu sisi tumemuelewa kumbe tunamuhesabia hatua zake. Sisi tupo live hatutaki kuchezewa na makafiri kama IPM. BARAKALLAHU FIYKA DR. SULLE ALLAH AZIDI KUKULIPA TUPO NYUMA YAKO.
@khadijaali9861
@khadijaali9861 Жыл бұрын
Mashlh mungu akuzidishie ujasiri
@munic6686
@munic6686 Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu shekh❤
@BanditaYohana
@BanditaYohana Жыл бұрын
Ahsante Doctor sulle
@tanzanian8847
@tanzanian8847 Жыл бұрын
Allah Akbar. Allah Akbar. Safi sana dr. Sulle
@MalikisHotels
@MalikisHotels 10 ай бұрын
Uyo pastor mleten huku Kenya tunamtaka tumtoe ushamba
@SadikiMalango
@SadikiMalango 10 күн бұрын
Yupo hapo na Ndacha
@kassimali9413
@kassimali9413 Жыл бұрын
Allah akulipe Dr sule
@halimamohammed4108
@halimamohammed4108 Жыл бұрын
Takbree Allah Akibar Allah Akibar Allah Akibar ❤❤❤❤❤❤
@rehefehe8890
@rehefehe8890 Жыл бұрын
Mashaallah dr sule, hakika tunajifunza
@NgareKassim
@NgareKassim Жыл бұрын
Nakukubali sana dokita sule❤❤❤❤❤❤
@LoFi_120
@LoFi_120 Жыл бұрын
Bwana Yesu hakuwa mkristo Yesu ni Kristo Mwenyewe😄, waktristo maana yake ni wanafunzi wa Yesu. (Matendo ya mitume) Yesu ndio njia ya uzima. Tubuni na muda bado upo. Glory to Jesus Christ our Lord and savior 🙏
@nururashidy1447
@nururashidy1447 10 ай бұрын
Mashaaallah Allah akulipe inshaallah ❤
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct Жыл бұрын
Kwa Bahati mbaya Dr sulle huwezi kuelewa ukiristo hadi upewe neema na mungu utaendelea kubishana mpaka unaingia kabulini
@jafarimtoro1664
@jafarimtoro1664 3 ай бұрын
Sahihi haujui ukristo kabisa mpaka apewe neema na mwenyezi mungu ..ila jifunze sio kabulini ni KABURINI
@HEMEDIHAJI
@HEMEDIHAJI Ай бұрын
Ukrsto syo neema neema n kuwa Muislam
@raiswamaraishalisi8426
@raiswamaraishalisi8426 Жыл бұрын
Dr nakukubali kutoka DRC napia uyo baba nimeaangalia tu nusu ya video Mzee ALLAH anatetea Dini yak naww niomiongoni katika majeshi ya ALLAH shukran
@ubahamisi431
@ubahamisi431 Жыл бұрын
Takbiirr ,allah akbar
@rizikikabwe4000
@rizikikabwe4000 Жыл бұрын
Allahu Akbar ❤
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Allahu akbar
@khalifakatobo4184
@khalifakatobo4184 Жыл бұрын
Allah akbar
@khalifakatobo4184
@khalifakatobo4184 Жыл бұрын
Allahu akbar
@shamzone388
@shamzone388 Жыл бұрын
ALLAH AKBAR
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
May Allah bless you our shkh and protect you always Ameen Yarrab
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashaallah tabarakallah ❤
@babysalma4912
@babysalma4912 Жыл бұрын
Nakukubali dr sule maneno yako yananipa raha sana
@msukuma1
@msukuma1 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe wapendwa
@saidseiph8576
@saidseiph8576 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi Akulinde dhide ya wenye husda
@shabandamas1759
@shabandamas1759 Жыл бұрын
Profesa sulley
@mtailwahamisi
@mtailwahamisi Жыл бұрын
HUYU NDIO DK SULE NINAYEMTAMBUA NAMPENDA SANA DK KWA AJILI YA ALLAH
@vklhkhjji8070
@vklhkhjji8070 Жыл бұрын
Doctor huyo ❤❤❤
@rahmasoliman489
@rahmasoliman489 Жыл бұрын
Mashaallah
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar Жыл бұрын
ALLAH Akuongoze Dr Sulle
@allyjabily7957
@allyjabily7957 Жыл бұрын
الْحَمْدُ لِلَّهِ مَا شَاءَ اللَّهُ 🙏
@MwanahawaYahya
@MwanahawaYahya 10 ай бұрын
Maxhaallah doctor allah akupe umri mref
@DamasJoseph-ll4qx
@DamasJoseph-ll4qx Жыл бұрын
Nakupenda Sana mzee wangu lakini kwa haya usemayo nakuomba acha kumchukulia mungu hivyo najua umejaaliwa kuwa na elimu ya dini lakini kuna vitu mungu ameficha ambavyo hata kwenye elimu hayapo nakuomba baba yangu mimi siwezi kubishana ila mungu akusamehe sana
@gasperjohnson3388
@gasperjohnson3388 Жыл бұрын
Huyu sule ni tapeli
@suweidkhamis722
@suweidkhamis722 Жыл бұрын
Mkiona ukweli muelewe
@sidearsenal666
@sidearsenal666 Жыл бұрын
Huna unalolijua ww damas
@salminimwaipopo2349
@salminimwaipopo2349 Жыл бұрын
Haaahaa haaahaa unakichaa wewe,, moja kati ya jukumu la Kila muislam ni kukatazana mabaya na kukumbushana mema
@benedictmhina4819
@benedictmhina4819 Жыл бұрын
Mabaya yapi Kwa mfano
@aminajumale6805
@aminajumale6805 Жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu
@Hashimumsabaha
@Hashimumsabaha Жыл бұрын
Allah akulinde shehe wetu
@shabandamas1759
@shabandamas1759 Жыл бұрын
Huyu ndo mtaalam Dr sulley naemfaham mm
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 ай бұрын
Doctor Sule salute.
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 Жыл бұрын
Mtu akiugisa uislamu basi ajue wazi kuwa amegusa sehemu mbaya sana, ajiandae kwa lolote lile. Safi Shekh, upo kwenye Jihadi kwaajili ya Allah!!
@igurusitv6553
@igurusitv6553 Жыл бұрын
Hasira huwaka kichwani kwa MPUMBAVU. Hasira ni tabia za majini, hasira walizonazo waislam zinaakisi tabia za majini, na hii dini ni ya majini
@hamisimuhammad3656
@hamisimuhammad3656 Жыл бұрын
​@@igurusitv6553 nawew shoga Nini wakati dini yenu ya ukristo inawataka muwe munafirwa nandyo maana nchi za kikristo zinataka muwe munafirwa
@omarykitchenware5144
@omarykitchenware5144 Жыл бұрын
Sasa ninyi mnagusa ukristo halafu mnasema ukiugusa uislamu umegusa sehemu mbaya kwamaana hiyo dini yenu ipo kwaajili yakulipiza visasi kama unavyosema mnakuwa jihad kwaajili ya Allah Mungu wa kweli niwaupendo sio magomvi mara jihadi mara mbishane yote hayasaidiii
@zakayolazoro48
@zakayolazoro48 Жыл бұрын
Dully sikia kukasilika siyo kumaliza tatizo nanyinyi hamuna roho wa bwana ata kindongo tafuta siku Mimi nwewe tufanye mudaharo koroni 3:55 inasemaje soma korowani 3;84 inasemaj acha kushabikia Kitu hujuwi
@mohdalikhamis2161
@mohdalikhamis2161 Жыл бұрын
@@zakayolazoro48 acha kusema koroan , Huwez huwek mjadl na waislam wew unawajua vizur au unatk kuongea pumba t
@Rashidikimati
@Rashidikimati Ай бұрын
Nakukubali xana Dr Sule ww ni hatar!
@yakobomkristo872
@yakobomkristo872 Жыл бұрын
Waislamu Hawaji Kwenye Ukristo Kwa Kushawishiwa Na Nabii IPM Bali Kwa Kula Kibano Toka Kwa Bwana Yesu Mwenyewe 😊
@Josephmajaliwa-o5q
@Josephmajaliwa-o5q Жыл бұрын
Omba mjadala hapo uende na bibliayalo na vifunguvyako ndo utaona anaepigwa kibano ni nani
@ZainabuMwambashi
@ZainabuMwambashi Жыл бұрын
Allha akupe umri mrefu shekhe wetu
@ilulusaccos
@ilulusaccos Жыл бұрын
❤❤❤❤
@FatmaZena
@FatmaZena Жыл бұрын
TAKBIRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR. ALLAH AKULINDE SHEKH WETU.NASI ATUJAALIE TUISOME DINI YETU KINDAKINDAKI
@rahmaarrington9019
@rahmaarrington9019 Жыл бұрын
Allahu Akbar ☝🏿
@gracegelege1706
@gracegelege1706 Жыл бұрын
Naomba ufafanuzi quran5:85 na 33:50 asante
@onelove45
@onelove45 Жыл бұрын
Mashallah
@HadijaKombo-g6g
@HadijaKombo-g6g Жыл бұрын
Allah akubarik shekhh Islam ndio dini yahakki
@MangoGroup-p8y
@MangoGroup-p8y Жыл бұрын
Dini ya hakika kiukweli ni usilamu dini ya haki ni uislamu surat Al imrani Aya 19
@mohamedmwadin-ik4no
@mohamedmwadin-ik4no Жыл бұрын
Ahsante Dr. Sule mfahamishe anatumia dini yake kwa kuchanganya ukisto na UISLAM.
@allanlyombile7014
@allanlyombile7014 Жыл бұрын
Neno Kristo maana yake mpakwa mafuta au aliye pakwa mafuta, mafuta gani? Yesu anasema Roho wa Bwana yu juu yangu naye amenitia mafuta, kumbe ni mafuta ya Roho mtakatifu LUK 4:18 kwahiyo ukisema Yesu hakuwa mkristo maana yake hakuwa na mafuta Roho mtakatifu, hata watumishi wa agano la kale walipakwa mafuta 1SAMW 16:13 kumbe kama neno Kristo maana yake ni mpakwa mafuta basi hata hawa watumishi wa agano la kale kwa kuwa walipakwa mafuta walikuwa wakristo, ukristo ( upakwa mafuta )ulikuwepo tangu Adamu aliye umbwa kwa pumzi ya Mungu.
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Mitume yote ilikuwa ni waislam tangu Adam AS hadi Muhammad SAW
@dakxirdakxir5897
@dakxirdakxir5897 Жыл бұрын
We mpuuzi kweli we umeona wapi ukristo ni dini wameandika wapi njoo na biblia yako unioneshe hilo neno ukristo ni dini wapi limeandikwa mtu anakutoa ktk ujinga we unaona dini n siasi mpuuzi kweli we jamaa
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 Жыл бұрын
​@@dakxirdakxir5897 kwani neno dini lina maana gani? Maana kila mwisilam lazima aseme ukristo siyo dini neno dini lina maana gani?
@Phat-23
@Phat-23 Жыл бұрын
@@rehemaabinelynyagawa2878 dini ni chombo kinachokuongoz mwanadam kumfikia Mungu aliyoweka
@Phat-23
@Phat-23 Жыл бұрын
@@rehemaabinelynyagawa2878 kweny ukristo hamna sehem ndan ya biblia inayosema ukristo ni Dini ya Mungu , inatia mashaka na inaweka wazi kua hiyo sio dini ya Mungu kwasab Mungu lazima angewek wazi kama ukristo ni dini ya haki na hamna neno ukristo kweny Bible sijui mmelitoa wap hahhaaha
@fundiwamoldzapevingblock6378
@fundiwamoldzapevingblock6378 Жыл бұрын
Asante sanaa aaaaaaaa mungu akuweke kakaaaaa Allah akibaluh
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Waislamu mnakasirika mwislamu akiokoka,mbona wakristo hawakasiriki wakristo wakislimu,mnashida
@AliAli-ck1iy
@AliAli-ck1iy Жыл бұрын
Mashaallah
@Maalim_Samatta
@Maalim_Samatta Жыл бұрын
Tunakasirika Kwa kuwa mmezidi kuwa waongo dhidi ya Uislam.
@mohamedmwadin-ik4no
@mohamedmwadin-ik4no Жыл бұрын
Hakuna mtu Kwenye uislam anayekasirika ukitoka uislam sababu anaye hukumu ni mmoja ambaye hana mshirika pia Hapa duniani kila mja hufanya jambo la dhambi na thawabu kutokana na akili zake na ndio maana Kwenye hukumu kila mtu atahukumiwa Juu ya dhambi na thawabu zak
@furahawaziri6746
@furahawaziri6746 Жыл бұрын
Hatuna makasiriko ila kama kaamua kwenda kwa ukilstoatuachie dini yetu furu stop
@mohamedyeslam5194
@mohamedyeslam5194 Жыл бұрын
Unajuwa hukmu ya muislamu akiritadi NI kuuwawa?
@JacquelineMwakapola
@JacquelineMwakapola Жыл бұрын
Asante kwa theologia ....ila bila Yesu umepotea
@AsiyaahAlly
@AsiyaahAlly 10 ай бұрын
Bado hujasema karibu katika dini ya haki
@emmanuelboniface9943
@emmanuelboniface9943 Жыл бұрын
Yesu hakuwa na dini wala sio Muslim Yeye ni njia ya kweli na uzima mtu hawezi kwenda mbinguni bila yeye
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
Lakini yeye Yesu si alitawadha kabla ya kuswali je wewe watawadha ukiswali
@omaryomary4356
@omaryomary4356 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆😆 uongo huo bana ,, hahahhahaha
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Munakasha ndiyo juwo jitokeze basi tujue huyo yesu siyo muislam ni njia
@rahmaarrington9019
@rahmaarrington9019 Жыл бұрын
Hayo kaeleze kanisani kwa wakiristo wenzio huu so uwanja wenu!!
@ramadhanijohoiddi2899
@ramadhanijohoiddi2899 Жыл бұрын
Kaka una dalili ya maneno yako kua hakua na dini?
@miishhassn
@miishhassn Жыл бұрын
Mungu akuzidishie kher dunian kesho akhera kwa unayoyafanya❤❤
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Mwacheni si kaamua mwenyewe nyie yawauma nini?
@abdulkarimukusaga3617
@abdulkarimukusaga3617 Жыл бұрын
Tutambusu
@salim02tv24
@salim02tv24 Жыл бұрын
Asingilie uislam
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Жыл бұрын
Kwani naww unaumia nn???
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Haitumi sisi tunatetea dini na tunajua huyo kafiri hana dini ila anataka kuchezea dini ya mwenyezi mungu lazima twende nae sawa
@mrsab303
@mrsab303 Жыл бұрын
Thanks Dr sulley ❤❤❤❤❤
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Жыл бұрын
Mwenzio alikutana na Yesu akasarenda, Muhammad hakuwahi kumtokea, utamwambia nini, wewe?
@HamixBreshiBane
@HamixBreshiBane Жыл бұрын
Kwan Waliotokewa ba Yesu huwa anafananaje uyoYesy
@binseif2216
@binseif2216 Жыл бұрын
@@HamixBreshiBane 🤣si yule mzungu
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
Yesu yupi yule jamaa wa kwenye video au
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Kenya mwakufa huko walio kutana na yesu kanisa zima wamekufa na yesu pia karudi yupo kenya tongareni
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de Жыл бұрын
Tangu dunia ianze,hakuna nabii mzungu ,manabii wote wametoka mashariki ya Kati yaani uarabuni mido est
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 Жыл бұрын
ALLAH akulinde sana sheikh Sule
@rosestigeneriksson8387
@rosestigeneriksson8387 Жыл бұрын
Mbona unapaniki mzee ukristo ndio dini ya kwanza duniani msitulazimishe
@SelemanZubery-so6wo
@SelemanZubery-so6wo Жыл бұрын
Kati ya Nabii Mussa na yesu nani alianza kuzaliwa na kuwa mtume wa Mwenyezi Mungu
@MusabinbashiruBinhassani-fe4tz
@MusabinbashiruBinhassani-fe4tz Жыл бұрын
We adamu alikuwa muislam
@rayaali7551
@rayaali7551 Жыл бұрын
ROSESTIGEN. DR SULE. HAJA PARNIC. ILAA SOOTEE WAISLAAM HATUTAKI KUCHEZEWA NA QRAAN YETUU. WALAA HATUTAKI KUCHEZEWA. NA KUMTUMILIA NGAZI YA KUPANDIA UNAFIQ NA FITNA ZAKE BWANA MTUME MUHAMMAD SAS. DINI YA KIISLAAM SIO DINI YA KUPITA KUICHEZEA UNAVYO TAKA. KWA KUTAFUTIA JAZATUMBO. KAMA MTU NJAA IMEMZIDIAA. AKATAFUTE KAZI AFANYE KWA KULA KWA JASHO LAKE NA NGUVU ZAKE. SIO KUPITA. KUZUWA UZUSHI. NA FITNA ZAKE UPO HAPOOO. DR SULEE. HAJA PANIC. HATUTAKIIIII. SISI NI WAKALII KWA DINI YETUUU YA HAKI UISLAAM SIO DINI YA KUPITA KUICHEZEA NGOMA NA KUJIITA MAJINA FAKE YA UNABIII. AATI YESUU MARA YOHANA MBATIZAJII. MARA WENGINE KUJIITA MTUMEE AKATAFUTE DINI ZA FAKE AZICHEZEEE NA KUTAFUTIA ULAJI. NA KUKOMESHEA NJAA ZAKE SIO UISLAAM
@juniorndago8488
@juniorndago8488 Жыл бұрын
Toa ushahidi wako!
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي Жыл бұрын
Wapi kulikoandikwa ukristo ni dini kwenye bibilia ukristo umekuja Yesu hayupo na hajui kama kuna dini inaitwa ukristo
@AbdulahBakari
@AbdulahBakari 8 ай бұрын
Allah akulipe mema juu ya kuutetea uislamu
@raphaelalex-jp7fh
@raphaelalex-jp7fh Жыл бұрын
Allha akupe umri mrefu❤
@Chris-in1vc
@Chris-in1vc Жыл бұрын
Al hamdu li Jesus ! Masha al Jesus !. Pili naoupa pole Bwana mdogo theoleogy au pholosophy ni haramu katika uislamu, na wewe nimejua si musilamu maana usilamu ni kufuata allah kasema ( Quran) na muhammad kasema na kutenda ( sunna). Kama Yesu alikua musilamu wapi alisena shahada !? Maana usilamu ni kumwamini allah na muhammad kama mtume wake, kuzunguka jiwe jeusi la Maka na kulibusu na kulisukudia (Haji), kufunga ramadhani , kusali sala tano kuelekea jiwe jeusi ( Qibla ya maka) na kutoa zaka. Lini Yesu alimuamoni allah na kumwita Baba? Lini alimwamini muhammad ( Abu Qassim) ?, Lini alibusu jiwe jeusi na kulizunguka?, Lini alitoa zaka hata ndani ya Biblia ?, Lini aliswali sala 5 ?. Usichanganye upagani na njia ya Mungu, utalaaniwa, baki na dini yako na usigusie mambo ya Mungu huna elimu yoyote hata ya dini yako, na hata allah wako hajui lolote na hataki maswali ( Q 5:101-102). You are nothing but a follower of a copy and paste religion, kama mnamjua Yesu mbona hamna vitabu vya injili, torati, na zaburi ?. Ukasome kiarabu vizuri ili uijue dini yako vema na kuomba kwa kiarabu, maana mungu wako ni mwarabu hasikii lugha ingine isipokua kiarabu.
@doctoruvuruge4240
@doctoruvuruge4240 Жыл бұрын
Biblia maneno ya watu jitahidi uusome ukristo wako
@mayungakomiga1952
@mayungakomiga1952 Жыл бұрын
Ukisoma biblia yesu mwenyewe anasema tazama ndege wanaviota lakini mimi yesu sina hata kidogo asa ulitaka atoe nini zaka kijana wa maria hakuwa na chochote ?
@mayungakomiga1952
@mayungakomiga1952 Жыл бұрын
Ukitembea utajua kuwa Qurani hata za urudu yaan lugha za wahindi ziko allah hata ukiomba kimakua anasikia bwana mkubwa kasome vizuri kabla hujaanzisha ubishi
@Chris-in1vc
@Chris-in1vc Жыл бұрын
@@mayungakomiga1952 mheshimiwa unaijua biblia au unaongea kwa ufahamu wako binafsi !?. Biblia si kama Quran ni kitabu Cha kiroho na husomi kama gazeti kama usomavyo Quran yako, na pili hujui hata zaka maana yake ni nini kiblblia, na kipi kinatolewa kibiblia, na nani anatakiwa kutoa kibiblia. Hata Allah hujui maana yake ni nini kwa mujibu wa Quran yako na Hadith, Je unaweza kunambia Allah ni Jina au ni cheo, ? Na maana yake ni nini, .. nipe Aya au hadithi inayojibu maswali yako au kama hujui kaa kimya sema Sina elimu na sijui lolote zaidi ya kuswali swali.
@chiefkibona7309
@chiefkibona7309 Жыл бұрын
Very strong servant of YAHWEH. You are blessed by name of JESUS CHRIST of Nazareth.
@mhandoomary8539
@mhandoomary8539 Жыл бұрын
Blessed 🙏🙏🙏
@mobutu3884
@mobutu3884 Жыл бұрын
Kwa hiyo huyu ndio mnaona ana hoja za kushitua, mbona wa kawaida sana, Ulitakiwa uanze kuwakataza kina mazinge waache kuzungumzia ukristo misikitini, mbona nyie mnazungumzia wakristo kila siku ila nyie hamtaki mzungumziwe? Shida ni nini? Nisaidieni aya katika Biblia ya Yesu alisujudu tafadhali.
@MangoGroup-p8y
@MangoGroup-p8y Жыл бұрын
Aache mara moja maana huyo ni mpotoshaji ipm ni muongo
@MangoGroup-p8y
@MangoGroup-p8y Жыл бұрын
Nipo pamoja na wewe dkta sule
@salmampile5936
@salmampile5936 Жыл бұрын
5:19
@mobutu3884
@mobutu3884 Жыл бұрын
@@salmampile5936 Quran 46:9 Yohana 14:6 Mathayo 28:18
@Josephmajaliwa-o5q
@Josephmajaliwa-o5q Жыл бұрын
omba mjadala kaka tuwaone kama niwakawaida ukichomoka sisi tutajua tumekaapale
@SbsBts-g3v
@SbsBts-g3v Жыл бұрын
Swadakt usthand AllAh akuhifandi insha AllAh
@patrickgudaga3461
@patrickgudaga3461 Жыл бұрын
asa mbn uislam haufanani na yedu
@zakayolazoro48
@zakayolazoro48 Жыл бұрын
Shehe hujasoma erimu ya mungu haichuguziki mungu hawajuwi waisiramu ata kindongo kusoma siyo tatizo tatizo kuerewa acha kujiamini bere za watu soma korowani 3:55 na soma korowani 3:84 acha mambo hayo Yesu kaja handi misili kuhubuli muhamadi nibinadamu tu hawezi kumufikia Yesu Sasa kama Yesu nimwisiramu kwanini hamumusari unmusaria muhamadi aliye kufa na hamufufuka 3:55 korowani inamwita Yesu Yani Isa mungu anmwambia mimi nitakufisha na nitakunyanyuwa juu binguni na nitakutakasa nawario kufata nitwafnya kuwa juu nawalio kukataa nitawafanya kuwa chini handi siku ya kiyama acha kujiamini kwa Maneno mengi sikujuwa shehe. Haina haja yahuko hizapo Aya
@saidmasoud7627
@saidmasoud7627 Жыл бұрын
We simu yako haina L sio erimu ni elimu sio waisiram ni waislam jifunze kuandika halaf lete Hoja
@yassirmussa-hp7kp
@yassirmussa-hp7kp Жыл бұрын
Tatizo nawewe hujui kiswahili jifunze kwanza kiswahili na wew
@jaafarmkatta1336
@jaafarmkatta1336 Жыл бұрын
Kajifunze kwanza kiswahili na kuandika ndipo huje humu. Yesu Ni binadamu tu kaumbwa na Mungu
@katokimera4463
@katokimera4463 Жыл бұрын
Korowani hicho kitabu uliandika ww na nyanya ako et
@aybkham5795
@aybkham5795 Жыл бұрын
Kalale uko , hujui kitu fanya usilimu
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 4 ай бұрын
Mashallh tabaraka rrahmaani
@mwikwabeajuae494
@mwikwabeajuae494 Жыл бұрын
unajivunia theology mbele yamtu aliyevutwa na roho mt kutoka uko. Mtu anayejivunia theology huwa namuona nimtu anae hitaji msaada wakiroho sana. Unasimama mbele zawatu kwakujivunia makaratas yalio pigwa muhur na mwanadam je mitume walisoma wapi iyo theology ukimtoa uyo Muhamad wenu na Luka, Luka mweny alisoma elim yakawaida nasyo theology lkn mitume wote walipoishi na Christo walitenda kaz ya Mungu namaajabu mengi nakuwashinda ata Mafarisayo waliosoma lkn hawakufikia utendaj kaz wa mitume. 1Kor1:18-21 Umesoma dini 100 na bado ujapata kufaham kuwa muhamad syo mpango wa Mungu kwa wanadam? wenzako waliopigwa chapa ya Mungu wanapigania utakatifu na wala syo dini, dini ninjia tu yaan mwanzo wa mazungumzo yako hadi mwisho unazungumza upagani typically Ndy kashaokoa sasa na kawa mtumishi mchristo utafanyeje sasa........✍
@derickjoseph9884
@derickjoseph9884 Жыл бұрын
Respect kaka
@abasmaalim5423
@abasmaalim5423 Жыл бұрын
Man you are allowed to criticize but at least get your logic straight! Stop convincing people about your unverified beliefs! Is not very good, not very civilized to use your limited days of life this way dude! Just challenge your thinking
@abdallahkhamisharuna2570
@abdallahkhamisharuna2570 Жыл бұрын
Makafir mnatusumbua
@sshaby52
@sshaby52 Жыл бұрын
Kwani wenye wanaotakewaga na roho mtakatifu huwa anafanana aje mtujuze basi na sisi
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 Жыл бұрын
Kafanana vipi
OOH! DR.SULLE SASA HALIWEKA WAZI BIFU LAKE NA SHEIKH NURDIN KISHIK
11:38
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 4,8 М.
OCCUPIED #shortssprintbrasil
0:37
Natan por Aí
Рет қаралды 131 МЛН
$1 vs $500,000 Plane Ticket!
12:20
MrBeast
Рет қаралды 122 МЛН
DR.SULLE AFUNGUKA HAYA KUHUSU DINI YA UKRISTO//LAZIMA NIWAFUNDISHE.
12:21
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 3,6 М.
Dr.Sulle:Ukiota nyoka Umekwisha!!
16:13
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 83 М.
KWANINI KILA MIPANGO UNAYOIFANYA HAITIMII?
1:48:21
IPM TV
Рет қаралды 17 М.
OCCUPIED #shortssprintbrasil
0:37
Natan por Aí
Рет қаралды 131 МЛН