DUH! JPM AMVAA MFUNGWA ALETOKA GEREZANI "ALIKAA MIEZI SITA, MSHIKENI TENA, AKALIME MZURURAJI"

  Рет қаралды 422,182

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 287
@omariswafuru9399
@omariswafuru9399 4 жыл бұрын
No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.
@johnkillango7850
@johnkillango7850 4 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa
@doricegabriel2610
@doricegabriel2610 4 жыл бұрын
Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu
@dominikishilali194
@dominikishilali194 4 жыл бұрын
Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi
@monicamonica4597
@monicamonica4597 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu
@ahdahmed8383
@ahdahmed8383 4 жыл бұрын
Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina
@lightmbasha6404
@lightmbasha6404 4 жыл бұрын
Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee
@abbasally6288
@abbasally6288 4 жыл бұрын
Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu
@andreashayo6266
@andreashayo6266 4 жыл бұрын
Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu
@joycehagman5622
@joycehagman5622 4 жыл бұрын
Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu
@frankmosha5854
@frankmosha5854 4 жыл бұрын
Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu
@ibrahimuhamzab.7129
@ibrahimuhamzab.7129 4 жыл бұрын
Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi. Mungu ibariki Tanzania , Mmungu mbariki Mh, Raisi John Pombe Magufuli
@giftnyakipande1253
@giftnyakipande1253 4 жыл бұрын
Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba
@dianafyondi3265
@dianafyondi3265 4 жыл бұрын
Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏
@isackndaki3059
@isackndaki3059 4 жыл бұрын
Boya unaulizwa shinda yako et mimi salange
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 4 жыл бұрын
Hahaha
@kenicemkaka2824
@kenicemkaka2824 4 жыл бұрын
Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana
@oscarkasalile9367
@oscarkasalile9367 4 жыл бұрын
Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.
@thadeiminja1855
@thadeiminja1855 4 жыл бұрын
Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko
@suleimanpandu8955
@suleimanpandu8955 4 жыл бұрын
Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona
@thegreatsource2953
@thegreatsource2953 3 жыл бұрын
Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪
@walikidali596
@walikidali596 4 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki
@rahmakatotok3489
@rahmakatotok3489 4 жыл бұрын
Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa
@jackleenmandary2632
@jackleenmandary2632 4 жыл бұрын
Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho
@bonifacepontian1391
@bonifacepontian1391 4 жыл бұрын
Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah
@akwillahsegwa6940
@akwillahsegwa6940 4 жыл бұрын
Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu
@AsiaMkusa
@AsiaMkusa 4 жыл бұрын
Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu
@salimmwanyae9894
@salimmwanyae9894 4 жыл бұрын
Hata Kenya tunamtambua magu
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 4 жыл бұрын
Mungu akubariki mh Rais
@emmakelvinmeinyi1439
@emmakelvinmeinyi1439 4 жыл бұрын
Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali
@dicksonhenricko9130
@dicksonhenricko9130 3 жыл бұрын
Ama kweli we ndio jembe mungu akulinde jpm
@banazoone2744
@banazoone2744 4 жыл бұрын
Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc
@gabrielisack7786
@gabrielisack7786 4 жыл бұрын
Mungu atusaidie katika kufanya maamzi.
@jeuritv156
@jeuritv156 3 жыл бұрын
Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...
@lazarojr8923
@lazarojr8923 4 жыл бұрын
Mpiga debe kayataka mwenyewe
@selemanhamis4799
@selemanhamis4799 4 жыл бұрын
Xana2
@seifmohamedseif9467
@seifmohamedseif9467 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 4 жыл бұрын
Hhhahhhah nmecheka xana
@salomejohnson346
@salomejohnson346 4 жыл бұрын
@@Mkemia..Kirigiti Haaaaaaa nimecheka sana
@lulually6722
@lulually6722 3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆mic sikioni kajisahau
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 4 жыл бұрын
Nakupenda sana makufili oyeeeee
@oscarkasalile9367
@oscarkasalile9367 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Hawa nida ni shida mheshimiwa
@alikhamisog3422
@alikhamisog3422 4 жыл бұрын
Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman
@tanzaniteinzanzibar6655
@tanzaniteinzanzibar6655 4 жыл бұрын
ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...
@alikhamisog3422
@alikhamisog3422 4 жыл бұрын
@@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha
@nawihadj6674
@nawihadj6674 4 жыл бұрын
Unataka chochote kip weye
@josephmsuya8124
@josephmsuya8124 4 жыл бұрын
Fafanua alii hakua nn
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaa msenge huyo sarange unaulizwa badala useme unahitaji mtaji unasema mim sarange mfyuuu
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 4 жыл бұрын
Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠
@ahmadimikidadihatibu6096
@ahmadimikidadihatibu6096 4 жыл бұрын
angetoka na mtaji wake wa karanga hapo
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 4 жыл бұрын
Ahmadi Mikidadi Hatibu angefungua kiduka mkoba mwenyewe 😂😂😂😂
@sadikimdugi1642
@sadikimdugi1642 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@beatricedickson605
@beatricedickson605 4 жыл бұрын
😁😁
@raymondysadick608
@raymondysadick608 3 жыл бұрын
Huyu rais ndo maana nampenda bure.
@magdalinangussa8643
@magdalinangussa8643 4 жыл бұрын
Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana
@lindahwazir7209
@lindahwazir7209 4 жыл бұрын
Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.
@immaruzige1845
@immaruzige1845 4 жыл бұрын
Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 жыл бұрын
Yaan ww unautan mbayaaa shida yake c wananchi wawasikie
@lulually6722
@lulually6722 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mselemsalim1986
@mselemsalim1986 4 жыл бұрын
Axnt Mh.rais wanqu nakupenda xn!
@molasmusa3609
@molasmusa3609 4 жыл бұрын
Pga kazi mzee
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 жыл бұрын
Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.
@hansimwakyoma3042
@hansimwakyoma3042 4 жыл бұрын
Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi
@ramadhanindevu6006
@ramadhanindevu6006 4 жыл бұрын
Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana
@stantz1798
@stantz1798 4 жыл бұрын
Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm
@merryjulius4098
@merryjulius4098 4 жыл бұрын
Haaha,alisahau jamani.
@saidinhomarwa5575
@saidinhomarwa5575 4 жыл бұрын
Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.
@mwanaisha522
@mwanaisha522 4 жыл бұрын
Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live
@ommylamam1463
@ommylamam1463 4 жыл бұрын
@@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 4 жыл бұрын
Hata dodoma raisi nida ni shida baba tusaidie.tuna namba tu vitambulisho hakuna
@hamisjahar756
@hamisjahar756 4 жыл бұрын
Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana
@godfreymhochi6206
@godfreymhochi6206 4 жыл бұрын
wananchi wenyewe wanafki jamaa kaelezea shida wakashanfilia alafu akageuziwa kibao tena wanashangilia mmmmh
@victormushi6641
@victormushi6641 4 жыл бұрын
SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?
@africa7479
@africa7479 4 жыл бұрын
Raisi mimi ninashida jamani ya kukuona live tuake pekeyetu dakika mbili tu.
@alyhamadi8033
@alyhamadi8033 4 жыл бұрын
Uyu jamaa mjinga mkuu wa nchi anakuuriza usaidiwe ww unaaza kusema oooh mm sio mzurulaji
@grfgt1930
@grfgt1930 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Msanvu oyeeee nimepamis
@evcloudjuma9790
@evcloudjuma9790 4 жыл бұрын
Kamata masalange wote sukuma ndani pumbavu wamenifanya mm nimeanda gari la ajabu kweli ambalo mm sikupanga.
@judithmichael5155
@judithmichael5155 4 жыл бұрын
Mimi mwenyewe wananiuzi wanakusindikiza mpaka kwenye ngalangala na bei unapigwa vile vile
@beatricedickson605
@beatricedickson605 4 жыл бұрын
😁
@singirankabofabien4640
@singirankabofabien4640 4 жыл бұрын
😹
@daudirajabu6798
@daudirajabu6798 4 жыл бұрын
Badala yakuomba mtaji kwa mh raisi unasema sarange boya kweli ww
@seifzongo320
@seifzongo320 4 жыл бұрын
😀😀😀
@nemricesoka8189
@nemricesoka8189 4 жыл бұрын
Hahahha ulikia mawazon mwangu alivyoitwa pale mbele alikua apewe mtaji akazingua na usarange hahahhaa
@lukasochola576
@lukasochola576 4 жыл бұрын
@@nemricesoka8189 Mtaji ni nini?
@beatricedickson605
@beatricedickson605 4 жыл бұрын
😂😂😂jamn simba mtoto
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 жыл бұрын
Mwenye bahat habahatiki
@charleshaule4008
@charleshaule4008 4 жыл бұрын
Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.
@user-je7jj1vi2u
@user-je7jj1vi2u 3 жыл бұрын
😗from 🇧🇮
@judithwirth2256
@judithwirth2256 4 жыл бұрын
The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?
@magdalinangussa8643
@magdalinangussa8643 4 жыл бұрын
Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote
@fifo262
@fifo262 4 жыл бұрын
Love mh wa tz
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 4 жыл бұрын
Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena
@wannaproducts
@wannaproducts 4 жыл бұрын
Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima
@allysalum7158
@allysalum7158 4 жыл бұрын
nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu
@wannaproducts
@wannaproducts 4 жыл бұрын
@@allysalum7158 Aisee
@festosanga1793
@festosanga1793 4 жыл бұрын
Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??
@jumaselemani2720
@jumaselemani2720 4 жыл бұрын
Kweli jua kali mheshimiwa duuh 😂😂
@zachaamasta3298
@zachaamasta3298 4 жыл бұрын
#nakukubali raixi magufuli
@evcloudjuma9790
@evcloudjuma9790 4 жыл бұрын
MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote
@jamesmosha666
@jamesmosha666 4 жыл бұрын
MH
@geoegedonard8548
@geoegedonard8548 4 жыл бұрын
Utakua senge co bure aisee
@evcloudjuma9790
@evcloudjuma9790 4 жыл бұрын
@@geoegedonard8548 #hahah hapana usenge nimeacha Ila huyu jamaa amefanya maisha yamekuwa mazur Sana
@jonaslaiser6273
@jonaslaiser6273 4 жыл бұрын
Hatamimi
@mambosasatv9717
@mambosasatv9717 4 жыл бұрын
Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?
@augustinojohn4764
@augustinojohn4764 4 жыл бұрын
Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Siungeenda ukaongee wenae sasa hapa atakusaidia nani unakwama wapi
@abdillahkhamisally4818
@abdillahkhamisally4818 4 жыл бұрын
poa nakuja
@mamymdogomamy3670
@mamymdogomamy3670 4 жыл бұрын
Jamani uhuru si uchukuwe mfano japo wakiya tuu🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️wa Tanzania mungu awalindie Rais wenu 🙏🙏
@mwajumakweli7931
@mwajumakweli7931 4 жыл бұрын
Mamy mdogo Mamy lnisha Allah
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 4 жыл бұрын
Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji? Salange oyeeeeee
@pendomkumbo8262
@pendomkumbo8262 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂loh
@ratifamzima1255
@ratifamzima1255 3 жыл бұрын
Yaani roho imeniume San jamani ningekuwa mimi
@henrykishiwa6755
@henrykishiwa6755 4 жыл бұрын
Jamaa kaikosa milioni moja nje nje matako kweli we unaulizwa shida yako unaanza kuongea utumbo utakufa masikini K wewe
@salumnakauka5355
@salumnakauka5355 4 жыл бұрын
Merci monsieur président.Dieu vous protage.
@evancegerald6281
@evancegerald6281 4 жыл бұрын
Dictetor 1 africa
@julessebintu6525
@julessebintu6525 4 жыл бұрын
salum nakauka on dit Que Dieu te protège non pas te protage
@Yi-05
@Yi-05 4 жыл бұрын
Dah mzee kavalia gwanda kabisa nomaaaa....
@nawihadj6674
@nawihadj6674 4 жыл бұрын
Hahahhha ndo amiri jeshi mkuuu hiloo ndo vaz thabit kwake
@eliceshirima1740
@eliceshirima1740 4 жыл бұрын
Yassini Rabhu limem fit .
@jeradkanyuru5745
@jeradkanyuru5745 4 жыл бұрын
Kweli atutambata kama wew
@aminahussein5418
@aminahussein5418 4 жыл бұрын
Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu
@masuseleman978
@masuseleman978 4 жыл бұрын
Hapo mwisho jamaa anasura ngumu.mpaka raisi kamuuliza yy ni miongoni walio ungua Moto😂
@petromtakati2975
@petromtakati2975 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣😅😅😆😁😄😃😃😀😀😃😃😄😃😂😂😂😂😀😀
@japhetisraelsmafie997
@japhetisraelsmafie997 4 жыл бұрын
Hao wasaidiz wa raisi mnashindwa kumwekea laudi speaker
@aqwinatherhaule6228
@aqwinatherhaule6228 4 жыл бұрын
Uwiiii we mama me staki kupata kufuru
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 4 жыл бұрын
Makao makuu dodoma nida ni shida nani makao makuu .tusaidie raisi wetu
@madegeommy3779
@madegeommy3779 4 жыл бұрын
Mbona hao warisha katazwa kupiga debe wana lala mika nini
@frankmussa195
@frankmussa195 4 жыл бұрын
Ubarikiwe.raisi.wetu
@britonngale6644
@britonngale6644 4 жыл бұрын
This is Magufuli
@ibrasound4943
@ibrasound4943 4 жыл бұрын
Njoo na kilosa Mh Rais wetu
@laumbwana2681
@laumbwana2681 4 жыл бұрын
Unaacha kusema nashida namtaji unasema Mimi sarange wewe kweli zoba
@allynuhumuina5921
@allynuhumuina5921 4 жыл бұрын
Angesema nnashida na mtaj il nfanje biashara rais Hana bahat acha apg debe kwanz
@BontamLee
@BontamLee 4 жыл бұрын
Pole kwa safari kwa miungu watu,kama ninyi,huyo rais mchapa kazi mwambie ongera kwa safari.
@fransymwasubira.2903
@fransymwasubira.2903 4 жыл бұрын
Kweli wanyonge tumepata mtetezi
@uswizinyanginywa2498
@uswizinyanginywa2498 4 жыл бұрын
Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee
@FumorliongEagles-sl6mj
@FumorliongEagles-sl6mj 16 күн бұрын
Good. Jp
@maxwellwilliam1663
@maxwellwilliam1663 4 жыл бұрын
Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap
@salummuhija4435
@salummuhija4435 4 жыл бұрын
Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!
@giftnyakipande1253
@giftnyakipande1253 4 жыл бұрын
Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaa
@ndikumanaally4952
@ndikumanaally4952 4 жыл бұрын
Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni
@ndikumanaally4952
@ndikumanaally4952 4 жыл бұрын
Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana
@ambermodotz408
@ambermodotz408 Жыл бұрын
Rest in paradise dady
@rajmatola8611
@rajmatola8611 4 жыл бұрын
Magu raisi wa wanyonge piga kazi babaangu 2ko nyumayako
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 жыл бұрын
Mpumbavu 1 huyu kwel unashindwa kusema mm muheshimiwa naomba unisaidie mtaji aiseee watu wengin bhn mjinga sana huyu
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 4 жыл бұрын
Ningepata bahat hiyo Mimi ningeomba mil 3000
@selemanivanmkungu4637
@selemanivanmkungu4637 4 жыл бұрын
HUYU JAMAA NI CHOKO KWELI ASEE YAANI UNAULIZWA UNA SHIDA GANI UNASEMA SARANGE MARA SIMBA MTOTO ASEE WARUGURU NINYI NI ZIROOOOO KABISA AMEKOSA 5MILLION BOYA HUYO
@willekisamaki8709
@willekisamaki8709 4 жыл бұрын
Sio waruguru tengua kabla ya 5
@mabodythedon1489
@mabodythedon1489 4 жыл бұрын
Acha usenge
@nawihadj6674
@nawihadj6674 4 жыл бұрын
Usitukane makabira ya wtu bro,sio kisaa jamaa anakaa moro ukajuaa ni mruguru achaa mmbo ya kisalange bhana
@musamanyanda5112
@musamanyanda5112 4 жыл бұрын
Choko sana huyo umepata bahati ya mkenge unaulizwa una shida gani et linasema mm ni sarange
@maidamwaipopo7645
@maidamwaipopo7645 4 жыл бұрын
Mweshimiwa vitambulisho imekuwa diri sasa ukiwa huna hella upati wanakuzungusha ulete chet vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wengine tulivyo zaliwa wazazi wetu walisha kufa sasa vyeti tuta pata wapi?
@omarwatenga3464
@omarwatenga3464 4 жыл бұрын
he is brave than a lion
@kitokisospeter7247
@kitokisospeter7247 4 жыл бұрын
Kweli hilo jamaa jinga sana,limekoswa pesa hivi hivi,eti Sarange.Nimecheka sana.
@juiojunior7490
@juiojunior7490 4 жыл бұрын
Huyo sarange fala sana....kaulizwa shida yake nini yeye anatangaza habar za simba mtoto
@ilhammohd7170
@ilhammohd7170 4 жыл бұрын
Dah muheshimiwa ungempa 1000000
@sondanzingulasondasam4029
@sondanzingulasondasam4029 4 жыл бұрын
Mimi sarangee hahaha hahahaha
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Kam umemsikia jamaa anasema et hasikii vzr gongalike twende zetu dodom
MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
6:56
Global TV Online
Рет қаралды 650 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 105 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
HOUSE GIRL EP 59 || love story💞💕
22:09
BUSATI TV
Рет қаралды 22 М.
BREAKING: JPM Awasweka Wenyeviti Ndani Hadharani!
17:33
Global TV Online
Рет қаралды 108 М.
JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!
10:21
Global TV Online
Рет қаралды 473 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 105 МЛН