Mr uky hongera xan kwa kaz nzur But girls jifunzen watu wakuanao kweny mahusiano tatzo mnapenda xan mabishoo
@user-qo6ft7kg6h2 ай бұрын
Ni kweli broo
@leilatabdala13256 ай бұрын
Uyu mwanaume play boy anaonekana TU unamtia kweny maji mwanamke kwa sababu ya simu wakat shida ni yakwako wanaume wakibongo wanazingua sana mwanaume mzur kuliko mwanamke wanini sasa muuza sura uyo
@ramadhaniharuna54416 ай бұрын
Huruhusiwi kutupa simu ya mwenzio katika maji Coz hizo simu zina vitu vingine vya msingi mno.
@SabraThemua6 ай бұрын
🤣🤣🤣mm co kwny maji ningevunja vunja 😂😂 vyte na mpya acngeipata. Na huyu mwanaume sio mpenz. Hana akil ya uanaume. Mwanamke hutakiwi kumfanya hvo. Yani hapo dada jua hauna mpenz bali una mattzo hakupendi
@emnanuelimtui18056 ай бұрын
Kabisa tena anaweza kuliwa na wahuni 😂😂😂
@onesmomwakasege52154 ай бұрын
Yani ilo ndio jembe Sasa kutupa simu kwenye maji ingesaidia Nini nawewe brow angaliaga nawatu wakuwaletea michongo Kama iyo ona Sasa umezalilishwa umetupwa kwenye maji kibwege 📵😁