Nimeshinda Green Card Lottery mara yangu ya kwanza tu kuomba. Sasahivi nimefika Marekani 🇺🇸

  Рет қаралды 26,709

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Nimefika USA 🇺🇸 wiki mbili zilizopita kama mshindi wa Green Card Lottery. Nimeanza maisha mapya

Пікірлер: 146
@rlh-tz
@rlh-tz 5 ай бұрын
Asante sana EBM. unatoa elimu kubwa na muhimu sana kwa 0 fee
@akamaelohim780
@akamaelohim780 8 ай бұрын
Hakuna Cha kushinda Mungu alelouahhh praised God ❤❤❤ aksante saana my brother Mungu akubariki tena
@DenisDeodatus
@DenisDeodatus 23 күн бұрын
Habari mr Ebm. Shukrani sana kwa video zako zinazotuhamasisha na mimi pia ni mfatiliaji wako maana nina wish kuja kufika marekani lakini ninachangamoto ya visa bado sijajua visa gani itayonifikisha mimi ni mwanafunzi mbeya university of science and technology mwaka wa 4 nipe ushauri tafadhali
@shabanimwinyikhery1174
@shabanimwinyikhery1174 Жыл бұрын
Hongera sana na sisi wenye ndoto Inshallah tutafika
@dennismaina7784
@dennismaina7784 Жыл бұрын
Watching from Kenya. you are a great man EBM. May God expand your boundaries
@mawaramadan3802
@mawaramadan3802 Жыл бұрын
All the best brother tupo nyuma yko❤❤❤
@MkaliwaoEntertainment
@MkaliwaoEntertainment Жыл бұрын
Congratulations bro, Juma ni mwanangu sana. Kilalakheri bro. Timiza ndoto zako.
@charlesmkinda6946
@charlesmkinda6946 Жыл бұрын
Ebm kazi nzuri sana,mm nilikuwa washindi wanakuwa vijana tu,kumbe hata mtu mzima wanashinda safi sana,tupo nyuma yako,Juma na ww saidia ndugu zako wakuje huko aisee usije ukawa kama wabongo wengi,kamati ya roho mbaya
@tusekelegemwasumbi7506
@tusekelegemwasumbi7506 Жыл бұрын
Hongera sanaa kwake kwa ushindi wa mara ya kwanza... jamaa kauliza maswali mazuri mnoo ambayo yalikua yana nisumbua, ubarikiwe Ebm...
@peterochi1112
@peterochi1112 10 ай бұрын
Congratulations kaka so wewe ndio utani hosting
@aggreyluganolugano649
@aggreyluganolugano649 Жыл бұрын
Congratulations my brother from Tanzania, well done
@gwalughanomerryrose4913
@gwalughanomerryrose4913 Жыл бұрын
Barikiwa sana EBM, hongera sana kamanda
@mudybeka6698
@mudybeka6698 Жыл бұрын
Nakubali kk mungu akusimamie...mara ya mwisho nilikuacha deport ya east almarai
@enemtatuka5863
@enemtatuka5863 9 ай бұрын
Nakubari sana wajina wangu
@user-fd4te7wr3f
@user-fd4te7wr3f 6 ай бұрын
Hongera sana kaka nami pia nitabahatika mwaka huu
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 Жыл бұрын
Hongera sana sana mungu wa ajapu kweli mungu atukumpuge pia sisi Sikh inakuja tutafika uko marakani kwa uwezo wa mungu amen❤❤
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 Жыл бұрын
Kaka Juma una moyo mzuri ubarikiwe sana
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 6 ай бұрын
Kwa hapa mnatukosea jamani mbona zipo sehemu Amrica watu wanafanya mambo ya hovyo kukojoa na kutupa vitu taķa hovyo zipo bhana sema si mahala pote ni kama home zipo sehemu huwe, tupa taka hovyo
@barutiboniphace4335
@barutiboniphace4335 Жыл бұрын
Safi sana. Na mimi mwaka huu lazima nicheze green card lottery
@margaretmwihaki499
@margaretmwihaki499 Жыл бұрын
Thanks alot EBM for your kind heart GOD bless you.Nxt year I blv I'll win too
@FaustineTz
@FaustineTz Жыл бұрын
Nafurai Sana kaka Ebm unapambana Sana kuona nasisi wa Tz kufika uko
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Hongera sana kijana. Hongera EBM kwakusaidia wanaoshinda lottery kwenye kusafiri, unawafanyia wepesi sana.
@RamadhanMahunja-cr7dg
@RamadhanMahunja-cr7dg 9 ай бұрын
Mambo vp brother. Ninampa hongera kijana alieshinda Green card lottery.
@pvxmovies9611
@pvxmovies9611 Жыл бұрын
mtag kijana mkongwe, kafurahia mno. twashukuru mungu kwa niaba yake
@user-ov9ue9rl2j
@user-ov9ue9rl2j Жыл бұрын
Mungu akubariki sana kaka ❤❤
@mwantondo
@mwantondo Жыл бұрын
Ila huku ni marekani ya kijijini mwamba tafuta jiji ambalo liko busy upige kazi unless huku kama kuna kazi za kuelewekaaa
@benjaminiisaya3428
@benjaminiisaya3428 9 ай бұрын
Stop akili ya kwenye Move kaka, hapo ni makaz ya watu so huwezi kukuta kuna kiwanda au ofisini za watu. And it’s the choice to live either mjin or kijijini kunawatu hawapend kelele ndio mana wanakaa nje ya mjin.😂
@BarackLucas-eb1gt
@BarackLucas-eb1gt 4 ай бұрын
Kaka nataka nichaze hila sinjuh niazie wapi nataka ulewa nji kunjaza
@luckiestmeckson2222
@luckiestmeckson2222 Жыл бұрын
bro EBM kazi nzuri nimependa wewe umenyooka kama lura sikupingi kaka Eleazar from Iringa Tz 🇹🇿 bro samahani naomba contact zako please huku mambo magum kiuchumi natamani angahizo kufika san
@godlinesstv671
@godlinesstv671 8 ай бұрын
Can we have this interview in English translation as well.. Sounds interesting tho can't hear
@MAISHAYAMAREKANI
@MAISHAYAMAREKANI Жыл бұрын
Shukran sana mkuu 🙏🙏
@INSSUMA
@INSSUMA Жыл бұрын
Comment ni Île Île ipo dk ntakua MBURUNDI🇧🇮 wa 1 kufanya interview na ww tukiwa hapo makao makuu Missouri inshaa Allah ubarikiwe saana kaka EBM
@nzigiyimpainnocent8738
@nzigiyimpainnocent8738 Жыл бұрын
Hope so na mimi kiongoz wangu
@petermarwa3871
@petermarwa3871 Жыл бұрын
Mi naomba namba ya simu ya huyo jamaa
@omaryissah3133
@omaryissah3133 Жыл бұрын
Inshallah mwenyezi mungu akufanyie wepesi
@ndagaddy221
@ndagaddy221 Жыл бұрын
Mimi ni mBurundi nimshindi ila nataka usayidizi wako
@rahmahqueen275
@rahmahqueen275 Жыл бұрын
Ebu tuelekezeni na sisi gisi ya ku apply sote wa rundi bn
@jaspertheonest
@jaspertheonest Жыл бұрын
nimefurahi bure .jogoo wa shamba hongera sana kwake
@Kobe_254
@Kobe_254 Жыл бұрын
Karibu Kwa janga la jiwe... Hapa mambo sio rahisi, kuja ni kitu kimoja na kufanikiwa ni jambo tofauti..
@nathanielkheri1880
@nathanielkheri1880 Жыл бұрын
Just inspire him don't demoralize....
@bballdunks869
@bballdunks869 Жыл бұрын
@@nathanielkheri1880 ndio maana ya kuwa Mtanzania😂😂😂😂
@vailethtitus6462
@vailethtitus6462 Жыл бұрын
@@nathanielkheri1880 😂😂😂 kwakweli. Yaan sijui watu wakoje
@misanamohamedi8438
@misanamohamedi8438 Жыл бұрын
Fanya kazi tu pesa usa ipo ni wewe tu
@hellenmuhoi6335
@hellenmuhoi6335 11 ай бұрын
Wacha zako as long as wewe uko na bidii pesa zipo😂😂
@moudy4realibrahim601
@moudy4realibrahim601 9 ай бұрын
Thanks very much brother EBM
@flomenakamugisha
@flomenakamugisha Ай бұрын
Kaka ubarikiwe kwa kututakia mema
@deborahmassawe4367
@deborahmassawe4367 Жыл бұрын
Hongera Kaka, Mungu akuongoze
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 Жыл бұрын
Safi sana kaka..October tena mwaka huu,,mwanza
@alijumamohamed
@alijumamohamed 9 ай бұрын
Nikitaka kwenda US as a home care nifanye nini au nianzie wapi?
@DennisNyangau-cd4vk
@DennisNyangau-cd4vk Жыл бұрын
Welcome to usa my dreamland iko maana fiche😊😊😊😊
@mosesmochama9548
@mosesmochama9548 Жыл бұрын
Great bro
@majaliwabendera8458
@majaliwabendera8458 Жыл бұрын
Pamoja sana EBM mwambie jamaa karibu sana USA
@FrolenceRogath-fv6ku
@FrolenceRogath-fv6ku Жыл бұрын
Habar ya uko naomba ya EBM
@FrolenceRogath-fv6ku
@FrolenceRogath-fv6ku Жыл бұрын
Namba
@elizabethmwalo8424
@elizabethmwalo8424 Жыл бұрын
Us also we applied for 2023 24 season. We pray God to sail us thro
@user-kp4ze3rq6j
@user-kp4ze3rq6j 5 ай бұрын
Ongera sana brother djuma
@getrudatarimo5241
@getrudatarimo5241 Жыл бұрын
All the best dear❤
@foodbankafricakenyatheegg3417
@foodbankafricakenyatheegg3417 Жыл бұрын
Hongera sana
@adetaurus
@adetaurus Жыл бұрын
Congratulations to him, he looks so happy
@danstanmgaya1251
@danstanmgaya1251 Жыл бұрын
Daah kwenye Elimu hapo watu nili waambia Elimu ya Bongo ni miyeyusho ghalama kubwa halafu haina maana yoyote
@NanaNana-xo2og
@NanaNana-xo2og 8 ай бұрын
Bro naomba unisaidie jinsi ya kupata ile link ya green card
@saidkhalfan8207
@saidkhalfan8207 Жыл бұрын
Marai bye bye 🖐 all the best brother
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 Жыл бұрын
Naomba kuuliza nasikia kupata green card mpaka uwe msomi je huyu Kaka elimu yake iko kiwango cha high school au college au university
@MamanuruMchagga
@MamanuruMchagga 4 ай бұрын
Dah good job br
@salomezakaria
@salomezakaria Жыл бұрын
Kaka niko Oman,nawezaje kupata Visa ya Ufaransa. Kikazi
@johnmfuko4426
@johnmfuko4426 9 ай бұрын
Aisee nimefurahia sana na nitapambania kupata na mimk
@abdulsinga2464
@abdulsinga2464 Жыл бұрын
Bg up mwamba.
@khamismwamguza5232
@khamismwamguza5232 11 ай бұрын
Mwamba unatamba sai unapiga shavu umetuachia kubus tu huku ebwanae Mola akutangulie kwa safari Yako kuwa na mafanikio bro
@josephmbona2255
@josephmbona2255 7 ай бұрын
EBM Kuna ukomo wa umri umri kuomba green card Rotary
@mpencel7980
@mpencel7980 Жыл бұрын
Habari kk EBM, Naomba kujua kuaply Green card unaitajika kuwa na elimu fulani hivi ya kuanzia form 4 au hata kama ya darasa la 7 inawezekana..
@johnwanyonyi1010
@johnwanyonyi1010 Жыл бұрын
Form 4
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
​@@johnwanyonyi1010form 6
@user-qz2wv3og3e
@user-qz2wv3og3e 4 ай бұрын
Good news
@allyfatma7359
@allyfatma7359 9 ай бұрын
Thanks
@nyangejr3817
@nyangejr3817 Жыл бұрын
Kaka tutafutie kazi za kawaida sio lazima iwe marekani ata nchi nyengine
@pembemussa2804
@pembemussa2804 Жыл бұрын
Jembe la Marai hilo hapo kazi lazima ifanyike kila la kheri mwamba
@alfredmkude8321
@alfredmkude8321 Жыл бұрын
Kwa uwezo wa Mungu nasi tutafika.
@devidjav3583
@devidjav3583 10 ай бұрын
Dereva tosha
@cyrusmwangi7748
@cyrusmwangi7748 Жыл бұрын
Yaani saa tatu usiku kwa kaa mchana.😅 Salimia Juma alikuwa RYDE akipita,ni mwenzangu.
@ibrahmabdallah5148
@ibrahmabdallah5148 9 ай бұрын
Mimi natokea zanzibar naomba maelekezo jinsi ya kufanya!
@zakenbrothers
@zakenbrothers 9 ай бұрын
Mpaka mwakani October
@MamanuruMchagga
@MamanuruMchagga 4 ай бұрын
I wish day 1 niwe viwanja
@godlistenestomih5466
@godlistenestomih5466 Жыл бұрын
Kwaiyo elimu zetu ndizo zimetukosesha nafasi si ndioo?
@ramamrutu4914
@ramamrutu4914 Жыл бұрын
Samahani kaka hapo cjaelewa kaka kuhusu elimu ambayo ukiwa nayo wewe na mkeo mkibahatika kushinda DV lottery kwa mfano , wewe na mkeo mkabahatika kushinda dv lottery ila wote mnaelimu ya form alf wote mmejiajili kwa mfano kwenye kilimo haujaajiliwa sehem yoyote kuhusu experiences ya kazi fulan je unaweza kupata visa wakati ukiwa mnafanyiwa interview na elim zenu zote ni form four
@raffeiystar2870
@raffeiystar2870 Жыл бұрын
Ni Lazima aliyeshinda awe na elimu ya kidato cha sita, NI LAZIMAAAAA. usipokuwa na elimu ya kidato cha sita basi uwe na uzoefu katika kazi ambazo wao wenyewe wameziainisha kwenye website ya wizara ya mambo ya kazi ya america, so hakikisha atakayeshinda uwe ww au mkeo ana elimu hyo na kama hana bas awe na uzoefu katika kaz wanazozitaka wao uzoefu wa miaka 2 na kuendelea, Wasomeshe watoto wako wasije sumbuka
@ramamrutu4914
@ramamrutu4914 Жыл бұрын
@@raffeiystar2870 Sawaa kaka nimekuelewa sasa mfano umepata alf una elimu ya kidato cha nne then unafanya kazi mashambani yan unauzoefu kwenye kilimo ila haujaajiliwa labda na taasisi yoyote hapo unawezaje kuonyesha kuaminisha unauzoefu kwenye kilimo msaada
@muttaperfect
@muttaperfect Жыл бұрын
Elimu kuanzia kidato cha nne sio cha sita
@ramamrutu4914
@ramamrutu4914 Жыл бұрын
@@muttaperfect kweli kaka hata kidato cha nne unaruhusiwa kuapply
@historiazoteduniani5595
@historiazoteduniani5595 Жыл бұрын
hata cheti Cha ufundi kinachotambulika na serikari kina faa pia mfano Cha veta vc1
@cleophasmogaka8602
@cleophasmogaka8602 Жыл бұрын
Kabisaa all the best
@agnesmaizah3834
@agnesmaizah3834 Жыл бұрын
Congratulations bro🎉🎉🎉
@SandraJordanop
@SandraJordanop 9 күн бұрын
Wilson Patricia Lewis Lisa Rodriguez Patricia
@ZaiduHashim-ry1zr
@ZaiduHashim-ry1zr Жыл бұрын
HIVi ebm ku apply hii Green card lottery mpaka uwe umesooma au VIPe ebm plz nijibu boss wangu asante sana
@blockchain1203
@blockchain1203 Жыл бұрын
Hajibugi Tu sms ndio shidaaa ya EBM
@johnwanyonyi1010
@johnwanyonyi1010 Жыл бұрын
Elimu ni ya form 4
@rukiyashali
@rukiyashali 10 ай бұрын
Naomba link ya kujaza green card
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 9 ай бұрын
✌️👍👊.
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 Жыл бұрын
My brother Salam zangu kutoka neworleans Louisiana usije kuji sahau kama mimi
@shadiidinyo1657
@shadiidinyo1657 Жыл бұрын
🤣🤣
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 Жыл бұрын
@@shadiidinyo1657 tuna ishi kwa barabara
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Жыл бұрын
Mimi ndashida mwakani
@emanuelcholela8679
@emanuelcholela8679 9 күн бұрын
Hakika ninatamani kupata fursa
@flomenakamugisha
@flomenakamugisha Ай бұрын
Habari kaka naomba no yako
@samuelndungu4894
@samuelndungu4894 Жыл бұрын
Hello EBM embu nijibu hili swali kwahesima t yako what if nime win DV lottery en my wife hana cheti kcse anaweza akanimes
@Geeze905
@Geeze905 Жыл бұрын
If you are the Main Applicant n ur wife is ur Dependent and she doesn't have a Kcse certificate, it won't affect your Win.
@josephmbona2255
@josephmbona2255 7 ай бұрын
EBM naomba mawasiliano yako
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 Жыл бұрын
Vzr sana
@nyangejr3817
@nyangejr3817 Жыл бұрын
Kila hatua dua
@siratz3323
@siratz3323 Жыл бұрын
Dar so, sisi ambao hatujasoma hatuna namna ya kufika Marekani mkuu
@FadhiliMgalla-ds9fx
@FadhiliMgalla-ds9fx Жыл бұрын
Hili nalo neni Mana tupo wengi
@jackjohnas3251
@jackjohnas3251 Жыл бұрын
Ni vigezo gan mtu anatakiwa kuwa navyo ili aweze kuomba DV lottery ni waliosoma tu peke ake au na ambao hawana elimu
@KungurumambaKenge
@KungurumambaKenge Жыл бұрын
Mambo vipi naomba namba yako ya simu
@Ibnseifjr
@Ibnseifjr Жыл бұрын
Olaa rudi Almarai🤣🤣🤣 Hongera Mr.J
@hellenmuhoi6335
@hellenmuhoi6335 11 ай бұрын
Alikuwa job huko Saudi yaani?
@kibandanimall_tanzania
@kibandanimall_tanzania Жыл бұрын
sorry bro kwa watu walio ishia form four na hawakuendeleea n chochote hawaruhusiwi ku apply
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI Жыл бұрын
Wanaruhusiwa
@mauwafrancine9956
@mauwafrancine9956 11 ай бұрын
@@EBMSWAHILI naomba namba yako kaka nataka tuongeye unambiye kiasi gani cha feza ili kuijaza fomu naomba unisaidiye mimi nimechaguliwa ila nakosa maelekezo natokeya burundi nataka mawasiliano na wewe unipe maelekezo tangu mwezi wa tano mpaka sasa sijapata maelekezo
@ibrahmabdallah5148
@ibrahmabdallah5148 9 ай бұрын
@EBMSWAHILI naomba unisaidie jinsi ya kupata hiyo green card au maelekezo jinsi ya kufanya natokea zanzibar
@abdulmajidmohammed2059
@abdulmajidmohammed2059 Жыл бұрын
Is Paul Abraham Canadian consulting real please tell me
@user-pk6xt1eo3x
@user-pk6xt1eo3x Жыл бұрын
Mm ninataka kuomba nifanyeje ss kk nisaidie
@AL-WAARITHUUNTZtv
@AL-WAARITHUUNTZtv Жыл бұрын
Nahisi kiwango cha elimu ndioshida maana tumejaza
@mohammedshaaban9509
@mohammedshaaban9509 Жыл бұрын
Homgera Juma wa ubenazomozi
@gsedpemba8556
@gsedpemba8556 9 ай бұрын
EBM naomba nichati nawewe private kuna kitu unisaidie
@saadysaidzahaze5980
@saadysaidzahaze5980 Жыл бұрын
EBM darasa la saba nina working experience naweza pata
@Best_wolframmusichub
@Best_wolframmusichub Жыл бұрын
America ni tishio coz ya ushoga ni bora ukabaki nyumbani Africa 💀
@muttaperfect
@muttaperfect Жыл бұрын
Haya ndio mawazo mgando tuliyonayo watz that’s why hatuendeleii 😂😂😂😂
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
Barida
@mrlongrichlongrichagent1929
@mrlongrichlongrichagent1929 Жыл бұрын
Napenda pale EBM unaposema "ile pale"😅😅😅
@user-wh7ds5ys7y
@user-wh7ds5ys7y 11 ай бұрын
Nataka Namba ya huyo mwandishi Wa habari
@abednegopaul2705
@abednegopaul2705 Жыл бұрын
Duuuh... Huo Muda ni saa Tatu Usiku???
@BarackLucas-eb1gt
@BarackLucas-eb1gt 4 ай бұрын
Nisadie nijuhe kunjaza
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 Жыл бұрын
Habali Boss mbona hujibu sms Whatsapp mkuu?
@AndrewJzb
@AndrewJzb Жыл бұрын
Green card lottery no nini bro
@saimonjmai801
@saimonjmai801 Жыл бұрын
Naomba kuuliza kuomba green card lotary ukiwa hauna elimu yoyote hauwezi kuomba na kushinda?
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 Жыл бұрын
Yeyote anaeza cheza
@sumasule6207
@sumasule6207 Жыл бұрын
Bro nahitaji number zako please nipo Dubai
@FadhiliMgalla-ds9fx
@FadhiliMgalla-ds9fx Жыл бұрын
Vip mwenetu vipi michongo huko dubei
Omba Green Card Lottery mwezi October mwaka huu
12:48
EBM SWAHILI
Рет қаралды 10 М.
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 52 МЛН
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 40 МЛН
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 65 М.
Jua haya kabla ya kuomba Green Card Lottery mwezi October
44:11
EBM SWAHILI
Рет қаралды 10 М.
Mtaa wa Matajiri na Watu Maarufu Tu- BEL-AIR, Los Angeles
16:17
Jack Wa USA
Рет қаралды 52 М.