EBM na JOYCE K NURSE wakutana kuongelea maisha ya Canada na USA

  Рет қаралды 24,412

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Maisha ya Canada na USA kwa wahamiaji yapoje? Unawezaje kuanza na kufanikiwa?
Asante sana Joyce. Kwa fursa za Canada, subscribe kwa channels za Joyce / @joyceknursecanada nyingine / @crucialsnapshots na / @joycekcanadacontentcr...
#maishayaughaibuni #visacanada #marekani

Пікірлер: 154
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 2 жыл бұрын
Asante sana Joyce. Kwa fursa za Canada, subscribe kwa channels za Joyce kzbin.info/door/_Px-SuCUz3oc4S4wYv88Fw nyingine kzbin.info/door/Py5p9_boEuOqmghFkwIAxg na kzbin.info/door/-aXFT8of9rPzXj5yGOeByA
@nzigiyimpainnocent8738
@nzigiyimpainnocent8738 2 жыл бұрын
Already subscribed
@OmmysniperTV3839
@OmmysniperTV3839 2 жыл бұрын
EBM for life
@sakinahamza5325
@sakinahamza5325 2 жыл бұрын
Ongera kaka ebm kwa kutupigania tuulizie kazi za usafi zile kama da Joyce anavyowasaport watu kwenye channel yake
@sheeba8334
@sheeba8334 2 жыл бұрын
Love your contents...much love from Nairobi Kenya East part of Africa
@joycekcanadacontentcreator
@joycekcanadacontentcreator 2 жыл бұрын
Asante sana mheshimiwa for supporting me nashukuru sana
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Huku kwa comment kuna mwenye anasema wewe ni mwizi ulimuibia 5 000 dollars. Kuja ujitetee.
@pembemussa2804
@pembemussa2804 2 жыл бұрын
Dada Joyce nimekua flowers wako kwa ajili ya Mr' EBM Mungu awapeni roho hiyo hyo mzidi kutuchanua sisi ndugu zenu tulio na ndoto za kutaka Kuja huko ughaibuni kiukweli Naimani hatutakuja wote ila kwa hiki mnacho kifanya kuna watu wengi watakuja hata kama sio huko hata nnchi zingine za ughaibuni kwa ajili ya hii hamasa mnayotupatia
@Gachibravotz
@Gachibravotz 2 жыл бұрын
Thanks
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 mwenye anasema alimuibia ni muongo juu Joyce hachukuangi pesa
@dismasdastan5493
@dismasdastan5493 2 жыл бұрын
Joyce nifanyeje ili niweze fika canada?...Na vipi kuhusu kazi za huko ni mpaka uwe umesoma sana au hata class 7 inatosha?🤔😂
@hellenndinda4806
@hellenndinda4806 2 жыл бұрын
Shukran Sana Joyce na Kaka nawapa heko Kwa kazi yenu nzuri mola awajalie siha njema Mimi nina imani siku moja nitapata fursa yakuaje na kuchapa kazi huko
@visaarena
@visaarena 2 жыл бұрын
You are so genuine people. God reward you for free mentorship
@sofi_1940
@sofi_1940 2 жыл бұрын
Dada Joyce nipatie kazi hukoo,, please maisha ni magumu sanaa😢
@amaliweston3963
@amaliweston3963 2 жыл бұрын
So it's easy to get permanent residency in Canada. Never knew that. Australia and America must be bff. I know people in Australia, who have lived here for more than 10 years and don't have PR. It make life very expensive and stressful.
@edithmwasulama7005
@edithmwasulama7005 2 жыл бұрын
Good news Nahitaji kufanya masters Canada Nakmba mawasiliano jamani ya Joyce na Ernest iliwemk emails zenu Nitashukuru Sana
@bushtopsfurnitureinteriors9257
@bushtopsfurnitureinteriors9257 9 ай бұрын
Was very educative one day al come to MISSURI
@shakuryoung2547
@shakuryoung2547 2 жыл бұрын
Ebm nakubali sana TU mola akuzidishie wepesi zaidi
@jacksonodhiambo3307
@jacksonodhiambo3307 2 жыл бұрын
Joyce May God bless 🙏🙏🙏🙏 mama
@Emily-ck5eu
@Emily-ck5eu 2 жыл бұрын
Great people, great souls. May you be blessed always!
@TabyWanjiru
@TabyWanjiru Жыл бұрын
Joys tafutia mtoto wangu job plz
@alicenyaembu5689
@alicenyaembu5689 2 жыл бұрын
Ontario Oakville nko chojo. Nice to see you guys
@BINTAONGUTA
@BINTAONGUTA 8 ай бұрын
Thank you for your information may god blessed you all
@AnthonyMutuma-n8j
@AnthonyMutuma-n8j Жыл бұрын
Habari mnayotupatia inasaidia sana.Mnatusaidia wale tuko na hamu na maono.Tony Anampiu-Thika,Kenya
@KilengaJoseph
@KilengaJoseph Жыл бұрын
Nimependa kama naagalia news flani ivi mko vizuri nimewafwata kurasa zenu
@franciskamunya5064
@franciskamunya5064 2 жыл бұрын
Twajivunia ndugu na Dada kutoka eastAfrica. Twajivunia kwa kutuelimisha vilivyo. Big up.
@christophernikata8254
@christophernikata8254 2 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii interview, it was so nice. Thanks Mr. EBM endelea kutupa dondo zaid.
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
Niko mwaka wa sita Marekani, ukweli ni hamna inchi duniani utapewa vya bure.. ila, inchi za ughaibuni ata kama maisha ya upweke (culture shock) angalau uko na tumaini la kazi, ila kama maisha yanakupekeka vyema Africa, usiuze ng’ombe zako na kiwanja eti unaleta mke na watoto marekani- pia usikuje marekani kama umri umekuzidi, eti miaka 55 .. ughaibuni yataka vijana, miaka 40 na chini ambao WANAANGAIKA AFRICA.. narudia, sio wote..
@paulirungu9013
@paulirungu9013 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@lovenessrichard1169
@lovenessrichard1169 Жыл бұрын
Hongera sana dada Joyce, nipatie kazi huko jamani,aisha magumu sana my love dada
@davidmaina4379
@davidmaina4379 2 жыл бұрын
Asante sana Joyce na mgeni EBM mazungumzo mazuri kweli
@janethngowi8783
@janethngowi8783 11 ай бұрын
Dada Joyce na Ebm mnazidi kunisaidia kuelewa vizuri sana kuhusu Canada inabidi nikutafute sana Ebm unisaidie kukamilisha ndoto zangu siku moja nifike huko aliko dada Joyce
@visaarena
@visaarena 2 жыл бұрын
Nawapata vizuri sana
@amourhemed4343
@amourhemed4343 2 жыл бұрын
Your character is more important than your comfort. The Almighty is not going to give you more if you have not learned how to be content; how to count your blessings. Contentment means your accept His Decree.
@sellesaadhiambo2316
@sellesaadhiambo2316 2 жыл бұрын
Thank you Joyce for this information. This is great! Now, Joyce, what is the starting point?
@amaliweston3963
@amaliweston3963 2 жыл бұрын
Me too dear i understand you, l can't leave Australia and go to leave in Tanzania. My kids won't come with me. Tanzania just holidays. I just have to accept it.
@robertmwangi1835
@robertmwangi1835 2 жыл бұрын
Hakuna Nziii🤣 I really love you Guys ,very healthy insight waaahh it's like tuko Canada already,the experience is WOW...
@masalutz4608
@masalutz4608 Жыл бұрын
Asante sana kwshabari zenu
@johnmungai4206
@johnmungai4206 2 жыл бұрын
Nawapata vizuri .nauliza baada ya kupata utapataje mtu wa kukuhost na huna mtu America
@julietnyawira107
@julietnyawira107 Жыл бұрын
Thankyou Joyce you are so true
@OmmysniperTV3839
@OmmysniperTV3839 2 жыл бұрын
EBM for life♥️♥️♥️
@samuelbahati7976
@samuelbahati7976 2 жыл бұрын
EBM Hongera nakuomba number yako Mungu akulinde maisha yako yote daima Ameen
@FreeGod368
@FreeGod368 2 жыл бұрын
Ebm Mungu akueke
@peterndambuki-wg1fg
@peterndambuki-wg1fg Жыл бұрын
Let me know how I can process my self to Canada madam Joyce because haujaguzia the process want to be a truck driver
@javajava3461
@javajava3461 2 жыл бұрын
Asante
@ericabaga9738
@ericabaga9738 2 жыл бұрын
Hongera sana kaka kwa kazi safi unaoifanya
@drallan6879
@drallan6879 2 жыл бұрын
Hi Joyce proud of you
@carolinemuthoni119
@carolinemuthoni119 2 жыл бұрын
You are my favorites joyce
@aminadube7162
@aminadube7162 2 жыл бұрын
Naona mgeni greetings Joy mungu awabariki sana
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 жыл бұрын
Safi sana asanteni kwa kutupa elimu
@evanstweve7720
@evanstweve7720 2 жыл бұрын
kwa kweli wewe bro EBM, upewe ulinzi maalum ili kukutunza myda mrefu
@apple9711
@apple9711 2 жыл бұрын
My brother.God bless you
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 2 жыл бұрын
Nimekuelewa brother
@sylvainkajaju9911
@sylvainkajaju9911 2 жыл бұрын
Jambons kakEbm mimi nakufata nikiwa Congo 🇨🇩 nita cheza ou dv loterry iyi mwaka
@julietnyawira107
@julietnyawira107 Жыл бұрын
How do you cope with the cold
@liverpoolvsrangers2273
@liverpoolvsrangers2273 6 ай бұрын
Uyu dada ndio wale watu wa kamati roho mbaya unawazungumzia Kila siku
@fredyjhosephkapesula7267
@fredyjhosephkapesula7267 2 жыл бұрын
Hello Joyce Mimi ni Truck driver napenda Sana kuja huko Canada kutafuta maisha nifanyaje ili niweze kufika ?
@agnesmaina9662
@agnesmaina9662 2 жыл бұрын
Good souls 👍👍👍
@nemesjosephat5612
@nemesjosephat5612 2 жыл бұрын
Yani nyiee mungu awajalie
@YOUTUBE-KE
@YOUTUBE-KE 2 жыл бұрын
Nivipi mtu anavyoeza kuenda Canada bila masomo?
@davidhurumadogosongs6624
@davidhurumadogosongs6624 2 жыл бұрын
Alana sister Joyce wapo waongea Kiswahili hapo Canada
@monalisarichy3889
@monalisarichy3889 2 жыл бұрын
Naomba kupata information kuhusu immigrant dentistry in Canada or US
@morogoromedia
@morogoromedia Жыл бұрын
Mama tunashkuru kwa elimu yako
@janeoseko4177
@janeoseko4177 Жыл бұрын
Tunaenda website Gani Kwa apply.
@miriamkakwezi7309
@miriamkakwezi7309 Жыл бұрын
Ulaya ni ulaya tu.. mbona kwenda uko mnatutoza pesa kuja huko.. fanyeni bure basi kutusaidia
@violetmamy3498
@violetmamy3498 2 жыл бұрын
Please Joyce how can I communicate with you,I need your help,I was Saudi for 3yrs but hua natamani saana kukuja Canada .
@SAIDOMARI-gq4ss
@SAIDOMARI-gq4ss 5 ай бұрын
Kaka nakufatilia sana
@RehemaMwinyi-xs9bx
@RehemaMwinyi-xs9bx 4 ай бұрын
He. Llazima uongee kiinnggereza?
@InnocentFaustin-fw7bs
@InnocentFaustin-fw7bs Жыл бұрын
Kaka naomba unitafutie kazi uko
@dorcasloy7935
@dorcasloy7935 2 жыл бұрын
Waohhhhh
@SAIDOMARI-gq4ss
@SAIDOMARI-gq4ss 5 ай бұрын
Da
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 2 жыл бұрын
Hao wanapoteza muda ughaibuni huko kazi zote nzuri na nafasi nzuri zenye kipato kikubwa ni wazungu white Africans watumwa wa wazungu kufanya kazi za usafi, viwandani kubeba maboksi maisha expensive gharama usave chochoteee maisha ya kawaida tu Africa maisha mazuri ukikomaaa nafasi nzuri zipo na kazi nzuri hatuna ubaguzi wote ni Africans na mafanikio ni makubwa Nyumbani kenya Tanzania ndio mafanikio na maisha mazuri tunaona wasaniii wana maendeleo wananunua magari ya kifahari wanajenga majumba na wanafungua biashara kubwa tu
@layiandjagacomedy3240
@layiandjagacomedy3240 2 жыл бұрын
Huna lolote wewe hiyo ni wivutu huku kila mtu ana maisha yake ,kazi nikazitu si tunaripwa mushahara unafikiri tuna tumikia bure vitu vya utumwa viliisha tangu zamani huku kuna kila aina yakazi hichaguwi wewe ni nani uwe mwa Africa kazi yoyote unapata inionekana wewe umekosa maneno ya kuandika maisha yetu ya huku hayakuhusu achana namaisha yetu sisi hatuko watumwa kuwa na adabu watu wengine hamjui kusema
@zuwenasinde1292
@zuwenasinde1292 2 жыл бұрын
Acha kukatisha watu tamaa uwe na hekima katika kunena
@aminadube7162
@aminadube7162 2 жыл бұрын
Hy joy Natamani Kuja Canada sana
@theodoreconstantine2565
@theodoreconstantine2565 2 жыл бұрын
Nawapata kutoka Tanzania
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 2 жыл бұрын
Yeah bro 😍😍😍
@muhammedjuma8966
@muhammedjuma8966 Жыл бұрын
Madam Joyce habari yako naomba msada wa kuja uko nakufuatilia sana
@ChikoMathias
@ChikoMathias 7 ай бұрын
Nataka nipate namb yako ili tuongee natamani nifike huko
@faithnyabuto7446
@faithnyabuto7446 2 жыл бұрын
How can I get the house maid job
@meshackngome2270
@meshackngome2270 2 жыл бұрын
Tuambie njia za ku appy
@babyelephant5098
@babyelephant5098 2 жыл бұрын
Kama utaweza kufanya video kuhusu mambo ya Taxes za Canada itakuwa poa sana maan mimi naishi USA as an RN nimepata job offer Canada lakini naogopa kuhamia Canda coz nimesikia wanalipa taxes mingi sana. Kama unaweza fanya kuuliza ili tupate clarifications pls.
@sikuzanibusanya7352
@sikuzanibusanya7352 2 жыл бұрын
Nahitaji kz hata ya kufangia balabala nk tayari jmn
@aishasaid9110
@aishasaid9110 2 жыл бұрын
nina cousn yangu anaishi canada nimeongea nae anifanyie mpango kanigomea mwisho ananiambia canada maisha ni magumu nyumba ghali sna kukodi kazi hamna kupata kazi ni shida sna na hamna mishahara wallah nimechoka ananiambia hasa kma mie nlokua sijasoma mpaka kiivo nimeishia la 7 ni tabu kupata kazi wanao pata kazi ni wenye elimu sio kma mie
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
@Aisha njoo saudi huku peza zako hupunguzi hata kama ni kidogo kwangu ni mingi nko 3yers saudi nashukuru MUNGU.
@wilsonm.7376
@wilsonm.7376 2 жыл бұрын
@@sophiamakani6133 mmh saudi wanatoa watu figo huko!
@sikuzanibusanya7352
@sikuzanibusanya7352 2 жыл бұрын
@@sophiamakani6133 uko saudia ni kz za ndani au ije tuambizane jmn watu tuko na shida
@apostlesiza
@apostlesiza 2 жыл бұрын
Mimi pia nilirudi tz nilikuwa uk nasoma for 3yrs now toka nirudi ni 10yers but Sasa najutia why aikupanga kukaa uko coa system ya Africa imenishinda now nataka Rudi tena lazima nirudi nimejifunza somo
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
Ulikua umesomea nini na ni nini ilikua ngumu kuingiana na system za Africa
@apostlesiza
@apostlesiza 2 жыл бұрын
Maisha ya London Yani ulaya yako moja kwa moja hayani longolongo Kama Africa Sasa kutokana na iyo naona aipawezi ngoja nirudi tu uko so mlipokuwa mnaongea hapo juu no kweli kabisa watu tunaenda hatujui tunataka Nini na tunadanganyani eti kurudi tz kiolela olela tu so Mimi nimejifunza kupitia elimu yenu emb mnayotoa KZbin so sitafanya makosa hayo tena
@drallan6879
@drallan6879 2 жыл бұрын
Be hosted by Kenyan it's pleasure
@bensonculture2947
@bensonculture2947 2 жыл бұрын
😂😂😂eti alikuja kutembeaa!!!?, Si una hela yakoo?..... Kweli Marekani sio mchezo
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
Hapo ni kweli, marekani hawakubembelezi..
@davidkitinya4818
@davidkitinya4818 2 жыл бұрын
Kwa msaada zaidi nahitaji what's up namba.
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Ubaya hawapeanangi number
@muhozacaleb4897
@muhozacaleb4897 2 жыл бұрын
Dada Joyce sasa hiyo town ndogo unapoishi amo yaitwa aje?
@reginalewiston72
@reginalewiston72 Жыл бұрын
Na hakuna inzi nimecheka 🤓
@agnesndinda6484
@agnesndinda6484 2 жыл бұрын
Nimekwama hapo kwa hakuna inzi,,😄😄😄
@Mazoea
@Mazoea 2 жыл бұрын
EBM please Naomba uorodheshe majimbo ambayo ni raisi kimaisha kuishi Nipo Marekani Jimbo la Baltimore Maisha uku magumu sana..
@bijalnicomeds3926
@bijalnicomeds3926 2 жыл бұрын
Upo Maryland, hapo maisha cyo magumu.ila ni expensive..panahitji pesa mingi
@berthatz
@berthatz 2 жыл бұрын
Njoo Columbus OH…Kazi nyingi maisha cyo juu kama huko MA..
@hildapaul5422
@hildapaul5422 2 жыл бұрын
@@berthatz Texas je maisha yako vipo
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 2 жыл бұрын
@@bijalnicomeds3926 Nilidhani hiyo expensive ndio ugumu wenyewe unapokuja?
@sikuzanibusanya7352
@sikuzanibusanya7352 2 жыл бұрын
@@berthatz jmn muliyoko uko twaomba mutusaidie twahitaji kz Elimu dalasa la 7 km inapatikana hata kz ya kufangia balabala mm niko tayari
@johnsilomba902
@johnsilomba902 2 жыл бұрын
Sasa Na Nikija Huko Na Pesa Zangu Like $500,000 Nataka Kuja Kukaa Huko Na Kufanya Biashara Huko Hapo Vipi ????
@hellenndinda4806
@hellenndinda4806 2 жыл бұрын
Hivi naomba ikiwa mwaweza nipa namba zenu za what's up?
@kitisyarealestate
@kitisyarealestate Жыл бұрын
yaani mi ndio nataka niamie kabisa na kwenda mbinguni niondokee uko
@Mazoea
@Mazoea 2 жыл бұрын
Dada Joyce ni mkenya
@nasrayahya2885
@nasrayahya2885 2 жыл бұрын
Nimependa mazungumzo yenu please namba no zenu za whatsap
@da2jamhuri418
@da2jamhuri418 2 жыл бұрын
EBM kiongozi tafdhari niangalizie Kazi popote pale ambapo wewe utakapoona panafaa kutengeneza maisha.
@kabete1099
@kabete1099 2 жыл бұрын
Nakuja ughaibuni ata kama ni kwa miguu, huku wamechagua ruto, no future here
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
@Kabete toka huko kabisa kimbia mbio uje huku ughaibuni hata ss tuko huku hadi kieleweke 😄 🤣 😂
@KADALAtv255
@KADALAtv255 2 жыл бұрын
Suscachwan au ebm tupe spelling
@joycekcanadacontentcreator
@joycekcanadacontentcreator 2 жыл бұрын
Saskatchewan
@adrinenduta286
@adrinenduta286 2 жыл бұрын
Joyce in mwizi.... awaiting judgment
@KADALAtv255
@KADALAtv255 2 жыл бұрын
@@adrinenduta286 my God why are saying that to your fellow kenyan? Mwizi wa nini? Explain
@adrinenduta286
@adrinenduta286 2 жыл бұрын
@@KADALAtv255 she conned me. 5 000 dollars
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
@@KADALAtv255 Ai?? Tope story...kulienda aje??
@zawadix9574
@zawadix9574 2 жыл бұрын
Huko USA watoto wana bebe bunduki kama chocolate bora nife bongo Marshall ah
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Hujaalikwa wala..,wee kaa huko kunakokufaa
@zawadix9574
@zawadix9574 2 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 niende ku safisha wazungu Wana shida ndio Wana waza kuenda huko ku safisha viombo!!!!
@Kabi_47
@Kabi_47 2 жыл бұрын
@@zawadix9574 why uwaze kusafisha wazungu!?? Kwani we hujasomaaaa!?????
@zawadix9574
@zawadix9574 2 жыл бұрын
@@Kabi_47 ume skia video zake ata kama una PhD ukingia asa bila qualifications zao una Anza maisha ya chini sana na hu toboi!!!! Mimi na uncle wangu miaka 25 Yuko huko sithani ata Rudi nyumbani marafiki yake wote wame toboa!!!!! Nyumbani ni nyumbani
@Kabi_47
@Kabi_47 2 жыл бұрын
@@zawadix9574Binafsi @@zawadix9574 fani iliyonibeba hapa mjini canada ni UDEREVA msingi ukiingia kiwanja njooo na fani kwanzaaa muulize mtu unayemjua akuambie dereva wa bus la abiria mshahara anaolipwaaaa halaf uliza na msomi mwenye phd au degreee nchi za wenzetu mtu mwenye fani analipwa pesa nyingi kuliko mwenye elimu kubwaaa ✌🏿✌🏿✌🏿 anko yako kurud hawez kwa life la hukooo tena marekaniiiiiii😁😁😁😁😁😁
@DoeMaburi
@DoeMaburi Жыл бұрын
Dada abari vp naomba namba Yako ya Whatsapp
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 8 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 125 МЛН
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 27 МЛН
Jinsi ya kupata mzungu marekani
44:20
Dnyota usa
Рет қаралды 31 М.
Maisha ya Angel Benard nchini Marekani
37:03
EBM SWAHILI
Рет қаралды 21 М.
RAHA NA KARAHA ZA KUOA UGHAIBUNI
1:15:26
Official Dating Assistance
Рет қаралды 21 М.