No video

UNAPOSUSA NDOA UNASUSA URITHI WA WATOTO WAKO : PASTOR TONY KAPOLA

  Рет қаралды 200,531

EFM TANZANIA

EFM TANZANIA

Күн бұрын

Msimu Huu wa 2023 Tumepewa Nguvu Zaidi na @dstvtanzania @vodacomtanzania @cocacola_kwanza Pamoja na @y9microfinance
Ukumbi huu umepambwa na @sadas_choice_events
#MwanamkeWaShoka2023 #ChukuaCode : #Wanyooosheee

Пікірлер: 196
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 Жыл бұрын
Huyu pastor is every genius and blessed
@jorammsemakweli3116
@jorammsemakweli3116 Жыл бұрын
Tatizo Mch Kapora hauko huru ni mtumwa wawazugu sisi sote tumesoma na tunajua lugha hiyo lakini unashindwa kupambnua unawafundisha watu wa taifa gani wewe ni mtanzania unawafundisha watanzania tuna lugha ya Taifa kiswahili wewe unachanganya kama si mtumwa ninani alafu unasema umewekwa huru
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
Straight forwad mimi mwenyewe nilishafikiwa na hayo nilivyomwambia mama mimi naachana naye kani cheat mama alicheka kwa nguvu yuko huna kamkeka hapo tandika ombea ndoa yako ombea mume wako kila unampoamka unapoenda kazini mume anavyoondoka mwambie ngoja nikuombee hata maneno matatu anapoenda nje kila akitaka kufanya upuuzi anakumbuka maombi ya mkewe anaacha.leo hii tuna miaka 25 kwenye ndoa sina stress
@gracekenan4665
@gracekenan4665 Жыл бұрын
Waow hongera sana 25 sio midogo ...umetutia moyo tulio na miaka michache kwenye ndoa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
@@gracekenan4665 asante mpenzi atakayekuja kukuambia ndoa haina changamoto ni muongo huyo sio kaka yako huyo sio mtu mliolelewa pamoja.kazaliwa huko umezaliwa huko mmekutana kujaribu kuoanisha tabia zenu.kinachotakiwa katika miaka saba ya ndoa ni wewe kumsoma mumeo na mume kumsoma mke then mkubaliane hizi tabia zinanikwaza na yeye aseme tabia ambazo hazipendi then muanze tabia mlizozijenga ninyi sio mlizotoka nazo makwenu.kwani tumelelewa tofauti kilicho ndio kwako kwa mwingine sio.nikupe mfano sisi kwetu hata kama una marafiki unataka waje wikend as long as uko kwenye himaya ya wazazi unatakiwa uwataalifu marafiki zangu watakuja mama yako atauliza umejiandaa utawapikia nini mnajadiri.upande wa mume wangu wakishua yeye kwao walikuwa hawana hicho, kakutana nawashikaji twende kwetu wanakuja pale chakula hamna mama hajali kwani anajua mtoto wake ana hela ataagiza chakula watakula na washikaji then basi.tulivyooana akazileta hizo tabia kwangu.mmekaa mnakuta anarudi na marafiki mimi tumbo linaunguluma mama yangu hatujapika hatuna vinywaji jamani nakasirika ,hivi kwanini asingeniambia jamani maana marafiki zake ni mashemeji zako. unataka waje wale wafurahi.akifika yeye tu anamtuma dada nenda dukani fata soda,chipsi kuku mimi moyoni nawaza hawa mashemeji siwatajua sijui kupika kumbe mimi sikuwa na taarifa.nikavumilia tabia zake nikashindwa nikakaa naye alichonijibu Mungu wangu samahani kumbe nilikuwa nakosea mimi nikadhani labda hutaki wageni niko hapana nachokasirika kushitukiza watu wamekuja tuna agiza chakula badala ya kuwapikia. yuko kuanzia leo sitarudia mke wangu sisi kwetu tulikuwa tukifanya hivi.sasa unaweza jifunza ni mambo mangapi tunahukumiana bila kujua why yanafanyika hivi.mazungumzo ni muhimu kwenye ndoa siku yenye furaha uliza maswali yako ukiwa huna hasira mtaelewana ukimpandishia moli sahau
@evalynedenis
@evalynedenis Жыл бұрын
Mungu ambariki Mama wetu kwa hekima zake❤
@marystanleymarystanley1702
@marystanleymarystanley1702 Жыл бұрын
umenitia nguvu my love
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
Safi dada mimi mwanzo niliona kazi nilipokua na mtoto mdg wa1 kidg niondoke ila Mungu tu leo miaka 12 watoto 3 ahsante Mungu dada uko sawa umeniongezea ngv nyingine zaidi 🙏
@upendoamani8164
@upendoamani8164 Жыл бұрын
Ndani yako kuna mamlaka Asikiae hii sauti hii na apone kwa jina la Yesu Kristo 🙏🏽
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Naona watoto wangu wakiwa juui kiriho na kimwili pia in Jesus name
@aledesiomushi875
@aledesiomushi875 Жыл бұрын
Umebarikiwa ili ubariki wengine pastor Mungu WA mbinguni anikumbuke na mimi
@aminajuma8629
@aminajuma8629 Жыл бұрын
Pastor Asante kwa somo zuri sana hta ambao hatujafanikiwa kufika tumejifunza mengi sana Mungu ni mwema sana na akubariki sanaaa
@leaherasto929
@leaherasto929 Жыл бұрын
Maneno yako yameniingia sana Asante Pastor Mungu aendelee kukubariki
@leonardoautomotivegarage9452
@leonardoautomotivegarage9452 Жыл бұрын
Penye neno la Mungu pana Mungu pokeeni neema hii wadada, Mungu awape mwanzo mpya amen
@sifaisack7470
@sifaisack7470 Жыл бұрын
Amen 🙏
@pielahadson2884
@pielahadson2884 Жыл бұрын
AMEN 🙏🙏🙏
@esthermodestus7649
@esthermodestus7649 Жыл бұрын
AMEEEN, MTUMISHI WA MUNGU.
@adelinekiwale2879
@adelinekiwale2879 Жыл бұрын
Nemekuelewa sana mtumishi wa Mungu
@CarolyneN45
@CarolyneN45 Жыл бұрын
Amen
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Жыл бұрын
Pastor ubarikiwe Sana kwa ujumbe ushauri wangu hio display hapo kama Iko kanisani isidisplay hayo matangazo itumike kumtangaza Mungu na sio Vodacom na matangazo ya nywele Hayo tunayapata huku duniani
@missieflavie
@missieflavie Жыл бұрын
Hapo sio kanisani ni mkusanyiko wa wanawake mbalimbali watokao katika dini tofauti na sio mahubiri tuu yalikuwepo katika ratiba.
@barakastephano481
@barakastephano481 Жыл бұрын
Sio kanisani kaka apo alialikwa tu
@osilojackson-oj8dk
@osilojackson-oj8dk Жыл бұрын
Mchungaji kumanisha nimefaidika na maubiri wako no way to explain but ubarikiwe kabisa am augandan in Dubai with ma Kenyan wife in Uganda with two children your message has totally changed my life i can not explain
@asnathmwaipopo6877
@asnathmwaipopo6877 Жыл бұрын
Sikuwepo. Ila kwa neema ya MUNGU now nimejiongamanisha kupitia haya mafundisho na maombi kupitia hii ibada NAPOKEA kila kitu cha BARAKA alichotamka MTUMISH huyu🙏🙌🙌❤️
@emmanuelcharleschitete4879
@emmanuelcharleschitete4879 Жыл бұрын
Powerful word from the powerful man of God
@jacklinesamson1175
@jacklinesamson1175 Жыл бұрын
Hekima kubwa sana hii,mwenye sikio na asikie🔥
@joshuabartonpolelaab4985
@joshuabartonpolelaab4985 Жыл бұрын
Anaongea Kama mtu MWENYE Amri 😢😢😢 Glory to God Am happy of having this man in our Generation
@FelixMjen-fx4lx
@FelixMjen-fx4lx Жыл бұрын
My lord bless u pastor be blessed at all
@nancymuturi629
@nancymuturi629 Жыл бұрын
Sure sure pastor point taken wazaidia wa mama waaawaa Na kila mama anaye kushikiliza apate kuponyua live is spiritual
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Ni kweli neno la MUNGU ni taa,,,nimeelewa , MUNGU tusaidie kwenye ndoa yangu,,,, barikiwa mtumishi ,,,nachukua baraka za neno
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 5 ай бұрын
Chukueni namba ya huyu mchungaji mmpe pesa apeleke ujumbe africa nzima ana kitu cha kuongea na waafrica
@tainamsemwa2865
@tainamsemwa2865 Жыл бұрын
Amina isiyokuwa na mwisho mtumishi barikiwa
@agnessbulegu996
@agnessbulegu996 Жыл бұрын
Alaye, anakula Hadi afya, umoja,AMANI furaha.. Unajua nini kaka Kapona,, you're blessed.
@maryeer6392
@maryeer6392 Жыл бұрын
Hallelujah hallelujah 🔥🔥🙏🇰🇪
@nancymuturi629
@nancymuturi629 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏Ooooh yes amenena mwenyewe huyu Mungu in Jesus name
@lulusufian9455
@lulusufian9455 Жыл бұрын
Amina baba MUNGU akutunze mtumishi barikiwa Sana babaangu
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hiyo ndoa wanazosusa labda hazina kumuuingiza Mungu,au kunawachopitia labda inatakiwa ujue,ni kweli unasusa urithi zingine hazifuati maneno ya Mungu ,hazitaki mabadiliko sasa wasisuse,wamchao Mungu watadumu ktk ndoa
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hapo upo sahihi kumuombea au ruombeane mmoja anapokosea , Mungu akubariki mchungaji
@tawocatv9940
@tawocatv9940 Жыл бұрын
Your amazing ! Mungu ametupa wewe tupone kwa Kweli
@NeemaKimaro
@NeemaKimaro Жыл бұрын
barikiwa sana pastor nimepokea jambo kubwa sana
@tumainimwaijonga5407
@tumainimwaijonga5407 Жыл бұрын
Mtumishi nimebarikiwa sana nilikuwa nimekata tamaa. Na ndoa yangu inabidi nipambane kwa maombi
@gladysramadhan4008
@gladysramadhan4008 Жыл бұрын
Hallelujah Hallelujah bwana Yesu ameeeen
@sekitauniquedesigns8813
@sekitauniquedesigns8813 Жыл бұрын
Barikiwa Pastor Tony!
@daudichija2800
@daudichija2800 Жыл бұрын
blessed pastor i appreciate. you
@blessedtumaini516
@blessedtumaini516 Жыл бұрын
Asante Mungu Baba. Asante Yesu Kristo Amina.
@yasintacharles3594
@yasintacharles3594 Жыл бұрын
Amina sana pastor i got it very clear
@flokirui2742
@flokirui2742 Жыл бұрын
I like your teachinyg Pastor... Ubarikiiwe sana as you blessed other people with the word of God...
@user-fk9mj4vd7s
@user-fk9mj4vd7s 9 ай бұрын
Ameeen sana hakika umenivusha mahali fulani Mungu azid kukutia nguvu uzidi kutuinua🙏
@marthamlowe7928
@marthamlowe7928 Жыл бұрын
Umesikika kwa saut kubwa pastor 🥰🥰🙏
@user-vv1rs5ho1v
@user-vv1rs5ho1v 9 ай бұрын
ASANTE mungu akutunze sana nimejifunza umegusa maisha yangu kwa shemu kubwa san
@heavenlight5084
@heavenlight5084 Жыл бұрын
Amen mtumishi wa MUNGU
@gasperurassa6440
@gasperurassa6440 Жыл бұрын
Amen Amen Amen Amen
@damianandrew3074
@damianandrew3074 Жыл бұрын
Mchungaji Hilo bango na tangazo nyuma yako pastor linawatoa watu kwenye uwepo wa mungu
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 Жыл бұрын
Yesu tusaidie
@KibibiMtuhi-xg8ju
@KibibiMtuhi-xg8ju 6 ай бұрын
Huu ujumbe umenibariki leo na umekuja kwa wakati sahihi 2 Feb 2024 ❤❤❤
@fatumarashidi5182
@fatumarashidi5182 Жыл бұрын
Wallah pastor nimepokea uponyaji
@osilojackson-oj8dk
@osilojackson-oj8dk Жыл бұрын
Na kenye nimesahao niko mchungaji but due to some situations at home i have hired ma self to serve some Iranians in working car body kits na i need your prayers n some more business ideas basing on what I heard from you
@sumaiyabakary2692
@sumaiyabakary2692 Жыл бұрын
Ni maneno makubwa sana
@winifridakigingachacha3412
@winifridakigingachacha3412 Жыл бұрын
Aminaaaaa
@edinalihedule7609
@edinalihedule7609 Жыл бұрын
Amen dady🙏🙏
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 Жыл бұрын
Alhamdulilah 🙏
@rhodanangoma7386
@rhodanangoma7386 Жыл бұрын
Mungu atusaidie kwa kweli
@anandepallangyo4177
@anandepallangyo4177 3 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉 pastor Tony
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 Жыл бұрын
Amen day🙏🙌
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
Amina. Daddy Nitafanya hivyo 🙏
@AwaziBange-yo1wq
@AwaziBange-yo1wq Жыл бұрын
Paster Tony unajua sana
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Amen Amen
@beatricefuraha6471
@beatricefuraha6471 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi 🙏
@rosesanga6163
@rosesanga6163 8 ай бұрын
Pastor wangu oyeee
@hawasaidsaid8204
@hawasaidsaid8204 Жыл бұрын
Amen amen
@lovenesslukas5360
@lovenesslukas5360 Жыл бұрын
Dady Amen 🙏🙏🙏
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 Жыл бұрын
Thanks mtumishi
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
Napokea....Amina
@DeoKapimpiti-fm7sk
@DeoKapimpiti-fm7sk Жыл бұрын
God bless you paster🙏
@shukranitawa4668
@shukranitawa4668 Жыл бұрын
Ameeen
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
AMINAAAA
@leonardoautomotivegarage9452
@leonardoautomotivegarage9452 Жыл бұрын
Jamani huyu ni zaidi ya mchungaji ni yesu ndani yake, wadada vaeni vizuri hayo maziwa yafunike yaheshimuni shetani atayanyonya 😮
@verynicelema5887
@verynicelema5887 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pst tonynapokea kwa jina la yesu
@sayibaba8566
@sayibaba8566 Жыл бұрын
😂😂atayanyonya kweli
@ashuramahali3410
@ashuramahali3410 Жыл бұрын
😄😄😄
@marylenemwanyungu2323
@marylenemwanyungu2323 Жыл бұрын
😮
@evertheobald1811
@evertheobald1811 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂 shetani atanyonya maziwa???😂😂😂😂😂
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
AMINAAA
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
AMINAAAAA
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Amina
@UpendoMnzava-kr3nk
@UpendoMnzava-kr3nk 9 ай бұрын
Mtumis nakushukuru kwa elimuyako mungu akupe maaisha marefu ilituzidi kujifunz
@user-ps2lt7bc2j
@user-ps2lt7bc2j Жыл бұрын
Ameni mtumishi wa mungu mungu akubarki sana
@lightsamweli8296
@lightsamweli8296 7 ай бұрын
Stay blessed my spiritual father
@EmmyMwaipopo
@EmmyMwaipopo 3 ай бұрын
Amina na pokea. Uzima kwajina la yesu
@natusmanumbu8885
@natusmanumbu8885 20 күн бұрын
Barikiwa kwa mahubiri ila matangazo yanaharibu
@patrickdebe8416
@patrickdebe8416 7 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu.
@user-ps2lt7bc2j
@user-ps2lt7bc2j Жыл бұрын
Ni kweli mchungaji ubarikiwe sana
@josephinemapuga3515
@josephinemapuga3515 Жыл бұрын
Asante Yesu kwa mafunuo haya kupitia mtumishi na mchungaji Kapola
@gracenkembo8318
@gracenkembo8318 Жыл бұрын
Mtu wa Mungu kapola nakupenda sana mafundisho yako ni dawa ya mioyo yetu
@user-nb6qg2qb9g
@user-nb6qg2qb9g Жыл бұрын
Amina Amina 🎉🎉🎉❤❤
@jojotanzan609
@jojotanzan609 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@atupakisyerighton2629
@atupakisyerighton2629 Жыл бұрын
Be spiritual the world is so cruel!!!
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 5 ай бұрын
God bless you more than you are.
@SisteKayombo-up5cy
@SisteKayombo-up5cy 11 ай бұрын
Wow marvelous
@user-ee8vj1km2v
@user-ee8vj1km2v 4 ай бұрын
Nmekuelewa sna mchungaji remain blessed 🙏
@joynnko5186
@joynnko5186 Жыл бұрын
Amen!
@selegioelias9076
@selegioelias9076 Жыл бұрын
Wallah tena ??? pastor
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
I need a spiritual power of God 🎉
@gasperurassa6440
@gasperurassa6440 Жыл бұрын
Amen
@rebeccamwiseneza2431
@rebeccamwiseneza2431 5 ай бұрын
Amen amen ubarikiwe mtumish❤❤i
@pilikafuku5468
@pilikafuku5468 Жыл бұрын
Amen mtumishi
@godwinagustava5634
@godwinagustava5634 Жыл бұрын
AMINA!!!!
@josephinemapuga3515
@josephinemapuga3515 Жыл бұрын
Aminaaaaaaaaaaaa
@KilihonaNdaki
@KilihonaNdaki 2 ай бұрын
Mungu mwema nimefuniliwa sana
@ShidaKazungu-tp8ld
@ShidaKazungu-tp8ld 3 ай бұрын
Ameni pastor jamani
@israelchacha6424
@israelchacha6424 Жыл бұрын
Mungu anibariki na mke
@manirakizamireille8337
@manirakizamireille8337 Жыл бұрын
Asante mucungaji
@Mjeshi215
@Mjeshi215 7 ай бұрын
Amen mtumishi barikiwa sana
@sararasmamwamapupa3577
@sararasmamwamapupa3577 6 ай бұрын
Amina mtumishi wa Bwana
@emmanuelikitomari1212
@emmanuelikitomari1212 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba
@esthermodestus7649
@esthermodestus7649 Жыл бұрын
Amen Ameen Ameen, Napokea kwa Jina la YESU.
@jacklinejohn4531
@jacklinejohn4531 Жыл бұрын
Powerful
@JanethNgambeki
@JanethNgambeki 3 ай бұрын
Mungu asante kwa kunifundisha
@user-ei9vv9hu7i
@user-ei9vv9hu7i 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Жыл бұрын
LIFE IS SPRITUAL
Nyota Yako Ina Thamani | Maombi Ya Kuombea Taifa | Pastor Tony Osborn
21:11
Pastor Tony Kapola
Рет қаралды 133 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 35 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 41 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 11 МЛН
KUUAMSHA ULIMWENGU WAKO WA ROHO (Sehemu Ya tatu) Na Pastor Tony Kapola
1:44:52
USHUHUDA WA  MAISHA PASTOR TONY KAPOLA SEHEMU 1
22:08
ayoub mwigune
Рет қаралды 158 М.
JE, NDOA!MAPENZI YANALINDWA NA PESA? By TWO PASTORS
3:14
USHINDI CHOIR CEPAC A2
Рет қаралды 7 М.
MWANAMKE USITAFUTE DADA WA KAZI MREMBO KULIKO WEWE UTAJUTA "PASTOR MGOGO
27:50
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 136 М.
Namna Ya Kurejesha Upendo Uliopotea Ndani Ya Ndoa - Pastor Rose Shaboka | epsode 1
1:09:53
KUUAMSHA ULIMWENGU WAKO WA ROHO (Sehemu Ya Pili) Na Pastor Tony Kapola
1:29:06
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 35 МЛН