Unaongea vizuri sana una akili sana fanya mambo yako mungu atakujalia
@evarnyanduku7933 жыл бұрын
Ambao tunamuombea esma mema like
@hbabe53203 жыл бұрын
Pole sana Esma kwa matatizoo. Pia tunashukuru kwa story, hiyi ni fundisho kwa sisi wanawakee. Asante Da Zama❤️❤️❤️ that why we love ur Tv💥💥💥🥰. Esma mungu atakusahidiyaaa 🙏🏽
@regineniyonzima53403 жыл бұрын
Nafatilia zamaradi tv nikiwa Burundi Bujumbura 🇧🇮pole da esma,watu wanaongea wasiyo yajuwa.njo maana katika dini yetu ya kiislam,tunashauriwa ukipata mwanaume anataka kukuowa,sali kwanza sala ya istikhara,njo ukubali kuolewa,ukishapewa majibu na Allah,proud to be Muslim.
@sarafinapeter31633 жыл бұрын
Wanawake tujifunze wallah 🙌 pole Esma
@vickynyanda97483 жыл бұрын
LOVE YOU ESMA. BORA UENDELEE KUWA KIBURI HIVO HIVO. KWELI DIAMOND AMEPATA DADA MWENYE AKILI. NDIO MAANA DIAMOND ANAKUPENDA.
@tracyjoseph20753 жыл бұрын
Dah! Esma kwa Sasa I love unyang'anyang'a maana nimekuelewa mpaka nimekuelewa tenaaa♥️♥️♥️♥️😘😘😘
@kautharmkali39573 жыл бұрын
Tunajifunza hapa kuwa, mzazi unaruhusiwa kumshauri mtoto wako juu ya machaguzi yake ya maisha ila sio kumlazimisha mtoto wako kuolewa kwa sababu ya uwezo wa kifedha,, kwa msizwa amefake life ila wapo ambao hawajafake na wananyanyasa na kudharau wake zao kwasababu ya pesa zao
@mariamfaith99143 жыл бұрын
Wah never judge book by its cover. I learn something from you girl🤔
@chollogangstar31833 жыл бұрын
Gonga like kama unaamin peti anakula mzigo mpaka now
@xbdbdgdgsbdbbxx42543 жыл бұрын
Esma ni mkweli. Big up Esma. Bora umeongea 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@njerigithara36933 жыл бұрын
I LOVE YOUR COURAGE TO WALK AWAY ESMA, ALOT OF WOMEN ARE SUFFERING WITH SUCH NARCISSISTIC MEN AND THEY KEEP PROTECTING THEM, YOU ARE SO BEAUTIFUL GOD WILL BE WITH YOU ❤️
@arafaally28953 жыл бұрын
Leo nimemuelewa Esma kweli aliolewa na taperi
@annamitumba39813 жыл бұрын
Esma pole sana nduguu.nimekuelewa sana bora ulivyoondoka zako mwaya.
@ziggykole20283 жыл бұрын
Duh! Esma umejua kufumbua madada wengi macho..hiki kisa kimenikumbusha mengi..ila Mungu mkubwa🙏🙏