Hapo kwenye Ubunge alianzia Kigoma Vijini na CHADEMA na kisha ACT Kigoma Mjini
@badymedia96485 ай бұрын
Someni kiswahili kabla yabkutangaza kwenye hadhira
@maryamadam56225 ай бұрын
Waandishi wa habari, mjitahidi kutumia Kiswahili safi. Standard Swahili na kutamka vizuri.. Na pia kutafuta kujiongeza ki elmu. Katika general knowldege ya duniya ki jumla.
@Santzmedia5 ай бұрын
Uko sahihi @maryamadam5622
@PetrolBhulugu2 ай бұрын
Kumbe zito ana PhD dhuu
@r14kgroup685 ай бұрын
Reo mmm leo acha.kuharibu lugha
@nikkimbishiunju24026 ай бұрын
Jifunze kutamka R na L sehemu sahihi,makara au MAKALA,amezariwa au amezaliwa?
@Santzmedia6 ай бұрын
Ahsante kk Naahidi kubadirika makosa hayatojirudia tena🤝
@Zuwenamachela3 ай бұрын
Huyu mwamba ni noma aliifungua kigoma na Tanzania kwa ujumla kwa hoja murua na data zilizokwenda shule
@Santzmedia3 ай бұрын
👊
@neemamasudi7988Ай бұрын
Zito Kabwe sio kitanzania Kwabwe ni Kibembe kiluga cha Congo, tafuteni wa bembe Kabwe ni ruga gani? Kwao na Zito ni Congo
@neemamanga9179Ай бұрын
huna ulijualo
@KhalidAlly-je8ky4 ай бұрын
Halima bulembo mbona huja muweka
@abdalahgunda13196 ай бұрын
In politics is the confidence lmotion
@Santzmedia6 ай бұрын
🤝🤝
@IssaKigwanya4 ай бұрын
Apo umekosea alianza ubunge kigoma kaskazini then akaja kigoma mjini apo umetupiga
@Santzmedia4 ай бұрын
😥
@Zuwenamachela3 ай бұрын
Amesahau jamn
@Mwami-r9s3 ай бұрын
Zipo alianza kuwa mbuge kigoma kazikazin na sio kigoma mjini
@Santzmedia3 ай бұрын
Shukrani kwa Maoni yako
@mussaharun72572 ай бұрын
Waislam huwasemi kwa dini Yao kenge kabisa
@ZiadaSaidi-k5y26 күн бұрын
Mtotowatabata😂
@dijohbanks43125 ай бұрын
muwe mnafanya research za kutosha kabla ya kutangaza
@Santzmedia5 ай бұрын
Nini kilichokosekana @dijohbanks4312 tukuweke Sawa kwenye hilo
@elisantenyange87515 ай бұрын
Hakuanzia Kigoma mjini, alianzia Kigoma kaskazini
@Santzmedia5 ай бұрын
Thenks ila ninakuomba uendelee kumfuatillia zaidi Zitto kabwe
@dr.lincolng78355 ай бұрын
Uyu mtangazaji wa mchongo😂
@PhilipoNdumbaro6 ай бұрын
Safi thanaaa
@Santzmedia6 ай бұрын
Thenks 🤝
@Zuwenamachela3 ай бұрын
Huyu anatakiwa awe hata waziri kama si kuwa rais kabisa mzalendo muwazi msomi mweny democrasia ya kweli mwamba kwelikwei huyu jamaa
@Santzmedia3 ай бұрын
Sahihi 💪
@annasolomon98552 ай бұрын
Mmh hafai hata kidogo
@aminatanzanya74756 ай бұрын
Zitto kabwe huy jamaa anafaa awe Rais kabisa
@Santzmedia6 ай бұрын
Rais wa Nchi gani??😀
@aminatanzanya74756 ай бұрын
@@Santzmedia Tanzania
@hassanmfaume45223 ай бұрын
@@aminatanzanya7475umemjibu vyema😅😅😅
@ChristineElias-bn4dw3 ай бұрын
Pumbavu mwandishi kasome kwanza ovyoo
@Santzmedia3 ай бұрын
Ok. Ahsante Kwa maoni yako
@FrederickThadeo3 ай бұрын
Nyota yake imezima ni uchawa tu tulikua naimani na vyama vya upinzani hajafukuzwa ni uchawa
@ibrahimally80736 ай бұрын
Eti alibatizwa?? mtangazaji waislamu huwa hatubatizwi..
@Santzmedia6 ай бұрын
Ohh thanks mr@ibrahimally8073 Tumekusoma
@ibrahimally80736 ай бұрын
@@Santzmedia kheir
@Jaferudo2 ай бұрын
Vp
@LovelyBrain-wz7si3 ай бұрын
PhD ipi mbona hujaielezea vizuri
@SoudShuraim3 ай бұрын
Twende kazi matamshi ni lazima tutafautiane..ndo maumbile kwsbb ndimi zetu zimeumbwa kutafautiana..suratul room quran imeweka wazi juu ya hilo
@kichebacossam85246 ай бұрын
Zitto kabwe
@Santzmedia6 ай бұрын
Mwanasiasa mashuhuri Sana Huyu🫡
@uwezomayonko51016 ай бұрын
@nikkimbishiunju24026 ай бұрын
Program sio PLOGLAM
@Santzmedia6 ай бұрын
Thenks my brother 🙏🙏
@hassanmfaume45226 ай бұрын
Waislamu hawabatizwi😅😅😅
@Santzmedia6 ай бұрын
😂😂😂😂 kubatizwa uliyomaanishwa Hapo ni "KUPEWA au KUSIMIKWA"
@eastafricaqualitychickenfa99166 ай бұрын
Waisillam piya hawasinikwi mwandishi soma Nini maana ya neno
@GilbertjaphetKengwa3 ай бұрын
Uwe unafanya research ya kutoshaa kabla ya makala Yako 2005 alikuwa mbunge wa kigoma kasikazin!! Shame to you
@Santzmedia3 ай бұрын
Shukrani kwa Maoni yako mkuu
@hassanmfaume45223 ай бұрын
Waislamu hawabatizwi acha ujinga wewe😅😅😅
@HeriMohamedi-p6g5 ай бұрын
Mnafiki huyo angekuwa malaya
@Santzmedia5 ай бұрын
😂😂😂 tumefika huko jamani!!?
@rogerioathumani90846 ай бұрын
Kileno😂ni zito
@Santzmedia6 ай бұрын
Yess ilo jina ni lakireno ila Sisi tunalitamka kwakiswahili🤓