Hakuna mwandishi wa habari hapa, hajui kuhoji maswali muhmu ambayo mtazamaji angetaka kujua. Yàan weng hatujaelewa Hali halisi ya kifo chake
@achouraachoura57636 ай бұрын
Uchawi upo ...ila ole wenu mnao muingilia mungu katika njia zake...adhabu kali inawasubiri.. mungu haingiliwi...na uchawi umeshindwa katika Nguvu zake Allah ☝️..☑️📌
@sophiakimaro51746 ай бұрын
Na hiki ndio kinatuchelewesha waafrica. Wakati wenzetu wanawaza kuhamia sayari ya Mars sisi tunawaza kuowa watu kichawi na kufanya wengine wazike magogo bila kujua.Mungu tutetee mazingaumbwe yamezidi.
@achouraachoura57636 ай бұрын
@@sophiakimaro5174 mtihani Sana dunia.
@fatumahapesamohamedfatumah46336 ай бұрын
Kwa hakika wanaoingilia kazi ya Mungu.Endeleeni ila Mungu anawasbr.Kuawa wenzenu kwa Ushirikina.Mungu awaalaani.
@zaituniabdallah19485 ай бұрын
Watu wabaya saana 😢@@sophiakimaro5174
@SuleimanKhdija6 ай бұрын
Subhanallah ee Allah tustiri akifa kweli tena hawato amini Astaghfirullah
@winnesakara69575 ай бұрын
Mnao soma coment kama mimi
@FrankEnockmabundu5 ай бұрын
Tunaosoma comment kama wewe tumefanyaje hatujakuelewa😮😮😮😮
@glorytoGod6396 ай бұрын
Duh mtangazaji, kasome upya mzee
@valenakomba76866 ай бұрын
Ameeen kaka wa marehem mfufuka kwa maneno mazuri.
@shemelaruhinda61136 ай бұрын
Mungu ni mwema wengine tupo hai na tuna ndugu lakini upendo awana mungu akulinde siku zote 🙏
@ImanSaid-ox3po6 ай бұрын
Watu wa kigoma ni hatari sana Ila manRahimaRabbiy
@habiba13145 ай бұрын
Sasa yy anasema alifariki alijua je kama hapa nimekufa acheni uongo mtu afe alafu ajijue kama hapa nimefariki
@valenakomba76866 ай бұрын
Aminaaa.
@hamisimuhammad36565 ай бұрын
SubhaanaAllah Ametakasika mwenyezi mungu
@user-uf6hw6rf9t6 ай бұрын
Subhanallah hasa inawezekanaje mbona mtihan zama za mwisho na msiseme alifariki bana mtu anafariki atazikwa anarudi tena kwa misingi ipi
@kadijahajali39186 ай бұрын
Mimi nikuwepo oman sina masiliano na familiya ilikuwa sijuwi kunganyisha sim wasap watu walisema nimefariki niporudi oman mama alinifanyia maulidi nilishukuru mungu alhadulilah mama alifunga siku 3baada ya kurudi zanzibar
@mariamhamisi5986 ай бұрын
Pole yako Allah akujaaliye umr mrefu :story yako inafanana na yangu hata mimi Niko Oman nilivyokuja Oman nilikaa miez 4 Bila mawasiliano siku nilivyoongea na mama alisema tulikuwa na huzuni San tulikuwa tunazani umekufa Labda umetupwa miferejeni alifurah San mama angu alivyojua mi Niko mzm wa afy
@kadijahajali39186 ай бұрын
@@mariamhamisi598 asante sitor yako vip ulikufa au vip
@zohoraramadan45406 ай бұрын
Ulikaa muda gani bila mawasiliano
@user-sv6zy3hc8o6 ай бұрын
Miezi minne au kusoma hujui
@mariamhamisi5986 ай бұрын
@@zohoraramadan4540.miezi minne
@ifraimifraimuhusen2826 ай бұрын
Mwandishi wa habari kuna point za msingi umeziacha * Baada ya kifo chake alipoteza kumbukumbu Je kipindi zinalejea alikuwa wapi na kama alisafili au alisafilishwa? * Tunahitaji kujua sehemu alofikfikia siku ana fika Musoma kulikkuwa na watu wengine ajieleze plz Milady ilejeeni fanya interview na au Mpe Vido tafadhali
@jenyyusuph49734 ай бұрын
Mm nimeelewa inaonekana vingi et hawataki kuvielezea nafikilia mwandishi amemuuliza ulikufaje wawati unazikwa ww ulikua wapi ulikua unajua kama una ndugu zako na WATOTO
@angelsgabriely35755 ай бұрын
We mama unayesema ulikufa, sema tu ukwel ulitoroka nyumban kwenda kuolewa na ndugu zako wakafkr ulipanda mtumbwi ulopata ajali hvyo wakazka mtu asiyemwanafamilia!..hvyo msitumie hyo mbinu kukusanya sadaka kupata hela
@nusaibahhassan7335 ай бұрын
Hhhhhaaaa Swadaktaaa
@piusvincentkihiyo499Ай бұрын
Sure
@HamisMghuna-fj3vz6 ай бұрын
Chuma kimerudi Mzee baba kipo imara Asante mashaaalah,chuma hicho,
@valenakomba76866 ай бұрын
Kazi kuongea ujinga tuu. Ndo maana hamuendelei kwa ujinga. Ongea ya maana.
@HamisMghuna-fj3vz6 ай бұрын
Ujinga upi kama huwez tulia atalea watoto waendeshe maisha uchumi,kuwasomesha,watoto,bila chuma utapata watoto,kama hujui Mambo tulia,meza wembe,
@SoniaYunusu-ze7zq5 ай бұрын
😂
@user-sj3wf5vz7l6 ай бұрын
Na bado tutaona mengi. Yesu anarudi. Watarudi misukule yote. Nguvu za giza zimeanza kupoteza nguvu
@fatmaalnabhani36096 ай бұрын
Inshaallah yaarabbi, mungu atawaviza wachawi wote
@salmabinyaga23576 ай бұрын
Hujielewi ww Aya msubiri huyo yesu
@salimmalaka2566 ай бұрын
@@salmabinyaga2357NABII ISA ATARUDI LAKINI BADO.
@Maalim_Samatta6 ай бұрын
Yaani hili boya kweli, TUKIO limetokea linaingizia eti nguvu za yesu anarudi, nahisi na ww ni msukule kabisa.
@zuhurasuleiman74556 ай бұрын
hao walizika mwili sio wao walifananisha tu ila uyo alichukuliwa na maji had alikofika mungu kamuhifadhi tu na roho inamsuta apo kuongea uongo duh watanganyika mungu mnamfanya selemani kweli
@joycekalago5326 ай бұрын
Nimecheka sana et name anasema nilifariki jaman walimwengu tukoje? Huyu hakufatiki aliokolewa sema tu hakujulikana ameokolewa na nanani
@salimmalaka2566 ай бұрын
KUNA KITU KINAITWA MSUKULE MNAKIJUWA???
@user-mq6gb1zw8sАй бұрын
😂😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl6 ай бұрын
Ajafa huyo alikua hai kifo mchexo walokufa kweri mbona hawarudi. ? Aliqwkwa msukure au alisafilibilakujijua. Allah atusamee na atujaalie mwisho mwema. Maulidi ni bidaa sasa mnashukuru mnakufuru
@jenyyusuph49736 ай бұрын
Lamda alilogwa
@fatumahapesamohamedfatumah46336 ай бұрын
Ushirikina ulitumika hapo
@AishaNayimana-pp2pu6 ай бұрын
Ukweli hapa. Mimi sielew. Sababu hakuna et iyo hali alaf awe na akilintimam apo nisamehen kabisaa watangazaji kihoma kwetu ila sherehe naanavyoongea tofauti
@tamashanuhu26685 ай бұрын
Kama alichukuliwa kijini na majini bahari anarudi akiwa Sawa ila wachawi ndo anarudi hazipo timamu
@majidalharthi47746 ай бұрын
Watu wamechapwa uchawi ndio waliopotezwa wananza kuonekana bora wachape tu uchawi
@AbdallaMwagora-sm1rj5 ай бұрын
Hayo makuburi yafanyiwe DNA
@waheedaw19535 ай бұрын
Subhanallah ukisikiya maajabu ndio hayoo
@DelightfulMacawBird-tl5hf5 ай бұрын
Allah akbar
@moahmed75886 ай бұрын
Uyo hakusafiri siku hiyo. Alipojua mtumbwi umezama ndio akaamua kujificha. Aliishia maeneo flani na mambo yake sasa ndio akaamua kujitokeza.
@FatimaAli-of4gh6 ай бұрын
Hahaaaq😂😂😂kama ulimuona
@saidimkwinzu91066 ай бұрын
Umeskia kaka yake kasema miili iliopolewa baada ya wao kufariki kwaiyo hayo ni mauzauza
@shemelaruhinda61136 ай бұрын
Acheni ujinga
@Leylah-pz5sc6 ай бұрын
😂😂😂
@harrietajiambo2295 ай бұрын
Msikize huyu mama vizuri mama alichukuliwa kimazingira Tata kumaanisha alikuwa msukule wakazika kivuli chake
@peninashungu66336 ай бұрын
Vifo vya ajari mara nyigi ni uchawi
@Allybinamour6 ай бұрын
asante millard ayo kwa taarfa. ila watanganyika mna mambo nyieee
@musicheals15455 ай бұрын
welcome to African - Tanzania... hivi hakushangaa smartphone kweli😊
@AbdallaMwagora-sm1rj5 ай бұрын
Hapo hakuna cha kufariki wala kufufuka kama boti ilizama yawezekana aliokolewa na hao ndugu zake wamezika mtu tofauti.uchunguzi ufanywe.
@cbegram61615 ай бұрын
Naunga mkono hoja😂😂😂😂
@piusvincentkihiyo499Ай бұрын
Hii imekaa poa
@zaraally22955 ай бұрын
Kigoma Tena???🙌🙌🙌🙌ila kigoma hapana hizi kesi za watu kufa na kufufuka ni nyingi mno jaman😢😢😢
@KyandoSpareparts6 ай бұрын
Without vision people perish ,
@elimukwadada5 ай бұрын
Wueh 🙆🏾♀️ maajabu
@GiftMwandosya-uf7pf5 ай бұрын
MUNGU ni mwema cku zote naamini hata mume wangu atarudishwa katika jina la YESU KRISTO kwani hajafa ila amechukuliwa msukule imeandikwa ktk ISAYA 42:22 ameeeeeeen
@boikambafrancis9536Күн бұрын
Mizengwe kuanzia stori anayehoji na muhojiwa haeleweki
@khadijayusuph26346 ай бұрын
Sasa miaka yoote yupo mpaka kazaa watoto2" na huku aliacha watoto kwa nini asingerudi?
@fardoshnassor78475 ай бұрын
😢🙏
@aishakambenga61915 ай бұрын
Je huyo mwenzie aliekufa nae yupo wapi ?😢Mungu Mkubwa 🙏🏾🙏🏾
@fatmamrihani68286 ай бұрын
Kigoma salute kwenuu🙌🙌🙌
@lilianwaflotina12886 ай бұрын
Umeona ee😂
@geofreysadok48236 ай бұрын
Kamchape washafanya yao,watu wameachiliwa sio huyo tu wapo wengi
@user-zu1ih8ki4e6 ай бұрын
😂😂😂
@user-sg7wt4cz2q5 ай бұрын
2:03 😊
@KhamisAbdallah-lm9tn6 ай бұрын
Huyu hakufa,anayekufa hafufuki!!
@Carolina-sm5zt6 ай бұрын
Hakika aliye chukuliwa na Mola ni ngumu mpaka siku atapo rudi tena labda kwa mazingila yetu ya kibinadamu
@joycekelvin54345 ай бұрын
Ni kwel kabisa mtu akifa hakun kufufuka mpk sk ya kiama, huyo alikuwa sehem anakula maisha
@zulekhaa68175 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-oh9bh9ko8j5 ай бұрын
😅😅😅😅😅@@joycekelvin5434 Ashakula bata kashoka ndo kajirudisha home😅😅😅
Wala usiseme piko ya nini sasa mtu mwenyewe hata tabasamu hana ni kushkuru mungu tu. Na kutia dua.
@user-wy7hx4sj3c5 ай бұрын
😮
@user-wy7hx4sj3c5 ай бұрын
Ya Allah😮
@azizahamisi73495 ай бұрын
😂😂😂😂 yani ww sikuelewi kwa kweli
@dayana5513story6 ай бұрын
Mmmh
@oma37955 ай бұрын
Mungura yupo kabisa🤔🤔🤔🧎♀️
@musicheals15455 ай бұрын
Rudieni enterview, mwandishi katukosea sana
@joycekalago5326 ай бұрын
Marehem alikua fasta kuolewa ndani ya mwaka mmoja kaolewa mara2 kweli na yuko ugenini kama alikua na akili ya kuweza kukubali kuolewa kwanini asitafute kwao? Ila marehem jaman😂😂😂
@ayububakari99426 ай бұрын
😂
@harrietajiambo2295 ай бұрын
Juwa kuna msukule plz sababu mazungumzo yake anaeleza alikuwa kwa mazingira tata
@user-yh8cp6uu7e4 ай бұрын
🎉marehem jaman kna baadh musoma wamesoma nae, hp kna sanaaa!!
@Excellent1Michael6 ай бұрын
Mtangazaji umefeli kwenye kuuliza maswali ya msingi na kupata mtiririko mzuri wa hyo story
@MussaKingu2556 ай бұрын
Kigoma kigoma kigomaaaaa😢😢
@UpendoMdeme-yx9gz5 ай бұрын
Kigoma imeosha
@abednego38765 ай бұрын
Tunaomba hiii stori irudiwe na maswalibserious yaulizwe huu ni utoto
@cbegram61615 ай бұрын
Naunga mkono hoja
@belyseirakoze53715 ай бұрын
Yo 🤗🤗🤗🤗🤗 na baba yangu si aje nayeye pia sinto kata tama kumsubiria baba yangu kipenz 😢😢😢😢😢😢
@harrietajiambo2295 ай бұрын
Wengine ukipeleka picha zao kanisani hashwa za kiroho hurudi
@jackiekimario93246 ай бұрын
Na huko alipokuwa alikuwa anaitwa Amina?
@MercyChapax5 ай бұрын
Je hiyo posa alitolewa kwa nan wakati ndugu zake wapo kigoma muulizeni vizuri hatujaelewa
@user-xb9hb5dk4c5 ай бұрын
🎉Shukuran
@lilianwaflotina12886 ай бұрын
Hivi kigoma ni noma khaaa😅
@RahimaMct-ik8mr6 ай бұрын
😂😂😂eeh nilikufa marehm alinitowa cheko. Jaman uli tekwa kimazingar subhnallah
@senseiamani46845 ай бұрын
Haaaaahaaaaa
@user-qg2ct7fj1n6 ай бұрын
Mmmmmmmmmhhhhhhhhh labda tumuachie mungu tu maana yeye ndo😂 muwezaaa tu
@faudhiasalum72796 ай бұрын
😢😢😢😢😮😮😮😮
@mubarakajuma91795 ай бұрын
Yaani mm xjaelewa kabsa sema hii movie tu
@user-dt4ef8og4w5 ай бұрын
Eeh mungu tusaidie
@aminatanzanya74755 ай бұрын
Sema huy hakufa. Anayekuf kweli harud
@user-pz3in8fn9uАй бұрын
Asate sana
@janifajani88756 ай бұрын
NAAMINI IPO SIKU NA MM MWANGU ATARUDÌ INSHAALLAH 😢😢😢😢😢😢😢😢
Mmm! Msikufuru mungu anaye kufa harudi labda kafa kimazingara ya kichawi ila Kwa rekhema za mungu da! Harudi shukuru mungu na muombee ndua
@valenakomba76866 ай бұрын
Maelezo yake mbona hayajakamilika.
@FatimaAli-of4gh6 ай бұрын
Sasa na kama mama enu marehemu mbona hajarudi huyo alikuwa hajafa musitupotoshe alikuwa pahari kapumzika tu leo kaamua kurudi
@Namtumbo6 ай бұрын
Walizika kivuli
@morjanoman51816 ай бұрын
Uyo akufariki. Isipokua warimlushakipaipai Tu
@mwitaagness4556 ай бұрын
Au wamemfananisha
@aishafrancis77146 ай бұрын
Mungu nitendee na mimi mama angu afufuke 😢😢😢😢
@SheikhNassorMuhammad6 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭 WEWE UNAVITUKO KWELI WALLAHI
@valenakomba76866 ай бұрын
Uchawi upo hata kwenye bibilia umeandikwa
@user-mq6lu2po3y6 ай бұрын
Ndugu yangu ulietoroka nyumbani kama utaiona hii sms usije kusema ulikufa ukafufuka😂😂😂 sijui kufanyia maulidi mie Wala hatuchangishi pesa😂😂😂😂
@salehmohammedsalum20546 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@aishafrancis77146 ай бұрын
😂😂😂😂😂mbavu zangu mie
@Leylah-pz5sc6 ай бұрын
Ni mm na sirudi mpk ifike miaka 25 na hukui nilipo nina watoto sita andaa hela ya dua
@AyshaHamis-qw3gi5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@AminaLibisa6 ай бұрын
Waende wakafukue kaburi ili wajue kama ni kweli
@salimmalaka2566 ай бұрын
LABDA WAENDE WAKAONE WAMEZIKA NINI.
@AminaLibisa6 ай бұрын
@@salimmalaka256 Kwa kweli maana wapo wanaoonekana baada ya kufa ila wanarudi Kwa mazingira ya kutatanisha na wanakua hawapo sawa lakini yeye ameenda uko na kapata bwana na watoto amezaa na mji pia anao Kwa kweli inashangaza mungu atunusuru yarab 🙏
@easternyerembe72715 ай бұрын
Wamezika mgomba
@AminaLibisa5 ай бұрын
@@easternyerembe7271 Mmmh kweli Kuna watu wanajua kushindana na mungu
@m404msigara75 ай бұрын
Umeambiwa alizama kweny maji
@estherryoba45956 ай бұрын
iko siku hata Mimi mwanangu mery ataludi tu Nina Imani hiyo
Elewa anasema alikuwa kwa mazingira Tata kumaanisha huo ulikuwa msukule
@SalamaNauthar6 ай бұрын
Sub- hannallah!!!!
@zakhiamsuya49226 ай бұрын
Kiama kimekaribia
@ritapiusnicolaus70686 ай бұрын
Mungu ni mwema🙏🙏
@khadijakheir93236 ай бұрын
Kuna bibi yangu alipotoea miaka zaidi ya 30 hakujulikana yuko wapi ila arudi nyumbani alikaa kama mwaka akafariki
@joycekalago5326 ай бұрын
Wakirudi hawadum tena wanafariki haraka sana
@noelamduga62585 ай бұрын
@@joycekalago532hivi kweli?. Maana hata sisi kijijin kwetu nyumbigwa alirud hakukaa saana akagongwa na pikipik akafariki mara ya pili,. Sijui ikoje hii😢
@salumadam1546 ай бұрын
Hayaja wakuta ndio maana hamuamoni ysliyo myokea Ila Mimi mwenyewe yalinitokea amin uchawi upoooo
@ayububakari99426 ай бұрын
ulikufa lini
@josephatjoseph17556 ай бұрын
Pole sana yalikupata wewe au mtu wa karib
@salimmalaka2566 ай бұрын
@@ayububakari9942KAFA LEO
@AyshaHamis-qw3gi5 ай бұрын
@@ayububakari9942😂😂😂😂😂
@piusvincentkihiyo499Ай бұрын
Huu ni uongo wa hali ya juu, mmezika mtu sio
@abuusaid32975 ай бұрын
mazingira yakufa kwake yalikuaje?
@user-nx7jd3cf1m5 ай бұрын
SUB HAANALLAH!
@kilogreekachananawatuwasio40546 ай бұрын
Huyo Anayohongea kafanana na dada yake ❤❤❤
@misembe6 ай бұрын
Anafanana nauyo kaka ake kabisa
@halimaramadhani29816 ай бұрын
Jamani hili lapili mm kuliona alitokea mukule kigoma huko kibondo
@jesusfirstchurch41625 ай бұрын
Ni kweli kimsingi hakufa bali aliibiwa
@marthadanielgethro62165 ай бұрын
Mama yangu rudi nawewe😢😭😭😭
@epmzmusifiwar66945 ай бұрын
Pole Sana Kweli
@aishaabdul92875 ай бұрын
Huyu hakufa ni ugumu wa maisha kakimbia hapo kijijini kaenda mwanza huko na kama sio hivyo basi ni uchàwi wamempeperusha basi lakini hajafa
@SamsoniSona-sx3sw6 ай бұрын
Mungu amfufue Anna alikufa kwa mazingira ya kutatanisha
@saliviusbraiton-ge5rl6 ай бұрын
Pole akoo jaman
@talhiyaibrahim10746 ай бұрын
Kafanyeni DNA ili tuweze kupata ukweli na watoto wake wapo ndio mtapata ukweli lkn Naona huo ni usanii mpk sasa
@user-zu1ih8ki4e6 ай бұрын
Ayo mambo mbona yapo?
@zenahans17515 ай бұрын
Huyu hakufa jamani tuache kumkufuru mungu mtu anajieleza yeye alisafiri na alikuwa sehemu flani akiendelea na maisha yake na anasema atarudi kuendelea na maisha yake
@Hamis-ks1sy5 ай бұрын
Huyo hakufariki naomba muulizeni kuhusu machungu ya mauti
@timothykaiza3275 ай бұрын
Wakafufue kaburi waone kama hakuna mabaki yake wapeleke kwa mkemia mkuu ili tuamini tusioamini hayo.
@Shadia5446 ай бұрын
Subuhannaallah zaidi ya miaka 21 😢 leo kaonekana allah ampe umri mrefu inshaallah 😢
@user-fs7xc2bb5d6 ай бұрын
Allahuma Amin 🤲🤲🤲
@joycekalago5326 ай бұрын
Sio miaka21 we we amefariki mwakajana mwaka2023 ameonekana mwaka huu2024
@OmanOman-vb4uj6 ай бұрын
Amefariki mwaka 2003 sikiliza Vizur...amepatikn mwaka Jana 2023@@joycekalago532
@salimmalaka2566 ай бұрын
@@joycekalago532UNA TATIZO LA UZIWI WEWE 😂😂😂😂
@AyshaHamis-qw3gi5 ай бұрын
@@salimmalaka256😂😂😂😂😂😂😂
@user-ng6nl3pc1b5 ай бұрын
Sema hakufa sema ni uchawi upo kigoma sio tu Yeye wapo kibao inawatokea niwengi sana
@mwanahussein59356 ай бұрын
Mmmh kwan huu msimu wa wafu kurudi bado unaendelea🤔
@GMD8206 ай бұрын
😂😂😂😂mtajua hamjui mwaa wa wafu huu
@blessingmapazia95456 ай бұрын
Yaaani
@user-mt8op1gl4v6 ай бұрын
Ahaaaaa nimecheka kama mazuri wallah
@GMD8206 ай бұрын
@@user-mt8op1gl4v Jenifer kiwelu mtoto wetu nipe no zako pls Mimi ni triza kiwelu
@user-dh4bp2vs4t6 ай бұрын
Ipo siku nina iman baba angu atarud kam hiv
@user-it2tr7ny8d6 ай бұрын
Kigoma😂😂😂😂😂
@user-zu1ih8ki4e6 ай бұрын
Ndy kigoma kwetu
@rugendorunene5456 ай бұрын
Huyu alizama, aka okolewa na kupotea... lakini hakuna kinacho onyesha alikufa.
@catherineitemo1666 ай бұрын
Aise hatarr
@uzungupoint6 ай бұрын
Hivi kila taarifa ya Kigoma kwetu huwa ni uchawi tu? Hakuna taarifa nyingine? Ni Kigoma ndiyo mkoa pekee wenye uchawi?
@salmabinyaga23576 ай бұрын
We unaonaje
@AminaLibisa6 ай бұрын
Kigoma oyeeeeee
@sheki91636 ай бұрын
😂😂😂Tunawakilisha vyema😂😂😂
@fatmaalnabhani36096 ай бұрын
Kigoma tuu ni Dunia nzima yapo haya
@AminaLibisa6 ай бұрын
@@sheki9163 Kwa kweli 😆😆😆
@AminaLibisa6 ай бұрын
Me nimeona kigoma na amerudi na akili timamu na kuzaa amezaa 😆😆kigoma juuuuu juu zaidi
@AminaLibisa6 ай бұрын
Story za kigoma ninazo kifuani dada yangu ameolewa na watu wa uko alienda siku ya kwanza ya pili lilitelemshwa radi takatifu uwanjani mpaka ardhi ilipasuka dada yangu alipatwa na msituko na alia guka chupu chupu akufe wao wenyewe tukiwauliza wanasema Kuna watu walikuja kumsalimia tatizo amestuka tunawaambia warudishe wanasema atapona na hawana nauli ya araka sisi familia tulichanga fasta tena tulichanga ya watu wawili na mume wake walivyo na mambo ya ajabu na sasa wanamiaka kumi dada hana hamu ya kwenda uko chezea kigoma wewe 🏃🏃🏃