Episode 7: Fahari Yetu - Ni kipindi maalumu kinachoangazia mambo mengi kuhusu kampuni za Bakhresa Group ndani na nje ya nchi. Usikose kutazama #FahariYetu ndani ya #UTV chaneli namba 108 kwenye kisimbuzi cha #AzamTV #BakhresaGroup
Пікірлер: 10
@BakhresaGroup2 ай бұрын
Asante kwa kuungana nasi kutazama Episode hii. Je ni maswali gani ungependa yajibiwe katika Episode inayofuata? Na je, umesha subscribe 🙂👍 Kama bado SUBSCRIBE ili usipitwe na uhondo!
@hilaljaffery40112 ай бұрын
Assalam alykum Maji ya uhai hayana ladha kama maji mengine jitahidini kulifanyia kazi ili suala maan saiv watu wengi wanalalamikaa kuhusu suala ilo plz jitahidi kulizingatia shukran
@mudathirbaalawy8132 ай бұрын
Ila maji ya uhai muyapunguze uchungu ,, utadhani unakunywa chloroquine
@jumamasquater51002 ай бұрын
Allah awahifadhi wote katika kheri na baraka zake Bakhresa group #Abrahman swaleh
@suleimanh18262 ай бұрын
Mimi naomba mutuelezee ni kwanini maji ya Uhai ni machungu? Ni machungu zaidi ukilinganisha na maji mengi tunayotumia
@shabanponera28952 ай бұрын
Bidhaa bora kabisa
@VitusGodfrey-ik7uw2 ай бұрын
BAKHRESA GROUP❤;
@GeorgeAkasha-zx2rj2 ай бұрын
Kongole Group of Companies Bakhresa.Swali langu moja nauliza je maji mnayapata wapi sijaona Hilo mkielezea chanzo Cha hayo maji?
@joramnunu14492 ай бұрын
Bagamoyo suger
@user-ql4ph2ub9b2 ай бұрын
Mim nabarikiwa sana nikipata maji Safi ya uhai na bei pendwa ❤❤