Anaanza kupigana na na mwanamke akati bwanaake mwenyewe anamuangalia tu kwa dharau nyie🤣🤣😂
@polejeremiah6 ай бұрын
Ajabu na kujishushia thamani, alitakiwa amuineshe bwana ake kuwa amefahamu anamcheat then anadecide kuondoka na maamuzi sahihi not fighting na mdada😢 dada hana kosa ila mwanaume ndo hamnazo
@AshaAmiri-l2g6 ай бұрын
Na anayeenda kupigana anavaa alivyovaa
@AshaAmiri-l2g6 ай бұрын
Anayeenda kupigana anavaa alivyovaa hajielewi na hajajipanga
@Vivianmaliack6 ай бұрын
alafu hizo redio siku hiz haziko sawaa kabisaa zinatoa matukio nusu nusu
@AngelMbaga3 ай бұрын
Yaan unagombana na mwanamke mwenzako kwa ajili ya mwanaume, hizo ni dalili za umaskini na uchawi. Keep on moving..... Focus focus... Yupo mwanaume amaizing kwa ajili yako umekazana kumgombania mwanaume malaya, muongo, msaliti na mwenye tamaa. Utapoteza muelekeo.
@UmmyMsafiri2 ай бұрын
Yaan hapo wanawake ndo tunakosea usipigane na mdada mwenzio we pigana na uyo bwana 😅
@jlizah6026 ай бұрын
Kiredio uje Mwenge kituo cha mabasi mimi kunanikera bana kapo nyingi sana pale kama wanasubiri magari uje tufanye heartbreaking 💔 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamaniii Mi nashauri awaoe wote tu kama hajaoa
@azizayassin36233 ай бұрын
Kwani ameolewa adi apigane 😢😂😂😂 ama mimi ndio cjui
@BetinaKyando-kn6uv6 ай бұрын
jamn kiredio mwendelezo
@KhadijamussaMachapat3 ай бұрын
Miye sitokuja kugombania mwanaume ata kwani kila mtu ana mwili wake
@MariamOmary-ep6iv6 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣Hizi nguvu mnazitowa wapi😅
@IreneMushi-ej4wu6 ай бұрын
Fany kuimalizia bhc jmn😢😢😢
@solomondanny-15074 ай бұрын
Imeishaje hii kiredio?
@kabonakabona81216 ай бұрын
Jman hebu tumalizie utamu sisi😅😅😅😅
@Vivianmaliack6 ай бұрын
hapa ndio makumbushoo 😂😂😂 sina shida na wewe 😂😂 kipigooo
@IbraniaMgaya-uo1ji4 ай бұрын
www jamaaaaa unakosea Sana unakatisha ndoto za watu ningekuwa mm ungekula kipigo hapo na hiyo camela ningevunja halafu ukashitaki Sasa hapo ushavunja mahusiano ya watu yawezekana mungu angewasimamia mbaka kuoana
@NasabiSalimu4 ай бұрын
Bora kuzikatisha mapema kuliko kuja kufaminiana kipindi ambacho tuna mtoto😅
@nadyajuma3814 ай бұрын
Hashuolo
@josephineokama22003 ай бұрын
hakuna kuoana hapo
@RosadaMtey6 ай бұрын
Heeeeh next
@MimahSpiceАй бұрын
Eeeh kaz ipo
@EvelyneOmbeniАй бұрын
Amekutana na mwanamke dhaifu ningempiga Hadi asahau anapoish anapaswa kuongea na mume wake
@GraceJoel-lo3ru6 ай бұрын
Ss uyo dada dini yao anatakiw waolewe wnne ss kwahyo hali ataweza qwl jmn😂😂😂
@Dareaziz6 ай бұрын
Mwendelezo
@CathyGodfrey-db5qm5 ай бұрын
Nice we dad nmekupend
@JemimaMdota6 ай бұрын
Mi sipagani na mtu nikijua tu niwaone then mbele apo,,,, nguvu zakupoteza kupigana si malamia nitafutie pesa😂😂😂😂,,,,,,,, tena hata mwanaume simwulizi kitu ,,,hata mashahd siwaiti maana kama nimume siwez mwacha kwakumfumania 😅😅😅😊😊😊
@Thisisgrace9793 ай бұрын
Mi nitagombana na mwanaume wangu, ataliona joto la jiwe.
@moureennyarusai5365 ай бұрын
Mwendelezo jaman😂😂😂😂😂
@hilalishabani41466 ай бұрын
Video kama ya insta tuu haijaishaaa
@josemangula88066 ай бұрын
Bro unazingua Instagram umesema ipo full KZbin nakuja apa ndo yale yale ndo nini sasa
@NaifinMohamed6 ай бұрын
Kiredio ww huyo atahuogopi 😂😂😂😂
@floraJames-hb8vs6 ай бұрын
kwann huyu dada kaolewaaa jmn hii video hiwadanganyee tutahuwanaa😂😂
@AishaAbdallah-r1d4 ай бұрын
Umbea utakuua kiredio😂😂😂
@sarahkeivaly33515 ай бұрын
Mabinti acheni kujidanganya ujinga- ujinga "Eti mwanaume ni wa kwangu" Mwanaume anakuwa wako tu pale anapokuwa amekuoa, vinginevyo huo ni Uzinzi- Uzinzi- tu
@SophiaDaud-s7y6 ай бұрын
Jmn m sijapentaaaah mbn iko robo😢
@LydiaPius6 ай бұрын
😂😂😂😂
@AgnesDavid-et3zn6 ай бұрын
Hata nusu haijafika
@samiraidriss93356 ай бұрын
😂😂😂😂mwendelezo jmniiii
@PriscaMosha-tg7mn6 ай бұрын
I don't want peace 🤣
@subrynerysegerow13236 ай бұрын
Hicho kimwanaume kinatikisa mguu tu😂😂 halafu et huyu nae kaenda kumvamia mwenzie dada kaa utulie bwanako ndo aliempeleka saloon hakuvutwa na unasema kabisa et niogope nini na mwanaume ni wangu 😅 na mwanaume ndo huyo anakuangalia kama kinyago😂
@lilymuro88826 ай бұрын
Mwendelezo jmn 😂
@NyamiziMabula2 ай бұрын
Wenzio wakitoka hapo wanabembelezana upyaaa Kwa kas ya 5G
@ZuhraaAlshiraiqi-st6jb4 ай бұрын
Asa mbona fupi 😢
@زيتونتنزانيا5 ай бұрын
Nyie. Mnaweka vipande vifupi wenzenu wa kenya anaweka story nzima hdi raha
@QtaarDoha6 ай бұрын
Mbn fupi kma moves
@SoudShuraim3 ай бұрын
Mwanaume umbea mtupu,huo ni ufitinishaji
@HeriethFrank-re8qe6 ай бұрын
Nimecheka sanaa🤣🤣🤣
@hawasilangala75146 ай бұрын
Mbna kitu kipo robo iki😂😂😂😂😂
@GwantwaSamson4 ай бұрын
kiredio hii vodeo full ikwapi
@rosemarymsigwa95826 ай бұрын
Ama kweli
@RahminaRiyadh5 ай бұрын
Naweza kupata wapi namba za kiredio
@moureen50146 ай бұрын
Mwendelezo please 😥
@ConfusedCricket-dq2dx6 ай бұрын
😂😂 ngoja nitafute wa kukumbatiana nae
@Kalym086 ай бұрын
😅unaleta kitu hujamaliza ndio nn sasa
@IdrisaMkomi6 ай бұрын
Esma xomalian
@PapaaVesso6 ай бұрын
Hiii Kitu juzi walibutuan kisa Mimi mamae walivyochoka nikawanunulia pespi kila moja halaf. Nkiwaambia naweza kua promoter mpo na ki2 mtafika mbali😊😂😂
@AgnesDavid-et3zn6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ivymwalasa44716 ай бұрын
Sasa hii ndo full kwel kiredio😢😳😳
@salmazengwa99236 ай бұрын
Unatuita youtube alaf video km ya insta tu ndo maana yake nn sasa 🥹🥹
@bonifacechiloweka36565 ай бұрын
Janamke Gani limejichora tatuuu
@jlizah6026 ай бұрын
Sasa mbn haijaisha na wewe😂😂
@jlizah6026 ай бұрын
Alafu unazuia nini mm umenikera😂😂😂😂😂😂😂
@brynahmudy57756 ай бұрын
😂😂😂😂😂mbn umeweka nusu
@catherinenenula74506 ай бұрын
Ndo raha yenu iyo kina kiredio kugombanisha watu😂
@najmasalim-rg6ow6 ай бұрын
Vai mkanye kiredio mi ntamng"ata pua wallahi
@janemhangomhango58416 ай бұрын
Sio ndefu hainogi
@happiefrancis88243 ай бұрын
Sa hapo si angedeal na mwanaume wake ila akili zetu wadada mmh
@bdvc71076 ай бұрын
Mwanaume anazarau uyo anatikisa mguu tu yan oyo omary x wangu kabisa
@AminaSaid-px9hx6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 et x wako
@Momo-dl7wg6 ай бұрын
Asah mbona nusu na ewe acha dhambi
@PriscaAnthony-g6r5 ай бұрын
Mbn nusu jmniii kirediooo
@SalomeIvani6 ай бұрын
Ndio full ii
@marylisso28224 ай бұрын
Kugombana kisa mwanaume,ni uzwazwa,upuuuuzi,ujinga,niache kutafuta pesa kila ndume,mfyuuuu
@tradamus41585 ай бұрын
Ni radio 📻 ya kisenge weka content ikanyooka sio hivyo pia kuwa professional kwenye kazi yako utapata views wengi sana tumia camera nzuri sio za cm
@neemachavala65536 ай бұрын
mbona fupi kiredio
@UmmyAlly-nd5zv5 ай бұрын
Nyie watu hamjaelewa man ya mguu kutikisa huyo kaona aibu asa mtu ukiona aibu unazuga na dharau pale Alison mwili wote barid linazuga nakutikisa guu
@naimasuleiman64896 ай бұрын
Kujizalilisha tu
@MimahSpiceАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@TausiRamadhan-ji1pb6 ай бұрын
Kiredio tunaitaj muendelez bwan
@LucyKayange6 ай бұрын
Kiredio malizia bac daah
@simamoymollel70366 ай бұрын
Alooo😂😂👋🏻
@kautharomy6 ай бұрын
😂😂😂
@MaryCuty-zd2xn6 ай бұрын
Yani angenikuta mimi ningempiga hatariii yani hajuwi kama mume wamtu anauma jamanii Tena dada yangu ungemuharibu hata hiyo sura yani kuna watu awana adabu kabisa yani hata mwezi huu mtukufu hawaogapi kabisa daah